Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Jack Wolper Afunguka Mbioni Kufunga Ndoa

$
0
0
Msanii wa filamu Bongo na mwanamitindo, Jacqueline Wolper huenda akafunga ndoa hivi karibuni mara baada ya kuweka wazi mipango yake ya kwenda kumtambulisha mpenzi wake kwa wazazi wake.

Licha ya kutomtaja muhusika, Wolper ameeleza kuwa mpenzi wake huyo ameridhia suala hilo kwani naye pia alikuwa akilihitaji toka mwanzo. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Wolper ameandika mengi kuhusiana na hilo ila hapa tumenukuu haya machache;

Wewe ni mwanaume ambae umejitoa ili tu niwe wako,umetaka tufike mbali kwanza kabla ya mambo mengine (uwende kwa wazazi, (NDOA) pamoja na kwamba mahusiano yangu ya nyuma yalikuwa yana misukosuko mingi ila umemthamini Jacq. Nilipotoka niliteswa sana na mapenzi yaani usaliti, dharau, kukosa na mapenz ya dhati.

Pamoja ya kuwa pia alishatokea mmakonde na kunipeleka mapaka Mtwara na matembele nikachuma na wanakijiji kunipokea na kupikia familia na kutambulishwa kwa wazazi lakini sikufanikiwa kufikia hatua hii ambayo umefika, umenijali na umenisikiliza nilipokwambia sihitaji mtu bali nahitaji future husband.

Pia ameongeza kuwa katika mahusiano amejifunza kunyamaza bila kuyaweka hadharani na siku ya leo ndipo anatarajia kumtambulisha nyumbani kwao, Moshi na taratibu nyingine kama mahari kufuata.

Simu za mkononi, Wifi huongeza hatari ujauzito kuharibika kwa asilimia 48

$
0
0
Kukua kwa sayansi na teknolojia kumeleta WiFi inayowaruhusu watu wengi kutumia intaneti kutoka kwenye chanzo kimoja bila kuhitaji kuunganishwa na nyaya.

WiFi ni teknolojia ya mtandao inayotumia mawimbi ya redio kutoa huduma za intaneti yenye kasi kubwa. WiFi na simu za mkononi huongeza hatari ya ujauzito kuharibika mimba kwa asilimia 48, utafiti unaonyesha.

Miali ya usumaku ni mlolongo wa mawimbi ya nishati yanayosafiri kwa kasi ya mwanga inayotokana na mzunguko wa umeme wa usumaku mfano mawimbi ya redio (radio frequency), mionzi mikali ya jua (ultraviolet) au miali isiyoonekana (infrared).

Hapo zamani, watafiti wamewahi kugundua kuwa miali ya usumaku inayotolewa na minara ya simu na nyaya za umeme mkubwa husababisha msongo kwenye mwili unaoharibu chembe za urithi (jeni) tatizo linaloweza kusababisha kuharibika kwa mimba kwa wajawazito.

Miali ya usumaku ambayo kila mmoja wetu humpata kwa viwango tofauti, zamani ilihusishwa na ugonjwa wa saratani na Shirika la Afya Duniani lilipendekeza utafiti zaidi ufanyike kuona athari zake kwa wajawazito.

Watafiti wa kituo cha utafiti Kaiser kilichopo Oakland, Marekani waliwachunguza wajawazito 913 wenye mimba za umri tofauti na kugundua baadhi Wajawazito walikuwa washaharibikiwa angalau mara moja kwa vipindi vilivyopita.

Wajawazito wote walipimwa viwango vya mionzi kila siku na kifaa kijulikanacho kama Emdex Lite Meter. Watafiti walifuatilia matokeo ya kila mjamzito.

Utafiti

Watafiti waligundua wajawazito waliokuwa kwenye miali ya hali ya juu waliongeza hatari ya mimba kuharibika kwa asilimia 48 kuliko wale waliokuwa kwenye viwango vya chini.

Wajawazito waliokuwa kwenye viwango vikubwa vya miali, asilimia 24.2 waliharibikiwa mimba ikilinganishwa na asilimia 10.4 ya wale waliokuwa kwenye miali ya viwango vidogo.

Watafiti wanadai hatari hutokea bila kujali mwanamke aliwahi kuharibikiwa mimba au la. Kiongozi wa utafiti huo, Dk De-Kun Li alisema: “Utafiti huu unatoa ushahidi kwa watu kwamba miali ya usumaku huathiri afya ya binadamu kibaiolojia.”

Sababu nyingine

Nchi zilizoendelea kwenye masuala ya tiba kama Marekani wajawazito huharibika mimba kati ya asilimia 15 na 20. Nchi zinazoendelea kama Tanzania hakuna takwimu rasmi za mimba kuharibika ingawa tatizo linaweza kuwa kubwa kuliko nchi zilizoendelea.

Kitaalamu tunasema mimba imeharibika yenyewe ikiwa chini ya wiki 20 sawa na miezi mitano. Mara nyingi mimba huharibika miezi mitatu ya mwanzo ingawa mimba yaweza haribika miezi mitatu ya pili.

Mimba ikiharibika miezi mitatu ya mwanzo mara nyingi hutokana na kusababishwa na mtoto mtarajiwa. Inakadiriwa mimba nne zinazoharibika hutokea miezi mitatu ya mwanzo.

Wataalamu wanadai mimba ikiharibika miezi mitatu ya pili (kati ya wiki ya 14 na 26) basi inaweza kuwa imesababishwa na tatizo la kiafya alilonalo mjamzito. Vile vile mimba kuharibika baada ya wiki ya 26 huwa ni kwa sababu ya mfuko wa maji kupasuka kabla ya wakati kutokana na maambukizi kumzunguka mtoto. Na mara chache hutokea njia (shingo ya kizazi) inapofunguka kabla ya wakati.

Sababu za kuharibika mimba miezi mitatu ya mwanzo zinatia ndani matatizo ya kromosomu (nyuzi nyuzi katika kiini seli cha kila kiumbe ambazo hubeba viiniurithi yaani jeni), matatizo ya plasenta au kondo la nyuma.

Plasenta hupitisha lishe kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto na kuondosha taka za kimetaboli za mtoto. Plasenta huanza kufanya kazi kuanzia mwezi wa tatu wa ujauzito.

Vitu vinavyoongeza hatari ya kuharibika mimba ni pamoja na umri. Mmoja kati ya wanawake 10 wa chini ya miaka 30 huharibikiwa mimba Kwa wanawake wenye miaka 35 hadi 39 wanawake wawili kati ya 10 huharibikiwa mimba na kwa wanawake walio na miaka zaidi ya 45, zaidi ya nusu ya mimba zote huharibika.

Vitu vingine vinavyoongeza hatari ni pamoja na unene, uvutaji sigara wakati wa ujauzito, matumizi mabaya ya dawa mfano Ibuprofen au Misoprostol, kunywa kafeini zaidi ya miligramu 200 kwa siku, unywaji wa vileo uliokithiri zaidi ya viwango viwili vya vileo kwa wiki.

Kiwango kimoja cha kileo ni sawa na bia (lager) moja, mililita 25 za pombe kali (spirits) glasi ya mililita 125 ya divai au mvinyo ni sawa na kiwango kimoja na nusu. Sababu za kuharibika mimba miezi mitatu ya pili hujumuisha matatizo ya kiafya ya muda mrefu mfano kisukari, kupanda sana kwa shinikizo la damu, ugonjwa wa figo na magonjwa ya tezishingo (thyroid). Maambukizi ya magonjwa kama vile surua, Ukimwi, kaswende, kisonono na malaria pia husababisha mimba kuharibika.

Nyingine zinazochangia mimba kuharibika ni kula chakula chenye sumu au vyakula visivyoiva vizuri mfano nyama na mayai mabichi. Sababu nyingine ni kizazi kuwa na umbo lisilo la kawaida, kulegea kwa shingo ya kizazi na ovari kuwa kubwa kuliko kawaida hali inayosababisha mabadiliko ya homoni.

Kupunguza athari za WiFi, simu

Kuweka simu mbali na tumbo pia kutohifadhi simu kwenye mifuko ya nguo zao husaidia kupunguza athari kufika tumboni na kusababisha madhara kwa mtoto.

Inashauriwa uzime WiFi ikiwa huitumii hasa wakati umelala. Kuweka simu kwenye hali ya ndege (airplane mode) ikiwa huitumii. Kutumia waya wa sauti (speakerphone) wakati ukiongea, vilevile inashauriwa kutozungumza kwa muda mrefu.

Hivyo ni vyema kuwa mchaguzi bora wa maneno. Kutotumia vifaa vinavyotoa miali ya usumaku mfano kifaa chochote kinachotumia umeme unapokuwa kwenye gari kwa maana viwango vya miali vinakuwa juu tayari.

Fikra potofu

Kuongeza hatari ya mimba kuharibika hakuhusiani na hali ya kihisia ya mjamzito mfano kuwa na msongo au huzuni, kuwa na mshtuko kutokana na jambo fulani, kunyanyua vitu vizito, kufanya mazoezi mzazito ya viungo ingawa inapendekezwa kuwasiliana na daktari ili akupangie aina ya mazoezi ya kufanya kulingana na hali yako.

Nyingine ni kufanya kazi wakati wa ujauzito mfano kukaa au kusimama muda mrefu, kufanya ngono kipindi cha ujauzito, kusafiri kwa anga (ndege) na kula vyakula vyenye viungo vingi.

Napenda kuwatia moyo walioharibikiwa mimba kutoogopa kutafuta mimba tena baada ya mimba ya mwanzo kuharibika.

Msimamo wa Yanga baada ya Mwinyi Haji kuomba kuondoka

$
0
0
Katibu Mkuu wa Yanga Charles Boniface Mkwasa amesema klabu yao haijapokea barua rasmi kutoka uongozi wa klabu ya AFC Leopards ya Kenya kumtaka beki wa kushoto wa Yanga Mwinyi Haji ambaye alifanya vizuri akiwa na kikosi cha  Zanzibar Heroes kwenye mashindano ya CECAFA Senior Challenge Cup 2017 yaliyomalizika hivi karibuni nchini Kenya.

Mkwasa amethibitisha kupokea simu kutoka uongozi wa AFC Leopards lakini alipowaambia waandike barua rasmi ya kutaka kumsajili Mwinyi bado hawajafanya hivyo hadi sasa.

“Nilipokea simu kutoka kwa viongozi wa AFC Leopards lakini kiutaratibu nikawaambia watuletee barua rasmi kama wana nia ya kumtaka mchezaji ili sisi tuweze kuzungumza na mchezaji kwa ajili ya taratibu za uhamisho lakini hadi sasa hatujapata barua kutoka kwao, tumepata barua kutoka kwa mchezaji akitaka kuondoka kitu ambacho ni nje ya utaratibu”-Charles Boniface Mkwasa

“Hatumzuii mtu, sera yetu haizuii mchezaji kuondoka Yanga, Msuva alikuwa mchezaji mzuri sana kwetu lakini kwa sababu ilikuja klabu inamtaka na sisi tukaangalia kwa faida ya maendeleo yake na taifa tukamwachia akeenda Morocco sisi tumebaki tunapambana.”

“Mchezaji anapopata fursa tunamruhusu aende kwa sababu anafungua milango kwa wengine lakini hatujapata barua rasmi kutoka kwa AFC Leopards.”

Siku za hivi karibuni Mwinyi aliandika barua kwa uongozi wa klabu yake akiomba amwachie akatafute maisha sehemu nyingine kufuatia kuwekwa benchi kwa muda mrefu huku akiwa fiti na akiamini bado ana uwezo wa kucheza katika kikosi cha kwanza cha Yanga.

Katika Hili, Kwa Nini Tusiwaige Uganda?

$
0
0
Leo December 28, 2017 chama cha soka nchini Uganda (FUFA) kimemtangaza Sébastien Desabre kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Uganda kwa mkataba wa miaka mitatu baada ya mchakato wa muda mrefu ambaye kabla ya kuteuliwa kuwa kocha wa The Cranes alikuwa kocha wa Ismailia ya nchini Misri.

Mchakato wa kupata kocha wa timu ya taifa ya Uganda na namna ambavyo wenzetu walivyokuwa makini pindi linapokuja suala linalohusu timu zao taifa, mchakato huu ulihusisha hadi wataam kutoka nje ya nchi. Hapa unamzungumzia mtu kama Kalusha Bwalya ambaye historia yake katika soka la Afrika hakuna mtu ambaye haifahamu.

Kuhusika kwa Bwalya katika mchakato wa kumpata kocha wa timu ya taifa ya Uganda maana yake ni kwamba, Uganda walikuwa wanahitaji mtu sahihi wa kuifundisha timu yao. Walihitaji mtu mwenye jicho la kiufundi kwa ajili ya kuwashauri ni kocha gani atawafaa kati ya wote waliotuma maombi kuhitaji nafasi hiyo.

Sébastien akiwa na umri wa miaka 41 lakini pia ana uzoefu na soka la bara la Afrika, tayari ameshawahi kufundisha vilabu kama Esparance Sportive de Tunis ya Tunisia, Wydad Athletic Club, CRD Libolo pamoja na ACEC Mimosas kwa nyakati tofauti.

FUFA kwa kutambua kwamba makocha wazawa wanahitajika, wanampeleka kusoma nchini Marekani halafu baada ya hapo atafanya program maalum ambayo imeandaliwa na chama hicho cha soka nchini Uganda kwa lengo la kuendeleza mpira wa miguu nchini humo. Kwa hiyo Basena ambaye alikuwa kocha wa muda tangu kuondoka kwa Micho, bado yupo kwenye mfumo wa FUFA.

Download Application ya MCHAMBUZI Kwenye Simu yako Kusoma Habari za Siasa Kila Baada ya Lisaa Limoja

$
0
0
Maswala ya Siasa na Matamko ya kila siku ya Wanasiasa Hakikisha Umedownload App ya Mchambuzi Kwenye simu yako


Kama we ni Mpenzi wa Habari za Siasa Usipitwe na Hii Application ya Mchambuzi..... 

Bonyeza HAPA Kudownload kwenye Simu yako

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

VIDEO: Rais Magufuli amwagiwa sifa na Sheikh Kishki

$
0
0
Mhadhiri wa Kimataifa wa Kiislamu, Sheikh Nurdeen Kishki amemmwagia sifa Rais wa DK John Magufuli kutokana na uamuzi wake wa kupiga vita uvaaji wa nguo zisizo na maadili katika video za muziki nchini.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI..USISAHAU KUSUBSCRIBE

Lissu aunguruma kuhusu ukiukwaji wa Haki za Binadamu

$
0
0
Zikiwa zimebaki siku mbili kabla ya kuuaga mwaka 2017, Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu ametoa waraka akilaani ukiukwaji wa haki za binadamu na kuminywa kwa uhuru wa kutoa mawazo.

Waraka huo alioutoa jana Alhamisi Desemba 28,2017 akiwa katika Hospitali ya Nairobi nchini Kenya anakopatiwa matibabu tangu Septemba 7,2017 aliposhambuliwa na kujeruhiwa kwa risasi kwenye makazi yake Area D mjini Dodoma.

Lissu pia amezungumzia tukio la kutoweka mwandishi wa habari wa kujitegemea wa kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL), Azory Gwanda ambaye leo ni siku ya 39 tangu alipotoweka akiwa wilayani Kibiti mkoani Pwani anakofanyia kazi zake.

“Watanzania ambao wamekuwa wakitumia uhuru wao wa maoni kutoa mawazo wamekuwa wakikamatwa na kushtakiwa mahakamani... mwanachama wa Chadema, Ben Saanane na mwandishi wa Mwananchi (Azory Gwanda) wametoweka na hawajulikani walipo. Hakuna uchunguzi au taarifa za kutoweka kwao,” amesema.

Lissu ambaye pia ni mwanasheria wa Chadema amesema vyombo vya habari  vimekuwa katika wakati mgumu baada ya kukutana na mkono wa sheria, ikiwamo kufungiwa pale vinapoandika habari zinazotafsiriwa kuwa ni za kichochezi au uongo.

Kupitia waraka huo alioupa jina ‘Barua kutoka kitanda cha Hospitali ya Nairobi’ amezungumzia pia mambo yaliyojitokeza na yanayoendelea katika kipindi cha miaka miwili ya utawala wa Serikali ya Awamu ya Tano.

Waraka huo ameutoa siku tatu baada ya kusimama kwa mara ya kwanza tangu Septemba 7,2017 aliposhambuliwa na kujeruhiwa kwa risasi.

Amesema kumekuwa na ukiukwaji wa haki za binadamu na utawala bora, huku viongozi wa upinzani na wanaharakati wakikamatwa na kuwekwa mahabusu.

Lissu amesema kutokana na watawala kuwashughulikia wanaowakosoa, uhuru wa kutoa maoni umeminya na mijadala haipo.

“Mikutano ya kisiasa imezuiwa na polisi, viongozi wanakamatwa, wabunge nikiwemo mimi (Lissu) tumekamatwa mara nyingi kwa sababu zinazohusu majukumu yetu ya kazi,” amesema.

Amesema, ‘’Hakuna njia rahisi kufikia uhuru sehemu yoyote na wengi wetu tutapitia bonde la kivuli cha kifo kabla ya kufikia mlima wa matamanio yetu.”

Pia, amevilaumu vyombo vya dola akisema tangu Septemba 7,2017 aliponusurika kuuawa akiwa eneo lenye ulinzi mpaka sasa hakuna mtuhumiwa hata mmoja anayeshikiliwa kuhusika na tukio hilo.

Kuhusu onyo la Serikali kwa viongozi wa dini kutojihusisha na masuala ya kisiasa lililotolewa jana Alhamisi Desemba 28,2017 na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Lissu amesema ni mwendelezo wa kuwazuia watu wasitumie uhuru wao kuzungumza na kukosoa.

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

$
0
0
SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670 

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Ampa Makavu Askofu Kakobe

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amesema kuwa kuna haja kubwa ya kuyafanyia uchanguzi makanisa ili kuweza kujua makanisa halisi ili kuweza kutofatisha na mawakala wa shetani.

Ameyasema hayo jijini Arusha ambapo amesema kuwa baadhi ya makanisa yamekuwa yakiwapotosha wananchi kwa kuwajaza imani isiyokuwa ya kibinadamu.

Amesema kuwa historia ya mchungaji Kakobe inatia mashaka kwani amebeba vyeo vyote vya kanisa hata anaposafiri huwawekea waumini wake ‘Cassete’ ili wamsikilize akiwa safarini.

“Kuna watu wengine ni mawakala wa shetani, hivyo kuna kila haja ya kuanza kufanya uchambuzi wa makanisa haya ambayo yamekuwa yakipotosha Watanzania, unaofanywa na anayejiita Askofu Kakobe ni umburula,”amesema Gambo

Hata hivyo, ameongeza kuwa taasisi ya dini ina utaratibu wake inaheshimika, ina mfumo wake na inathaminika katika jamii.

==>Msikilize hapo chini

PolePole: Hakuna Kiongozi wa Dini ametishwa kwa kusema ukweli Tanzania

$
0
0
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Humphrey Polepole amewazungumzia Askofu Zakaria Kakobe pamoja na baadhi ya viongozi wengine wa dini na kusema kuwa hakuna mtu ambaye amezuiliwa kuongea Tanzania na kuwa wapo huru kutoa maoni yao.

Polepole alisema hayo juzi wakati akihojiwa na kituo kimoja cha Television na kusema hakuna mtu ambaye ametishwa kwa kusema ukweli juu ya jambo fulani ambalo huenda lipo au linatokea Tanzania.

"Hakuna mtu amezuiliwa kuongea ukweli ndani ya nchi ya Tanzania, hakuna mtu ametishwa kwa kusema ukweli na hasa katika uongozi wa awamu ya tano chini ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli, anayesema mtu Tanzania kuna mtu kazuiliwa kuzungumza uhuru wake wa maoni nadhani atakuwa na matatizo ila nachofahamu kwamba mtu kuzungumza lugha ya matusi kwa mujibu wa Katiba yetu na sheria zetu ni makosa" alisema Polepole

Polepole aliendelea kusisitiza kuwa viongozi hao wa dini wapo wazi na huru kusema chochote kile kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

"Wapo huru kusema chochote kwa mujibu wa Katiba yetu ya nchi na sheria za nchi na nitasema neno moja dogo kitu ambacho na mimi ninatoa rai, nitakapokaa vizuri nitafafanua vizuri mambo haya lakini ukiwa kiongozi yoyote yule kauli ni jambo la msingi sababu una watu wanakufuata" alisisitiza Polepole

Juzi Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Ndani, Meja Jenerali Mst. Projest Rwegasira, ilitoa onyo na kuwataka viongozi wa jumuiya za kidini kutotumia mahubiri yao ya ibada kwa kufanya uchambuzi wa masuala ya siasa.

Swahiba Amtandika Mshale Na Kumuua Rafiki Yake Kisa Deni la Sh, 4,000

$
0
0
Mkazi wa Mtaa wa Kilimahewa katika Halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara, Paul Juma (38), ameuawa kwa kuchomwa mshale na rafiki yake, baada ya kutokea ugomvi kati yao.

Inadaiwa ugomvi huo ulitokana na kumdai amuongeze Shilingi 4,000 kutokana na kumuuzia mabati manne chakavu kwa jumla ya Sh. 20,000.

Kamanda wa Polisi mkoani Mara, Kamishna Msaidizi wa Polisi Jafari Mohamed, jana alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kumtaja mtuhumiwa kuwa ni Julius Mtoni (48) mkazi wa mjini Bunda na watu hao walikuwa ni marafiki.

Kamanda Mohamed alisema tukio hilo lilitokea Desema 26 majira ya mchana wakati watu hao walipokuwa wanakunywa pombe ya kienyeji kwa mwanamke ambaye ni jirani yao.

Polisi wilayani hapa walisema Desemba 25, marehemu alimuuzia mtuhumiwa mabati manne chakavu kwa makubaliano ya kila bati Sh. 7,000.

Walisema kuwa siku hiyo mtuhumiwa huyo alimpatia marehemu Sh. 20,000 taslimu na kukubaliana kuwa atalipwa kiasi kingine cha Shilingi 8,000 kilichobakia siku nyingine.

Walisema Desemba 26 wakiwa wanakunywa pombe, marehemu alimdai mtuhukiwa amlipe Sh. 8,000 zilizokuwa zimesalia, lakini alimpatia Sh. 4,000 ndipo wakaanza kuzozana huku marehemu akishinikiza alipwe deni lake lote la Sh. 8,000.

Aidha, ilielezwa kutokana na kutokuelewana, marehemu alianza kumkaba mtuhumiwa, kisha kukimbilia nyumbani kwake na kuchukua upinde na kumfyatulia mshale ambao ulimpata begani.

Polisi walisema kuwa baada ya marehemu kuchomwa mshale huo aliuvunja na kubakiza kipande cha mshale huo mwilini mwake na kukimbilia polisi, lakini  alipoteza maisha kutokana na kutokwa na damu nyingi.

“Baada ya kuchomwa mshale huo marehemu aliuvunja na kubakiza kipande kikiwa mwilini mwake na kuja hapa polisi kisha hospitalini, lakini taarifa ya hospitali inaeleza alikufa baada ya kutokwa na damu nyingi,” alisema ofisa mmoja wa polisi ambaye hakuwa tayari kutaja jina lake kwa madai sio msemaji wa jeshi hilo.

Esma Platnumz Aanika Siri ya Kuikacha Party ya Zari Uganda

$
0
0
ZARINAH Hassan ‘Zari’ na wifi yake Esma Abdulkadir ‘Esma Platnumz’ wamedaiwa kuwa kwenye bifu zito ndani ya kipindi chote cha mwaka 2017 ambapo kitendo cha Esma kuikacha pati ya mtoto wa Zari, Nillan iliyofanyika juzikati kule Sauzi kinatajwa kuchangiwa na kutoiva kwa wawili hao, Risasi Jumamosi linakupakulia hii kinagaubaga.

Kikilimwagia ubuyu gazeti hili, chanzo kilicho karibu na wawili hao kilichoomba hifadhi ya jina lake kilidai kuwa, tangu kipindi kile Esma amshike Mobeto hadi kufikia hatua ya kuzaa na kaka yake, Zari amekuwa akimchukia na ndiyo sababu kubwa ya kutoiva kwao.

“Esma na Zari bado hawako vizuri kabisa, yaani ule ushosti wa Esma na Mobeto ndiyo chanzo, ukimuuliza Esma atakwambia yuko vizuri na Zari lakini ukweli hawako poa na ndio maana ile pati ya juzi kule Sauzi wameenda ndugu karibia wote lakini Esma aliikacha,” kilidai chanzo hicho.

Mrembo Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’.
Baada ya ubuyu huo kumwagwa kwenye meza ya gazeti hili, hatua iliyofuata ni kumtafuta Esma ili kufungukia madai hayo, ambapo alipopatikana alisema anajua wengi wataongea wanavyojua kuhusu yeye kutoenda kwenye pati hiyo, lakini ukweli ni kwamba, biashara yake mpya ya duka aliyofungua ndio sababu.

“Nisingeweza kuiacha biashara yangu ya duka ambalo nimelifungua hivi karibuni alafu niende kwenye pati, wateja wangu wasingenielewa kabisa na ningerudi ingenichukua muda kuwarejesha. “Watu wanapenda kuongea sana, mimi na Zari wala hatuna tatizo lolote, kama hamuamini siku nyingine akiandaa pati nitaenda tu,” alisema Esma.
STORI NA IMELDA MTEMA

Maimatha 'Nitaendelea Kumfunda Hamisa Mobetto'

$
0
0
MTANGAZAJI maarufu Bongo, Maimartha Jesse ameibuka na kusema ataendelea kumfunda mwanamitindo Hamisa Mobeto ingawa amemjibu vibaya, kwani alichoamua ni kumshauri kwani anaona anakoelekea siko.

Akiongea na Risasi Jumamosi, Maimartha alisema kuwa alimshauri Hamisa kuwa makini kwani kuwa mgeni rasmi kwenye tamasha la Gal Power lililofanyika Uganda hivi karibuni halikuwa na hadhi yake na ilionekana yupo kwenye kushindana na Zarinah Hassan ambaye hamuwezi.

                           
“Kiukweli niliamua kumshauri na nitaendelea kumshauri ingawa alinijibu vibaya, lakini naamini ujumbe umemfikia na anatakiwa ajirekebishe na lile tamasha halikuwa na hadhi yake,” alisema Maimartha.

Hata hivyo, Maimartha alisema ataendelea kuwapa Kitchen Party mastaa mbalimbali ambao wanaonekana kwenda kinyume na wanavyotakiwa kuwa na anaomba watu mbalimbali wanaokerwa na tabia zao wapige kelele za kupinga ili zisiendelee.
Na Gladness, Mallya

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo


Kutana na Sharifu Juma Mohamedi Mtabiri Wa Nyota Za Binadamu Duniani

$
0
0
KUTANA NA SHARIFU JUMA MOHAMEDI NIMTABIBU WANYOTA ZA BINANADAM DUNIANIKOTE RUDISHA MAHUSIANO NA MPEZIWAKO NDANI YA MASAA (72) TU SHARIFU JUMA MOHAMED ANATIBU MARADHI SUGU KAMA VILE MIGUU KUUMA NA KUWAKAMOTO PRESHA KISUKARI VIDONDA VYATUMBO PUMU NA TEZI NA UVIMBETUMBONI

ANAUWEZO WAKURUDISHA MTUALIE A KIMAZINGIRA (MSUKURE) KUMFANYA MUME MKE MPENZI ASIKUSALITI DAWA YA (LIMBWATA) KUMTAWALAMPENZIWAKO UNAVYOTAKA KUMUONA MBAYAWAKO LIV KWASABABU MAALUM ANATOA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA PESA BILA YA MASHARITI NA ITAKUONGOZA KATIKA SHUGURI ZAKO NAKUMILIKI PESA ZAMAJINI DAWA YA UZAZI KWAKINAMAMA KUSHIKA UJAUZITO NDANI YASIKU 14 UWELEWA WAMASOMO DARASANI PAMOJA NAKUFAULU MITIHANI DAWA YA NGUVU ZAKIUME NAKUREFUSHA UUME SAIZI UIPENDAYO KAMA UMEIBIWA AMA KUDHULUMIWA UTARUDISHIWA MALIYAKO NDANI YAMASAA(24) ANAFUNGAKESI NAKUPATA HAKIYAKO DAWA YA MVUTO WABIASHARA KUUZA MALI YAKO KWA HARAKA PIA ANAWEKA KINGA KWENYE SHAMBA NYUMBA KIWANJA NA KWENYE VYOMBO VYAUSAFIRI

KUZUIYA CHUMA ULETE KUSAFISHA NYOTA NAKUONDOWA MIKOSI PIA ANA PUNGA MARUHANI ANATOWA MAJINI MACHAFU DAWA YA KUACHAPOMBE NASIGARA UTAPATA HUDUMAHII POPOTE ULIPO DUNIANI


CALL OR WHATSAPP+255713679496 

UVCCM: Huu si Wakati wa Kuabudu Cheo cha Mtu

$
0
0
Mwenyekiti wa Umoja wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Kheir James, amesema wakati wa kufanya kazi kwa woga ndani ya umoja huo umepitwa na wakati.

Akizungumza na wanachama wa CCM na jumuiya zake visiwani Zanzibar, alisema huu ni wakati wa kufanya kazi kwa ushirikiano badala ya kumuabudu mtu kutokana na cheo chake.

Alisema kiongozi anayejitambua ni yule anayefanya kazi kwa maslahi ya vijana wenzake na kilichobaki kwa sasa ni kupambana ili jumuiya hiyo ya vijana iweze kufika mbali kwa maslahi ya vijana na taifa kwa ujumla.

Aidha, alisema wakati wa vijana wanaopenda kulalamika umefika mwisho hivyo ni vyema wakajitahidi kufanya kazi bila ya upendeleo na woga.

Aliwataka viongozi wenzake katika jumuiya hiyo kuanza kuhakiki mali za chama na aliyekuwa haendani na kasi ya chama hicho awapishe wanaoweza.

"Umegombania nafasi na tumekupa, sasa tufanyeni kazi ili vijana wajue thamani ya uongozi," alisema.

Kheir alisema uhakiki wa mali za chama hicho kwa upande wa Zanzibar utafanywa na Wazanzibari wenyewe na atahakikisha anapatiwa ripoti ya uhakika kwenye taarifa watakazozipeleka kwa uongozi wa juu na uhakiki wa watumishi hewa pia utaangaliwa.

Makamo Mwenyekiti wa Umoja huo, Tabia Maulid Mwita, alisema yupo tayari kufanya kazi kwa ushirikiano wa hali ya juu na vijana wote na kuwashukuru kwa kumchagua kushika nafasi hiyo na kuendeleza ahadi zake alizoziahidi kipindi cha kampeni.

Aidha, aliwataka vijana kuacha makundi kwa kuwa uchaguzi umekwisha hivyo atahakikisha haki inatendeka bila ya kumuonea mtu wala kujali cheo chake na kufanya maamuzi kwa matakwa yake bila ya kumshauri mtu.

"Vijana ndio jeuri ya chama ila kwa anayejitambua na sio kukaa kutukana katika majukwaa kijana mzuri ni yule anayependa kusikiliza ushauri wa wakubwa wake," alisema.

Mapema akitoa utambulisho kwa viongozi, Kaimu Katibu wa Umoja huo Zanzibar, Abdulghafar Idirissa Juma, alisema Umoja huo utaangalia upya vitega uchumi vyake ili viweze kuleta tija kwa wanachama na kuiendeleza jumuiya yao.

Akizungumzia mradi wa Darajani alisema kuwa ulihodhiwa na baadhi ya viongozi wa serikali hivyo alimtaka Mwenyekiti wa Umoja huo kulifuatilia suala hilo ili mipango iendelee na mradi huo uweze kuleta tija kwa vijana na taifa kwa ujumla.

Hatimaye Ndoto Imetimia..Jack Wolper Kufunga Ndoa

$
0
0
BAADA ya kupitia misukosuko mingi katika mahusiano ya kimapenzi, malkia wa fashion na mkali wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper huenda akafunga ndoa hivi karibuni mara baada ya kuanika mipango yake ya kwenda kumtambulisha mpenzi wake kwa wazazi.

Japo hajataja jina, Wolper ameeleza kuwa mpenzi wake huyo ameridhia suala hilo kwani naye pia alikuwa akilihitaji toka mwanzo huku akibainisha kuwa amejifunza kunyamaza bila kuweka hadharani mahusiano yake na siku ya leo ndipo anatarajia kumtambulisha nyumbani kwao, Moshi na taratibu nyingine kama mahari kufuata.

ALICHOKIANDIKA WOLPER

Wewe ni mwanaume ambae umejitoa ili tu niwe wako, umetaka tufike mbali kwanza kabla ya mambo mengine (uwende kwa wazazi, (NDOA) pamoja na kwamba mahusiano yangu ya nyuma yalikuwa yana misukosuko mingi ila umemthamini Jacq. Nilipotoka niliteswa sana na mapenzi yaani usaliti, dharau, kukosa na mapenz ya dhati.

“Pamoja ya kuwa pia alishatokea mmakonde na kunipeleka mapaka Mtwara na matembele nikachuma na wanakijiji kunipokea na kupikia familia na kutambulishwa kwa wazazi lakini sikufanikiwa kufikia hatua hii ambayo umefika, umenijali na umenisikiliza nilipokwambia sihitaji mtu bali nahitaji future husband,” ameandika Wolper.

Kabla ya Mwaka 2017 kuisha, Umeouna Usia Aliouandika Shettah kwa Mwanae?

$
0
0
Kama ni mpenzi na mfatiliaji wa maisha ya Mastaa na Familia zao nakusogezea hii ya Shettah aka Baba Qayllah ambaye kupitia ukurasa wake wa Instagram ameamua kumuandikia mwanae wosia  juu ya maisha yake ya baadae, Shettah kaandika:
‘Mwanangu Najua kuna watu wanakusubiri subiri ukue kue walete mambo yao ya Kukunyapia nyapia Sasa ninachokuhusia mwanangu Baba Yako nina kila kitu asijudanganye Mtu ukaingia laini ukakazika kijinga jinga Kaza mwanangu’.

Shettah kwa sasa ni baba wa watoto wawili wa kwanza ni Qayllah na wa pili ni Qamrah.

Chid Benzi Kwa Freestyle Ameshindikana..Mtazame Hapa Alivyokivuruga Dakika Kumi za Maangamizi

$
0
0
Chid Benzi ame free style kwa dakika 10 za maangamizi ndani ya Planet Bongo ya East Africa Radio bila kuchoka na kutoa mistari kichwani hapo hapo.

VIDEO:

Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images