Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104423 articles
Browse latest View live

Muslim Hassanali Baada ya Kuingia CCM Ajipachikia Nafasi ya Kuwa Mshauri wa Rais

0
0
Muslim Hassanali Baada ya Kuingia CCM Ajipachikia Nafasi ya Kuwa Mshauri wa Rais
Aliyewahi kugombea Ubunge wa Jimbo la Ilala kwa tiketi ya CHADEMA mwaka 2015, Muslim Hassanali amejipachika nafasi ya ushauri wa serikali ya Rais Magufuli kwasababu nafasi hiyo haihitaji kuteuliwa.

Akizungumza leo katika ukumbi wa Checkpoint eneo la Pugu jijini Dar es salaam, katika maandalizi ya kumpokea akitokea upinzani kwenda CCM leo ambapo amesema kuwa hajaingia katika chama hicho kutafuta mali.

“Naomba niwaweke wazi kuwa sijpewa na sijahaidiwa nafasi yoyote na serikali au CCM, nafasi nimeitafuta mwenyewe na cheo changu kuanzia leo naomba nikiweke wazi Mh. Mwenyekiti cheo changu ni mshauri wa serikali ya Magufuli nani ya nchi hii, kuwa mshauri hakuhitaji kuteuliwa nimejiteua mwenyewe,“ amesema Muslim Hassanali .

Aidha Hassaniali aliongeza kuwa “Haikuwa kazi rahisi kuchukua maamuzi ya kuihama CHADEMA na kujiunga CCM, Ila imebidi niweke maslahi yangu binafsi pembeni na kujiunga CCM ili nipambanie nchi yangu“.

Wapenzi Wanaishi Kwenye Mahusiano Kama Mume na Mke Bila Kufunga Ndoa Kuadhibiwa

0
0
Wapenzi Wanaishi Kwenye Mahusiano Kama Mume na Mke Bila Kufunga Ndoa Kuadhibiwa
Serikali nchini Burundi imesema imejiandaa vya kutosha kuwachukulia hatua za kisheria watu ambao wanaishi kwenye mahusiano kama mume na mke bila kufunga ndoa na wale wanaoishi kwenye ndoa bila kusajili ndoa zao serikalini.



Kupitia Wizara ya Mambo ya Ndani nchini Burundi, Serikali imesema imeanza kukusanya ripoti ya watu wanaoishi pamoja kama wapenzi ambao hawajafunga ndoa au kutokusajili rasmi ndoa zao serikalini ili kuwabaini wote waliokiuka amri ya serikali iliyotolewa mwaka jana ikiwataka wananchi wote nchini humo kusajili ndoa zao kabla ya Desemba 31, 2017.

Rais wa nchi hiyo Pierre Nkurunziza jana kwenye taarifa yake aliyoitoa kupitia kituo cha taifa cha Radio cha Burundi cha RTNB amewaonya vikali watu wote waliokiuka amri hiyo ya serikali na kuahidi kuwa sheria itachukua mkondo wake bila kujali sababu za kidini.

“Kwanza tunashukuru watu wote waliokuja kusajili ndoa zao serikalini kwa sasa watu ambao wamekaidi amri hiyo sheria itafuata mkondo wake, jambo lingine tumegundua tunajenga hoja za dini au madhehebu na kukaidi amri hiyo, dini haiwezi kuwa mpinzani wa sheria hatua hii itatusaidi kuzuia ongezeko la watu, maana yake leo hii ukiwa na wanawake watano utajikuta unakuwa na watoto 20 na sio tu wanakuwa hawatambuliwi kisheria lakini pia wanaleta shida nchini.“amesema Pierre Nkurunziza.

Kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2017 kutoka Wizara ya Mambo ya Ndani nchini Burundi, watu 166,000 wanaishi nje ya ndoa.

Hatua hiyo imepingwa vikali na wanaharakati nchini humo pamoja na waislamu  ambao hao kwa sheria za dini yao wanaruhusiwa kuoa mke zaidi ya mmoja ile hali amri ya serikali inakataza.

Lowassa Amfuata Rais Magufuli Ikulu Wanena Mazito

0
0
Lowassa Amfuata Rais Magufuli Ikulu  Wanena Mazito
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 09 Januari, 2018 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Edward Ngoyai Lowassa, Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Baada ya mazungumzo hayo Mhe. Edward Ngoyai Lowassa amempongeza Mhe. Rais Magufuli kwa kazi nzuri anayoifanya na ametaja baadhi ya maeneo ambayo kazi kubwa imefanyika kuwa ni kutoa elimu bila malipo, ujenzi wa mradi wa uzalishaji wa umeme katika maporomoko ya mto Rufiji (Stiegler’s Gorge), ujenzi wa viwanda na ujenzi wa reli kwa kiwango cha kisasa (Standard Gauge) ambavyo vinazalisha ajira nyingi kwa Watanzania.

“Nimepata faraja sana kuja hapa Ikulu kuonana na Mhe. Rais, tumezungumza nae na nimempongeza kwa kazi nzuri anayoifanya, lazima tukiri anafanya kazi nzuri na anahitaji kutiwa moyo.

“Moja kubwa ambalo ni la msingi sana ni la kujenga ajira, katika kuanza ujenzi wa reli ya kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro hapo anajenga ajira, na kwenye nchi yoyote inayoendelea suala muhimu ni kujenga ajira, Stiegler;s Gorge ni kujenga ajira na mingine ya aina hiyo, lazima kuwepo na kipaumbele cha kusema kwamba tunajenga ajira, jingine ni la elimu, ni muhimu sana, hauwezi kuacha elimu katika mambo yako unayofanya, hili nalo lazima lisemwe vya kutosha, kwa kweli nakushukuru Mhe. Rais, you made my day” amesema Mhe. Lowassa.

Kwa upande wake Mhe. Rais Magufuli amempongeza Mhe. Edward Ngoyai Lowassa kwa kutambua kazi kubwa inayofanywa na Serikali na amesema Mhe. Lowassa ni mmoja wa viongozi ambaye kwa wakati wake ametoa mchango wake katika nchi.

Mhe. Rais Magufuli ameongeza kuwa Mhe. Lowassa ni mwanasiasa mzuri kwani hata wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita ambao naye aligombea kiti cha Urais, hakuwahi kumtukana.

“Mhe. Lowassa ameniomba mara nyingi nikutane nae, na leo nimekutana nae, tumezungumza mambo mengi, ameniambia ya kwake na mimi nimemwambia ya kwangu, kwa ujumla Mhe. Lowassa ni mwanasiasa mzuri na tuendelee kuwaenzi wazee hawa ambao kwa nyakati fulani walifanya mambo mazuri, na mimi napenda kumpongeza Mhe. Lowassa ambaye kama alivyosema hapa kuwa tumefanya mambo mazuri mengi.

“Ametaja miradi mbalimbali tunayotekeleza, ametaja mradi wa Stiegler’s Gorge utakaogharimu zaidi ya Shilingi Trilioni 7, amezungumzia juu ya elimu bure, amezungumzia juu ya maji ambayo kwa bahati nzuri yeye alikuwa Waziri wa Maji na anafahamu sasa tumefikia wapi, amezungumza juu ya umeme tulivyosambaza katika vijiji mbalimbali, elimu bure, huduma za hospitali na mengine” amesema Mhe. Rais Magufuli.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
09 Januari, 2018


Mrema Akanusha Taarifa za Kifo Alizozushiwa "Ajafa Mtu Hapa”,

0
0
Mrema Akanusha Taarifa za Kifo Alizozushiwa "Ajafa Mtu Hapa”,
Mwenyekiti wa Bodi ya Parole nchini na mwanasiasa mkongwe, Agustino Lyatonga Mrema, amekanusha taarifa za kifo ambazo zilianza kusambaa mitandaoni mapema leo.


Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Sinza jijini Dar es salaam, Mheshimiwa Mrema amesema yeye ni mzima wa afya na hata ugonjwa amabo ulikuwa ukimsumbua kwa miaka mingi ameshapona.

“Afya yangu ni njema ni kweli nilikuwa mgonjwa tangu mwaka 2015, wakati wa kampeni na wakawa wanasema msimchague Mrema ni mgonjwa ni marehemu Mtarajiwa, ila tangu Magufuli kushika urais wake aliahidi serikali itasimamia matibabu yangu, nikapelekwa India na ile kansa iliyokuwa inanisumbua imepona kabisa”, amesema Lyatonga Mrema.

Mrema ameendelea kwa kusema kwamba...”kwa kweli naona mambo yangu ni mazuri hata sura inang'aa, ngozi ile iliyokunjamana haipo tena. Leo asubuhi nimepata taarifa kuwa kuna kikundi kile kile cha 2015 wanataka nife, wanahisi naelekea tena Vunjo kuchukua lile jimbo, lakini nataka kuwaambia mimi sio mgonjwa kansa nimepona, hajafa mtu hapa”, amesema Lyatonga Mrema.

Leo asubuhi kulikuwa na taarifa kuwa mwanasiasa hyo amefariki dunia, kitendo ambachosio mara ya kwanza kutokea kwa kiongozi huyo, ambaye sasa anashikilia wadhifa wa Mwenyekiti wa Bodi ya Parole nchini.

Vera Sidika Afungua Milango kwa Wanaume Wanaomtaka...Ila Lazima Uwe na Pesa

0
0
Ni kweli Vera Sidika yupo single? Nadhani utakuwa umeshangaa na hutaki kuamini hilo kutokana na mrembo huyo wa Kenya anavyowatoa udenda vidume wengi kutokana na umbo lake alilobarikiwa na kubwa zaidi fedha ambazo anatumia kwenye kula bata katika viwanja mbali mbali vya starehe duniani, inakuwa ni vigumu sana kukosa wapembeni yake .

Lakini huo ndio ukweli wenyewe ambapo Vera mwenyewe amethibitisha hilo kupitia ujumbe wake ambao ameuandika kwenye mtandao wa Instagram.


“I’m as Single as a dollar bill and I’m not looking for change 💁🏼,” ameandika mrembo huyo kwenye mtandao huo.

Waziri Mwakyembe Atuma Salamu za Rambirambi Kufuatia Kifo cha Mwanamichezo Athuman Chama

0
0
Waziri Mwakyembe Atuma Salamu za Rambirambi Kufuatia Kifo cha Mwanamichezo Athuman  Chama
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe amepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Mwanamichezo nguli Ndg. Athuman Juma Chama kilichotokea jumapili usiku tarehe 07 Januari, 2018 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam.


TAARIFA KWA UMMA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe amepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Mwanamichezo nguli Ndg. Athuman Juma Chama kilichotokea jumapili usiku tarehe 07 Januari, 2018 katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam.

Akielezea kifo cha marehemu Chama, Dkt. Mwakyembe amesema kifo chake ni pigo kubwa kwa sekta ya michezo hususani mchezo wa mpira wa miguu nchini ambayo marehemu alihudumu kwa umahiri wa hali ya juu na kujijengea jina na heshima miongoni mwa vijana wapenda soka na Watanzania kwa ujumla.

Dkt. Mwakyembe ametoa pole kwa familia, Shirikisho la   Mpira wa Miguu nchini (TFF), Baraza la Michezo Tanzania (BMT), ndugu, jamaa, marafiki na wanamichezo wote nchini na kuwaombea Mungu awape faraja katika kipindi hiki kigumu cha msiba.

Kipindi cha uhai wake marehemu Ndg. Chuma (Maarufu kama Jogoo) alichezea vilabu vya  Nyamaume Football Club, Pamba ya Mwanza, Copu United, Mzizima United, Yanga na Timu ya Taifa (Taifa Stars) aliyoitumikia kwa juhudi kubwa kabla ya kustaafu kucheza soka mwaka 1988. Hadi anafikwa na umauti marehemu Chama alikuwa mweka hazina wa Chama cha Wanasoka Tanzania mkoa wa Temeke (SPUTANZA)

                         

Imetolewa na:

Octavian F. Kimario

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

Wizara ya Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo.

09/01/2018.

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

0
0

Simba Wamemrudisha Mafisango kimyakimya

0
0
Mwezi May 2012 klabu ya Simba ilitangaza rasmi kutoitumia tena (kuistaafisha) jezi namba 30 ambayo ilikuwa ikivaliwa na Patrick Mafisango kwa heshima ya mchezaji huyo ndani na nje ya uwanja.

Heshima kama hiyo alipewa kiungo wa zamani wa kimataifa wa Cameroon, Marc-Vivien Foe na klabu yake, Manchester City ya England alipofariki Dunia Juni mwaka 2003, ambapo jezi namba 23 ilitunzwa na kuacha kutumiwa moja kwa moja.

Mwenyekiti wa Simba wakati huo Ismael Aden Rage alitangaza rasmi kuistaafisha jezi ya Mafisango wakati akihutubia mamia ya wadau wa soka waliohudhuria zoezi la kuuaga mwili wa marehemu Mafisango kwenye viwanja vya Sigara Chang’ombe, Dar es Salaam.

“Mafisango alikuwa na mchango mkubwa kwa Simba na mara ya mwisho klabu kukumbumbwa na msiba mzito namna hii ilikuwa ni mwaka 1978 ambapo Simba ilimpoteza mchezaji wake mahiri Hussein Tidwa na ukweli ni kwamba wachezaji hawa tutawaenzi miaka yote na ndio sababu ya kutotumia tena jezi namba 30 kwa kuvaliwa na mchezaji yoyote,” alisema Rage.



Jambo la kushangaza ni kwamba jezi namba 30 ambayo ilitangazwa kustaafishwa kwa heshima ya Mafisango imeanza kutumika tena msimu huu, golikipa Emanuel Mseja aliyesajiliwa kutoka Mbao FC ameonekana akiitumia jezi hiyo.

Inawezekana wadau kibao tayari wameliona hili lakini wameamua kukaa kimya, sio dhambi kwa Simba kuamua kui kuirudisha tena jezi hiyo kuendelea kutumika kwa mara nyingine, lakini ingekuwa jambo zuri kama Simba wangetoka na kuitambulisha rasmi kuitumia jezi hiyo.

Cameroon waliwahi kutangaza kuistaafisha jezi namba 17 ambayo ilikuwa ikivaliwa na kiungo Marc-Vivien Foe ambaye alifia uwanjani wakati akiitumikia timu yake ya taifa kwenye mashindano ya Confederation Cup mwaka 2003 lakini baadae waliirudisha na kuendelea kutumika.

Simba waliamua kumuenzi Mafisango kwa kuistaafisha ya Mafisango kwa lengo la kuenzi na kuheshimu mchango wa nyota huyo lakini yapo mengi ambayo yangefanywa na Simba kwa lengo hilo. Wangeweza kuandaa tuzo ya heshima ambayo wangeipa jina la Mafisango na ingekuwa ikitolewa kwa mchezaji aliyefanya vizuri mwisho wa msimu lakini pia wangeweza kuandaa mashindano ambayo wangeyapa jina la Mafisango.

Mafisango ataendelea kukumbukwa Msimbazi kwa mafanikio ya Simba kwa msimu wa 2011/2012 akiisaidia klabu yake kufika fainali ya Kagame Cup, kutwa bingwa wa ligi kuu Tanzania bara na kufikia hatua ya 16 bora kwenye mashindano wa Kombe la Shirikisho Africa.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na Kuchelewa Kwa Dakika 20

0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:


FULL POWER: Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.


NYAMVA: Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788/ 0715741788 -DR MAGISE

“Okwi Hadai Chochote, Alipata Malipo yake yote”-Hans Poppe

0
0
Ni muda sasa umepita bila Okwi kuonekana kwenye kikosi cha Simba, taarifa zinaeleza kwamba mchezaji huyo yupo nchini kwao akiendelea na matibabu baada ya kuumia shingo.

Mwenyekiti wa kamati ya usajili Simba Hans Poppe amesema taarifa alizonazo ni kwamba, nyota huyo aliyesajiliwa msimu huu bado anaendelea na matibu na si vinginevyo kama baadhi ya watu wanavyosema kuwa anadai pesa zake za usajili.

“Nilivyopata habari Okwi ni kwamba alikuwa bado anauguza shingo huko kwao sasa kama hayupo ni kwa sababu ya kuumwa”-Hans Poppe.

“Kama kuna maneno mengine zaidi ya hayo sidhani kama ni kweli kwa sababu ni mchezaji ambaye hadai kitu chocchote alipata malipo yake yote, wachezaji wote hakuna ambao wanadai kwamba afanye kwa makusudi kwa sababu hajalipwa haki zake.”

Siku za karibuni iliripotiwa kwamba, Okwi ametia mgomo kwa sababu anadai pesa za usajili ambazo hajalipwa, hivyo kukaa kwake Uganda ni kushinikiza uongozi wa klabu hiyo umalizie kiasi anachodai.

Mkuu wa Mkoa Atumbua Nafasi za Wakuu wa Shule za Msingi zaidi ya 30

0
0
Mkuu wa mkoa wa Manyara Bw. Alexander Mnyeti ametengua nafasi za wakuu wa shule za msingi zaidi ya 30 pamoja na maafisa elimu kata 13 wa halmashauri ya wilaya ya Kiteto kutokana na kuzembea kazini na kusababisha wilaya kushuka kitaaluma

Uamuzi huo ameutoa baada ya kupokea taarifa ya Mkuu wa Wilaya hiyo Mhandisi Tumaini Magesa kwenye kikao kazi cha kukutana na watendaji wa serikali, na kutoridhishwa na kiwango cha ufaulu, huku akumuonya afisa elimu wa shule za msingi na utumishi kushindwa kuwachukulia hatua watumishi

“Mkishindwa kusimamia walimu kufundisha tunawafuta, tunaweka wengine, ndani ya wiki mbili tatu nao tukiona wameshindwa tunafuta, na wenyewe tunaweka wengine hivyo hivyo mpaka mwisho, wakati huo tunawasubiri walimu wa sekondari na matokeo yao yakiwa ya hovyop nao tunafuta”, amesema Mnyeti.

Shule za wilaya hiyo zimeshindwa kufikia kiwango cha ufaulu wa wastani wa asilimia 50 katika mtihani wa taifa wa darasa la saba kwa mwaka 2017, na kitendo kilichomkera Mkuu wa Mkoa Mnyeti

Kichuya, Mkude na Kazimoto Watia Mgomo wa Kimya Kimya

0
0
Kichuya, Mkude na Kazimoto Watia Mgomo wa Kimya Kimya
Nyota wa Simba, Shiza Kichuya, Jonas Mkude, Mwinyi Kazimoto na Nicholas Gyan wameonyesha kitendo cha utovu wa nidhamu wakati wa mchezo wao dhidi ya URA.

Katika mchezo huo ambao Simba ilifungwa bao 1-0 na URA na kuondolewa mashindano ulishudia wachezaji wa Kichuya, Mkude na Gyan wakijiondoa katika benchi la timu hiyo baada ya kutolea.

Kichuya alitolewa kipindi cha kwanza alikaa kwenye benchi la wachezaji wa akiba huku akikataa kupewa mkononi na kocha wake Djuma Masoud na kugomea kupewa maji ya kunywa na daktari wa Simba, Yassin Gembe.

Walipoenda vyumbani kupata maelekezo wakati wa mapumziko walitolewa Kazimoto, Mkude na Gyan ambao hawakurudi kwenye benchi na kubaki vyumbani baadae wanatoka na kukaa kwa mashabiki.

Wachezaji hao walipotoka nafasi zao zilichukuliwa na Yusuph Mlipili,  Said Ndemla na James Kotei na Mohammed Ibrahim 'MO'.

Djuma alipoulizwa Kuhusu kutokurudi kwa wachezaji hao kwenye benchi alisema kuwa walipata majeruhi na walikuwa wakitibiwa.

"Walipata majeraha ya misuli na walikuwa wanapata matibabu," alisema Djuma.


Rais Magufuli “Lowassa Hakuwahi Kunitukana Hata Siku Moja”

0
0
Rais Magufuli “Lowassa Hakuwahi Kunitukana Hata Siku Moja”
Gumzo la leo ni kwenda Ikulu kwa Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania ambae alikua Mpinzani wa Rais Magufuli kwenye kuwania Urais mwaka 2015 Edward Lowassa ambapo amepokelewa na mwenyeji wake Rais JPM.

Najua wengi tumeona video ya Lowassa akiongea baada ya kufika IKULU lakini hatujaiona ya Rais Magufuli mwenyewe, bonyeza play hapa chini kuona yote aliyoyaonga JPM baada ya kutembelewa na Lowassa.

Shahada ya Uzamifu ya Grace Mugabe Yachunguzwa Zimbabwe

0
0
Shahada ya Uzamifu ya Grace Mugabe Yachunguzwa Zimbabwe
Mamlaka ya kukabiliana na ufisadi nchini Zimbabwe imeanzisha uchunguzi kuhusu shahada ya udaktari iliopewa mkewe Robert Mugabe, Grace Mugabe kulingana na ripoti ya AFP.

Phyllis Chikundura ,msemaji wa tume ya kukabiiana na ufisadi nchini humo alithibitisha kuwa kulikuwa na uchunguzi uliokuwa ukiendelea.

''Tumethibitisha kuwa kuna ripoti kama hiyo na kwamba kuna uchunguzi kama huo pia'', alisema.

Bi Mugabe alidaiwa kupata Shahada hiyo baada ya miezi kadhaa ya masomo 2014.

Gazeti la serikali The Herald liliripoti wakati huo kwamba kutoweka kwa Bi Mugabe kulifanywa kwa lengo la kubadilisha hali ya jamii na kazi ya familia.


Bi Mugabe yeye mwenyewe alituzwa shahada hiyo na aliyekuwa rais wa taifa hilo Robert Mugabe ambaye alikuwa chansela wa chuo kikuu cha Zimbabwe.

Alipongezwa wakati huo na maafisa wengine wa serikali waliotetea shahada hiyo yenye utata.

Bi Mugabe alitumai kumrithi mumewe kama kiongozi, lakini akachokoza upande mmoja wa chama cha Zanu-Pf ambacho hatua iliosababisha mgawanyiko ndani ya chama hicho.

Jeshi baadaye lilingilia kati na kumlazimisha rais Mugabe kuondoka madarakani baada ya kipindi cha miaka 37 na kumuweka mamlakani aliyekuwa makamu wake Emmerson Mnangagwa kuwa rais.

Mziki wa Singeli Wafika Rwanda

0
0
Mziki wa Singeli Wafika Rwanda
Muziki wa Singeli haufanyi vizuri Bongo tu mpaka nje ya mipaka ya nchi yetu watu wanaukubali zaidi.

Msanii Muchoma kutoka nchini Rwanda amethibitisha hilo baada ya kuachia video ya ngoma yake mpya iitwayo ‘Haraka’ ambayo amemshirikisha Mr Kagame ikiwa na mahadhi ya muziki huo ambao umekuwa ukikubalika zaidi maeneo ya uswahilini.

Tume ya Uchunguzi Yajipanga Kumuhoji Trump

0
0
 Tume ya Uchunguzi Yajipanga Kumuhoji Trump
Wanasheria wa Donald Trump wako katika mazungumzo na maofisa wanaoendesha uchunguzi kuhusu Urusi ilivyoingilia uchaguzi ambao wanataka kumhoji rais huyo wa Marekani.

Gazeti la Washington Post likimnukuu mtu ambaye hakutajwa jina lakini akidaiwa kuwa karibu na Trump, limesema kuna uwezekano ofisa anayeongoza uchunguzi huo Robert Mueller akamhoji Trump ndani ya siku chache zijazo. Timu ya wanasheria wa Trump imethibitisha ripoti hizo.

Japokuwa Rais Trump ameeleza kuwa yuko tayari kumpa ushirikiano Muller, wanasheria wake wamekuwa wakijaribu kuhakikisha kwamba mahojiano baina ya ofisa huyo na Trump yanawekewa mipaka maalumu.

Awali taarifa hizo zilitolewa na shirika la habari la NBC, baadaye vyanzo muhimu vililifahamisha gazeti la Washington Post kwamba kuna uwezekano wa Mueller kumhoji Trump hivi karibuni. Ikulu inahangaishwa na uchunguzi wa Mueller kwa sababu hakuna aliyeamini kuwa uchunguzi wake ungeendelea hadi mwaka 2018.

Mueller anachunguza juu ya uwezekano wa kufanyika njama kati ya timu ya kampeni ya kampeni ya Trump mwaka 2016 na Urusi katika uchaguzi wa Marekani.

Wasiwasi kati ya Mueller, mwanasheria aliyeteuliwa kuchunguza juu ya uwezekano wa Urusi uchaguzi, na rais umeongezeka baada ya uchunguzi huo kuwanasa maofisa kadhaa waliopata kuwemo kwenye timu ya kampeni ya Trump.

Utawala wa Trump umekuwa ukikanusha kushirikiana na Urusi wakati wa uchaguzi na rais ameubatiza uchunguzi huo kuwa wa “kusaka mchawi”.

Kwa mujibu wa Washington Post, Muller alidokeza kwa mara ya kwanza juu ya uwezekano wa kumhoji Trump katika kikao na wanasheria wake John Dowd na Jay Sekulow, Desemba mwaka jana.


Sugu Afungika Kuhusu Changamoto za Mziki wa Zamani

0
0
Sugu Afungika Kuhusu Changamoto za Mziki wa Zamani
Mbunge wa Mbeya Mjini na Mkongwe wa Hip Hop, Joseph Mbilinyi 'Sugu'amesema kwamba muziki wa zamani umepitia changamoto nyingi sana ndiyo maana hata katika mistari ya Albam zake za mwanzoni kulikuwa na manenoo ya kiharakati sana.


Akisikika kwenye Planet Bongo Radio, Sugu amesema wakati wakifanya muziki wa zamani changamoto za mitaani walikuwa wakiiweka kwenye nyimbo ikiwa hata purukushani za maaskari na vijana wa mtaa lakini kwa sasa hawezi kuimba vile kwa kuwa ataitwa mchochezi.

Sugu ambaye aliingia Bungeni 2010 amesema kwamba pamoja na kwamba muziki wa zamani haukuwa na kelele za mitandao au picha za utupu, ukweli ndiyo ulikuwa silaha kubwa kwa msanii ili mtaa uweze kumuelewa.

"Love ya mtaa ni kila kitu. Ukishakubalika mtaani hata wa ushuani lazima akubali. Nilikuwa nafanya vitu real, kuwa mkweli kwa watu wangu kulinifanya ni kiki hayo mambo mengine sisi tulikuwa hatuna zaidi ya 'Street Credibility" Sugu.

Sugu anatajwa kama moja ya wasanii wachache wlioweza kubadilisha misimamo ya wazazi wengi na kuamini muziki wa kizazi kipya siyo uhuni.

Ndege Isiyo na Rubani Yashindwa Kuruka Kutokana na Manyunyu ya Mvua

0
0
Ndege Isiyo na Rubani Yashindwa Kuruka Kutokana na Manyunyu ya Mvua
Safari ya kwanza iliyokuwa imesubiriwa kwa hamu na ghamu, ya ndege isiyo na rubani aina ya SureFly yenye uwezo wa kuwabeba abiria ilitibuka baada ya mvua ya manyunyu kunyesha.

Ndege hiyo haingepaa kwa sababu za kiusalama, kampuni iliyounda ndege hiyo ilisema.

Ndege hiyo ilikuwa imeidhinishwa kuanza kupaa na maafisa wa serikali wiki iliyopita.

SureFly, ndege inayotumia injini ya dizeli na umeme, inaweza kuwabeba watu wawili na inaweza kusafiri kwa umbali wa maili 70 (113km) bila kutua.

Bado kuna matumaini kwamba itaanza kufanya kazi hivi karibuni.

Ndege hiyo ni miongoni mwa teknolojia mpya ambazo zilikuwa zinaoneshwa kwenye maonyesho maarufu ya kila mwaka kuhusu teknolojia (CES) ambayo yamekuwa yakifanyika Nevada, Marekani.

Wanahabari walikuwa wamealikwa kushuhudia ikipaa kwa mara ya kwanza karibu na uwanja wa ndege wa jiji la Boulder.

Lakini safari hiyo ilifutiliwa mbali ghafla baada ya mvua ya manyunyu kuanza kunyesha.

Ndege kama hizo zimefanyiwa majaribio kwingine, maarufu zaidi ikiwa ndege ya kampuni ya Volocopter kutoka Ujerumani ambayo ilifanyia majaribio ndege yake Dubai Septemba mwaka jana.

Ndege hiyo ilikuwa na rafadha 18.

Ndege hiyo ya SureFly iliundwa na kampuni ya Workhorse Group yenye makao yake Ohio, na ina rafadha nane. Inaweza kubeba uzani wa kilo 181.

Workhorse waliambia BBC kwamba ndege hiyo haikuwa imeundwa kuzuia maji kuingia ndani, kwa sababu ilikuwa ya majaribio tu. Lakini walisema ndege zitakazoundwa baada ya hiyo zitakuwa na uwezo huo.

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

0
0
Mkuu wa mkoa wa Manyara Bw. Alexander Mnyeti ametengua nafasi za wakuu wa shule za msingi zaidi ya 30 pamoja na maafisa elimu kata 13 wa halmashauri ya wilaya ya Kiteto kutokana na kuzembea kazini na kusababisha wilaya kushuka kitaaluma

Uamuzi huo ameutoa baada ya kupokea taarifa ya Mkuu wa Wilaya hiyo Mhandisi Tumaini Magesa kwenye kikao kazi cha kukutana na watendaji wa serikali, na kutoridhishwa na kiwango cha ufaulu, huku akumuonya afisa elimu wa shule za msingi na utumishi kushindwa kuwachukulia hatua watumishi

“Mkishindwa kusimamia walimu kufundisha tunawafuta, tunaweka wengine, ndani ya wiki mbili tatu nao tukiona wameshindwa tunafuta, na wenyewe tunaweka wengine hivyo hivyo mpaka mwisho, wakati huo tunawasubiri walimu wa sekondari na matokeo yao yakiwa ya hovyop nao tunafuta”, amesema Mnyeti.

Shule za wilaya hiyo zimeshindwa kufikia kiwango cha ufaulu wa wastani wa asilimia 50 katika mtihani wa taifa wa darasa la saba kwa mwaka 2017, na kitendo kilichomkera Mkuu wa Mkoa Mnyeti

Je Wajua Kujamiaana na Mtu Hata Kwa Dakika Moja Unaweka Agano la Damu..Je Wajua Madhara yake?

0
0
Unapohusiana na mtu kimapenzi unafanya naye agano la damu. Agano hilo maana yake ni kwamba wewe unakubaliana na kufungamana na sifa na tabia pamoja na vifungo vingine vyote kama vile laana, mizimu, matatizo na majanga mbalimbali yanayomhusu huyo uliyefanya naye mapenzi, kadhalika na yeye anafungamana na wewe katika mambo hayo. Agano la namna hiyo humtaka aliyeingia katika hayo mapatano kukubaliana nayo "consistently". Iwapo mhusika hatatii au ataenda kinyume na agano, ndipo agano hilo "hutrigger malice" na kusababisha kutokuelewana, vurumai, kutokupendana na hata kuuana katika mahusiano na mara nyingi kupelekea kuachana!

Kimsingi, unapojamiana na mtu unakubaliana naye kuchangia kila kilicho chake, na yeye pia anakubaliana kuchangia na wewe kila kilicho chako, hasa laana na matatizo kama vile magonjwa na mizimu kwa sababu hivi vitu vimejengwa katika maagano ya damu.

Ndio maana wakati mnaoana na mwenzio mlipendana sana, lakini kwa sababu wewe au mwenzi wako alichepuka na kufanya maagano: ugomvi, mapigano, kutishiana, chuki na hata kutaka kuuana hakuishi kila leo! Swala sio wivu kwamba unahisi mwenzi wako anakusaliti au kuhitilafiana katika mambo tu ya kawaida, issue ni yale maagano ya damu ambayo "hudemand price"!

Mara nyingi unasikia watu wanalalamika kuhusu tabia za watoto "huyu mtoto tabia kaichukua wapi, mbona baba na mama yake au ukoo wao hawako hivyo?". Chanzo cha tabia za ajabuajabu za watoto ni matokeo ya michepuko iliyofanya maagano na watu/koo zingine zenye laana. Laana na matatizo yanayoletwa na agano la damu katika familia havihitaji mtu kuchepuka na kuzaa nje ya ndoa, bali tu kuhusiana katika mapenzi!

Mimi nilipoingia kwenye mahusiano na mke wangu nilivunja maagano yote kwa jina la Yesu. Lakini kumbuka kuwa huwezi kuvunja maagano kama vile ya michepuko kwa jina la Yesu ili "kufavor your own evil deeds"!

Maagano yanayofanywa na watu kwa njia ya mapenzi huenda vizazi hadi vizazi. Hii ni sawa kabisa kwa mjibu wa sayansi kwani "hereditary information" kutoka kizazi hadi kizazi hubebwa na viasili vilivyopo katika damu, mfano DNA.

Pasco anaweza kuendeleza hii mada kwa uchambuzi zaidi.

Mie na mke wangu tuna furaha fulltime kwa sababu mapenzi yetu yananawiri kila kukicha, na huwa hatuelewi kabisa matatizo katika ndoa za watu yanatokana na nini! "We are the happiest couple" kwa sababu "we posses several life secrets" mojawapo ni siri kuhusu agano la damu!

Tambueni ya kwamba one of the great decisions a person can make in his/her life ni kuwa na uhusiano wa kimapenzi (hata kwa dakika moja) na mtu kwa sababu anafanya naye life covenant "blood covenant"!
We teach you things that matter most!

- LifeHacker
Viewing all 104423 articles
Browse latest View live




Latest Images