Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104745 articles
Browse latest View live

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

$
0
0
SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670


ILANI Aliyosaini Dk. Kigwangalla Leo Kuhusu Waliovamia kiwanja cha Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kilichopo Njiro, Jijini Arusha

$
0
0
ILANI Aliyosaini Dk. Kigwangalla Leo Kuhusu Waliovamia kiwanja cha Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kilichopo Njiro, Jijini Arusha

DOWNLOAD WIMBO MPYA WA ROSA REE FEAT BILLNAS HAPA CHINI:

Kisa Wiivu Shilole Amtimua Dada wa Kazi za Ndani Toka Ameolewa

$
0
0
STAA wa filamu na Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amesema kuwa tangu amekuwa mke halali wa Ashraf Uchebe, haruhusu dada wa kazi ampikie chakula mumewe huyo.

Akizungumza na gazeti hili, Shilole alisema kuwa mastaa wengi wakiingia kwenye ndoa wanajisahau sana kila kitu wanapenda kufanyiwa na mdada wa kazi na ndiyo maana ndoa zao hazidumu.

“Yaani mimi lazima mume wangu ale chakula cha mkono wangu sikubali mdada wa kazi ampikie, ni marufuku kabisa. Nimruhusu, je akinogewa na mapishi ya mkono wake inakuwaje? Chakula napika mwenyewe kuanzia chai mpaka cha jioni,” alisema Shilole. wanavyopakaza, huyo uliyepata picha zake ni kweli,” alisema Uwezo.

Stori: Imelda Mtema

DOWNLOAD WIMBO MPYA WA ROSA REE FEAT BILLNAS HAPA CHINI:

Mrembo Lulu Diva Akubali Yaishe..Arudisha Mahari Aliyolipiwa Kisa Rich Mavoko

$
0
0
MWANAMUZIKI wa kike anayekuja kwa kasi Bongo, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amerejesha kwa mikono yake mwenyewe mahari aliyokuwa ametolewa na mchumba wake aliyedumu naye kwa takriban miaka mitatu.

Chanzo chetu makini kilisema kuwa, mwanamuziki huyo alikuwa afunge ndoa mwishoni mwa mwaka jana lakini kutokana na kuvuja kwa habari kuwa anatoka na mwanamuziki mwenziye wa Bongo Fleva, mwanaume huyo akadai mahari yake.

“Kama kuolewa basi Lulu angeolewa mwaka jana mwishoni lakini mchumba huyo alibaini anatoka kimapenzi na mwanamuziki mwenzake akaomba mahari yake irudishwe,” kilisema chanzo.

Gazeti hili lilipompigia simu Lulu na kumuuliza madai hayo alisema, ni kweli alirudisha mahari lakini si kwamba mwanaume huyo alijua anatoka na mwanaume mwingine bali alipata shinikizo kutoka kwa ndugu zake.

“Aliposhinikizwa sana nikaona isiwe tabu nikamrudishia mahari yake kwa maana alikuwa akiwasikiliza sana ndugu zake ambao walikuwa hawataki anioe,” alisema Lulu.

Na Imelda Mtema

DOWNLOAD WIMBO MPYA WA ROSA REE FEAT BILLNAS HAPA CHINI:

Pata Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Kiume ( Super Shafti)

$
0
0
DAWA BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO YA KIUME ( SUPER SHAFITI) NI DAWA YENYE UWEZO MKUBWA WAKUTIBU UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME


 (SUPER SHAFITI ni dawa ya asili yenye uwezo mkubwa wa kuogeza nguvu za kiume maradufu
(1) itakufanya uwe na nguvu za ajabu ukiwa unafanya ntedo la ndoa
(2) inaogeza hamu ya kurudia ntedo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka
( 3) itakufanya uchelewe kufika kileleni dani ya dk 30
( 4)  itaimalisha milija ya uume iliyo legea au kusinyaa
(5) lnarefusha na kunenepesha uume saizi utakavyo kuazia ichi 1-8 unene sm 2-4
 (6) itakupa nguvu za kusimamiasha uume wako barabara kama_ msumari wakati wa ntedo la ndoa
(7) inasaidia kusafisha mishipa. ya kwenye uume na hivyo kusaidia Katika kuongeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume
(8) usaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani
(9) inasaidia kuogeza manii nyingi ambazo vina viini vya uzazi
(10)usaidia kutibu madhara ya punyeto ,matumizi makali ya  madawa ya kizugu mirungi bangi na sigara

KWA NINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA KUWA NA MAUMBILE MADOGO YA KIUME NINI CHANZO CHAKE?

ni kutokana na magonjwa megi kuongezeka yakiwemo kisukari presha ya kupanda na kushuka upigaji wa punyeto wa mda mrefu magonjwa ya moyo ngiri ya kuviba korondani vidonda vya tumbo
Msongo wa mawazo  tumbo kuuguruma kujaa ngesi kutopata choo vinzuri maumivu ya mgongo kiuno na tumiaji wa madawa makali ya kizungu ya kuongeza nguvu za kiume kuzaliwa na chango linaloshabulia neva za ukuwaji wa uume utumiaji wa mirungi bangi sigara na nk  tunapenda kuwatangazia wasomaji, wa makala zetu kuwa tunazo dawa nzuri za asili ambazo hazina mazala na zinazotibu na kuponyesha matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na maumbile ya kiume

NA TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU KAMA KISUKARI PRESHA AINA YOTE UGONJWA WA MOYO SITRUKO KWIKWI KICHOMI MINGUU KUFA NGAZI ASIMA NK MZEE ISAYA ANAPATIKANA MAGOMENI MIKUMI KARIBU NA KANISA  TUMAINI HEBRAST CLINI NDIYO JIBU NA SULULISHO YA MATATIZO YOTE

PIGA simu 0745495181 au 0682644040

Kwa watu wa mikoa huduma utatumiwa na watu wa nje ya nchi utazipata dsm kama huna nafasi ya kufika ofisini kwetu utaletewa popote ulipo

Nisha Anyooshwa na Wanaume "Nimekoma Kutoa Mapenzi kwa Wanaume wa Tanzania"

$
0
0
Nisha Anyooshwa na Wanaume "Nimekoma Kutoa Mapenzi kwa Wanaume wa Tanzania"
MSANII wa maigizo na vichekesho Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amesema kuwa, amekoma kutoa mapenzi yake kwa wanaume wa Kitanzania kwa kuwa wote wana mapenzi ya kuigiza ambayo yamempotezea muda mno.



Akizungumza na Ubuyu, Nisha alisema ameumizwa sana na mapenzi ya Kibongo, hivyo bora kama anataka kuwa na mpenzi ni afadhali atafute mwanaume wa nje na si Mbongo tena.



“Hivi sasa hivi naanzaje kutoka kimapenzi na mwanaume wa Bongo walivyo waongo na walaghai maana nimepoteza muda mwingi kwao lakini hakuna chochote nilichopata zaidi ya fedhea tu,” alisema Nisha ambaye amewahi kutoka na staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego.

Hatari Tupu!....... Lulu Diva Arudisha Mwenyewe Mahali Aliyotolewa na Mchumba Wake

$
0
0
Hatari Tupu!....... Lulu Diva Arudisha Mwenyewe Mahali Aliyotolewa na Mchumba Wake
MWANAMUZIKI wa kike anayekuja kwa kasi Bongo, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ amerejesha kwa mikono yake mwenyewe mahari aliyokuwa ametolewa na mchumba wake aliyedumu naye kwa takriban miaka mitatu.

Chanzo chetu makini kilisema kuwa, mwanamuziki huyo alikuwa afunge ndoa mwishoni mwa mwaka jana lakini kutokana na kuvuja kwa habari kuwa anatoka na mwanamuziki mwenziye wa Bongo Fleva, mwanaume huyo akadai mahari yake.

“Kama kuolewa basi Lulu angeolewa mwaka jana mwishoni lakini mchumba huyo alibaini anatoka kimapenzi na mwanamuziki mwenzake akaomba mahari yake irudishwe,” kilisema chanzo.

Gazeti hili lilipompigia simu Lulu na kumuuliza madai hayo alisema, ni kweli alirudisha mahari lakini si kwamba mwanaume huyo alijua anatoka na mwanaume mwingine bali alipata shinikizo kutoka kwa ndugu zake.

“Aliposhinikizwa sana nikaona isiwe tabu nikamrudishia mahari yake kwa maana alikuwa akiwasikiliza sana ndugu zake ambao walikuwa hawataki anioe,” alisema Lulu.

Na Imelda Mtema

Sanchez Ashindwa Kuibeba Man United,

$
0
0
Sanchez Ashindwa Kuibeba Man United,
Klabu ya Manchester United usiku wa kuamkia Leo Alhamisi imepoteza mchezo wake wa kwanza wa EPL dhidi ya Spurs ikiwa na mshambuliaji wake mpya Alexis Sanchez aliyehama kutoka Arsenal.

Man united wamekubali kipigo cha goli 2-0, magoli yaliyofungwa na P.Jones goli la kujifunga na Eriksen.

Matokeo mengine Chelsea wamekubali kipigo cha goli 3-0 dhidi ya AFC Bournemouth wakiwa nyumba Stanford Bridge.

Magoli ya Bournemouth yamefungwa na Wilson, Ake na Stanislas.

Vinara wa ligi hiyo Manchester  City wameendeleza ubabe kwa ushindi wa goli 3-1 dhidi West Brom Albion.

Kwa matokeo hayo ya Jana Man City wameongeza gepu la pointi 15 dhidi ya Man United waliopo nafasi ya pili kwenye msimamo wa EPL.

Msanii wa Uganda Radio Afariki Dunia

$
0
0
Msanii Radio Afariki Dunia
Msanii wa muziki kutoka nchini Uganda, Radio amefariki dunia.

Msanii huyo ambaye alikuwa akifanya vizuri na mwenzie Weasel,  tangu January 23 mwaka huu hali yake ilikuwa ikiripotiwa kuwa mbaya kufuatia majereha aliyoyapata kutokana na ugomvi wa klabu.

Hapo jana Rais wa Uganda, Yoweri Museven alitoa Milioni 30 kwa ajili ya  matibabu ya msanii huyo, pia kulikuwa na maombi maalumu yalikuwa yameandaliwa kwa ajili ya kumuombea ambayo yalitarajiwa kufanyika February 4 mwaka huu katika kanisa la Light the World.

Mgombea CUF Kupeleka Hoja Binafsi Bungeni

$
0
0
MgombeaCUF Kupeleka Hoja Binafsi Bungeni
Mgombea ubunge kupitia chama cha CUF, Rajabu Juma amesema akichaguliwa atapeleka hoja binafsi bungeni kuitaka Serikali itoe angalau mlo mmoja kwa wanafunzi ili watulie shuleni.
Pia alisema akichaguliwa kuwa mbunge ataweka utaratibu maalum wa kuwasajili wafanyabiashara wadogo ili watambulike na wajiwekee akiba yao na yeye kama mbunge wao atawachangia kidogo.
‘’Nikichaguliwa nitashinikiza serikali iongeze maslahi ya walimu ili wasifikirie kufanya biashara ndogondogo badala yake wafundishe kikamilifu’’amesema
Amesema akichaguliwa ataanzisha mfuko maalumu wa bima ya Afya kwa ajili ya wanawake na watoto ili watibiwe kwa gharama nafuu
Mgombea huyo amesema kwamba akiwa mbunge atabainisha maeneo ambayo watachimba visima kwa ajili ya kuwapatia wananchi maji safi na salama.
Kaimu Katibu Mkuu wa CUF, Abdul Kambaya amesema leo watamaliza mkutano wao mapema saa 11:40, kisha wataondoka kwa pamoja kwenda ofisi za chama Fulani kuchukua bendera zao.
Tatizo letu kwenye uchaguzi huu si kumpinga mgombea wa CCM bali kubadilisha mfumo. Na mtu wa kubadilisha mfumo huo ni Rajab Juma.


Inasikitisha!.... Auawa na Kuchunwa Ngozi na Kutolewa Viungo vya Mwili Wake na Watu Wasiojulikana

$
0
0
Inasikitisha!.... Auawa na Kuchunwa Ngozi na Kutolewa Viungo vya Mwili Wake na Watu Wasiojulikana
Mzee mmoja aliyetambulia kwa majina ya Tuntinala Kunyepa (75) mkazi wa Kijiji cha Ihanda Wilayani Mbozi Mkoani Songwe, amekutwa akiwa ameuawa na kuchunwa ngozi na kisha kutolewa baadhi ya viungo vya mwili wake na watu wasiojulikana .


Mrakibu Msaidizi wa Jeshi la Polisi Mkoani Songwe, Yusuph Sarungi, amesema, tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo na kwamba, hakuna mtu aliyekamatwa kuhusiana na tukio hiilo huku mauaji hayo yakihusishwa na imani za kishirikina ambapo uchunguzi na msako mkali unaendelea kuwabaini waliohusika .

Viongozi wa Juu wa TFF Kuhudhuria Mkutano Mkuu wa CAF

$
0
0
Viongozi wa TFF kwenda CAF
Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF limetoa taarifa leo kuwa viongozi wake watatu wa juu watakuwa ni miongoni mwa wajumbe watakaohudhuria mkutano mkuu wa CAF.


Viongozi hao ni Rais wa TFF Wallace Karia, Makamu wa Rais wa TFF Michael Wambura na Kaimu Katibu Mkuu wa TFF Kidao Wilfred.

Mkutano huo mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Africa CAF utafanyika Februari 2, 2018 nchini Morocco.

Morocco ni mwenyeji wa michuano ya kuwania ubingwa wa Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN zilizoanza Januari 13 na leo ni hatua ya nusu fainali ambapo wenyeji Morocoo wanacheza na Libya huku Sudan wakikipiga na Nigeria.

Frankie Maston Muhitimu wa UDSM Kijana wa Kiume Mwenye Sura na Umbo la Kike Atoa Wimbo...Mtazame Hapa

$
0
0
Frankie Maston MuhitiKijana wa Kiume Mwenye Sura na Umbo la Kike Atoa Wimbo...Mtazame Hapa Chini:
DOWNLOAD WIMBO MPYA WA ROSA REE FEAT BILLNAS HAPA CHINI:

Aibu...Wadada wa Mjini Kusagana imekua 'Fashion'

$
0
0
Nimeamka nimekutana na picha ya tomboy mmoja wa mjini na dada mwingine wa mjini aliewahi kuolewa na DJ wa club moja Dar. Huyo tomboy na huyo dada walikua wakiishi kinyumba kama mke na mume. Dada wa mji aliacha mpaka ndoa yake yenye mtoto mmoja akaenda kuishi na huyo mwanamke mwenzake.

Jana mwenye nyumba aliwafukuza kwenye nyumba yake baada ya kuchoka vitendo vyao. Huwa najiuliza mama unaesagana utamlaumu nani mwanao wa kiume akija kuwa shoga? Tunatengeneza kizazi kipi baadae kwa maisha tunayoonyesha watoto wetu? Kusagana kwa siri basi sio mpaka jamii nzima inajua. Kama hao wanapost picha kabisa snapchat wanakiss.

Na wapo wengi wanawake wa mji huu wanasagana. Imekua kama fashion yani kila mwanamke anasagana. Tena wanakushangaa kabisa kwanini wewe hufanyi wakati ni raha.

Kibaya ni kwamba hata walioolewa wapo wanaofanya hiyo michezo. Hivi kwanini mtu usichague kimoja. Kama kusagana sagana acha kumuaibisha mumeo kwenye ujinga wako sababu watu wanakua wanamchora.

Sikatai wanavyofanya sababu ni maisha yao ila kuonyesha jamii ndio kitu sikipendi sababu tunaharibu vizazi vyetu kwa starehe za kipumbavu.

By Mzigua90/JF

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba, Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi?


Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521 

"Nyumba Yangu ina vyumba Viwili Nimenunua Milioni 100" Lulu Diva

$
0
0
Msanii LuluDiva ambaye ameachia wimbo mpya hivi karibuni kaelezea gharama za video hiyo ambayo amesema kuwa sichini ya millioni 15 lakini pamoja na Hilo kaelezea mjengo wake mpya ambao anadai kanunua millioni 100 na kaukarabati upya.

VIDEO:

Tazama Wimbo Mya wa Rosa Ree Feat Billnass Unaoitwa Marathon

$
0
0
Rosa Ree Ft. Billnas – Marathon (Official Audio), Bonyeza Play Hapa Chini Uweze Kuusikiliza na Kisha toa maoni yako:

Ukitaka Kuudownload Kama Audio, Bonyeza Download Hapa chini:

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

Wasiliana nasi +255 622588038au 0679119679 au +255 764318107 +255 656145170 ,//0762899488

Yowelri Museven Aguswa na Kifo cha Msanii Radio

$
0
0
Yowelri Museven Aguswa na Kifocha Msanii Radio

Kufuatia kifo cha msanii wa muziki Radio aliyefariki alfajiri ya leo nchini humo, Rais wa Uganda Yoweri Museven ameonyesha hisia zake kwa kuguswa na kifo cha msanii huyo.

Kupitia  mtandao wa kijamii wa Twitter, Rais Museven ameandika “Have been told about the untimely death of musician Moses Ssekibogo aka Mowzey Radio. I had only recently made a financial contribution towards his treatment and hoped he would get better. He was a talented young person with a great future ahead of him. May he rest in peace.”

Taarifa za kifo cha msanii huyo zinakuja baada ya  siku chache zilizopita Rais Museven kutoa kiasi cha  Milioni 30 kwa ajili ya  matibabu ya msanii huyo.

Vile vile wasanii mbalimbali kama Navio, Diamond, Eddy Kenzo, Professa Jay  na wengineo wametumia kurasa zao   za mitandao yao ya kijamii kama Instagram na Twitter kutoa pole kwa familia yake.

Baada ya kutangazwa taarifa za kifo mashabiki wa msanii huyo na wa Goodkife walifika hospitali hapo kushuhudia kinachoendelea.


Wema Sepetu Kuja Kivingine

$
0
0
Wema Sepetu Kuja Kivingine
Malkia wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu baada ya kufungua App yake sasa anakuja na kitu kingine ambacho bado kipo kwenye mabano hadi ifikapo Juni 30, 2018.


Muigizaji huyo amekuwa aliwaomba mashabiki wake kuitunza tarehe hiyo na kuikumbuka ili kufahamu kiundani ujio wa siku hiyo

Ujumbe huo ametuma Kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Diamond Platinumz aendelea kudhirisha ushikaji wake na mlimbwende Wema Sepetu kwa kumsapoti katika hili kwa kuposti kwenye ukurasa wake na kuandika ”Save the date” huku Wema akimjibu You are the Best”.

Ni kweli bado haijawekwa wazi nini hasa kina kuja, kwani tunavyojua Wema Sepetu ni mwanamke aliyejikita katika shughuli mbalimbali katika jamii.

Hivyo kaa tayari.

Kupitia ukurasa wake wa Instagrama Wema Sepetu ameandika,

Just save the date,

wiki,week 21

siku/day 151
Viewing all 104745 articles
Browse latest View live




Latest Images