Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

Sijafulia na Wala Siongwi Elfu 20- Pretty Kind

$
0
0
Sijafulia na Wala Siongwi Elfu 20- Pretty Kind
Baada ya kufungiwa Miezi 6 kutoa nyimbo mpya, kutumbuiza na kujihusisha na muziki kivyovyote, leo January 24 , 2018 Msanii Pretty Kind amesema sio kweli kwamba amefulia mpaka amekua akihongwa Elfu 20.

Pretty Kind amesema kwanza anataka akirudi aonesha kabadilika sio kwenye kuimba tu hata katika maisha yake ya kawaida huku akikiri kusumbuliwa na wanaume na wengine kuchukulia matatizo yake kutaka kufanya mambo wanayotaka wao.

Kwa nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

$
0
0

Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.


NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.


MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA.


MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.


NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,


Je unamali yako unauza hupati wateja?

Wasiliana nami 0716-263605


DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale

Baadhi ya Wapinzani Aina ya Lema, Sugu, Lijualikali, Msigwa Badilikeni, ama zimebadilika kwa sasa

$
0
0
Kiukweli awamu ya nne ya Jakaya Kikwete wapinzani mlidekezwa sana ikajengeka baadhi miongoni mwenu tabia ambazo si njema kwa maadili ya kitanzania. Dharau kwa mamlaka, kejeli, matusi, dhihaka na mengineo mengi yenye kuikera jamii ya wastaarbu.

Hili lilichagizwa na kupewa nguvu na baadhi ya vijana waliotumika katika maandamano ya kila mara yasio na tija kwa taifa.

Kipindi cha awamu ya nne ya Jakaya Kikwete baadhi ya wanasiasa wa upinzani walitumia uhuru huo vibaya. Waliposhikiliwa na vyombo vya dola, walitumia makundi ya vijana kuvamia vituo vya polisi kulazimisha waachiwe. Hii kwa waliokua hawajitambui iliwapa kiburi Sana.

Zama zimebadilika kabisa Serikali hii imejikita kurudisha nidhamu iliopote kwa wanasiasa na watumishi wa umma ikijikita kutumikia wananchi ambao upinzani kwa muda mrefu ulituhumu wamepuuzwa.

Kwa sasa vijana na makundi mbalimbali wameelewa dhamira ya dhati ya awamu ya tano katika kuwaondelea kero zilizopigiwa kelele kwa muda mrefu na upinzani.

Kujua hili, hapo nyuma angekamatwa Sugu vijana wa Mbeya wangeandamana aachiwe kwa vurugu nyingi lakini wamemchoka na kumpuuza. Kwa sasa yuko ngomeni na hali ya mji wa Mbeya ni tulivu.

Hali kadhalika kwa Lema, ile miezi minne hatukuona maandamano ya kutaka aachiwe, wamemchoka na kumpuuza. Vijana wako busy wanapambana na shughuli za kujitafutia kipato, wamechoka kutumika pasi na Faida yoyote.

Hili ni funzo kwa wanasiasa model ya watajwa hapo juu.

Wataishia kuilaumu Serikali wakati wao binafsi wanashindwa kutimiza wajibu wao, wanaishi kwa mazoea.

Kikwete aliposema mtamkumbuka mlipomwita dhaifu alimaanisha jambo, sasa mnaona jinsi alivyowadekeza.

Badilikeni, muda bado mnao wa kutosha kwenye uhai wenu, kwani mngali vijana

By thetallest

Makonda Atoa Miezi Tisa kwa Wafanyabiashara wa Magari Kuamia Kigamboni

$
0
0
Makonda Atoa Miezi Tisa kwa Wafanyabiashara wa Magari Kuamia Kigamboni
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewapa miezi tisa wafanyabiashara wa magari jijini Dar es Salaama kuwa wameshahama katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo na kuhamia Kigamboni kwenye eneo maalum lililotengwa kwa ajili ya biashara ya magari


Makonda amesema hayo leo Januari 24, 2018 na kusema kuwa ifikapo Oktoba mwaka huu hataki kuona mfanyabishara yoyote wa magari katika maeneo ya jiji hilo na kutaka ifikapo mwezi huo wote wawe Kigamboni.

"Ikifika mwezi huo wa tisa ambao ni mbali kweli lakini ni karibu sana, mimi akili yangu nilikuwa nafikiri niwape mpaka mwezi wa sita maanake una muda wa kujipanga saizi ila mwezi wa tisa ukiisha maanake Oktoba Mosi mwaka huu nikusikute 'Show room' katikakati ya Dar es Salaam" alisema Makonda

Aidha Mkuu huyo wa mkoa ametoa agizo kwa Afisa Biashara kuhakikisha kuwa hakuna mfanyabiashara ambaye ataweza ku 'renew' leseni yake akiwa mjini bali anatakiwa aweze kufanya zoezi hilo na kuhesabika yupo Kigamboni.

"Nimechukua majina ya wafanyabiashara wote na nakala ya leseni zao za biashara na kuanza leo na kuanzia saizi Afisa Biashara hakuna mfanyabiashara ku 'renew' leseni kwa ajili ya kubaki katika eneo alilopo, kama upo Magomeni uki renew unahesabika upo Kigamboni na wale wote ambao hawajachukua maeneo tafadhali jamanii hakikisheni kwamba mwezi wa tisa hatuongelei habari ya lini tuna hama" alisisitiza

Rais Magufuli Atuma Salamu za Rambirambi Kufuatia Kifo cha Jaji Mstaafu, Robert Kisanga

$
0
0
Rais Magufuli Atuma Salamu za Rambirambi Kufuatia Kifo cha Jaji Mstaafu, Robert Kisanga
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahimu Juma kufuatia kifo cha Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, Mh. Robert Kisanga kilichotokea tarehe 23, Januari mwaka huu, Katika Hospitali ya Regence ya Jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu

Shahidi Asimulia Yote Alivyofakisha Kumrekodi Sugu

$
0
0
Shahidi Asimulia Alivyomrekodi Sugu
Mvutano wa kisheria katika kesi inayowakabili mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ na katibu wa Chadema Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Emmanuel Masonga umeibuka kwa mawakili wa pande mbili kuhusiana na ushahidi wa sauti iliyorekodiwa kwa kinasa sauti ambao upande wa Jamhuri uliiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi-Mbeya kuusikiliza na upande wa utetezi kuupinga.

Mvutano huo umeibuka baada ya shahidi wa tano upande wa Jamhuri, Inspekta Joram Magova akiongozwa na wakili wa Serikali mkuu, Joseph Pande kudai kwamba ndiye aliyefanya kazi ya kurekodi sauti za Sugu na Masonga kwenye mkutano wao wa Desemba 30 mwaka jana hivyo kuiomba Mahakama kupokea kifaa kilichotumika kurekodia kama kielelezo cha pili kilichowasilishwa na shahidi wa wanne, askari Daniel Masanja katika ushahidi unaondelea kutolewa mahakamani hapo.

Upande wa utetezi ukiongozwa na mawakili Boniface Mwabukusi na Hekima Mwasipu waliupinga ushahidi huo wakiiomba Mahakama kutoupokea wala kusikiliza wakidai shahidi aliyetoa kifaa hicho ana masilahi na kesi hiyo hivyo wanaona ushahidi huo haujakidhi matakwa kisheria.

Hata hivyo, mawakili wa Serikali, Pande na Baraka Mgaya kwa nyakati tofauti, waliinuka na kupinga hoja zilizotolewa na mawakili wa utetezi kwa hoja kwamba walichoiomba mahakama hiyo ni kusikiliza maudhui yaliyomo kwenye kifaa hicho ambacho kimewasilishwa kama kielelezo na kimepokewa.

“Shahidi anapaswa kuwa yule aliyeona, kushuhudia na aliyefanya na kusikia. Sasa hawa wenzetu wanataka kutuaminisha kwamba shahidi siyo yule aliyeona, aliyesikia na kufanya na kushuhudia, kitu ambacho sicho. Kama kielelezo kimepokewa na Mahakama hivyo hoja kwamba kisisikilizwe kilichomo ndani yake, itakuwa imepokea ya nini wakati hatujui kilichomo? Hivyo mheshimiwa hakimu naomba hoja hii itupiliwe mbali.”

Kifaa hicho kilitolewa na shahidi wa wanne Masanja ambaye alidai ndiye aliyekipokea na kukihifadhi katika chumba cha kuhifadhia vielelezo vyote vinavyotakiwa kutolewa ushahidi mahakamani katika Ofisi ya Upelelezi Mkoa wa Mbeya (RCO).

Shahidi huyo aliongozwa na wakili wa Mgaya na mahojiano yalikuwa:

Wakili: Shahidi hebu tueleze wewe ni nani na unafanya kazi ofisi gani.

Shahidi: Ni askari polisi nafanyia Ofisi ya Upelelezi Mkoa wa Mbeya (RCO) lakini vilevile ni mtunza vielelezo katika ofisi hiyo.

Wakili: Tangu lini unafanya kazi hiyo?

Shahidi: Tangu mwaka 2004.

Wakili: Vielelezo gani unavyotunza?

Shahidi: Vielelezo vya kesi inayopelelezwa na kuna aina mbili, kwanza vielelezo ambavyo vimeshafunguliwa kesi na pili vielelezo ambavyo kesi yake inakuwa haijafunguliwa mahakamani.

Wakili: Ieleze Mahakama Desemba 30 mwaka jana ulikuwa wapi na ulikuwa unafanya nini?

Shahidi: Siku hiyo majira ya saa 12 jioni nilikuwa nyumbani lakini nikapigiwa simu na Inspekta Joram akinihitaji ofisini niweze kupokea vielelezo.

Wakili: Ulifanyeje baada ya hapo?

Shahidi: Ilinibidi niende na baada ya kufika ofisini nilimkuta Inspekta Joram akanieleza kuna vielelezo vya kuhifadhi, ametoka kwenye mkutano.

Wakili: Mkutano gani?

Shahidi: Mkutano wa Chadema.

Wakili: Ulifanyika wapi?

Shahidi: Ulifanyika maeneo ya Ruanda Nzovwe.

Wakili: Kielelezo gani ulichopokea?

Shahidi: Ni tape recorder.

Wakili: Baada ya kukueleza hivyo ulifanya nini?

Shahidi: Baada ya kuelezwa hivyo, nikavihifadhi kwa kuvifungia kwenye kasiki ofisini.

Wakili: Hebu ieleze Mahakama, Januari 2 mwaka huu ulikuwa wapi na kufanya nini?

Shahidi: Nilikuwa ofisini kwangu nikiendelea na majukumu yangu na akaja Inspekta Joram akihitaji tape recorder ile kwa ajili ya kwenda kuwasikilizishia viongozi wa Chadema akiwamo mbunge (Sugu).

Wakili: Baada ya hapo nini kiliendelea?

Shahidi: Inspekta Joram aliendelea na mahojiano na viongozi hao hadi saa nane mchana akanirudishia kifaa hicho nami nikakihifadhi kwenye kasiki.

Wakili: Tokea siku hiyo ulipokabidhiwa hadi leo (jana) hii nini kiliendelea?

Shahidi: Niliendelea kuhifadhi hadi leo (jana) nilioambiwa vinahitajika mahakamani.

Wakili: Ukiviona unaweza kuvitambua?

Shahidi: Ndiyo.

Wakili: Unahitaji Mahakama ifanyie nini vielelezo hivi?

Shahidi: Naomba Mahakama ivipokee kama vielelezo vya ushahidi katika kesi hii.

Wakili: Mheshimiwa Hakimu, shahidi wetu anaomba vidhibiti hivi vyote vipokewe na Mahakama yako kama vielelezo katika kesi hii.

Baada ya wakili kumuongoza shahidi huyo, Wakili Mwabukusi wa utetezi alisimama na kuweka pingamizi juu ya kielelezo hicho akipinga kisipokewe kwa madai kwamba hakijakidhi matakwa ya kisheria na hakina ubora unaotakiwa.

“Kifaa kinachotaka kuwa kielelezo mahakamani hapa ni kifaa ambacho kinasemekana kina maelezo yaliyorekodiwa na mtu mwingine na huyu aliyerekodi hatujaambiwa alirekodi kwa maudhui gani,” Mahakama haijaelezwa kwa namna gani ‘data massage’ zilizomo katika kifaa hiki hazijawa ‘tempered’ na haziwezi kuwa ‘tempered’ kwa namna gani. Tunapinga kifaa hiki kisipokewe kwa vile hakijakidhi matakwa na hakina ubora unaotakiwa kisheria.

Baada ya hoja hizo za Wakili Mwabukusi, Wakili wa Jamhuri, Pande aliinuka na kusema msingi wa hoja hizo unapinga kutolewa kwa kifaa hicho kama ushahidi kwa madai kwamba shahidi aliyewasilisha si aliyerekodi kwamba hawana pingamizi ikiwa kitatolewa na shahidi anayefuata ambaye kimsingi atakitambua.

Hata hivyo, mawakili wa utetezi walipinga hoja za wakili huyo na kutaka visipokewe vyote

Mabishano hayo yalidumu kwa takriban nusu saa kabla ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Michael Mteite kuahirisha kesi hiyo kwa nusu saa ndipo atoe uamuzi juu ya kinachobishaniwa.

Baada ya kurejea, Hakimu Mteite alisema Mahakama imejiridhisha kwamba vielelezo hivyo vinaonekana katika muonekano wake halisi, hivyo inavipokea kama vidhibiti na itatoa ufafanuzi wa kwa nini iliamua kuvipokea siku ya hukumu ya kesi yenyewe. Kesi hiyo inaendelea leo.

Azam FC: Tumejipanga Kuchukua Point Tatu za Yanga

$
0
0
Azam FC: Tumejipanga Kuchukua Point Tatu za Yanga
MCHEZO kati ya Timu ya Azam FC dhidi ya Timu ya Yanga unaotarajiwa  kuchezwa Jumamosi saa 1 usiku kwenye Uwanja wa Azam Complex, Timu ya Azam imesema   kuwa Timu imeishaingia Kambini kwaajili ya maandalizi ya mchezo huo.

Akizungumzia kuelekea kuhusu mchezo huo Afisa Habari wa Azam FC, Jaffary Iddy Maganga amesema kuwa  kikosi cha Azam FC iko imara katika kuweza kuwakabili Yanga na matokeo ya mchezo huo ni Dakika 90.

Azam watashuka dimba ni siku hiyo dhidi ya YangAfricans mchezo utakaokuwa wa kukata na shoka ambapo timu zote mbili zitakuwa na hamu ya kupata Ushindi  wa pointi Tatu siku hiyo.

“Baada ya Timu kurejea kutokea  Jijini Mbeya ambapo tulikokuwa na mchezo wetu na Tanzania Persons  jana imeingia kambini  na kuanza mazoezi kwa ajili ya maandalizi dhidi ya YangAfrica. Mchezo huo utakuwa ni mgumu ukizingatia Yanga nayo ni timu nzuri na Ina kikosi kipana lakini na sisi tumejipanga kunyakua pointi Tatu zenye ushindi wa mabao” Amesema Maganga

Mpaka sasa hivi Azam FC anashika nafasi ya pili kwa kwa pointi  30 kwenye misimamo Tanzania Bara akifatiwa na mabingwa watetezi  YangAfrica  mwenye pointi 25, huku wakiingozwa na pointi 33 za timu ya Simba.

Heri Muziki Afunguka "Nilipotea, Nilitengwa na Ndugu na Marafiki na Kufeli Chuo Sababu ya Kuwa na Diva"

$
0
0
Heri Muziki aandika Waraka Mrefu wa Hasara na Faida alizopata akiwa na Diva "Nilipotea, Nilitengwa na Ndugu na Marafiki na Kufeli Chuo Sababu ya Kuwa na Diva" Bonyeza Play  Kusikiliza Waraka huo: 

Mchungaji Msigwa Afikishwa Mahakamani kwa Tuhuma za Kuchoma Nyuma

$
0
0
Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Iringa akishtakiwa kwa kesi mbili.

Katika kesi moja anadaiwa kuchoma moto nyumba ya Mary Tesha aliyokuwa akiishi Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Alphonce Muyinga.

Mchungaji Msigwa ambaye ni mshtakiwa wa saba katika kesi zote mbili amefikishwa mahakamani leo Jumatano Januari 24,2018 baada ya kuripoti kituo kikuu cha Polisi.

Katika kesi hiyo namba 6 ya mwaka 2018 mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, David Ngunyale, Wakili wa Serikali, Felix Chakla amedai kati ya Januari 5 na 14,2018  washtakiwa walipanga njama za kuharibu mali.

Pia wanadaiwa Januari 15,2018 walibomoa nyumba ya Anjelus Mbogo aliyekuwa diwani wa Mwangata aliyejiuzulu kutoka Chadema na kuhamia CCM.

Washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema Iringa Mjini, Leonce Marto; diwani mteule wa Viti Maalumu, Rehema Mbeta na Patrick Madati.

Mchungaji Msigwa na wenzake wako nje kwa dhamana baada ya kila mmoja kusaini bondi ya Sh2 milioni.

Katika kesi ya pili, Mchungaji Msigwa na wenzake sita wanadaiwa kupanga njama ya kutenda uhalifu kinyume cha sheria.

Wakili Chakla mbele ya hakimu Ngunyale amedai Januari 17,2018  washtakiwa kwa pamoja walichoma nyumba ya Tesha aliyokuwa akiishi Muyinga.

Kwa shauri hilo namba 7 la mwaka 2018, washtakiwa wanadaiwa Januari 17,2018 waliichoma moto nyumba hiyo iliyopo kata ya Kihesa katika Manispaa ya Iringa.

Washtakiwa walikana kosa na hakimu  Ngunyale aliwaachia kwa dhamana baada ya kila mmoja kudhaminiwa na wadhamini wawili waliosaini bondi ya Sh3 milioni.

Mchungaji Msigwa na wenzake katika kesi hizo wanawakilishwa na wakili wa kujitegemea Anthony Rutebuka. Hakimu Ngunyale ameahirisha kesi hizo hadi Februari 2,2018.

Mwanafunzi SUA Asakwa kwa Tuhuma za Kumnyonga Mpenzi wake

$
0
0
Jeshi la polisi mkoani Morogoro linamsaka mwanafunzi wa mwaka wa tatu Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Mwita Marwa (30) kwa tuhuma za kumuua kwa kumnyonga mpenzi wake Kibua Adam (39) baada ya kutokea kutokuelewana kati yao.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Ulrich Matei amesema tukio hilo lilitokea Januari 22 mwaka huu katika eneo la Modeco Manispaa ya Morogoro ambapo mwanafunzi huyo alitoweka baada ya tukio hilo.

Amesema siku ya tukio mwanafunzi huyo na mpenzi wake ambaye ni mhudumu wa baa walichukua chumba katika nyumba ya kulala wageni ijulikanayo kama Aluta ambapo walilala lakini baadaye mwili wa marehemu ulikutwa chumbani.

“Dada huyu mkazi wa Kihonda alikutwa ameachwa chumbani akiwa ameshafariki na baada ya uchunguzi ilionekana kwamba marehemu alinyongwa shingo kabla ya kifo chake,” amesema Kamanda Matei.

Hata hivyo, kamanda huyo amesema baada ya tukio hilo mtuhumiwa alimwandikia ujumbe wa simu dada wa marehemu aitwaye Happiness Adamu ujumbe akisema kwamba tayari marehemu keshatangulia na yeye mtuhumiwa atafuata.

“Nasikitika sana hamtatuona hapa duniani Mwita na Kibua, mimi ninayeandika meseji hii ni Mwita, nikimaliza nakunywa sumu au vidonge nife na mimi nimechoka na dunia na Kibua yeye keshatangulia, njooni hapa Aluta Bar mtutoe chumbani tulipolala,” ulisomeka ujumbe huo.

Hata hivyo, watu wa karibu wa marehemu ambao hawakutaka kutaja majina yao walisema marehemu alikuwa na mpenzi mwingine kabla ya Mwita na walipokorofishana ndipo alipoamua kuwa na Mwita lakini siku chache kabla ya tukio alimwambia Mwita kwamba mpenzi wake wa awali amejirekebisha hivyo anataka kurejeana naye jambo ambalo mtuhumiwa alikuwa analipinga.

Kamanda Matei amesema mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Mkoa ya Morogoro na jeshi hilo bado linaendelea na jitihada za kumsaka mtuhumiwa. 

Vanessa Auza Nakala 750 za CD ya Money Mondays Mlimani City

$
0
0
Msanii wa muziki Vanessa Mdee amesema ameuza nakala 750 za CD ya albamu yake ya Money Mondays, Mlimani City jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na MCL Digital, Vanessa amesema nakala hizo aliziuza Jumamosi Januari 20,2018 siku ambayo pia alikutana na mashabiki wake.

Amesema, “Nilipofikia ni msanii wa kimataifa, hivyo lazima nifanye mambo kuendana na wenzangu wanavyofanya, bila kujali nitapata hasara au la.”

Katika uzinduzi huo watu mbalimbali walijitokeza ambao baadhi walinunua nakala za CD hiyo na wengine walipiga naye picha.

Nakala ya albamu hiyo yenye nyimbo 17 aliiuza Sh10,000 kila moja. Ndani yake yamo mashairi ya kila wimbo.



Mwananchi

Utafiti: Wanawake wa Darasa la Saba Mpaka Diploma Wanaheshimu ndoa zao

$
0
0
TAFITI IMEFANYIKA COLORADO KUHUSU NDOA AFRICA (WANAWAKE WA DARASA LA SABA MPAKA DIPLOMA WANAHESHIMU SANA NDOA)

Wanaume walio oa wanawake wenye elimu ndogo wanapata raha na furaha kwa ndoa zao

Inasemekana ukimuoa mwanamke wa elimu ya chini we ndo unakuwa mwalimu wake, hasa kama ukikapata ka darasa la Saba unakaandaa vema kwa matumizi ya baadae,

1995 hadi 2016 kumewepo na mkumbo wa watu kukutana vyuoni na kuona,

Ila matokeo yake

1. Dharau kupandishiana sauti mbele ya watoto, wageni, na hata mbele ya wazazi kisa mko sawa kielimu na kipato,

2. Majukumu ya family yanakwepwa kiaina kusingizia kuchelewa ofisini,

3. Safari za mabosi na Mke wako kuhusu semina na vikao, mwanaume ndo anaanza majukumu, au house girl

4. Challenge za hapa na pale kuhusu ndoa na muda wa kuwa na ukaribu na familia haupo tena,

5. Inasemekana hata watoto wanaanza kukosa uangalizi, wa karibu,

Lakini ukimuona mtu anapata haya.chini jua kaoa mwanamke wa elimu ya chini kidogo yake

1.Kumsikiliza mme analosema
2. Kuwaheshimu kila watu ambao anahis ndo wanasababisha mme wake aendelee kuwa kazin,
3. Hanyanyui kinywa mbele ya wazazi au watoto Kumkosoa mme live,
4. Anayewajibika nyumbani na kutimiza Majukum ya nyumbani,
5. Usafi wa mme nyumba na watoto,
6. Kudimisha uhusiano na majirani na wanawake wa vyama mbali mbali maana muda anao,

Kuna askofu mmoja Aliwahi nambia hivi

"Wasomi wengi mizigo huu ndo ukweli ambao ni mgumu kuusikia..wachache sana wamesoma na bado wana akili nzuri za kudumisha mahusiano we kama hutaki usumbufu,vurugu,kupandishiwa sauti mbele ya watoto wako ..oa mwenye elimu ya kawaida...ila kama unaa bahati unaweza kupata msomi anaejielewa na hapo ni bahati nasibu tu......sio kwa uwezo wako bali zali tu linakudondokea"

Akaendelea kusema hivi umuusishe MUNGU wakati nawe unachagua, wengi ambao wameshakosea kuchagua ukimbilia MKE MWEMA ULETWA NA MUNGU,

ILA KWA TAFITI ZA HARAKA FAMILIA ZENYE FURAHA WANAWAKE WANA ELIMU ZA KAWAIDA SANA,

Kabla hujanibishia pitia hapa
1.Elimu ya mwalimu Nyerere na ya mke wake,

2.kikwete na mkewe

3. Magufuli na mkewe
4. Lowasa na mkewe

5. Mwinyi
6. Mkapa
7. Professor baregu

Mnazani hao hawakuwaona wa ma degree waliosoma nao?

Nasema sema tu mi sijaoa hahahaha

Ukweli Unauma: Wanawake Wanavyopambana Kujikwamua Kiuchumi Ndoa Nyingi Zinazidi Kuingia Matatizo

$
0
0
Kadiri wanawake wanavyopambana kujikwamua kiuchumi ndivyo ndoa nyingi zinazidi kuingia matatizoni. Tatizo sio wao kupambana bali tatizo liko hapa:

Wanapambana kwa madhumuni gani? Wanawake wengi hawapambani kwa maana ya kuwasaidia waume zao [kama Mungu anavyotaka] bali kwa maana ya kutoka kivyao; ndio maana utawasikia wanaongea kauli zao za kiuanaharakati, "Usimtegemee mume", "wanaume hawaaminiki", "bora mwanamke niwe na uchumi wangu n.k".

Hivi mnajua kuwa...
Kama mume ni kichwa maana yake mke ni kiwiliwili; bahati mbaya ni kwamba macho na ubongo viko kwenye kichwa na sio kiwiliwili. Kiwiliwili kisipokiamini kichwa "automatic" kitaielekeza miguu kokote na kwa kuwa hakuna macho kuna mawili; mwili(ndoa) kuumia kutokana na kujikwaa ama kufa kabisa kwa kutumbukia shimoni.

Ngoja niwambie; ndoa yeyote ambayo mwanamke amekaa kiuanaharakati uwe na uhakika ilishajifia siku nyingi ama iko njiani kufa na ukiona wanandoa wanaendelea kuishi pamoja basi ujue ni kwa "kujilazimisha". Sijakutana na mwanamume yeyote duniani ambae anaweza kuishi kwa furaha nyumba moja na mwanamke anaeleta tabia za uanaharakati ndani ya ndoa.

Nataka ufahamu...
Ukiruhusu mwanamke ndani ya ndoa ajione anaweza kusimama bila wewe (mumewe) basi, ujue unacheka na nyani na muda wowote tutakuja tukusanye mabua tukalishie ng'ombe wetu. Kuishi na mke hakuhitaji DEMOKRASIA, kunahitaji AKILI, ujinga unaofanywa na wanaume wengi siku hizi ni kuruhusu DEMOKRASIA kutawala ndoa badala ya AKILI. Wewe kama unadhani demokrasia ndio uzungu na mapenzi kwa mkeo, shauri yako; hao wazungu unaowaigilizia ndoa zishawakimbiza siku nyingi.

Msifanye mchezo wandugu...
Ninawaonya mapema ili nisije kusikia eti mtu ananiambia mke aliemtafuta na kumuoa mwenyewe, amemshinda! Khaa! Yaani hapo itabidi utandikwe viboko vya mgongo; maana unakuwa umemdhalisha Mungu na umeudhalilisha uanaume pia. Uanaume tafsiri yake ni "Kuishi na mwanamke kwa akili kiasi kwamba abaki akikuheshimu na kukunyenyekea kwa furaha". Ukiona mwanamke anakudharau na hakusikilizi basi ujue umeshapoteza uanaume wako.

Andika hii pointi mahali...
Elewa kwamba uanaume haukai kwenye suruali bali uanaume unakaa kwenye akili.

By Bujibuji

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni Dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi?


Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

"Kuna Tetesi za Kutaka Kumfunga Mbunge Sugu" - Halima Mdee

$
0
0
Mbunge wa jimbo la Kawe (CHADEMA) Mhe. Halima Mdee amefunguka na kumuomba Jaji Mkuu Prof. Ibrahim Hamis Juma kufuatilia mwenendo wa kesi za kisiasa nchini na kudai kuwa baadhi ya mahakimu wamekuwa wakipindisha mambo kwa sababu za kisiasa.


Halima Mdee amesema hayo wakati akiongea na www.eatv.tv na kusema kuwaa Jaji Mkuu anaposema wanasiasa wasiingilie Mahakama hivyo na yeye anapaswa kusimama na kuhakikisha kuwa Mahakimu wakitenda haki na kukemea wale ambao kwa makusudi wamekuwa wakipindisha haki za watu.

"Ni zaidi ya wiki sasa Mhe. Sugu yupo ndani lakini amenyimwa dhamana kwa kosa ambalo linadhaminika kisheria na kiutaratibu kwa muhibu wa sheria zetu kama kosa linadhaminika ni wajibu wa polisi kutoa dhamana na polisi wakikushikilia ndani ya zile saa 48 wakikupeleka mahakamani ni jukumu la Mahakama kufanya hivyo sasa suala la Sugu limeenda Mahakamani ambapo huo ndiyo muhimili pekee ambao tunautegemea . Sasa unapokwenda Mahakamani sehemu pekee ambayo unaitegemea kupata haki halafu unaona hiyo haki haipatikani kwa makusudi kabisa hivyo Jaji Mkuu na yeye anapaswa kuyatambua haya na kuwakemea baadhi ya Mahakimu ambao wanafanya vitu kama hivi" alisema Mdee 

Mbali na hilo Halima Mdee amedai kuwa kuna tetesi za kutaka kumfunga Mbunge wa Mbeya Mjini Mhe. Joseph Mbilinyi “Sugu' kama ambavyo alifungwa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali

Msikilize hapa akifunguka zaidi.


"Mashabiki Wanataka Niwe na Nandy" - Aslay

$
0
0
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Aslay, ameweka wazi sababu ya kufanya kazi na Nandy mara kwa mara na kusema kwamba mashabiki wanawasababisha wafanye hivyo.


Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Aslay amesema mashabiki walifurahishwa baada ya kufanya kazi ya kwanza yeye na Nandy, na ndipo walipoona ni vyema wakarudi tena studio kufanya kazi nyingine kwa ajili yao.

"Ni pendekezo la mashabiki, tumeona mashabiki wakitaka kitu kingine kutoka kwetu baada ya kazi ya kwanza na Nandy,tukaona ni vyema tuingie jikoni kuwapa kitu kingine maalum kwa ajili yao", amesema Aslay.

Pamoja na hayo Aslay amesema kazi hii ya sasa ambayo wameifanya 'Subalheri' haitakuwa ya mwisho, kwani kuna zingine nyingi ambazo wanatarajia kuzifanya kwa pamoja.

Lissu: Nimetolewa Risasi Nyingine Mwilini...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya January 25

$
0
0


Lissu: Nimetolewa Risasi Nyingine Mwilini...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya January 25

Wakala wa Majengo Nchini (TBA) yakanusha Kuvunjiwa

$
0
0
Mkurugenzi wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) Injinia Elius A. Mwakalinga ametolea ufafanuzi taarifa za serikali kuvunja mkataba na wao, baada ya kutoa taarifa za uongo kwa Waziri Mkuu.


Akizungumza na mwandishi wa www.eatv.tv Injinia Mwakalinga amesema yeye kama Mkurugenzi taarifa hizo hazijamfikia rasmi, na iwapo zitamfikia ana uhakika atakuwa na taarifa za kutosha na kuwaeleza wananchi nini kilichojiri.

“Mimi taarifa hizo ndio nazipata kwako, sijapokea taarifa yoyote kuhusu suala hilo, na unapovunja mkataba kuna watu wawili waliosaini huo mkataba, na mimi ni client, hivyo kama nitapewa taarifa rasmi kwa barua basi lazima umma utajulishwa, kwani ndio utaratibu wa kazi”, amesema Injinia huyo.

Pamoja na hayo Injinia Mwakalinga amesema kwa sasa hawezi kuzungumzia masuala yote ya TBA kwa kuwa ndani yake kuna watu wengi, hivyo watatoa taarifa rasmi juu ya masuala yote ambayo wamekuwa wakilaumiwa na kunyoshewa kidole.

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

$
0
0

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

$
0
0
SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live


Latest Images