Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104670 articles
Browse latest View live

Picha ya Vanessa Yazua Jambo Mitandaoni...Adaiwa Kuwa Ana Mimba Changa

$
0
0
Leo January 30,2018 kupitia mitandao ya kijamii picha ya msanii Vanessa Mdee imechukua headlines baada ya kupata gumzo na wengi kuhisi labda huenda akawa mjamzito.

Kupitia picha hiyo maswali yamekuwa mengi kutoka kwa mashabiki na wengi kuanza hata kutoa pongezi baada ya picha hiyo kusambaa katika mitandao ya kijamii akiwa Kenya kwaajili ya uzinduzi wa album yake.

Vanessa Mdee kwa sasa yupo nchini Kenya kwa jailli ya uzinduzi wa album yake ya Money Mondays na kuipromote, Vanessa Mdee pamoja na kuwa picha hiyo imtrend na kudhaniwa kuwa ni mjamzito kwa upande wake hajasema chochote.

Zitto Kabwe Ataja Viongozi Ambao Atawateua ikitokea Amekuwa Rais wa Tanzania

$
0
0
Mchana wa leo January 30, 2018 kwenye ukurasa wa mtandao wa Twitter wa Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe ameandika watu ambao atawateua kushika nyadhifa mbalimbali za serikali kama atakuwa Rais wa Tanzania.

Ameandika kuwa atamchagua Mwanaharakati Maria Tsehai Sarungi kuwa Balozi wa Umoja wa Taifa huku Kaimu wake akiwa Mwanzilishi wa Nyama Choma Festival Carol Ndosi.

Amewataja pia Mbunge wa  Arumeru Mashariki Joshua Nassari na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mawasiliano ya Umma wa ACT-Wazalendo Ado Shaibu kuwa atawachagua kuwa Mawaziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Ulinzi wa Jamii na Biashara za Umma).

Zitto pia amewataja Mbunge wa Tarime Esther Matiko kuwa Waziri wa TAMISEMI, na Mbunge wa Viti Maalumu (CHADEMA) mkoa wa Geita Upendo Peneza kushika nafasi ya Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

Hata hivyo Zitto ameongeza kuwa ambaye atamteua kuwa Katibu Mkuu Kiongozi hamtaji jina lakini yeye mwenyewe anajijua.

Malisa GJ: Raila Odinga ni 'JASIRI', Uhuru Kenyatta ni 'MSHINDI'

$
0
0
Kuna mambo mawili ya kujifunza Kenya.

#Mosi; ni kuhusu Raila Odinga. Amekuwa jasiri, na mwenye msimamo thabiti wa kusimamia kile anachoamini hadi dakika ya mwisho. Ameongoza maelfu ya watu wake katika kuhitimisha safari ya "Kaanani". Kwenye kampeni aliwaambia wananchi wake atashinda, matokeo yalipotangazwa hakukubaliana nayo. Akawaaongoza watu wake kuyakataa. Na leo ameungana nao kujiapisha.

Bila kujali vitisho kutoka vyombo vya dola, bila kujali kuwa anaweza kushtakiwa kwa "uhaini" lakini amejivika ujasiri. Hili ni funzo kwa viongozi wengi wa vyama vya siasa barani Afrika. Sio unawaambia watu "pigeni kura matokeo niachieni mimi" lakini siku ya matokeo unajifungia ndani, halafu baada ya miaka miwili unaenda kupongeza juhudi. If people grant their trust on u, please learn to fight your battle to the last.

#Pili; ni kuhusu Rais Uhuru Kenyatta. Huyu ni kielelezo cha kiongozi wa mfano bora kabisa wa demokrasia duniani. Ameonesha "political maturity" ya hali ya juu sana. Kama ni soka huyu ndiye "man of the match" kwa leo.

Mwanzoni vyombo vya usalama vilitishia kusambaratisha kusanyiko hilo la Raila. Ni wazi wangefanya hivyo yangetokea machafuko makubwa sana nchini humo na huenda sasa hivi tungekua tunasambaza picha za majeruhi na marehemu na hashtag isemayo "Pray 4Kenya"

Lakini Uhuru ametumia hekima ambayo viongozi wengi wa Afrika wamekosa. Ameamua kuwaacha wafuasi wa Raila waridhishe mioyo yao. Wakati wafuasi wa Raila wanafika uwanjani tayari Askari walikua wametanda viwanjani hapo na silaha nzito. Uhuru alijua kwamba pamoja na kuzuia askari wasishambulie raia, lakini wafuasi hao wangeweza kuwachokoza askari na hatimaye kuzusha taharuki. Kwahiyo akaamua kuwaondoa askari wote uwanjani.

Hii ni busara ya hali ya juu sana. Sio viongozi wengine wamejaa mihemko wakiona tu watu wamekusanyika na tishert za "Pray4Somebody" wanaagiza wapigwe. Huku ni kuyatumia vibaya majeshi. Ukiona hata katuni unakasirika. Ebo.!! Kiongozi ni lazima ujifunze kuzuia mihemko yako. Mtu amepigwa risasi, watu wamekusanyika kwa amani ili wamuombee, unaagiza Polisi kuwasambaratisha kwa mabomu. Kama kusanyiko la kumuombea tu mtu linakupa mihemko, vp ukisikia kuna kiongozi anataka kujiapisha kama Raila?

Kuna wakati viongozi husababisha maafa bila sababu yoyote kwa kuvitumia vibaya vyombo vya ulinzi na usalama. Ni muhimu viongozi wa Afrika wajifunze busara ya Uhuru kwamba si lazima matumizi ya nguvu kila mahali. Uhuru anajua hamna Ikulu mbili, hakuna cabinet mbili, hakuna mabunge mawili. Anajua Raila amejiapisha kujifurahisha tu na kukata kiu ya wafuasi wake. Lakini at last atarudi nyumbani akale "gideri" na mke wake. Sasa kwanini ajihangaishe kupiga mabomu na kuua watu bure? This is the true meaning of democracy.

Salaam kwa Faru John.!

Malisa GJ.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Madogo?

$
0
0

KWA NINI BAADHI YA WANAUME WA NA MAUMBILE MADOGO?

Matatizo haya yame kuwa yakiwaathiri watu wengi sana kisaikolijia hasa baada ya kujiona tofauti sana na wenzao kwa kawaida mwanaume ana takiwa awe na uume kuanzia inch(6_8)vinginevyo mtu huyo atakuwa na matatizo. 

Zipo sababu nyingi zinazo sababisha tatizo hilo baadhi ni upungufu wa vichocheo (Hormones za Getrogen) Ambazo mwanaume akisha balehe vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume, chango husababisha NEVA ambayo huathiri misuri ya uume. Ngiri ambayo Huleta maumivu ya tumbo kuunguruma na kujaa guess, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri , miguu kufa ganzi, maumivu ya kiuno,upigaji wa punyeto sababu hizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembaba na mara kwa mara hipelekea kupunguka kwa nguvu za kiume na ham ya tendo la ndoa hukosekana na kuisha kabisa

NSUMBU:__Ni dawa dawa inayo zalisha hormones za Gestrogen na kufanya uume kukua na kuongezeka mara dufu. 

NZAGI :--Ni dawa bora ya kurudisha nguvu za kiume na kukupa hamu ya kurudia tendo la ndoa mara dufu utakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya mara nne
(4)bila hamu kuisha (kuchoka) dawa hii ni tiba kamili kwa matatizo hayo. Dawa hii pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk(15_30)kwa tendo moja la ndoa dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji kuanzia miaka(18_90)wana ruhusiwa kuzitumia Pia tunatibu KISUKARI, PRESHA, PUMU, MALARIA SUGU, MIMBA KUHARIBIKA(Chango) 

POWER :__Ni dawa ya mitishamba inaongeza hips, (makalio), miguu, ina punguza maziwa (chuchu). Ina toa harufu mbaya sehem za siri Nk. 

Pia anazo dawa za mvuto wa mapenzi,biashara, kurudishwa kazini, kumuita aliye mbali kwa mda mfupi tu

OSTADH JUMA ANAPATIKANA MBANGALA ZAKHIEM SIMU: 0769-597778 au 0784-002216 au 0627457957 Wote mnakaribishwa

Wanasheria Wamuunga Mkono Makonda Kuwasaidia Waliodhulumiwa Mali Zao

$
0
0
Wanasheria Wamuunga Mkono Makonda Kuwasaidia Waliodhulumiwa Mali Zao
Dhamira njema ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda kuamua kuwasaidia wanyonge walioteseka na kunyanyasika muda mrefu baada ya kudhulumiwa Mali zao walizochuma kwa Jasho imewafanya Wanasheria kuguswa na kuamua kujitokeza kusaidia jitiada hizo ili kuhakikisha haki ya mnyonge inapatikana pasipo kuvunja Sheria.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda akizungumza na wananchi hao.

RC Makonda amesema idadi ya Wanasheria imeongezeka kutoka 160 hadi kufikia 246 siku ya leo ambapo ameshukuru Uongozi wa Shule ya Wanasheria kwa Vitendo (Law school), Mawakili wa kujitegemea pamoja na Chama cha Mawakili (TLS) kwa kumuunga mkono na kuwaomba wanasheria wengine kujitokeza kuwasaidia wananchi.

Aidha RC Makonda ameshukuru jopo la wanasheria wanaohudumu kwenye Zoezi hilo kwa umakini na huduma nzuri wanayotoa kwa wananchi waliojitokeza kitendo kinachowapa faraja wananchi ambao wametaabika kwa miaka mingi kutafuta haki yao.

RC Makonda amesema lengo lake ni kuhakikisha kila mwananchi aliefika na kupata namba anasikilizwa kwa umakini chini ya jopo la wanasheria makini wasiopungua Saba.


Baadhi ya wananchi akiwemo Mzee Paul Kiakaisho yeye anasema ameteseka kwa miaka Saba akitafuta haki baada ya kutapeliwa nyumba na alipowatafuta mawakili walimwambia ili waweze kumsimamia apate haki anapaswa kulipa million tano ambayo kwa Hali yake ngumu ya maisha Hakuwa na uwezo hivyo amemshukuru RC Makonda kutenga siku tano za kusikiliza Wananchi Bure.

Zoezi la kutoa msaada wa kisheria kwa wananchi waliodhulumiwa haki zao linaendelea hadi ijumaa ya February 02 likihusisha wenye malalamiko ya Kudhulumiwa Nyumba, Viwanja, Mirathi, Kazi, Magari,waliodhulumiwa kampuni zao,waliopata ulemavu makazini pasipo kulipwa,waliobakwa na kupoteza maisha pamoja na utapeli wa kukusanya Hati kama mkopeshaji kisha kuchukuwa mkopo Bank na kukimbia baadae Watu wanauziwa

Kuolewa Mke wa Pili si Dhambi- Tausi Mdegela

$
0
0
Kuolewa Mke wa Pili si Dhambi- Tausi Mdegela
KOMEDIANI matata wa Bongo Movies, Tausi Mdegela amefunguka kuwa, ikitokea akapata mwanaume wa kumuoa, hata kama ana mke haina shida kuolewa mke mwenza au wa pili kwani kama ni Muislam, dini inaruhusu.


Tausi alifunguka hayo juzikati baada ya kuzagaa kwa habari kwamba anatarajia kuolewa na mwanamuziki wa Taarab, Prince Amigo na kueleza kuwa, siyo kweli, bali ilikuwa ni kava la wimbo wake, lakini ikitokea amepata mwanaume, yupo tayari kuolewa mke wa pili.

“Kuolewa mke wa pili siyo dhambi, ikitokea nimepata wa kunioa, hata kama ni mke wa pili, sioni shida ilimradi awe Muislam kwa kuwa dini inamruhusu,” alisema Tausi.

Hizi Ndivyo Wema, Mobetto na Tunda Wanavyozungukana kwenye Penzi la Diamond

$
0
0
Hizi Ndivyo Wema, Mobetto na Tunda Wanavyozungukana kwenye Penzi la Diamond
Mambo ni moto! Habari ya mjini inayotrendi ni kitendo cha staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu kuonekana akioneshana mahaba shatashata na zilipendwa wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ambacho kimeamsha ‘vilivyolala’.

Wema na Diamond ‘walifanya yao’ wikiendi iliyopita kwenye ‘iventi’ ya Wasafi Classic Baby (WCB) kumsaini msanii mpya katika lebo yao, Mbwana Yusuf Kilungi ‘Marombosso au ‘Mbosso’ iliyofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Nyota Tano ya Hyatt Regency Dar es Salaam, The Kilimanjaro iliyopo Posta jijini Dar kisha kujiachia kwenda kwenye Klabu ya Maisha Basement, Kijitonyama, usiku huohuo.

Kufuatia tukio hilo, wakali wa ubuyu walilidokeza Risasi Mchanganyiko kuwa, kwa muda mrefu sasa kumekuwa na skendo ya mastaa wa kike, Wema, Video Queens, Tunda Sebastian na Hamisa Mobeto kudaiwa kuzungukana kwa jamaa huyo.

Chanzo makini kilimwaga ubuyu kuwa, kabla ya Mobeto kutangaza kubeba ujauzito wa Diamond kisha kujifungua mtoto wa kiume, Prince Dully kulikuwa na ‘unyunyuz’ kuwa, Wema alikuwa akionekana nyumbani kwa jamaa huyo, Madale-Tegeta, Dar.


Mobeto.



Hata hivyo, Wema na Diamond ambao walikuwa wapenzi wa kukata na shoka kabla ya kumwagana, walikanusha kwa nguvu zote kuwa hawakuwa wamerudiana.

Chanzo hicho kiliendelea kutiririka kuwa, jambo hilo lilisababisha kuwepo kwa msuguano mkali kati ya Wema na mzazi mwenza wa Diamond, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’.

MOBETO

Msuguano huo ulimalizwa na skendo ya Diamond kuzaa na Mobeto ambapo sasa Zari na timu yake waliachana na Wema na kuhamishia mashambulizi kwa Mobeto.

Katika maelezo yake, Diamond alikiri kumsaliti Zari na kuzaa na Mobeto.

TUNDA

Ilisemekana kuwa, wakati mambo yakiwa ni moto kati ya Mobeto na Zari, ghafla upepo ulibadilika baada ya kuibuka kwa skendo mpya kuwa, Tunda naye anatoka na Diamond.


Tunda



Ilidaiwa kuwa, kwa nyakati tofauti, Tunda alionekana nyumbani kwa Diamond, Madale-Tegeta, Dar na kujiachia na jamaa huyo kwenye klabu mbalimbali za usiku ikiwepo Elements iliyopo Masaki, Dar.

“Kama hiyo haitoshi, mambo yalipamba moto zaidi baada ya kuwepo kwa ubuyu kuwa Tunda naye ana mimba ya Diamond,” kilidai chanzo hicho kilichoomba hifadhi ya jina.

Alipobanwa na gazeti damu moja na hili, Ijumaa Wikienda juu ya kuwa na uhusiano na kubeba mimba ya Diamond, Tunda alidai kuwa jamaa huyo ni sawa na kaka yake, lakini akakiri kuwa na mimba.

WEMA

Katika tukio la wikiendi iliyopita, Wema alibanwa na Global TV Online juu ya uhusiano wake na Diamond ambapo alisema: “Utoto umekwisha, tunasapotiana na hatutaacha kufanya hivyo. Najua watu wanasema kwa sababu ‘kapo’ yetu ilikuwa gumzo mno kwa mashabiki wetu.”


DIAMOND

Kwa upande wake Diamond, alipoulizwa juu ya uhusiano wake na Wema na kwamba ilikuwaje hadi akamwalika kwenye tukio hilo alisema:

“Mimi ndiye niliyempigia simu nikamuomba aje kwenye iventi yetu na amekuja, hakuna ubaya, amekuja kutusapoti, kunakuwa na mambo mengi kwa sababu tulikuwa wapenzi zamani, lakini kwa sasa tunapeana sapoti ya kazi zetu tu.”

Kuhusu Tunda na Mobeto, Diamond alisema: “Kuhusu Tunda…yupo hapa, niliwaalika wote, nimemuona yumo…oya Tunda hebu njoo (akapotezea).

“Hivi ina maana kila mtoto mzuri mimi nina…(akimaanisha anakuwa naye kimapenzi), si kweli…”

“Kuhusu Mobeto, kama nilivyosema, niliwaalika wote , lakini hajafika.”

KIFUATACHO…

Kufuatia kilichojiri kati ya Diamond na Wema kisha kusambaa kwa picha za video na mnato, wafuatiliaji wa mambo ya ubuyu wanadai kuwa, kwa vyovyote Wema atakuwa amemtibua upya Zari hivyo anatarajiwa kujibu mapigo muda wowote.

Aunt Ezekieli, Tunda na Iyobo Kimenuka Wamwagiana Mvua ya Matusi Mitandaoni

$
0
0
Aunt Ezekieli, Tunda na Iyobo Kimenuka  Wamwagiana Mvua ya Matusi Mitandaoni
Moja kati ya stories zinazotrend katika mitandao ya kijamii leo Jumanne ya January 30 2018 ni post ya Tunda ambapo alipost picha yake katika ukurasa wake wa instagram na baadae Aunt Ezekiel kumjibu kwa kucomment.

“Afu na wewe Mose kweli unakaa chini unaandika upuuzi kama huo kama kweli ni wewe umeandika basi huna uso wa haya!….inawezekana pia Aunt ndo umejiandikilisha🤣ivi wewe Moze huna haya NAKUULIZA SWALI MOJA TU KWANINI ULINIBLOCK KUPIGA KIPINDI ANT AMEANZA KUNIULIZA KUHUSU HELA KWANINI YANI UNIBLOCK”-Tunda

“KWANINI HUKUTAKA NIKUULIZE IMEKUAJE HELA HAIJAFIKA DUKANI SIKIENI NYIE NITOLEENI UJINGA WENU HAPA WATU WAZIMA MLIOKOSA BUSARA NA AKILI YANI KABISA MIMI NIGOMBANE NA WEWE KISA LAKI KWELI HATA KAMA NINGEKUA SINA HELA SIWEZI KOSA LAKI YA KULIPA KWA HIYO MSITAFUTE STORY”-Tunda

“MMEMISI KUWEKWA FRONTPAGE KWENYE MAGAZETI MSINILETEE WAZIMU WENU AFU NINA SWALI KWANINI VIBENTEN VINAKUAGA NA MKONO MREFU YANI KABISA MOZE UMEONA NI BORA WATU WAGOMBANE KULIKO KUSEMA HELA ULICHUKUA KWA MATUMIZI MENGINE SHOGA WEWE !..Unantaka sio bure sina desturi ya kutembea na madancer🤪”-Tunda

“Una lako lingine nje ya pombe hilo linajulikana …wala hunisumbui JIBU NI LILE LILE ONGEA NA BENTEN WAKO AKUAMBIE HELA ALIPOPELEKA”-Tunda

Baada ya majibizano yaliyokuwa yakiendelea kati ya Tunda na Aunty Ezekiel , Mose Iyobo akaamua kumjibu Tunda kwa kuandika “Ujinga ni kubishana na mtu ambae kashafanya kila kitu ambacho wewe unafanya leo kama marudio unachotakiwa useme tu sina hiyo hela nitalipa siku flani”-Mose Iyobo

“Sio kuanza kuongea ushamba mke wangu awezi kutafuta kiki kwako ana mtoto maarufu kushinda wewe./kingine ben ten ni baba yako aliekuzaa akashindwa kukupeleka shule umeishia kufumuliwa free unakosa laki yakulipa pombe.”-Mose Iyobo





Hawa Hapa Viongozi Waliowahi Kujiapisha Kama Odinga

$
0
0
Hawa Hapa Viongozi Waliowahi Kujiapisha Kama Odinga
Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga Jumanne aliapishwa kuwa 'rais wa wananchi' nchini humo baada ya kusema hatambui ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta katika uchaguzi wa marudio uliofanyika nchini humo Oktoba mwaka jana.

Mgombea mwenza wake Kalonzo Musyoka wa chama cha Wiper hakujitokeza kwa sherehe hiyo ya kuapishwa, ingawa alikuwa miongoni mwa waliotarajiwa kuapishwa.

Waziri mkuu huyo wa zamani hayuko peke yake katika kujaribu kujitangaza marais, kukiwa bado kuna rais mwingine madarakani.

Wengine ni akina nani?
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Etienne Tshisekedi, Nigeria Moshod Abiola, Uganda Kiza Besigye na Jean Ping wa Gabon ni miongoni mwa viongozi wa upinzani wa Afrika ambao wamejaribu kujitangaza kuwa marais, na sasa Raila Odinga amejiunga na orodha hii.


Etienne Tshisekedi alikuwa kiongozi mkuu wa upinzani, wakati wa utawala wa Rais Mobutu Sese Seko Zaire, na baadaye Laurent Kabila Joseph Kabila wa DRC

Kufanana kati ya Tshisekedi na Odinga ni kwamba wote wawili walikuwa kizuizini bila kufunguliwa mashtaka, wote walihudumu kama mawaziri wakuu na wote waligomea uchaguzi wa urais;
Mwezi Novemba 2011, Tshisekedi alijitosa kwenye kinyang'anyiro dhidi ya mtoto wa Laurent Kabila, kisha aliamua kujiandalia kiapo mwenyewe na kuapishwa nyumbani kwake na mkuu wa watumishi wake Albert Moleka baada ya jaribio la kujiapisha katika uwanja wa Wahanga, Kinshasa kutibuka. Baadaye, aliwekwa katika kizuizi cha nyumbani.

Nigeria, Moshood Abiola alijitangaza mwenyewe kuwa rais kipindi ambacho Rais Sani Abacha alipokuwa madarakani.

Hii ni baada ya kutembelea nchi nyingi za Magharibi, kutafuta msaada ili kumkabili Abacha katika utawala wake.

Alikamatwa na kushtakiwa kwa uhaini na kufungwa jela kwa miaka minne hadi ilipofika mwaka 1995, Siku aliyoachiwa kutoka gerezani, alikutana na ujumbe wa Marekani na kuhuduria mkutano.

Baada ya kupewa chai akiwa mkutanoni alianguka na kuzimia na hatimaye kufariki dunia.

Mwaka 2016 Gabon, kiongozi wa upinzani Jean Ping alijitangaza mwenyewe kuwa rais na kutoa wito kura kurudiwa kuhesabiwa kwa kura ambazo zilithibitisha kwamba Ali Bongo ameshinda.

Hata hivyo dunia nzima alijua kwamba Ping ndiye alikuwa rais wa nchi hiyo

Kizza Besigye
Kizza BesigyeHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Nchini Uganda Kiongozi wa upinzani Kizza Besigye, ambaye ni mpinzani wa muda mrefu wa Rais Yoweri Museveni, kupitia kanda ya video alionekana akifanya sherehe za kula kiapo kuwa Rais wa Uganda baada yake kushindwa uchaguzini mwaka 2016 na Bw Museveni.




Familia ya Lissu Imelitaka Bunge Kutoa Fedha za Matibabu ya Lissu

$
0
0
Familia ya Lissu Imelitaka Bunge Kutoa Fedha za Matibabu ya Lissu
FAMILIA ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), imelitaka Bunge kutoa fedha za matibabu yake kama halitaki mtunga sheria wake huyo akafukuzwe hospitalini alikolazwa.


Lissu amelazwa katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha Luvein nchini Ubelgiji tangu mapema mwezi huu baada ya kutibiwa Hospitali ya Nairobi nchini Kenya kwa miezi minne.

Msemaji wa familia ya Lissu, wakili Alute Mughwai, aliwaeleza waandishi wa habari ofisini kwake jana kuwa miezi ni mitano sasa Lissu hajapata stahiki zake kimatibabu kama Mbunge.

“Tumemaliza miezi mitano tangu kutokea kwa tukio la kushambuliwa kwa Lissu na Bunge kama taasisi limeshindwa kutoa fedha za matibabu kwa mwenzao," alisema Mughwai.

“Sasa Lissu atalaumiwaje? Akilia Mungu wangu mbona umeniacha, Bunge langu mbona limeniacha... au wanataka afukuzwe hapo hospitalini kwa kukosa fedha za matibabu?

“Mpaka sasa hatujui kinachoendelea. Tunaweza kusema ni siasa au kwa namna nyingine tunaweza kutafsiri kuwa sababu Lissu ni mkosoaji mzuri wa serikali bungeni.

“Waheshimiwa hawa wanataka mwenzao kuwa kilema au kupoteza maisha? Cha msingi wanapaswa kutoa haki za msingi ambazo sisi tumeona zinacheleweshwa kwa makusudi.”

Bunge lilishasema hata hivyo kwamba Lissu alifuata matibabu nje ya nchi kinyume na utaratibu wa bima ya afya ya wabunge, hivyo kuwa kikwazo cha kuhudumiwa kwake.

Lissu (49) alipigwa risasi tano na watu wasiojulikana akiwa kwenye gari nyumbani kwake Area D mjini Dodoma Septemba 7, mwaka jana. Jumla ya risasi 32 zilirushwa na watu hao kwa mujibu wa taarifa za Bunge.

Akizungumzia mawasiliano ya familia na ofisi ya Bunge, alisema Desemba 15, mwaka jana, alitoa mrejesho kwa vyombo vya habari kuhusu barua waliyoandikiwa na Katibu wa Bunge ikiwataka familia hiyo kutoa ufafanuzi wa haki zipi ambazo Lissu anatakiwa kupewa na Bunge.

Alisema waliandika barua ya kuomba ufafanuzi huo, Desemba 13, mwaka jana, na barua hiyo ilipokelewa na Ofisi ya Bunge Desemba 18, mwaka jana na ilipokelewa kwa njia ya barua za haraka ya DHL.

“Tulichoomba ufafanuzi ni kuhusu fedha za matibabu, stahiki za usafiri wa kwenda nje ya nchi pamoja na posho ya kujikimu kwa yule anayemuangalia hospitalini," alisema.

“Bunge ilitoa majibu Desemba 10, mwaka jana, kupitia kwa Katibu wa Bunge ambapo alidai kuwa barua hiyo iliwaelekeza kurudia utaratibu wa kufuata utaratibu ambao bunge linatumia kwa ajili ya matibabu ya wabunge pindi wabunge wanapokwenda kupewa matibabu,” alisema.

Aidha alisema baada ya kurudia kufanya marekebisho ya barua hiyo, Katibu wa Bunge aliwajibu Januari 10, mwaka huu, kuwa Wizara ya Afya imeunda timu ya madaktari bingwa kwenda Nairobi kumuangalia Lissu wakati wakitambua kuwa mbunge huyo Januari 6, mwaka huu, alishasafirishwa kwenda nje ya Afrika kwa ajili ya matibabu.

Akizungumzia afya ya Lissu, Mughwai alisema kwa sasa anaendelea vizuri na mazoezi ya viungo, ili kuimarisha afya yake.

Alisema aliwasiliana na Lissu Jumapili ambapo alimweleza anaendelea vizuri na mazoezi akiwa anafanya mara tatu kwa siku.

Alisema mazoezi anayofanyishwa kwa sasa ni kupanda ngazi sita na kuvuta vitu vizito.

Aidha alidai kwa mguu ambao ulipata majeraha makubwa unaweza kustahimili kusukuma kitu chenye uzito kwa kilo 25 na kwamba mazoezi yataendelea hadi hapo atakapo kuwa vyema kiafya.

KIASI CHA FEDHAOktoba 17, mwaka jana, wakati Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe alipokutana na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuzungumzia hali ya afya ya Lissu, alisema kiasi cha fedha kilichokuwa kimepatikana hadi Oktoba 12 kutokana na michango ya wadau waliopo ughaibuni kilikuwa Dola za Marekani 29,700 (Sh. milioni 64.9).

Katika mkutano wake huo wa Oktoba 17, Mbowe alisema kuwa tangu alipolazwa Septemba 7 hadi Oktoba 12, Lissu alikuwa amefanyiwa operesheni 17 na matibabu yake yalikuwa yamegharimu Sh. milioni 412.

Katika shambulio hilo ambalo limelaaniwa na watu wengi wa ndani na nje ya nchi, akiwamo Rais John Magufuli, Lissu alivunjika mguu wa kulia, mkono wa kushoto na nyonga.

Baada ya tukio hilo, Lissu aliwahishwa katika Hospitali ya Rufani ya Mkoa wa Dodoma ambako alipatiwa matibabu ya awali kabla ya kusafirishwa kwenda Kenya kwa ajili ya matibabu zaidi.

Taarifa za awali zilidai watu waliompiga risasi walikuwa wakimfuatilia kutoka bungeni, na kwamba walikuwa wakitumia gari nyeupe aina ya Nissan Patrol.

Hadi sasa polisi haijamkamata mtu yeyote kuhusiana na shambulio hilo.

Kibaka Amuingiza Mjini Pluijm Wamuibia Mkoba wa Fedha

$
0
0
Kibaka Amuingiza Mjini Pluijm Wamuibia Mkoba wa Fedha
MUDA mchache baada ya kushuhudia timu yake ikipata bao la pekee katika dakika za nyongeza dhidi ya Tanzania Prisons juzi, Kocha wa Singida United, Hans van der Pluijm, alijikuta akiingizwa mjini na vibaka kwa kuibiwa mkoba wa fedha wakati akishangilia bao hilo.

Pluijim aliibiwa mkoba huo uliokuwa na simu aina ya Sumsung Pro 9 yenye thamani ya Sh. 1,575,700,  pochi ('wallet'), leseni ya udereva kwa nchi mbili Tanzania na Ghana, fedha za Dola 100 za Marekani, fedha taslimu Sh. 200,000 za Tanzania na funguo za gari lake aina ya Prado.

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Isaya Mbughi, alisema baada ya ushindi huo, mashabiki walishangilia sana kiasi cha mhalifu kutumia mwanya huo kuiba mkoba wa kocha huyo hivyo kulazimika kuripoti polisi na msako mkali kuanza.

Askari wakiongozwa na taarifa za kitengo cha makosa ya mtandao kwa kutumia namba ya simu ya Pluijim iliyokuwamo kwenye mkoba, walifanikiwa kupata begi hilo likiwa limetupwa eneo la mtaa wa Kindai baada ya mwizi kubaini anafuatiliwa na polisi. 

Mbughi alisema kweye mkoba huo polisi walifanikiwa kukuta vitu vyote isipokuwa fedha ambazo mwizi alitoweka nazo.

Pluijim alipatiwa vitu vyake vyote isipokuwa fedha, lakini amesema Jeshi la Polisi linaendelea na msako kumbaini aliyehusika na uhalifu huo.

Aidha, jeshi hilo limetahadharisha wapenzi na mashabiki wa soka kujihadhari dhidi ya wezi wanaoingia uwanjani kwa nia mbaya huku wakikusudia kufanya uhalifu wakati wa kushangilia ushindi au bao linapofungwa.

Katika mchezo huo Singida United ilipata bao pekee dakika sita za nyongeza kupitia kwa kiungo mshambuliaji, Elinywesia Sumbi, ‘Msingida’ aliyeingia uwanjani dakika ya 78 kuchukua nafasi ya Deus Kaseke.

 Chanzo Nipashe

Rosa ree Afunguka "Sina Mahusiano ya Kimapenzi na Young Dee"

$
0
0
Rosa ree Amkana Young Dee Amchana Kweupe "Sina mahusiano ya kimapenzi na Young Dee" Tazama Video Hapa chini:

Mess Ampa Ahadi David Beckham

$
0
0
Mess Ampa Ahadi David Beckham
Baada ya nyota wa zamani wa Manchester United na Real Madrid David Beckham kutangaza kuwa yupo mbioni kuanzisha klabu ya soka, nyota wa Barcelona Lionel Messi amempongeza.


Messi ametoa pongezi hizo kupitia video fupi ambapo pia amemwambia Beckham kuwa huenda miaka michche ijayo akaungana naye kuchezea klabu hiyo.

''Kwanza nikupongeze sana kwa hatua hiyo mpya unayoianzisha, naamini kila kitu kitakwenda sawa, na huwezi jua miaka michache ijayo naweza kupokea simu kwaajili ya kuchezea klabu hiyo'', ameeleza Messi katika video hiyo.

Hivi karibuni nyota huyo aliyekipiga na vilabu kadhaa ikiwemo AC Milan na PSG ameweka wazi kuwa tayari wazo lake la kuanzisha timu itakayoshiriki ligi kuu ya Marekani (MLS) ameshaanza kulifanyia kazi na makao makuu ya timu hiyo yatakuwa jijini Miami.

David Beckham ambaye ni raia wa Uingereza alicheza kwa mafanikio katika soka ngazi ya klabu kabla ya mwaka 2007 kutimkia nchini Marekani kwenye klabu ya LA Galaxy.

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

$
0
0

SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670 

Serikali ya Kenya Yapiga Marufuku Kundi la NRM la Raila Odinga..Lawekwa Kundi Moja na Al Qaeda

$
0
0

KENYA: Serikali kupitia Waziri wa Usalama, Dkt Fred Matiang’i amepiga marufuku kundi la na National Resistance Movement (NRM) lililopo chini ya Muungano wa Upinzani (NASA)
-
Kundi hilo liliundwa baada ya Raila Odinga kususia uchaguzi wa marudio na limekuwa katika harakati za kuipinga Serikali na kuhimiza watu kususia bidhaa za makampuni ambayo yanadaiwa kuwa upande wa Serikali
-
Waziri huyo wa Usalama ameliweka kundi la NRM kwenye orodha moja na makundi ya kigaidi kama Al Shabaab na Al Qaeda

Watuhumiwa Waliovua Nguo na Kugoma Kuingia Mahakamani Wahakumiwa Miezi 6 Jela

$
0
0

ARUSHA: Watuhumiwa 24 wa kesi ya ugaidi wamehukumiwa kifungo cha miezi 6 jela kwa kosa la kuvua nguo na kugoma kuingia mahakamani kusikiliza kesi inayowakabili.
-
Watuhumiwa walitenda kosa hilo Januari 17 kupinga kucheleweshwa kwa upelelezi wa kesi inayowakabili
-
Hakimu wa kesi hiyo, Nestory Baro amesema ametoa hukumu hiyo ili iwe fundisho kwa wengine watakaoonyesha vitendo hivyo alivyoviita sio vya kistaarabu
-
Baada ya hukumu hiyo baadhi ya watuhumiwa walivua tena nguo walipokuwa wanapandishwa kwenye gari kupelekwa gerezani

Mrembo Tunda Aomba Msamaha Baada ya Video Kuvuja Akipigana Busu na Mume wa Mtu Live

$
0
0

Mrembo Tunda aomba Msamaha kwa mashabiki na Mke wa Kinje Kisa Video Zinazosambaa Mtandaoni wakipigana Madenda.... Adai Matukio ni ya zamani sio sasa.

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0
DAWA BORA ZA NGUVU ZA KIUME NA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatinzo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurundia tendo kwa haraka Sasa inakuletea suluhisho juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za FULL POWER

Full Power dawa asili yenye vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume dawa hii inamchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hernone za gestro gen zikiwemo vitamin b6 na b1 vitamin e pamoja na madini aina ya zinc

Itakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wakufanya tendo la ndoa zaidi hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20/30 ZAT 50

Inarundisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha nchi 3/7 na upana cm 3/4 standard.kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote pia anatibu matatizo mengine kama presha kisukari ngiri chango la tumbo kujaa gesi kutopata choo vizuri minguu kuwaka moto matatizo ya uzazi bawasili na magonjwa ya zinaa kama kisonono na kaswende

Tunapatikana Dar es Salaam  na mikoan wasiliana na DR Oshinda no 0755505099 au 0714126118  Karibuni kwa hunduma bora

Kimenuka Kenya...Raila Odinga Hatarini Kushtakiwa kwa Uhaini

$
0
0
MAMLAKA za Kenya, jana zilizima vituo vya televisheni kuzuia matangazo 'live' ya sherehe za kuapishwa kwa kiongozi wa upinzani, Raila Odinga, ambaye alisusia uchaguzi wa marudio wa mwaka jana uliobishaniwa.

Alijitangaza kuwa "rais wa watu" mbele ya maelfu ya wafuasi wake katika mji mkuu wa Nairobi.

Matokeo ya uchaguzi mkuu wa Agosti, mwaka jana, yalibatilishwa kutokana na  madai ya ukiukwaji wa kanuni.

Uhuru Kenyatta alishinda uchaguzi wa marudio Oktoba, lakini Odinga hakushiriki, hivyo Kenyatta aliapishwa kuongoza muhula wa pili Novemba, mwaka jana.

Alivionya vyombo vya habari kutotangaza shughuli ya jana na mwanasheria wa serikali alisema kufanya hafla hiyo ni kosa la uhaini.

Hata hivyo, vituo vikuu vya TV vilionyesha tukio hilo kupitia mitandao yake ya kompyuta, kwenye YouTube na Facebook.

Akiwa ameshika Biblia mkono wake wa kulia katika bustani ya jijini Nairobi, Odinga alitangaza kuwa anajibu "wito wa ngazi ya juu kuchukua ofisi ya rais wa watu wa Jamhuri ya Kenya."

Watu wamechoshwa na wizi wa kura katika uchaguzi na tukio hilo lilikuwa hatua kuelekea ujenzi wa demokrasia sahihi katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki, Odinga aliuambia umati uliokuwa ukishangilia.

Aliyekuwa mgombea mwenza wake, Kalonzo Musyoka, hakuwapo kwenye hafla hiyo. Odinga alisema ataapishwa siku nyingine.

Akizungumza awali na televisheni ya Kenya ya KTN, Odinga alisema kufungwa kwa vyombo vya habari "kumethibitisha kuwa tumeporomoka kufikia kiwango cha Uganda", ambayo ilisimamisha matangazo ya vyombo vya habari wakati wa uchaguzi mwaka 2016.

"Kuapishwa kwake" kulikuwa na lengo la "kuonyesha dunia kuwa tunachofanya ni halali kisheria, kikatiba na kitu ambacho huwezi kukielezea hata kidogo kuwa mapinduzi", alisema zaidi.

Vituo vitatu binafsi vya televisheni - NTV, KTN na Citizen TV - vilizima matangazo kuanzia saa 3:10 asubuhi.

Citizen TV iliiambia BBC kuwa mamlaka za serikali ziliwalazimisha kuzima matangazo kutokana na mipango ya kuonyesha mkusanyiko huo.

Watazamaji wa KTN walishuhudia vioo vya luninga zao vikishika rangi nyeusi wakati mtangazaji akisoma taarifa kutihibitisha kuwa mamlaka ya mawasiliano ilikuwa ikizima matangazo.

Kuzimwa kwa 'signo' ya matangazo ya vyombo vya habari si jambo la kawaida hapa Kenya.

Palikuwa na wasiwasi jana huku baadhi ya shule katika mji mkuu wa Kenya zikifungwa kwa sababu ya tukio hilo, na watu kutojua nini kingetokea.

Polisi awali walizingira viwanja hivyo, lakini baadaye wakaondoka.

Chanzo: BBC

Maskini...Familia Yahofia Tundu Lissu Kufukuzwa Hospitali

$
0
0
Familia ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), imelitaka Bunge kutoa fedha za matibabu yake kama halitaki mtunga sheria wake huyo akafukuzwe hospitalini alikolazwa.

Lissu amelazwa katika Hospitali ya Chuo Kikuu cha Luvein nchini Ubelgiji tangu mapema mwezi huu baada ya kutibiwa Hospitali ya Nairobi nchini Kenya kwa miezi minne.

Msemaji wa familia ya Lissu, wakili Alute Mughwai, aliwaeleza waandishi wa habari ofisini kwake jana kuwa miezi ni mitano sasa Lissu hajapata stahiki zake kimatibabu kama Mbunge.

“Tumemaliza miezi mitano tangu kutokea kwa tukio la kushambuliwa kwa Lissu na Bunge kama taasisi limeshindwa kutoa fedha za matibabu kwa mwenzao," alisema Mughwai.

“Sasa Lissu atalaumiwaje? Akilia Mungu wangu mbona umeniacha, Bunge langu mbona limeniacha... au wanataka afukuzwe hapo hospitalini kwa kukosa fedha za matibabu?

“Mpaka sasa hatujui kinachoendelea. Tunaweza kusema ni siasa au kwa namna nyingine tunaweza kutafsiri kuwa sababu Lissu ni mkosoaji mzuri wa serikali bungeni.

“Waheshimiwa hawa wanataka mwenzao kuwa kilema au kupoteza maisha? Cha msingi wanapaswa kutoa haki za msingi ambazo sisi tumeona zinacheleweshwa kwa makusudi.”

Bunge lilishasema hata hivyo kwamba Lissu alifuata matibabu nje ya nchi kinyume na utaratibu wa bima ya afya ya wabunge, hivyo kuwa kikwazo cha kuhudumiwa kwake.

Lissu (49) alipigwa risasi tano na watu wasiojulikana akiwa kwenye gari nyumbani kwake Area D mjini Dodoma Septemba 7, mwaka jana. Jumla ya risasi 32 zilirushwa na watu hao kwa mujibu wa taarifa za Bunge.

Akizungumzia mawasiliano ya familia na ofisi ya Bunge, alisema Desemba 15, mwaka jana, alitoa mrejesho kwa vyombo vya habari kuhusu barua waliyoandikiwa na Katibu wa Bunge ikiwataka familia hiyo kutoa ufafanuzi wa haki zipi ambazo Lissu anatakiwa kupewa na Bunge.

Alisema waliandika barua ya kuomba ufafanuzi huo, Desemba 13, mwaka jana, na barua hiyo ilipokelewa na Ofisi ya Bunge Desemba 18, mwaka jana na ilipokelewa kwa njia ya barua za haraka ya DHL.

“Tulichoomba ufafanuzi ni kuhusu fedha za matibabu, stahiki za usafiri wa kwenda nje ya nchi pamoja na posho ya kujikimu kwa yule anayemuangalia hospitalini," alisema.

“Bunge ilitoa majibu Desemba 10, mwaka jana, kupitia kwa Katibu wa Bunge ambapo alidai kuwa barua hiyo iliwaelekeza kurudia utaratibu wa kufuata utaratibu ambao bunge linatumia kwa ajili ya matibabu ya wabunge pindi wabunge wanapokwenda kupewa matibabu,” alisema.

Aidha alisema baada ya kurudia kufanya marekebisho ya barua hiyo, Katibu wa Bunge aliwajibu Januari 10, mwaka huu, kuwa Wizara ya Afya imeunda timu ya madaktari bingwa kwenda Nairobi kumuangalia Lissu wakati wakitambua kuwa mbunge huyo Januari 6, mwaka huu, alishasafirishwa kwenda nje ya Afrika kwa ajili ya matibabu.

Akizungumzia afya ya Lissu, Mughwai alisema kwa sasa anaendelea vizuri na mazoezi ya viungo, ili kuimarisha afya yake.

Alisema aliwasiliana na Lissu Jumapili ambapo alimweleza anaendelea vizuri na mazoezi akiwa anafanya mara tatu kwa siku.

Alisema mazoezi anayofanyishwa kwa sasa ni kupanda ngazi sita na kuvuta vitu vizito.

Aidha alidai kwa mguu ambao ulipata majeraha makubwa unaweza kustahimili kusukuma kitu chenye uzito kwa kilo 25 na kwamba mazoezi yataendelea hadi hapo atakapo kuwa vyema kiafya.
Viewing all 104670 articles
Browse latest View live




Latest Images