Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Mimi Mars Afunguka Kuhusu Mausiano Yake ya Kimapenzi na Joh Makini

$
0
0
Mimi Mars Afunguka Kuhusu Mausiano Yake ya Kimapenzi na Joh Makini
Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye pia ni mdogo wa msanii Vanessa Mdee, amefunguka tuhuma za kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Rapper Joh Makini

Akizungumza kwenye Friday Night Live ya East Africa Television, Mimi Mars amesema yeye na Joh Makini ni sawa na mtu na kaka yake, kwani Joh Makini alikuwa rafiki kipenzi wa kaka yake.

“Mahusiano yangu mimi na Joh Makini ni ya kidada na kaka, kwa sababu Joh Makini ni mtu ambaye tumemjua kuanzia tukiwa wadogo, alikuwa rafiki yake kaka yangu mkubwa, kwa hiyo kama ambavyo kaka yetu mkubwa anatushauri ni sawa na Joh Makini, ni rafiki, ni kaka, ni mshauri, sijui suala la mahusiano limetoka wapi”, amesema Mimi Mars.

Mimi Mars amesema kwa sasa hayupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na mtu yeyote akikusuia kufocus kwenye kazi zake zaidi.

Mama Kanumba Asimulia Siri ya Nabii Tito na Kanumba

$
0
0
Mama Kanumba Asimulia Siri ya Nabii Tito na Kanumba
BAADA ya picha kusambaa za aliyekuwa staa wa sinema za Kibongo, Steven Kanumba akiwa na Nabii Tito ambaye kwa sasa yupo mbaroni kutokana na kuonekana akikashifu dini, mama mzazi wa staa huyo, Flora Mtegoa na mdogo wake, Seth Bosco wamemfungukia jamaa huyo jinsi alivyokuwa akiwashawishi kujiunga naye.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, mama Kanumba alisema kuwa, alisikia Nabii Tito alikuwa akimshawishi Kanumba aingie kwenye dini yake, lakini hakukubaliana naye kwa kuwa alikuwa ana imani na msimamo mkali wa kidini hivyo ikawa ni vigumu kumkubalia.

Kwa upande wake, Seth alisema kuwa, Nabii Tito alifika ofisini kwao, Sinza-Mori, Dar, kipindi hicho wakiwa na Kanumba akawahubiria na kuwashawishi wajiunge naye, lakini walikataa na ndiyo siku waliyopiga naye picha.

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

Wasiliana nasi  Kwa Numba Hizi +255 622588038 , 0679119679 , +255 764318107, 0656145170, 0762899488

Sheria Mpya ya Madini Yasainiwa

$
0
0
Sheria Mpya ya Madini Yasainiwa
Waziri wa Madini Angellah  Kairuki amesaini Kanuni za Sheria Mpya ya Madini ambapo  Wakala wa Jiolojia Nchini (GST) amepewa nguvu ya kisheria ya kuingia katika ardhi yoyote kufanya utafiti wa kina wa madini.

Mwaka jana Bunge lilipitisha Sheria mbili za madini ambazo zinalenga  kuleta mabadiliko makubwa katika Sekta ya Madini.

Hata hivyo kanuni za sheria hizo zilikuwa bado hazijasainiwa na Waziri wa Madini hadi Januari mwaka huu jambo ambalo lilimkera Rais John Magufuli na kutoa agizo zikamilike  ndani siku tano.

Akizungumza leo Januari 28  Naibu Waziri wa Madini Dotto Biteko amesema kuwa kanuni hizo zimesainiwa  Januari 9 mwaka huu ikiwa ni siku moja baada ya Rais John Magufuli kuagiza kukamilishwa kwa mchakato wa kanuni hizo ndani ya siku tano.

Biteko alikuwa akizungumza mbele ya Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini ambayo ilitembelea ofisi za GST mjini Dodoma.

“Kuna watu wanasema sheria hii mpya itafukuza wawekezaji na hakuna wawekezaji wapya watakaokuja lakini nataka kuwaambia kuwa kuna wageni wengi wanakuja kutaka kuwekeza katika migodi mikubwa,” amesema.

Amesema  wastani katika kila wiki wamekuwa wakipokea wawekezaji kati ya 10 na 20 ambao wanaonyesha nia ya kuwekeza nchini katika sekta hiyo kwa hiyo sheria sio kikwazo kwao.

Alisema kujitokeza kwa wingi kwa wawekezaji kunatokana na sheria hiyo  kuweka uwazi katika taratibu na kanuni za kuwekeza.

Biteko amesema  lengo la wizara yake ni kuongeza uchangiaji wa sekta ya madini katika pato la taifa kutoka asilimia 4.8 ya mwaka jana hadi kufikia asilimia 10 kama Mpango wa Maendeleo wa miaka mitano unavyosema.

Tafiti zifanywe na GST

Wakichangia kwa nyakati tofauti wabunge wamesema ili kuifanya sekta hiyo kuwa na manufaa zaidi ni vyema Serikali ikaacha suala la utafiti wa kina ukafanywa na GST.

Mbunge wa Tarime vijijini (Chadema) John Heche amesema kampuni kubwa zinazokuja nchini kwa ajili ya uwekezaji katika sekta hiyo, yanafanya utafiti kwa kipindi kirefu sana huku Serikali ikiwa hainufaiki.

“Wengine wanakuja kufanya utafiti kwa zaidi ya miaka 10 na bado wakiondoka wanasema hawajapata kitu. Sisi tuna watu wetu hapa (GST) wapewe mamlaka ya kisheria ya kufanya Exploration (utafiti wa kina) na wawekezaji wanapokuja wapewe leseni za uchimbaji,” amesema.

Kauli hiyo iliungwa mkono na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Deo Ngalawa (Ludewa-CCM) ambaye amesema kuwapa GST jukumu la kufanya utafiti wa kina kutaongeza mapato kwa sababu wawekezaji watakapokuja kuwekeza watalipia gharama za utafiti huo.

 “Unakuta wengine wanakuja kufanya utafiti miaka mitatu ama na zaidi hakuna wanalotufanyia,”alisema Ngalawa ambaye alikuwa ndio mwenyekiti wa kikao hicho.

Mbunge wa Nkasi Kusini (CCM) Desdurius Mipata alitaka kamati hiyo kufahamishwa kuhusiana na utajiri wa nchi katika sekta ya madini kutokana na tafiti zilizofanywa na GST.

“Tuko matajiri kiasi gani? Tunakilinganishwa na akinani? Kwa kiasi gani naomba nipewe majibu hata kama sio leo,”amesema.


Mkurugenzi wa idara ya Kanzidata wa GST, Yokbeth Myumbilwa alisema miongoni mwa changamoto ya wakala huo ni kulazimika kulipia vibali kila siku kwa watafiti wanapofanya tafiti zao mbugani.

“Tunalazimika kulipia vibali kila siku hata kwa vibarua wakati tunapofanya tafiti katika maeneo ya mbugani (hifadhi),”alisema.

Mbunge wa Viti Maalum (Chadema) Joyce Sokombi ameshauri wizara hiyo kulifanyia kazi tatizo hilo ili kuwawezesha wataalam wa wizara hiyo kutimiza majukumu yao kwa urahisi.

Mbunge wa Bukoba Mjini (Chadema) Willfred Lwakatare alishauri GST kutoa elimu juu ya kujikinga na majanga ya asili yakiwemo matetemeko kwa kutumia lugha rahisi.

“Mkoa wa Kagera mpeleke pia monitoring center (vituo vya uangalizi) ili waweze kupata taarifa.  Kuna vitetemeko vidogovidogo vimekuwa vikitokea vinazua hofu,” amesema.

Wanne Wafariki Dunia kwa Kuofiwa Kula Chakula cha Sumu

$
0
0
Wfariki Dunia kwa Kuofiwa Kula Chakula cha Sumu
Watu wanane wamefariki dunia katika mazingira tofauti kuanzia Jumatatu hadi juzi wilayani Kiteto mkoani Manyara, huku chanzo cha vifo hivyo kikiwa bado hakijajulikana.

Wakati wakazi hao wakiripotiwa kufariki dunia, zaidi ya ng’ombe 6,000 wilayani humo wamekufa.

Akizungumza juzi, Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Tumaini Magessa alisema mpaka sasa hawajajua chanzo cha vifo hivyo.

Alisema wataalamu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi na Mamlaka ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) wanaendelea na uchunguzi.

Magessa alisema wataalamu hao kwa kushirikiana na wengine wa Wizara ya Afya wameshachukua sampuli kutoka kwa watu waliokufa, ng’ombe na uyoga kwa ajili ya kufanya uchunguzi.

“Uchunguzi wa awali haujabaini chanzo cha vifo vya watu hawa na mifugo. Bado tunaendelea ili kujua sababu kwa kuwa vifo hivi vimetokea siku tofauti wiki hii,” alisema. Mkuu huyo wa wilaya alisema, “Watu wamekuwa wakizungumza mambo mengi kuhusu chanzo cha vifo, ikiwamo kula nyama ya ng’ombe na wengine wakidai kuwa walikula uyoga.”

Alisema baadhi ya wafugaji wilayani humo wanadai chanzo cha ng’ombe kufa ni kula majani baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha mafuriko. “Majina ya waliofariki dunia bado hatujayapata ila wawili walifariki katika Kata ya Kiperesa, wanne katika Kijiji cha Emat, Kata ya Magungu na wengine wawili bado hatujajua walikuwa wakazi wa kijiji kipi.”

Alisema, “Baada ya ukame, mvua kubwa ilinyesha na majani mapya kuota, sasa wanasema ng’ombe walipokula nyasi hizo ndipo wakafa ila bado tunafanya uchunguzi.”

Alisema mizoga ya ng’ombe hao imekutwa maeneo tofauti, mingine ikiwa barabarani na porini. Mkuu huyo wa wilaya amewataka wananchi wa eneo hilo kuwa watulivu akisema Serikali inafanya uchunguzi kubaini sababu ya vifo vya watu hao na mifugo.

Mkazi wa Kata ya Kiperesa, Shabani Khamis alisema vifo hivyo vimewashangaza kwa kuwa chanzo chake hakijafahamika.

“Hata hatujui tatizo ni nini, pengine tuiachie Serikali kufanya uchunguzi na kubaini chanzo. Hayo mambo ya uyoga au kula mboga zenye sumu si ya kuyasema kwa sasa,” alisema.

WCB Yamtambulisha Rasmi Mbosso

$
0
0
WCB Yamtambulisha  Rasmi Mbosso

Usiku wa kuamkila leo WCB ikiongozwa na Diamond Platnumz, wamemtambulisha msanii wao mpya Mbosso ambaye alikuwa Yamoto Band.



Hafla ya kumtambukisha msanii huyo iliudhuliwa na watu mabalimbali ikiwemo waandishi wa habari.

Moto Waacha Watu Bila Makazi Kenya

$
0
0
Moto Waacha Watu Bila Makazi Kenya
Moto uliowaka usiku wa kuamkia leo katika eneo la kijiji Langata, Nairobi nchini Kenya umeteketeza nyumba zao na kuwaacha bila nyumba za kulala.

Moto huo ambao chanzo chake bado hakijabainika ulizuka mwendo wa saa mbili jioni na kuenea kwa haraka.

Magari ya kuzima moto ya baraza la jiji yalifika baadaye, lakini wakazi waliwalaumu maafisa hao wa serikali kwa kuchelewa kufika eneo la mkasa.

Moto huo baadaye ulizimwa, ingawa moshi bado ulikuwa unafuka katika baadhi ya maeneo asubuhi.

Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Taifa ya Kukabiliana na Majanga anayeangazia mawasiliano Bw Pius Masai aliambia gazeti la kibinafsi la Nation kwamba walilazimika kuomba usaidizi zaidi.

Jux sio Zao la Wakacha ni Zao Langu- Mkubwa Fella.

$
0
0
Jux sio Zao la Wakacha ni Zao Langu-  Mkubwa Fella.
Umekuwa ukiwaza kuwa Jux ni zao la kundi la Wakacha? Basi umekosea sana, nikufahamishe kuwa msanii huyo ni zao la Mkubwa Fella.

Hilo amethibitisha Fella mwenyewe wakati akiongea katika sherehe za uzinduzi wa kumtambulisha msanii mpya wa WCB, Malomboso zilizofanyika Hyatt Regency zamani Kilimanjaro Hotel.

“Mimi na kumbukumbu zangu nimewatengeneza wasanii 105, wanaofanya vizuri 32. Na nitakupeni maajabu mtu mwingine anayefanya vizuri ni Jux ni nguvu yangu. Hamjui mmeona, na sitaki mujue,” amesema Fella.

Mkubwa Fella ameongeza kuwa japo Malomboso amesaini lebo ya WCB lakini bado kuna asilimia atakuwa anaipata kutoka na kumlea msanii huy0 mpaka kuanza kufahamika.

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Siku ya Leo Jumatatu

$
0
0

Jaji Mkuu Awapa Ujumbe Huu Watumishi wa Mahakama

$
0
0
Jaji Mkuu Awapa Ujumbe Huu Watumishi wa Mahakama
Jaji Mkuu wa Tanzania,Prof. Ibrahim Hamis Juma amewataka Watumishi wa Mahakama nchini kutoa huduma kwa kuzingatia Maadili, kuhakikisha kesi zinamalizika kwa wakati pamoja na kuacha vitendo vya rushwa ili kuongeza imani ya wananchi kwa Mhimili huo.

Akizindua wiki ya Sheria na Maonesho ya Elimu ya Sheria jana katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam, Jaji Mkuu alisema kuwa nguvu ya Mahakama ni imani ya wananchi na imani hiyo itaongezeka ikiwa hakuna rushwa, kuna maadili mema na kesi zitamalizika kwa wakati.

Jaji Mkuu pia amewataka wananchi kuacha kuilalamikia Mahakama na badala yake wachukue hatua kwa kuwataja watumishi wasiozingatia maadili kwa uongozi wa Mahakama.

Aidha, amewashauri wananchi kujifunza na kuelewa taratibu za mashauri Mahakamani ili kurahisisha upatikanaji wa haki zao wanapozitafuta kwenye Mahakama mbalimbali nchini.

“Wananchi wengi wanakwenda kutafuta haki sehemu isiyohusika hivyo wanatakiwa kujifunza taratibu za Mahakama ili waweze kupata haki kwa wakati kwa kuwamuda mwingi unapotea kwa kutafuta haki mahali pasipostahili”, alisema Prof. Juma.

Alisema hivi sasa Mahakama inaingia kwenye matumizi ya Teknolojia ya habari na Mawasiliano- TEHAMA hivyo matumizi haya yatamsaidia mwananchi kuweza kufahamu hatua zote za shauri lake lililopo Mahakamani.

Jaji Mkuu ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi katika viwanja vya Mnazi Mmoja ili kupata elimu juu ya masuala mbalimbali yanayohusu Mahakama na sekta ya sheria kwa ujumla.

Alisema, katika maonesho hayo, wananchi watapata nafasi ya kujifunza juu ya usuluhishi nje ya Mahakama, Mahakama inayotembea (Mobile Courts) pamoja na changamoto za upatikanaji wa haki zikiwemo upungufu wa Watumishi, Miundombinu, pamoja na vifaa.

Akizungumzia taratibu wa usuluhishi wa kesi nje ya Mahakama (Mediation), Jaji Mkuu amesema wakati sasa umefika kwa wananchi kutumia utaratibu huo unaorahisisha upatikanaji wa haki na kuongeza kuwa Haki bora hupatikana kwa usuluhishi majumbani.

Aidha, kabla ya kuzindua wiki ya Sheria, Jaji Mkuu aliongoza Matembezi waliyowashirikisha watumishi wa Mahakama, wadau pamoja na wananchi kwa ujumla yaliyoanzia katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mpaka viwanja vya Mnazi Mmoja.

Matembezi hayo pia yalihudhuriwa na viongozi wa Serikali akiwemo Waziri wa wakati katiba na Sheria Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi, Katibu Mkuu wa wizara hiyo Prof. Sifuni Mchome pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Amon Mpanju.

Raila Odinga: Siogopi Kuwekewa Vikwazo

$
0
0
Raila Odinga:  Siogopi Kuwekewa Vikwazo
 Raila Odinga, kiongoni wa muungano wa upinzani amesema “haogopi kuwekewa vikwazo” vyovyote kutokana na mkakati wake wa ‘kula kiapo cha kuwa rais wa watu’ katika sherehe zilizopangwa Jumanne ya Januari 30, 2018.

Odinga alisema amepigiwa simu nyingi na amepokea vitisho kutoka kwa mabalozi mbalimbali na “marafiki wa nje” wakimtaka kutoendelea na mpango wake wa kuapishwa, lakini akasema ataendelea hata kama hiyo itamgharimu kwa kutosafiri nje.

Kiongozi huyo wa muungano wa National Super Alliance (NASA) alisema hayo alipokuwa akiwahutubia wafuasi wake wa mkoa wa Nyanza.

“Marafiki zangu wa ughaibuni na mabalozi wamekuwa wakinisihi nisile kiapo. Kunipa onyo juu ya kuwekewa vikwazo na haki yangu ya kidemokrasia kuchafuliwa, lakini sina mpango wa kusafiri nje, nanajibiisha kupambana dhidi ya ukiukwaji wa sheria za uchaguzi katika nchi,” alisema Odinga.

Odinga ameendelea kusisitiza kwamba alishinda uchaguzi wa Agosti 8, 2017 ambao ulifutwa na Mahakama ya Juu baada ya Nasa kufungua kesi kupinga Tume Huru ya Uchaguzi kumtangaza Uhuru Kenyatta kama mshindi.

Odinga na Nasa walisusia uchaguzi wa marudio ulioamriwa na Mahakama Kuu ambao Uhuru alishinda kwa asilimia 98. Uhuru aliapishwa kuwa rais lakini Nasa alikataa kuitambua serikali yake badala yake wakaanzisha mpango wa kuunda serikali itakayoongozwa na Odinga kama rais wa watu.

Serikali ya Uhuru imetoa onyo kali juu ya madhara makubwa yanayoweza kumkuta “yeyote atakayejiingiza kulivuruga taifa”. Wito wa majadiliano kati ya serikali na upinzani haujazaa matunda.

Mke wa Chacha Wangwe Aibuka na Kuiomba Serikali Kufanya Uchunguzi wa Kifo cha Mumewe

$
0
0
Mke wa Chacha Wangwe  Aibuka na Kuiomba Serikali Kufanya Uchunguzi wa Kifo cha Mumewe
Miaka 10 baada ya kifo cha mumewe, mjane wa aliyekuwa mbunge wa Tarime, Chacha Wangwe, Ghati, ameiomba Serikali kufanya uchunguzi kubaini chanzo cha kifo cha mumewe ili haki iweze kutendeka.

Akizungumza mjini hapa juzi kwenye ziara ya mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Kheri James, mjane huyo alisema anaamini kifo cha mumewe hakikutokana na ajali ya kawaida bali kilipangwa na baadhi ya watu.

Ghati alitaja majina mawili ya viongozi wa Chadema, akiwatuhumu kuhusika na kupanga njama za kifo hicho kwa sababu za kisiasa.

“Ninayo imani kubwa kuwa Serikali chini ya uongozi wa Rais John Magufuli inaweza kufanya uchunguzi na kubaini kifo cha mume wangu ambacho kilikuwa na utata mkubwa,” alisema.

Mjane huyo mwenye watoto sita, alisema baada ya kijana wake mkubwa Chacha Zakayo aliyekuwa diwani wa Turwa wilayani Tarime kupitia Chadema kujivua wadhifa huo na kuhamia CCM hivi karibuni, kumezuka maneno mengi dhidi ya familia hiyo kukisaliti chama hicho, ilihali kimemhudumia kwa muda mrefu.

Alisema madai hayo siyo sahihi na kwamba tangu mume wake afariki dunia alihangaika na watoto wake peke yake bila msaada wa chama kama inavyodaiwa, huku akiwataka wanaodai kumsaidia kupeleka ushaihidi.

Chacha Wangwe alifariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea katika eneo la Pandambili wilayani Kongwa mkoani Dodoma Julai 28, 2008, alikuwa akitokea Dodoma kuelekea Dar e Salaam ambako alikokuwa akihudhuria vikao vya bunge.

Kufuatia ajali hiyo dereva wake, Deus Malya alishikiliwa na kushtakiwa na hatimaye kuhukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela baada ya kupatikana na hatia kwa kuendesha gari kwa mwendokasi na kusababisha kifo na kosa la kuendesha gari bila leseni. Hata hivyo, hukumu hiyo ilitenguliwa baada ya Malya kukata rufaa.

Singida United Yajipanga Kulipiza Kisasi kwa Mwadui

$
0
0
Singida United Yajipanga Kulipiza Kisasi kwa Mwadui
Klabu ya soka ya Singida United kupitia kwa Mkurugenzi wake Festo Sanga, wamesema wanajipanga kulipiza kisasi dhidi ya timu ya Mwadui FC ya Shinyanga.


Sanga amesema baada ya mchezo wa jana ambao ulikuwa wa mwisho kukamilisha mzunguko wa kwanza wa ligi kuu soka Tanzania Bara, nguvu zao zote wanazielekeza kwenye mechi ya kwanza ya mzunguko wa pili ambapo watakuwa nyumbani dhidi ya Mwadui FC.

''Baada ya kupata ushindi dhidi ya Tanzania Prisons, sasa tunakuja Dar es salaam kucheza na Green Worriors na baada ya hapo macho yetu yote yapo kwenye mchezo wetu wa kulipa kisasi dhidi ya Mwadui FC ambayo ilitufunga mabao 2-1 kwenye mechi ya kwanza'', amesema.

Katika mchezo wake wa kwanza wa ligi baada ya kupanda daraja msimu huu, Singida United ilianzia ugenini kucheza na Mwadui FC ambapo ilikubali kichapo cha mbaao 2-1. Wikiendi ijayo timu hizo zitaanza mzunguko wa pili na mechi yao itapigwa kwenye uwanja wa Namfua mjini Singida.

Kwa upande mwingine Singida United leo imeanza safari kuja jijini Dar es salaam kwaajili ya mchezo wake wa raundi ya tatu ya kombe la shirikisho ambapo itakutana na wababe wa Simba Green Worriors.

UVCCM Walikamata Gari la Meya wa Jiji

$
0
0
UVCCM Walikamata Gari la Meya wa Jiji
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Wilaya ya Kinondoni, Lilian Rwebangira amesema wamelikamata gari la meya wa jiji wa Dar es Salaam kwenye ofisi za CCM Wilaya ya Kinondoni likiwa na vijana wawili waliovaa sare za chama hicho tawala.

Rwebangira alidai kwamba kuonekana kwa gari hilo ni njama za Chadema kutaka kuvuruga uchaguzi wa Februari 17 na kwamba tayari wamefikisha suala hilo katika Kituo cha Polisi Magomeni ambako dereva wake anashikiliwa pamoja na gari hilo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Jumanne Murilo alithibitisha kukamatwa kwa gari hilo na kusema, “Gari lilikuwa linachunguzwa tangu jana, sasa muda mrefu umepita, sijui wamefikia wapi katika uchunguzi huo.”

Hata hivyo, uongozi wa Chadema umekanusha kula njama dhidi ya CCM na kusema kwamba hiyo ni mbinu za chama hicho tawala kutaka kuvuruga uchaguzi.

Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita hakupatikana mara moja kuzungumzia tukio hilo lakini Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), Patrick Ole Sosopi alisema kwamba jana usiku baada ya kikao cha tathmini Mwita alilalamika kwamba dereva wake haonekani.

Ole Sosopi alidai kwamba CCM wanataka kutengeneza mazingira ya kuvuruga uchaguzi huo kwa kisingizio kwamba Chadema ndiyo wameanzisha.

“Inawezekanaje dereva wa Chadema akaenda CCM! Kufanya nini? Wanajaribu ku pre-empty ili zikitokea fujo waseme ni sisi. Ninaomba jeshi la polisi wachukue hatua, kwa sababu hali hii haikubaliki,” alisema Sosopi.

Alidai kwamba dereva huyo alitekwa na watu wa CCM kuanzia saa tisa alasiri na akaachiwa saa kumi na moja alfajiri baada ya kumtesa.

Akizungumzia tukio hilo jana, mwenyekiti huyo wa UVCCM, alisema dereva huyo wa meya alikamatwa jana saa 2:30 usiku katika ofisi za CCM Kinondoni na alipoulizwa alitoa sababu tofautitofauti kwamba alikwenda kuegesha na sababu nyingine kuwa alimpeleka meya Mwita kwenye mkutano maeneo ya jirani.

“Tulipekua simu ya dereva na kubaini mawasiliano kati yake na meya wa jiji akimuuliza “Uko na nani hapo?”, “Mpango unakwendaje?”. Zote hizo ni njama za wenzetu kutaka kuvuruga uchaguzi, sasa tunaliomba jeshi la polisi lifanye kazi yake kwa haki,” alisema Rwebangira.

Alidai kwamba vijana wawili waliokuwa kwenye gari hilo walitoroka lakini walitambuliwa kwa jina moja moja la Godfrey na Alex na kwamba watalisaidia jeshi la polisi kuwapata kwa sababu wanafahamika kwa vurugu huko Kigamboni.

“Tumekuwa tukipokea taarifa kwamba ofisi ya meya inatumika vibaya. Hatuwezi kuacha mambo haya yakaendelea, lazima vyombo vyetu vya dola vichukue hatua,” alisema mwenyekiti huyo.

Wastara Afichua Siri Chanzo cha Ndoa Yake na Sadifa Kuvunjika "Mume Wangu Alitaka Hela za Michango"

$
0
0
Wastara Afichua Siri Chanzo cha Ndoa Yake na Sadifa Kuvunjika "Mume Wangu Alitaka Hela za Michango"
Msanii wa filamu bongo ambaye hivi karibuni amekuwa akipokea michango kutoka kwa watu mbali mbali kwa ajili ya matibabu, ameweka wazi moja ya sababu iliyofanya ndoa yake na kigogo wa CCM Sadifa Khamis kuvunjika baada ya muda mfupi.

Akizungumza na mwandishi wa www.eatv.tv, Wastara amesema mume wake huyo alionesha kutojali matatizo yake na badala yake kuweka pesa mbele, baada ya kudai risiti za matibabu aliyoenda kutibiwa India, kwa hela za michango ya watu mbali mbali, ili arudishiwe na bunge na ziingie mfukoni mwake.

Wastara amesema kitendo cha Sadifa kudai risiti hakikukifurahia, kwani pesa aliyokwenda nayo haikutoka mfukoni mwake, bali zilitoka kwa watu mbali mali wakiwemo Makamu wa Rais Mama Samia Suluhu, Msanii Alikiba, rafiki yake Sadifa na wengineo.


Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba, Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0

Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi?


Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521  

Grace Mugabe Uhenda Akakamatwa na Kushtakiwa

$
0
0

Grace Mugabe Uhenda Akakamatwa na Kushtakiwa
Kauli aliyotoa Rais Emmerson Mnangagwa wiki iliyopita kwamba Grace Mugabe hana kinga ya kushtakiwa imetafsiriwa kuwa huenda mke huyo wa kiongozi wa zamani Robert Mugabe akakamatwa.

Grace alijitengenezea maadui wengi wakati wa utawala wa mumewe ndiyo maana kauli ya Rais Mnangagwa imefungua milango ya kisheria kwa ajili ya kumshtaki mwanamama huyo aliyeogopwa sana Zimbabwe.

Katika mahojiano na Shirika la Habari la BBC alipokuwa kwenye mkutano wa mwaka wa Jukwaa la Uchumi Duniani (WEF) jijini Davos, Uswisi Mnangagwa alisema Grace hana kinga yoyote na anaweza kukamatwa na kushtakiwa mahakamani kwa mashtaka yoyote.

Mwanamitindo wa Afrika Kusini Gabriella Engels ambaye alipigwa na Grace kwa waya wa umeme ameongeza ameanzisha mapambano ya kisheria na anasema amepanga kumshtaki mwanamama huyo.

"Endapo ningepata fursa ya kuona ana rais wa Zimbabwe ningemuomba afanye jambo sahihi nalo ni la kumkabidhi Grace ashtakiwe," Engels aliliambia gazeti la The Standard jana.

Mwanasheria wa Engels inafanya kila liwezekanalo kuhakikisha Grace anapelekwa Afrika Kusini ili aweze kukabiliana na kesi ya kufanya shambulio.

"Tunafahamu kwa sasa hayuko mamlakani kwamba mumewe aliondolewa na kwamba serikali ya Zimbabwe imesema hajawekewa kinga ya kutoshtakiwa,” alisema mama yake  Engels.

"Kutokana na hali ilivyo sasa wanasheria wetu wanashughulikia suala hilo kuhakikisha haki inatendeka kwa mtoto wangu."

Darasa Afunguka Tuhuma za Kutumia Dawa za Kulevya

$
0
0
Darasa Afunguka Tuhuma za Kutumia Dawa za Kulevya
Msanii wa muziki Bongo, Darassa amefunguka undani wa ukimya wake ambao umekuwa ukihusishwa na matumizi ya dawa za kulevya.

Rapper huyo ameimbia Clouds Fm hakuna kitu kama hicho ila ni maneno ambayo yanavumishwa kutokana na ukubwa wa jina lake lakini haonekani katika mitandao na katika maeneo ya starehe.

“Nimefanya vitu vikubwa sana, kila mtu atataka kuona nafanya makeke katika mitandao ya kijamii, niko na mwanamke huyu, nipo klabu lakini siyo kitu ambacho nakifanya,” amesema Darassa.

“Sasa kwa sababu sifanyi hivyo na nilikuwa nimefanya kazi kubwa sana basi nitakuwa nimechanganyikiwa kama siyo nimechanganyikiwa nitakuwa navuta unga lakini sio kitu ninachofanya,” amesisitiza.

Darassa ameongeza kuwa watu wanaogopa vitu vyenye ukimya wakijua mshindo wake huwa ni mkubwa hivyo wanazusha mambo kama hayo. Toka August 12 mwaka jana, 2017 Darassa hajaposti chochote katika mtandao wake wa Instagram.

Niyonzima Ahofia Kiwango Chake Kupungua...Hajacheza Mpira Tangu Mwaka Jana November

$
0
0
Niyonzima Ahofia Kiwango Chake Kupungua
KIUNGO wa Simba, Mnya­ruanda, Haruna Niyonzima, amefunguka kuwa anahofia kupoteza kiwango chake kuto­kana na kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu.

Niyonzima alipatwa na mata­tizo ya enka na hajacheza mechi yoyote tangu Novemba, mwaka jana, baada ya kuumia mazoezini na kumsababisha kukosa mechi kadhaa za ligi kuu. Yupo nje ya uwanja hadi hivi sasa.

Akizungumza na Championi Jumatatu, Niyonzima alisema kuwa, anajisikia vibaya kuona anakaa nje kwa muda mrefu huku akikosa mechi za ligi, kwa kuwa mpira ndiyo kazi yake anayoitegemea kwa kuwa kukaa nje kuta­muathiri.

“Kama binad­amu mwingine, siwezi kujisikia vizuri kukaa nje ya kazi yangu kwa muda mrefu, kuta­niathiri mimi, maisha yangu ni mpira, kama sichezi mpira, nitajisikia vibaya zaidi ya una­vyofikiria kwa kuwa sina kazi nyingine zaidi ya mpira ambao ninautegemea.

“Timu yangu inanihitaji niweze kuisaidia na mimi ninahi­taji kuitumikia nisaidie kitu fulani, siwezi ku­furahi nipo nje sichezi mpira, furaha pekee niliyo nayo kwa sasa ni kutokana na kuona timu yangu inafanya vizuri kwenye ligi, lakini kuhusu hali yangu sijisikii vizuri kwa kweli.

“Sijajua bado nitarejea lini uwanjani kwa sababu bado naendelea na matibabu, namuomba Mungu anisaidie,” alisema Niyonzima.

Katika hatua nyingine, Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara, amethibitisha kuwa klabu hiyo itampeleka kiungo huyo nje ya nchi kwa ajili ya matibabu, baada ya kukamilisha taratibu zote ndani ya wiki hii.

Hata hivyo, Manara amesema nchi watakayompeleka kufany­iwa matibabu wataitangaza baadaye.

Diamond Platnumz Azungumzia Ukweli Kuhusu Mimba ya Mrembo Tunda...Afunguka Ukweli Wote

$
0
0
Diamond Azungumzia Ukweli Kuhusu Mimba ya Tunda
HATIMAYE msanii kutoka industry ya Bongo Fleva, Diamond Platinumz ameamua kuanika kuhusu tetesi za kumapachika uzauzito Video Vixen wa Bongo, Tunda.

Akifanya mahojiano maalum  Diamond amekanusha kumpachika mimba staa huyo na kudai kuwa hajawahi hata kutebea naye wala kuwa na mahusiano naye.

“Sio kila mwanamke mzuri ninatembea nae mimi tu, sijawahi kuwa na mahusiano na Tunda,” alisema Diamond.
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images