Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Kiben Ten Chakomeshwa na Sugar Mummy Wake Baada ya Kumfumania Akifanya Mapenzi Kwenye Gari

$
0
0
Mwanamke mmoja ambaye ni mfanya biashara mwenye umri wa miaka 54 anayejulikana kama Maggie, kampiga mpenzi wake mwenye umri wa miaka 26 kwa kumdanganya.

Kwa mujibu wa ripoti, Maggie alimpiga mpenzi wake baada ya kumfumania akifanya mapenzi na msichana katika gari lake huko jijini Lusaka, Zambia.
Mwanamke huyo inaonyesha alikasirika na kuamua kuchukua sheria mikononi mwake na kumpiga kijana huyo kama mtoto mdogo, akimhukumu kwa kosa la kuchezea moyo wake.

Na Raheem Rajuu

Amber Lulu Afunguka Historia ya Kusikitisha ya Maisha yake

$
0
0
Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye alipata umaarufu kwa kupiga picha za utupu na kuweka mitandaoni, Amber Lulu, amesimulia historia ya maisha yake ambayo imemfanya abadilike na kuwa alivyo sasa.

Akizungumza kwenye Backstage ya Bongo Fleva Top 20 ya East Africa Radio, Amber Lulu amesema maisha yake ya nyuma yalikuwa yenye mahangaiko ya maisha akiwa na umri mdogo, huku akilazimika kujitafutia hadi pesa ya shule.

Amber Lulu amesema wakati yupo mdogo akisoma mama yake alikuwa na tatizo na lililomfanya ashindwe kutimiza majukumu mengi ya kifamilia, hivyo akaamua kujiingiza kwenye masuala mbali mbali ya kujitafutia riziki ili aweze gharama za kumudu maisha.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni Dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi?

Dk Shein Aanza Ziara ya Wiki Moja Falme za Kiarabu

$
0
0
DR SDk Shein Aanza Ziara ya Wiki Moja Falme za Kiarabu
Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ameondoka leo kwenda nchi za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa ziara ya wiki moja kufuatia mwaliko wa viongozi wa mataifa hayo.

Taarifa iliyotolewa leo Januari 20,2018  na Ikulu ya Zanzibar inaeleza kuwa katika ziara hiyo inayotarajiwa kuanza kesho,  Dk. Shein atafanya mazungumzo na Mtukufu Sheikh Mohammed bin Zayed Al Nahyan, mrithi wa mtawala wa Abu Dhabi na Naibu Amiri Jeshi Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya (UAE) nchini Abu Dhabi.

Akiwa mjini Abu Dhabi,  atakutana na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo ya Abudhabi, Mohamed Saif Suwaid, atatembelea mji wa nishati, Masdar, atatembelea jumba la kumbukumbula Louvre, msikiti wa Shaikh Zayed na sehemu ya kihistoria ya Wahat Al Karama.



Aidha, Dk. Shein atafanya ziara Dubai na kukutana na kufanya mazungumzo na mtukufu Shaikh Mohammed bin Rashid Al Makhtoum, Makamo wa Rais na Waziri Mkuu wa (UAE) na mtawala wa Dubai.

Katika nchi hizo za Umoja wa Falme za Kiarabu, Pia  Dk Shein atafanya ziara mjini Sharjah na kukutana pamoja na kufanya mazungumzo na Mtukufu Dk. Shaikh Sultan Mohammed Al Qasimi, Mtawala wa Sharjah.

Katika ziara hiyo, Dk. Shein ameongoza na viongozi mbali mbali akiwemo mke wa Rais wa Zanzibar, Mwanamwema Shein, Waziri wa Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira Salama Aboud Talib, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Khalid Salum Mohamed, Waziri Asiyekuwa na Wizara Maalum Juma Ali Khatib,pamoja na Mshauri wa Rais Masuala ya Ushirikiano wa Kimataifa, Uchumi na Uwekezaji Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa.

Mambosasa Kuungwa Mkono na Wadau wa Usafirishaji

$
0
0
Mambosasa Kuungwa Wadau wa Usafirishaji
Wadau wa usafirishaji wameunga mkono kauli ya Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa ya namna askari wa kikosi cha usalama barabarani (trafiki) wanavyotakiwa kufanya kazi na wametaka isambae kwa makamanda wa mikoa mingine.

Juzi, Kamanda Mambosasa alizungumzia jinsi trafiki anavyotakiwa kufanya kazi iwapo atasimamisha gari, makosa anayotakiwa kuhoji na faini zinazopaswa kutozwa kulingana na wakati.

Pia alieleza kuwa polisi wanaozunguka na pikipiki maarufu kwa jina la tigo hawaruhusiwi kutoza faini baada ya kukamata gari.

Mambosasa alisema si kila kosa linapaswa kutozwa faini na kushangazwa na askari wanaokamata magari mchana kwa kosa la kutokuwa na taa.

Akitoa maoni yake kuhusu kauli ya Mambosasa, Katibu wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa), Enea Mrutu alisema imekuja wakati muafaka na wanaiunga mkono kwa asilimia 100 kutokana na hali halisi iliyopo barabarani kwa sasa.

Alisema imefikia hatua wamekuwa waoga hata kufanya kazi yao ya usafirishaji abiria kutokana na kero za askari wa usalama barabarani hasa katika kutafuta makosa na kutoza faini.

“Nimemuelewa Mambosasa na ninamuunga mkono kwa sababu huko njiani faini zimekuwa nyingi mno, unapotoka Ubungo unakaguliwa na kuruhusiwa, hii peke yake ingetosha kuonyesha gari lipo salama lakini kila sehemu kuna ukaguzi na faini nyingi,” alisema.

Alisema kwa kuwa Mambosasa ameongea akiwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, ipo haja kwa makamanda wa mikoa mingine, kusimamia ukweli huo na kuondoa vikwazo kwa madereva barabarani.

“Ujumbe wa Mambosasa uwe ujumbe wa nchi nzima ili kila mkoa askari wa usalama barabarani na madereva kila mtu ajue wajibu na haki yake akiwa barabarani,” alisema.

Alisema hakutakuwa na maana kama askari wa usalama wa barabarani wa Dar es Salaam watafuata sheria ikiwamo kutosimamisha gari bila kujua kosa la msingi kama mikoa mingine haitafanya hivyo.

Mrutu alisema kuna wakati basi linaweza kupasuka kioo njiani wakati wa safari lakini wakikutana na trafiki hata kama watamweleza uhalisia bado watatozwa faini jambo ambalo sio sawa

“Sasa upo barabarani kioo kimepata ‘crack’ (ufa) utapeleka wapi ukutane na fundi? Si mpaka umalize safari? Nadhani wajifunze pia kutoa onyo kwa makosa mengine na sio kila kosa ni faini,” alisisitiza.

Katibu wa Umoja wa Usafirishaji Abiria Dar es Salaam (Uwadaa), Selemani Kimowe alisema kauli ya Mambosasa ilipaswa kuzungumzwa na viongozi wengine wa polisi kwenye mikoa yote.

Alisema kero kubwa wanayopata kutoka kwa askari barabarani ni wingi wa faini baadhi zikiwa hazina ulazima na kutaka kuwepo muafaka baina ya askari, madereva na wadau wengine wa usafirishaji.

Alisema kuna wakati hutozwa faini hadi Sh700,000 kwa wiki na wapo ambao wanadaiwa mpaka Sh10 milioni wakati si kila kosa linapaswa kutozwa, kama alivyosema Kamanda Mambosasa.

“Wakati mwingine ndio hivyo makosa ya kutafuta japo Mambosasa ameelezea nadhani kinachotakiwa ni ushirikiano baina yetu, tusikomoane kwa sababu sote lengo letu ni kusafirisha abiria kwa usalama,” alisema.

Alisema kauli ya Mambosasa haitakuwa na maana kama askari hawatajua sheria na makosa gani yanapaswa kutozwa faini na kwa wakati gani.

Kimowe alisema kinachofanyika wakati wa safari ni kwamba kosa la dereva huandikiwa mmiliki wa gari jambo ambalo alisema sio sawa.

Alisema kwa sababu lengo hasa ni kusafirisha abiria kwa usalama, linapotokea kosa, mmiliki wa gari husika anapaswa kupewa taarifa achukue hatua ikiwa ni pamoja na kulipa faini kabla deni halijawa kubwa na dereva kuchukuliwa hatua.

“Kuna wakati askari anaweza kuingiza kosa bila kutoa taarifa na hii inatokea kwa sababu kila siku wanawaona madereva, wanazo leseni zao na namba za magari. Haya yote hayapaswi kufanywa kama Mambosasa alivyosema lakini huwa tunalipa tu,” alisema.

Alisema kuna wakati waliamua kwenda kwa viongozi wa juu kabisa wa jeshi la polisi kutokana na faini kuwa kubwa. Mjumbe wa umoja wa madereva wa mabasi, Hussein Ally alisema kuna haja ya kutoa elimu kwa pande zote mbili kujua wajibu na haki badala ya upande mmoja usio na nguvu kuendelea kuonewa.

“Unaweza kujiamini kuwa huna kosa, askari akikusimamisha akatafuta hadi akalikuta na kuandika faini hii haijakaa sawa kabisa, Mambosasa akae na askari wake awaelekeze,” alisema.

Alisema kinachotakiwa kufanywa ni kwa wadau wote kushirikiana bila kukomoana kama inavyofanywa hivi sasa.

Wasafi Tv na Redio Kuvuka Mipaka, Diamond Ataja Nchi hii

$
0
0
Wasafi Tv na Redio Kuvuka Mipaka, Diamond Ataja Nchi hii
Wakati watu wakisubiria ujio wa Wasafi Tv na Redio, Diamond Platnumz ameeleza mipango ya kupeleka vyombo hivyo vya habari kuonekana na kusikika nje ya nchi.

Muimbaji huyo akizungumza nchini Rwanda ambapo ameenda kwa ajili ya kuzindua biashara zake amesema kuna mipango ya kuhakikisha Wasafi Tv na Redio zinafika nchini humo.

“Na pia tupo katika harakati za kuhakikisha kwamba ziwe na uwezo wa kufika hadi nchini Rwanda kwa namna moja au nyingine endapo tutamalizana na vyombo vya sheria,” amesema.

Ameongeza kuwa lengo la Wasafi Fm na Tv ni kuona kwa namna gani vyombo vya habari vinavyoongezeka vinasaidia wasanii kukua kwani kuna wasanii wanajua kuimba lakini hawapati nafasi.

Kuna Wakati Unatakiwa Ushindwe ili Ushinde – Ruby

$
0
0
Kuna Wakati Unatakiwa Ushindwe ili Ushinde – Ruby
Msanii wa muziki Bongo, Ruby ameamua kuwatia moyo watu ambao wamekata tamaa na vitu wanavyovifanya.

Mrembo huyo mwenye sauti adimu ametoa rahi hiyo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram kwa kuwaandikia ujumbe usomekao ‘Sometimes you gottaloose to win again #jesusdidit #TZBIRD🇹🇿 #mwakawamaajabu’ ujumbe huu umekuja ikiwa ni siku chache kupita
tokea kuachiwa kwa video mtandaoni ikimwonyesha akiimba wimbo wa kumshukuru mungu uitwao

‘Sitabaki Kama Nilivyo’ wa Joel Lwaga, ambapo mashabiki walimpa moyo na kumwambia kuwa ni msanii mweny kipaji cha utofauti.

Sio hao tu bali hata Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Mh. Paul Makonda aliweka video hiyo na kuandikia ‘Mchukue huyu Yesu uone kama kuna mtu wa kukuzuia watajaribu lakini hawatafanikiwa ,hatimaye watajiunga na wewe. Y because you become unstoppable’, wengine ni Meneja wa kundila Tip Top Connection Babu Tale.

Ruby amewahi kuavhia ngoma kama ‘ Na Yule’, ‘Forever’, ‘Sijutii’ na nyinginezo. Pia ameshafanya kazi na wasinii kama Abdu Kiba, Baraka The Prince, Wakazi na wengineo.

BREAKING NEWS: Waziri Amtumbua Mkurugenzi wa Maji Musoma

$
0
0
BREAKING NEWS: Waziri Amtumbua Mkurugenzi wa Maji Musoma
Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Mhandisi Isaack Kamwelwe , ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira wa Mji wa Musoma, Gantala Said (pichani kushoto) ambaye anachunguzwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha kwenye Mradi wa Maji Bunda na akizivunja Bodi za Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira za Mikoa ya Arusha na Mara (Musoma) baada ya kujiridhisha kuwa utendaji wao siyo mzuri.

Kamwele amefikia uamuzi huo leo baada kubaini kuwa kumekuwepo na uzembe wa utekelezaji wa miradi ya serikali ya maji kwa baadhi ya watendaji katika idara hizo.


“Kufuatia ziara ya Waziri Mkuu, Kassim Majliwa mkoani Mara, imebainika kuwa kumekuwepo na matatizo ya huyo Mkurugenzi Gantala ambaye Waziri Mkuu ameagiza Mkurugenzi huyu watendaji wengine wachunguzwe na TAKUKURU.

“Hivyo kuanzia leo Januari 20, 2017 ninatengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Maji Safi na Usafi wa Mazingira wa Mji wa Musoma, Gantala Said na nafasi yake itakaimiwa na Eng. Robert Petro Mponya wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUASA), ninamuagiza aisaidie Musoma ili waweze kufanya kazi inayotakiwa,” alisema Kamwele.

AUBAMEYANG ni Mzuri, Anafaa Arsenal ila Kazi ipo Hapa

$
0
0
AUBAMEYANG ni Mzuri, Anafaa  Arsenal  ila Kazi ipo Hapa
ARSENAL chini ya kocha wake Arsene Wenger inapambana kuhakikisha inamsajili straika Pierre-Emerick Aubameyang kutoka Borussia Dortmund ya Ujerumani.

Aubameyang raia wa Gabon anatakiwa na Arsenal kwa udi na uvumba ili kuziba nafasi ya straika Alexis Sanchez ambaye anatarajiwa kujiunga na Manchester United au Manchester City.

Maisha ya Aubameyang katika Klabu ya Borussia Dortmund sasa siyo mazuri na inaonekana wazi straika huyo anataka kuondoka na klabu iliyoonyesha nia ya kumsajili ni Arsenal.

Wenger hana jinsi zaidi ya kumuachia Sanchez kwenda jijini Manchester kwani isipofanya hivyo sasa, inaweza kumtoa bure katika usajili ujao kabla ya msimu mpya.

Hata hivyo zipo sababu zinazoonyesha kuwa, Aubameyang anaweza kuisumbua Arsenal kutokana na sababu zifuatazo:

#5 Kulazimisha ushindi

Aubameyang anajua kufunga na akiwa karibu na lango ni mtu hatari sana kwa wapinzani. Hata hivyo, ana tatizo la kutokuwa mpambanaji kwa ajili ya timu na hana njia nyingi za kuwabuguzi mabeki, akishindwa njia moja ndiyo basi tena. Anategemea kufunga kwa kutengenezewa nafasi na wakishindwa kumfanyia hivyo ndiyo basi tena.

 #4 Tatizo la ulinzi

Moja kati ya matatizo makubwa ya Aubameyang awapo uwanjani ni mchango wake wa kukaba. Kwa soka la sasa hasa England, kukaba ni kazi ya mshambuliaji pia ili kupunguza kasi ya adui. Sasa Aubameyang yeye si mzuri katika kukaba hivyo atapata tabu katika mfumo huo.

#3 Hayupo kama zamani

Aubameyang wa sasa si yule wa msimu mmoja au miwili nyuma, ameshuka pia vituko vyake nje ya uwanja ni tatizo kichwani mwake. Sawa, sasa anaweza kuwa amefunga mabao 21 katika mechi 23 msimu huu, lakini hailingani na nafasi anazopoteza uwanjani sasa katika kikosi cha Borussia Dortmund.

#2 Gharama yake haiendani na umri

Aubameyang sasa ana umri wa miaka 28, hivyo dau la Borussia Dortmund la kumuuza kwa pauni milioni 53 (Sh bilioni 162.8), haiwezi kuwa na faida kwao kwani hatoweza kucheza kwa ushindani kwa muda mrefu. Hii ina maana kuwa, Arsenal haitaweza kumtumia kwa muda mrefu.

#1 Hawezi kuwa Alexis Sanchez

Ukweli ni kwamba, Aubameyang hawezi kuwa mbadala sahihi wa Alexis Sanchez. Arsenal inadhani Aubameyang ndiye mbadala sahihi wa Sanchez lakini ukweli ni kwamba wawili hao wapo tofauti kabisa. Aubameyang anacheza kwa mtindo mmoja na kwa kutumia upande mmoja tu lakini Sanchez yupo pande zote. Hapa ndipo Arsenal inapoongeza nguvu pia kumnasa Malcom wa Bordeaux.

TBA Wapewa Wiki Moja

$
0
0
TBA Wapewa Wiki Moja
Waziri wa elimu,sayansi,na teknolojia na ufundi Profesa Joyce Ndalichako amewapa wiki moja Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kuonyesha maendeleo ya mradi wa ujenzi wa madarasa, hostel na ofisi kwa ajili ya chuo kikuu cha Muhimbili Kampasi ya Mloganzil


Waziri Ndalichako ametoa agizo hilo leo alipokuwa kwenye ziara ya kutembelea mradi huo na kutoridhishwa nao, baada ya kukuta hauna maendeleo yoyote huku serikali ikiwa imeshalipa gharama za ujenzi.

“Ninawapa wiki moja, nataka hapa nione vifaa vyote vya ujenzi viwe vimemwagwa vywa kutosha, nataka nione mafundi wa kutosha, haiwezekani site kubwa kama hii mafundi hawafiki hata 40, kweli kazi itaenda!? Niliwaambia muongeze mafundi mwezi wa 11 lakini kwa sababu mlizozijua wenyewe hamjaongeza, sasa ndani ya wiki moja wasipoongeza mafundi, hatuwezi kuwa na mkandarasi ambaye haendani na matakwa ya mteja, nimekwisha wapatia bilioni 3 na milioni 900,  nikiangalia fedha nimezitoa tangu mwezi wa 8 sioni kazi ambayo inafanana na kiwango cha fedha ambayo nimewapatia, ndani ya wiki moja wasipotimiza angalieni namna ya kuvunja huo mkataba.”, amesema Waziri Ndalichako.

Waziri Ndalichako ameendelea kwa kulalamika kuwa wakandarasi hao wamekuwa wakiaminiwa na serikali na kuwapa miradi mingi, lakini wamekuwa wakisua kukamilisha miradi kwa muda.

Wolper Ageuka Kungwi

$
0
0
Wolper Ageuka Kungwi
Msanii wa filamu bongo ambaye sasa amegeukia ujasiriamli, Jackline Wolper, amewapa somo mabinti na kuwafunda juu ya kujishughulisha ili kujipatia kipato chao, na hatimaye waweze kuheshimika.


Akizungumza kwenye Friday Night Live ya East Africa Television, Jackline Wolper amesema ni wakati sasa mabinti kuacha kutegemea pesa wanazopewa na wanaume, na badala yake wajishughulishe ili kutengeneza pesa yako mwenyewe.

“Wadogo zangu wa kike 2018 mi ntaendelea kuwatia hasira, na kuendelea kuwaambia kwamba hela ya mwanaume sio ya kwako, ukishachukua hela ya mwanaume fanya kitu chako, iwe hela yako, usikubali kunyanyasika, kwa hela ya mtu, kwa hiyo wadogo zangu nitaendelea kuwaisipire ili mfanye kazi ili utambe na hela yako, usitambe kwa hela ya kuhongwa”, amesema Wolper.

Hivi sasa Wolper anamiliki biashara yake ya mavazi ambayo ana buni na kushona mwenyewe, ambayo aliwahi kusikika akisema inamuingizia pesa nyingi ingawa watu wengi wakimdharau kwa kumuita 'fundi cherehani'.

Huduma za Serikali Zakwama Marekani

$
0
0
Huduma za Serikali Zakwama Marekani
Bunge la Seneti nchini Marekani limeshindwa kuidhinisha mswada ambao ungeongeza ufadhili wa serikali ya kitaifa kwa mwezi mmoja.

Kufuatia hatua hiyo huduma nyingi za serikali zitakwama, hata hivyo athari kamili itaanza kuonekana siku ya Jumatatu, wakati wafanyakazi wa serikali watarejea kazini.

Mara ya mwisho shughuli za serikali zilikwama nchini Marekani ni mwaka wa elfu mbili na kumi na tatu, na ilidumu kwa muda wa siku kumi na sita wakati ambapo wafanyakazi wengi wa serikali walishurutishwa kwenda likizo ya lazima.

Ni mara ya kwanza kwa huduma za serikali kukwama huku chama cha Republican kudhibiti mabunge yote na ikulu ya White house.

Ikulu ya whitehouse imewalaumu wabunge wa Democrats kwa kuweka siasa juu ya maswala ya kiusalama , familia za wanajeshi, watoto walio katika mazingira magumu, na uwezo wa taifa hilo kuwahudumia raia wa Marekani.

Chama cha Republican kinasema kuwa rais Trump alikiuka makubaliano kuhusu uhamiaji wakati wa mkutano katika afisi ya rais huyo
Image caption
Chama cha Republican kinasema kuwa rais Trump alikiuka makubaliano kuhusu uhamiaji wakati wa mkutano katika afisi ya rais huyo
Lakini kiongozi wa wabunge wa Democrats Chuch Schumer, alisema kuwa rais Trump alikataa makubaliano yasiopendelea upande wowote na hakukishinikza chama chake katika bunge la Congress.

Mkwamo wa huduma za serikali nchini Marekani ulifanyika mara ya mwisho 2013 na ukachukua muda wa siku 16.

Republicans waliutaja muswada huo kwa jina la ''Schumer Shutdown' na hawakukosea.

Chuck Schumer na wabunge wenzake wa Democrats kupitia usaidizi wa wabunge wachache wa Republican walizuia muswada ambao ungesaidia serikali kuendelea na shughuli zake, hata ijapokuwa kwa muda.

Democrats watasema kuwa walikuwa wamekubaliana na rais kupitisha muswada usiopendelea upande wowote kuhusu mabadiliko ya sheria ya uhamiaji, kabla ya kukiuka makubaliano hayo wakati wa mkutano katika afisi ya Oval wiki iliopita.

Swala la kurushiana lawama lilianza saa sita usiku na mshindi bado hajatangazwa.

Athari za mkwamo wa huduma za serikali nchini Marekani
Image caption
Athari za mkwamo wa huduma za serikali nchini Marekani
Hatahivyo atakayeshindwa katika mkwamo huu ni chama kitakachoingia katika vita na idadi ndogo ya wabunge ikiwa ni habari mbaya kwa rais Trump na chama cha Republicans.

Habari njema ni kwamba , pande zote mbili na ngome zao za kisiasa zitafurahishwa kwa kufanya mambo kuwa magumu.

Kwa nini pande hizo mbili zisikubaliane?

Swala linalogombaniwa ni lile la Democrats kutaka zaidi ya wahamiaji wasio na vibali walioingia nchini Marekani kutofurushwa.

Wahamiaji hao walipatiwa vibali vya kuwa nchini humo kwa muda chini ya mradi ulioanzishwa na rais wa zamani Barrack Obama.

Mnamo mwezi Septemba, bwana Trump alitangaza alikuwa anasitisha mpango huo huku akilipatia bunge la Congress hadi mwezi Machi kuwa na mpango mbadala.

Drake Adondosha Ngoma Mbili Kupitia Mixtape Yake Mpya

$
0
0
Drake Adondosha Ngoma Mbili Kupitia Mixtape Yake Mpya
Rapper Drake, usiku wa kuamkia leo amechia Mixtape yake iitwayo ‘Scary Hours’ ambapo ndani yake kuna ngoma mpya ziitwazo ‘God’s Plan” na ‘Diplomatic Immunity’.


Ngoma ya “God’s Plan,” iliyopo katika mixtape ya rapper huyo kutoka Toronto imetayarishwa na Noah Shebib, Cardo, pamoja, finds Drizzy na Boi-1da ambaye pia ametayarisha ngoma ya a ‘Diplomatic Immunity’ akishirikiana na Nick Brongers.

Siku chache zilizopita rapper huyo pia alitangaza kuachia documentary ya maisha yake iitwayo ‘Toronto to Houston’, inayotarajiwa kutoka Mwezi wa nane mwaka huu.

Je Una Upungufu wa Nguvu za Kiume, Hamu ya Tendo la Ndoa au Maumbile Madogo ya Uume?

$
0
0
JE, UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, HAMU YA TENDO LA NDOA AU MAUMBILE MADOGO YA UUME?

SOMA HAPA
Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume au ukosefu wa hamu ya tendo la ndoa limezidi kuongezeka kwa kasi duniani kote na limekuwa chanzo kikubwa cha ndoa nyingi na mahusiano kukosa uaminifu kutokana na wengi kutoka nje ya ndoa ili kupata mtu atakayemtosheleza na kumfikisha kileleni. Pia udogo wa maumbile ni tatizo kubwa na limekuwa likiwakosesha wanaume wengi uwezo wa kujiamini katika tendo na kusababisha tendo hilo kutokufanyika kwa usahihi. Hili pia huchangia kwa kiasi kikubwa wanawake wengi kwenda nje ya ndoa ( MAHUSIANO) kutafuta mbadala wake.
BAADHI YA DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NI KAMA:-
☆Kukosa hamu ya tendo la ndoa
☆Uume kusimama kwa ulegevu
☆Kuwahi kufika kileleni
☆Uume kusinyaa katikati ya tendo
☆Kushindwa kurudia tendo kwa wakati
☆Kuchoka sana baada ya round ya kwanza na hata kukinai kabisa.

Kwa kutumia mimea na matunda bila kemikali 🍇🍍🍓🌿🍉🍒🍎🍑 @markson_beauty_pr Tunakuletea suluhisho la matatizo hayo hata kwa wenye "KISUKARI NA PRESSURE" kwa:-
1.HANDSOME UP ORIGINAL:- kifaa chenye uwezo wa 99% kuongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @250,000/=
2.SHARK POWER ni gely ya kupaka inayoongeza uume kwa wastani wa inch 5.5 hadi 6 @150,000/=
3.VigRX CREAM:- ni gely iliyoboreshwa mahususi kwa ajili ya kuongeza maumbile kwa wastani wa inch 6.5 hadi 8 na kuimarisha misuli ya uume iliyolegea @200,000/=
4.Vidonge maalum kwa ajili ya kuongeza nguvu na hamu ya tendo la ndoa hata kwa wenye kisukari @150,000/=
5.Spray ya kuchelewesha kufika kileleni na kuweza kurudia tendo ×3. @150,000/=
BIDHAA HIZI HAZINA MADHARA KIAFYA NA ZIMETHIBITISHWA
NA SHIRIKA LA AFYA DUNIANI (WHO).
KWA BIDHAA HIZI NA NYINGINE NYINGI TEMBELEA UKURASA WETU WA INSTAGRAM :-
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
@markson_beauty_pr
WEB:www.markbeauty.org
Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444 na
0714335378
UTAPATA HUDUMA
NB:Matokeo ni uhakika na garantii na hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi wa MARKSON CO pamoja na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.

Diva Amwagwa Dadharani na Heri Muziki Mbele ya Watangazaji Wenzie, Ataka Kuzimia

$
0
0
Yule binti ambaye mahari yake hadi sasa ni Tsh Million 200 za kitanzania na ambaye ni mtangazaji mwenye mvuto kuliko wote hapa Tanzania leo amefanyiwa suprise ya nguvu na aliyekuwa mpenzi wake anayeitwa Heri Muziki.

Diva alimanusura azimie maana kijana wake amemkana wazi wazi mbele ya watangazaji wenzie jambo ambalo Cute Diva hakutarajia kabisa kwani yeye alitarajia kwenda kutambulishwa hadharani na kwa jamii...
Diva alishamgharamikia sana huyu kijana kwani amemtafutia collabo nyingi na amekuwa akimlipia studio sessions kila leo.....akamkutanisha hadi na Mr paul bila kusahau kumpigia nyimbo zake kila leo kwenye kipindi chake cha jioni.....

Pia huyu kijana inasemekana ameshauriwa amwage Diva baada ya kuanza kufeli kwenye masomo yake pale chuo kikuu......

Pamoja na Diva kutumia mbinu ya kumponda GK kuwa hakuwa romantic bado kijana huyu hakushawishika kabisa na kuamua kumkana Diva hadharani tena mbele ya watangazaji wenzake na kibaya zaidi Diva ndiye iliyeomba interview.....

Kwakweli nimemuonea sana huruma Binti malinzi kwakweli alichofanya mtoto Heri sicha kiungwana kabisa japo ni wazi kabisa si vizuri mtu mzima kucheza na watoto....

Lemutuz na Diva huu si mwezi mzuri kwao

Baada ya kukanwa hadharani Binti Diva amesema yafuatayo:

Divatheebawse"Najua napata simu nyingi ila mtanisamehe sana kwa sasa naomba nisiongee chochote kulinda Brand yangu na jina langu.
Interviews zote nikitulia ntawajibu ....
Samahani kwa yoyote aliekwazika...mashabiki. wafanyakaz wenzangu na ndugu jamaa na marafiki!!
Haya ni maisha tu ... "

"Ni ngumu sana kuwa na mahusiano na mvulana uliyepishana naye umri, wanasumbua sometimes"

Divatheebawse"JAMAN naona mnaumia na mimi ..mnapaza sauti mnalia na mimi mko hapa kwa ajili yangu nasema asanteni sana kwa mapenzi mnayoonyesha kwangu wakati wa kipindi hiki cha majaribio .. mapito kipindi cha huzuni kwangu .... niseme tu nimedhalilishwa...nimefedheheshwa....nimeumia sana sana sana!!
Yalionikuta ... sikuhisi yangenikuta ... moyo wangu unasononeka sana! Ndio maana sina ata maneno sahihi ya kusema Namuachia mungu pekee yeye anajua...this is a heartbreak! Afu anaekufanyia hivyo yan ni mtu ambae umejitoa extra kwa ajili yake! Sitasema lolote baya . Namuachia Mungu Yaan sijui ata what to do! ..ndio mana sipokei simu sijibu sms za mtu yan i jus wanna handle this kama mwanamke shupavu mwenye nguvu na mwanamke anaejitambua.
ila nimeumia sana !!

WCB Kwanini Wanamtenga Sana Richmavoko?

$
0
0
Ukiangalia kwenye mambo mengi jamaa huwa hawaambatani naye,halafu ukitazama kwa wasanii wote wa Lebel ya WCB wako approved na instagram kuwa zile ni real accont zao ila sembuse yeye shida nini? Kama hawampendi si wamuache aende zake maana kuna za nyuma ya pazia kuwa jamaaa ameishachoka sema mkataba tu ndio unamfunga...

Facebook Kutumia Utafiti ili Kuboresha Habari Zake

$
0
0
Facebook Kutumia Utafiti ili Kuboresha Habari Zake
Kampuni ya facebook imetangaza kuwa imebadili kampuni inayoipa habari, ili kukabiliana na kile ilichotaja kama habari za uzushi na za kupotosha.

Afisa mkuu mtendaji wa kampuni hiyo ya facebook, Mark Zuckerberg, amesema mtandao wake sasa utakuwa ukiwauliza matumiaji wake ni vyanzo vipi vya habari wanaamini zaidi na hivyo kuwapa nafasi ya kwanza.

Waandishi wa habari wanasema kuwa kampuni hiyo ya facebook ambayo ina zaidi ya watumiaji bilioni mbili, inataka kusitisha usambazaji wa habari bandia na propaganda, baada ya mahusiano yaliyojawa na malumbano na mashirika ambayo yana misimamo mikali ya kisiasa.

Mapema mwezi huu, Mark Zuckerberg, alitangaza mabadiliko ya vyanzo vya habari ya kampuni hiyo, iliyonuiwa kuhimiza ujumbe zinazotumwa na familia na marafiki badala ya mashirika ya kibiashara na bidhaa.

"Sholo Mwamba ni Mfa Maji"- Man Fongo''

$
0
0
"Sholo Mwamba ni Mfa Maji"- Man Fongo
Msanii wa miondoko ya singeli Man Fongo amesema hawezi kukaa na kumzungumzia Sholo Mwamba kwa madai yeye ni mfa maji ndiyo maana haishi kutapa tapa kila uchao kumtaja.


Man Fongo ameeleza hayo baada ya masaa machache kupita tokea kuonekana kwa 'video' ya Sholo iliyorushwa na EATV katika kipindi cha 'FRIDAY NIGHT LIVE' (FNL) usiku wa kuamkia leo, ikiwa imemuonyesha akimlaumu msanii mwenzake kuwa hana kipaji cha kuendelea kufanya muziki mzuri ndani ya mwaka 2018 huku akimtaka arejee katika fani yake ya awali ya 'DJ'.

"Mimi kwa sasa siwezi kumzungumzia mtu yeyote kwa maana naangalia muziki wangu kwa sababu ndiyo unaonifanya nieleweke kwa wadau wangu, pia unasababisha familia yangu ipate kula. Kwa hiyo mtu akitaka kutoka kwa kutumia kiki na kupitia mgongo wangu nakuwa bado simuelewi. Hivyo siwezi kumtumikia Sholo Mwamba 'eti aniambie mimi nirudi katika fani yangu ya 'DJ' wakati yeye hayupo katika 'manegement' yangu na yeye ni msanii kama mimi", alisema Man Fongo wakati alipofanyiwa mahojiano maalum.

Pamoja na hayo, Man Fongo ameendelea kwa kusema "ninachopenda kumshauri Sholo Mwamba ni kwamba atoe ngoma mpya ili aweze kusikilizwa na raia anachokifanya, apambanie muziki wake aweze kufika mbali na asiangalie muziki wangu mimi", alisisitiza Man Fongo.

Kwa upande mwingine Man Fongo amesema mwaka 2018 amejiandaa vizuri katika ufanyaji kazi wake na wala haiwezi kuwa kama alivyosema mpinzani wake huyo ambae kwa muda mrefu wamekuwa wakitoleana mapovu katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.

"Kazi mpya nimeangusha juzi tu na mpaka sasa ninapo kwambia inafanya vizuri hivyo Sholo Mwamba ni mfa maji tu kama mtu ambae anatapa tapa yaani mfa maji haishi kutapa tapa. Kwa hiyo ameona bora apate kiki kwa mgongo wangu ili aweze kutoka", alisema Man Fongo.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0

Ni Dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi?

Wananchi Jimbo la Zitto Waililia Serikali

$
0
0

Mji wa Kigoma ujiji hauna huduma ya maji kwa siku tano sasa baada ya mamlaka ya maji safi na taka kukatiwa umeme na kushindwa kutoa huduma.

Hali ambayo imesababisha wananchi kuhangaika usiku na mchana kutafuta maji maji ya chemchem na visima, na kuiomba serikali kuhakikisha tatizo hilo linakwisha mapema ili kuepuka maradhi wanayoweza kuyapata, kutokana na ukosefu wa huduma ya maji ambayo sasa wanalazimika kutumia maji yasiyo salama.

Akizungumzia hali hiyo kaimu Mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na taka Kigoma Ujiji  Mhandisi Mike Jones, amesema sababu ya kukatiwa umeme ni kutolipa kwa wakati ankara za umeme lakini suala hilo linashughulikiwa haraka ili kuweza kutatua suala hilo
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images