Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104689 articles
Browse latest View live

Pata Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0

MHULI: Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.


Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi?

Wasiliana na Nasi kwa Namba;0783140065 

Msimamo wa CUF baada ya CCM kumteua Mh. Mtulia kugombea jimbo la Kinondoni

$
0
0
Chama cha Wananchi (CUF) kimesema Kuwa kinapenda kuwataarifu Watanzania watambue kua Mh.Mtulia si Mwanachama wa chama hicho na katika hali hiyo, Cuf hawezi kua na sababu yoyote ya kushangazwa na uteuzi huo.Kauli hiyo imekuja baada ya waandishi kutaka kujua msimamo wa chama hicho.

Waheshimiwa Watanzania, tumepigiwa simu na Wanahabari kutaka kujua msimamo wa CUF kuhusu uteuzi uliofanywa na CCM dhidi ya Maulidi Saidi Mtulia kugombea Jimbo la Kinondoni. Kwa tunapenda Watanzania watambue kua Mtulia si Mwanachama wa CUF na katika hali hiyo, Cuf hawezi kua na sababu yoyote ya kushangazwa na uteuzi huo.
Pili Watanzania wanapaswa kutambua kwamba CCM kama Chama wanayohaki ya kumsimamisha Mtulia kua ni Mgombea wao japo Uamuzi huo unaweza kua na mtimanyongo kwa wanaccm na hata wasiokua wanaccm kutokana na tamaduni za CCM au historia ya Mtulia mwenyewe kwakua kabla hajajiuzulu alishakua Mbunge.

CUF – Chama cha Wananchi kinamtazama Mtulia kama CHAMBO KWENYE NDOANO YA KUVULIA SAMAKI, Mtulia ni kivutio cha Utalii, ili Mbuga ya Wanyama itembelewe na Watalii wengi lazima pawepo na kivutio. Uteuzi wa Mtulia utawavuta wengi kwenye CCM wakiwa na Mategemeo kua na wao wakifanya kama alichofanya Mtulia basi watateuliwa kua Wagombea kwenye Majimbo yao ya awali. Lakini Chambo kwenye NDOANO ni ngumu kumpata ila anarahisisha kuvuliwa au kupatikana kwa Samaki wengi. CUF – Chama cha Wananchi kitawashinda Wagombea wa Vyama vingine wataoshiriki kwenye Uchaguzi huo. Tumeshaanza maandalizi muda mrefu na tuna Mgombea mzuri, tuna uhakika wa kushinda kwenye Jimbo hilo la Kinondoni.
Wito wetu kwa Watanzania wajitokeze Kwa wingi kupiga Kura za kukataa Matumizi mabaya ya Fedha za Umma yanayofanywa na Maulidi Mtulia kwa kutuingiza kwenye Uchaguzi usiokua wa lazima na CCM nayo kuridhia Matumizi hayo kwa kurejesha jina la Mtulia kugombea nafasi ambayo alikua nayo hapo awali. Haya ni matumizi mabaya yalioridhiwa na CCM kwa kumrejesha Mtulia kama Mgombea wa Jimbo la Kinondoni kupitia CCM.
Watanzania bado tunachangamoto nyingi katika sekta mbali mbali kama vile Elimu, Afya na Miundombinu duni ndani ya Nchi yetu ambapo Fedha hizi za Uchaguzi zingeweza kuelekezwa huko. Kataaeni Matumizi haya kwa kushiriki kikamilifu kwenye Marejeo ya Uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Mwezi February

Lissu: Namsubiri Spika Ubelgiji.....Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya January 7

SoudyBrown Afanya Utani Mkali kwa Idris Baada ya Kupiga Picha Nusu Utupu

$
0
0


Baada ya Bongo superstar (Comedian) Idriss kupata dili kutoka kwa calvin klein nakuanza kupost picha akiwa amevaa boksa ambapo awali wengi walimshambuliwa kwa muonekano huo, na baadae kupost kwenye ukurasa wake wa instagram na kusema kuwa pamoja walimwambia kuwa anakiba.....

utani huo umezidi kushika hatamu kwenye mtandao huo wa kijamii wa instagram baada ya mtangazaji  soudybrown kupost picha ambayo imeonyesha tafsiri ya maajibizano ambayo yalikuwa yanaendelea.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0

Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi?

Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Wanafunzi 400 wa Chuo Cha Elimu Dar es Salaam (DUCE) Wajitolea Kufundisha Shule Mbalimbali

$
0
0

Jumla ya wanafunzi 400 wa Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu Dar es salaam (DUCE) wamekubali kujitolea kufundisha shule mbalimbali za Manispaa ya Temeke.

Akiongea leo na Kurasa mara baada ya kumalizika kwa semina ya maadili na miiko ya taaluma ya ualimu, mwanzilishi na mratibu wa zoezi hilo Mwl. Amijidius Cornel amesema wanakabiliwa na changamoto ya nauli.
''Tuna changamoto zinazotukabili katika utekelezaji wa majukumu yetu haya ya kufundisha kwa kujitolea hivyo tunaomba serikali itufadhili nauli ili tuweze kuzifikia shule nyingi zaidi'', amesema Mwl. Cornel.
Baada ya kupata semina kuhusu maadili ya ualimu leo, wamesema wamekamilika na wapo tayari kuitumikia elimu ambayo wameipata ili kujijenga na kupata uzoefu utakaowasaidia kuwa bora zaidi hata pindi watakapopata ajira rasmi.
Muhula wa masomo kwa mwaka 2018 unatarajiwa kuanza rasmi Jumatatu ijayo, Januari 8 ambapo walimu hao wataanza kazi katika shule mbalimbali za Manispaa ya Temeke.

Fahamu Aina Aina Za Kuku Na Faida Zake

$
0
0

Kuna aina mbalimbali za kuku ambazo mfugaji anaweza kufuga na kila aina inategemeana na malengo ya mtu husika anayetaka kufanya shughuli hii ya ufugaji, hivyo leo nimekuletea  makundi makuu manne ya kuku ambayo tunayafuga hapa Tanzania.

KUKU WA NYAMA.
Hii ni moja ya kundi la kuku ambalo linafugwa sana hapa nchini na kuku hawa wanafugwa kwa malengo ya kuzalisha nyama tu. Uzalishaji wa kuku hawa wanachukuliwa kuku wazazi kutoka nje ya nchi na kuhifadhiwa sehemu maalumu kwa ajiri ya kuzalisha mayai na mayai yanatotoreshwa na kupata vifaranga kwa ajili ya nyama ,

Faida ya kuku hawa.
Faida ambayo utaipata kama mfugaji ni kuwa kuku hawa hufugwa kwa mda mchache muda wa miezi miwili au mitatu na kuuzwa kwa ajili ya matumizi ya nyama, hivyo ni sehemu nzuri yakujipatia kipato na kunufaika na ufugaji wako kwa muda mfupi.

Zingatia.
Gharama za kuwalea kuku hawa ni kubwa kidogo hivyo unapoamua kufanya ufugaji kwa ajili yakupata tija katika kukuza kipato chako ni muhimu ukafuga kuku wengi kwa wakati mmoja hii itakufanya upate faida nzuri kuliko kufuga kuku wachache na ukapata hasara na kuona ufugaji haulipi kumbe wewe mwenyewe haukuwa na taarifa kamili kuhusu ufugaji wako.

Muhimu.
Ni  muhimu sana kutunza kumbukumbu za gharama za matumizi katika mradi wako wa kuku ili pale utakapo uza uweze kujifanyia tathmini na kujua umepata faida au hasara katika mradi wako.

KUKU WA MAYAI.
Hawa ni aina ya kuku ambao hufugwa kwa malengo maalumu ili kuzalisha mayai, kuku hawa wanataga kwa wingi sana mayai na wanataga bila jogoo, kuku hawa wamendaliwa vizuri kwa ajili ya kutaga tu hivyo kama utaamua kuwawekea jogoo watataga na kuatamia  lakini vifaranga wake watakuwa hawana ubora ule unaotakiwa.

Faida ya kuku hawa.
Kwakuwa kuku hawa ni watagaji wazuri wa mayai basi wanampatia mfugaji uhakika wa kipato kwa kila siku hadi pale atakapofikia mwisho wa mradi wake, yaani miaka miwili.

Zingatia.
Ili kupata faida iliyokusudiwa katika mradi wako huu wa kuku unatakiwa uwape chakula bora na cha kutosha pia  uzingatie chanjo na tiba kwa magonjwa pale unapoona dalili ya magojwa.

Muhimu.
Ufugaji wakuku ni moja ya aina ya miradi yenye faida nzuri iwapo tu mfugaji atazingatia kanuni bora za ufugaji. Ufugaji huu ili ukuletee tija ni muhimu ukafuga kuku wengi angalau mia tatu na kuendelea hapo utaiona faida yake nzuri.

KUKU CHOTARA.
Hawa ni aina ya kuku ambao wamechanganya aina fulani ya kuku na aina nyingine ya kuku na kupata aina moja ya kuku, mfano: amechukuliwa jogoo  wa kienyeji akachanganywa na tetea wa kisasa na  vifaranga vitakavyotoka vitakuwa chotara kwa maana watakuwa na sifa baadhi za kienyeji na sifa baadhi za kisasa.

Kuku hawa kwa hapa nchini wapo wengi na kuna makundi mbalimbali ya kuku kulingana na asili na mahali walipo tokea, mfano: MALAWI, KENBRO, SASO na KROILA na hawa wanatofautiana sifa na asili.

Faida ya kuku chotara.
Hapa nitataja kwa ujumla faida zote ila wakati mwingine nitachambua aina moja moja ya kuku chotara.


Wanakuwa kwa haraka na wanakuwa na maumbo makubwa tofauti na kuku wakienyeji hivyo ni wazuri sana kwa nyama.
Ni watagaji wazuri sana tofauti na kuku wakienyeji (kuku hawa ukuwahudumia vizuri wanataga mayai kati ya 180-300 kwa mwaka hivyo ni wazuri sana kwa mayai.
Wanaishi kwenye mazingira yeyote yale kwa maana wanaweza kuishi vizuri wakiachiwa kujitafutia chakula.
Wanastahimili sana magonjwa (chanjo ni Muhimu kuwapa)  tofauti na kuku wa nyama au wa mayai.
Nyama yao ni nzuri sana haina tofauti na kuku wakienyeji.
Wanauzito  mkubwa kuku mmoja anafika hadi kilo sita.
Soko lake ni kubwa.


KUKU WAKIENYEJI.
Hawa ni kuku ambao asili yake ni hapa hapa Tanzania na tunao katika maeneo mengi ya nchi yetu, kuku hawa wanakuwa wana maumbo madogo kulinganisha na kuku chotara, pia kuku hawa  hawakui kwa haraka ukilinganisha na kuku chotara,  aina hii ya kuku hutaga mayai machache sana kwa mwaka na wanataga mayai kati ya 40-120.

Faida ya kuku hawa.
Kuku hawa wanafugika katika mazingira yeyote yale kwa sababu ni wazuri kujitafutia chakula, ili upate faida nzuri ya mradi wako wa kuku huo unashauriwa kuwapa chakula cha ziada ili waweze kukua kwa haraka na kuwa na uzito mzuri.


Kuku hawa hawana gharama hivyo nashauri kama una eneo zuri ni muhimu ukaanza ufugaji wa kuku hawa kwa sababu hawana shida katika ufugaji wake.
Kuku hawa wanapendwa sana hapa nchini kwa sababu ya nyama na mayai yake kuwa mazuri sana na ni kuku wa asili hivyo tunaamini hawana kemikali na hii ni kweli kabisa,
Hizi ni aina mbalimbali za kuku katika nchi yetu na jambo la muhimu kuangalia malengo yako na uhitaji ya jamii husika jambo nzuri na lakuvutia ni kwamba aina hizi za kuku zinafugika katika maeneo yetu yote ya nchini hivyo angalia mazingira yako na anza kufanya ufugaji.

Kocha Zinedine Zidane wa Madrid Adhibitisha Ronaldo Ataendelea Kubaki Madrid

$
0
0

Baada ya kuwepo kwa habari nyingi kuhusu Ronaldo kutaka kuondoka Real Madrid, hatimaye kocha wa mabingwa hao wa Hispania Zinedine Zidane amesema nyota huyo hataondoka.

''Ronaldo kuondoka Madrid ni jambo la kufikirika, siwezi kuifikiria Real Madrid bila Ronaldo, lakini nina uhakika kuwa mpango wa Ronaldo ni kumalizia soka ndani ya klabu hii'', amesema Zidane mchana huu mbele ya wanahabari kuelekea mchezo wa La Liga dhidi ya Celta Vigo.
Zidane amelazimika kuongelea suala hilo baada ya siku za hivi karibuni kuwepo kwa taarifa kuwa nyota huyo wa Ureno anashinikiza kupatiwa mshahara mnono utakao mfanya kuwa mchezaji anayelipwa zaidi duniani tofauti na hivi sasa ambapo anazidiwa na mpinzani wake Lionel Messi pamoja na Neymar Jr.
Ronaldo mwenye miaka 32 ambaye pia ni mfungaji bora wa muda wote wa klabu hiyo alisaini mkataba mpya mwaka 2016 unaomweka klabuni hapo hadi mwaka 2011.

Chunga Sana Matumizi Haya Ya Pesa Ili Yasikupoteze

$
0
0

Kitu cha msingi unachotakiwa kuzingatia wakati unatumia pesa zako, ni ubora wa vile vitu ambavyo unakwenda kuvipata wakati unatumia pesa zako.

Kama unatumia pesa zako kwa vile vitu ambavyo viko bora wakati wote, basi pesa zako wakati wote ziko salama na zitakusadia kupiga hatua ya aina fulani.

Kama unatumia pesa zako kwa mambo ya hovyo hovyo basi hata kama kipato chako ni kikubwa kiasi gani, pesa hizo utakuwa unazipoteza tu bure na hakuna unachofaidi.

Wakati wote unatakiwa kuzingatia ni kwa namna gani unafanya matumizi yako kwa ubora, ikiwa unafanya matumizi yako kwa ubora utajiweka kwenye wakati bora pia.

Watu wengi wanajikuta wameishia na hawana kitu kwa sababu ya kufanya matumizi yasiyo ya msingi, bali wanafanya matumizi ya kuwabomoa.

Kila wakati chunga matumizi yako na hakikisha unajua pesa zako zinakwenda wapi kila siku iitwapo leo.

Kutumia zako hovyo, huko ni kujitakia majanga yaw ewe kuweza kuishia kwa baade. Tumia pesa zako kwa busara nazo pia zitakulinda.

Fahamu Ugonjwa wa Warts au Sunzua Unaoathiri Sehemu Za Nyeti Za Wanaume Na Wanawake

$
0
0

Ni ugonjwa ambao pia unaweza ukatokea kwenye kiungo chochote cha mwili kama vile usoni na mikononi.

Zinaa ni miongoni mwa magonjwa ambayo yanaongezeka kila siku na sababu kubwa ni jamii kutokuwa na utaratibu wa kupima afya mapema na hivyo kuchelewa kupata matibabu sahihi. Matokeo yake ni kusababisha madhara makubwa.

Warts ni miongoni mwa magonjwa hayo. Watu wengi waliopatwa na ugonjwa huo hawaonyeshi dalili zozote.

Daktari bingwa wa Magonjwa ya Uzazi na Ngozi wa Kituo cha Magonjwa ya Maambukizi (IDC), Dk Goodluck Mushi anasema ugonjwa wa Warts unaoambukizwa kwa njia ya kujamiiana.

Dk Mushi anasema Warts kwa jina jingine ni nyama zinazotokea sehemu za siri katika uume au uke au ndani ya uke pia katika haja kubwa sehemu ya pembeni au katika mashavu ya ukeni.

Ugonjwa wa Sunzua ama warts husababishwa na virusi aina ya Human Papilloma (HPV), ambavyo husambaa kutoka kwa mtu mmoja mpaka mwingine kwa njia ya kujamiiana kunakohusisha njia ya haja kubwa, uke au ngono ya mdomoni.

Anasema mbali na sehemu hizo pia sunzua hutokea pembeni ya mdomo au katika ulimi.
Anasema kati ya watu 100 wenye magonjwa ya zinaa, 40 wana virusi vinasababisha ugonjwa huo wa warts.

Anasema asilimia kubwa ya watu wanaougua ugonjwa huo ni wanawake kutokana na maumbile yao.

Kwa upande wa mwanaume anapata kutokana na michubuko na hivyo virusi hivyo huingia katika njia ya mkojo na mwanaume anaweza kumwambukiza mwanamke kwa kumwagia mbegu.

Hali ikoje mikoani?
Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Watoto kutoka Hospitali ya Wilaya ya Bariadi, Dk Nicholas Mbasa anasema kati ya wanawake 200 ambao walifika katika hospitali hiyo kutibiwa asilimia 38 waligundulika kuwa na ugonjwa wa Warts katika kipindi cha mwaka 2013 pekee.

Dk Mbasa ambaye pia ni specialist wa Magonjwa ya kifua kikuu na ukoma anasema tatizo la ugonjwa huo linaongezeka kila siku kutokana na uelewa mdogo kwa baadhi ya jamii.

Anasema baadhi ya wanaume walio katika ndoa ambao huomba kufanyiwa tohara katika hospitali hiyo, wengi wao wanakutwa na ugonjwa huo na kuanzishiwa matibabu.

Mikakati kuukabili
Dk Mbasa anasema moja kati ya mikakati inayoendelea kwa nchi nzima ni katika kupambana na ugonjwa huo ni kutoa elimu na kuhamasisha jamii kwenda katika vituo vya kutolea tiba kwa ajili ya uchunguzi na tiba sahihi.

“Vilevile tunaendesha kampeni za tohara kwa wanaume kwani wanaume wanaotahiriwa hupunguza uwezekano wakupata warts kwa asilimia 77 hadi 95, huku upande wa maambukizi ya VVU, mwanamume ambaye amefanyiwa tohara hupunguza uwezekano wa kupata VVU kwa asilimia 60,” anasema.

Kundi hatarini
Daktari bingwa wa magonjwa ya kuambukiza na yasiyoambukiza kutoka Kliniki ya MediCorps, Francis Makwabe anasema watu walio na umri kuanzia miaka 14 hadi 35 wapo katika hatari ya kupata ungojwa huo hususan wanawake waliovunja ungo na wale walikatika umri wa kuzaa.

Dk Makwabe anasema wenye mimba wapo katika hatari ya kupata sunzua kwa sababu mama mjamzito anakuwa na upungufu wa kinga ya mwili.

Vilevile, anasema wagonjwa wa kisukari wapo katika hatari ya kupata ugonjwa huo kutokana na kupungua kwa kinga ya mwili pamoja watu wanaotumia dawa kali. Kundi jingine lililopo katika hatari ya kupata warts, analitaja ni la wale wanaofanya mapenzi kwa njia ya mdomo, kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja na kufanya ngono kinyume cha maumbile.

Mbali na kundi hilo vilevile watoto wadogo wanaweza kuambukizwa ugonjwa huo kwa kufanyiwa vitendo vya ubakaji.

Dalili zake:

Moja kati ya dalili za ugonjwa huo ni kuwa na vinyama au vinyuzi nyuzi mithili ya taulo laini katika sehemu za siri ambapo mara nyingi huwasha wakati wa joto au unaponyoa nywele sehemu za siri.
Vinaweza kuota pia kwenye ulimi, mashavu ya uke, mapajani, katika lips za mdomo na usoni.
Vinyama hivyo pia vinaweza kutokea usoni, hasa sehemu karibu na kope ama maeneo mengine kama vile vidole vya miguu na mikono.


Madhara
Warts inaweza kubainika kwa vipimo vya maabara. Warts zikitokea katika shingo ya kizazi, inaelezwa kuwa inasababisha saratani ya kizazi kwa wanawake na kwa upande wa wanaume inasababisha kansa kwenye sehemu ya njia ya mkojo.

Anasema mtu wenye maambukizi ya virusi vya Ukimwi yupo katika hatari ya kupata ugonjwa huo kwa sababu nyama hizo huota na kukua kwa haraka kutokana na upungufu wa kinga iliyoshuka.

Matibabu
Dk Mushi anasema licha ya ugonjwa huo kusababisha madhara kwa binadamu, ikiwamo saratani na kukosa mtoto, lakini unatibika ikiwa mgonjwa atawahi matibabu.

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

Wasiliana nasi +255 622588038au 0679119679 au +255 764318107

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Wanafunzi Watano Wakamatwa kwa Kupata Mimba

$
0
0
Jumla ya wanafunzi watano wa kike wa shule za sekondari Tandahimba waliopata mimba mwaka 2017 wamekamatwa pamoja na wazazi watano baada ya kufanyika msako na kufanikiwa kukamatwa kwa watu hao.

Katibu Tawala wa wilaya ya Tandahimba, Mohamed Azizi amesema hayo jana Jumamosi kwa niaba ya mkuu wa wilaya hiyo, Sebastian Waryuba baada ya kufanikiwa kuwakamata wanafunzi hao wakiwa na watoto wao huku wahusika ambao wamewasababishia kukatiza masomo yao kutokomea kusikojulikana.

“Tumefanikiwa kuwakamata wazazi na wanafunzi watano wakiwa wamejifungua kati yao  mmoja ameacha shule akiwa kidato cha nne, huku mwingine tatu na kidato cha pili baada ya kuzungumza nao wote wamesema hakuna hata mmoja ambaye anapata huduma kutoka kwa wahusika ambao wamewapa mimba hali ambayo inawapa shida wazazi wao kuwahudumia,” alisema Azizi

Kwa upande wake Ofisa Mtendaji wa Kata ya Mkolea, Selemani Abduli amesema baada ya kupata taarifa kutoka kwa mkuu wa shule hatua ambazo amezichukua ni kuwakamata wahusika wote wawili na kuwapeleka katika kituo cha polisi kilichopo wilayani humo.

 “Hatua ambayo nilichukua baada ya kupata taarifa kwa wakuu wa shule ni kuwatafuta wanafunzi ambao wamepata ujauzito pamoja na wahusika kuwapeleka kituo cha polisi lakini wahusika wakifika kituo cha polisi waliachiwa,” alisema  Abdul

Akizungumzia tukio hilo mmoja wa mzazi ambaye mwanaye amekatiza masomo yake kutokana na kupata ujuzito Hassan Mfaume amesema amesikitishwa baada ya kusikia mwanaye amepata ujauzito hali ambayo imepelekea kukatiza masomo yake.

Sekondari za Azania, Jangwani, Milambo Zapigwa STOP Kufunguliwa Kesho

$
0
0
Serikali imelazimika kusogeza mbele tarehe ya kufungua shule kwa shule za Azania, Jangwani na Milambo kutokana na Wakala wa Majengo(TBA), kushindwa kumaliza ukarabati huo kwa muda uliotakiwa.

Uamuzi huo ulifikiwa jana  Jumamosi jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia. Leonard Akwilapo alipokutana na walimu wa shule hizo na viongozi wa Manispaa ya Ilala.

Akwilapo alisema kitendo hicho hakijamfurahisha na kuahidi kufuatilia kwa mara nyingine mkataba wa namna ya utekelezaji wa ukarabati huo walioingia Wizara na TBA.

"TBA mnapaswa kujua mmepewa jukumu hili kwa kuwa Serikali imewaamini, lakini hii isiwe kisingizio cha nyie kuvurunda kwa kisingizio tu ni taasisi ya Serikali nitapitia tena upya na mwanasheria wetu mkataba tulioingia kuona ni wapi watu hawakutekeleza wajibu wao na hatutasita kuchukua hatua tutakapobaini kuna tatizo," alisema.

Hata hivyo, alisema pamoja na kuongeza siku hizo ambapo sasa badala ya kufungua shule kesho Jumatatu, watafungua Januari 22, hataongeza siku zaidi na kuwahakikishia walimu kwamba muda walioupoteza wa ratiba za kufundisha zitafidiwa katika likizo ya Aprili na ile ya Juni.

Akijibu sababu zilizowachelewesha kumaliza ukarabati huo kwa muda, Kaimu Meneja wa TBA Mkoa wa Dar es Salaam,  Manasseh Shekalaghe alisema zipo sababu nyingi zilizochelewesha ikiwemo gharama kuongezeka tofauti na ilivyodhaniwa awali.

VIDEO: Hivi Ndivyo ilivyokuwa Safari ya Tundu Lissu Ubelgiji Kwenye Matibabu..Amefika Salama

$
0
0
MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, amewasili salama nchini Ubegiji alikokwenda kwa matibabu.

Taarifa kutoka kwa mmoja wa maofisa wa serikali nchini humo zinasema, Lissu aliwasili kwenye uwanja wa ndege wa Zaventem, majira ya saa 11:40 ya jioni ya leo Jumamosi.

Lissu aliingia nchini humo kwa ndege ya shirika la ndege la Uholanzi (KLM), ambayo ilimchukua kutokea Amsadam, Uholanzi.

Mwanasiasa huyo machachari wa upinzani nchini, alianza safari yake ya matibabu ya tatu kutokea Nairobi, Kenya.

Aliondoka nchini Kenya kwa ndege ya shirika la ndege la nchi hiyo KQ, saa mbili asubuhi ya leo Jumamosi.

Kwa mujibu wa afisa huyo wa serikali nchini Ubegiji, Lissu alipokelewa uwanja wa ndege chini ya ulinzi mkali wa maofisa wa polisi na wale wa usalama.

Aidha, ulinzi umeimarishwa pia kwenye hospitali (jina tunalihifadhi kwa sasa), aliyopelekwa kwa matibabu.

Lissu alishambuliwa kwa risasi, Septemba mwaka jana akiwa nyumbani kwake Area D, mkoani Dodoma. Alikuwa akitokea bungeni alikokuwa anahudhuria mkutano wa Bunge.

Tutawaletea taarifa kwa kadri tutakavyozipata.

Tazama VIDEO:

Mchumba wa Wolper Afichua Siri Kubwa...Kumbe Alikuwa Mchepuko Wake Hata Alipokuwa na Wale Wengine

$
0
0
Anayedaiwa kuwa ni mchumba wa muigizaji Jaqueline Wolper , Engine amesema kwamba yeye ana mahusiano ya muda  mrefu na muigizaji huyo na wala siyo kwamba amekurupuka kama watu wanavyofikiria.

Engine amelazimika kufunguka hayo baada ya habari mitandaoni kusambaa kwamba wiki iliyopita alikwenda kumvalisha pete ya uchumba huko kwa bibi yake Moshi.

Engine amesema kwamba japokuwa hawezi kusema ni muda gani amekaa kwenye mahusiano na mrembo huyo lakini anachoamini ana muda mrefu na wameshachunguzana na kwamba wameona sasa ni muda muafaka wa wao kuwa baba na mama.

Engine amesema kwamba hayo mambo mengine yanayoendelea mitandaoni kuhusu mahusiano yao pamoja na aliyekuwa mpenzi  wa Wolper wa zamani, Mwanamitindo Brown yeye hana muda nayo kwa kuwa yupo bize na kazi zake  na anategemea muigizaji huyo atakuwa mama wa familia yake.

Aidha mpenzi huyo wa Wolper ambaye pia ni mwanamuziki Chipukizi amesema kwamba mahusiano yake yasifananishwe na wale wanaume wanaotafuta jina kupitia mrembo huyo ndiyo maana hata mambo yao hawajawahi kuyaanika mitandaoni kwa kuhofia maneno ya watu pamoja na ndele.

Baada ya Kukaa Kimya Muda Mrefu Wema Sepetu Arusha Bomu Hili Kuwashtua Mashabiki Wake

$
0
0
SUPASTAA wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu leo ametupia picha mpya kwenye akaunti yake ya Mtandao wa Instagram, zikimuonesha akiwa na mwonekano mpya ambapo muda mfupi baadaye, mashabiki zake walianza kutoa maoni yao, wengi wakionesha kufurahishwa na mwonekano wake mpya.
Mashabiki hao wamembatiza Wema kwa jina jipya, wakimuita Malkia wa Instagram Tanzania au mwenye insta yake kaja.



Mtalaka wa Sugu Azuiwa Kuingia Ofisi za RITA Kisa Maadili...

$
0
0
Mtalaka wa mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi "Sugu", Faiza Ally alijikuta akizuiwa kuingia katika ofisi za RITA jijini Dar es Salaam kutokana na kuvaa mavazi yasiyo na staha.

Askari waliokuwepo ofisi za RITA walimtaka Faiza Ally akabadili vazi na kuvaa linalostahili kuvaliwa katika ofisi ya umma. Baada ya mvutano, alijitokeza msamaria aliyemuazima mtandio ambao alivaa na ndipo aliporuhusiwa kuingia ofisini ili kutimiziwa shida iliyompeleka.

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

$
0
0

SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670

Aibu Kuu: Kilio cha msanii Wastara Bongo Movie Mnatia Aibu

$
0
0
Jana nilibahatika kutazama kipindi kinaitwa Shilawadu, na mwishoni yule mtangazaji akasoma makala iliyoandikwa na Wastara, waraka ule unatia huruma sana na ndani yake unaonyesha kusalitiwa na kutelekezwa mbali na wasanii wenzie wa Bongo movies.

Inaonyesha huyo dada alifiwa na mumewe Sajuki muigizaji, alafu na yeye kwa sasa anaumwa sana na anahitaji msaada kiasi cha kumuangukia Mh. Rais na Makamu wa Rais Mama Samia asipate msaada. Jambo lilinisikitisha ni kukosa msaada kutoka kwa hawa Bongo movies wenzake.

Je? Hakuna chama chao, viongozi wao ambao wanawafuatilia wenzao?
Wasanii wa Bongo Movies amkeni hii Tanzania nyie ndio wasanii na hiyo industry inawahusu ninyi.

 By PastorA

Muonekano Mpya wa Ruby Wawashtua Wengi.. "Mwanamke Wowowo Bana"

$
0
0
Baada ya kimya cha mda mrefu ruby amukuja na muonekano mpya wa kimaumbile ambao unashawishi kumtazama kila akipita mbele yako, hakika zawadi ya kudumu ni kubarikiwa wowowo

Tazama VIDEO:

Viewing all 104689 articles
Browse latest View live




Latest Images