Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104416 articles
Browse latest View live

Azam fc Yapanga Kumdhalilisha Yanga Leo

0
0
Azam fc Yapanga Kumdhalilisha Yanga Leo
WACHEZAJI wa Azam FC wamepanga kwanza kumzuia Obrey Chirwa wa Yanga asilete madhara katika mchezo wao wa leo pia wamepanga kuhakikisha wanashinda mechi hiyo.

 Leo saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam, Azam itakuwa mwenyeji wa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara.

 Beki wa kati wa Azam, Aggrey Morris, amesema Chirwa ni straika wa kawaida kama walivyo wengine, hivyo amejipanga kumzuia watakapokutana leo.

“Nimejipanga vizuri kuhakikisha timu yangu inapata matokeo mazuri bila ya kuhofia mtu yeyote. Chirwa ni mshambuliaji wa kawaida kama walivyo wengine, hawezi kunisumbua, nimejipanga kumdhibiti,” alisema Morris. Naye nahodha wa Azam, Himid Mao alisema; “Ukiiangalia Yanga ilivyo kwa wakati huu, haiwezi kuwa kigezo kwetu kuwadharau zaidi ni kuangalia tunashinda vipi basi.

Njoo Ushuhudie Miujiza ya Kamgambile na Bi Khadija, Wana Uwezo Mkubwa Katika Kutiba Magonjwa na Kurudisha Wapenzi

0
0

NJOO USHUHUDIE MIUJIZA YA KAMGAMBILE NA BI KHADIJA WANA UWEZO MKUBWA KATIKA KAZI ZAO JE? UMEACHWA NA MPENZI WAKO JE? NA HUJUI NAMNA YAKUMRUDISHA? WAONE HARAKA WAKUSAIDIE KAMGAMBILE NA BI KHADIJA HURUDISHA MAHUSIANO NDANI YA MASAA (12) TU

DAWAZAO NI NZURI ZENYE KUONYESHA MAFANIKIO KWAHARAKA ANATIBU KWAMITI SHAMBA NAKITABU CHA QUR AN TUKUFU WANA UWEZO MKUBWA WAKUTIBU MARADHI SUGU KAMA VILE UVIMBE TUMBONI KIFAFA VIDONDA VYATUMBO TEZI PUMU KISUKARI MIGUU KUWAKA MOTO NAKUFA GANZI WANA UWEZO MKUBWA WAKURUDISHA MTU ALIE POTEA KIMAZINGIRA ( MSUKURE) KAMA UMEIBIWA AMA KUDHULUMIWA UTARUDISHIWA MALIYAKO NDANI YA MASAA (72) TU PATA UTAJIRI USIOKUWA NAMASHARITI KWAYULE ANE TAKA DAWA YA LIMBWATA KUMTAWALA MPEZI WAKO UNAVYO TAKA DAWA YA NGUVU ZAKIUME WANAYO KUONGEZA UUME SAIZI UPENDAYO NCHI 5-6-7-8-9 NIWEWETU UNAVYOTAKA WANAKUSAIDIA KUSAFISHA NYOTA NAKUPATA PETE YA BAHATI INAYO ENDANA NANYOTA YAKO ITAKAYO KULETEA MALI BILA YA MASHARITI HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO DUNIANI ACHAKUTESEKA

CALLING +255719866726

WHATSAPP CALLING +255768455841 KARIBUNI WOTE WANAO TAKA HUDUMA HII

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

0
0

DAWA BORA ZA NGUVU ZA KIUME NA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatinzo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurundia tendo kwa haraka Sasa inakuletea suluhisho juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za FULL POWER

Full Power dawa asili yenye vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume dawa hii inamchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hernone za gestro gen zikiwemo vitamin b6 na b1 vitamin e pamoja na madini aina ya zinc

Itakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wakufanya tendo la ndoa zaidi hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20/30 ZAT 50

Inarundisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha nchi 3/7 na upana cm 3/4 standard.kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote pia anatibu matatizo mengine kama presha kisukari ngiri chango la tumbo kujaa gesi kutopata choo vizuri minguu kuwaka moto matatizo ya uzazi bawasili na magonjwa ya zinaa kama kisonono na kaswende

Tunapatikana Dar es Salaam  na mikoan wasiliana na DR Oshinda no 0755505099 au 0714126118  Karibuni kwa hunduma bora

Clouds FM Wadhihirisha Kuwa Wababe wa Bongo Flava..Ruby Aomba Poo na Kuwapigia Magoti

0
0
Msanii wa muziki Bongo, Ruby amemaliza tofauti baina yake na Clouds Media Group.
Muimbaji huyo ametumia kipindi cha XXL kuwaomba radhi wale wote aliowakwaza katika chombo hicho cha habari.

“Yeyote, awe ni mwanakamati wa Clouds, team Clouds au awe ni shabiki wa nje I like to apologize guy to say sorry to my country, sorry to this management Clouds, I love them so much all I need is support mimi naamini kwamba ukiwa mjinga kwenye kila kitu utapata kujua vitu vingi sana,” amesema Ruby.

“Nilikaa nikamuomba Boss wangu Ruge samahani, mimi ni mdogo wewe ni mkubwa, of course kwa chochote kile mimi ndio nakosea,” amesema.

Clouds Media Group walikuwa wamesitisha kucheza nyimbo za msanii huyo kutokana na tofauti zao, hivyo sasa nyimbo zake zinachezwa na inaelezwa tangu November mwaka jana ilitolewa ruhusu kwa ngoma zake kuchezwa.

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Siku ya Leo

Hakuna Atakayeweza Kunikuwadia kwa Wanaume- Nandy

0
0
Hakuna Atakayeweza Kunikuwadia kwa Wanaume- Nandy
Msanii wa muziki wa bongo fleva Nandy ambae anafanya vizuri kwa sasa na wimbo wake wa 'kivuruge' amefunguka na kudai hakuna mtu yeyote atakaeweza kumuunganishia kwa wanaume wenye pesa (pedeshee) bali kama watamuitaji wataenda wenyewe kwake.

Nandy ameeleza hayo kupitia kipindi cha eNewz kutoka EATV baada ya kuwepo tetesi za muda mrefu zinazodai kwamba msanii huyo amesababisha kuvunjika kwa kundi la 'LFLG' kutokana na aliyekuwa meneja wake ambae ni Petit Man kumkuwadia kwa 'vigogo' huku akifahamu tosha kwamba mrembo huyo anatoka kimapenzi na Bill Nas ambae pia alikuwa mmoja wa wasanii katika kundi hilo.

"Mimi mtu hawezi kunipeleka kwa mapedeshe kama kunifuata watanifuata wao wenyewe, hawezi mtu kunipeleka kwa mwanaume sijafikia hatua hiyo. Na sina mazoea na Petit ya kuunganishiana mizigo", alisema Nandy.

Kwa upande mwingine, Nandy amesema haoni umuhimu wa kuongelea mambo ambayo hayana msingi katika kipindi huku akisisitiza kwamba jambo la muhimu kwa sasa ni 'kivuruge' kushika namba moja Tanzania nzima pamoja na wimbo wao mpya na Aslay 'Subalkher'

Mbowe Awajia Juu Mwigulu, Jafo "Huu ni Ujinga Mtupu"

0
0
Mbowe Awajia Juu Mwigulu, Jafo "Huu ni Ujinga Mtupu"
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe amefunguka na kulaani vikali kitendo alichofanya Waziri wa Mambo ya ndani pamoja na Waziri wa TAMISEMI kumpigia kampeni mgombea wa Ubunge wa CCM jimbo la Siha na kusema kauli zao zimejaa ubaguzi wa wazi wazi


Mbowe amesema hayo jana wakati akizindua kampeni za wagombea wa Ubunge na udiwani kwa tiketi ya CHADEMA katika jimbo la Siha na kudai Mawaziri hao wamekuwa wakitumia vibaya madaraka yao.

"Kaja Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba anawaambia kuwa lazima mchague CCM, anakuja Jafo Waziri wa TAMISEMI anawaambia wananchi wa Siha ili mpate maendeleo labda mumchague Mollel, huu ni ujinga mtupu. Tunapoongozwa na viongozi wa sampuli hizi, viongozi wabaguzi, viongozi waliopewa dhamana ya maisha yetu wakafikiri ni mali za baba zao na mama zao wanakuja kutuambia upumbavu watu wa Siha tunaakili, kujengwa kwa barabara si fadhila ya Rais" alisema Mbowe

Mbali na hilo Mbowe alisema kuwa katika uchaguzi huu wa sasa endapo wataona gari za Serikali zikitumika kwenye kampeni za wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) zitakuwa halali yao.

"Mzee Mwambigija safari hii kama kufa tufe, safari hii kama noma na iwe noma tunaomba magari ya Serikali yatumike kwa kazi za Serikali hatutakuwa na ugomvi lakini magari ya Serikali na vyombo vya Serikali vikitumika kwenye kampeni za chama chochote ni halali yetu, kwa sababu nchi hii inaonekana siasa za kistaraabu haziwezekani" alisisitiza Mbowe

Yanga: Tupo Imara Msituchukulie Poa

0
0
Yanga: Tupo Imara Msituchukulie Poa
KUELEKEA mchezo wake dhidi ya Azam FC leo Jumamosi, Yanga imesema ina kikosi imara cha kupata ushindi na wale wote wanaoiona timu yao ni dhaifu, wasiwachukuliwe poa kwani wamejipanga kushinda.



Yanga ambayo ipo nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara, itakuwa mgeni wa Azam iliyopo nafasi ya pili, katika mchezo wa ligi hiyo leo kwenye Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi, Dar.



Katika ligi kuu, Yanga na Azam zimekutana mara 18, hivyo mchezo wa leo ni wa 19 huku Yanga ikiwa mbele kwa kushinda mechi sita na Azam ikishinda mara tano na wametoka sare mara saba. Yanga imefunga mabao 24 huku ikiruhusu mabao 22 wakati Azam ina mabao 22 na ikiwa imefungwa mabao 24.


Akizungumza na Championi Jumamosi, Ofisa Habari wa Yanga, Dismas Ten, amesema: “Ni mchezo muhimu na ni mgumu kwa kila upande, kila timu inahitaji matokeo ili kutengeneza nafasi nzuri kwenye ligi.



“Kucheza Chamazi kwetu si ugenini kwani nayo ni Dar es Salaam, hatuna shaka na hali ya hewa, tumecheza hapo mara kadhaa na tunafahamu mazingira yote ya uwanja huo. “Tunawaheshimu Azam, wamekuwa na matokeo mazuri msimu huu, Yanga pia tuna uwezo wa kupata matokeo mazuri uwanja wowote.”


Katika ligi kuu, Yanga kwenye michezo mitatu iliyopita imeshinda mmoja dhidi ya Ruvu Shooting bao 1-0, ikatoka suluhu na Mwadui FC lakini huko nyuma ilifungwa mabao 2-0 na Mbao FC, hivyo kuzua hofu kwa mashabiki wake. “Watu wasituchukulie poa, wanapaswa kuiheshimu Yanga, wanaposema Azam ipo vizuri kuliko Yanga, na mimi nitawaambia Yanga ipo vizuri kuliko Azam, huu ni mpira wa miguu, kila timu inahitaji kuheshimiwa,” alisema Ten.



Kuhusu suala la Azam kutokuwa na imani na mwamuzi wa leo, Israel Nkongo, Ten amesema: “Wao wanakumbushia waamuzi wafuate sheria 17 za soka, sisi hatuwezi kusema kitu ila tunataka uamuzi wa haki.” Katika mchezo huo, Yanga itawakosa nyota wake saba wenye matatizo mbalimbali ambao ni Thabani Kamusoko, Amissi Tambwe, Yohana Nkomola, Pato Ngonyani, Pius Buswita, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ na Donald Ngoma.


Katika mazoezi yao ya mwisho jana Ijumaa asubuhi kwenye Uwanja wa Uhuru, nyota hao hawakufanya mazoezi wakati Kocha George Lwandamina akiwapa wachezaji wengine mbinu za kuikabili Azam. Lwandamina alionekana kuwa makini katika kuunda mifumo mitatu anayotegemea kuitumia leo dhidi ya Azam ambayo ni 4-42, 3-5-2 na 4-3-3, huku jukumu la ufungaji likiwa kwa Obrey Chirwa na Ibrahim Ajibu.



Wakati huohuo, mpaka jana Ijumaa, kibali cha Lwandamina kilikuwa kipo kwenye hatua za mwisho za kupatikana ili leo aweze kukaa kwenye benchi la timu hiyo baada ya kukosekana katika michezo miwili ya ligi iliyopita dhidi ya Mwadui na Ruvu Shooting. “Tumeshafanya taratibu zote kuhakikisha suala la kibali linakamilika kilichobaki ni upande wa serikali kukitoa, tuna imani leo (jana Ijumaa) mambo yatakuwa mazuri,” alisema Ten. Kwa upande wake, Azam kupitia kwa kocha wake msaidizi, Idd Cheche, amesema: “Tunataka kushinda ili tulinde heshima yetu ya kutopoteza mchezo nyumbani, tunafahamu hautakuwa mchezo rahisi ila tumejipanga kushinda.”

“Huwezi Kunishindanisha na Rich Mavoko"- Aslay

0
0
“Huwezi Kunishindanisha na Rich Mavoko"- Aslay
Msanii wa muziki Bongo, Aslay amesema si vizuri kufananishwa na Rich Mavoko kwani ni msanii ambaye amemtangulia katika muziki.

Muimbaji huyo amesema Rich Mavoko amekuwa akifanya vizuri kila siku, hivyo mashabiki wanaomshindanisha wanakosea.

“Huwezi kunishindanisha na Rich Mavoko, yule ni kaka yangu halafa anafanya vitu vikubwa, nimemkuta kwenye muziki na amefanya vitu vikubwa, kwa ukisema unanishindanisha na Rich Mavoko utakuwa unakosea,” Aslay ameiambia Bongo5.

Katika hatua nyingine Aslay ameeleza sababu ya yeye kuwa miongoni mwa wasanii ambao ngoma zao zinapata views zaidi katika mtandao wa YouTube.

“Ni mashabiki wangu wa kweli ndio maana unakuta hata nikitia ngoma leo kesho unakuta nina laki moja, kwa hiyo siwezi kusema labda nilikuwa nashindana au nina vitu vikubwa sana navifanya niwe na views wengi YouTube ni mashabiki zangu kunipenda kweli,” amesema.

Mzee Majuto Afunguka Alivyokosa Kitanda Muhimbili

0
0
Mzee Majuto Afunguka Alivyokosa Kitanda Muhimbili
Muigizaji Staa ndani ya Bongo Movie Mzee King Majuto  ameeleza ilivyokuwa mpaka akakosa kitanda katika Hospitali ya Taifa Muhimbili na ugonjwa unaomsumbua kwa sasa.

Majuto amesema ili mbidi arudi kulala Vingunguti saa nane usiku baada ya kukosa kitanda katika vyumba VIP ambapo wao walihitaji, pia ameeleza kuwa anaugua Tezi Dume na ameshafanya vipimo  ila anatakiwa arudi siku ya Jumanne kwa ajili ya kuangalia namna ya kupata matibabu zaidi.

“Ilikuwa nipumzike ila tulihitaji VIP sasa sijui tatizo lilikuwa nini au ndo haya mambo ya Ki-TZ mpaka uonyooshe mikono, askari wa pale alibishana na mke wangu mwisho akasema hakuna chumba ili Saa nane usiku tufanye utaratibu wa kurudi nyumbani, tatizo ni tezi dume,”-King Majuto

Rick Ross Afuta Picha Zote za Diamond Kwnye Instagram Yaske

0
0
Rick Ross Afuta Picha Zote za Diamond Kwnye Instagram Yaske
Msanii wa muziki kutokea nchini Marekani Rick Ross leo January 26,2018 amechukua headlines katika mitandao ya kijamii baada ya kujulikana kafuta picha zote za Diamond Platnumz katika ukurasa wake wa Instagram.
Rick Ross amewahi kumpost mara mbili Diamond Platnumz kupitia ukurasa wake wa instagram, post zote zikihusiana na ishu ya ubalozi wa kinywaji cha Belaire mwezi September 2017.

Makamba Ameagiza Taasisi za Umma Kuacha Kutumia Mkaa na KUzitaka Kutumia Gesi

0
0
Makamba Ameagiza Taasisi za Umma Kuacha Kutumia Mkaa na KUzitaka Kutumia Gesi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, January Makamba ameziagiza taasisi za umma, kuacha kutumia mkaa kupikia vyakula badala yake zitumie gesi ndani ya mwaka mmoja kuanzia sasa.

Waziri January alitoa kauli hiyo jana kwenye shughuli za upandaji miti zilizofanyika Chuo Kikuu cha Dodoma alikokwenda kumwakilisha Makamu wa Rais.

Alisema wakati wowote kuanzia sasa ataandika waraka katika taasisi zote kubwa ikiwamo majeshi na vyuo vikuu vyote kwa kuwa mamlaka hiyo anayo kisheria.

“Wengine mtajiuliza nachukua wapi mamlaka hiyo kutoka wapi, natumia sheria ya mazingira kifungu cha 13 ambacho kinanipa mamlaka hayo kwa taasisi yoyote nitakayoona inaharibu mazingira.

“Sheria inanipa nguvu hata kama kuna sheria nyingine hapa inayotoa tafsiri nyingine, inasema sheria hii itakuwa juu yake,” alisema January.

Awali, Naibu Waziri wizara hiyo, Kangi Lugola alisema Serikali haitamsamehe mwekezaji yeyote wa viwanda atakayeharibu, kutiririsha maji au kemikali kwa kisingizio cha uwekezaji wa viwanda.

Lugola alisema kumekuwa na kelele nyingi na visingizio vya Serikali ya viwanda kwa kuanzisha viwanda bila ya kufuata sheria ya mazingira.

Alisema mwekezaji yeyote atakayevunja sheria hiyo hakutakuwa na msamaha badala watamlinda mtu atakayefuata sheria ya viwanda na mazingira.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Dodoma, Godwin Mkanwa alizitaka halmashauri zote kutunga sheria kali kwa ajili ya kulinda hifadhi ya mazingira ikiwamo miti inayopandwa.


Mshambulizi wa Mbao FC Habib Kiyombo Akikabidhiwa Zawadi ya Mchezaji Bora

0
0
Mshambulizi wa Mbao FC Habib Kiyombo Akikabidhiwa Zawadi ya Mchezaji Bora
Mshambulizi wa Mbao FC ya Mwanza, Habib Kiyombo akikabidhiwa kitita cha Tsh Milioni 1 na Mfanyakazi wa Vodacom.

Mshambulizi wa Mbao FC ya Mwanza, Habib Kiyombo amekabidhiwa kitita cha Tsh Milioni 1, Tuzo na King’amuzi kwa kuibuka Mchezaji Bora wa mwezi Desemba wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2017/2018. Habib amekabidhiwa zawadi hizo na Afisa Udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania, Ibrahim Kaude na Meneja Fedha wa Bodi ya Ligi, Ibrahim Mwayella.Habib Kiyombo akikabidhiwa kitita cha Tsh Milioni 1, Tuzo na King’amuzi cha AzamTV kwa kuibuka Mchezaji Bora wa mwezi Desemba wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2017/2018. Habib amekabidhiwa zawadi hizo na Afisa Udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania, Ibrahim Kaude na Meneja Fedha wa Bodi ya Ligi, Ibrahim Mwayella.


Habib Kiyombo (katikati)akiwa katika picha ya pamoja.

Kiyombo amekabidhiwa zawadi hizo dakika chache kabla timu yake haijaingia uwanjani kupambana na timu ya Ruvu Shootings ya mkoani Pwani na anakuwa mchezaji wa pili mzawa kushinda tuzo ya mchezaji bora baada ya Mudathir Yahya kiungo wa Singida United kushinda tuzo ya mchezaji bora katika Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) Tanzania Bara msimu wa 2017/2018 kwa mwezi Novemba, kabla ya hapo tuzo ilikuwa inachukuliwa na wachezaji
wanaotoka nje ya Tanzania.





Mwezi Agosti mshindi alikuwa ni Emmanuel Okwi wa Simba,Septemba akawa ni Shafik Batambuze wa Singida United na mwezi Oktoba akashinda Obrey
Chirwa wa Young Africans.

''Sijashangazwa na Sanchez'' - Mourinho

0
0
''Sijashangazwa na Sanchez'' - Mourinho
Baada ya nyota mpya wa Manchester United Alexis Sanchez kucheza mechi yake ya kwanza kwenye klabu hiyo kocha Jose Mourinho amesema hajashangazwa na kiwango cha nyota huyo.


Mourinho ambaye amesaini mkataba mpya juzi wa kuendelea kuinoa klabu hiyo, amesema kiwango cha Sanchez hakijamshangaza kwani ni mchezaji wa daraja la juu hivyo kuonesha makali katika mechi yake ya kwanza ni kitu ambacho alikitegemea.

Sanchez alianzishwa jana kwenye kikosi cha kwanza cha United ambayo amejiunga nayo hivi karibuni akitokea Arsenal na kuisaidia kushinda 4-0 dhidi ya wenyeji Yeovil Town katika mechi ya raundi ya nne Kombe la FA.


Sanchez mwenye umri wa miaka 29, huenda akaendelea kuaminiwa kuanza kwenye kikosi cha kwanza kitakacho kabiliana na Tottenham Hospurs kwenye mchezo wa EPL Jumatatno ijayo.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

0
0

Ni Dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi?


Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521 

Siku Mbili Tu Anadai ana Mimba yangu..Soma Kisa Kizima Hapa...

0
0
Wiki iliyopita ya Pasaka nilipewa taarifa na ndugu yangu sista alieolewa na muhindi, kwamba wanaomba msaada jumatatu saa6 usiku niwapeleke airport wanaelekea india, kwa sababu hawakua na gari, nikawakubalia, ilivyofika hjiyo cku nikawafuata saa 5 ucku, ili waandae mizgo yao kwanza.

Ghafla nashtuka namuona mtoto mrembo kavaa kanga ni mweupe akiwasaidia kubeba mabegi na kupakia kwenye gari, ikabidi nimuulize sista kwamba huyu dada ni nani, akanijibu ni dada wa nyumba ya pili hapo tumemuomba awe anakaa hapa kwa mda sisi tukiwa india, maana hapakua na mtu nyumba yote ile. nikamjibu OK, akili yote iliamia kwa yule mrembo.

Muda ukafika nikawapeleka airport nikakaa nao mpaka saa saba nikageuza kurudi zangu. nikasema hata lazima nirudi kulekule kwa sista nikamalizane nae yule mtoto, kwa kisingizio cha kusahau ufunguo. aisee nilikamua mafutaa mpaka mbez beach, ninakaa nao karbu umbali wa km3 toka kwao.

Nikafika nikapga hodi, mtoto akaja fasta akauliza nani, nikamjibu kaka rich hapa nimesahau funguo ya gheto kwangu, akasema wapi, nikamjibu kwenye kochi, akasema subiri nikuletee, nikamjibu poa, hapo bado hajafungua geti, na ufunguo nilikua ninao mwenyewe, akarud akisema hauoni, nikamwambia fungua nije niangalie mwenyewe, akafungua geti( KOSA) nikazama ndan nikijidai natafuta ufunguo, saa saba ya usiku hiyo, huku yeye kasimama ameshika kiuno ananiangalia ninavyohangaika kubidua masofa ya watu kama kweli vile.

Nikamwita anisaidie, akaja, nikasema hapana ngoja nivue shati maana naswet vbaya, uzalendo ukanishinda nikamfata kwa nyuma nikamkumbatia, lahaulaa akapiga kelele, nikamwambia usiogope, nikamweleza yaliyo moyoni yote mtoto akaelewa ila akawa mgumu kujirahisisha.

Akakimbilia chumban kwake na mlango kaacha wazi akisema nisimsumbue anataka kulala, nikacheka kimoyomoyo nikisema kwisha habari yako umeniachia mlango wazi pia umevaa kanga moja, nikamfata hukohuko nikaomba mzigo akawa anakataa mara ooh ndo tunaona mara ya kwanza, mara nipo danger maneno kibao, huku natomasa tu nikaona mtoto anapumua kwa kasi huku akiongea maneno yasiyoeleweka, nikasema tayariiii.

Mtoto akanipa ushirikiano vya kutosha mpaka saa 10 alfajir mwanaume naondoka kwa watu mku mtoto akinisindikiza mpaka getin, kesho yake nipo job akili yangu yote inamuwaza yeye nikasema hataa lazima niende tena, nikamwendea hewani nikaimbisha tena akakubali niende saa tano ila sio na gari maana ndugu watastukia ishu kwa sabab wapo karbu nao nawanajua muhndi kasepa na mimi saa 10.

Muda ukafika nikachapa lapa mpaka kwa sista nikajilia vyangu mpaka saa 12.nilishiba aisee. Balaa linaanzia hapa baada kupga mara mbili na mara mwisho, mtoto akaanza kusumbua mara ooh sioni sku zangu na hii itakua mimba yako, nikamwambia acha ujinga wako yaani siku mbili tu cku huzioni, hiyo itakua ya watu wengine unataka kunisingzia, mi sihusiki, nikaanza kupokea matusi ya kutosha na pia akinitishia kuwa atamwambia sista kwamba cku ile nilivyowapeleka airport nilirudi kumbaka.

Aisee nilitaka kuanguka kwenye kiti ofisini, kuhusu kama akimwambia sista huu ujinga nilioufanya kwake. Ikabidi niwe mpole tu kukubali hali, akili inanituma nikamchoropoe bila ya yeye mwenyew kujua, maana baby wangu akijua hili nimekwisha.

Nataka nimpelekee zawad ya juice iliyo na vikorombwezo vya kuitoa hiyo mimba. Mimi ni pharmacist.

Imeandikwa na Richard77

Kwanini Wanawake Wengi Warembo Wanaishia Kuwa Michepuko?

0
0
Ni ukweli kwamba wako wanawake wengi sana ambao wanahesabu kuwa ni baraka na jambo la kumshukuru Mungu kwa kuwaumba wenye sura nzuri na wenye mvuto. Pamoja na ukweli huu, ni wazi na imethibitika kwamba wako wanawake ambao wanahesabu kuzaliwa warembo ni mojawapo ya laana au mkosi kwasababu ya zile hali ambazo wamezipitia hususani katika mahusiano yao ya kila siku na wanaume.

Mara kwa mara kumekuwepo na tabia ya wanaume kutamani sana kuwa kwenye mahusiano na wanawake warembo, na hupenda kuwatongoza hao mara kwa mara ingawa moyoni mwao wanawaangalia warembo hawa kama wasichana wa kula nao raha tu “good time girls” na wala sio wake wakuoa.

Utakubaliana na mimi labda umewahi kuona mwanaume anakuwa kwenye mahusiano na binti mzuri sana kisura na kiumbo tena wanakuwa kwenye mapenzi kwa muda mrefu tu huku huyu binti akijua mbeleni kuna ndoa, ghafla ukija kusikia huyu kaka anaona unapigwa mshangao kuona wala sio yule binti mrembo anayeolewa.

Hii imewaacha mabinti wa aina hii katika maumivu makali sana ya moyo, na wengine wamekata tama na kuamua kujirahisisha ili mraadi maisha yaende. Wengine wameamua kukaa wakitunzwa na waume za watu kwasababu wao wamejithibitishia kwamba kuolewa hakupo.Tafiti zinaonyesha kwamba ukiona mwanaume aliyeamua kukaa muda mrefu na mwanamke mrembo, mara ningi unakuta ni wale wanaume wenye tabia za kisanii “players” ambao hata wao huwatumia mabinti hawa na kuwatelekeza hapo baadae.

Inasemekana imani au mtazamo huu hauko tu kwa wanaume bali hata wanawake wale wenye uzuri au urembo wa kati au wasio warembo kabisa wanajua na kuamini hivyo na mara nyingine huwarushia vijembe wale wanawake warembo kuwa “utachezewa tu na utaachwa na wataolewa wengine”. Na pale inapotokea kwenye mahusiano binti wa kawaida akagundua mpenzi wake wa kiume ametembea au husiana kinyemela na binti mrembo zaidi kuliko yeye, utakuta wakikutana kwenye kupashana au hata kwenye ugomvi wa kuandikiana ujumbe wa maneo, huyu binti wa kawaida humwambia yule mrembo kwamba “we jifurahishe tu ila usiamini kwamba utaolewa, huyu mwenzako anakuchezea tu anajuwa nani wa kuoa”. Unadhani imani hii wameitoa wapi?

Wakati mfumo au mtazamo huu unapoenea au kujirudia zaidi, wanawake hawa warembo au wazuri wa sura na umbo huamini kwamba wanaume wote ndivyo walivyo, wanaamini kwamba wanaume wote huwasogelea ili kujifurahisha kimapenzi tu na baada ya hapo kuwakimbia. Wakati huu wa kusubiria kumpata mwanaume wa kuoa “Mr. Right” ukizidi wanawake hawa huchoka na kukata tama, na hivyo wao sasa huamua kukimbizana na kutafuta mwanaume wa kuwapenda na kutulizana nao.

Tabia hii ya kuwafukuzia wanaume kwa bahati mbaya kuwagharimu sana wanawake hawa kwasababu wanaume wengi wanamtazamo hasi kwa wanawake wa jinsi hii. Wanaume wengi wanaamini wao ndio wanatakiwa kuwa wa kwanza kumtongoza mwanamke na sio mwanamke kuwa wa kwanza kuwatongoza wao, na mbaya zaidi anapokuwa mwanamke mzuri ndio shida huongezeka, wengine wakianza kuambiana “huyu lazima atakuwa mgonjwa anataka kuambukiza wengine”. Hapa unaweza kuelewa ni kwa kiasi gani hali huwa ya kutatiza.

Kwa upande mwingine, wanawake hawa wanaoonekana wazuri wa umbo na sura, sio halisi kama wanavyoonekana. Kwa mbali ni kweli mwanaume yeyote atavutiwa nao lakini jinsi unavyowakaribia na kuwafahamu unagundua mengi yanayohuzunisha na kuogopesha kuishi nao. Unagundua kuwa uzuri mwingine umeongezewa kutoka madukani zaidi na sio ulio halisi. Mara nyingine uzuri huu na ile hali ya kuonekana ni wagharama sana huwaogopesha wanaume wasio na kipato kikubwa na kwahiyo wanaume hawa wakishapata kabahati ka kufaidi penzi mara moja au mbili wanakimbia tena kwa kasi wakihofia kukamuliwa kiuchumi, ingawa mara nyingine hofu yao hii huwa sio ya kweli. Inasemekana baadhi ya wanawake wa aina hii huwekeza zaidi kwenye kuonekana wazuri na walimbwende ili kuficha au kufunika baadhi ya mapungufu yao.

Wanaume wengi walioulizwa sababu za kuwatumia na kuwatelekeza wanawake wa jinsi hii walisema kuwa, kwa kutembea, kuonekana nao au kufanya nao mapenzi, wanaume hawa hujihisi sifa sana, hususani wanapoonekana na wanaume wenzao, yani ni kama vile timu ndogo iliyopata nafasi kucheza katika kombe la dunia. Unajua tena wanaume wanavyopenda kujionyesha wanapokuwa na wanawake wazuri mbele ya macho ya wanaume wenzao.

Wamesema kwamba wanapowaza kuishi na wanawake hawa kama mume na mke, huwa wanazidiwa na hofu ya kuelemewa au kujihisi kutokuwa salama “sense of insecurity”. Mioyoni mwao wanahisi kwamba kama wanaume wenye hela wamekuwa wanamfuatilia kwa kasi kubwa hivi mwanamke huyu, vipi nikishaoana naye?? Si ndiyo kila siku kusuguana na kukorofishana vishawishi vinapozidi? Je nitaweza kustahimili?

Wanaume wengine walioulizwa walijibu kwamba, wanawake wa jinsi hii ni wa gharama sana, sio rahisi kuwaweka mjini na kuhakikisha wanaishi maisha yao ya kawaida kama hauna fedha ya kutosha. Hata wale wanaume wachache waliokuwa na hao wanawake kwa muda wa maswali haya wameeleza jinsi wanavyohisi wanatumia fedha nyingi na yamkini zaidi ya wanavyojiweza.

Wanawake wa aina hii watahitaji mitoko ya nje ya mji, sehemu zilizojitenga, sehemu za faragha ambazo ni za bei ghali, wanataka zawadi za gharama, ukitaka kuwapa zawadi za kushtukiza “surprise” basi ujipange, sio vitu vya kitoto vitakavyomsisimua aweze kukwambia “waoooooow…this is wonderful” hapo lazima ujipinde mfukoni haswa.

Ukitaka kuwatoa nje kwa ajili ya chakula cha jioni basi lazima kwenda maeneo wanayoenda watu maarufu, mkitaka kwenda kupumzika kidogo nje ya nyumbani basi uwaambie wachague wao wapi pa kwenda, na hapo utakapotajiwa ni pa gharama kubwa sana, na imeelezwa kwamba pamoja na mambo yote haya ya gharama kubwa bado huko wapenzi hawa wanapoenda msichana huyu anaishia kuonekana ni mwanafunzi asiyejua tendo la ndoa kabisa tofauti na hali aliyoionyesha “poor perfomer”, wanaume wengine wanasema inaonekana kama kupoteza tu pesa, unaishia kutokufurahia penzi lenyewe.

Na wengine wameenda mbali zaidi kueleza kwamba hata unapotaka kuzaa na mwanamke wa jinsi hii basi yeye anataka mtoto mmoja au wawili tu akiogopa asije kuliharibu umbo lake, tofauti na kiu ya mwanaume ya kupata watoto zaidi ya wawili. Imeelezwa kuwa hata ujuzi wa kupika kwao ni shida maana kutwa kucha wako “bize” na sura zao, na hata ukikaa nao sio watu wakufurahisha zaidi ya kutumia tu hela zako “they are boring”.

Pamoja na uchunguzi huu na ukiangalia hali halisi ya maisha yetu ya kila siku tena katika jamii tofauti utagundua kwamba wanaume kiu yao sio kuoa wanawake wenye umaarufu, au wenye kujulikana sana, au walio warembo kupindukia, bali wanaume wanapotaka kutafuta mke wa kuoa wanaangalia tabia na haiba zilizojificha, wanauliza tabia ya huyo msichana, wanataka kujua anavyohusiana na watu, wataangalia nyendo zake kuanzia wakati anasoma.

Ni ngumu kuwakuta wamenaswa na aina ya wanawake ambao wanataka kuonekana wakati wote, wanataka wajulikane kuwa wao nao wapo kwenye makundi ya watu, la hasha. Kiu zao ni kuwa na mwanamke ambaye atakuwa mke anaye leta furaha nyumbani, anaye sikiliza, anaye weza kushauri na kushaurika, aliyeko tayari kufundishika sio kuwa mwalimu kwenye kila kitu, anayeweza kuandaa mapishi mazuri yatakayo wafurahisha watoto na mume wake, sio kila siku kuelekeza kipikwe nini wakati yeye analinda kucha zake zisiharibike.

Hivi umewahi kujiuliza kwanini watu wengi waliooa wakiwa na michepuko, hiyo michepuko ni mabinti warembo na walimbwende ila hawajaolewa, hivi hujajiuliza kwanini hawajaolewa? Na hata wengine wakiolewa hizo ndoa kila siku tia maji tia maji, wataachika leo na kuolewa kesho na kuachika kesho kutwa nakuolewa tena mtondogoo.

Unadhani hawa wanaume wanaoenda kwa hao wanawake ni kwamba hawajui wanachokitaka? utashangaa hata umpe mapenzi gani bado hawezi kukwambia atakuoa, ingawa yuko tayari akupangishie nyumba au hata akujengee lakini ulale huko mwenyewe, yeye anaenda kulala na mke wake. Ushauri wangu wa bure kwa wanawake wa jinsi hii; badilikeni tabia zenu, jitihada mnazotumia kwenye kucha na sura zenu ziwekeni kwenye kushuhulikia tabia na haiba zenu, la sivyo mtasubiri sana tu.

Dr. Chris Mauki

UDSM & University of Pretoria. SA

chrismauki57@gmail.com

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

0
0
SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670

Nyoso Ashtakiwa kwa Kumpiga Shabiki

0
0
Nyoso Ashtakiwa kwa Kumpiga Shabiki
Baada ya mchezaji Juma Nyosso wa Kagera Sugar kumpiga shabiki, kamati ya usimamizi na uendeshaji wa ligi imemshitaki kwenye kamati ya Nidhamu ya TFF kwaajili ya hatua zaidi.


Akiongea leo Afisa Mtendaji mkuu wa Bodi ya ligi Boniface Wambura amesema kamati hiyo imepitia ripoti ya kamishna wa mchezo huo namba 112 kati ya Kagera Sugar dhidi ya Simba SC na kubaini kuwa tukio hilo ni la kinidhamu hivyo kulifikisha sehemu husika.

''Kamati imepitia ripoti ya kamishna na imeonesha kuwa kulikuwa na tukio ambapo mchezaji wa Kagera Sugar Juma Nyosso alimpiga ngumi shabiki hivyo suala hilo limefikishwa kwenye kamati ya nidhamu ya TFF kwaajili ya maamuzi'', amesema Wambura.

Nyosso ambaye bado anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Kagera anatuhumiwa kwa kumpiga ngumi shabiki baada ya mchezo kumalizika, kitendo ambacho kilipelekea shabiki huyo kuanguka na  kuzimia kabla ya kukimbizwa Hospitali.

Katika mchezo huo uliopigwa Jumatatu Januari 22  Simba iliibuka na ushindi wa mabao 2-0 na kulipa kisasi cha msimu uliopita ambapo ilipoteza 2-1 kwenye mchezo uliopigwa April 22, 2017.

Nandy Ashangazwa na Kauli ya Ruby Aamua Kumjibu

0
0
Nandy Ashangazwa na  Kauli ya Ruby Aamua Kumjibu
Msanii wa muziki Bongo, Nandy amejibu kauli ya Ruby ambayo ilidai alikaa kimya kimuziki kumpisha muimbaji huyo kufanya vizuri.

Nandy amesema hilo halina ukweli wowote kwani tangu alipoondoka katika uongozi wake kuna nyimbo ambazo alitoa, hivyo kutoa kauli kama hiyo ni kujitetea.

“Sio kweli kwa sababu nakumbuka ana nyimbo tatu kazitoa kipindi ambacho amesema amepumzika, katoa singeli mbili na wimbo mmoja unaitwa Wale Wale, sasa hapo alikuwa amepumzika au ni kitu ambacho si cha kweli,” amesema.

“Halafu watu walikuwa wanajua amegombana na uongozi wake ndio akatoa hizo nyimbo ni kisingizio cha kujitetea,” Nandy ameiambia EATV.

Kwa sasa Nandy anafanya vizuri na wimbo ‘Subal kheir’ alioshirikiana na Aslay ambao awali uliimbwa na Culture Group kutoka visiwani Zanzibar.
Viewing all 104416 articles
Browse latest View live




Latest Images