Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Kwa Hili Nitawachukia Wanawake Milele. Na Sitowasamehe.

$
0
0
Naandika nikiwa na kilio cha jitimai na majonzi yasiyoisha milele.

Mwezi desemba mwaka jana nimefunga ndoa na mke wangu.

Lakini tangu tufunge ndoa nikawa na mashaka na mwenendo wa mke wangu.

Wiki mbili zilizopita nilipata jambo la ajabu. Mke wangu kaniambukiza ugonjwa wa ngono. Nilipomuuliza akadai kuwa hajui amepataje.

Nikimweleza twende hospitali anakataa. Nimeenda nikatibiwa na naendelea na tiba.

Juzi usiku nikiwa nataka kupata ukweli nikaja nyumbani na kumwomba tuongee chumbani. Nikatumia mbinu ya kijeshi nikatoa bastola yangu ambayo hajawahi kuiona hata siku moja na nikaanza kumsaili.

Mke wangu akanitajia orodha ya wanaume aliotembea nao ktk kipindi hichi cha ndoa ya miezi 5 inatisha. Katembea na wanaume sita tofauti.

Nilijikuta napoteza nguvu na fahamu. Nilipozinduka mke wangu kadai tutengane kwani dhambi aliyonitendea haipaswi kumsamehe.

Kila baada ya kama masaa 3 napoteza fahamu. Ndugu zangu hawana taarifa. Lakini ndugu na wazazi wa mwanamke wanajua kinachoendelea.

Ni ngumu kuamini ktk hali ya kawaida lakini najikuta kila akija mwanamke akija kunijulia hali nataka kuzimia tu na napata hasira.

Sitofika kupenda tena na nawachukia wanawake hata mama yangu mzazi aliyenizaa.


Pata Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo

$
0
0
MHULI: Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.


Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi?

Wasiliana na Nasi kwa Namba;0783140065 

Hizi Ndio Aina za Wanaume Walioko Katika Ndoa

$
0
0

Habari zenyuuuuuuu kwa ujumla niliwamisije???

Leo nimekuja na hii mada hapa nimeinyaka mahali fulani (Aina ya Wanaume)

1. Bachelor Husband - Huyu hajali familia yeye na marafiki na kushinda nje ya nyumba yake

2. Acidic Husband - Huyu ni mkali kwa kila jambo hata jambo liwe dogo vipi ni kuwaka kwa kwenda mbele

3. Slave Husband - Huyu anataka umnyenyekee kama mfalme yaana ni kama Mungu mtu

4. General Husband - Huyu ni kiwembe aka anawanawake wengi kupita maelezo

5. Dry Husband - Huyu ni mchoyo akitoa pesa ya matumizi anataka kujua hadi shilingi moja imetumikaje

6. Asprin Husband - Huyu anataka shida zake zote mkewe ndo azitatue hata kama yeye mwenyewe ana uwezo

7. Parasite Husband - Huyu ni tegemezi aka Marioo

8. Baby Husband - Huyu hana maamuzi binafsi uamuzi wake hupewa na wazazi ndo aje afanye maamuzi kwa mkewe

9. Visiting Husband - Huyu hataki kujua familia imeshindaje, inaishije, wanakulaje kulala nje kama kawa hata siku tatu

10. Caring Husband - Huyu ni mwenye kujali familia na kuitunza kwa kila jambo

Kwa wanawake wa kwako yuko namba ngapi?

Haya ndio Madhara ya Kurukwa Ukuta kwa Wanawake

$
0
0
1.Mwanamke anayefanyiwa mchezo huu hupata matatizo makubwa wakati wa kujifungua ikiwa ni pamoja na kutokwa na haja kubwa mfululizo wakati akijaribu kumsukuma mtoto.
Tukio hili humsababishia aibu kubwa mwanamke, kiasi cha kumshushia hadhi yake mbele ya jamii.

2.Pia anaweza kumuua mtoto kwa vile kila akimsukuma atoke, pumzi hukata kutokana na misuli inayofahamika kwa jina la ‘sphincter’ kulegea na kusababisha ambane mtoto.

3. Umri unaposonga, haja kubwa hutoka bila kizuizi kutokana na misuli ya sphincter inayobana njia ya haja kubwa kulegea.

4. Inaweza kusababisha saratani ya eneo hilo ‘cancer of colon’.

5. Ugonjwa wa UTI, yaani uambukizi kwa njia ya mkojo, huwa sugu, maana akitokea mwanaume alifanya kitendo hicho kisha akafanya ngono kama kawaida, bakteria wanaoishi sehemu hiyo wanaingia na kuwa na madhara makubwa.
Sita, hasara yake kubwa mwanaume anayekufanyia mchezo huwa hawezi kukuoa, pia ni rahisi kukutangaza kwa jamaa zake na kuonekana kituko mbele za watu, kama umeolewa heshima yako hupungua ndani ya ndoa.


Mwisho kabisa baada ya kuharibiwa ni kuwa na msongo wa mawazo na kuilaumu nafsi yako.
Nina imani umeona baadhi ya madhara hatari kwa mwanamke kuingiliwa kinyume cha maumbile. Mchezo huo ni mbaya, najua aliyeuanza muda mrefu utamsumbua kuuacha kutokana na hali anayokutana nayo. Lakini ukiivumilia kwa muda lazima itakata na kurudi kwenye hali yako ya zamani.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi?

Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Kauli ya Tundu Lissu Baada ya Lowassa Kwenda Kuonana na Rais Magufuli Ikulu

$
0
0
Baada ya Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa kumtembelea Rais Magufuli Ikulu Leo January 9, 2018 Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu  ambaye yupo nchini Ubelgiji kwa ajili ya matibabu ametoa mtazamo wake kuhusu suala hilo

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Lissu amepost picha inayomuonesha Lowassa akiwa Ikulu na kuandika maelezo haya; “Na hatukatai kuzungumza na Magufuli kuhusu matatizo mengi na makubwa yanayoikabili nchi yetu.”

“Lakini ni muhimu na lazima viongozi wakuu wa chama washirikishane na washauriane kabla ya mazungumzo hayo. Na baada ya mazungumzo, ni lazima viongozi wakubaliane juu ya kauli za kutoa hadharani kwa umma ili wote tuwe kwenye ukurasa mmoja.

“Viongozi na wanachama wetu wanashambuliwa hadharani kwa mapanga na hata kwa risasi, kumsifia Rais ni kumuunga mkono yeye. Katika mazingira ya kesi nyingi za kutunga dhidi yetu, ‘kazi nzuri’ inayofanywa ina maana gani, kama sio kuhalalisha ukandamizaji tunaofanyiwa.

“Katika mazingira ambapo hata jumuiya ya kimataifa imeanza kuhoji mwenendo wa Rais Magufuli, kutoa kauli kwamba ‘anafanya kazi nzuri’ ni ‘kumtupia taulo’ la propaganda litakalomfichia madhambi mengi aliyowafanyia Watanzania katika miaka hii miwili.

“Kwa vyovyote vile, kitendo cha Lowassa sio cha kunyamaziwa au kuhalalishwa kwa hoja nyepesi nyepesi.”– Lissu

Bomba la Gesi Kutoka Mtwara Lawaka Moto...Lasababisha Taaruki Kubwa Buguruni

$
0
0
Moto  mkubwa wa gesi umelipuka na kuteketeza nyumba eneo la Hospitali ya Buguruni Mnyamani jijini Dar es Salaam jana jioni  kutokana na Bomba la gesi kutoka Songo Songo, Lindi/Mtwara kwenda Ubungo, Dar, kupasuka na kusababisha moto mkubwa uliozua taharuki kwa wakazi na wafanyabiashara wanaozunguka eneo la Buguruni Mnyamani.

Taarifa za awali za zilisema bomba hilo lililipuka baada ya mafundi wa Dawasco waliokuwa wakichimba kwa ajili ya kupitisha mabomba yao ya maji, kulitoboa bomba hilo la gesi kimakosa.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda Maalum jijini Dar es salaam, Benedict Kitalika, amesema  kwamba mafundi hao walikuwa wakichimba kwa ajili ya kupitisha mabomba yao, na ndipo wakatoboa bomba hilo kimakosa.

Kamanda Kitalika ameendelea kwa kusema kwamba wameshawasiliana na watu wa Mtwara na kufunga bomba hilo, ili kupunguza kasi ya gesi.

Madhara yaliyosabaishwa na moto huo ni kuteketea kwa baadhi ya vibanda vya wafanyabiashara, kuungua kwa nguzo za Tanesco na nyumba moja imeteketea kabisa lakini hakuna mtu aliyeripotiwa kufariki dunia wala kujeruhiwa kutokana na moto huo.

Mtatiro: Lowassa na Magufuli Hawana Hatimiliki ya Mawazo yetu

$
0
0
Edward Lowassa amekwenda Ikulu in his individual capacity (kama mtu binafsi). Lowassa alikuwa mgombea urais wa Tanzania kupitia muungano wa UKAWA mwaka 2015, hiyo haina maana kuwa yale ayafanyayo kati ya 2016 - 2020 yanawakilisha mawazo, matakwa, utashi na mapenzi ya wananchi na wafuasi wa vyama vilivyomo kwenye UKAWA. Na haina maana kuwa yanawakilisha mawazo ya watanzania.

Jambo la kukumbushana ni kuwa, Edward anazo haki zote "as a Tanzanian and an individual" (kama mtanzania na mtu binafsi) kuomba appointment na RAIS na kuzungumza chochote watakacho at individual level (ngazi za watu binafsi) au at individual vs institution capacity (ngazi ya mtu binafsi vs taasisi/rais/ikulu).

Mjadala wetu unapaswa kuwa ajenda. Je, Lowassa amekwenda Ikulu kwa ajenda ipi? Je, Rais alikuwa na ajenda ipi at the same time? Bwana Yule alikwenda ikulu immediately baada ya uchaguzi wa Magufuli, alikwenda kumpongeza Magufuli na kumpa sifa nyingi, Bwana Yule alikwenda at his individual capacity just like what Lowassa did (kama mtu binafsi kama alivyofanya Lowassa) - tofauti yao inaweza kuwa AJENDA, Bwana Yule alikuwa na ajenda ipi na ENL alikuwa na ipi.

Hadi sasa tunafahamu kuwa kilichooneshwa kwenye vyombo vya habari, taarifa ya ikulu na hata video zinazosambazwa zinaonesha Lowassa akisisitiza kuwa alikwenda Ikulu kumpongeza Rais kwa kazi nzuri anayofanya. Ni jukumu la wasaidizi wa Lowassa au Lowassa mwenyewe aidha kutoa taarifa ya ufafanuzi na kuueleza umma yale aliyozungumza na Rais na hayasemwi kwenye taarifa ya ikulu, au kukaa kimya ili yale yaliyoripotiwa na ikulu ndiyo yawe AJENDA iliyompeleka ikulu.

Kama haya yanayoripotiwa na yanayooneshwa kwenye hizi video ndiyo yaliyompeleka Lowassa ikulu basi yeye Lowassa kama mtu binafsi amefanya hivyo kwa utashi na uhuru wake na tuuheshimu. Kwa kawaida ikulu ni mahali pazito na penye mtu mkubwa na majukumu mengi, na unapokwenda lazima uwe na ajenda zito na yenye maana kwa taifa zima.

Rais ni mtu mkubwa, ni mtu ambaye ukichukua dakika zake tano uwe umezungumza naye kuhusu usalama wa nchi, uchumi, ajira, demokrasia, ujenzi wa taasisi, mgawanyo wa madaraka, haki za binadamu, utawaka bora, mapambano dhidi ya umasikini, maradhi na ujinga.

Mimi binafsi nimekwenda Ikulu zaidi ya mara 10 wakati wa Kikwete. Mara zote hizo kwa vikao vya wazi na vya ndani tulikuwa tuna ajenda ya katiba mkononi. Kusingekuwa na ajenda ya katiba au ajenda nyingine nzito, mimi nisingelifika ikulu. Rais Kikwete yako mambo mengi mazuri alifanya, mengine mengi aliboronga, just like what Magufuli does!

Kwenda ikulu ni jambo zuri na la heri lakini kuna msingi ukiwa una ajenda. Ikulu watu hawaendi kumpongeza Rais, huenda kumpa mawazo mapya na kumkumbusha pale asipofanya sawasawa, just like what we did with president Kikwete.

1. KUPONGEZANA kwa Lowassa na Magufuli hakutaondoa ukweli kuwa Tundulissu yuko kitandani na watanzania wanataka kujua wauaji wa Lissu ni kina nani na walitumwa na nani mchana kweupe?

2. KUPONGEZANA kwa Lowassa na Magufuli hakutaondoa ukweli kuwa Rais Magufuli amepiga marufuku shughuli za vyama vya siasa huku chama chake kikiendelea na shughuli hizo waziwazi chini yake.

3. KUPONGEZANA kwa Lowassa na Magufuli hakutaondoa ukweli kuwa nchi yetu kwa sasa inanyimwa uhuru wa kutoa maoni na kuikosoa serikali katika masuala ya msingi, bunge limewekwa mfukoni, vyombo vya habari viko kitanzini na raia wanasakwa na kufungwa kwa sababu wametoa maoni yao.

4. KUPONGEZANA kwa Lowassa na Magufuli hakutaondoa ukweli kuwa uchumi wa nchi umeyumba sana na umasikini umekithiri. Takwimu za serikali zinaonesha uchumi unakua kwa kasi ya JET lakini mtaani hali ni mbaya sana, biashara zinakufa, mabenki yanafungwa, ajira hakuna, mitaji hakuna na mzunguko wa pesa umefariki dunia.

5. KUPONGEZANA kwa Lowassa na Magufuli hakutaondoa ukweli kuwa hali ya usalama wa nchi ni mbovu mno, miili ya watu inaokotwa ikielea baharini na mitoni, wapo watanzania wametekwa na hawajulikani walipo na watu wanaoikosoa serikali wamekuwa wakiwindwa, kutishwa na kufuatiliwa.

6. KUPONGEZANA kwa Lowassa na Magufuli hakutaondoa ukweli kuwa nchi inahitaji KATIBA MPYA, katiba ambayo itajenga mustakabali salama wa ujenzi wa taasisi imara ambazo hazitayumbishwa na mtu au mamlaka yoyote kwenye utendaji wake.

7. KUPONGEZANA kwa Lowassa na Magufuli hakutaondoa ukweli kuwa vita dhidi ya rushwa na ufisadi inasuasua sana, mla rushwa/mtoa rushwa "A" anakamatwa, "B" anaachwa huru, "C" anatishwa na kulindwa "D" anapandishwa cheo n.k. kumekuwa na double standard ya kutosha huku dola ikitaka watu wote waimbe kuwa inapambana na rushwa.

8. KUPONGEZANA kwa Lowassa na Magufuli hakutaondoa ukweli kuwa wao wawili siyo the ABSOLUTE TRUTH of Tanzanians (ukweli mkuu na halisi wa watanzania), watanzania wana ukweli wao, ukweli wa maisha yao na ukweli wa ndoto zao za baadaye, Lowassa na Magufuli hawakuwahi na hawatakuwa na hati miliki ya FUTURE na NDOTO za watanzania.

9. KUPONGEZANA kwa Lowassa na Magufuli hakutaondoa ukweli kuwa mfumo wa uendeshaji wa uchaguzi ndani ya nchi yetu ni wa kibabe, mbovu, usio na tija na usiokubalika katika kusimamia uchaguzi huru na haki na kwamba mfumo huo usiporekebishwa utatuletea matatizo makubwa ya kidemokrasia.

10. KUPONGEZANA kwa Lowassa na Magufuli hakutaondoa ukweli kuwa watanzania wanataka ajira, mazingira ya kujiajiri, mitaji, masoko, maliasili ziwanufaushazo, uhuru wa maoni, haki za msingi za kiraia, utawala bora, demokrasia, bima za afya, fedha mifukoni n.k.

Haijalishi Lowassa na Magufuli wamepongezana kiasi gani, jambo la msingi ni walikuwa na ajenda ipi kubwa ya kujenga usimamizi wa ajenda za watanzania.

Mimi nawaheshimu wote wawili, walikuwa wagombea urais waliotikisa sana miaka miwili iliyopita - lakini wote wawili tunao uhuru wa kuwasema tutakavyo, kuwakosoa tutakavyo na kuwahoji tutakavyo.

Wale vijana wenzangu ambao nimeona wanapambana kutuaminisha kuwa Lowassa amezungumza kwa niaba ya watanzania alipokutana na JPM, na kuwa amewa-shame UKAWA na wana mabadiliko, tafuteni ajenda nyingine mpya.

Lowassa amekwenda IKULU on his own, on his agenda, heshimuni ajenda yake, heshimuni uamuzi wake, yeye ni mtanzania tu. Hojini uzito wa ajenda yake na tuishie hapo.

Juzi Babu Seya alikuwa Ikulu, kushukuru kwa kupata msamaha, Babu Seya si msemaji wa wafungwa ambao hawakupata msamaha na si msemaji wa wale watakaofungwa kesho na kesho kutwa.

Muacheni Lowassa atumie uhuru wake, lakini msisahau kuwa Watanzania wanazo ajenda za kudumu, na wataendelea kuzipigania Lowassa akiwepo au asipokuwepo, na wataendelea kuzipigania Magufuli akiwepo au asipokuwepo.

By Mtatiro J
(Haya ni maoni yangu binafsi, hayawakilishi maoni ya chama changu wala nafasi yangu ndani ya chama.)

Christopher Ole Sendeka Kikaangoni...Kamati ya Bunge Kuhumhoji kwa Kauli Zake

$
0
0
Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge itachunguza na kumhoji Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka kuhusu kauli yake inayodhalilisha Bunge


Maskini..Kumbe Tatizo la Wastara Lilianzia Kampeni za CCM

$
0
0
Msanii wa filamu nchini Wastara Juma amefunguka na kusema kuwa tatizo lake ambalo linamsumbua sasa lilianza kipindi cha mwisho wa kampeni za Uchaguzi Mkuu mwaka 2015 za Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya kuanguka katika kampeni hizo.

Wastara Juma ambaye sasa anahangaika kutafuta milioni 37 kwa ajili ya kwenda kufanyiwa matibabu zaidi nje ya nchi amesema baada ya kuanguka kipindi hicho alisikia maumivu makali sana kwenye mguu wake lakini aliona kawaida ila anadai maumivu ya mgongo ndiyo yalianza kumtisha.

Hata hivyo Wastara amekiri kuwa alipokwenda kufanyiwa matibabu kwa mara ya kwanza alipata 'Support' kubwa kutoka kwa Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan.

Mbali na hilo Wastara amesema kuwa kwa sasa ameshindwa kwenda kumuomba tena Makamu wa Rais kwa kuwa anahisi awali huenda alikuwa anatumia fedha zake hivyo anaogopa kumpa mzigo mkubwa ndiyo maana ameomba kwa kila mwenye kujua matatizo aweze kumsadia ili akapate matibabu tena.

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.


NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.


MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA.


MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.


NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,


Je unamali yako unauza hupati wateja?Wasiliana nami 0716-263605


DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale.

Lema Amvaa Lowassa Baada ya Kukutana na Rais Magufuli Ikulu "Umeikosea Tanzania Mema Yapi Umeyaona Katika Serikali Hii?"

$
0
0
Lema Amvaa Lowassa Baada ya Kukutana na Rais Magufuli Ikulu "Umeikosea Tanzania Mema Yapi Umeyaona Katika Serikali Hii?"
Baada ya aliyekuwa Waziri Mkuu,Edward Lowassa ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu (Chadema) kuonana Rais Magufuli leo. Hatimae Mbunge wa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless lema ameibuka na kuhji kuwa ni mema yapi ameyaona katika serikali ya sasa.

Mh. Lowassa alipotoka Ikulu baada ya mazungumzo alisema kuwa “Nimepata faraja sana kuja hapa Ikulu kuonana na Mhe. Rais, tumezungumza nae na nimempongeza kwa kazi nzuri anayoifanya, lazima tukiri anafanya kazi nzuri na anahitaji kutiwa moyo, Moja kubwa ambalo ni la msingi sana ni la kujenga ajira, katika kuanza ujenzi wa reli ya kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro hapo anajenga ajira na kwenye nchi yoyote inayoendelea suala muhimu ni kujenga ajira,lazima kuwepo na kipaumbele cha kusema kwamba tunajenga ajira, jingine ni la elimu, ni muhimu sana, hauwezi kuacha elimu katika mambo yako unayofanya, hili nalo lazima lisemwe vya kutosha, kwa kweli nakushukuru Mhe. Rais, you made my day,” amesema Lowassa.

Hata hivyo Lema amemhoji Mh. Lowassa kuwa ni mema gani ameyaona katika serikali hii, huku akitolea mfano Mbunge wa Singida Mashariki kuwa anauguza majeraha ya risasi.

“Mh Lowassa,umeikosea Tanzania kwa kauli baada ya kutoka Ikulu,mema yapi umeyaona katika Serikali hii?Wkt Mbunge Lissu bado anauguza majeraha ya risasi,maiti zinaokotwa,Uchumi unaanguka,Benki zinafungwa ,demokrasia imekufa Bungeni /Nje ya Bunge na Sioi mkwe wako bado yuko Magereza,” ameandika Lema kupitia ukurasa wake wa Twitter.

Makonda, Ally Hapi Wamuandikia Ujumbe Huu Mbowe

$
0
0
Makonda, Ali Hapi Wamuandikia Ujumbe Huu Mbowe
January 9 2018 kuna mambo mengi yametokea na yame-trend katika mitandao ya kijamii kutokana na uzito wake, ikiwa ni pamoja na  Rais John Pombe Magufuli kukutana na waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa.

RC Makonda amepost picha ya mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na kiongozi wa Kambi rasmi ya upinzani Bungeni Freeman Mbowe na kuandika “Kaka yangu mpendwa anawatakia usiku mwema”>>>RC Makonda

Post ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda aliyoipost usiku wa January 9 katika ukurasa wake wa instagram imeonekana ku-trend kwa kupata likes nyingi na comment katika kipindi cha muda mfupi

Naye  Mkuu wa wilaya ya Kinondoni Ally Hapi aliposti picha ya Mbowe na Kuandika maneno ambayo ni mafumbo kwa kiongozi huyo wa kambi ya upinzani aliandika "kwa hisani ya joto la Dar es Salaam"


Pretty Kind Amtaka Nuh Mziwanda Kuacha Kutapatapa na Wanamke wa Mjini

$
0
0
Pretty Kind Amtaka Nuh Mziwanda  Kuacha Kutapatapa na Wanamke wa Mjini
MSANII wa filamu za Kibongo ambaye alikuwa mpenzi wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’, Suzan Michael ‘Pretty Kind’ amemtaka mwanaume huyo atulie na aache kutapatapa na wanawake wa mjini.

Akizungumza na Za Motomoto News, Pretty alisema Nuh anatakiwa aache kutapatapa na wanawake wa mjini na ajikite katika kufanya kazi na kuachana na kutegemea kuhongwa na wanawake.

“Niliachana na Nuh maana nilishindwa kuwa na mwanaume ambaye anataka nimlee wakati nami ndiyo natafuta maisha, namshauri atulie sasa afanye kazi atafika mbali sana kuliko kutegemea kuhongwa,” alisema Pretty.

Nuh alipotafutwa kuhusu ishu hiyo, simu yake iliita bila kupokelewa.

Shafii Dauda, Haji Manara Watupiana Vijembe Wafikia Hapa

$
0
0
Shafii Dauda, Haji Manara Watupiana Vijembe Wafikia Hapa
Baada ya Klabu ya Simba jana jumatatu Januari 9, 2018 kutolewa kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi naKlabu ya URA. Msemaji wa Klabu ya Simba Haji Manara na Mchambuzi wa michezo wa kituo cha Radio Clouds FM, Shaffih Dauda wameingia kwenye vita kali ya kurushiana maneno.

Choko choko ilianzia pale Simba SC ilipofungwa, ambapo Shaffih alianza kuposti picha kwenye ukurasa wake wa Instagram akihoji kuhusu mwenendo wa klabu hiyo tangu ulipoanza mwaka 2018.

Shaffih alianza kuposti picha mbalimbali za Simba SC na kuuliza kama kuna uwezekano wa klabu hiyo kukwea ndege msimu ujao akiimanisha kufuzu kushiriki michuano ya kimataifa huku akihimiza mabadiliko ndani ya timu hiyo kuwa yaanzie kwa Haji Manara kwani ndiye anayewapotosha mashabiki wa Simba SC.

Uvumilivu ukamshinda Haji Manara ndipo alipoamua kumtolea uvivu Shaffih Dauda kwa kumwambia kuwa chuki zake binafsi na klabu ya Simba asiwaambukize mashabiki wengine kwa kuposti vitu vya kichochezi na kumuonya kuwa endapo ataendelea basi atamuadabisha yeye pamoja na Radio Clouds FM.

“Tunajua wewe una ugomvi wako binafsi na baadhi ya viongozi wa Simba. Lakini usitafute ugomvi na wanasimba wote, Sie kufungwa sio wa kwanza na hatutakuwa wa mwisho. Unatumia muda mrefu kuittack Simba na post zako za kijinga. Tunajua unajikomba kwa Yanga baada ya kutaka kukupiga kwenye issue ya Akilimali, jipime bro vinginevyo utavunja heshma yako na ya clouds media pia.”ameandika Haji Manara.

Shaffih Dauda naye akaona sio vyema kukaa kimya akaamua kumjibu kwa kumwambia Manara asimtumie yeye kama kichaka cha kujificha, Kwani Simba ilipofungwa na Green Worriors Manara alitumia kichaka cha Omog kuficha makucha.

“Kaka usinitumie mimi kichaka cha wewe kujifichia, last time Simba imefungwa na Green Worriors uljifichia kwa Omoga katimuliwa sasa hivi hauna mahala pa kujifichia.“ameandika Shaffih Dauda na kumtaka Haji Manara ajiuzulu nafasi yake

“Ilibidi wakati huu unaozungumza uwe umeachia nafasi yako kwasababu umekuwa ukiwadanganya kwa kuwapa matumaini hewa wana Simba.“amemaliza Shaffih Dauda.

Hata hivyo mashabiki wengi wa Simba SC wamemshambulia Shaffih Dauda kwa kumuita mchochezi na wengine wakimtaka kutomshambulia Manara amuache afanye kazi yake huku baadhi ya watu wakimshauri Shaffih aendelee kufanya kazi yake ya uchambuzi aachane na uongozi wa Simba.

Trump Kushindana na Oprah Winfrey Kugombania Nafasi ya Urais 2020

$
0
0
Trump Kushindana na Oprah Winfrey Kugombania Nafasi ya Urais 2020
Rais Donald Trump anasema kuwa ''itakuwa furaha'' kutetea wadhfa wake wa urais dhidi ya aliyekuwa nyota wa kipindi cha mazungumzo nchini Marekani Oprah Winfrey huku kukiwa na wito wa yeye kuzindua kampeni ya kuwania urais.

''Ndio nitamshinda Oprah'', bwana Trump aliwaambia maripota wakati wa mkutano kujadili mabadiliko ya sheria za uhamiaji na maseneta wa Marekani.

Mwanawe wa kike Ivanka Trump alijiunga na raia wengine wa taifa hilo kusifu hotuba ya Oprah wakati wa tuyo za Golden Globe.

Mwandani wa Winfrey anasema muigizaji huyo 'havutiwi' na uwezekano wa kutangaza kuwania urais 2020.

Hotuba yake kuhusu umuhimu wa kukabiliana na ukosefu wa usawa wa kijinsia ilivutia pongezi kutoka kila eneo la Marekani.

Alikuwa na Trump na familia yake. Nampenda sana Oprah lakini sidhani kwamba atawania urais.Nilimjua sana, aliongezea.

Miongo miwili iliopita katika CNN, bwana Trump alisema kwamba iwapo atawania urais basi atamchagua bi Winfrey kuwa mgombea mwenza .''Oprah. Nampenda Oprah''.

''Oprah atakuwa chaguo langu la kwanza'', alimwambia mtangazaji Larry King mwaka 1999.

''Iwapo atawania itakuwa vyema.Ni mtu maarufu, ni mtu mwenye kipaji na mwanamke mzuri sana''.

Mbowe Afunguka Haya Baada ya Lowassa Kutua Ikulu

$
0
0
Alicho Kisema Mbowe Baada ya  Lowassa  Kutua Ikulu
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema kwa jinsi utawala wa awamu ya tano unavyoongoza nchi, inahitaji ujasiri wa ziada kusimama na kuusifia.

Mbowe amesema hay oleo Jumanne muda mchache baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward  Lowassa kwenda Ikulu.

Amesema mwaliko wa Lowassa ni wake binafsi na wala hauhusiani na Chadema na hata kile alichokizungumza cha kumsifia Rais Magufuli ni mawazo yake binafsi.


Korea Kaskazini na Kusini Kufanya Mazungumzo ya Kijeshi

$
0
0
Korea Kaskazini na Kusini Kufanya Mazungumzo ya Kijeshi
Korea Kaskazini na Kusini zimekubaliana kufanya mazungumzo ya kijeshi ili kuondoa wasiwasi uliopo mipakani baada ya mkutano wa kwanza katika kipindi cha miaka miwili.

Korea Kaskazini pia itatuma ujumbe katika michezo hiyo ya msimu wa baridi itakayofanyika Korea Kusini mnamo mwezi Februari.

Makubaliano yaliafikiwa kurudisha nambari ya simu ya jeshi ilioondolewa mwaka mmoja uliopita , kulingana na serikali ya Korea Kusini.


Hatahivyo ujumbe wa Korea Kaskazini ulipinga ajenda ya kusitisha mpango wa kinyuklia , Korea Kusini iliongezea.

Wanajeshi wa Korea Kusini wakipiga doria katika mpaka wao na Korea Kaskazini
Idara ya maswala ya kigeni ilisema kuwa Marekani inaendelea na majadiliano na maafisa wa Korea Kusini ambao watahakikisha kuwa kishiriki kwa Korea Kaskazini katika michezo ya Olimpiki hakutakiuka kivyovyote vikwazo vya Umoja wa mataifa.

Baada ya siku moja ya mazungumzo , pande zote mbili zilitoa taarifa ya pamoja ambayo ilithibitisha kuwa wamekubaliana kufanya mazungumzo ya kijeshi ya kuondoa wasiwasi uliopo.

Korea Kaskazini pia ilikubali kutuma kikosi cha michezo ya Olimpiki ikiwemo, wanariadha, mashabiki, wawakilishi wa sanaa, na kikosi cha kuonyesha mchezo wa Takweondo mbali na vyombo vya habari katika michezo hiyo huku Korea Kusini ikikubali kutoa vifaa na huduma zote za kikosi hicho.

Taarifa hiyo pia ilizungumzo kuhusu mabadilishano ya mawazo mbali na mazungumzo ya ngazi za juu kuhusu kuimarisha uhusiano wa mataifa hayo mawili kulingana na chombo cha habari cha Korea Kusini cha Yonhap.

Waliowapa Wanafunzi Mimba Kupimwa DNA

$
0
0
Waliowapa Wanafunzi Mimba Kupimwa DNA
Mkuu wa Wilaya ya Kiteto Mhandisi Tumaini Magesa amesema suala la kuwapa mimba wanafunzi limekuwa na utata kwenye sheria, lakini sasa wamegundua njia mbadala ya kuwabaini wahusika wanaokatisha masomo ya wanafunzi.


Akizungumza kwenye kikao kazi cha kukutana na watendaji wa serikali, Mhandisi Magesa amesema njia ya kisayansi ya kupima vinasaba itatumika kuwabaini baba wa watoto hao, na kuwachukulia hatua za kisheria.

'Watu wa DNA wanakuja hapa, tunasubiri tu wale watoto wajifungue halafu sisi tuthibitishe kwamba DNA yako na yule mtoto ni wewe”, amesema Mhandisi Magesa

Mkuu wa Wilaya ya Kiteto amaefikia uamuzi huo baada ya kuwepo na taarifa za kuwepo kwa wanafunzi 159 waliopewa ujauzito na kukatisha masomo.

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Siku ya Leo

Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images