Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104776 articles
Browse latest View live

Vyakula vinavyoondoa mamumivu wakati wa hedhi kwa wanawake

$
0
0
Kila mwanamke hupitia hatua ya kupatwa na hedhi mara moja kwa mwezi, ikiwa ni maumbile ya kawaida waliyoumbwa nayo. Lakini wanawake wengi husumbuliwa na matatizo kadhaa siku chache kabla au wakati wa siku zao, matatizo hayo hutofautiana kati ya mtu na mtu kutegemeana na afya ya muhusika, wapo baadhi ya wanawake huumwa na kiuno, wengine tumbo n.k

Dlili za matatitizo ya hedhi
Siku chache kabla ya hedhi, baadhi ya wanawake hupatwa na hofu na huwa wenye hasira. Husumbuliwa na mfadhaiko wa akili, huumwa na kichwa, matiti hujaa maziwa, hukosa usingizi na kuvimba sehemu za siri. Hali hii husababishwa na kukosekana kwa uwiano wa homoni (Homone imbalance) na hali hii huweza kukoma ndani ya saa 24 baada ya kuanza hedhi.

Wengine hupatwa na maumivu makali sana wakati wa hedhi. Maumivu hayo huwapata akina mama ama siku mbili ama tatu kabla au mara tu waanzapo siku zao. Hali hii pia inasababishwa na kutokuwepo kwa uwiano wa homoni mwilini, ambako kumesababishwa na ukosefu wa virutubisho fulani.

Wengine hutokwa na damu nyingi kuliko kawaida au kukaa katika siku za hedhi kwa kipindi kirefu kuliko kawaida. Kuna sababu nyingi zinazoweza kuchangia hali hii, ikiwemo kuugua kwa muda mrefu, kupatwa na hofu, huzuni, mshtuko na sababu nyingine za kitabibu.

Vifatatavyo ni vyakula vinavyoweza kutibu maumivu wakati wa hedhi

2. Tangawizi
Tangawizi nayo ni dawa nzuri sana ya kutibu matatizo yatokanayo na hedhi, hasa katika tatizo la maumivu makali na kutokupata hedhi. Chukua kipande cha tangawizi mbichi, kiponde na kiweke kwenye kikombe cha maji ya moto kwa dakika chache, kisha tia sukari kiasi na unywe mchanganyiko huo, kwa siku mara mbili kila baada ya mlo.

2. ufuta.
Ufuta (Sesame) nao ni miongoni mwa mbegu za asili unazoweza kula na kutibu matatizo ya hedhi. Saga ufuta na pata unga wake kisha uchanganye na maji ya moto, kunywa mara mbili kwa siku. Kinywaji hiki huondoa maumivu wakati wa hedhi kwa wasichana wadogo.

Ukitumia mara kwa mara kinywaji hiki cha ufuta, hutibu pia tatizo la kupata hedhi kidogo. Pia unaweza kuchangaya maji ya kuoga ya uvuguvugu na mbegu za ufuta zilizopondwa pondwa kiasi cha kiganja kimoja, nayo hutoa nafuu kubwa kwa wanaosumbuliwa na maumivu, hasa ukitumia siku mbili kabla ya siku zako.

3. Papai
Mungu ametuumba na kutupa mazao mengi ambayo yana uwezo wa kutatua matatizo yetu ya kiafya, iwapo tutagundua siri hiyo. Papai bichi nalo linaelezwa na watafiti wetu kuwa lina uwezo wa kulainisha misuli ya njia ya uzazi hivyo kufanya utokaji wa hedhi kuwa mwepesi usio na maumivu. Papai huwa na manufaa zaidi kwa wasichana haswa kwa wale wenye tatizo la kutopata siku zao kutokana na kuwa na ‘stress’ au mawazo. Utapata faida hiyo kwa kula mara kwa mara tunda hilo bichi (ambalo halijaiva lakini limekomaa)

4. Juisi za mboga za majani.
Kwa kutumia vyakula asilia unaweza kuepukana na maumivu ya mara kwa mara wakati wa siku zako. Katika orodha ndefu ya juisi za mboga zinazotibu kwa uhakika matatizo yote ya hedhi, ni Kotimiri (Parsley), mboga ya majani ambayo upatikanaji wake ni rahisi. Kwa mujibu wa watafiti, Kotimiri ina uwezo wa kurekebisha uwiano wa homoni hivyo kuondoa matatizo kadhaa ya hedhi.

Inaelezwa kuwa uwezo wa Kotimiri kurekebisha matatizo ya hedhi unatokana na kuwa na aina ya kirutubisho kiitwacho ‘Apiol’ ambacho pia kimo miongoni mwa homoni za jinsia ya kike (estrogen). Maumivu na mvurugiko wa siku hurejea katika hali ya kawaida kwa kunywa juisi ya Kotimiri mara kwa mara.

Aidha, juisi hiyo inapochanganywa na juisi ya viazi pori (Beet Root), karoti au matango huwa na nguvu zaidi. Kiwango kinachoshauriwa kuchanganya kiwe na ujazo sawa kwa kila aina ya juisi utakayochanganya. Juisi yenye mchanganyiko huo ni rahisi kutengeneza na ni dawa inayoweza kumsaidia mwanamke wakati wote wa maisha yake bila kuhitaji kutum

HABARIVideo: Nitaandaa waraka, sitaki walimu wa Dar wakae foleni Benki na ofisi zote – RC Makonda

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amefunguka kwa kudai kwamba anaandaa waraka ambao unawafanya walimu wa mkoa wa Dar es salaam wasikae foleni pale wanapohitaji huduma yoyote, kwenye benki na ofisi za serikali. Mkuu huyo amesema hatua hiyo itarudisha heshima kwa walimu kwa kuwa wanafanya kazi kubwa sana. VIDEO:

Video: Kama mwanangu Diamond analipwa milioni 45, mimi baba yake je? – RC Makonda

$
0
0
Wakati Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda akiomba wadau mbalimbali kuchangia pesa ya kuyasafirisha makontena yaliyobeba samani za ofisi za walimu Dar es salaam, alimataka bosi wa Mwalimu Commercial Bank ambao walishiriki katika kuandaa shughuli ya mapokezi ya makontena 20 yaliyobeka samani za ofisini za walimu, kuchangia zaidi kwa kuwa yeye anaweza kuwahamasisha zaidi watu na kuwa wateja wa benki hiyo. RC Makonda alitolea mfano kama mtoto wake Diamond analipwa mpaka dola elfu ishirini kwa show kwa nini na yeye asipewe kikubwa zaidi. VIDEO:

VIDEO: Msanii bongo fleva Ajiunga na CCM..Aikacha ACT Wazalendo

$
0
0
Msanii wa bongo fleva  nchini Kalama Masoud maarufu kama Kala Pina ambae  aliwahi kuwa mwanchama wa CUF na kugombea udiwani kata ya Kinondoni na pia aligombea ubunge jimbo la Kinondoni kupitia ACT Wazalendo mwaka 2015 leo amejiunga na chama tawala cha CCM

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI


RC Makonda akutana na madudu haya ofisini kwake (Video)

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe Paul Makonda amedai watumishi wengi wa chini ni mizingo ndio maana serikali inaonekana haifanyi kazi. Mkuu huyo aliyasema hayo Ijumaa hii wakati akipokea makontena ya samani za ofisi za walimu jijini Dar es salaam.

VIDEO

Mkandarasi Mwanza Matatani Waziri Mkuu Atuma TAKUKURU Kumkamata

$
0
0

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Mwanza, mhandisi Ernest Makale kumkamata mkandarasi wa kampuni ya Palimon baada ya kushindwa kukamilisha mradi wa maji wa Sh2.06 bilioni.

Taarifa kutoka ofisi ya waziri mkuu imesema kuwa Majaliwa amechukua uamuzi huo leo Februari 16, 2018 wakati akizungumza na watumishi na wananchi kwenye kijiji cha Igumangobo wilayani Kwimba.

Inaeleza kuwa mkandarasi huyo alianza ujenzi wa mradi huo Oktoba 28, 2013 na alitakiwa kukamilisha Mei 28, 2014.

Majaliwa amesema kitendo cha mkandarasi kutokamilisha mradi huo kwa wakati licha ya kupewa fedha hakivumiliki, hivyo ameitaka Takukuru kutafuta popote alipo na kumhoji.

Ametoa agizo hilo baada ya wananchi wa vijiji vya Mhande, Shirima na Izizimba ‘B’ ambao mradi huo unatekelezwa katika vijiji vyao kumuomba waziri mkuu awasaidie ili mradi wao ukamilike na wao wapate huduma ya maji.

Wakati huo huo, Waziri Mkuu amelitaka Baraza la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Kwimba kutotumia fedha za miradi ya maendeleo kulipana posho.

“Fedha zinazopelekwa si za kulipana posho ni za maboresho na Serikali inataka wananchi wahudumiwe wasipate shida,” amesema.

Awali, Majaliwa alifungua mradi wa maji wa kijiji cha Igumangobo kilichopo Tarafa ya Mwamashimba wilayani Kwimba. Chanzo cha maji hayo ni Ziwa Victoria.

MWANANCHI

Vurugu Zatanda Kinondoni, Wafuasi wa CHADEMA Watawanywa kwa Mabomu

$
0
0


Wanachama wa Chadema waliokuwa wanaandamana kuelekea ofisi ya msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kinondoni, Aron Kagurumjuli wakiongozwa na mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe wametawanywa kwa mabomu na Polisi.

Akizungumza leo Februari 16, 2018 kabla ya kuhitimisha kampeni za chama hicho zilizofanyika katika viwanja vya Buibui, Kinondoni, Mbowe amesema mpaka sasa mawakala wa chama hicho hawajapewa barua za utambulisho na msimamizi wa uchaguzi.

“Jana nilizungumza na Mkurugenzi wa Uchaguzi (Kailima Ramadhani) nikamweleza kwamba kuna tatizo mawakala wetu hawajapewa barua za utambulisho, akaahidi tungezipata leo asubuhi lakini mpaka sasa hivi saa 12 jioni hatujapata barua hizo,” amesema na kuongeza:

“Kutokana na hali hiyo hivi sasa tukitoka hapa twende kwa msimamizi wa uchaguzi kuchukua barua za utambulisho wa mawakala.”

 Wafuasi hao walipofika katika bonde la mto Mkwajuni Polisi walianza kufyatua mabomu ya machozi na kulazimika kutawanyika.

 MWANANCHI

Wananchi wa Wilaya ya Kwimba Wamkataa Mkuu wa Wilaya Hiyo Mbele ya Waziri Mkuu

$
0
0
M
 Mkuu wa wilaya ya Kwimba  Mtemi Msafiri.

Wananchi wa wilaya ya Kwimba mkoani hapa wamemuomba Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuondoka na mkuu wa wilaya hiyo Mtemi Msafiri kwa madai ya kutoridhishwa na utendaji wake.

Taarifa iliyotolewa leo Februari 16, 2018 na ofisi ya waziri mkuu imeeleza kuwa wananchi hao wametoa kauli hiyo baada ya kuzuia msafara wa Majaliwa alipowasili katika ofisi za Halmashauri ya wilaya Kwimba kwa ajili ya kuzungumza na watumishi, akiwa katika ziara yake ya kikazi mkoani Mwanza.

Wananchi hao walimkataa mkuu huyo wa wilaya kupitia ujumbe wa mabango 17, Majaliwa kuwataka wananchi hao kuwa watulivu wakati Serikali inafanyia kazi malalamiko yao.

Wananchi hao wamedai Msafiri anatabia ya kuamrisha polisi wawakamate kwa kisingizio cha uzururaji na kisha wanawekwa mahabusu, kisha kutolewa na kupelekwa  kulima kwenye shamba lake.



Waziri Mkuu amesema Serikali inahitaji kila mtumishi atambue majukumu yake na ayatekeleze. “Hakuna atakayeonewa, haki zenu zote tunazitekeleza nanyi mnatakiwa kutenda haki kwa kuwatumikia wananchi.”

Hata hivyo, Majaliwa amemtaka mkuu huyo wa wilaya,  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kwimba, Pendo Malebeja na wakuu wote wa Idara wajitathmini kama kweli wanatekeleza majukumu yao ipasavyo na kuwatumikia wananchi.

“Mkurugenzi katika kipindi chako chote cha utendaji kuanzia mwaka 2013 hadi leo, fedha nyingi za Serikali zilizoletwa Kwimba zimepotea na hazijulikani zilipo huku miradi mingi bado haijakamilika na muda wote huo Halmashauri imekuwa inapata hati chafu,” amesema Majaliwa.


Kigwangalla Awarejeshea Wananchi wa Utete Eneo la Makazi na Kilimo

$
0
0

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigwangalla amemaliza mgogoro wa muda mrefu wa ardhi kati ya wananchi wa kijiji cha Utete wilayani Rufiji mkoani Pwani na hifadhi ya msitu wa Kale baada ya kuwapa wananchi eneo la kilimo na makazi.

Dk Kigwangalla ametoa uamuzi huo jana Februari 15, 2018 alipotembelea kijiji hicho na hifadhi hiyo ambayo baadhi ya maeneo yake yalikuwa yakitumiwa na wananchi kwa shughuli za kilimo.

 “Nimeona hakuna madhara yoyote iwapo tutamega eneo kidogo katika msitu wa kale ambako wananchi wamekuwa wakifanya shughuli zao za kilimo na kuwapa ili waendelee kujipatia riziki, ”amesema Dk Kigwangalla.

Amebainisha kuwa mbali na eneo hilo pia eneo la chemichemi ambalo lilivamiwa na wakazi hao, iangaliwe namna ya kuhamisha mipaka na kuwaacha wananchi nje ya hifadhi bila kuathiri chemichemi hiyo ili waendelee na maisha yao.

Katika kuhakikisha jambo hilo linafanyika, Dk Kigwangalla amemwagiza Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma za Misitu (TFS), Profesa  Dos Santos Silayo kuunda timu ya wataalamu itakayoshirikiana na wataalamu wa mkoa na wilaya kusimamia mgawanyo wa ardhi kwa wananchi na hifadhi za Taifa.

Amesema mchakato huo utakaofanywa na wataalamu hao utakuwa wa kisheria ili kuwapa haki ya kudumu wananchi hao hata anapokuwa hayupo katika nafasi hiyo.

“Lazima sheria zirekebishwe ili muishi na kulima kihalali, nisipolifanya kisheria nikiondoka anaweza kuja mwingine kuwasumbua, sheria zitafuatwa za kuhamisha mipaka,” amesema.

“Ombi la Mbunge wenu (Mohamed Mchengelwa) lilikuwa kwa wakulima wazawa, naomba wabaki wale wale na si muwaite wawekezaji kutoka mjini waje kulima, hata wazee ombi lenu lilikuwa ni kwenye mashamba yale ya asili,” amesema Dk Kigwangalla.

Amesema amechukua jukumu hilo ili kuhakikisha wananchi wanamaliza mgogoro na hifadhi hiyo ambayo inabaki na eneo lake.

Uchaguzi Kinondoni: Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza UDSM Apoteza Maisha!

$
0
0
Wakati CHADEMA wanaelekea kweny ofisi ya mkurugenz kudai barua za viapo..polisi walivuruga na kuanza kupiga mabomu zikiambatana na risasi za moto..kwa wapenzi na wanachama wa CDM eneo la mkwajuni..kuna polisi alifyatua risas ambayo ilimlenga mwanafunzi wa mwaka wa kwanza UDSM Aqulina Akwilini..risas iliyomlenga kifuani na kupoteza maisha

Mtatiro ameandika;

DAMU!

Kwa mujibu wa sheria za uchaguzi, msimamizi wa uchaguzi wa jimbo analo jukumu la kutoa viapo kwa kila wakala wa kila chama cha siasa ambaye atakwenda kuwakilisha chama na mgombea wake kituoni.

Msimamizi wa Uchaguzi wa jimbo la Kinondoni (DED) ambaye pia ni kada wa CCM hadi jioni ya leo alikuwa amegoma kutoa viapo kwa mawakala wa CHADEMA na vyama vingine huku wale wa CCM wakiwa walishapewa.

Kukosa viapo kuna maana wakala hatoruhusiwa kukanyaga kituoni na CCM wangelibakia wenyewe vituoni. Baada ya kufunga kampeni jioni ya leo, Mhe. Freeman Mbowe aliambatana na mawakala kwenda kwa msimamizi wa uchaguzi (ofisini).

Wakiwa njiani wakazingirwa na magari ya Polisi huku wakishambuliwa kwa risasi za moto na mabomu. Huwezi kuamini kama mambo haya yanatokea Tanzania! Mawakala kadhaa wa CHADEMA wamepigwa risasi za moto, wengine wamejeruhiwa kwa virungu, magongo n.k.

Katika upigaji huo wa risasi za MOTO tena hovyo hovyo, INASEMEKANA KUWA Polisi wamemuua mwanafunzi wa Mwaka wa kwanza wa Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam (UDSM),Aqulina Akwilini Baftaha, ambaye amepigwa risasi akiwa kwenye daladala. Mwanafunzi huyu alikuwa safari yake na wala hakuwa kwenye mkutano wa Chadema. Risasi za Polisi wetu zimemfikia huko huko, na INAELEZWA KUWA hivi sasa ni marehemu.

Nimeumia sana! Nimejeruhiwa moyoni! Roho inaniuma mno. Kwa nini? Kwa nini tunapiga watu wasio na hatia risasi za moto? Nani ametoa amri hiyo? Ni kwa nini tunashambulia watu waliokuwa wanakwenda kudai viapo vyao kwa sababu saa 11 alfajiri wanapaswa kuwa vituoni?

Kwamba baada ya DED wa Kinondoni kuwanyima viapo, mlitaka wafanyeje? Kwa nini tunaifukuza amani? Kwa nini tunaua raia wasio na hatia? Kwa nini tunavamia na kuwapiga watu hata wasio na jiwe mkononi? Kwa nini tunatumia risasi za moto kuwapiga watu wetu?

Nchi yangu inaniuma sana. Mama Tanzania anateketea!

Huyu Mkurugenzi wa Kinondoni, ametoa viapo hivyo usiku huu, baada ya watu kupigwa risasi, kina John Heche (Mbunge wa Tarime) kukamatwa, mawakala wa CHADEMA kukamatwa na mwanafunzi aliyekuwa na safati zake kuuawa.

Huyu Mkurugenzi wa Kinondoni alitumwa na nani kutoa viapo baada ya watu kufa? Nadhani sasa CCM wamo shereheni, sherehe za damu! Hawawezi kutafuta madaraka bila kumwaga damu, bila kunywa damu! Madaraka ya damu, wanaoga damu, wanafungua kinywa kwa damu, wana-lunch damu na ku-dinner damu.

Damu!

#Mtatiro J

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba, Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0

Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi?


Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

VIDEO:Polisi Wasambaza Kipigo Kwa CHADEMA Kinondoni

$
0
0
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni wametumia mabomu ya machozi kutawanya wafuasi na viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA waliyokuwa wakitokea katika kampeni zao eneo la Mwananyamala kwa Makoma kuelekea Ofisi za Mkurugenzi Mkuu wa Uchaguzi Jimbo la Kinondoni. Maandamano hayo yaliongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho, Freeman Mbowe, Katibu Mkuu, Vicent Mashinji, Naibu Katibu Mkuu bara, John Mnyika pamoja na wabunge.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI

Polisi walivyodhibiti Waandamanaji wa CHADEMA

$
0
0
Jeshi la Polisi mkoa wa kipolisi wa Kinondoni limetumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa (CHADEMA) waliokuwa wakiandamana kuelekea katika ofisi ya Mkurugenzi..

 Wafuasi hao wa CHADEMA waliamua kwenda kwa Mkurugenzi wa Uchaguzi kwa kile walichosema kuwa Mawakala wao walikuwa hajapewa barua za kuwatambulisha.

VIDEO:

Maamuzi ya Zari yanavyodaiwa Kumtesa Diamond Platnumz

$
0
0
Leo February 16,2018 Diamond Platnumz ameonekana kuonyesha hisia zake juu ya maamuzi  ya Zari kuachana nae, kupitia instagram account yake Diamond amekuwa akipost video clips mbalimbali za nyimbo za mapenzi.



Kupitia instagram ya Diamond Platnumz amepost kipande cha wimbo wake wa Sikomi na kuandika

“Unajua Nyimbo zingine Unaziimba ila Hata we mwenyewe zinakuingia Baadae😟…. Anyways 28 Days Before the Reveal of #AboyFromTandaleAlbum!🔥 #SikoMi Bonus Track on #AboyFromTandale Available on All Digital Platforms now!”

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

$
0
0

SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN, Dawa za Asili, Dawa za Kiarabu na majini kwa kumtuliza mke/mme, mchumba au mpenzi ndani ya masaa 72 tu, na kutatua matatizo yote ya kimaisha,

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

ANAZO DAWA ZA MAPENZI, NGUVU ZA KIUME, CHANGO NGIRI MAJI NA N.K, ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA, HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA, ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

JE UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 654-836970
WhatsApp +255 756-033670

Wakazi Kinondoni Wajitokeza Kupiga Kura

$
0
0

Wakazi wa jimbo la Kinondoni wamejitokeza kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa ubunge unaofanyika leo Februari 17,2018.

Timu ya waandishi wa MCL Digital iliyopiga kambi jimboni humo imebainisha kuwa idadi ya watu wanaojitokeza si kubwa kulinganisha na wakati wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.

Vitu vya kupigia kura vimefunguliwa saa moja asubuhi, huku baadhi ya wapiga kura wanaonekana wakiangalia majina yaliyobandikwa vituoni kabla ya kupiga kura. Wengine wachache wameeleza kutoona majina yao.

Malalamiko ya mawakala

Iddy Ramadhani, wakala wa CUF kituo cha Minazini kilichopo Kata ya Mwananyamala ameieleza MCL Digital kuwa hadi saa mbili asubuhi hakuwa ameruhusiwa kuingia kituoni licha ya kuwa na barua ya utambulisho.

“Mimi ni wakala wa CUF na nina barua ya kiapo na karatasi ya chama inayonitambua kama wakala lakini wanakataa nisiingie ndani. Watu wanaanza kupiga kura wakati mawakala hawapo ndani hii si sahihi,” amesema Ramadhani.

Wakala mwingine wa Chadema katika kituo namba 3 kilichopo eneo la Serikali ya Mtaa Kijitonyama, Erasto Nicholaus amesema ameondolewa kituoni kwa sababu ya kutokuwa na barua ya kiapo.

Mbunge wa Tarime Mjini (Chadema), Esther Matiko amesema jana usiku walifuatilia barua za viapo vya mawakala bila mafanikio kwa madai kuwa walizungushwa na watendaji wa ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni.

“Barua nimepewa saa 1:30 asubuhi na tatizo ni kwamba unampeleka wakala kituo kimoja lakini barua ya mkurugenzi inakuja na inasema wakala huyo aende kituo kingine,” amesema Matiko.

Licha ya changamoto hiyo, hali ya usalama ni shwari kutokana na polisi kuonekana vituoni wakiwa katika magari.

Jimbo la Kinondoni lina kata 10 na kati ya hizo, ya Makumbusho mwandishi wa MCL Digital ameshuhudia wanaojitokeza kupiga kura wakiwa wachache.

Msimamizi wa kituo namba 1 na 2 katika Mtaa wa Bwawani uliopo Kata ya Makumbusho, Allein Seth amesema, “Mpaka sasa kazi inakwenda vizuri na hakuna tatizo lolote licha ya mwitikio kuwa mdogo."

"Tuwaombe wananchi wa eneo hili wajitokeze kuja kumchagua kiongozi wao na wasibaki nyumbani na kuwaachia jukumu hili watu wengine kwa kuwa maendeleo yao yatategemea viongozi waliowachagua," amesema Seth.

Wafuasi Chadema Watawanywa kwa mabomu Kinondoni

$
0
0

Walikuwa wakiandamana kwenda kwa msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kinondoni kudai barua za mawakala wa chama hicho.

Wanachama wa Chadema waliokuwa wanaandamana kuelekea ofisi ya msimamizi wa uchaguzi jimbo la Kinondoni, Aron Kagurumjuli wakiongozwa na mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe wametawanywa kwa mabomu na Polisi.

Akizungumza leo Februari 16, 2018 kabla ya kuhitimisha kampeni za chama hicho zilizofanyika katika viwanja vya Buibui, Kinondoni, Mbowe amesema mpaka sasa mawakala wa chama hicho hawajapewa barua za utambulisho na msimamizi wa uchaguzi.

“Jana nilizungumza na Mkurugenzi wa Uchaguzi (Kailima Ramadhani) nikamweleza kwamba kuna tatizo mawakala wetu hawajapewa barua za utambulisho, akaahidi tungezipata leo asubuhi lakini mpaka sasa hivi saa 12 jioni hatujapata barua hizo,” amesema na kuongeza:

“Kutokana na hali hiyo hivi sasa tukitoka hapa twende kwa msimamizi wa uchaguzi kuchukua barua za utambulisho wa mawakala.”

 Wafuasi hao walipofika katika bonde la mto Mkwajuni Polisi walianza kufyatua mabomu ya machozi na kulazimika kutawanyika.

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Jumamosi

$
0
0

Waziri Nchemba aagiza kufanyaka uchunguzi wa mauaji ya kiongozi wa Chadema

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani Dkt. Mwigulu Nchemba amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro na timu yake kufanya uchunguzi wa kina juu ya mauaji ya Daniel John ambaye alikuwa ni Katibu wa kata ya Hananasifu (Chadema) yaliyotokea Kinondoni Jijini Dar es salaam.

Waziri Mwigulu amelitaka Jeshi la Polisi kuchunguza kwa kina tukio hilo na kujua undani wake nini na kuwaambia wananchi nini kinachoendelea.

“Mataifa mengine mtu akiuwawa shighuli zote zinasimama, tusiweke haya mazoea ya watu wanapotepotea kama mtu kapuliza dawa ya mbu kama jambo la kawaida tu, wafanye uchunguzi kwa kina kujua nani amehusika na tukio hili,” alisema Waziri Mwigulu.

Ameongeza kusema kuwa maswala ya demokrasia huamukiwa kwa peni na karatasi na si kwa panga,lungu wala mkuki.

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0

DAWA BORA ZA NGUVU ZA KIUME NA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatinzo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurundia tendo kwa haraka Sasa inakuletea suluhisho juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za FULL POWER

Full Power dawa asili yenye vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume dawa hii inamchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hernone za gestro gen zikiwemo vitamin b6 na b1 vitamin e pamoja na madini aina ya zinc

Itakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wakufanya tendo la ndoa zaidi hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20/30 ZAT 50

Inarundisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha nchi 3/7 na upana cm 3/4 standard.kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote pia anatibu matatizo mengine kama presha kisukari ngiri chango la tumbo kujaa gesi kutopata choo vizuri minguu kuwaka moto matatizo ya uzazi bawasili na magonjwa ya zinaa kama kisonono na kaswende

Tunapatikana Dar es Salaam  na mikoan wasiliana na DR Oshinda no 0755505099 au 0714126118  Karibuni kwa hunduma bora
Viewing all 104776 articles
Browse latest View live




Latest Images