Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

Idriss Mapenzi Yamtesa Sasa Amkumbuka X- Wake Walioshiriki Shindano la Big Brather

$
0
0
Idriss Mapenzi Yamtesa Sasa Amkumbuka X- Wake  Walioshiriki Shindano la Big Brather
Mshindi wa Big Brother Afrika 2014 Idris Sultan ameonyesha kumkumbuka mpenzi wake wa zamani aliyempata wakati wakishiriki shindano la Big Brother 2014 ambaye ni Samantha Jannsen ambaye anatokea nchini  Afrika Kusini.



Idris amepost video clip kwenye Instagram page yake akiwa na Samantha licha ya kwamba Idriss na Samantha wameachana miaka kadhaa iliyopita na kuandika hivi  “The beauty & the beast… Happiest birthday to the beast 😍🖤 @samanthajannsen”


Faiza Amkingia Kifua Mzazi Mwenzake "Ikibidi Nitaandamana Ili Baba Sasha Apate Haki Yake.

$
0
0
Faiza Amkingia Kifua Mzazi Mwenzake "Ikibidi Nitaandamana Ili Baba Sasha Apate Haki Yake.
Mwanadada Faiza Ally ambaye pia ni mzazi mwenza na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi aka Sugu ameibuka kwa kudai kwamba anaweza kufanya chochote kwaajili ya mzazi mwenzake huyo.

Mh.Sugu Mbilinyi aliburuzwa kotini Alhamisi hii kwa kosa la kudaiwa kutoa maneno ya uchochezi.

Faiza Ally ameibuka kumkingia kifua mzazi mwenzie huyo kwa kusema ikibidi ataandamana ili Baba Sasha apate haki yake.

“Just to let you know guys: kamwe sitaweza hata siku moja kufurahia matatizo ya baba Sasha kufurahia matatizo za baba Sasha hata ikibidi kuandamana apate haki yake ningefanya hivyo!
Matatizo yangu na yeye ni mapenzi tu na si vinginevyo na yaliisha! Mwisho wa siku ni baba wa mwanangu na wanapendana sana na mwanae wamefanana mpaka harufu zao kila ninapomuona namuona baba yake na nikifanya ubaya ntakuwa namfanyia mwanangu,” aliandika Faiza Ally kupitia Instagram.

Aliongeza, “All I wish Sasha na baba yake wawe hai, wawe na furaha siku moja niwaone wako pamoja happy and success. So kama mnahisi nafurahia mpo wrong na kwa kifupi nimetafutwa na watu wengi, wa siasa na wanamuziki ili nimchafue au nishirikiane nao lakini sijawahi kuwapa nafasi. Nikiwasha MOTO wangu ni wa sababu zangu binafsi na siyo kutumiwa and by the way amelipa ada ya Sasha and hope in future atakuwa baba bora zaidi kama alivyo mwanzo. Na ninamuombea heri Mungu amfanyie wepesi na amuonyeshe njia pasipo kuwa na njia!” ameandika Faiza.

Tangaza Biashara Yako Hapa Uweze Kupata Wateja wa Haraka

$
0
0
Mtu wangu wa nguvu unaweza Tangaza Biashara yako hapa nasi uweze kuwafikia watu wengi zaidi kwa mara moja kupitia blog ya Udaku Special..

Piga simu 0714604974

Tundu Lissu Kushtakiwa Mahakama ya Kimataifa Kutokana na Mahojiano Aliyofanya na BBC

$
0
0
Cyprian Musiba ambaye ni mkurugenzi mkuu wa CZ Information & Media Consultant LTD, Kautaarifu umma kupitia wanasheria na mawakili maarufu hapa nchini wanakusudia kumfungulia mashtaka Tundu Lissu mahakamani hapa nchini lakini pia kuna mawakili wengine watakwenda katika mahakama ya kimataifa (The Hague) kupeleka kopi ya mashtaka dhidi ya Tundu Lissu.

Alikuwa akizungumza katika kipindi cha Focus on Africa kinachorushwa na BBC mwandishi aliyemuhoji anaitwa Victor Kenani wiki mbili zilizopita.

"Tundu Lissu alisema Tanzania kwa sasa ni nchi hatarishi kwa siasa pamoja na pamoja na wote wanaohoji utendaji wa Serikali. Akaongeza kusema watu wanauawa hovyo na wanatupwa baharini kwenye viroba. Tunataka atupe uthibitisho wa madai yake hayo ndani ya siku mbili zijazo kuanzia leo".

VIDEO:

Mfahamu James Ngomero: Mmtuhumiwa wa zile Maiti 11 za watoto Vichanga Hospitali ya Mwananyamala

$
0
0
Ni story ya kuamkia January 31 mwaka 2011. Eneo ni makaburi ya Mwananyamala hospital, njia ya kuelekea kwa Kopa (Hadija) Msisiri 'B'

Ilikuwa ni mshtuko mkubwa baada ya asubuhi ile nje ya nyumba ya mzee Mwarabu mkabala na makaburi hayo kwenye shina la miwa ulipoonekana mkono wa kichanga. Tahadhari ilichukuliwa na haraka ripoti ikafika polisi.

Taratibu za kipolisi na kutafuta usafiri zilizochukua takriban dakika 45, walikuta tayari kaburi limewekewa mauchafu na kupigwa kibiriti. Mshangao ukatamalaki. Kuuliza ni nani kafanya vile mashuhuda wakasema ni James Ngomero.

James Ngomero ni nani?

Haijulikani hasa asili yake lakini inasemekana ni mwenyeji ama alitokea Lushoto Tanga. Alianza kujulikana wakati anafanya kazi kwenye duka la mama mmoja, kazi ya kubeba mizigo, ambapo hata hivyo aliharibu na kufukuzwa kazi.

James alikuwa kapanga chumba kimoja cha giza hapa mkabala na makaburi. Sasa baada ya kufukuzwa kazi akawa hana ishu tena zaidi ya kushinda pale makaburini na kutafuta ishu yoyote ya kumuingizia kipato. Taratibu akaanza kuzoeana na wafanyakazi wa manispaa upande wa makaburi waliokuwa wanakuja kuzika maiti zisizo na ndugu.

Sasa kwakuwa James ni kijana barobaro mwenye nguvu akawa anapewa tenda ya kuchimba makaburi na wale wafanyakazi wa manispaa

Kadiri siku zilivyosonga ndio walizidi kujenga mazoea na hatimaye kuaminiana kiasi kwamba kuna wakati alitumwa mpaka mochwari na kusaini na kuchukua maiti na kwenda kuzizika mwenyewe.

Fursa hii adhimu hakuilazia damu. Akajenga mazoea na watu wa mochwari pia. Sasa ikawa wale wafanyakazi wa manispaa wakitoka kazini James anaenda mochwari kutega mingo na ikipatikana maiti anaenda kuzika kimya kimya bila kuwajulisha mabosi zake.

Jamaa walipokuja kugundua hilo walimtimua kibarua na kumpiga stop kukanyaga makaburini. Hali ikawa ngumu kwake. Ikabidi atafute kazi nyingine. Mungu si athumani akapata kazi ya ulinzi wa usiku. Lakini sasa tayari alikuwa ameshajenga mtandao na watu wa mochwari. Na kwa kawaida vichanga vingi vilivyokufa havikuwa na process huku baadhi ya ndugu kwa mila taratibu zao hawakurusiwa kubeba maiti au waliona usumbufu hivyo kumalizana tu na watu wa mochwari.

James kazi inambana usiku kwahiyo alichokuwa anafanya akitoka kazini anaenda mochwari anachukua mzigo kwenye rambo anaenda kuhifadhi nyumbani kwake mpaka jamaa wa makaburini waondoke kisha fasta ataenda kufukukia na kuwahi kibaruani.

Mbinu hii ikastukiwa na wale jamaa wa makaburini hivyo wakaweka mashushushu. James hili akalinasa sasa afanyeje akawa ana uwezo wa kukaa na maiti ndani ya chumba chake mpaka siku tatu na siku akipata mwanya ataibuka usiku wa manane na kwenda kuzika.

Kuna nyakati alibanwa sana mpaka maiti ikaanza au zikaanza kuharibika ndani ya chumba.. Hivyo alichokuwa anafanya ni kwenda kuzidumbukiza chooni... Hali hii ilipelekea choo kunuka na kutoa harufu kali kwa siku kadha bila wapangaji kuelewa hali hiyo inasababishwa na nini.

Kama mnakumbuka kipindi hicho kulikuwa na vifo vingi sana vya vichanga pale Mwananyamala hospital na kutozingatia taratibu za kazi na kutaka kipato cha haramu. Wafanyakazi wa mochwari wakawa wanamtumia James kama mtu wao wa kuzika. Ilifika mahali sasa James ana baiskeli na anafunga maiti mpaka tatu bila kujulikana na kwenda kuzisunda chumbani kwake. Yani akawa ana mochwari yake ndogo nyumbani.

Hali ya chumba chake cha kuishi

Ndani kulikuwa na kigodoro kimoja cha wagonjwa alichokipata Mwananyamala hospital kwa njia ajuazo. Mashuka yake pia yalikuwa ya hospital tena yenye nembo ya MSD (angalia picha) hiki chumba kilitumika kama mochwari pia. Kuna siku jamaa yake alikuja na demu kufanya yake, sasa baada ya kumaliza anatafuta cha kujifutia akaona shuka imeviringwa pembeni mwa chumba, kulifunua alikutana na mwili wa kichanga, alifunika fasta na kunyuti. Mungu bariki chumba kilikuwa na giza hivyo demu hakustuka.

Siku ya Tukio

Wiki ile ya January 31 mzigo ulikuwa wa kutosha, tayari ndani alikuwa na maiti za vichanga 11 na nyingine zilikuwa zimeshaanza kuharibika hivyo ili kuokoa jahazi lisizame na aweze kuingiza mzigo mpya ilibidi maiti zile zizikwe usiku ule ule.

Tukiwa na James kwenye pub moja Sinza njia ya kuelekea Wanyama hotel tulilewa mpaka saa mbili usiku. Baada ya hapo tukahamia Royal bar Mwananyamala tuliendelea pale mpaka saa tano usiku hivi na kumuacha James Ngomero pale. Kumbe siku hiyo alikuwa na hiyo mishe kwa hiyo ilipofika usiku wa manane akaenda kuzizika zile maiti nje ya nyumba ya mzee Mwarabu karibu na shina la miwa na pengine kusahau mkono uliokuja kuonekana ama la kuna mtu alikuja kufukua.


Jinsi niivyomfahamu James 

Nimeishi Mwananyamala karibu kabisa na hospital kwa miaka kumi. Ni katika kipindi hicho nilipata misiba ambayo ndio ilisababisha kumfahamu James. Lakini misiba yangu ilikuwa official na alitusaidia kwenye kuchimba makaburi.

James alikuwa msiri wa maisha yake na ni ngumu sana kujua vyanzo vyake vya mapato. Alikuwa mlevi kupindukia na inasemekana pia alijihusisha na biashara ya viungo vya binadamu. Pamoja na yote hayo hakuwa hata na kitanda. Baada ya habari ya maiti 11 za vichanga James alikimbilia kusikojulikana huku wafanyakazi wa mochwari na walinzi wakifukuzwa kazi

Source:JF

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

$
0
0
SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670

Aingia Matatizoni Baada ya Kuokota Sarafu ya Majini Akijua Dhahabu

$
0
0
Aingia Matatizoni Baada ya Kuokota Sarafu ya Majini Akijua Dhahabu
UKISTAAJABU ya Musa, utaona ya Firauni! Mwanaume mmoja mkazi wa Chamazi, Dar, Jafari Daudi amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuokota pesa ya majini (sarafu) ambayo inamtesa na kutamani kuikimbia nchi, Risasi Mchanganyiko linakupa habari kamili.

Akisimulia kwa huzuni, mwanaume huyo mwenye mke na mtoto mmoja alisema kuwa, miaka mitatu iliyopita alikuwa akifanya kazi maeneo ya Kijiji cha Mbondole, Kata ya Msongola, Dar ambako ndiko mkasa huo ulikompata.

Alisema kuwa, siku moja akiwa anaelekea kazini, aliokota sarafu ambayo ilikuwa iking’aa kama dhahabu ambapo alipoiangalia vizuri aliiona kama zile pesa za zamani, akaiweka mfukoni mwa suruali na kuelekea kazini kwake.

Jafari alisimulia kuwa, aliendelea na kazi, lakini ghafla alianza kuumwa na kichwa kupindukia huku jasho likimtoka na wakati huohuo baridi ya ajabu hivyo kutia shaka kuwa huenda hali hiyo ilimpata kutokana na pesa aliyoikota hivyo aliamua kufunga ofisi na kurudi nyumbani.

“Nilifika nyumbani na kumweleza mke wangu nilivyoiokota hiyo pesa, nikamuonesha, sikushughulika nayo tena, nikaendelea na mambo mengine maana baada ya kufika nyumbani tu nilipona kabisa.

“Niliendelea na maisha, lakini ghafla nilifukuzwa kazi na kila nilipokuwa ninakwenda kuomba kazi sipati hadi sasa huku kichwa kikinisumbua sana na kila siku usiku ninaota ndoto za ajabu ambapo ninachukuliwa na dada mrembo ambaye ananipeleka baharini ambako anasema ndiyo kwao.

“Mke wangu alinishauri niirudishe hiyo pesa nilikoiokota ambako niliipeleka palepale na kuiacha, lakini cha ajabu nilipofika nyumbani, wakati mke wangu ananiandalia chakula, akaikuta ipo katikati ya kitanda.

“Niliichukua tena na kwenda kuitupa, lakini iling’ang’ania kwenye mkono, nikashindwa kuitupa na kurudi nayo nyumbani.

“Siku moja mwanangu aliichukua na kwenda nayo dukani ambako alirudi na juisi na chenji 9,500 ndani yake hiyo pesa ikiwepo, usiku wake nikaoteshwa kwamba hiyo pesa akichukua mtoto wa chini ya miaka mitatu na kwenda nayo dukani, itaonekana ni elfu kumi na atarudishiwa yenyewe pamoja na chenji,” alisema Jafari.

Aliendelea kuelezea kwamba amekuwa akipambana na mauzauza mengi ikiwa ni pamoja na kuumwa kichwa huku pia akishindwa kumtimizia haki ya unyumba kikamilifu mkewe ambaye naye anataka kumkimbia.

“Ndoa yangu iko kwenye hatari kubwa ya kuvunjika kwani kila kukicha mke wangu ananiambia ataondoka, sasa ninashindwa hata nifanyeje maana ni majanga makubwa haya, nimeshaenda kwa waganga wengi, lakini wameshindwa kunisaidia,” alisema Jafari.

INA THAMANI YA MAMILIONI

Jafari alisema kuwa, amewahi kumwonesha hiyo pesa Mzungu mmoja ambaye alikwenda na vifaa vya kupima na kusema ina thamani ya shilingi milioni 270 za Kitanzania hivyo akaahidi kwenda kuichukua na kumpa hizo fedha, lakini hajawahi kumuona tena.

AWAANGUKIA WATANZANIA

“Jamani Watanzania wenzangu, kama kuna mtu anaweza kunisaidia ili niondokane na tatizo hili, ninamuomba aje anisaidie maana ninateseka. Sina raha wala amani maishani mwangu, sijielewi kama mimi ni binadamu kama wengine au siyo.”
Chanzo: Global Publisher

Ambaer Lulu Ateswa na Penzi la Young Dee Akiri Kurudiana Naye Pindi Ataachana na Prezzo

$
0
0
Ambaer Lulu Ateswa na Penzi la Young Dee Akiri Kurudiana Naye Pindi Ataachana na Prezzo
Msanii wa muziki ambaye alijipatia umaarufu kupitia mitandao ya kijamii, Amber Lulu, amekiri kuwa bado ana hisia za mapenzi kwa mpenzi wake wa zamani rapper Young D, licha ya kuwa na mtu mwengine kwa sasa.


Amber Lulu ambaye kwa sasa yupo kwenye mahusiano na rappper wa Kenya Prezzo, amesema Young D ni mmoja wa wanaume ambaye alikuwa na mapenzi naye ya dhati, na iwapo ataachana na Prezzo yupo tayari kurudi kwa Young D, kwani anaamini hata yeye bado anampenda ndio maana huwa anamfanyia vitu vya kumuumiza kama kupost picha zAke za utupu.

“Tulishakuwa pamoja kwa muda mrefu, kuna feelings fulani zipo sometimes munamisiana, unajua nilimpenda sana D lazima kukubali hili jambo, na najua bado kuna mapenzi kati yetu ndio maana hata yeye anafanyaga vitu vya kuniumiza kama kupost ile picha”, amesema Amber Lulu.

Amber Lulu amesema tatizo hilo limefikia hatua hata ya kurushiana vijebe mitandaoni kutokana na wivu uliopo kati yao, na wapo Young D ataamua kumpost mpenzi wake mpya, kitendo hicho kitamuumiza zaidi.

Sijaona Msanii wa Kunipa Changamoto- Ruby

$
0
0
Sijaona Msanii wa Kunipa Changamoto- Ruby
Msanii wa kike wa muziki wa Bongo Fleva, Ruby ameamua kuweka wazi kuwa kutokana na uwezo wake wa hali ya juu wa kucheza na sauti kwenye nyimbo zake amedai kuwa haoni msanii ambaye anampa changamoto.

Ruby baada ya kuulizwa kwenye kipindi cha Joto la Asubuhi cha E-FM kuwa ni msanii gani wa muziki wa kike hapa Tanzania anayempa changamoto alijibu jibu moja tu kuwa “SIJAONA”

Kwa upande, mwingine Ruby amesema kuwa kwa mwaka 2018 amejipanga kufanya mambo makubwa na kudai kuwa zile tofauti zake na baadhi ya vyombo vya habari ikiwemo kituo cha Radio cha Clouds FM kuwa zimeisha na sasa ni mwendo wa kazi tu.

“Kuna peace and love kwa watu ambao mwanzo tulikuwa hatupo ok first of all! second kilichobadilika ni akili yangu imebadilika katika utendaji kazi na jinsi ya kuishi pia na watu tofauti tofauti. Kujitathmini sio mbaya ili atleast ujue umefanya nini na nini hujafanya ili uweze kuaccomplish, ndio kitu ambacho mimi nimefanya, nimejaribu kuangalia kipaji changu kwa undani kinadeserve kuwa sehemu na kina stahili kupita njia gani ili kifike kinakostahili kufika, so nikahitaji kuwa na peace and love kwa kila mtu,“amesema Ruby.

Baada ya Ronaldinho Kutangaza Kustaafu Soka Huu Hapa Ujumbe wa Mess Aliomuandikia

$
0
0
Baada ya  Ronaldinho Kutangaza Kustaafu Soka Huu Hapa Ujumbe wa Mess Aliomuandikia
LIONEL Messi wa Barcelona amemtumia ujumbe nyota wa zamani wa timu hiyo, Ronaldinho ambaye amestaafu kucheza soka la kulipwa.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Messi ambaye bao lake la kwanza alifunga akipata basi ya Ronaldinho ameandika ujumbe huu:

“Kama ambavyo nimekuwa nikisema, nimejifunza mengi kwako. Nitaendelea kukushukuru kwa kufanya mambo kuwa rahisi kwangu nilipojiunga na timu.

“Nilikuwa na bahati kuwa karibu yako, licha ya kuwa staa uwanjani lakini nje ya uwanja ulikuwa mtu mwema na hilo ndilo jambo muhimu, licha ya kuwa umeamua kustaafu, soka halitasahau tabasamu lako, nakutakia kila la kheri, Gaucho.”

Aunt Ezekieli: Hama Kweli January ni Mwezi Mgumu

$
0
0
Wakati watu wengi wakilalamika kuhusu mwezi January na kudai ya kwamba ni mgumu kutokana na majukumu mengi ya mwezi huu, sasa Aunty Ezekiel amezungumza kuhusu mwezi January yeye amesema alikuwa haamini kama January ni ngumu lakini saivi amekubali kuwa mwezi mgumu.

Aunty Ezekiel amesema kwamba yeye hajawahi kukopa kodi ya nyumba wala kitu cha msingi kwenye maisha na ndo mana huwaga anapanga bajeti mapema ya vitu muhimu kama kodi ya nyumba, Ada ya mtoto wake na kitu alichowahi kukopa ni nguo.

Serikali Yatoa Tahadhari Ugonjwa wa Homa ya Chikunganya

$
0
0
Serikali Yatoa Tahadhari Ugonjwa wa Homa ya Chikunganya
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa tahadhari kuhusu ugonjwa wa homa ya Chikuganya ambao umeripotiwa na vyombo vya habari kutokea jijini Mombasa nchini Kenya.


Taarifa iliyotolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu imesema kuwa mpaka sasa Shirika la Afya Duniani (WHO) bado haijatoa taarifa rasmi lakini wao wanaotoa taadhari kuzingatia muingiliano mkubwa wa watu baina ya nchini hizi mbili Kenya na Tanzania.

Kwa mujibu wa Wizara ya Afya wanasema kuwa ugonjwa wa Chikunganya unasababishwa na kirusi ambacho kinaenezwa mbu wa aina ya Aedes na kusema ugonjwa huu si mgeni nchini Tanzania kwani ulishawahi kutokea.

Askari Polisi Wawili Wafariki, 9 Wajeruhiwa Kwenye Ajari Mbeya

$
0
0
Askari Polisi Wawili Wafariki, 9 Wajeruhiwa Kwenye Ajari Mbeya
Askari wa jeshi la polisi wawili wamefariki dunia huku wengine 9 wakijeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea jana  jioni katika eneo la Iwambi, Kata ya Iwambi taarafa ya Iyunga jijini Mbeya


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Naibu Kamishina wa Polisi, Mohammed Mpinga amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kudai kuwa jumla ya askari wawili wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa na kusema chanzo cha ajali hiyo ilikuwa ni mwendokasi wa dereva wa gari la polisi alipokuwa akitaka kuyapita magari mengine pamoja na utelezi. 

"Mnamo tarehe 18.01.2018 majira ya saa 16:45 jioni huko eneo la Iwambi, Kata ya Iwambi, Tarafa ya Iyunga, Jiji na Mkoa wa Mbeya katika barabara kuu ya Mbeya kwenda Tunduma, gari yenye namba za usajili PT 2079 Toyota Land Rover mali ya Jeshi la Polisi Kikosi cha FFU - Mbeya ikiendeshwa na askari namba G. 3452 PC ADAM Mkazi wa Iganzo ikitokea Mbeya Mjini kuelekea Mbalizi iliacha njia na kupinduka kisha kusababisha vifo kwa askari wawili ambao ni 1. H. 4335 PC MATHEW JAILOS MPOGOLE na 2. H. 1215 PC PROSPER JORDAN CHALAMILA " 

Aidha katika ajali hiyo, askari 09 walijeruhiwa ambapo kati yao majeruhi wawili wamelazwa Hospitali ya Rufaa Mbeya na majeruhi saba wametibiwa na kuruhusiwa kurudi majumbani kwao Waliolazwa ni 1. H. 6952 PC KELVIN MARTIN Mkazi wa forest ameumia kichwani na 2. G. 3452 PC ADAM Mkazi wa Iganzo, Dereva.

Mbali na hilo majeruhi wengine walitibiwa na kuruhusiwa

"Chanzo cha ajali ni mwendokasi akijaribu kuyapita magari mengine pamoja na utelezi katika barabara. Upelelezi unaendelea. Miili ya marehemu imehifadhiwa Hospitali ya Rufaa Mbeya na majeruhi wamelazwa Hospitalini hapo. Taratibu za kusafirisha miili ya marehemu kwenda nyumbani kwao Iringa zinafanyika" alisema Mpinga 

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Ijumaa

$
0
0

Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea(CHADEMA) Aachiwa Huru na Mahakama na Kukamatwa Tena

$
0
0

DODOMA: Mahakama ya Wilaya mapema leo imemuachia huru Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea(CHADEMA)

Hata hivyo Jeshi la Polisi limemkamata tena. Yadaiwa atafunguliwa mashtaka upya

Mbunge huyo kabla ya kuachiwa leo alikuwa akituhumiwa kwa kumshambulia kwa mateke, ngumi na makofi, Juliana Shonza(Mbunge wa Viti Maalum) ambaye kwasasa ni Naibu Waziri

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

Wasiliana nasi +255 622588038au 0679119679 au +255 764318107

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Sugu Arudishwa Tena Rumande Hadi Januari 22

$
0
0
Sugu Arudishwa Tena Rumande Hadi Januari 22
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini (CHADEMA) Joseph Mbilinyi 'Sugu' na Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyassa, Emmanuel Masonga wamerudishwa rumande hadi Januari 22, 2018 siku ya Jumatatu ambapo kesi yake itaanza kusomwa mfululizo.


Mbunge huyo wa Mbeya mjini na Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyassa wanashikiliwa na jeshi la polisi wakituhumiwa kutenda kosa la uchochezi katika mkutano wao wa hadhara ambao ulifanyika Disemba 31, 2017 jijini Mbeya ambapo jeshi la polisi linasema kuwa viongozi hao walizungumza maneno yenye kuleta chuki kati ya Serikali na wananchi.

Mchana wa January 16, 2018 Mahakama ya Hakimu Mkazi Jijini Mbeya iliamuru Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi maarufu kama Sugu na Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyassa Emmanuel Masonga wapelekwe rumande mpaka January 19 ambayo ni leo kwa kesi ya uchochezi.

Viongozi hao wamerudishwa rumande tena mpaka siku ya Jumatatu ambapo kesi yao itaanza kusomwa tena

Sanchez Kutambulishwa Manichester United Leo Apewa namba ya George Best

$
0
0
 Sanchez Kutambulishwa Manichester United Leo Apewa namba ya George Best
Mshambuliaji wa kimataifa raia wa Chile, Alexis Sanchez yupo tayari kutambulishwa na klabu ya Manchester United hii leo kama mchezaji halali wa timu hiyo huku akitarajiwa kupokea kitita cha paundi 450,000 kwa wiki.

Alexis akiwa na namba 7 ndani ya  United tayari mashabiki wameanza kumiminika katika duka la Adidas mtaa wa Oxford jijini London

Wakati utambulisho wa Sanchez ukingojewa tayari mashabiki wameshaanza kuvamia maduka na kujinunulia jezi ya mchezaji huyo ambayo ni namba 7 sawa na ile waliyokuwa wakivaa wachezaji wenye majina makubwa ndani ya United kama George Best, Eric Cantona, David Beckham na Cristiano Ronaldo. Na maduka ya Adidas yaliyopo mtaa wa Oxford jijini London.



Meneja wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger hapo jana kupitia kikao chake na waandishi wa habari amethibitisha Sanchez wamemalizana na United.

Wenger amesema “Nimeufanyia kazi uhamisho kwa miaka sasa 30. Lakini kwa wakati wowote,dakika yoyote kunakitu kitashuhudiwa na hii ndiyo maana halisi ya usajili,”amesema Wenger.

Sanchez atakuwa akilipwa kwa wiki paundi 350,000  ukijumuisha na haki ya matangazo ambayo ni paundi 100,000  inakuwa jumla ya paundi 450,000.

Papa Francis Aozesha Wanandoa Kwenye Ndege

$
0
0
Papa Francis Aozesha Wanandoa Wakiwa Kwenye Ndege
Kwa taratibu za ndoa za Kikatoliki ni vigumu kuzivunja hadi kuozeshwa na Papa, tena kwenye ndege. Lakini hivyo ndivyo ilivyokuwa Alhamisi baada ya Papa Francis kuwaozesha wahudumu wawili katika sherehe fupi umbali wa futi 36,000 angani.

Maofisa wa Vatican walisema jana kwamba hiyo ilikuwa mara ya kwanza katika historia papa kuwapa sakramenti ya ndoa wanandoa kwenye ndege ya papa.

Tukio hilo lilianza wawili hao, Paula Podest Ruiz na Carlos Ciuffardi Ellorriaga walipokuwa wakizungumza na kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki Duniani wakiwa wamekaa karibu yake na wakipiga picha. Ndege ilikuwa inamsafirisha Papa kutoka Santiago kwenda mji wa Kaskazini wa Iquique.

Papa Francis aliwauliza ikiwa ni wana ndoa nao walimjibu kwamba ndoa yao ilipangwa mwaka 2010 lakini iliahirishwa kutokana na tetemeko la ardhi kuikumba Chile na kuharibu kanisa walilopanga kufungia.

Maisha ya wapenzi hao waliokutana kazi yalisonga mbele na wakapata watoto wawili Rafaela, 6, na Isabela, 3. Walioana serikalini na walikuwa na vyeti vya uthibitisho lakini hawakuwa wameoana kanisani.

Paula Podest Ruiz, mwenye umri wa miaka 39, na Carlos Ciuffardi Elorriga, mwenye umri wa miaka 41, waliozwa na Papa katika siku ya tatu ya ziara yake ya Amerika Kusini wakiwa angani ndani ya ndege ya shirika la LATAM.

Papa Francis alitarajiwa kwenda Peru, ambako atakutana na watu wa asili watakaomueleza jinsi uchimbaji wa dhahabu unavyoendelea kuharibu maeneo makubwa ya msitu wa Amazon nchini humo.

Hamissa Mobetto Kuleta Bidhaa Sokoni Naye Kuja na 'Lipstick'

$
0
0
Hamissa Mobetto Kuleta Bidhaa Sokoni Naye Kuja na 'Lipstick'
Baada ya ukimya wa mrembo Hamisa Mobetto  katika mitandao ya kijamii  ameamua kurejea na maswali kwa baadhi ya mashabiki baada ya kupost picha za tangazo za rangi za midomo(lipsticks) katika ukurasa wake wa instagram na wengi kujiuliza kama ana mpango wa kuja na lipsticks zake.



Hamisa Mobetto ameandika “itakujia hivi karibuni, nafanya kazi kwa bidii na ukimya” 5 FACES OF HAMISA by CHARMED BEAUTE



Je tutegemee kupata lipsticks kutoka kwa Hamisa Mobetto kwa mwaka huu 2018? Kupata majibu hayo endelea kukaa karibu na Ayo Tv na millardayo.com tutamtafuta Hamisa Mobetto ili kuzungumzia suala hilo.
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live




Latest Images