Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104414 articles
Browse latest View live

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Siku ya Leo


Breaking News: Aliyekuwa Mkurugenzi wa TBC Tido Mhando Afikishwa Mahakamani

0
0
Breaking News: Aliyekuwa Mkurugenzi wa TBC Tido Mhando Afikishwa Mahakamani
ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa  Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), Tido Mhando amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar leo kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka wakati akiwa TBC

Kwa nini Wanaume Wengi Wanaupungufu Wa nguvu Za Kiume Na Maumbile Madogo?

0
0
Asilimia 45 ya wanaume wapo tofauti na wengine kwa kuwatimizia vyema wake au wapenzi Wao na kuwasababishia kutoka nje ya ndoa zao.


NINI CHANZO CHA HAYO?Kupiga punyeto,Ngiri,Vidonda vya tumbo,Magonjwa ya moyo,Presha,Kisukari,Korodani moja kuvimba,Msongo wa mwazo,Kufanyiwa tohara ukiwa mtu mzima n.k.DOKTA MANYANDA sasa kapata tiba sahihi ya tatizo la NGUVU ZA KIUME.


MUHAMA:Hii hutibu na kuponyesha kabisa tatizo la nguvu za kiume,utakuwa na uwezo wa kurudia tendo zaidi ya mara tatu bila kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa mda wa dakika 15-20.DAWA hii imechanganywa miti 12.Hata wazee wenye umri mkubwa wanapona kabisa.OKO NDOA YAKO SASA.


MANGUNGU MIX: Ndio tiba tosha kwa sasa ambayo hurefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo inch 1-8 na unene sentimita 1-5,dawa hii ipo ya kupaka na kunywa na haina madhara yoyote kwa mtumiaji.


NITOFAUTI NA ULIZO WAHI KUZITUMIA.Pia tuna dawa za kupatanisha mke,mme,mpenzi au bosi wako kwa mda mfupi sana,Uzazi,Kusafisha nyota,


Je unamali yako unauza hupati wateja?

Wasiliana nami 0716-263605


DOKTA MANYANDA ANAPATIKANA KASULU KIGOMA,Kwa wale wa mikoani huduma hii utaipata popote pale

Nabii Tito Aibua Mapya Tena....... Ajikata na Wembe Tumboni Ashonwa Nyuzi 25

0
0
Nabii Tito Aibua Mapya Tena....... Ajikata na Wembe Tumboni Ashonwa Nyuzi 25
Nabii Tito ameibua mengine baada ya kujijeruhi kwa kujikata na wembe tumboni ambapo kumepelekea ashonwe nyuzi 25 katika zahanati ya polisi Dodoma.


Daktari wa hospitali hiyo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na ameeleza kuwa Tito alifikishwa hospitali saa 9 mchana akiwa anavuja damu eneo la tumbo.

”Ni kweli Tito alifikishwa hapa majira ya saa 9 mchana, tulimfanyia matibabu kwa kumshona nyuzi 25 kutokana na ukubwa wa majeraha hayo” amesema Daktari.

Hata hivyo kamanda wa polisi Dodoma, Gilles Muroto hana taarifa kutokea kwa tukio hilo.

Nabii Tito sasa anashikiliwa na polisi kutokana na kauli zake zinazopingana na dini, amekuwa akihamasisha watu kunywa pombe, na wanaume kulala na wadada wa kazi akidai kuwa kufanya hivyo sio dhambi.

Hivyo baada ya matibabu hayo nabii Tito alirudishwa polisi kwa mahojianao zaidi.

Hali Yake Mzee Majuto Yaanza Kuimarika

0
0
Hali Yake Mzee Majuto Yaanza Kuimarika
Afya ya msanii wa filamu, Amri Athuman aka Mzee Majuto inaendelea kuimarika daada ya siku ya jana (Januari 25) kuruhusiwa kurudi nyumbani.


Akiongea na Bongo5 Ijumaa hii Afisa Habari wa Chama Cha Waigizaji Mkoa wa Kinondoni, Jafari Makatu amesema baada ya jana muigizaji huyo kufikishwa hospitali ya Muhimbili na kuangaliwa na daktari, alipewa kitanda cha kupumzika na baadaye kuruhusiwa.

“Ni kweli alipelekwa Muhimbili lakini hakulazwa kama baadhi ya watu walivyoripoti, alipewa kitanda kwaajili ya kupumzika na kusubiria vipimo na baada ya kufanyiwa vipimo aliruhusiwa kurudi nyumbani na akaambiwa leo aende tena kwaajili ya vipimo zaidi,” alisema Jafari.

Mapema mwaka jana muigizaji huyo mkongwe alitangaza kustaafu kuigiza na kudai kwa sasa amefungua kampuni yake ya masuala ya filamu.

Nabii Akamatwa na Dawa Haramu Zambia

0
0
Nabii Akamatwa na Dawa Haramu Zambia
Mchungaji Isaac Amata (42) wa Nigeria, ambaye mwaka 2016 alimtabiria ushindi Rais Edgar Lungu amewekwa ndani akituhumiwa kusafirisha kilo 26.29 za dawa zilizopigwa marufuku.
Mchungaji huyo anayefahamika pia kama Nabii alikamatwa na maofisa wa kupambana na dawa za kulevya Jumatano alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kenneth Kaunda jijini Lusaka, amesema msemaji wa Tasisi ya Kupambana na Dawa za Kulevya Theresa Katongo.
Katongo alisema mchungaji huyo aliyekamatwa baada ya kuwasili akitokea Nigeria alikuwa kwenye ndege ya Shirika la Ndege la Afrika Kusini.
Kwa sasa, msemaji huyo alisema anashikiliwa na polisi na atafikishwa mahakamani muda wowote.
Dawa alizokamatwa nazo ni aina ya ephedrine, ambazo hutumika kusisimua misuli.

Mama Mzazi wa Gwajima Azikwa Waombolezaji Wapigwa Marufuku Kulia

0
0
Gwajima Awapiga Marufuku Waombolezaji Kulia Kwenye Msiba wa Mama Yake
ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Dk. Josephat Gwajima ameacha gumzo na mshangao baada ya kuzuia watu kulia kwenye ibada ya kuaga mama yake mzazi, Bi. Ruth Paulo Gwajima iliyofanyika nyumbani kwa mchungaji huyo na kisha mwili wa marehemu kuzikwa kwenye shamba la familia, nje kidogo na nyumbani hapo, Salasala jijini Dar.

Mama mzazi wa Gwajima alifariki Jumapili ya wiki iliyopita baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa kansa kwa muda mrefu. Marehemu ameacha mume, watoto 11 wajukuu na vitukuu.

Lowassa, Mbowe Kuzindua Kampeni za Ubunge Jimbo la Ubungo

0
0
Lowassa, Mbowe Kuzindua Kampeni za Ubunge Jimbo la Ubungo
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa pamoja na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kesho Januari 27, 2018 watakuwepo katika uzinduzi wa kampeni za Ubunge jimbo la Kinondoni.


Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na CHADEMA leo inasema kuwa viongozi hao watakuwepo katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa marudio katika jimbo la Kinondoni kumtambulisha Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CHADEMA, Salum Mwalimu.

Uzinduzi wa kampeni hizo utafanyika katika viwanja vya Mapilau kuanzia saa nane mchana mpaka saaa kumi na mbili jioni ambapo wageni rasmi watakuwepo Lowassa pamoja na Mbowe na viongozi wengine wa CHADEMA.

Tarehe 17 Februari mwaka huu unatarajiwa kufanyika uchaguzi wa marudio katika majimbo ya Siha na Kinondoni kutokana na wabunge wa majimbo hayo kujiuzulu nafasi zao za Ubunge wakiwa katika vyama vya upinzani na kuingia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na sasa wanagombea nafasi hizo wakiwa chini ya CCM. 


Huu Hapa Utani wa Manara “Kama Kuna Mchezaji Ananiacha Hoi na Swaga Zake Basi ni Chirwa"

0
0
“Kama Kuna Mchezaji Ananiacha Hoi na Swaga Zake Basi ni Chirwa"- Haji Manara
miaka mingi imekuwa kawaida kwa vilabu vya Simba na Yanga viongozi wake au mashabiki wake kutania, hii inatokana na vilabu hivyo kuitana ni watani wa jadi ambao umeanza katika upinzania wao katika soka.

Afisa habari wa Simba Haji Manara ni mmoja kati ya watu wanaopenda kuandika maneno ya utani mtandao na kwenda kwa wapinzani na watani zao Yanga, Haji Manara leo ameamua kumtania staa wa Yanga raia wa Zambia Obrey Chirwa kwa kupost picha ya Chirwa na kuandika maneno ya utani.

“Kama kuna mchezaji ananiacha hoi na swaga zake basi ni @obreychirwa ..kaacha matikiti sasa hv anaweka umeme,sasa hapo sijui ndio Gongowazi walipompangia,nahisi hapo Tandale kwa kinyevule😂😂😂”>>> Haji Manara

Rais Trump Aombwa Kuchukua Choo cha Dhahabu

0
0
Rais Trump Aombwa Kuchukua Choo cha Dhahabu Badala ya Mchoro
Jumba la kumbukumbu la Guggenheim mjini New York limekataa ombi kutoka kwa rais Donald Trump la kutaka kupewa mchoro wa msanii Van Gogh ili kuwekwa katika ikulu ya Whitehouse kulingana na vyombo vya habari.

Jumba hilo liliomba msamaha kwa kutoweza kupeana picha hiyo na badala yake likaomba kumpatia rais Trump choo cha dhahabu kulingana na gazeti la The Washington Post.

Lakini jumba hilo la kumbukumbu lilipendekeza limpatie rais Trump kiti hicho cha choo chenye dhahabu karati 18.

Kulingana na gazeti hilo,mhifadhi wa vitu katika jumba hiloi Nancy Spector aliojibu ombi hilo la Ikulu mwezi Septemba.

''Naomba msamaha...kukujulisha kwamba hatuwezi kushiriki katika kukupatia picha hiyo kwa kuwa ni miongoni mwa mkusanyiko wa Thannhauser ambao hawaruhusiwi kutoka nje ijapokuwa kwa maswala yasio ya kawaida'', aliandika katika barua pepe.

Picha hiyo ya 1888 ya Van Gogh, barua hiyo iliongezea itaonyeshwa katika taasisi dada kutokana na ruhusa kutoka kwa wamiliki wake.

Hatahivyo , muhifadhi huyo ameongezea kwamba choo hicho cha dhahabu kilichotengezwa na msaani wa Itali Maurizio Cattelan kiko tayari kwenda Ikulu kwa ''mkopo wa muda mrefu''.

Ni jambo la kawaida kwa marais wa Marekani na wake zao kuomba kazi za usanii ili kupamba baadhi ya vyumba katika Ikulu ya Whitehouse.

Mourinho Aongeza Mkataba Sasa Kufundisha Manichester United Hadi 2020

0
0
Mourinho Aongeza Mkataba Sasa Kufundisha  Manichester United  Hadi 2020
Akiwa amebakiza mwaka mmoja kabla ya mkataba wake kumalizika kocha wa Manchester United Jose Mourinho ameaminiwa kuendelea kuifundisha timu hiyo hadi mwaka 2020.


Baada ya jana usiku kusaini mkataba mpya wa mwaka mmoja kocha Jose Mourinho amesema anafuraha kuona timu kubwa yenye historia kubwa duniani kama United imeendelea kuamini kwamba yeye ni kocha sahihi kwa timu hiyo.

''Najisikia mwenye thamani kupewa fursa ya kuendelea kuongoza kundi la vijana wenye ubora na uwezo mkubwa katika soka hivyo naamini tutafikia malengo ya timu'', ameongeza.



Mourinho alijiunga na United mwaka 2016 kwa mkataba wa miaka mitatu uliokuwa unamalizika majira ya kiangazi mwakani, lakini sasa ameongeza mwaka mmoja hadi 2020 huku kukiwa na kipengele cha kuongeza mwaka mwingine mmoja.

Manchester United leo itakuwa ugenini kwenye mji wa Yeovil kucheza na timu ya ligi daraja la pili Yeovil Town FC kwenye mchezo wa raundi ya nne ya kombe la FA.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

0
0

Ni Dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi?


Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521 

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

0
0
SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670 

Tido Mhando Aachiwa Huru kwa Dhamana.

0
0
 Tido Mhando Aachiwa Huru kwa Dhamana.
Aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando ameachiwa huru baada ya kutimiza masharti ya dhamana.

Tido amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo, akikabiliwa na makosa matano yakiwamo matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya zaidi ya Sh milioni 800 akiwa TBC.

Wakili wa Serikali, Leonard Swai amedai Tido akiwa Mkurugenzi wa TBC, aliingia mkataba na Kampuni ya Channel 2 Group bila kutangaza zabuni kinyume cha sheria na kuisababishia hasara ya kiasi hicho cha fedha shirika hilo.

Baada ya kusomewa mashtaka hayo na Hakimu Victoria Nongwa alisema dhamana kwa mshtakiwa huyo iko wazi ambapo alitoa masharti ya dhamana kuwa na wadhamini wawili wataosaini bondi ya Sh  milioni 500 kila mmoja.

Aidha, amesema mshtakiwa huyo hatakiwi kusafiri nje ya nchi bila kibali cha mahakama ambapo pia alimtaka kuwasilisha hati yake ya kusafiria mahakamani hapo, kulipa nusu ya fedha iliyopotea na kuwasilisha hati ya mali isiyohamishika. Kesi hiyo imeashirishwa hadi Februari 23, mwaka huu.

Kilio cha Wastara Chafika Ikulu...... Rais Magufuli na Mkewe Wamchangia Wastara Milioni 15 za Matibabu

0
0
Kilio cha Wastara Chafika Ikulu...... Rais Magufuli na Mkewe Wamchangia Wastara Milioni 15
Katibu wa Rais Bw. Ngusa Samike akiwasilisha mchango wa shilingi milioni 15 kwa mwigizaji Wastara  kutoka kwa Rais Dkt Magufuli na mkewe mama Janeth Magufuli kwa ajili ya matibabu. SHILAWADU ndio waliomuibua mwigizaji huyo kiasi hata ugonjwa wake uliwagusa wengi pamoja na JPM na mkewe.

Katibu wa Rais Bw. Ngusa Samike akiwa na mwigizaji Wastara pamoja na SHILAWADU baada ya kumkabidhi msaada wa 15m/- kutoka kwa Rais Dkt Magufuli na mkewe mama Janeth Magufuli kwa ajili ya matibabu. Pia aliwasilisha mchango wa sh milioni moja na laki tisa toka kwa wasaidizi wa Rais. SHILAWADU ndio waliomuibua mwigizaji huyo kiasi hata ugonjwa wake uliwagusa wengi pamoja na JPM na mkewe.

Jeshi la Polisi Lafunguka Kuhusu Agizo la Kigwangala

0
0
Jeshi la Polisi Lafunguka Kuhusu Agizo la Kigwangala
Jeshi la Polisi limesema limepokea agizo la Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigwangalla la kuwachukulia hatua watu wanne ndani ya siku saba kwa madai wanashiriki katika mtandao wa ujangili, lakini halifanyi kazi kwa shinikizo.
Akizungumza na Mwananchi leo Januari 26, mwaka 2018 msemaji wa Jeshi hilo, Barnabas Mwakalukwa amesema polisi wanafanya kazi kwa kufuata kanuni, taratibu na sheria za Jeshi hilo.
Jana,  Kigwangalla mbali na kutoa agizo hilo, amesema watu hao wanne pia walipanga njama za kumuua mwanaharakati, Wayne Lotter na kwamba polisi wakishindwa kuwakamata atawashtaki kwa Amiri Jeshi Mkuu ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mwakalukwa amesema jukumu lao ni kukamata wanapopata shitaka la kuwapo kwa kitu kisicho cha kawaida, kuchunguza na kupeleka kwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kwa ajili ya kukamilisha taratibu nyingine.
“Kazi yetu ni kukamata, kuchunguza na kupeleka kwa  DPP kwa ajili ya taratibu nyingine, hatufanyi kazi kwa matamko ya bungeni,” amesema na kuongeza,
“Alichokisema mheshimiwa Kigwangalla nimekisoma kwenye vyombo vya habari akihusisha na suala la mwanaharakati aliyeuawa, sisi hatufanyi kazi kwa kufuata vyombo vya habari vimeandika nini au limetolewa tamko gani au kuna shinikizo gani, tunafanya kwa kufuata taratibu zilizopo.”

Nikki wa Pili Amjibu Joshua Nassari " Hatujamtenga Sugu ila Wasanii Hawana Umoja"

0
0
Nikki wa Pili Amjibu  Joshua Nassari " Hatujamtenga Sugu ila Wasanii Hawana Umoja"
Msanii kutoka kampuni ya Weusi, Nikki wa Pili amemjibu Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari kwamba si kweli kuwa wameamua kumtumikia 'kafiri' ila kimsingi wao hawana ufahamu wa kuongelea masuala ambayo bado yanaendelea Kimahakama.


Nikki amebainisha hayo wakati alipokuwa akifanya mahojiano na mwandishi wa habari hii baada ya Mbunge huyo kutoa lawama zake kwa wasanii katika ukurasa wake wa twitter asubuhi ya leo kutokana na kuwaona wapo kimya katika kesi inayomkabili Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi 'Sugu' ya kutoa maneno yenye kuleta chuki kati ya serikali na wananchi wakati alipokuwa katika mkutano wake wa hadhra ambao ulifanyika Disemba 31, 2017 jijini Mbeya


"Wasanii hawana umoja, chama chao hakina nguvu kwa hiyo hata kunapotokea jambo wasanii walitolee sauti kwa pamoja kuna hakuna 'platform' ya kushikilia jambo hilo na kujikuta kila msanii yupo peke yake, na kupaza sauti kila mtu peke yake wasanii wengi wanaogopa hilo", alisema Nikki wa Pili.

Pamoja na hayo, Nikki wa Pili aliendelea kwa kusema si jambo la kweli kama watu wanavyodhania kuwa tasnia ya muziki imemtenga Sugu ila tatizo lipo katika namna ya uwasilishaji wa jambo hilo.

"Hapana hatuwezi kumtenga Mhe. Sugu ila kuna jambo moja naweza kusema kwamba hili suala bado lipo kimahakama na tumeona wenyewe wamewaweka Wanasheria, kwa hiyo sisi wasanii bado hatuna ufahamu wa kujua jambo likiwa Mahakamani unaweza kulisema kwa upande gani kwa maana mara nyingi huwa tunaambiwa tusiingilie kazi za Mahakama", alisisitiza Nikki wa Pili.

Mzee Majuto Akosa Kitanda Muhimbili Arudishwa Nyumbani

0
0
Mzee Majuto Akosa Kitanda Muhimbili Arudishwa Nyumbani
Taarifa iliyoripotiwa January 25, 2018 ni kuhusu King Majuto ambapo ilisemakana kuwa amelazwa Muhimbili, sasa Masoud aliyetoa taarifa hiyo ambaye ni Afisa habari wa Chama cha Waigizaji ameelezea kuhusu Majuto kukosa kitanda Muhimbili na kurudishwa nyumbani.

Masoud amesema kuwa kwa sasa Majuto anaishi Vingunguti kwa ndugu zake ila January 26, 2018 anaripoti hospitali kwa ajili ya vipimo na kinachomsumbua kikubwa ni Presha kwani mwili wake ulikuwa umechoka sana na bado Madaktari wanampima ilikujua tatizo kubwa ni nini.?

"Mzee wetu majuto anaumwa na anaumwa kwa muda mrefu tulifanya utaratibu wa kutoka kwakwe kuja dar ili kutibiwa muhimbili alitakiwa kulazwa ila tukapewa taarifa na madaktari kuwa vitanda vimejaa tukarudi saa nane usiku" Masoud

Jumanne ndo majibu yatatolewa kipi kinachomsumbua kwakuwa amepimwa mambo mengi.

Aamua Kuizunguka Afrika Nzima kwa Kutumia Pikipiki

0
0
Aamua Kuizunguka Afrika Nzima kwa Kutumia Pikipiki
Mwendesha Pikipiki kutoka Uarabuni ameamua kuizunguka Afrika nzima anakusudia kufanya ziara yake katika nchi 47, akianzia safari yake nchini Oman.

Maher Al Baruan amepania kuweka historia ya kuwa raia wa kwanza wa Oman kuizunguka Afrika akitokea kwenda kusini kupitia mashariki kisha atapanda Oman kupitia Magharibi mwa Afrika.

Safari yake ilianzia nchini Oman mnamo mwezi wa saba mwaka 2017.

Mpaka sasa amekwisha safiri kwa miezi 7 na anasema safari yake itachukua zaidi ya mwaka kuikamilisha.

Wahenga wanasema, msafiri kafiri na mwenda pole hajikwai.

Lakini je, amejifunza nini katika safari yake? Akiwa mjini Bujumbura Maher Al Baruan ameelezea mambo matatu ambayo amejifunza kuhusu Afrika.

1. Usalama

Changomoto kubwa Maher Al Baruan anasema anajihisi yuko katika hali ya hatari anaposafiri kwa sababu hajui atakutana na nani.

Anasema hata wanyama pori huwa ni jambo la kujitahadharisha.

Hata hivyo, anaelezea kuwa hajawahi kupata kisa chochote cha kumdhuru.

2. Umakini wa sheria za barabarani

'Nataka niirudie enzi za babu zangu' Maher Al Baruan
Maher Al Baruan amegundua kwamba waendesha pikipiki wengi ambao amewaona hawatilii maanani sheria za barabarani na hasa za usalama kwa kuvaa kofia ngumu.

'Ningewashauri waendesha pikipiki wafuate sheria za barabarani, wasivue kofia ngumu kwa sababu hizi zote ni kwa ajili ya usalama wao' ameelezea Maher Al Baruan.

Polisi watumia nyimbo kukabili ajali za pikipiki Tanzania
Ujumbe wa mfalme wa Oman wawasili Zanzibar
Uingereza: Muendesha pikipiki jela miezi 8 baada ya kujipiga selfie barabarani
3. Oman inapendwa
Maher anasema kuwa katika safari yake anakaa siku 35 kwa kila nchi anayoifikia ili kufahamu zaidi namna ambavyo watu wanavyoishi katika nchi hizo pamoja na kujua tamadani na kupata vionjo vya chakula.

Maher anataka kurudisha zama za babu zake wa Oman waliokuwa wakisafiri kanda ya Afrika Mashariki.

"Kila mmoja akishajua kwamba natoka Oman, wanaipenda nchi ya Oman na wanaiheshimu," anaelezea Maher Al Baruan

Zaidi ya 30 Wafa Katika Ajali ya Moto Korea Kusini

0
0
Zaidi ya 30 Wafa Katika Ajali ya Moto Korea Kusini
Zaidi ya watu 30 wamekufa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika ajali ya moto uliyotokea katika Hospitali moja nchini Korea Kusini. Hata hivyo maofisa wanasema idadi ya waliokufa huenda ikaongezeka kutoka katika ya majeruhi hao.

Imefahamika kuwa moto huo ulianzia katika chumba cha dharura cha Hospitali ya Sejong, kusini mashariki mwa nchi hiyo.

Zaidi ya majeruhi 100 wanasemakana wamo katika jengo la hospitali hiyo.

Picha za mitandao ya jamii, zinaonyesha vikosi vya zima moto wakijaribu kukabiliana na moto huo huku kukiwa na moshi mkubwa.

Mwaka jana watu 29 walikufa katika mji wa Echeon, Korea Kusini, na wengine kujeruhiwa baada ya moto kuzuka katika sehemu ya mazoezi ya wazi.
Viewing all 104414 articles
Browse latest View live




Latest Images