Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104755 articles
Browse latest View live

Diamond Ashinda Tuzo ya Best Male Africa Tuzo za Sound city MVP, Awakalisha Davido na Wizkid

$
0
0
Mwaka 2018 umeanza vizuri kwa nyota wa Tanzania diamond platnumz baada ya usiku wa kuamkia leo nchini Nigeria kulifanyika tuzo za Sound City MVP na kuudhuriwa na mastaa wote wa Nigeria.
Diamond alikuwa kwenye kipengele cha Best Male act Africa akichuana na nguli wengine kutoka Africa
Davido
Sarkodie
Olamide
Wizkid
Navio
Runtown
Diamond platnumz ( winner)
2face
Amekuwa msanii wa kwanza kutoka Africa mashariki kushinda tuzo hiyo

Best female Act Africa akishinda Tiwa Savage kutoka Nigeria
Hata hovyo Davido aliibuka na tuzo 3 huku Wizkid akishinda 2
Cassper Nyovest aliibuka na tuzo ya msanii bora wa Hip hop

Soma Kirahisi Habari za Siasa na Ajira Kupitia Application ya Mchambuzi Huru..Download Hapa

$
0
0
Kama Bado Huna Application ya Mchambuzi Huru Kwenye simu yako basi unaweza kuidownload kwa kubonyeza HAPA.....ni Bure Kabisa

INSTALL NOW

Au Bonyeza Picha ifuatayo chini:

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

Wasiliana nasi +255 622588038au 0679119679 au +255 764318107

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Thea Afunguka Kuhusu Kufunga Ndoa Mwaka Huu

$
0
0
Thea  Afunguka Kuhusu Kufunga Ndoa Mwaka Huu
STAA wa Filamu za Kibongo, Salome Urassa ‘Thea’ ameweka wazi kuwa, baada ya kutengana na mumewe Mike Sangu na kukaa kimya muda mrefu, sasa anatangaza rasmi kwamba mwaka huu ndio mwaka wake wa kuingia kwenye ndoa nyingine iwapo Mungu atamjalia.

Akipiga stori na Risasi Jumamosi Thea alisema kuwa, anavyoona yeye kwa mipango ya Mungu mwaka huu atapata ndoa nyingine kwani ni mwaka wa baraka kwake.

“Nitaolewa mwaka huu ni mwaka wa baraka na ninaamini Mungu atanijaalia kama ninavyomuomba, ili mambo na mipango niliyoipanga isiende tofauti,” alisema Thea.

Hii Hapa Kauli ya Sumaye kwa Wanaohama Chama

$
0
0
Hii Hapa Kauli ya Sumaye kwa Wanaohama Chama
Waziri Mkuu mstaafu na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ukanda wa Pwani, Fredrick Sumaye amedai wabunge na madiwani wanaohama vyama na kupelekea uchaguzi kufanyika tena ni matumizi mabaya ya fedha za wananchi na ufisadi pia.

Mwanasiasa huyo akizungumza na kituo cha runinga cha Azam amesema mtu kuhama chama kimoja kwenda kingine haina shida lakini mtu anapohama labda kwa kushawishiwa au kwa sababu za maslai binafsi si sawa.

“Kama haya yanayotokea ni kwa sababu ya matumizi ya madaraka ama matumizi ya fedha hili jambo tulikemee sote,” amesema.

“Huwezi kutoka mbunge ama diwani kutoka Chadema/CUF ukaingia CCM halafu wakakuteua uende kwenye eneo lile lile, hii ni kuchezea fedha za wananchi kwa sababu ni kodi za wananchi, huo ni usifadi mkubwa,” amesisitiza.

Kwa kipindi cha mwaka jana wabunge watatu walijiuzulu na kuhamia vyama vingine, waliojiuzulu ni Lazaro Nyalandu, Maulid Mtulia,  Dkt. Godwin Mollel, pia kumekuwa na idadi kubwa ya madiwani wanaohama vyama.

Balozi Akataa Kumuhudumia Trump na Kujiuzulu Panama

$
0
0
Balozi Akataa Kumuhudumia Trump na Kujiuzulu Panama
Balozi wa Marekani nchini Panama amejiuzulu kwa sababu anasema kuwa hawezi tena kuhudumu chini ya utawala wa rais Trump.

John Feely ,rubani wa ndege wa jeshi la wanamaji alisema kuwa ilikuwa heshima kubwa kwake kujiuzulu.

Idara ya maswala ya kigeni ambayo inasimamia mabalozi wa Marekani iligundua kwamba amejiuzulu baadaye mwezi Disemba.

Kujiuzulu kwake hakukusababishwa na matamshi ya Trump ya hivi majuzi akiyataja mataifa ya Afrika na lile la Haiti kuwa ''shimo la kinyesi''.

''Kama afisa mdogo anayehusika na maswala ya kigeni, nilikula kiapo kumuhudumia rais na utawala wake hata iwapo sitakubaliana na sera kadhaa'', bwana Feely alisema katika barua yake ya kujiuzulu.

''Washauri wangu walianimbia kwamba iwapo naona siwezi kuhudumu tena basi ilikuwa heshima kujiuzulu.Wakati huo umefika''.

Katibu wa kudumu wa wizara ya maswala ya kigeni Steve Goldstein alithibitisha kwamba anajua kwamba bwana feely alitaka kuondoka kabla ya matamshi ya rais Trump ya siku ya Alhamisi.

Alisema kwamba balozi huyo ambaye alikuwa akifanyia kazi Marekani ya Latini alikuwa akiondoka kutokana na sababu zake za kibinafsi.

Baadhi ya sera za rais Trump zimesababisha hisia kali , ikiwemo hatua yake ya hivi karibuni kufutilia mbali vibali vya kuishi kwa raia wengi wa El Salvado, Haiti na Nicaragua wanaoishi nchini Marekani baada ya majanga.

Bwana Feely sio afisa wa kwanza wa wizara ya maswala ya kigeni kujiuzulu.

Elizabeth Shackeford aliehudumu mjini Nairobi kwa ujumbe wa Marekani nchini Somalia alijiuzulu mwezi Disemba.

Baada ya Siku 61 za Lulu Gerezani Idriss Sultan Kaandika Hivi

$
0
0

Baada ya Siku 61 za Lulu Gerezani Idriss Sultan Kaandika Hivi
Kupitia instagram page ya Idris Sultan ameandika ujumbe ambao umewakumbusha wengi tukio la Elizabeth Michael “Lulu” kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili jela baada ya kukutwa na hatia ya kumuua bila kukusudia muigizaji mwenzake marehemu Steven Kanumba.


Idris Sultan na Elizabeth Michael wamefanya kazi pamoja katika tamthilia ya SARAFU na moja kati ya kipande katika tamthilia hiyo kimeonyesha kuwa Elizabeth Michael ndiye anayemtembelea Idris Sultan gerezani wakati uhalisia wa sasa ni tofauti.

Idris Sultan aliandika “Kinyume cha hali halisi ya leo

Kamati Kuu ya Chadema Washindwa Kukutana Leo Kupisha Msiba wa Mama Mzazi wa Kibatala

$
0
0
Kamati Kuu ya Chadema Washindwa Kukutana Leo Kupisha Msiba wa Mama Mzazi wa Kibatala
Kamati Kuu ya Chadema iliyokuwa imepangwa kufanyika leo imeahirishwa hadi kesho.

Kikao hicho kimeahirishwa ili kutoa fursa ya viongozi na wanachama wa Chadema kushiriki mazishi ya Anna Mayunga ambaye ni mama wa mkurugenzi wa sheria wa chama hicho, , Peter Kibatala.

Akizungumza na Mwananchi leo Jumamisi Januari 13, 2018, Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje, John Mrema amesema “ni kweli Kamati Kuu ilikuwa ikutane leo lakini imeahirishwa hadi kesho(Jumapili).”

“Tumeahirisha ili kutoa nafasi ya viongozi kushiriki mazishi ya mama yake Kibatala yanayofanyika leo(Jumamosi) Morogoro mjini na Kamati Kuu itakutana kesho(Jumapili) jijini Dar es Salaam.”

Mrema amesema marehemu Anna alifariki juzi Alhamisi baada ya kuangukiwa na ukuta wa nyumba aliokuwa amejikinga na mvua zilizokuwa zikinyesha na kudai kwamba si pekee aliyefariki kuna wengine pia.

Amesema mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe tayari yupo mkoani Morogoro kuhudhuria mazishi hayo akiwa pamoja na viongozi wengine na wabunge.


Uchebe Afunguka Alivyombembeleza Shilole Asitoe Mimba Yake

$
0
0
Kumbe Shilole Mama Kijacho!..... Uchebe Afunguka Alivyombembeleza Shilole Asitoe Mimba Yake

Wanaume wa Dar Mnalalamika watu wanawaonea oneni sasa nini hiki!? Kweli kidume anamwambia mkewe ahustle kwa bidii ili wasije kosa hela!? You hoes ain't loyal kabisa!

Mataifa ya Afrika Yamjia Juu Trump Yamtaka Kuomba Msamaha

$
0
0
Mataifa ya Afrika Yamjia Juu Trump Yamtaka Kuomba Msamaha
Umoja wa Afrika unasema matamshi ya yanayodaiwa kutolewa na rais wa Marekani Donald Trump kuhusu bara Afrika ni wazi kwamba ni ya ubaguzi wa rangi.

Msemaji wa umoja huo , Ebba Kalondo, amesema toni la matamshi hayo lilikera hata zaidi ikikadiriwa idadi ya Waafrika waliouzwa kama watumwa Marekani.

Umoja huo unataka rais Trump aombe msamaha.

Inadaiwa kwamba rais Trump alitoa matamshi hayo dhidi ya Africa, Haiti na Elsavador kwenye ikulu ya White house katika mkutano na wabunge wa congress.

Matamshi hayo yamekashifiwa na wengi, likiwemo shirika la kimataifa kuhusu haki za binadam.

Mwenyekiti wa tume ya muungano wa bara Afrika Moussa Faki Mahamat
Siku ya IJumaa bwana Trump alituma ijumbe wa Twitter akisema kwamba lugha aliyotumia wakati wa mkutano wake na wabunge wa Congress ili kuzungumzia swala la uhamiaji ilikuwa ngumu.

Lakini aliongezea kwamba maneno anayoshutumiwa kutoa sio lugha aliyotumia.

Botswana yamshutumu Trump kwa kutusi nchi za Afrika
Umoja wa Afrika ulisema nini?

''Matamshi yalitolewa na Trump hayana heshima ya tofauti iliopo na haki za kibinaadamu''.

Uliongezea: Huku tukionyesha kushangazwa kwetu , Umoja wa Afrika unaamini pakubwa kwamba utawala mpya wa Marekani haulielewi bara la Afrika na watu wake.

''Kuna umuhimu mkubwa wa kuwepo kwa mazungumzo kati ya utawala wa Marekani na mataifa ya Afrika''.

McGregor, Mayweather Wazidi Kutunishiana Misuli Mitandaoni

$
0
0
McGregor, Mayweather Wazidi Kutunishiana Misuli Mitandaoni
Imepita miezi mitano tangu Conor McGregor alipodondoshwa katika mzunguko wa 10 na Floyd Mayweather, lakini bifu lao halionyeshi ishara ya kupungua.

Mayweather alistaafu kwa mara ya pili katika pambano lake na McGregor. Huku McGregor akifanya kila mtu kumsubiri yeye kurudi ulingoni , wawili hawa wanaendelea kutumia vyombo vya habari vya kijamii kujigamba dhidi ya mwenzake .

Jumatano, Mayweather aliweka picha kwenye Instagram ikionyesha jinsi alivyomtungua McGregor katika pambano lao

Na McGregor hakupoteza wakati naye akatuma picha ya kujigamba

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Siku ya Leo

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na Kuchelewa Kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:


FULL POWER: Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.


NYAMVA: Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0783741788/ 0715741788 -DR MAGISE

Mzee Dalali Awatolea Uvivu Mastaa Simba

$
0
0
Mwenyekiti wa zamani wa Simba Mzee Hassani Dalali amewashukia wachezaji mastaa wa klabu hiyo kwamba wanatakiwa kujituma na kupambana kwa ajili ya klabu ili ipate ubingwa, hakuna mchezaji ambaye ni mkubwa kuliko klabu ndio maana wamesajiliwa.

Dalali amsema hakuna kitu kingine ambacho wanachama wa klabu hiyo wanahitaji zaidi ya ubingwa ambao wameukosa kwa muda mrefu.

“Hata kama jina lako kubwa Simba ni kubwa kuliko wewe ndio maana imekusajili, onesha uwezo wako sisi tunahitaji ubingwa hakuna kitu kingine. Katika miaka nane tangu nimeondoka madarakani tumechukuwa ubingwa mara moja (2011/12) wakati Ismail Aden Rage akiwa madarakani lakini ubingwa ule si kwa kumfunga mtu, wamecheza Mtibwa na Azam, kafungwa Azam Simba kawa bingwa wakati yupo nyumbani kalala.”

“Timu ya Mbao kuna kijana mdogo anaitwa Imran Kalman ameidhamini Mbao kawapa basi anatoa pesa nyingi katika timu, angalia Mbao wanavyocheza wanajituma, wanaona thamani ya timu yao walicheza na Simba 2-2 Yanga kaingia kafungwa iweje sisi Simba? Wachezaji wanashindwajie kupafomu uwanjani? Wanachama wanaumia, mimi naomba wachezaji wa Simba kama kuna tatizo waweke wazi kwa viongozi, wazee au wadhamini wa klabu wakaseme kama wanadai au viongozi.”

Msuva Atabiri Ubingwa wa Yanga Katika Mchezo wa Ligi Kuu Bara

$
0
0
Msuva Atabiri Ubingwa wa Yanga Katika Mchezo wa Ligi Kuu Bara
STRAIKA wa Difaa Al Jadida ya Morocco na Taifa Stars, Saimon Msuva, amesema kwa namna alivyoishuhudia Yanga katika Kombe la Mapinduzi, itakuwa ngumu kufungika katika Ligi Kuu Bara kwani vijana waliopewa nafasi wameshajiamini na wataipa ubingwa.

Msuva ambaye msimu uliyopita aliisaidia Yanga kutwaa ubingwa wa ligi kuu kwa mara ya tatu mfululizo, hivi karibuni alirejea nchini kutoka Morocco kwa mapumziko mafupi.


Hadi sasa akiichezea Difaa, Msuva ameifungia timu hiyo mabao matano kwenye michezo 14 ya Ligi Kuu ya Morocco.

Akizungumza na Championi Jumamosi alisema vijana hao akiwemo Yohana Nkomola, Ramadhan Kabwili na Said Musa wameweza kufanya vizuri hivyo wataiwezesha Yanga kutwaa ubingwa bila kufungwa katika michezo iliyosalia.


“Kwa jinsi nilivyoifuatilia Yanga katika Kombe la Mapinduzi, hakuna mwaka ambao imeweza kutumia vijana wengi kama mwaka huu katika michuano hiyo na wamefanya vizuri.

“Yanga imeandaa watu wengi wa kupambana kiasi kwamba kikosi chao kimepata wachezaji wengi sana na kukifanya kuwa kipana, kwa kasi yao ile ya Mapinduzi nina imani hata ligi kuu wataisaidia sana hawa vijana

“Wale vijana kila mmoja ameshajiamini na ana machungu ya kuchukua kombe hivyo wapinzani wao wajipange sana kwani uwezekano wa kutetea ubingwa wao umeongezeka na kuwa mkubwa,” alisema Msuva.


Katika Kombe la Mapinduzi, Yanga iliishia katika nusu fainali ilikotolewa na URA ya Uganda kwa penalti 5-4, wiki ijayo inacheza na Mwadui FC mechi ya ligi kuu.


Baba Ajiua Baada ya Kukosa Ada ya Kumlipia Mtoto Shule

$
0
0
Baba Ajiua Baada ya Kukosa Ada ya Kumlipia Mtoto Shule
Tupo katika mwezi January, mwezi ambao shule hufunguliwa na wazazi wanakuwa na jukumu la kulipa ada ili watoto waende shule.

Sasa nikusogezee stori kutoka katika eneo la Githurai nchini Kenya ambapo mwanaume mwenye umri wa miaka 39 amejiua baada ya kushindwa kupata ada ya mtoto wake ili aanze kidato cha kwanza.

John Castrol Okombo aliandika ujumbe kabla ya kifo chake akieleza kuwa asingependa kuendelea kuwa hai huku akimuona mtoto wake akishindwa kwenda shule.

Taarifa iliyorushwa katika Television ya Citizen imemnukuu Okombo katika ujumbe huo akisema kwamba asingeweza kuishi na kumuona mtoto wake akishindwa kuendelea na masomo wakati kuna mtu alimtapeli  Ksh 759,000 ambayo ni zaidi ya Tshs Milioni 16 za Kitanzania.

Katika ujumbe huo, Okombo ameeleza  kuwa mtu aliyemtapeli anaitwa Oliver ambaye hajamlipa pesa zake kwa kipindi cha mwaka sasa.

Okombo alimuagiza Oliver kutuma pesa kwa mke wake ili ziweze kumsomesha mtoto wao pia alimuagiza mke wake kuuza shamba lao ili aweze kumlipia ada mwanafunzi huyo.

ACT Wazalendo Wapanga Kukutana na Makatibu Wakuu wa Vyama vya Upinzani

$
0
0
ACT Wazalendo Wapanga Kukutana na Makatibu Wakuu wa Vyama vya Upinzani
Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Dorothy Semu na Katibu Mkuu wa Chama Cha NCCR Mageuzi Juju Danda hivi karibuni wamekutana na kufanya mazungumzo ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa maelekezo ya Kamati Kuu ya ACT Wazalendo.

Kamati hii ilimtaka Katibu Mkuu huyo Semu kukutana na Makatibu Wakuu wa vyama vyote vya upinzani ili kujadiliana na kupanga namna bora ya kupigania kwa pamoja misingi ya kidemokrasia.

Katibu Mkuu Semu pia amekwishakutana na kufanya mazungumzo na Katibu wa Chama cha Democratic Party (DP) Joachim Mwakitiga kama maagizo yalivyotolewa.

Azam Kibaruani Leo Kutetea Taji Lake Kombe la Mapinduzi

$
0
0
Azam Kibaruani Leo Kutetea Taji Lake Kombe la Mapinduzi
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, Leo Jumamosi itakuwa kibaruani kutetea taji lake la Kombe Mapinduzi, pale itakapokuwa ikipambana na URA ya Uganda kwenye mchezo wa fainali utakaofanyika Uwanja wa Amaan, Zanzibar saa 2.15 usiku.

Mbali na kuwa mtihani wa kutetea ubingwa walioutwaa mwaka jana kwa kuifunga Simba bao 1-0, Azam FC pia itakuwa ikifukuzia rekodi mbili na kuweka historia mpya kwenye michuano hiyo iliyoshirikisha timu 11 mwaka huu.

Rekodi ya kwanza ni ile ya kurudia mafanikio waliyoyapata miaka mitano iliyopita walipolitwaa taji hilo mara mbili mfululizo mwaka 2012 na 2013, hivyo wakilibeba tena kesho itakuwa wamerudia mafanikio hayo kwani mwaka jana walilitwaa na mwaka huu pia.

Mpaka sasa michuano hiyo ikiwa katika mwaka wa 11, hakuna timu yoyote iliyolitwaa taji hilo mara mbili mfululizo isipokuwa Azam FC iliyoweza kufanya hivyo.

Aidha rekodi ya pili, Azam FC ikilitwaa taji hilo kesho kihistoria itakuwa ndio timu pekee iliyolitwaa mara nyingi miongoni mwa timu zilizowahi kubeba kombe hilo, itakuwa imefanya hivyo mara nne na kuizidi Simba ambayo imelitwaa mara tatu.

Azam FC imetinga fainali baada ya kuichapa Singida United bao 1-0 lililofungwa na mshambuliaji Shaaban Idd, huku URA ikiitoa Yanga kwenye hatua ya nusu fainali kwa changamoto ya mikwaju ya penalti 4-3 baada ya suluhu ndani ya dakika 90.

Akizungumza mara baada ya mazoezi ya mwisho leo jioni, Kocha Msaidizi wa Azam FC, Idd Cheche, alisema tayari wamemaliza kazi ya maandalizi ya mchezo huo huku akidai wachezaji wako kwenye hali nzuri tayari kufanikisha ushindi muhimu kesho.

“Mara nyingi unapocheza na timu ngumu unatengeneza mipango yako lakini inakuwa ni siri ya klabu kwa hiyo hatuwezi kusema tunaingia na mbinu gani lakini URA tumeshacheza nao zaidi ya mara moja na tunawajua, tumewaona walivyokuwa wakicheza mechi za hapa na tunajipanga ni jinsi gani tutavunja nguvu zao na kutumia udhaifu wao,” alisema.

Alisema timu hiyo kadiri inavyoendelea kucheza mechi za michuano hiyo wanazidi kuimarika akidai kuwa walivyoanza kucheza mechi za mwanzo ni tofauti na wanavyomalizia.

“Kwanza tunavijana wengi na wote wako tayari kwa hiyo wanatupa hamasa kiasi kwamba kadiri unavyokwenda hawaonyeshi kuchoka na wanaonyesha kupambana zaidi na kiwango kinazidi kuongezeka kwa hiyo inatupa matumaini kutetea kombe letu,” alisema.

Akielezea siri ya mafanikio ya kikosi hicho kuingia fainali mbili mfululizo, Cheche aliongeza kuwa: “Siri ya mafanikio ni umoja na kukubaliana, wote tunaumoja, tumekubaliana hii ni kazi yetu tuhakikishe tunaifanya vizuri na tunaimalizia vizuri.”

Naye Nahodha wa timu hiyo, Himid Mao ‘Ninja’, akizungumza kwa niaba ya wachezaji wenzake, alisema kuwa: “Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kambi yetu iko vizuri, wachezaji wote wako kwenye hali nzuri kila mtu nafikiri anatamani kupata nafasi ya kuiwakilisha Azam FC na kuipatia matokeo.”

Mabingwa hao wanaodhaminiwa na Maji safi ya Uhai Drinking Water, Benki ya NMB na Tradegents, wakitwaa taji hilo watakuwa wamebeba kombe la kwanza msimu huu huku wakiwa kwenye hatua nzuri ya kuyatwaa mengine mawili, lile la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) wakiwa wamelingana pointi na Simba kileleni kila mmoja akiwa nazo 26.

Katika hatua nyingine, pia Azam FC imetinga raundi ya tatu ya michuano ya Kombe la FA (Azam Sports Federation Cup) ikitarajia kukipiga na Shupavu FC ya Morogoro kati ya Januari 31 au Februari Mosi mwaka huu, mchezo ukipigwa ugenini Kilombero, Morogoro.

Wanigeria wamvimbia Diamond Platnumz kisa tuzo ya SoundcityMVP

$
0
0
Wanigeria wamvimbia Diamond Platnumz kisa tuzo ya SoundcityMVP
Baada ya msanii wa muziki Diamond Platnumz kutoka Tanzania, kuibuka msindi wa tuzo ya muziki ya Soundcity MVP Awards 2017, kupitia kupengere cha ‘Best Male MVP’ wadau na mashabiki wa muziki nchini Nigeria wameonyesha kutofurahishwa na ushindi huo.


Katika kipengere hicho alichoshinda Diamond, alikuwa akichuana na wasanii kama Runtown, Davido, Olamide, 2face Idibia, Wizkid, Shatta Wale, Navio na Sarkodie.

Kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter mashabiki hao wameonyesha hisia zao za kutofurahia ushindi wa msanii huyo.

7h

Osas Cruz
@OsasCruz
Replying to @OsasCruz
Davido Giving Shout-out to Wizkid acknowledging his hard work. That's how it should be #SoundcityMVP 👏 pic.twitter.com/Igugtebz19


Osas Cruz
@OsasCruz
How Diamond Platnumz beat Wizkid, Davido, Olamide, to win the BEST MALE MVP should be the greatest fraud ever 😎

9:30 AM - Jan 13, 2018
 8 8 Replies   24 24 Retweets   84 84 likes
Twitter Ads info and privacy

Övie

@OvieO
Diamond who???!!!!! Best Male??!!! This place just flipped!!! Hooooowwww????!!!!!

2:50 AM - Jan 13, 2018
 9 9 Replies   25 25 Retweets   24 24 likes
Twitter Ads info and privacy
View image on Twitter
View image on Twitter

pls follow back®
@Slyxra
Best male Diamond platnumz... Wait how

3:38 AM - Jan 13, 2018
 4 4 Replies   29 29 Retweets   44 44 likes
Twitter Ads info and privacy
13h

SOUNDCITY AFRICA!

@SOUNDCITYtv
Diamond Platnumz wins 'Best Male Act' at the #SoundcityMVP!

Stream Live on: http://soundcity.tv/themvp-liveblog


Lil iz
@LilizMusic
pls

mention just one hit single from diamond that took AFRICAN AIR IN 2017 @SoundcityMVP 

diamond ko BRONZE NI#SoundcityMVP

3:11 AM - Jan 13, 2018
 7 7 Replies   Retweets   8 8 likes
Twitter Ads info and privacy
13h

SOUNDCITY AFRICA!

@SOUNDCITYtv
Diamond Platnumz wins 'Best Male Act' at the #SoundcityMVP!

Stream Live on: http://soundcity.tv/themvp-liveblog


Scrappi
@Scrapp_i
You people should not do and end up like “HEADIES AWARD” what’s diamond platnumz, stop joking with us and give us the real winner pic.twitter.com/3RBAf7tovf

4:58 AM - Jan 13, 2018
View image on Twitter
 Replies   Retweets   1 1 like
Twitter Ads info and privacy
Ugawaji wa tuzo hizo umefanyika usiku wa jana nchini Nigeria na msanii Davido aliibuka kinara kwa kutwaa tuzo tatu kubwa ambazo ni ‘Song of the Yeara’, Video of the year’ na ‘African Artist of the Year Award’.

Je Una Upungufu wa Nguvu za Kiume, Hamu ya Tendo la Ndoa au Maumbile Madogo ya Uume?

$
0
0
JE, UNA UPUNGUVU WA NGUVU ZA KIUME, HAMU YA TENDO LA NDOA AU MAUMBILE MADOGO YA UUME?

SOMA HAPA
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume au ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa limezidi kuongezeka kwa kasi duniani kote na limekuwa chanzo kikubwa cha ndoa nyingi na mahusiano kukosa uaminifu kutokana na wengi kutoka nje ya ndoa ili kupata mtu atakayemtosheleza na kumfikisha kileleni. Pia udogo wa maumbile ni tatizo kubwa na limekuwa likiwakosesha wanaume wengi uwezo wa kujiamini katika tendo na kusababisha tendo hilo kutokufanyika kwa usahihi. Hili pia huchangia kwa kiasi kikubwa wanawake wengi kwenda nje ya ndoa ( MAHUSIANO) kutafuta mbadala wake.
BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Uume kusinyaa katikati ya tendo
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.

Kwa kutumia mimea na matunda bila kemikali   @markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-

1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 5.5 hadi 6 @150,000/=
3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 6.5 hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @200,000/=
4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/=
5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni na kuweza kurudia tendo ×3. @150,000/=
BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA KIAFYA NA ZIMETHIBITISHWA
NA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO).
KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :-
@markson_beauty_pr

WEB:www.markbeauty.org
Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa
(+255)0767447444 na
0714335378

UTAPATA HUDUMA
NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.
Viewing all 104755 articles
Browse latest View live




Latest Images