Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104775 articles
Browse latest View live

Serikali Yalidhika na Hatua Iliyochukuliwa na Gazeti la Nipashe ya Kumuomba Radhi Rais Magufuli

$
0
0
Serikali Yalidhika na Hatua Iliyochukuliwa na Gazeti la Nipashe ya Kumuomba Radhi Rais Magufuli
Serikali imeridhia hatua zilizochukuliwa na uongozi wa kampuni ya IPP Media kumuomba radhi Rais John Magufuli na kulifungia gazeti la Nipashe Jumapili kwa muda wa miezi mitatu kutokana na kuchapisha habari ya uzushi na upotoshaji.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abbas, leo Januari 15, 2018, gazeti hilo lilichapisha habari katika toleo namba 0579459 la Jumapili Januari 14, yenye kichwa cha habari “JPM akerwa wanaomtaka adumu urais kama Kagame.”

Dk Abbas amesema habari hiyo ilisheheni uzushi na upotoshaji na kwamba mwandishi aliihusisha isivyo halali Serikali ya Rwanda katika taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasilisno ya Rais (Ikulu) juu ya Rais Magufuli kusisitiza kwamba hana nia ya kubadili Katiba ili kujiongeza muda wa kukaa madarakani.

“Kwa makosa haya na hatua zilizochukuliwa haraka na wahusika, tunatumia fursa hii kuwapongeza wamiliki na wahariri wa Nipashe Jumapili na IPP Media kwa wao wenyewe kujitathmini, kujikosoa na kujisahihisha,” amesema Dk Abbas.

Amesema pamoja na hatua hizo ambazo IPP Media wamezichukua na Serikali kuzibariki, Rais Magufuli pia amemjulisha kwamba amepokea radhi zao.

Dk Abbas ametoa wito kwa wamiliki wa vyombo vya habari na waandishi wa habari kuzingatia misingi na weledi wa kitaaluma.




Mwizi Baada ya Kukusanya Vitu Alivyotaka Kuiba Apitiwa na Usingizi Alala Kwenye Kochi

$
0
0
Mwizi Baada ya Kukusanya Vitu Alivyotaka Kuiba Apitiwa na Usingizi Alala Kwenye Kochi
Hivi karibuni jeshi la Polisi nchini Ujerumani katika ukanda wa kati limemtia mbaroni mwanaume mmoja mwizi ambaye aliingia kwenye nyumba moja, akiwa na dhumuni la kuiba lakini baada ya kukusanya vitu anavyotaka kuondoka navyo, akapitiwa na usingizi kwenye sofa la ndani ya chumba cha mazoezi ya yoga katika nyumba hiyo.

Ilipofika asubuhi wenyeji wa nyumba hiyo walikuta mwizi huyo amelala kwenye kochi lao na vitu alivyotaka kuiba vikiwa tayari vimefungashwa na ndipo walipotaarifu polisi kuhusu tukio hilo.

Taarifa ya polisi ilieleza kuwa mwanaume huyo wa miaka 40 aliingia kwenye nyumba hiyo usiku akitaka kuiba na kueleza kuwa inawezekana alikuwa ametumia dawa za kulevya jambo lililomfanya ashindwe kutoka badala yake alale usingizi kwenye kochi hilo.

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

$
0
0

SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Siku ya Leo

Paul Makonda Ameagiza Watu Hawa Kukamatwa

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe.Paul Makonda leo amemsaidia Mjane Bi. Benadetha Rwendela aliyedhulumiwa Nyumba yake Plot No. 239 Block B Kunduchi Beach kwa kupigwa mnada na madalali kutoka kampuni ya Nkanya Ltd kinyume na taratibu.


Baada ya RC Makonda kuona taarifa hizo kwenye baadhi ya Vyombo vya habari na mitandao ya kijamii alimwita mjane huyo Ofisini kwake kisha kumkutanisha na Wanasheria wa Mkoa na kubaini utapeli mkubwa uliotumika kuuza nyumba hiyo kutokana na watu kufoji nyaraka ikiwemo Sahihi ya Mwenyekiti wa mtaa huku nyumba hiyo ikiwa na zuio la Mahakama.

Aidha imebainika kuwa hati za nyumba hiyo zilifojiwa kisha kutumika kuchukuwa mkopo wa Shilingi Billion moja pasipo mmiliki wa nyumba kujua kinachoendelea.

Kutokana na hilo RC Makonda ameagiza Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa kuwakamata matapeli waliohusika pamoja kuagiza kusimamishwa mnada huo kwakuwa ni batili huku akimsihi Mama Mjane kuishi kwa amani kwenye nyumba yake.

Kwa upande wake mjane huyo Bi. Benadetha Rwendela ameishukuru Serikali ya awamu ya tano kwa kuwajali Wananchi wake na kuwasaidia pale wanapopata matatizo huku akimpongeza Rais Magufuli kwa kumteua RC Makonda.

Binti wa Advanced Level Sec Ananikosesha Raha Ndani ya Ndoa Yangu

$
0
0

Wajumbe mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 33 Ni Mwajiriwa wa Serikali, nimeoa na nina mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka 3.
Licha ya kwamba niko kwenye ndoa, lakini ilitokea siku moja asubuhi nikiwa barabarani na gari langu nikitokea nyumbani kwangu Mitaa ya Kihonda Magorofani nikielekea kazini Morogoro mjini.Nilikutana na Mwanafunzi kavaa sare za shule na alikuwa akielekea shuleni nae.Nilisimamisha gari na kumuuliza kama anaenda shuleni maana baada ya kuona sare alizovaa niliweza kutambua ni shule gani anasoma.Baada ya kumuuliza kama anaenda shule aliitikia kwamba anaenda shuleni, nilitoa Lock ya Milango ya gari nikamwambia apande nimsogeze kidogo.

Cha kushangaza niliona akifungua mlango wa mbele na kuingia maana nilikuwa peke yangu.Niliondoa gari tayari kuendelea na safari,tukiwa njiani niliweza kumuuliza jina lake, wazazi wake kadharika tulipeana hadi namba za simu.

Baada ya siku mbili alinitumia msg iliyosomeka hivi."Shikamoo, Habari ya kazi?Nimeona sio vizuri kukaa kimya wakati juzi ulinisaidia nikawahi shuleni.Jioni Njema na karibu nyumbani." Bahati mbaya hiyo msg sikuweza kuijibu maana nilikuwa niko na wife na zaidi niliifuta baada ya kuisoma.Baadae nilitafuta nafasi nikampigia kumjulisha msg yake nimeipata akadai amefurahi sana kusikia sauti yangu.Na mimi kama mwanaume nikamuomba atafute muda japo siku moja tukutane tena tuongee.Alikubali na kuniahidi nimtafute siku za Ijumaa jioni, Juma mosi na jumapili maana hizo siku anakuwa free.

Ilipofika Ijumaa nilimtafuta tukaenda Hotel moja nje kidogo ya Mji tukaongea sana na ikafikia hata mimi nikamwambia namtaka, alionekana mpole na akakubali ombi hilo pia akaomba tukutane siku inayofuatia ambayo ni Juma Mosi.Tuliingia kwenye gari nikamuacha jirani na nyumbani kwao na mimi nikarudi kwangu

Jumamosi mida ya saa 8 alinibeep nikampigia then nikamwambia ajiandae ndani ya nusu saa nitampitia. Time ilipofika nilimpitia sehemu tuliokubaliana tukaelekea sehemu husika, huko huko ndio tulipeana mapenzi(Nilimgegeda effectively). Baada ya siku hiyo kugegeda ikawa Continuously.

Ila shida imekuja sasa huyu binti anadai nimpeleke nyumbani kwangu ili nikamtambulishe kwa Mke wangu ili wafahamiane. Nimejaribu kumshauri kwamba yeye bado ni mwanafunzi hivo atulie kwanza amalize masomo yake lakini hanielewi

Anadai kila siku asubuhi niwe nampeleka shuleni na jioni kumrudisha kwa gari langu.Hilo nalo nikamshauri kwamba isiwe kila siku ila pale tukapoona inafaa bado haelewi.

Nimemkataza kunipigia simu au kutuma msg hasa mida ya usiku maana mke wangu atanielewa vibaya hilo nalo haelewi

Amechukua namba ya simu ya mke wangu kwenye simu yangu bila mimi kujua na kumpigia simu mke wangu nae akiwa kazini kwake akimtaarifu kuwa yeye ni mke mwenzie na baadae kurusha msg kibao akidai huo ni utambulisho tosha.Kwa ujumla siku hiyo hayo yote yalipotendeka mimi na mke wangu hatukulala kwa amani kabisa,Wife alilia karibu akataka kukesha.

Nilimfuata yule Binti nikamuonya vikali nusura kuchapa makofu na nikamwambia simuhitaji tena ila yeye kakomaa kwamba kama nataka kumpiga sababu ya mke wangu basi na nikimuacha anajiua na kuacha ujumbe.Ameenda mbali kuniambia kwamba nimemuharibia akili zake maana toka nifanye nae mapenzi hana hamu kabisa ya kusoma au kwenda shuleni.

Wakuu nifanye hapo, Kuna hatari mbili ambazo ni:
1. Ndoa kuvunjika (Wakati tayari tuna mtoto)
2. Kwenda Jera (ukizingatia huyu ni Mwanafunzi)

Naomba mchango wenu

Kwa Nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0

Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.


NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.


MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA.


MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.


NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,


Je unamali yako unauza hupati wateja?

Wasiliana nami 0716-263605


DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale

Faiza: Kwa Sasa Mwili Wangu Umenawili Kwasababu Sina Stress za Mapenzi

$
0
0
Faiza: Kwa Sasa Mwili Wangu Umenawili Kwasababu Sina Stress za Mapenzi
MUIGIZAJI wa Filamu za Kibongo, Faiza Ally amejisifia kuwa kwa sasa mwili wake umenawiri kwa sababu hana stress za mapenzi wala za maisha.

Faiza aliiambia Full Shangwe kuwa, mwaka 2018 ameuanza vizuri akiwa hana stress zozote za mapenzi wala maisha kwa sababu amejikita katika biashara zake binafsi.

“Sina stress mwaka 2018, kama kuna mtu niliachana naye hilo lilishapita, kwa sasa ninafurahia maisha na mwili wangu unaona unazidi kunawiri zaidi ya kipindi cha nyuma cha mateso ya mapenzi,”alisema Faiza.

Serikali Itawashughulikia Papo Hapo Hatutawaundia Tume- Waziri Majaliwa

$
0
0
Serikali Itawashughulikia Papo Hapo Hatutawaundia Tume- Waziri Majaliwa
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watumishi wa umma nchini wasijihusishe na vitendo vya wizi, ufisadi kwani Serikali haitosubiri kuwaundia tume za kuwachunguza bali itawashughulikia hapo hapo.

Majaliwa amesema hayo akiwa mkoani Mara Wilayani Musoma na kudai kuwa Serikali haiko tayari kuwavumilia watumishi wanaojihusisha na wizi, ubadhilifu, rushwa na uzembe, hivyo ni vema viongozi waliopewa dhamana wahakikishe wanatekeleza majukumu yao kwa uadilifu.

"Fedha zinazotolewa na Serikali kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo zinalenga kutatua kero za wananchi na si kuwanufaisha wachache wenye tamaa. Kama ni za ujenzi wa zahanati ijengwe na atakayezitafuna Serikali haitosita kumchukulia hatua".

 Aidha Waziri Mkuu asiwasisitiza watumishi wa umma kufanya kazi kwa mujibu wa sheria kwa sababu vitendo vya wizi, uzembe vinachangia kupunguza kasi ya kuwaletea maendeleo Watanzania.


Mbali na hilo Waziri Mkuu aliwataka Wakuu wa idara na watendaji wengine wa halmashauri kuacha tabia ya kukaa ofisini na badala yake waende vijijini kwa ajili ya kuwafuata wananchi na kushirikiana nao katika kutatua kero mbalimbali zinazowakabili.

Mtu Mmoja Akamatwa Baada ya Kubaka Mbuzi na Kuwaua

$
0
0

Mtu Mmoja Akamatwa Baada ya Kubaka Mbuzi na Kuwaua
Mtu mmoja nchini Kenya mwenye umri wa miaka 35 amefikishwa mahakamani akituhumiwa kubaka mbuzi wawili wa jirani yake, na kisha kuwaua.

Tukio hilo limetokea Januari 13 mwaka huu, baada ya watu kumuona akiwaburuza mbuzi hao kutoka porini ambako anahisiwa kufanya tukio hilo, katika eneo la  Kangundo

Waendesha mashtaka wametaka mbuzi hao wapelekwe kufanyiwa vipimo ili kubaini kama kweli wamefanyiwa kitendo hicho, na kutaka mshtakiwa kupatiwa matibabu baada ya kulalamika alipigwa vibaya na polisi walipoenda kumkamata.

Kesi hiyo imehairishwa mpaka Januari 29, na mshtakiwa kupewa dhamana ya shilingi 100,000 za Kenya.

Sheria za Kenya zinamtaka mtu atakayekutwa na hatia ya kufanya ukatili kama huo kwa wanyama kwenda jela kwa miaka 14.

Joketi Awapa Neno Hili Vijana "Sio Lazima Mtu Awe Amesoma Sana Ndio Aweze Kufanikiwa"

$
0
0
Joketi Awapa Neno Hili Vijana "Sio Lazima Mtu Awe Amesoma Sana Ndio Aweze Kufanikiwa"
MODEL maarufu wa Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amefunguka na kutoa nasaha kwa vijana huku akiwataka kujishughulisha kwa bidii ili kufikia malengo yao huku akibainisha kuwa sio lazima mtu awe amesoma sana (elimu ya ju) ndiyo anaweza kufanikiwa.

 Jokate ambaye alikuwa miongoni mwa mastaa waliohudhuria katika harusi ya Shilole na Uchebe iliyofanyika usiku wa kuamkia jana, ameyabainisha hayo kupitia ukurasa wake wa Instagram na kuwapongeza vijana wanaotumia majina yao vizuri kujiingizia kipato halali kwa njia mbalimbali.

“Nafurahi sana nikiona vijana wenzangu na kwa kipekee wasanii wakitumia majina yao katika kujipatia kipato kupitia njia mbalimbali wanazobuni.

“Ila zaidi tukumbuke elimu husaidia kutuwezesha kuwa na uelewa na ufanisi zaidi juu ya kile tunachokifanya. Sio lazima usome digrii ila kuna kozi mbalimbali ambazo zitakupiga msasa na ukaweza kujiwekea “comparative advantage” katika kazi zako ni muhimu sana.

“Nikupongeze my dear @shilolekiuno_badgirlshishi na tutapokea #ShiShichilli ❤️ ,” amesema Jokate.

Babu Tale Ampa Ujumbe Huu Uchebe... "Mtakapogombania Instagram Mtaachana na Kwangu Usije"

$
0
0
Babu Tale Ampa Ujumbe Huu Uchebe... "Mtakapogombania Instagram Mtaachana na Kwangu Usije"
Meneja wa WCB na Tip Top Connection, Babu Tale ambaye alikuwa msimamizi wa ndoa kati ya Shilole na Uchebe, amewataka pindi wanapopishana katika ndoa yao kutopeleka mambo hayo katika mitandao ya kijamii.

Tale amesema endapo watafanya hivyo wasifike kwake ila kama ugomvi utakuwa wa ndani kwa ndani wasisite kufika wake.

“Kama unampenda usigombane naye kwenye mitandao, kwa hiyo kama mnagombana na mpenzi wako mnaenda kugombania Instagram, mtaachana na kwangu usije,” Tale amemueleza Uchebe.

“Kama mkigombania chumbani njoo kwangu any time tutayamaliza, kama mnagombania kwenye mitandao hayo si mapenzi,” amesisitiza.

Hata hivyo amesema si kwamba anamkataza kujidai na mkewe katika mitandao ila anapaswa kutambua kuwa amezungukwa na mbwa mwitu ambao kazi yao ni kuharibu maendeleo ya ndoa za watu.

Okwi Ajiunga na Kambi ya Simba Morogoro

$
0
0
Okwi Ajiunga na Simba  Kambini Morogoro

Baada ya kuwepo kwa tetesi nyingi kuhusu mshambuliaji wa Simba Emmanuel Okwi ambaye ni kinara wa mabao kwenye ligi kuu soka Tanzania Bara, hatimaye nyota huyo amejiunga na kambi ya timu hiyo.

Okwi amejiunga na kambi ya timu hiyo mjini Morogoro jana jioni tayari kwa maandalizi ya mchezo wa ligi kuu soka Tanzania Bara dhidi ya Singida United utakaopigwa Alhamisi hii kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Taarifa ya klabu ya Simba imeeleza kuwa Okwi ambaye ni raia wa Uganda alisafiri jana akitokea Dar es salaam hadi Morogoro katika Chuo cha Biblia, Bigwa ambako klabu hiyo imeweka kambi.

Okwi amepokelewa na Kaimu kocha mkuu wa Simba Masoud Djuma na kufanya mazoezi leo asubuhi. Okwi anaongoza orodha ya wafungaji akiwa na mabao nane licha ya kuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu.

Okwi aliumia mapema mwezi Novemba hivyo kukosa mechi kadhaa za ligi kuu ikiwemo michezo miwili ya jijini Mbeya ambapo Simba ilicheza na Tanzania Prisons pamoja na Mbeya City na mchezo wa raundi ya 12 dhidi ya Ndanda FC.

Dudu Baya Aachana na Pombe Aamua Kumrudia Mungu

$
0
0
Dudu Baya Aachana na Pombe Aamua Kumrudia Mungu
MKONGWE wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini maarufu kama Dudubaya ambaye haishiwi vituko, amekuja na hii mpya baada ya kula kiapo chake cha mwaka 2018 kwamba ameacha kunywa pombe.

Mkali huyo wa tangu kitambo, amesema mwaka 2017 pombe zilimfanya akose muda wa ibada lakini mwaka huu ameamua kuachana na pombe ili apate muda wa kumtumikia Mungu

Haji Manara Awatolea Povu Waliomzushia Kutimuliwa Simba

$
0
0
Haji Manara Awatolea Povu Waliomzushia Kutimuliwa Simba
Kuanzia jana jioni hadi usiku kulikuwa na taarifa inayosambaa kuwa Klabu ya Simba imeamua kumtoa kwenye nafasi ya Ofisa Habari, Haji Manara kwa sababu ambazo hazikuwekwa wazi.

Taarifa hizo zilienea kwa kasi na kusambaa hasa kwenye magrouup ya mitandao ya kijamii, lakini hakukuwa na tamko rasmi kutoka Simba juu ya maamuzi hayo.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Manara amelizungumzia hilo kwa kueleza kuwa hakuna kitu kama hicho na kuwatolea ‘povu’ wale wanamchukia na kusambaza taarifa ambazo siyo za kweli.

Manara ameweka picha ya mtu aliyesambaza taarifa hizo kupitia Instagram kisha akaandika maelezo haya:

“Kuna mpumb** mmoja aliyejitambulisha kama Mwenyekiti wa Group la Yanga WhatsApp supporters makao makuu, anazusha mitandaoni kuwa nimeondoka Simba…hahahahaha sitakaa milele pale kama yeye na wapumb** wenzie watavyoondoka huko walipo, lakini kwa sasa mm ndiyo msemaji wa Big brand ya nch….. , unavyozidi kunichukia ndiyo unazidi kunisogeza…. Kwa mnaoniogopa wote niwaambie NA BAO.”

Almasi Kubwa Yagunduliwa Afrika Kusini

$
0
0
Almasi Kubwa Yagunduliwa  Afrika Kusini
Leo kampuni ya madini iliopo jijini London imetangaza ugunduzi wa almasi ambayo ina karati
910 na kuifanya almasi ya tano kiukubwa.Almasi hiyo iliyo patikana katika mgodi mdogo wa Lesotho, Afrika Kusini ni nusu ya ukubwa wa moyo wa kiume wa binadamu.

Kutokana na Gazeti la “New York Times” inaripoti kwamba kampuni ya Diamond Gems iligundua Almasi hiyo katika mgodi wa Letseng iliyopo Afrika Kusini na inasemekana kwamba Almasi hiyo haina rangi wala uchafu wowote ambao ungepunguza ukubwa wake.
Serikali ya Lesotho inamiliki sehemu ndogo katika mgodi wa Letseng ambayo inamilikiwa na wadau wengi kutoka British.

Almasi hiyo ndiyo Almasi kubwa zaidi kupatikana katika Leostho nchi ndogo iliyozungukwa na Afrika Kusini. Jiwe ambalo liliweka heshima hadi leo ni Lesotho Promise ambalo lilikuwa na karamu 603 na kuuzwa kwa kiasi cha dola milioni 12.4 kwa mnada zaidi ya miaka kumi iliyopita.

Kwa taarifa zilizotolewa leo ni kwamba Gavana Mkuu wa Gem Clifford Elphick alisema jiwe la hivi karibuni lililogunduliwa ni “exceptional top quality diamond” yaani almasi yenye ubora waki pekee yenye kiwango cha juu zaidi cha rangi.

Karibu Markson Beauty Wamezindua Products Mpya za Urembo za Kutengeneza Umbo, Ngozi na Nywele

$
0
0

🍇MWAKA MPYA
MAMBO MAPYA🍇
Katika kusherekea miaka kumi na nane (18) ya kampuni hii, @markson_beauty_pr imezindua bidhaa zake mpya. Bidhaa hizi mpya zimefanyiwa maboresho makubwa hivyo zina nguvu na matokeo ya haraka kuliko ilivyokuwa. Dawa zetu zimetengenezwa kwa mimea na matunda na hazina kemikali wala madhara. 100% ZIMETHIBITISHWA KIAFYA.
KWA WANAUME TUNATIBU👇👇
☆Kukosa hamu ya tendo.
☆Kuwahi kufika kileleni na kushindwa kurudia tendo.
☆Maumbile madogo ya uume.
☆Kuchoka sana wakati wa tendo na uume kusinyaa nk.
@markson_beauty_pr tumeandaa tiba bora kabisa kama ifuatavyo:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @250,000/=
2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @150,000/=
3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 6.5 hadi 8 (wiki 2-3) @200,000/=
4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @150,000/=
5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @250,000/=
6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @150,000/=
PIA KWA WANAWAKE WANAOPENDA KUWA NA MUONEKANO MZURI ZIPO ZA👇👇👇
1.Kuongeza hips, makalio na mapaja @200,000/=
2.Kushepu mguu (CHUPA YA BIA) @150,000/=
3.Kuwa mweupe bila sugu kwa:-
(a)mafuta @150,000/=
(b) Vidonge @170,000
4.Kurefusha nywele na kuzuia kukatika ovyo @150,000/=
5.Kuongeza hips, makalio na mapaja kwa vidonge (YODI PILLS ORIGINAL) @250,000/=
6Kupunguza au kuongeza maziwa kuyasimamisha @150,000/=
7.Kubana uke na kuondoa uchafu ukeni @130,000/=
8.Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
9.Kufungua mirija ya uzazi na kupata ujauzito haraka @250,000/=
NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri na garantii ili kukuhakikishia ubora na usalama wa bidhaa za MARKSON BEAUTY LTD

Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444 au
0714335378
Bei hizi ni of a hadi tar 25/01/18

Mambo Matatu Ya Kukusaidia Kuboresha Kipato Chako Kwa Uhakika

$
0
0

Msingi wa kujenga kipato kikubwa na hatimae kuwa huru kifedha huwa haupatikani kwa bahati mbaya. Msingi huo zaidi unapatikana kwa wewe kujua zaidi mambo ya msingi yatakayoweza kukusaidia kuboresha kipato chako kila iitwapo leo.

Kwa kawaida kuna mambo ambayo ukiyajua yana msaada mkubwa sana katika kukusaidia kuweza kuboresha kipato chako. Mambo haya wengi tunayajua ila kwa sababu sisi ni binadamu tunakuwa tuna yasahau sana.

Kupitia makala haya nataka nikuonyeshe mambo ya msingi matatu, ambayo ukiyazingatia yatakusaidia sana kuweza kuboresha kipato chako karibu kila siku na maisha yako yakawa bora zaidi. Mambo hayo ni yapi? Karibu tujifunze.

Jambo la kwanza; angalia matumizi yako.
Ni wazi kabisa matumizi uliyonayo yanaweza kukusaidia kuboresha kipato chako au yakakiharibu kabisa. Kama matumizi yako ni mabaya kipato chako hakiwezi kuwa bora pia hata iweje, lazima utakuwa una kipato kibovu tu ambacho hakitakusaidia.

Hapa unaona, eneo mojawapo la kushughlika nalo sana kama unataka kuboresha kipato chako ni juu ya matumizi uliyonayo. Matumizi uliyonayo ukiweza kuyapangili a vizuri, itakusaidai kuweza kupiga hatua ya kukusaidia kuboresha kipato chako kwa kiasi kikubwa.

Jambo la pili; angalia uwekaji wako wa akiba.
Je, una weka akiba vya kutosha au unaweka akiba kama matone ya mvua kwa kurasha rasha au huweki akiba kabisa? naamini majibu hapa unayo wewe mwenyewe kipi ambacho unakifanya kwenye swala zima la uwekaji wa akiba.

Ukiweza kuboresha juu ya uwekeji wako wa akiba vizuri uwe na uhakika hata matumizi yako yatakuwa vizuri sana kiasi cha kwamba kuweza kuboresha kipato chako na kukusaidia hata kuweza kuwekeza kwenye miradi mingine.

Jambo la tatu; angalia jinsi unavyowekeza.
Najua unaweza ukawa kweli matumizi yako sasa yako sawa, na umeamua kuweka akiba je, kitu kingine unawekeza? Kama huwekezi unategemea kipato kimoja na pia hapo hapo ukategemea kipato ulichonacho kibadilike naomba hapo usahau.

Mafanikio makubwa ya kuweza kufikia ngazi ya kuongeza kipato chako na wewe hadi kufikia uhuru wa kifedha yanapatikana kutokana na wewe kuweza kuwekeza. Usipowekeza sahau mafanikio hayo.

Ni muhimu na msingi sana kuzingatia matumizi yako ya pesa, uwekaji wako wa akiba na kuwekeza pale unaotafuta kuboresha kipato chako kwenye maisha. Unapozingatia mambo hayo uwe na uhakika kipato chako lazima kitakuwa bora hata kama kwa sasa mambo yanaonekana mabaya.

Fanyia kazi haya na chukua hatua kuhakikisha ndoto zako zinatumia.
Tunakutakia kila la kheri na endelea kutembelea dirayamafanikio.blogspot.com kila siku kujifunza maisha na mafanikio.

Breaking News: Sugu Apelekwa Mahabusu Baada ya Kunyimwa Dhamana

$
0
0
Sugu Apelekwa Gerezanu Baada ya Kukosa Dhamana
MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi amepelekwa mahabusu ya gereza la Ruanda mkoani Mbeya baada ya kukosa dhamana katika kesi ya uchochezi inayomkabili.

Sugu na Mratibu wa Chadema Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Emmanuel Masonga wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya na kupelekwa mahabusu leo Jumanne Januari 16, baada ya Wakili wa Serikali, Joseph Pande kuiomba mahakama kuzuia dhamana kutokana na usalama wa washtakiwa kutokana na kosa walililotenda.

“Kosa walilolitenda washtakiwa ni kutoa maneno ya fedheha yanayomtaja rais kuwa muuaji hivyo wakiwa nje wanaweza kupata matatizo kwa wananchi ambao hawajapendezwa na maneno hayo,” alidai Wakili Pande.

Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Michael Mteite alikubaliana na ombi hilo ambapo aliahirisha kesi hiyo hadi Januari 19, mwaka huu atakapotoa uamuzi wa dhamana.

Washtakiwa hao wanadaiwa kufanya uchochezi kwa kutoa lugha ya fedheha dhidi ya Rais John Magufuli, Desemba 30, mwaka jana akiwa katika viwanja vya mikutano vya shule ya msingi Mwenge iliyopo jijini Mbeya ambapo Sugu anadaiwa kutamka kuwa rais ni muuaji.

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

Wasiliana nasi +255 622588038au 0679119679 au +255 764318107

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...
Viewing all 104775 articles
Browse latest View live




Latest Images