Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104780 articles
Browse latest View live

Hivi Kweli Ustaa wa Wema Sepetu Ndio Unaelekea Ukingoni?

$
0
0
Wema Leo amepost picha zake Kali baada ya kufuta post zake zote za mwaka Jana. tangu mwaka mpya uanze Leo Ndio kapost picha zake cha kushangaza sio Kama kawaida ilivyokuwa awali, Zamani ilikuwa hapatoshi Malkia huyu akituma picha zake. Lakini naona watu wako Kimyaaaa hata ile team yake hakika Hakuna amsha amsha kama za awali. Hakika Hakuna marefu yasiyo na ncha


Zari Awakata Kidomo Wakina Hamisa Mobetto, Anunua Gari Mpya 2018 Kuwaonyesha Jeuri ya Pesa

$
0
0
Baada ya kununua Mercedes mpya Model ya 2017 mara baada ya kufiwa na mumewake na kuanza ku control biashara za mumewe, Tarehe 05 Jan 2018 zari kanunua gari mpya Suv aina ya Audi mara baada ya chuo cha mumewe kukusanya ada za wanafunzi wapya.

Hili Ndilo Gari Alilonunua Zari

Soma Nafasi za Ajira Zilizootangazwa Leo

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.


NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.


MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA.


MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.


NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,


Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605 


DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Majeruhi wa Lucky Vincent Wamejiunga na Shule Kuanza Kidato cha Kwanza

$
0
0
Wanafunzi watatu waliokuwa wakisoma katika shule ya Lucky Vincent ambao walinusurika katika ajali ya gari iliyotokea wilayani Karatu Mei mwaka jana, wamejiunga na Shule ya Star High ya Arumeru kuanza kidato cha kwanza kwa ufadhili wa taasisi ya Stemm.

Watoto hao, Sadia Awadh, Wilson Tarimo na Doreen Mshana walifaulu mtihani wa darasa la saba na kuchaguliwa kujiunga na shule za Serikali lakini taasisi hiyo imechukua jukumu la kuwasomesha kuanzia kidato cha kwanza.

Jana, wanafunzi hao wakiwa na nyuso za furaha, walitembelea shule yao ya zamani na kukabidhiwa vyeti vya kuhitimu elimu ya msingi na mwalimu mkuu msaidizi, Longino Vincent.

“Tunawashukuru sana (Stemm) kwa moyo wao wa upendo na kuendelea kutusaidia baada ya matibabu yaliyofanyika Marekani. Sasa tumeanza safari yetu ya elimu ambayo tunaamini Mungu atatusaidia kuikamilisha,” alisema Wilson.

Sadia alisema ni jambo la kumshukuru Mungu kuanza hatua yao nyingine ya masomo wakiwa hai na wenye afya.

Mwenyekiti wa Bodi ya Stemm na mwanzilishi wa taasisi hiyo, Steve Meyer alisema, “Hawa ni watoto wa kimiujiza, walinusurika katika mazingira ambayo ni Mungu ndiye anayejua. Hatuwezi kusema kwa nini hakuzuia ile ajali isitokee ila tumuachie yeye, sisi tutawasaidia katika safari yao ya elimu hadi mwisho wao.”

Alisema Jiji la Sioux katika Jimbo la Iowa, Marekani limeahidi kwamba iwapo watafanya vizuri katika masomo yao ya sekondari watapelekwa huko kwa ajili ya masomo ya elimu ya juu.

Wanafunzi hao watatu walinusurika katika ajali mbaya ya basi iliyosababisha vifo vya wanafunzi wenzao 32, walimu wawili na dereva mmoja iliyotokea katika eneo la Mlima Rhotia.

Baada ya ajali hiyo, wanafunzi hao walipelekwa Marekani kwa matibabu zaidi na kurejea Agosti mwaka jana.

Katika hatua nyingine Meyer alikabidhi zaidi ya Sh 6.5 milioni kwa ajili ya kusaidia wanafunzi 14 wa shule ya Lucky Vincent ambao wazazi wao hawana uwezo kuwa kuwalipia ada.

Brown Aweka Wazi Sababu ya Kutemana na Wolper

$
0
0
Brown amefunguka na kuweka wazi sababu ambayo imepelekea yeye kuachana na msanii wa filamu nchini Jackline Wolper na kusema yeye ndiye alimkosea binti huyo na kila alipoomba msamaha hakutaka kumuelewa.

Akiongea kwenye kipindi cha Friday Night Live (FNL) Brown anasema kuwa yeye na Wolper walikuwa na ugomvi kati yao ambao ulisababishwa na yeye mwenyewe na kudai kila alipojaribu kumuomba msahama hakutaka kumuelewa akaamua kusonga mbele na kumuacha.

Mo Dewj Aliwapa Sabuni Lakini Akawapaka Matope

$
0
0
Priva ABIUD

Ndugu zangu wa Msimbazi mtanisamehe kidogo. Niwaambieni kitu. Kiki haziumbi kipaji ila zinajenga jina. Nina mawazo tofauti na kauli ya Mo Dewj aliyoitoa akimtaka Omog aondoke. Nafahamu wengi mlikaa kimya.

Wanasema nyumbani kama mdogo wenu ana hela kuwazidi, hamuwezi kufanya lolote kwenye familia bila ridhaa yake. Ni kweli hakuna aliyepinga wala aliyeuliza kwanini Omog ameondoka. Najua wengi mlifyata mkia.

Kaka Mo aliwapa chakula lakini mkiwa mezani mnakula naona aliwatukana. Alisema yeye kama mshabiki wa simba anamuomba Omog anajiuzulu. Najiuliza sababu ni nini? Je Mo akiwa kama shabiki wa simba aliwahi kusimama na ku-post mtandaoni kuwa Omog amekosea nini na ajirekkebishe wapi? Kama ipo hiyo post nijulishwe. Mshindi wa zabuni ya uwekezaji kwenye klabu leo hii anajiita mshabiki, tena isitoshe kwenye mtandao wa kijamii?

Najiuliza, je Mo alikuwa anatafuta kiki? Je ni kweli Mo alishindwa kwenda kwenye bodi na kuwaelezea hisia zake? Hivi ni kweli Mo alikuwa hana uwezo wa kuonana na Omog?

Mbali na hayo hivi Mo anaitambua hadhi yake kwa wana simba? Ina maana Mo anajiona yeye ni sawa na shabiki wa Simba aliyeko Tunduma kwamba ana-post hisia zake anavyojisikia tu? Au tumwite mnafiki? La hasha. Mo sio mnafiki. Sasa tumwiteje?

Niwarudishe nyuma kidogo. Florentino Perez aliongea kauli za kashfa sana mbele ya waandishi wa habari kuhusu kocha wake mkuu. Alimuongelea vibaya sana Del Bosque. Iliichukua Real Madrid zaidi ya miaka 12 kutwaa Ubingwa wa uefa, na kwa kipindi cha miaka minne walibadilishwa makocha sio chini ya watatu. Timu ilishindwa kutulia. Hakuna kitu naheshimu kwa kiongozi kama busara na hekima. Mimi siamini kama Mo anatafuta kiki. Kiki ipi sasa? Yeye tayari bilionea. Au anatafuta atokee kwenye kurasa za magazeti? Hakuna asiyependa kutokea kwenye kurasa lakini je kuna tija?

Roman Abramovic licha ya kuwa bilionea mkubwa, Mourinho aliwahi kupishana nae kwenye vyumba mara kadhaa bila ya kusalimiana. Roman baadae alimfuata Mourinho ana kwa ana akamweleza alichokitaka. Roman hakuwahi ku-post mitandaoni.

Kwanza mimi ningekuwa bosi wa Simba kwa sasa ukurasa wa manara ningeupiga chini. Achague ukurasa wake wa Insta au kazi. Kuna nyadhifa ukiwa nazo hupaswi kuishi kama Soudy Brown wa Shilawadu.

Wewe ni kiongozi mkubwa ukurasa wako unakuwa kama wa Giggy Money? Kisa nini? Ili iweje? Halafu? Ukurasa uliopaswa kutumika kutoa taarifa za simba ni ukarasa wa klabu tu. Wewe ulishawahi kuona Ed Woodward au Jose Mourinho wanapost kwenye kurasa zao kuhusu Chelsea? Au wanaelezea masuala ya ndani ya klabu? Mo utanisamehe kaka. Wewe ni bosi. Sikufundishi ubosi.

Na siamini kama Omog alifukuzwa kwa sababu ya matokeo ya Simba kufungwa na Green Warriors. Najua yalikuwepo mengine. Mngeyamaliza ndani kwa ndani. Jifunzeni soka la kisasa. Nisameheni tu bure.

Tundu Lissu "Namngoja Spika wa Bunge Aje Anijulie Hali Ubelgiji"

$
0
0
Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ameondoka jana kwenda Ubelgiji kwa matibabu zaidi huku akisema atamsubiri kwa hamu Spika wa Bunge, Job Ndugai kwenda kumtembelea huko.

Kadhalika, mwanasheria huyo mkuu wa Chadema amesisitiza wito wake wa kuwataka wanachama wa upinzani kutokurudi nyuma katika mapambano dhidi ya demokrasia.

Akiagana na wanachama na viongozi wa Chadema waliofika Hospitali ya Nairobi nchini Kenya kumsindikiza kwenda Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Jomo Kenyatta(JKIA) jana, Lissu alisema anaamini kwamba Spika Ndugai ambaye alipanga kumtembelea Nairobi baada ya sikukuu lakini ikashindikana, atatimiza ahadi yake kwa kwenda Ubelgiji.

Akizungumza kwa sauti yenye kusisitiza Lissu alisema “Aliwaambia (Spika Ndugai) Watanzania kwamba angekuja kuniona tarehe tatu au nne (Januari) na leo (jana) tarehe sita naondoka, naenda kumsubiri Ubelgiji.”

Hata hivyo, Spika Ndugai hakupatikana jana kuzungumzia kauli hiyo ya Lissu baada ya simu yake kuita bila kupokewa kila alipopigiwa.

Lissu ambaye alishambuliwa kwa kwa risasi zaidi ya 30 akiwa ndani ya gari katika makazi yake mjini Dodoma, Septemba 7 mwaka jana, aliondoka jana saa 2:30 asubuhi kwa ndege ya Shirika la Ndege la Kenya (KQ) akiambatana na mkewe, Alicia.

Akiwa hospitalini hapo jana saa kumi na moja alfajiri, Lissu ambaye wakati wote alikuwa mwenye furaha na tabasamu, aliagana na kila mmoja aliyefika kumsindikiza, na mara alipoonana na Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Rose Kamili aliyempa vazi la kimasai Lissu alisema “Watanikoma… siku ninarudi watanikoma.”

Alirudia kauli hiyo alipoulizwa na mwandishi wetu ni ujumbe gani anawaachia Watanzania na kuongeza, “Nitasimama, nitatembea, nitarudi na mapambano yataendelea sasa chapeni kazi, mimi nitarudi kuendeleza mapambano haya.

“Baada ya miezi minne ya kutibiwa Hospitali ya Nairobi na baada ya hali niliyonayo sasa hivi, naingia hatua ya mwisho ya kwenda kukamilisha kazi ya kuuponya huu mwili na kurudi nyumbani kuendelea na mapambano.”

Hakuacha kutoa shukurani akisema, “Wakenya wameokoa maisha yangu na Wakenya wamenilinda, askari wao wamenilinda saa 24 usiku na mchana katika kipindi chote hicho na kwa sababu hiyo nina shukrani kubwa kwa nchi ya Kenya na serikali yao.

“Nchi ya Kenya kwa sababu madaktari wao na askari wao ndio walionilinda. Nawashukuru pia madaktari wa Dodoma kwa sababu wao ndio waliokuwa wa kwanza kuokoa maisha yangu na nimshukuru kipekee Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya (Dk Mpoki Ulisubisya) kwa sababu mengi yalifanyika chini yake,” aliongeza.

Ndugu, jamaa, marafiki, viongozi na wanachama wa Chadema, walianza kufika hospitalini hapo saa 10 alfajiri ili kumsindikiza Lissu ambaye amepewa na magongo ya kumwezesha kutembea akiwa huko.

Msafara wa kutoka hospitalini kwenda Uwanja wa Ndege wa Kenyatta ulianza saa 11.41 alfajiri ukiwa chini ya ulinzi wa askari zaidi ya watatu wenye silaha waliokuwapo hospitalini hapo na wengine waliongezeka mara baada ya kuwasili uwanjani hapo.

Miongoni mwa waliokuwapo kumsindikiza ni watoto wake pacha, Agustino na Edward (15), kaka yake, Alute Mughwai na mgodo wake, Dk Vincent Mughwai.

Pia, alikuwapo Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Vincent Mashinji aliyesema gharama za safari hiyo na matibabu zimegharamiwa na Chadema pamoja na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), ambacho Lissu ni Rais wake.

Akizungumza kwa niaba ya familia, Alute alisema, “Tunamwomba Mwenyezi Mungu huko atakakokwenda aweze kupata matibabu mazuri, ameondoka vizuri, anazungumza na sisi tumefarijika. Kwa niaba ya familia, nitoe shukrani zetu kwa wananchi wa Tanzania na wale wa Kenya ambao wametuunga mkono mpaka leo (jana) anavyoondoka hapa.”

Mkuu wa Idara ya Uenezi wa Chadema, Ally Hemed ambaye alikuwa akisimamia matibabu ya Lissu tangu alipofikishwa hospitalini hapo alisema “Ni jambo la kumshukuru Mungu. Tulimpokea mwili wake ulikuwa na mashaka mengi, lakini kupitia kwake nimeona miujiza mingi.

“Katika kipindi cha miezi minne, nimejifunza na nimepata darasa katika kupata ujasiri wa kupigania demokrasaia, kuna mafunzo na faraja lakini yote Mwenyezi Mungu amesimamia, tunawashukuru wote hasa Mwenyekiti (Freeman) Mbowe kwa kutuongoza hadi tulipofika.”

Dk Mashinji alisema wana faraja kuona mwanasheria wao mkuu akiwa na afya iliyoimarika na kilichobaki ni viungo tu na Lissu waliyekuwa wanamjua ndiye huyohuyo aliye sasa.

“Tunawashukuru sana madaktari wa Dodoma, bila wao tusingekuwa na Lissu leo, pia madaktari wa Kenya, tunawashukuru sana. Lissu kwa sasa yuko imara, anakwenda kwa mazoezi ya kurudisha viungo vyake salama na kumjenga kisaikolojia.

“Sisi kama chama pia si vibaya kama tunajipongeza kwa kufanya uamuzi sahihi na wa haraka kwa kuhakikisha watu wanaotetea masilahi mapana ya Taifa tunawalinda... tunahitaji kuweka mazingira yatakayotoa ulinzi kwa viongozi wetu,” aliongeza Dk Mashinji.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na Kuchelewa Kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:


FULL POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.


NYAMVA:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788,0715741788 -DR MAGISE

Baba Diamond Ampa Somo Zari The Boss LAdy..Diamond Hajaoa Atulize Mshono

$
0
0
Baba mzazi wa msanii Diamond Platinumz, Mzee Abdul ameibuka na kuingilia kati malumbano kati ya wanawake wawili Zarinah Hassan na mwanamitindo Hamissa Mobeto waliozaa na mwanae Diamond Platinumz, akiwasihi waaache kurushiana vijembe mtandaoni kwani hakuna mke halali wa kijana wake. Hivi karibuni kumetokea gumzo mtandaoni kati ya Zarinah na Hamissa Mobeto wakirushiana maneno ya kejeli na dharau ambayo kwa namna moja au nyingine ni maneno ya kubomoa.

“Maneno wanayotoleana mitandaoni ni mabaya na yananichukiza mno’’ amesema Mzee Abdul.

‘’Ninawasihi hawa wanawake waache malumbano katika mitandao ya kijamii, kwa sababu kila mmoja amezaa hivyo wote wana nafasi na haki sawa kwa vile hakuna aliyeolewa hadi sasa’’ ameeleza bab Diamond.

Aidha amesema kuwa mwanaye bado hajaoa na huenda mmoja wao akaolewa lakini mwingine akapewa heshima yake kama mzazi,

Amesisitiza kuwa kua uwezekano mkubwa kwa wote wawili kuolewa kwani dini ya mwanae inamruhusu.

Mzee Abdul amemalizakwa kusema kuwa ana uhakika kuwa kila mmoja Kitu mmoja kwa kitendo cha kuzaa na mwanaye, ataambulia chochote kitu kwani wana haki.

Imevuja: Maromboso yuko Kwenye Penzi zito na Queen Darlin Dada wa Bosi wake Diamond

$
0
0
Wahenga wanasema mapenzi ni kikohozi hayawezi kufichika.

Msemo huu umethibitishwa na couple inayokuja kwa kasi kati ya Queen Darlin na Maromboso .

Mboso alijitahidi sana kuficha ficha lakini Queen Darlin ameonekana kukunwa vilivyo na Muhogo wa Jang'ombe wa Mboso na ameshindwa kabisa kujizuia matokeo yake anaonesha waziwazi mahaba niue kwa mpenzi wake huyo bila kujali watu watasemaje juu ya ki Ben ten chake hicho       

Huko Sauzi walipoenda kwenye sherehe ya Nillan wamegandana kila mahali kama kumbikumbi vile.

Na kwa sasa Diamond hana budi kumuheshimu Mboso kama shemeji yake na wala si kama msanii wake tu.

    naona majimama safari hii yamechachamaaa kujibebea vi Ben ten yamechoka kuguswa guswa na kutiwa tu shombo na vizee sasa wanataka wakamuliwe haswaaa

Serikali Yaanza Kuwashughulikia Wasanii Wanaovaa Nusu UCHI....Tazama Majina ya Baadhi Yao

$
0
0
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Juliana Shonza amesema kuwa, serikali inafuatilia kwa karibu wasanii wote wanaoweka picha za kukosa maadili kwenye mitandao na kuwachukulia hatua.

Shonza ameyasema hayo leo jijini Dar es Salaama alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari. Agizo hilo la Naibu Waziri ni matokeo ya kauli iliyotolewa na Rais Dkt Magufuli aliyoitoa mjini Dodoma wakati akizungumza na Jumuiya ya Wazazi ya CCM.

Rais Magufuli alivitaka vyombo husika kuwachukulia hatua wasanii hasa wa kike ambao wamekuwa wakivaa nguo zinazopelekea kumomonyoka kwa maadili.

Wakati akizungumza hayo Naibu Waziri alitaja majina ya wasanii ambao wameanza kuwachukulia hatua ambapo baadhi wametakiwa kufika ofisini kwake huku mwingine akifungiwa kujihusisha na masuala ya sanaa kwa muda wa miezi sita.

Shonza amemtaka msanii, Jane Rimoy maarufu kwa jina la Sanchi kufika ofisini kwake mara moja kutokana na kuchapisha mitandaoni picha zisizo na maadili.

Mbali na Sanchi, Shonza ametoa maagizo, ”Ninamtaka Msanii wa Bongo Fleva, Gift Stanford maarufu kama Gigy Money kufika ofisini kwangu mara moja sababu alitumiwa ujumbe lakini hakujibu, hivyo ajue kuwa hawezi kushindana na serikali.”

Pia, Naibu Waziri wa Habari, Juliana Shonza amemfungia msanii wa filamu na muziki, Suzan Michael maarufu Pretty Kind kujihusisha na shughuli zote za sanaa kwa muda wa miezi sita, kutokana na kuweka picha za utupu katika mtandao ya kijamii.

Wakati huo huo, Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Godfrey Mngereza amewasisitiza wamiliki wa studio za kutayarisha kazi za sanaa na waandaji wa kazi za sanaa (Producers) kujisajili katika ofisi za Baraza hilo. Asisitiza, kufanya kazi bila kusajiliwa ni kinyume na sheria.

Pata Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0

MHULI: Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.


Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi?

Wasiliana na Nasi kwa Namba;0783140065  

Madhara ya Kufanya Mapenzi au Tendo la Ndoa Mara Nyingi Kupita Kiasi

$
0
0
Katika hali ya kawaida kufanya mapenzi kuna faida nyingi, lakini linapokuja suala la kuzidi kiasi tunapata matatizo ya msingi ambayo huleta madhara kwa watu wanaoendekeza sana ngono.

Kuna watu ambao hawezi kulala bila kufanya mapenzi na huku wengine wakikosa uwezo wa kuvumilia hata kwa siku mbili au tatu. 

 Mtu anaweza kuwa na mke na kujikuta kila siku anatumia ‘chakula cha usiku’ kwa sababu tu hakuna wa kumkataza na kwamba ana haki ya kufanya hivyo kwa sababu amelipa mahari.

Hilo linaweza kuwa jambo jema kwa upande mwingine, lakini uchunguzi unaonyesha kuwa watu wengi kati ya watu wanaolalamika kupoteza hisia za kimapenzi hutoka katika kundi la watu wapenda ngono.

 Pamoja na tatizo hilo, yapo madhara mengine mengi ambayo mtu asiyekuwa na kiasi katika tendo la ndoa anaweza kukabiliana nayo, hivyo ni vema tukajifunza ili tusiwe watu wa kuendekeza miili kiasi cha kulazimika kufanya mapenzi kila tunapokutana hata kwenye nguzo ya umeme na chini ya miti kwa vile tu miili imetaka kufurahika.

 KUPOTEZA HAMU YA TENDO

Watu wenye pupa za kufanya mapenzi hupoteza haraka hisia za kimapenzi kwa wapenzi wao kutokana na sababu za kisaikolojia zinazoweza kujitokeza wakati wa ufanyaji wa tendo la ndoa mara kwa mara.


 Sababu hizo zinaweza kuwa ni pamoja na zile za kumzoea mwenza kiasi cha kukosa msisimko hata anapomuona akiwa mtupu.



 Aidha kukinai haraka staili za kimapenzi  kunatajwa kujitokeza kutokana na kukutana mara kwa mara kwa aina zile zile za mapenzi na pengine sehemu moja, kitanda kimoja na chumba kile kile, jambo ambalo linaweza kumfanya mhusika asione jipya kutoka kwa mwenza wake na hivyo kupoteza hamu naye na kuhisi kama hawezi tena kushiriki tendo la ndoa kikamilifu.


 KUUJAZA MWILI TAMAA KUBWA

Tabia ya kufanya mapenzi mara kwa mara huongeza uzalishaji wa homoni mwilini na kuufanya mwili uwe na msukumo mkubwa wa kutaka kuridhishwa kwa tendo la ndoa bila kukosa na hivyo kumfanya mhusika asiwe mtu mwenye uwezo wa kuzuia tamaa na kukosa chaguo la nani wa kufanya naye mapenzi na kwa wakati gani

 Watu wanaojiendekeza katika kufanya mapenzi mara kwa mara ndiyo wale ambao kila wanayemtazama barabarani humtamani bila kujali hadhi yake. 

Hawa ndiyo wanaobaka, kusaliti ndoa zao hata kwa watumishi wa ndani au kufanya mapenzi na watoto wao wa kuwazaa kwa vile akili zao huwa zimeathirika kwa tamaa ya mapenzi.


Unapokuwa mtu wa kufanya mapenzi mara kwa mara huwezi kuwa na uwezo wa kuzuia tamaa yako. Mumeo akiondoka siku mbili unatamani kuwa hata na houseboy ili akukate kiu ya penzi. 

 KUPOTEZA RAHA KAMILI YA TENDO
Raha ya tendo hutegemea sana hisia iliyokuzwa kutokana na mapenzi sahihi na kiu ya kufanya mapenzi, hivyo basi ukiwa mtu wa kufanya mapenzi kila mara unaweza kupoteza msisimko wa tendo na kujikuta unapata furaha ambayo haikutoshi kumaliza tamaa yako.

 Kama ni mapenzi utakuwa unayafanya kwa mazoea tu na msisimko wako utakuwa mdogo!

 KUPOTEZA NGUVU ZA MWILI

Madhara mengine yanayoweza kupatikana kwa kufanya mapenzi mara kwa mara ni pamoja na kupoteza nguvu nyingi za mwili.

Kama tujuavyo tendo la ndoa hasa kwa wanaume huwafanya watumie nguvu nyingi, hivyo kuufanya mwili uchoke. 

Aidha lishe inapokuwa ndogo kwa wafanya mapenzi mwili hukosa nguvu za kutosha kuhimili misukosuko ya kimaisha.

 Sambamba na hilo mbegu za uzazi zinazotoka kwa wanaume wanaofanya mapenzi mara kwa mara huwa dhaifu.

 KUPATA MAGONJWA
Kama tulivyojifunza kuwa watu wanaofanya mapenzi mara kwa mara huwa na tamaa na hujikuta wanafanya mapenzi holela ambayo huweza kuwasababishia magonjwa ya zinaa ukiwemo ukimwi.

Ufanyaji wa mapenzi usiokuwa na msukumo wa kutosha hasa kwa wanawake huwafanya waishiwe msisimko na kuzifanya sehemu zao za siri kutotoa ute unaoweza kuwakinga na michubuko wakati wa kujamiiana na hivyo kuwasababishia michubuko itakayoweza kuleta maambukizi ya haraka ya magonjwa ya zinaa ukiwemo ukimwi.

 Baada ya kungalia madhara hayo machache ni vema kwa wapenzi kupunguza kiwango cha kufanya mapenzi ili kuifanya miili iwe na uvumilivu unaoweza kumsaidia mtu kukaa kwa muda mrefu bila kumsaliti mpenzi wake hata kama atakuwa amesafiri mbali naye kimasomo, kikazi au kibiashara.

Maumivu Makali Ukeni Wakati wa Tendo la Ndoa.....

$
0
0

Habari zenu jamani,

Mwenzeni ninatatizo yaani toka nijue mapenzi sijawahi kufurahia tendo hilo. Kila nikifanya mapenzi napata maumivu makali mno muda mwingine nahisi maumivu hadi kwenye kizazi. Nikimaliza tu maumivu siyapati mpaka nikifanya tena. Nifanyeje jamani, msinitukane tafadhali.

Karibuni kwa ushauri

Mapenzi Sio Vita, Kwanini Tukomoane Kwenye 6X6?

$
0
0

Pamoja na uwepo wa manjonjo mengi katika ulimwengu wa mapenzi, kizazi hiki kisichotabirika kimeanza kugeuza tendo kuwa kama uwanja wa vita badala ya starehe inayoweza kumhamisha mtu kifikra mpaka katika ulimwengu wa kusadikika.

Vijana wengi wamekua busy kutafuta dawa za kuwafanya wawe na nguvu kupitiliza kanakwamba wanaenda vitani. Wengine wanatamba kwamba akikukamata ni mpaka kivimbe ndo akuachie. Kwani lengo ni kuumizana?

Mchezo ule hauhitaji hasira ila upole, utaratibu maalum na hisia kali zitakazo kuhamisha katika ulimwengu uliopo. Inashangaza kuona mtu ana-pump kama anazibua chemba iloziba mwaka mzima na kumsababishia kero na maumivu makali mwenza wake.

Ukifanikiwa kukaa jirani na eneo ambalo zoezi hilo huendelea unaweza kusikia kelele nyingi utadhani mtu anapigwa mangumi ila ukiuliza utaambiwa ni wapenzi wanagegedana.

Hebu tujaribu kufanya romantic love na sio vita na utaona matokeo yake, upendo utazidi kuliko awali.

Jungu kuu halikosi ukoko.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0

Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi?

Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Marekani Kujitosa Uchunguzi wa Tundu Lissu..Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu Ya January 8

$
0
0


Marekani Kujitosa Uchunguzi wa Tundu Lissu..Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatatu Ya January 8

Kajala Afunguka Kuhusu Ndoa yake na Mumewe Aliyetoka Gerezani...

$
0
0
SUPASTAA wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’ ametoa tamko rasmi kuhusu ndoa yake na mumewe, Faraji Chambo akisema kuwa hana mpango wa kurudi tena kwenye ndoa hiyo kwa kuwa hata mumewe huyo alipotoka gerezani hakuwa na muda wa kumtafuta yeye kama mkewe.

Kajala aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, kama mume, ni lazima angefanya taratibu za kumuona mkewe kwani hata yeye alikuwa akienda kumuona gerezani na isitoshe anajua wazi mumewe huyo anahofia mali zake alizorudishiwa baada ya kushinda kesi. “Unajua ilibidi anitafute, lakini alikaa kimya, akaendelea na mambo yake hiyyo siwezi kurudi kwenye ndoa hiyo tena,” alisema Kajala.
Stori: Imelda Mtema, Dar

Sanchoka Adai Kuposti Picha za Nusu Utupu Kumempa Mchumba

$
0
0
MWANAMITINDO Jane Rimoy ‘Sanchi’ ambaye amejizolea umaarufu kutokana na uvaaji wake wa nguo zinazomuonesha akiwa nusu utupu, amefunguka kuwa, pamoja na kwamba watu wanampiga vijembe na kumuona mwanamke asiyefaa kutokana na uvaaji wake huo, lakini ukweli ni kwamba ndiyo umempa mchumba.

Sanchi aliliambia Ijumaa Wikienda kuwa, anashangaa watu wanavyombeza wakati yeye ni mwanamitindo hivyo hakuna cha ajabu katika vazi lake lolote na ndiyo maana mwanaume ambaye anataka kumchumbia, amemchagua na kujua wazi anafaa kuwa mke. “Watu hawaelewi maana ya uanamitindo.

Ndiyo maana wanaweza kukusema bila kujua. Kama ingekuwa ni kinyume cha maadili, basi hata mchumba asingejitokeza,” alisema Sanchi.
Viewing all 104780 articles
Browse latest View live




Latest Images