Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104775 articles
Browse latest View live

Msanii Radio Amezikwa Leo Kijijini Kwao Nakawuka Uganda

$
0
0
Msanii Radio Amezikwa Leo Kijijini Kwao Nakawuka Uganda
Msanii Radio wa nchini Uganda ambaye alifariki Februari 1, amezikwa leo kijijini kwao Nakawuka nchini Uganda, na kuhdhuriwa na maelfu ya watu kutoka sehemu mbali mbali za nchi hiyo na wasanii wa nchi jirani.


Hapo jana Ijumaa ya Februari 2, wananchi wa Uganda na mashabiki wa muziki walipata fursa ya kufanya ibada ya mwisho ya kumuombea marehemu kanisani, na kisha baadaye mwili wake kupelekwa kwenye uwanja wa michezo wa Airstip, ambapo walikesha nao huku kukipigwa show ya nguvu kutoka kwa wasanii mbali mbali wa nchini Uganda.

Kabla ya mazishi hayo kuliibuka mvutano mkubwa wa nguo ya kuvalishwa marehemu, huku Lilian Mbabazi ambaye ni mama wa watoto wake wawili ambaye mwenyewe alimtambulisha kama mke wake akitaka marehemu azikwe na suti aliyovaa kwenye tamasha la 'Nakudata' ambayo ndio ngoma iliyompa umaarufu na kumfanya atoboe kwenye game, na mwanamke wake mzungu ambaye amezaa naye mtoto mmoja akisema marehemu alitaka akifa azikwe na nguo za jeshi kwani alipenda kuitwa mwanajeshi, na hatimaye akavalishwa gwanda za jeshi.

Asubuhi ya leo mwili huo ulipelekwa kijijni kwao Nakawuka na kuwekwa kwenye makazi yake ya milele, ambapo kwenye tukio hilo watu walionekana kuwa wengi na baadhi wakizimia.

Miongoni mwa wasanii waliohudhuria mazishi hayo ni msanii na mbunge Jaguar wa Kenya, wasanii mbali mbali wa Uganda na viongozi wa serikali.

Mose Iyobo Afunguka Kuhusu Kuwashambulia Shilawadu

$
0
0
Mose Iyobo Afunguka Kuhusu Kuwashambulia Shilawadu
Dansa wa kundi la Wasafi Classic (WCB), Mose Iyobo amesema hajawashambulia watangazaji wa kipindi cha Shilawadu kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Clouds kama ilivyoelezwa.

Amesema madai ya kuwashambulia watangazaji hao na wafanyakazi wengine wa televisheni hiyo ameyasikia kwenye mitandao ya kijamii na katika kipindi hicho jana, Februari 2, 2018.

“Nimesikia kupitia kipindi chao na kwenye mitandao ya kijamii, sina nguvu hiyo, mimi si baunsa wala mkorofi wa kufikia hatua hiyo, ” amesema  Iyobo alipozungumza na MCL Digital leo Februari 3, 2018.

Amedai wanahabari hao walifika dukani kwake maeneo ya  Mwananyamala jijini Dar es Salaam na alipobaini lengo la ujio wao aliondoka.

“Sikuwapiga, nilipobaini wamekuja kwa lengo la kutengeneza habari zao wanazorusha kwenye kipindi cha Shilawadu, sikufurahishwa na hilo nikaondoka zangu,”amesema.

“Nilijua tayari wana habari vichwani mwao na walikuja pale kwa lengo la kukamilisha walichonacho na siyo kusikia kutoka kwangu,  wakati mwingine hizi habari huwa na madhara katika jamii na familia zinazotuzunguka. Nikaamua kujiepusha kwa kuondoka eneo hilo, sikuwapiga na sina jeuri hiyo.”

Akizungumzia tuhuma hizo mmoja wa viongozi wa WCB,  Babu Tale amesema wamemuachia suala hilo Iyobo kwa kuwa ni mambo binafsi na hakuna mahali popote yalipotajwa kuhusiana na kazi zake.

“Ingekuwa habari hiyo inahusiana na kazi tungezungumzia, hayo ni mambo binafsi sisi hatuwezi kuingilia,” amesema.

Jana Februari 2, 2018  watangazaji wa kipindi cha Shilawadu kupitia mitandao ya kijamii na kipindi hicho walieleza kushambuliwa na Iyobo ambaye ni mpenzi wa mwigizaji Aunt Ezekiel.

Mbali na kushambuliwa wamesema Iyobo aliharibu vifaa vya kutayarishia kipindi hicho, “Usiku wa leo wakati tukiwa kazini tumenusurika kumwagwa damu na mtu tuliyemfuata kumuomba mahojiano, kati yetu kuna walioumia viuno na  mikono, pia  kuna uharibifu wa vifaa vyetu vya kazi.”

Wanahabari hao wakati wakitangaza kipindi hicho walikuwa wamejifunga bandeji mikononi, huku mmoja akiwa amesimama kwa msaada wa gongo, shingoni akiwa amevaa kifaa maalumu.

Wakuu wa Shule Binfsi Waonywa Ulipaji Ada

$
0
0
Wakuu wa Shule Binfsi Waonywa Ulipaji Ada
Wakuu wa shule binafsi mkoani Dar es Salaam wametakiwa kujitafakari mara mbili kabla ya kuwafukuza shule wanafunzi wanaoshindwa kulipa ada kwa wakati.

Rai hiyo imetolewa jana Februari 2, 2018 na ofisa elimu taaluma mkoani humo, Janeth Nsunza katika mkutano wa wakuu wa shule zote Dar es Salaam.

Nsunza amesema baadhi ya wamiliki na wakuu wa shule wanashindwa kuwavumilia wazazi wanapokwama kiuchumi na kushindwa kulipa ada za watoto wao kwa wakati.

Amesema baadhi ya wazazi wanaposhindwa kulipa ada hutakiwa na shule husika kula kiapo mahakamani.

“Kama mzazi ni mlipaji mzuri wa ada ikifika mahali  amekwama ni vyema viongozi husika wamwelewe na kumvumilia, wawe pamoja kwa raha na shida,” amesema,

“Kuna mzazi alifika ofisini kwetu  mwanae alikuwa kidato cha nne mwaka jana, hakuwa na ada akafukuzwa, lakini  akaandika barua kwa Kamishina wa elimu kuomba aruhusiwe kufanya mtihani huo.  Miongoni mwa nyaraka alizonionesha ilikuwepo  ya kuapa mahakamani.”

Mlinda Mlango wa Simba Nduda Soon Kuanza Mazoezi na Wenzake

$
0
0
Mlinda Mlango wa Simba Nduda Soon Kuanza Mazoezi na Wenzake
Mlinda mlango namba mbili wa Simba, Said Mohammed 'Nduda' wiki ijayo anatarajia kujiunga na wenzake tayari kuanza mazoezi baada ya kuwa nje kwa miezi mitano, kufuatia kufanyiwa upasuaji wa goti Oktoba mwaka jana nchini India.


Nduda aliyesajiliwa na klabu ya  Simba Julai mwaka jana akitokea Mtibwa Sugar ya Morogoro, hajacheza mechi yoyote msimu huu kutokana na maumivu ya goti aliyoyapata Agosti mwaka jana mazoezini akiwa visiwani Zanzibar wakati Simba inajiandaa na mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya mahasimu wa jadi, Yanga Agosti 23, mwaka jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam.

Kwa sasa mlinda mlango huyo ameanza programu za mazoezi yake binafsi tangu mwanzoni mwa mwaka huu, akijifua ufukweni kwa mazoezi.

Wakati huo huo, beki wa kati wa Simba, Salim Mbonde anaendelea na mazoezi ya gym baada ya kuwa nje kwa zaidi ya miezi mitatu kufuatia kuumia Oktoba 15, mwaka jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya timu yake ya zamani, Mtibwa Sugar uliomalizika kwa sare ya 1-1 mjini Dar es Salaam.

Kiongozi Mwengine wa Upinzani Akamatwa Kenya

$
0
0
Kiongozi mwengine wa Upinzani akamatwa Kenya
Mbunge mwingine nchini Kenya, amekamatwa kuhusiana na mzozo unaozunguka kujiapisha kwa aliyekuwa waziri mkuu Raia Odinga kwa kile anachokitaja kama rais wa watu wa Kenya.

Mbunge wa Makadara jijini Nairobi George Aladwa alikamatwa asubuhi ya Jumamosi nyumbani kwake na maafisa wa idara ya upelelezi na kupelekwa hadi makao makuu ya idara hiyo kwa mahojiano zaidi.

Aladwa ambaye amewahi kuwa meya wa jiji la Nairobi, alikuwa katika mstari wa mbele katika mipango ya sherehe hizo ambayo haikuwa na idhini ya serikali.

Aladwa sasa ni mbunge wa pili kukamatwa kuhusiana na hafla hiyo ambayo pia imeshutumiwa na jamii ya kimataifa.

Mbunge mwingine wa Nairobi Tom Kajwang alikamatwa na kufikishwa mahakamani na hatimaye kuachiliwa kwa dhamana.

Mwanaharakati mwingine wa upinzani wakili Miguna miguna pia alikamatwa siku ya Ijumaa na angali anazuliwa na polisi licha ya mahakama kuruhusu kuachiliwa kwake kwa dhamana.

Kiongozi wa upinzani Raila Odinga baada ya kula kiapo cha 'kuwa rais wa watu'
Bwana Aladwa alikamatwa siku ya Ijumaa usiku katika nyumba yake iliopo Buruburu kulingana na kiranja wa walio wachache bungeni Junet Mohamed.

Bwana Mohammed ambaye pia mbunge wa Suna Mashariki alisema kuwa bwana Aladwa kwa sasa anazuiliwa katika makao makuu ya ujasusi.

Polisi hawajatoa tamko lolote kuhusiana na kukamatwa kwa Aladwa.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba, Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi?


Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Chadema Wajitosa Majaji Wala Bata..Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya February 4

$
0
0


Chadema Wajitosa Majaji Wala Bata..Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumapili ya February 4

Sheria Mpya Ya Madini Ya Mwaka 2017 Inataka Kurudisha Uchumi Kwa Wananchi:- Mhe Biteko

$
0
0
Na Mathias Canal, Shinyanga
"Sheria mpya ya madini ya mwaka 2017 inataka kurudisha uchumi wa madini kuwa uchumi fungamanishi kwa sekta nyingine, Hatuwezi kuwa na Mgodi ndani ya nchi ambao ajira zote zinapelekwa nje ya nchi kupitia huduma mbalimbali, unaweza kuagiza bidhaa za kila aina kutoka nje ya nchi lakini huwezi kuagiza ajira za wananchi wako zitoke nje kuja ndani, kamwe haiwezekani"

Ni Kauli ya Naibu Waziri wa Madini Mhe Doto Mashaka Biteko leo 3 Februari 2018 wakati akizungumza na Uongozi wa Wilaya ya Kahama Mkoani Shinyanga ambapo amesisitiza zaidi viongozi wa serikali katika maeneo yao kusimamia Kanuni na taratibu juu ya usimamizi wa madini.

Mhe Biteko alikaririwa akisema kuwa usimamizi madhubuti wa sheria na taratibu zilizowekwa ni sehemu imara na makini itakayowanufaisha watanzania ambapo watakuwa wamemuunga mkono kwa vitendo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt John Pombe Magufuli ambaye amejidhatiti kwa mtazamo wa kuwanufaisha watanzania kupitia rasilimali zao.

Kanuni ya madini ya mwaka 2018 imeelekeza kuwa mgodi wowote unapoanza asilimia 100% za watoa huduma za chakula wanapaswa kuwa watu wa wananchi wa Tanzania, Pia huduma za ulinzi kwa asilimia 100% zinapaswa kutolewa na kampuni za ndani. Hivyo wataalamu wa sekta ya madini ni lazima kusimamia Kanuni hizo kwa usahihi.

Mhe Biteko aliongeza kuwa kampuni ya kigeni inaweza kufanya huduma hizo lakini ni lazima iingie ubia na wananchi wa Tanzania na kanuni hizi serikali imeziweka kwa makusudi kabisa ikiwa na mtazamo wa kuwanufaisha wananchi kupitia rasilimali zao.

Mhe Biteko alisema kuwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho kimeingia mkataba na wananchi katika kuwatumikia kwa usimamizi madhubuti kupitia ilani ya uchaguzi ya mwaka 2015-2020 hivyo viongozi wa CCM wanapaswa kusimamia vyema serikali ili kuongeza tija katika utendaji.

Sambamba na CCM kusimamia vyema serikali pia Naibu Waziri huyo wa Madini amewataka watendaji wote wa serikali kuwa na umoja katika utendaji wao kwa usimamizi madhubuti wa rasilimali madini huku akitoa onyo Kali kwa watendaji wa serikali, Viongozi, vyama vya siasa na wananchi kujihusisha na rushwa kwani kufanya hivyo ni kuzififisha juhudi za serikali ya awamu ya Tano inayoongozwa na Rais Magufuli ya kuwainua wananchi wanyonge ili kila mtanzania aweze kunufaika na rasilimali zilizopo.

"Ndugu zangu ni aibu mno dhahabu na madini yetu mengine kuchimbwa nchini lakini yanajenga nchi nyingine, Uhakika wa barabara bado hatuna katika maeneo mengi, maji bado hatuna, sekta ya afya haijaimarika, Zahanati zina shida lakini pia Karibu kila maeneo hatujajidhatiti kwa asilimia 100% Kwa hiyo Mhe Dc naomba sana msicheke na mtu yeyote anayecheza na rasilimali zetu This Must be a Serious business, Mimi najua we have the same spirit lazima tufanye kazi kwa weledi.

Aidha, Naibu Waziri huyo wa Madini Mhe Doto Mashaka Biteko amempongeza Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe Fadhil Nkulu sambamba na Mbunge wa Jimbo la Msalala Mhe Ezekiel Maige kwa jukumu kubwa la utendaji wao katika kuimarisha juhudi na ufanyaji kazi uliotukuka katika sekta ya madini kwa maslahi ya wananchi na Taifa kwa ujumla huku akisisitiza kuwa kila kiongozi atapimwa kwa matokeo ya utendaji kazi wake na si kwa cheo chake.

" Waheshimiwa Viongozi, Mhe. Rais na wanatanzania watatupima kwa matokeo si kwa nafasi na vyeo vyetu" alisisitiza Mheshimiwa Biteko wakati akihitimisha hotuba yake kwa uongozi wa serikali wilayani Kahama.

MWISHO.

Zari Awanunia Ndugu wa Diamond Baada ya Kuonyesha Ukaribu na Wema Sepetu

$
0
0
Bado headlines za mahusiano ya Diamond Platnumz kuyumba zinazidi kuchukua headlines kila kukicha, hii ni baada ya mfululizo wa matukio ya Diamond yanayodaiwa kuwa hayampendeza Zari hususani ukaribu wake na Wema Sepetu uliyorudi hivi karibuni na ndugu wa Diamond kuonekana wapo karibu na Wema, kitendo hicho kinadaiwa kuwa kimemkera Zari na kuamua kuwa unfollow Diamond Platnumz, mama yake na ndugu wengine VIDEO:

Aunty Ezekiel Ahaidi Kuwalipa Shilawadu Baada ya Kipigo Kutoka Kwa Moses Iyobo

$
0
0
Baada ya shilawadu, kunusurka kugongwa na gari ya mose iyobo na kuharibu mali ikiwemo, gari na kamera aunty ezekiel apiga simu na kuomba msamaha shilawadu pamoja na kutaka kuwa wavumilivu akirudi wayamalize

Mrembo Amtongoza Millard Ayo Kwa Post Ndefu Instagram, ‘Nakupenda, Natamani Uwe Mume Wangu’

$
0
0
Mrembo amtongoza Millard Ayo kwa post ndefu Instagram, ‘nakupenda, natamani uwe mume wangu’

 VIDEO:

Wasiliana na Mtaalam Chief Sultan Makata...Kumaliza Shida zako zilizoshindikana

$
0
0

CHIEF SULTAN MAKATA
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.
CHIEF SULTAN MAKATA ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)

CHIEF SULTAN MAKATA ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)

Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?
Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda
Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio?
Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo..
Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.
Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.

Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Maalim Hussein Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..

CHIEF SULTAN MAKATA Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..
Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..

Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..

+255 677 805 105 WhatsAPP.
+255 746 426 604 Kupiga.

Jokate Amnadi Mtuli "Mtulia ni Mbunge Mteule Anayesubiriwa Kuapishwa tu"

$
0
0
"Mtulia ni Mbunge mteule unayesubiri kuapishwa tu" - Jokate

"Mtulia umehaidi Vijana mikopo, hakikisha unawapatia Vijana. Sitarajii kama utawaangusha Vijana, sitarajii kama utaniangusha nami pia" - Jokate

"Mtulia ukishinda usiwasahau hawa Vijana wote wanaojitoa kwa ajili yako" - Jokate

"Nawaombeni Vijana muongee na Vijana wengine, Februari 17 mjitokeze kumpigia kura za ndiyo Mtulia" - Jokate

Kilio Wema Sepetu Kudakuliwa instagram Account yake, Mange Kimambi Afurahia

$
0
0
Mangekimambi: We uleiba hii account ya @wemasepetu ujue soon Wema atarudishiwa account yake. Instagram watakunyang’anya watamrudishia, ungesaidia sana watanzania wanaotaka kulikomboa taifa kama ungeidelete kabisa hiyo page...... Hakuna kitu kinaboa kama Wema kumposti Bashite kwenye hiyo page.watu jinsi walivyompigania alafu anawapa middle finger kwa kumposti Bashite tena kwa mashauzi, .
Ukiidelete Page ndo hawezi kuipata tena ila kwa hivyo unavyoitumia watamrudishia tu ndani ya siku 1 au mbili.....
Au kama hujui jinsi ya kudelete account nipe access dakika 5 tu naidelete au natoa followers wooooote..

UPDATE:​
Mangekimambi_:Eeh bwana eeh kuna mtu wa karibu kaniletea info kaniambia account haijaibiwa bwana , anayo Wema mwenyewe. Alikosea kuposti tangazo la kwanza alidhani anaposti kwenye account yake ingine ya matangazo so ikabidi aendelee kuposti matangazo aseme account hacked, na hilo tangazo la kwanza kalifuta . Na ndio maana profile bio na mapicha yake kayaacha....Haya basi tuendeleee na issue zingine, hajaibiwa mtu acccount hapo.... #vyumaVimekaza
Ila nyinyi mahacker mkizipata hizi account za hawa wasaliti na mbwa zingine zoooote zinazoposti Bashite au CCM msiwe mnapoteza muda kuweka matangazo muwe mnalog in kwenye website ya insta mnazidelete tu fastaaaa..Account ikishakuwa deleted haiwezi kuwa recovered tenaaaa.Sababu mwisho wa siku hata ukisema uitumie kwa matangazo hutonufaika chochote sababu ndani ya siku moja au mbili utanyang’anywa acccount na mmiliki atarudishiwa sasa si bora uongeze nguvu kwenye safari ya ukombozi kwa kuidelete tu????

Ni wiki Tatu Sasa Msanii Harmonize Hajatimiza Ahadi ya Gari ya 10M Aliyomuahidi Shilol

$
0
0
Kwenye sherehe harusi ya Msanii wa muziki Shilole baadhi ya wasanii walitoa ahadi nyingi na wengi sana walitoa ahadi lakini kulingana na taarifa za kamati ya ufatiliaji wa ahadi zilizotolewa siku hiyo hadi sasa 99.9% ya ahadi zilizotolewa siku hiyo hazijatimizwa na hakuna dalili yeyote ya ahadi husika kutimizwa....
Kati ya watu walio toa ahadi kwa Shilole na Mmewe ni msanii mmakonde Harmonize na Mzungu wake wa Arusha ambao kwa pamoja waliahadi kumnunulia Shilole gari yenye thamani ya Million 10 wakishaichagua wawambie hata kama ni leo au kesho...baada ya ahadi ile ukumbi ulilipuka kwa vifijo na nderemo kutokana na ahadi ya uhakika na ya haraka ailiyotoa Konde Boy.....

Baada ya harusi kamati ilibidi kuanza kufatilia ahadi za watu walio toa lakini kamati iliona ianze na ahadi ya msanii Harmonize ambayo ilionesha ni ya haraka sana na alionesha anataka kuitimiza haraka sana..... baada ya kupata aina ya gari walio hitaji wahusika kamati walimpelekea ujumbe Harmonize lakini hadi sasa Harmonize amepiga kimya as if si yeye aliyetoa ahadi ile na wala hajibu sms za wana kamati wala hatoi ushirikianoe

Kwakuwa ahadi ni deni wana kamati wamejipanga kuonana na uongozi wa Harmonize ili wajue watatimiza vipi hiyo ahadi aliyotoa msanii wao.....

Wasalaam wana jamvi

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

$
0
0

SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

Je UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670

Uchambuzi wa Julius Mtatiro Kuhusu ATCL Kujiendesha kwa Hasara

$
0
0

#Mtatiro J

Mwenyekiti wa Kamati bunge ya Uwekezaji Mitaji ya Umma (PIC) Mhe. Albert Ntabaliba ameeleza kuwa kwa miaka miwili mfululizo tangu serikali inunue ndege mbili aina ya Bombardier, zimeleta hasara ya Shilingi Bilioni 109.3 + Bilioni 113.8 = Bilioni 223.1.

Yaani, mwaka wa fedha 2015/2016 taifa limepata hasara ya Shilingi Bilioni 109.3 na mwaka wa fedha 2016/2017 (uliomalizika Septemba 2017) tumepata hasara ya shilingi bilioni 113.8.

Kama fedha hizi zilizopotea (Bilioni 223.1) zingeliwekezwa kwenye barabara zetu, miundombinu yetu, maisha yetu na uchumi wetu kwa ujumla zingelileta tija kubwa kwa taifa.

Fedha hizi zingeliweza kununua matrekta makubwa 7436 na kila kata ya Tanzania ingelipewa matrekata mawili ambayo yangelilima maelfu ya ekari za mazao kwa siku na kulizalishia taifa matrilioni ya fedha.

Fedha hizo zilizopotea, kama zingelitumika kutoa mikopo ya elimu ya juu ya kiwango cha shilingi milioni 5 kwa mwanafunzi mmoja, zingeliweza kusaidia wanafunzi 55,775 kwa mwaka mzima au wanafunzi 18, 591 kwa miaka mitatu mfululizo ya masomo.

Fedha hizo kama zingelitumiwa kutoa mikopo ya shilingi Milioni moja moja kwa vijana wajasiramali wadogo, zingeliweza kusaidia jumla ya vijana 223,100 nchi nzima, vijana 7,436 katika kila mkoa, vijana 1,203 katika kila wilaya, Vijana 74 katika kila kata na vijana 18 katika kila kijiji.

Kama vijana hao wangelipewa kwanza elimu ya ujasirimali na baadaye wakarudisha pesa hizo, kila mwaka wa fedha vijana wapya kwa idadi hiyo hiyo nchi nzima wangenufaika na fedha hizo.

Taifa letu na uongozi wa sasa hautaki kusikiliza tahadhari zinazotolewa na wataalamu na watu wanaoona masuala ya uchumi wa nchi yakiwa hayako sawa. Serikali inataka kusifiwa tu, kwamba inajenga reli, barabara, inanunua ndege n.k. Serikali imeshajitoa kwenye utaratibu wa kujiendesha kwa uwazi. Serikali haitaki ushauri wa mtu.

Serikali yetu haiambiliki! "Call it any name"ndiyo maana baada ya miaka mitano tutakuwa na hali mbaya sana kwa hasara hizi kubwa tunazopata na utawala huu ukishaondoka madarakani tutakuja kugundua matrilioni ya fedha yaaliibiwa au kupotezwa kupitia kwenye miradi ambayo haikukaguliwa na vyombo vinavyohusika wala haikuidhinishwa na bunge.

#Mtatiro J

Mama Hamisa Mobeto Amtapika Dimoand ..Kisa Wema Sepetu na Tunda

$
0
0
KUFUATIA skendo nzito inayofukuta ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kudaiwa kutoka kimapenzi na warembo, Wema Isaac Sepetu na Tunda Sebastian, mama mzazi wa mwanamitindo Hamisa Mobeto, Shufaa Lutigunga ‘amemtapika’ jamaa huyo kuwa vitu vyote vinavyoendelea kwenye mitandao ya kijamii havihusiani na mwanaye.

 Akizungumza na gazeti hili, mama Mobeto alisema kuwa, kwa sasa, kwa upande wao, yeye na mwanaye Mobeto hawataki malumbano na kuwekana kwenye mitandao wa kijamii ndiyo maana hawataki kusikia habari zinazomhusu Diamond.

Alisema kuwa, muda huo  wa malumbano hawana kwa sababu mwanaye anaendelea na maisha yake mengine kabisa ya kutafuta maendeleo na jinsi gani ya kuwalea watoto wake na si kumtegemea mwanaume huyo.

“Jamani sisi mambo hayo ya kwenye mitandao muda huo hatuna tena. Hata mtoto wangu (Mobeto) ameshayasahau mambo hayo na badala yake yupo bize na mambo yake mengine kabisa,” alisema mama Mobeto.

Mama Mobeto aliendelea kueleza kuwa, mtoto wake yuko kwenye mchakato mkubwa wa kufungua biashara yake ya lipstiki hivyo muda wa kufuatilia chochote kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii hana.

 “Michakato yetu sisi zaidi ni kutafuta pesa na si vingine. Muda wa kuchokonoana kwenye mitandao hatuna kwa sababu tukifanya hivyo hatuwezi kupiga hatua hata siku moja, lakini kama kuna watu wanaweza kufanya hivyo, wafanye kwani sisi tulishajivua siku nyingi sana na wala hatutaki kumsikia huyo Diamond na mambo yake,” alisema mama Mobeto.

STORI: Imelda Mtema, Risasi Jumamosi

Pata Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Kiume ( Super Shafti)

$
0
0
DAWA BORA YA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO YA KIUME ( SUPER SHAFITI) NI DAWA YENYE UWEZO MKUBWA WAKUTIBU UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME


 (SUPER SHAFITI ni dawa ya asili yenye uwezo mkubwa wa kuogeza nguvu za kiume maradufu
(1) itakufanya uwe na nguvu za ajabu ukiwa unafanya ntedo la ndoa
(2) inaogeza hamu ya kurudia ntedo la ndoa zaidi ya mara tatu bila kuchoka
( 3) itakufanya uchelewe kufika kileleni dani ya dk 30
( 4)  itaimalisha milija ya uume iliyo legea au kusinyaa
(5) lnarefusha na kunenepesha uume saizi utakavyo kuazia ichi 1-8 unene sm 2-4
 (6) itakupa nguvu za kusimamiasha uume wako barabara kama_ msumari wakati wa ntedo la ndoa
(7) inasaidia kusafisha mishipa. ya kwenye uume na hivyo kusaidia Katika kuongeza kasi ya msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume
(8) usaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani
(9) inasaidia kuogeza manii nyingi ambazo vina viini vya uzazi
(10)usaidia kutibu madhara ya punyeto ,matumizi makali ya  madawa ya kizugu mirungi bangi na sigara

KWA NINI BAADHI YA WANAUME WENGI WANA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA KUWA NA MAUMBILE MADOGO YA KIUME NINI CHANZO CHAKE?

ni kutokana na magonjwa megi kuongezeka yakiwemo kisukari presha ya kupanda na kushuka upigaji wa punyeto wa mda mrefu magonjwa ya moyo ngiri ya kuviba korondani vidonda vya tumbo
Msongo wa mawazo  tumbo kuuguruma kujaa ngesi kutopata choo vinzuri maumivu ya mgongo kiuno na tumiaji wa madawa makali ya kizungu ya kuongeza nguvu za kiume kuzaliwa na chango linaloshabulia neva za ukuwaji wa uume utumiaji wa mirungi bangi sigara na nk  tunapenda kuwatangazia wasomaji, wa makala zetu kuwa tunazo dawa nzuri za asili ambazo hazina mazala na zinazotibu na kuponyesha matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na maumbile ya kiume

NA TUNATIBU MAGONJWA YOTE SUGU KAMA KISUKARI PRESHA AINA YOTE UGONJWA WA MOYO SITRUKO KWIKWI KICHOMI MINGUU KUFA NGAZI ASIMA NK MZEE ISAYA ANAPATIKANA MAGOMENI MIKUMI KARIBU NA KANISA  TUMAINI HEBRAST CLINI NDIYO JIBU NA SULULISHO YA MATATIZO YOTE

PIGA simu 0745495181 au 0682644040

Kwa watu wa mikoa huduma utatumiwa na watu wa nje ya nchi utazipata dsm kama huna nafasi ya kufika ofisini kwetu utaletewa popote ulipo

“Ukicheza Simba, Yanga, Ukaondoka Wanasahau bado ni Mchezaji Mzuri”-Humud

$
0
0
Watu wengi wamekuwa wakitafsiri mchezaji aliyefanikiwa kucheza ligi kuu anaporudi ligi daraja la kwanza biashara yake inakuwa imekwisha, lakini kiungo mkongwe Abdulhalim Humud ‘Gaucho’ hakubaliani kabisa na jambo hilo na bado anaamini yuko fit kushindana na wachezaji wengine wa VPL.

“Mpira wa kibongo una mambo mengi hasa kwetu sisi wachezaji wazoefu ambao tumeshapita kwenye vilabu vikubwa, mpira wa tanzania ukishacheza simba na yanga ukiondoka watu wanasahau kwamba wewe bado ni mchezaji mzuri lakini vilabu hivyo vinahitaji kuwa na wachezaji wengine wapya hicho ndio wanasahau,” Abulhalim Humud.

“Kile ambacho kilinifanya nije kmc leo nimeweza kukitimiza pamoja na wachezaji wenzangu na tumeifikisha pale ambapo wanakinondoni wanataka iwepo.”

“Kizuri zaidi mpira ni mchezo wa hadharani sio kujificha kile ambacho kimefanyika au ambacho nakifanya tangu nimekuwa kmc kinatosha kuwa majibu kwa watu ambao walikuwa wanafikiria tofauti.”

Humud alifunga goli pekee lililoipandisha daraja KMC kwenye mchezo wa mwisho wa
Viewing all 104775 articles
Browse latest View live




Latest Images