Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live

Kutana na Mtabibu Wanyota Duniani Kote Maalim Fadhili Rashid Kutoka COMORO Kwa Sasa Yupo Tanzania

$
0
0

KUTANA NA MTABIBIBU WANYOTA DUNIANIKOTE MAALIM FADHILI RASHIDI KUTOKA COMORO KWA SASA YUPO TANZANIA NI BINGWA WAKUTIBU MARADHI SUGU KAMA VILE MIGUU KUUMA NA KUWAKA MOTO PRESHA KISUKARI VIDONDA VYA TUMBO PUMU

MAALIM FADHILI RASHIDI ANAJUWA UMEHANGAIKA SANA LAKINI HUJAFANIKIWA MUONE HARAKA AKUSAIDIE ANADAWA ZA KI COMRO DAWAZAKE HABAHATISHI MUONE HARAKA AKUSAIDIE TEZI NAUVIMBE TUMBONI ANAUWEZO WAKURUDISHA MTUALIE POTEA KIMAZINGIRA (MSUKURE) KUMFANYA MKE MUME MPENZI ASIKUSALITI DAWA YA (LIMBWATA) KUMTAWALA MPENZI WAKO UNAVYOTAKA KUMUONA MBAYA WAKO LIVE KWASABABI MALUM ANATOA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NA NYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA MALI BILA YA MASHARITI NAKUMILIKI MALI ZAMAJINI DAWA YAKUONGEZA UUME ZAIZI UIPENDAYO DAWA YA NGUVU ZAKIUME PIA ANAYO DAWA YAKUONGEZA HIPS SHEPU KUWA NAUMBO BOMBA KAMA UMEIBIWA AMA KUDHULUMIWA UTARUDISHIWA MALIYAKO NDANI YA MASAA (24) ANAFUNGA KESI NAKUPATA HAKIYAKO DAWA YA MVUTO
WABIASHARA KUUZA MALIYAKO KWAHARAKA KUZUIYA CHUMAULETE KUSAFISHA NYOTA NAKUTOWA MIKOSI NA KUPANDISHWA CHEO KAZINI KARIBUNI WOTE TIBA NIKWADINI ZOTE UTAPATA HUDUMA POPOTE ULIPO DUNIANI

CALLING +255719362806/

WHATSAPP CALLING +255785786436/

Dullah Makabila Awaogopa Wanawake Aamua Kuyakimbia Mapenzi

$
0
0
Dullah Makabila Awaogopa Wanawake Aamua Kuyakimbia Mapenzi
Baada ya kuingia kwenye kashfa ya kugombanisha wanawake kwa mwaka 2017, Msanii wa Singeli Dullah Makabila amesema mwaka huu hataki kuendekeza suala la wanawake ingawa anaamini kuwa kama ni warembo wapo tu na ataapata.


Makabila ambaye alikuwa akijihusisha kwenye mapenzi na muigizaji Husna Sajent, amesema kwamba kwav sasa yupo single na kwamba ameelekeza nguvu zake kwenye m,uziki wake kwani mwaka uliopita alishindwa kufanya kazi nzuri kutokana na kuandamwa na skendo.

Pamoja na hayo Makabila amesema mbele ya kamera za eNEWZ kwamba licha ya wasichana wengi kumtaka kimapenzi kutokana na muonekano wake hataki tena mapenzi yachukue nafasi maishani mwake

Mbali na hayo Msanii huyo amesema sababu kubwa ya yeye kuchelewa kutoa nyimbo mpya ni kutokana na kazi nyingi alizokuwa anazipata hapo nyuma hali iliyomfanya kutengeneza mkwanja mrefu mpaka kupoteza mawazo mapya ya kutengeneza nyimbo mpya zenye mvuto.

Snura Afunguka Skendo ya Kukwapua Bwana wa Nisha

$
0
0
Snura Afunguka Skendo ya Kukwapua Bwana wa Nisha
MSANII wa filamu Bongo, Snura Mushi amefungukia uvumi wa kumkwapua bwana aliyekuwa anatoka na msanii mwenzake, Salma Jabu Nisha aitwaye Minu na kusema kuwa, jamaa
huyo ni mtu wake wa karibu tu siyo kimapenzi.

Balaa hilo liliibuka siku chache zilizopita kwenye mitandao ya kijamii baada ya msanii huyo kumtakia heri ya kuzaliwa Minu kwa maneno matamu ambayo watu walianza kujaji kuwa huenda ni wapenzi, ambapo alifunguka kuwa hana uhusiano na mwanaume huyo kwani ukaribu wao ni wa kikazi si zaidi.

“Huyo Minu siyo mpenzi wangu na wala sina muda mrefu tangu nijuane naye, kuna siku alinitafuta baada ya kupewa namba yangu na Nisha, sababu alikuwa ameandika wimbo ambao aliona nafaa kuuimba, sasa kumtakia heri ya kuzaliwa kwa kumwambia nampenda ndiyo kosa?”alihoji msanii huyo.

Dawasco Imekubali Kulipa Fidia kwa Waliounguliwa Nyumba Buguruni

$
0
0
Dawasco Imekubali Kulipa Fidia kwa Waliounguliwa Nyumba Buguruni
Mamlaka ya maji safi na maji taka jijini Dar es salaam DAWASCO imesema itamlipa fidia mmiliki wa nyumba iliyoungua moto jana maeneo ya Buguruni kutokana na moto uliosababishwa na shughuli za mamlaka hiyo.


Akiongea leo kwenye eneo la tukio Mkurugenzi mtendaji wa DAWASCO Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema ofisi yake inaongea na mmiliki huyo ili kuona namna ya kumlipa kutokana na uharibifu uliotokea.

''Tunaongea naye kuona jinsi gani tutamlipa fidia kwa uharibifu huu uliotokea jana jioni ili aweze kuendelea na maisha yake na familia kama kawaida'', amesema Luhemeja.

Kwa upande wake Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Ilala Salum Hamduni amesema zoezi la kuziba bomba la gesi la Songasi ambalo liliungua jana usiku limefanikiwa na hali kwa sasa ni shwari baada ya kufanikiwa kuziba 'valve' zilizopasuka.

Tukio hilo la moto lilitokea jana jioni katika eneo hilo la Buguruni Mnyamani baada ya mafundi wa DAWASCO kupasua kwa bahati mbaya bomba la gesi la Songasi ambalo lilisababisha kulipuka kwa moto huo.

Maskini! Jokate Mzimu wa Mapenzi Wazidi Kumtesa

$
0
0
Maskini! Jokate Mzimu wa Mapenzi Wazidi Kumtesa
HANGAIKO la moyo. Haijalishi una shahada ngapi kichwani au umejaaliwa miliki ya mali nyingi kwa kiasi gani, lakini taasisi ambayo imekuwa ngumu kuiendesha na kuumudu kwa viwango ni mapenzi. Ndiyo, mapenzi ni sayansi adiri na inayohitaji ufahamu mpana kuikabili.

Jokate Urban Mwegelo, yule mrembo namba mbili kwenye mashindano ya u-miss mwaka 2006, analo sononeko la moyo na chozi la mahaba. Amejawa na mapenzi ya dhati na kwa bahati mbaya huyavamia kwa miguu yote miwili lakini mwisho wa siku huambulia kufuta majimaji chini ya mboni za macho yake, machozi. Amekumbana na mengi, amewaamini wengi lakini mwisho wa siku ameishia kujikunyata kwa maumivu na kupakata majuto

Mrembo huyu ambaye kwa sasa amesimika miguu yake kwa kishindo kwenye siasa, amewahi kuripotiwa ‘kuchangia mashuka’ na vijana wengi wa Kibongo lakini wenye kuweka historia mujarabu maishani mwake ni yule mcheza kikapu wa kimataifa, Hasheem Thabit Manka na Mfalme wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba. wote hawa ‘wamefunua na kufunika’ hazina za binti huyu mwenye asili ya Kimakonde na kumuacha njiapanda akihaha mithili ya nyuki watafutao poleni ya kutengeneza asali.

Baada ya sarakasi nyingi za kimapenzi, hatimaye amepasua jipu na kutema yakumbatiwayo na moyo wake. Jokate amesema kwa sasa yuko tayari kuolewa na amemuomba Mungu amkutanishe na mumewe. Jokate yuko tayari kwa familia halali. Kila la heri Jojo, Mungu huingilia kilio cha wanyonge, kwa sasa wewe na mapenzi na mwendokasi basi tena na umeamua kuita ndoa kwa sauti kuu, tunakuombea Jokate.

Kanisa la Muhubiri Anayetengeza ''Fedha za Miujiza'' Lafungwa Botswana

$
0
0
Kanisa la Muhubiri Anayetengeza ''Fedha za Miujiza'' Lafungwa Botswana
Taifa la Botswana limelifunga kanisa la muhibiri mmoja wa Malawi mwenye utata anayedaiwa ''kutembea angani''.

Serikali ilithibitisha kufungwa kwa kanisa la Bushiri la Christian Gathering Church ECG mjini Gaborone mara kadhaa kutokana na wasiwasi kuhusu ''fedha za miujiza''.

Chombo cha habari cha Malawi24 kimeripoti kwamba kanisa hilo lilipinga uamuzi huo mahakamani uliochukuliwa chini ya mwaka mmoja baada ya muhibiri huyo kupigwa marufuku kuingia nchini humo.

Hatahivyo waziri wa Botswana Edwin Batshu alitangaza mnamo mwezi Aprili 2017 kwamba bwana Bashir ambaye sasa anaishi Afrika Kusini atahitaji Visa ili kuingia, licha ya raia wa Malawi kutohitaji kibali hicho kulingana na chombo cha habari cha AllAfrica.com

Serikali imetangaza kwamba kanisa hilo litafungwa kabisa, huku gazeti hilo la Botwana likipata barua ilioambia usimamizi wake kwamba kibali cha kuendesha kanisa hilo kimefutiliwa mbali.

Gazeti hilo limeongezea kwamba ni hatua ya kanisa hilo kutumia ''fedha za miujiza'' ambayo imevunja sheria za taifa hilo.

Bwana Bushiri ambaye ana zaidi ya ''likes'' milioni 2.3 katika mtandao wa facebook na ambaye alivutia umati mkubwa wa kuweza kujaza uwanja wa FNB mkesha wa mwaka mpya bado hajatoa tamko lolote.

Kanisa hilo ni maarufu kwa mtindo wake wa maisha ya kifahari kutokana na ufanisi wake ambao umevutia wafuasi wengi barani Afrika.

Alishutumiwa mwaka uliopita baada ya kubainika alikuwa akiwatoza kati ya dola 80 hadi 2000 wafuasi wake waliotaka kuhudhuria chakula cha jioni naye kulingana na chombo cha habari cha Afrika Kusini South Africa News24.

Wavuliwa Uongozi kwa Kugeuza Madarasa Kuwa Migodi ya Almasi

$
0
0
Wavuliwa Uongozi kwa Kugeuza Madarasa Kuwa Migodi ya Almasi
Uongozi wa Kijiji cha Maganzo umevunjwa baada ya kubainika kuruhusu kuchimba madini ya almasi ndani ya madarasa ya Shule ya Msingi ya Jitegemee wilayani Kishapu na hivyo kuhatarisha maisha na usalama wa wanafunzi na walimu wao.

Amri hiyo ilitolewa na mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainabu Telack baada ya kupokea taarifa kutoka kwa wananchi kuhusu suala hilo wakati wa ziara ya kikazi inayoendelea katika wilaya za mkoa huo.

“Nimesikitishwa na kitendo cha viongozi walioaminiwa na kupewa dhamana ya kuongoza kugeuza vyumba vya madarasa kuwa migodi ya kuchimba madini kiasi cha kusababisha majengo hayo kuwa na nyufa,” alisema Telack.

“Nimevunja uongozi huu kuanzia leo (jana) kwa sababu wamekosa sifa za kuendelea kuwepo madarakani.”

Awali katibu msaidizi wa Baraza la Wazee wa Maganzo, George Mgashi alimuomba mkuu huyo wa mkoa kuvunja uongozi huo kutokana na kukabiliwa na tuhuma kadhaa, zikiwezo ubadhirifu wa fedha za maendeleo na kugeuza madarasa ya shule kuwa migodi ya almasi.

Hoja hiyo iliungwa mkono na mjumbe wa baraza hilo, Nyerere Masanja aliyeongeza kuwa uongozi huo umekuwa ukitoa maneno ya kejeli dhidi ya wananchi wanapohoji vitendo hivyo.

Katika ziara hiyo, Telack pia alikagua na kuelezea kutoridhishwa na ubora wa ujenzi choo chenye matundu 10 uliogharimu zaidi ya Sh33 milioni. Ili kujiridhisha na gharama halisi za mradi huo, mkuu wa mkoa alimwagiza mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Kishapu, Steven Magoiga, aliyekuwepo kwenye ziara yake, kutuma timu kukagua matumizi yote, kuanzia ujenzi wa choo na vyumba vya madarasa na kutaka watakaobainika kujihusisha na ubadhirifu, wachukuliwe hatua za kisheria.

Wanahabari Wanne Wakamatwa kwa Kujifanya Maofisa wa Usalama wa Taifa

$
0
0
Wanahabari Wanne Wakamatwa kwa Kujifanya Maofisa wa Usalama wa Taifa
Wanahabari wanne wa vyombo mbalimbali vya habari wilaya ya Kahama wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kujipatia Sh1milioni kutoka kwa mganga wa jadi baada ya kujifanya maofisa Usalama wa Taifa.

Akizungumza leo Januari 10, 2018 Kamanda wa Polisi mkoa wa Shinyanga,  Simon Haule amewataja waandishi hao na vyombo vyao katika mabano kuwa ni Paul Kayanda (gazeti la Uhuru),  Shaban Njia (Nipashe), Simon Dionis (Radio Kwizera) na Raymond Mihayo wa gazeti la Habari leo, huku mmoja akikimbia.

Amesema watuhumiwa hao walitenda kosa hilo jana Januari 9 saa 7 mchana katika kitongoji cha Ng’wande kijiji cha Bani wilayani Kahama baada ya kumtishia mganga huyo, Jane Mbeshi (46) kuwa wao ni maofisa usalama kutoka mikoa ya Dar es Salaam, Kigoma, Kagera, Shinyanga na Kahama.

Amebainisha kuwa baada ya kujitambulisha, walimtaka mganga huyo kuwapa kiasi cha Sh2 milioni ili wasimtie mbaroni kwa kosa la kupiga ramli chonganishi.

“Januari 6 watuhumiwa walipokea Sh1 milioni kutoka kwa mganga huyo kwa makubaliano kuwa kiasi kingine kilichosalia wangepewa siku nyingine,” amesema Haule na kuongeza,

“Baada ya kupokea taarifa hizo polisi waliweka mtego na kufanikiwa kuwatia mbaroni watuhumiwa watatu kati ya watano waliofika nyumbani kwa mganga huyo kupokea kiasi cha fedha kilichosalia.”

Amesema waliokamatwa kwenye eneo la tukio ni Kayanda, Njia na Dionis huku Mihayo akijisalimisha mwenyewe polisi jana, kwamba mtuhumiwa wa tano, George Maziku anaendelea kusakwa na polisi.

Picha za Utubu, Basata Wamkimbiza Bongo Pretty Kind

$
0
0
Picha za Utubu, Basata Wamkimbiza Bongo Pretty Kind
MSANII wa filamu Bongo, Suzan Michael ‘Pretty Kind’ amepanga kutimkia nchini India alipokuwa anaishi siku chache zilizopita kwa bwana’ke, baada ya kupigwa kufuli na Naibu Waziri wa Habari Sanaa na Michezo, Juliana Shonza kutokana na kuweka picha zisizo na maadili mtandaoni (nusu utupu).

Kwa mujibu wa chanzo chetu, baada ya mwanadada huyo kupewa agizo hilo na serikali alipagawa na kuona haoni faida ya kuendelea kuwepo Bongo kwa kipindi hicho kwa kuhofia kuchekwa na watu na kuona bora arudi India kwa mwandani wake aliyekuwa akiishi naye miaka ya nyuma.



Alipotafutwa na paparazi wetu, Pretty alifunguka: “Ni kweli najiandaa ‘soon’ naenda India, maana masharti niliyopewa ni magumu mno kuambiwa hata picha nisiweke mtandaoni imeniuma sana, ili nitii vizuri hili agizo nimeona bora nisiwepo hapa nchini, adhabu ikiisha nitarudi.”

Rais Magufuli Afanya Uteuzi Mwingine Amteua Bw. Alphayo Kidata Kuwa Balozi.

$
0
0
Rais Magufuli Afanya Uteuzi Mwingine Amteua Bw. Alphayo Kidata Kuwa Balozi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Bw. Alphayo Kidata kuwa Balozi.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na Kuchelewa Kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:


FULL POWER: Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.


NYAMVA: Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788/ 0715741788 -DR MAGISE

Chelsea Yalazimishwa Sare na Arsenal Nyumbani

$
0
0
Chelsea walikuwa nyumbani kuwakaribisha Arsenal katika moja ya mchezo moubwa sana siku ya leo, hadi dakika 90 zinafika timu hizo zilitoshana nguvu ya bila kufungana.

Sare ya leo inazifanya timu hizo mbili kutoka sare mara nne katika msimu mmoja wa ligi idadi kama hii ya sare mara ya mwisho ilitokea ilikuwa msimu wa 2002/2003 kati ya Blackburn na Sunderland.

Katika mchezo huo kama kawada kiungo wa klabu ya Arsenal Jack Wilshere aliumia tena haki iliyoleta hofu kwa mashabiki lakini daktari amesema bado wanaendelea kumpima kujua kama atakuwa nje kwa muda au laa.

Mchezo wa leo pia ulimfanya Francis Coquelin kuwa mchezaji anayecheza ndani ya uwanja aliyecheza michezo mingi bila kuifungia  Arsenal goli, sasa nusu fainali hiyo ya EFL intarajiwa kwenda kurudiwa Emirates hapo baadaye.

Rage Hakubaliani na Simba Kumtimua Omog

$
0
0

Mwenyekiti wa zamani wa klabu ya Simba Alhaji Ismail Aden Rage amesema anaamini kwamba kuna jambo ndani ya klabu hiyo kati ya uongozi, wachezaji na kamati ya ufundi lakini huenda tatizo likawa si kocha na haungi mkono kufukuzwa kwa aliyekuwa kocha mkuu Joseph Omog.

Rage amesema Simba ilifanya makosa kumfukuza omog ambaye aliiongoza klabu hiyo kubeba kombe la FA msimu uliopita lakini pia ameondoka huku timu ikiwa inaongoza ligi huku ikiwa haijapoteza mchezo msimu huu.

”Viongozi wa Simba walifanya makosa makubwa sana kumuondoa Omog, yule kocha alikuwa ameshaweka rekodi nzuri katika klabu Simba, ni muda mrefu sisi hatujashiriki mashindsano ya kimataifa lakini yeye amewezesha tukawa mabingwa wa FA Cup vilevile tumeweza kuongoza ligi hadi sasa.”

“Ukimtoa kocha mkuu halafu kocha msaidizi akapewa majukumu katika mashindano ambayo yana hadhi kubwa haya Mapinduzi nalo hilo nadhani walifanya makosa kama walikuwa na mpango wa kuleta kocha mwingine basi wangetafuta kocha kwa sababu huyu walishamchukua kama msaidizi.”

“Pamoja na matatizo hayo ya kiufundi, ni lazima nikiri kabisa kwamba inaelekea kuna mawasiliano hafifu au kutoelewana baina ya uongozi, wachezaji na kamati ya ufundi. Hapa kuna kitu kinakosekana mimi ningeushauri uongozi wangu wa Simba wajaribu kufanya maongezi kwa sababu nimesoma kwenye mitandao mawazo ya kusema tufukuze au tuadhibu wachezaji ni mawazo yaliyopitwa na wakati. Kinachotakiwa ni kukaa na wachezaji na kuelewa tatizo liko wapi.”

Omog alitimuliwa Simba baada ya kupoteza mchezo wa Azam Sports Federation Cup (FA Cup) dhidi ya Green Warriors ikiwa ni raundi ya pili ya mashindano hayo.

Steve Nyerere "Wanawake Kunigombania Mimi sio Dhambi"

$
0
0
Msanii Steve Nyerere anasema haoni ajabu wanawake kujigonga kwake kwa kuwa yeye ni super star hapa bongo na pia ana pesa chafu,

Steve ameenda mbali zaidi kwa kusema kuwa wapo wanawake wanapigana kwa ajili ya Will Smith wa marekani wengine wanaume wanapigana kwa ajili ya Kim Kardashian
Steve amesema kuwa kwa sasa anaishi na mwanamke na ana watoto

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

$
0
0

Breaking News: Bavicha Wafunguka Kuhusu Lowassa Kukutana na Rais Magufuli Ikulu

$
0
0
Breaking News: Bavicha Wafunguka Kuhusu Lowassa Kukutana na Rais Magufuli  Ikulu
Baraza la Vijana Chadema (Bavicha) limesema kauli za kumsifia Rais John Magufuli zilizotolewa na aliyekuwa mgombea urais wa chama hicho katika uchaguzi mkuu mwaka 2015 sio msimamo wa Chama hicho na wala hawaitambui.

Katibu Mkuu wa Bavicha, Mwita Julius alisema wao kama Baraza wanaungana na kauli ya Mwenyekiti wa Chama hicho, Freeman Mbowe ambaye alisema wao kama chama hawatambui kauli za Lowassa.

" Sisi kama chama tunashangaa katika wakati ambao Taifa halijui mustakabali wake wa kiuchumi, wabunge wa upinzani wanafukuzwa bungeni, wanasiasa wanashambuliwa kwa risasi Mjumbe wa kamati kuu unapataje ujasiri wa kuisifia Serikali?,

" Hatuna hofu yeyote maana zinasikika kuwa Lowassa anaweza kurudi CCM, hayo ni maneno tu na wala hatuna hofu yeyote sisi kama Chama tumewahi kupitia misukosuko mikubwa, na hata sasa tunaona namna ambavyo viongozi wetu wananunuliwa, sisi tupo imara sana na pia tuna uhakika hatoondoka," alisema Mwita.

Aliongeza kuwa suala la Lowassa kwenda Ikulu kuonana na Rais Magufuli wao hawana shida nayo ingawa wanashangazwa na kauli ambazo alizitoa baada ya kufanya mazungumzo hayo.

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

$
0
0
SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670

Lava Lava: Nipo Single Mwanamke Mzuri Ajitokeze

$
0
0
Lava Lava: Nipo Single Mwanamke Mzuri Ajitokeze
Msanii kutokea kundi la WCB Lavalava  alipoulizwa kama ana mpenzi na kwa nini hajawahi kumuweka hadharani haya yalikuwa majibu yake, “hilo swali ninaulizwa mara sabini na watu jamani kama kuna mwanamke mzuri ananiona aje mimi nipo single sina wakumtangaza”

Pamoja na hayo amezungumzia masuala ya upendeleo yanayodaiwa kuwepo katika record label ya WCB ambapo majibu yake yalikuwa haya…..“Diamond amekuwa akisnap nyimbo za wasanii wote wa WCB zikitoka sema kipindi hichi ameonekana kama anamapenzi yaliyopitiliza kwangu lakini siyo kweli,”– Lavalava

“Anapenda nyimbo za watu wote wa WCB, siyo kweli kwamba Diamond anawapendelea wengine kufanya show kubwa ni kwasababu na nyimbo tatu au nne” – Lavalava

Mrisho Gambo Aanika Siri ya Kilichompeleka Lowasa Ikulu

$
0
0
Mrisho Gambo Aanika Siri ya Kilichompeleka Lowasa Ikulu
MKUU wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amefunguka na kuweka wazi kuwa Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa alikuwa na kiu kubwa ya kukutana na Rais John Pombe Magufuli tangu siku nyingi.



Gambo amesema hayo jana Januari 10, 2018 wakati akiongea na waandishi wa habari na kudai kuwa amefurahishwa kuona kiu hiyo ya Lowassa kukutana na Rais Magufuli imefikiwa pale Ikulu huku akidai kuwa hata wao kama viongozi wameweza kujifunza jambo kutoka kwa Rais Magufuli kukubali majadiliano na kiongozi huyo wa upinzani.



“Ni kweli kwamba Mhe. Lowassa alikuwa na kiu kubwa ya kukutana na Rais na Mtanzania yoyote mwenye akili timamu lazima awe na kiu hiyo ya kumuona Mhe. Rais kwa sababu yeye ndiye Rais wetu Watanzania, yeye ndiye amepewa dhamana kutuletea maendeleo sisi kama taifa kwa hiyo mtu yoyote hata kama si Mtanzania ana jambo lake lolote la kimaendeleo njia nyepesi ya kulifanikisha ni lazima ampitie mtu ambaye amepewa mamlaka na Watanzania.” alisema Mrisho Gambo



Aisha Gambo alitumia nafasi hiyo naye kumpongeza Rais John Pombe Magufuli “Nampongeza Mhe. Rais kwanza kwa kuonesha ajenda yake kubwa ni maendeleo kwamba uchaguzi alishamaliza 2015 sasa hivi anajielekeza kwenye maendeleo, ni Rais ambaye hana ubaguzi ameshakutana na viongozi wengi wa dini, wanasiasa na amekutana na makundi mbalimbali. Rais jana ametufundisha uongozi hasa zaidi sisi viongozi vijana” alisisitiza Gambo.



Januari 9, 2018 kiongozi wa CHADEMA ambaye aligombea nafasi ya Rais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Edward Lowassa alimtembelea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es Salaama na kumpongeza kwa kazi nzuri anazofanya.

Lowasa Akutana na Mbowe Kumpa Mrejesho Alichozungumza na Rais Magufuli

$
0
0
Waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa amekutana na mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ili kumpa mrejesho ya alichozungumza na Rais John Magufuli.

Taarifa iliyotolewa leo Alhamisi na Msemaji wa Lowassa imeeleza kuwa kumekuwa na waraka na taarifa nyingi za kupotosha umma kuhusu ziara ya Lowassa kwenda Ikulu na nyingine zikisemwa zimetoka kwa msemaji wake.

“Taarifa zote hizo siyo kweli na wala siyo rasmi kutoka ofisini kwa Mh Lowassa. Baada ya ziara ile, Mhe Lowassa alikutana na mwenyekiti wa chama chake, Mhe Freeman Mbowe na kumpa mrejesho wa yaliyojiri Ikulu.”

“Kumekuwa na taarifa nyingi kwenye mitandao zikiwemo kufunguliwa kwa akaunti mbalimbali feki , taarifa zote hizo zipuuzwe kwani zina lengo la kupotosha kwa malengo wanayoyajua wapotoshaji hao pamoja na mawakala wao,”

“Taarifa rasmi zitatolewa kwa njia rasmi na watu wenye mamlaka hiyo.poleni kwa usumbufu wote.”

Viewing all 104712 articles
Browse latest View live




Latest Images