Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104776 articles
Browse latest View live

WAKUBWA TU: Acha Mazoea Katika Mapenzi Zingatia Mambo Aya 10 Kabla Ujachika

$
0
0
WAKUBWA TU: Acha Mazoea Katika Mapenzi Zingatia Mambo Aya 10 Kabla Ujachika
#1- Mfanye Mwanamke aanze kufika mlima kilimanjaro kabla hujaanza kumuingilia.


Inawezekana likaonekana jambo geni na la kushangaza kidogo, lakini ukweli ndio uko hivyo.



Hili ni jambo ambalo wanawake wengi wangelipenda kufanyiwa na wapenzi wao lakini ambalo wanaume huwa hawalifanyi.


Wengi huwaandaa wanawake kwa lengo la kuhakikisha kuwa wametepeta kwenye uke, kwa maana ya kuwa wamelainika ili kuwezesha wao kupenya kwa urahisi, lakini wanawake wengi wangependa zaidi ya hapo.


Ikiwa mwanaume utaweza kumfanya mwanamke afike mlima Kilimanjaro na kutua mizigo yake kabla ya kumuingilia, unajiongezea nafasi ya kumfanya afurahie lile tendo la ndoa zaidi na kukuweka miongoni mwa wanaume walio bora kabisa wa maisha yake.


Hii humfanya awe tayari yuko kwenye hali ya kuhitaji tu kuingia kwa uume wako aweze kupiga bao la pili, na hii inamaanisha kuwa inaweza kuwasaidia sana wale ambao huwa wanakabiliwa na tatizo la kufika kileleni mwa mlima Kilimanjaro haraka sana. Hata ukipigwa bao la usoni sawa tu...Mruhusu!!!



#2 – Vumbua maeneo mengine yenye kumsisimua

Ndio, sote tunajua kuhusu matiti, kunyonya ulimi na mengine, lakini hadithi haitakiwi kuishia hapo tu.

Kama ambavyo wanaume wamezoea baadhi ya maeneo yenye kuelezwa kuwa yanamsisimua sana mwanamke, ndivyo ambavyo nao huzoea sana kusisimuliwa kupitia maeneo hayo.


Hii maana yake ni kuwa, unaweza kujikuta unazama kwenye ile hali ya kuzoeleka sana, ambapo akikuona tu, anakuwa tayari anajua huyu ataanza hapa, ataishia pale na atapofika mlimani namna hii. Hili haliwezi kumsisimua mwanamke.



Mwili wa mwanamke, una maeneo zaidi ya 16, ambayo yakichezewa au kuguswa kiufundi wa kimahaba, huweza hata kumfanya mwanamke huyo kukojoa kabla ya kuingiliwa.



Wangapi tunajua kuhusu A-Spot? ..... ufahamu vizuri mwili wa mpenzi wako, na uuzingatie wote kwa ujumla wakati wa kufanya mapenzi naye, na hakika utakuwa shujaa wake.


Matiti yakisisimuliwa vizuri ni kiungo cha ajabu kwa mwanamke!



#3 – Usiwe kama kuku

Ndio, licha ya kuwa hapo awali tunaambiwa kuwa ikiwa utaweza kumfanya mwanamke afike kileleni kabla ya kumuingilia, unamjengea mazingira ya kufika kileleni haraka pindi unapomuingilia, lakini haimaanishi basi uwe kama kuku au risasi, kwamba ikishachochewa tu basi inachomoka kwa spidi isiyomithilika.



Mwanaume kudumu kwenye tendo kwa muda wa kutosha, ni moja ya mambo yenye kumjengea heshima kwa mwanamke wake na kumuona kuwa yu shujaa.

Sometimes, pumzi zako kitandani zinaweza pia kutafsiriwa kuwa ni pumzi za mtaani, na kama kitandani hauko nazo za kutosha, itakuwaje siku mmevamiwa mkiwa matembezini na watu unaotakiwa kupigana nao?



Tofauti kubwa sana baina ya wanaume na wanawake ni kuwa, wanaume wengi hujamiiana kwa minajili ya kufika kileleni, ilhali wanawake hujamiiana kwa minajili ya kustarehe.

So, usiifanye starehe hiyo kuwa ya dakika moja...lakini pia usiiifanye kuwa ya kukarahisha, kama ambavyo wanaume wengi wanaamini kuwa kumsugua mwanamke uchi hadi akahitaji barafu la kujikanda ili ipoe, ni ushujaa.

Nusu saa hadi dakika 50 ni muda muafaka kabisa, na zaidi ya dakika 60, kwa wanawake wengi inaweza kuwaondolea sence ya starehe na wakajiona kama wanalipishwa walicholishwa.


#4 – Maandalizi ya kumpa mshawasha wa kuihitaji

Ndio, wapo wanaume wengi tu wanaoweza kujinadi kuwa wanajua kuwaandaa wanawake zao kwakuwa wanajua kuwanyonya vimi, kunyonya matiti nk, lakini ukweli ni kwamba wengi hatuko hivyo.


Kama ambavyo nimetanabaisha hapo awali, asilimia kubwa ya wanaume huwachezea wanawake sio kwa lengo la kuamsha hisia zao kwa ajili ya kujamiiana, bali kwa minajili ya kuwafanya wapate ule ute ambao utawarahisishia wao kuingia.



Kitu kikubwa wanachopendelea wanawake, ni aina ya mwanaume ambaye anaweza kumfanyia vimichezo vya kumtia hamu hadi ikiwezekana aanze kuulilia muhogo.


Jidai kama unataka kumnyonya kimi, lakini usifanye hivyo, pumua usawa wa mdomo wa uke wake kiasi cha kumfanya ahisi pumzi yako, mlambe mapajani...sio lazima kila siku iwe kwenye tundu la uke.......


Haya ni baadhi ya yatayomfanya aanze kutamani kwani unakuwa tofauti tofauti, na ukiamsha hisia zake kwa namna ya kipekee.

Na hili basi ndilo lenye kupelekea umuhimu wa jambo jingine lifuatalo ambalo wanawake hulihitaji....cheki namba 5 hapa chini


Tumichezo kama hutu twa Manaiki Sanga tunasaidia...



#5 – Faida ya ulimi/mdomo kunyonyana

Inashangaza sana kwa kweli...wakati wanaume wengi wamekuwa wakijisifia sana kwa kuwafanyia maandalizi wenza wao, tafiti zinaonyesha kuwa, zaidi ya asilimia 70 yao wamekuwa wakieleza kuwa wanafanya hivyo kwa kutumia tu vidole vyao.

Sawa na ambavyo asilimia 70 ya wanawake walisema kuwa wanadhani kwa kutumia tu viganja vyao wanaweza kumfanya mwanaume akasimama vya kutosha kuwaingilia.



Ukweli ni kwamba, hii sio sahihi kabisa.

Umepewa viungo zaidi kwa ajili ya kumfanya mwenzako aweze kufurahia tendo la ndoa, na ikiwa unaweza kuvitumia, kwanini unavibania bania ?.


Unaona kinyaa kwa mwenza wako au ni nini hasa? Tumia ulimi wako, mnyonye kila mahali ambako unadhani ulimi huo unaweza kufika na ukamfanya aseme "Oh...am going crazy"


#6 – Msisimue kwa kauli zako

Wanaume wengi sana huwa mabubu wawapo kitandani wakihofia kuwa wapenzi wao watawafikiria namna gani vipi wakisema sema wakati wanajamiiana nao...

lakini mbona wengine huwa wanaishia kupiga makelele wanapotaka kushusha mizigo yao?


Kama unaweza kushindwa kujibana kupiga kelele wakati wa kukojoa, kwanini basi ujizuie kumpa maneno matamu matamu wakati unaendelea kumstarehesha?



Nong'ona kwenye sikio lake, mweleze kiasi gani ni mtamu....hata zile oooh....sss....mmmm zako, zifanye sikioni kwake.....

wanawake huwa hawajisikii raha sana wanapokuwa wanaguswa hata kwenye kitu gani wakati wa kujamiiana, ikiwa mwanaume yuko kimya tuuu, utadhani dumwana ambalo linashangaa kilichoko mbele yake.



Anakuwa hajui kama unaenjoy anachokifanya kwako au laa.

Ni sawa na wewe mwanaume, unajisikiaje pale unapokuwa umemgusa mwanamke mahali fulani penye mzizi wa utamu na akaanza kukwambia kwa ile sauti ya kipekee akisema "hapo hapo...hapo hapo jamani raaaha"....


Epuka tu sauti yako isiwe ambayo itamfanya anywee kama alomwagiwa maji ya baridi ilhali alikuwa anakaribia kuanza kuelea angani.

Unaweza kumsifia hata kabla gemu halijaanza....



#7 – Jenga mahusiano ya macho yenu

Hivi, ishakutokea ukakojoa ukiwa unamtizama mpenzi wako machoni kwa muda wote wa tukio hilo tu la kukojoa?

Au kumtizama machoni moja kwa moja yeye akiwa anakojoa?

Kwa taarifa yako, hili ni moja kati ya mambo yaliyo na raha ya kipekee ambayo huwezi kuelezea kwa maneno.


Mawasiliano ya macho wakati wa kujamiiana, huimarisha sana ile hali ya msisimko baina yenu na ikiwa inatokea mwanamke uliye naye alishawahi kutokewa na mwanaume ambaye wakati wanajamiiana alikuwa akimtizama usoni moja kwa moja, basi si ajabu mtapomaliza akajitoa kimaso maso na kukuuliza "mbona ulifumba macho wakati unakojoa", na hapa atakuwa akimaanisha kuwa kuna ulichomnyima.



Mwanaume, jitahidi kubadili utaratibu wa kila siku kuzima taa wakati mnajamiiana, acha taa ziwake wakati mwingine, na zipo taa ambazo zenyewe tu kwa uwezo wa rangi zake, huwafanya mjihisi mko dunia nyingine kabisa, kumbe ni kwenye kitanda chenu kile kile ambacho kila siku mnakitumia.


Mazoea ni mabaya, lakini haimaanishi kuwa hamuwezi kubadilika, na ikiwa unaweza kuongoza jahazi la mabadiliko haya, akizoea hakika atakuwa akikufurahia zaidi.



#8 – Mzingatie baada ya kumaliza kujamiiana

Jambo moja ambalo wanaume wanafanya makosa, ni kumu-ignore mwanamke punde wanapokuwa wamemaliza kujamiiana.

Hawajui kuwa, huu ni muda ambao mwanamke anakuwa yuko wazi mno kwao, muda ambao unaweza kumueleza lolote na akakuelewa zaidi ya ambavyo angekuelewa wakati mwingine wowote ule.


Kimaumbile, wanawake hawakuumbwa kupoa haraka pindi wanapokuwa wamemaliza lile tendo la kuingiliwa.



So, unaweza kuwa umemkojolesha na kumgusa kila angle ambayo unaijua, lakini kitendo cha kumkumbatia, ukampiga busu na kumwambia "asante", huku ukimruhusu alaze kichwa chake tu kifuani mwako kwa kupumzika, kina maana kubwa sana, iliyo sawa au hata zaidi ya kitendo mnachokuwa mmetoka kukifanya.


Huu ni wakati wa kummwagia kila aina ya sifa ambayo anaistahili, na ndio muda muafaka wa kumuandaa kuwa na hamu ya wewe safari nyingine utapomhitaji.


#9 – Mpe fursa ya kuliongoza jahazi kwa niaba yako



Wanaume wengi sana wameumbwa kutaka kuwa vinara kwa kila kitu, hata wanapokuwa kwenye kujamiiana, hupenda wao ndio waongoze kila move.


Sio mbaya kwasababu wanawake nao wameumbwa kuwaongoza wanawake na hilo linaeleweka.


Ni kweli kuwa una wajibu wa kuhakikisha unamgusa kila anapotaka, umfikishe kileleni anapopaota, lakini kwa upande wa pili, kuna asilimia kubwa tu ya wanawake ambao wangependa sana kupewa fursa ya wao kutawala dimba wakati wa mchezo.



Sio suala la kumwambia, leo mie nitalala tu na kukuacha uhangaike na mhogo wangu unavyotaka, laa...atakuona mdhaifu, uliyechoka au unayemsusia tu.


Kwa kutumia ile ile dhana ya wewe kuongoza jahazi, hakikisha unatengeneza mazingira ya yeye kuutawala mchezo na kuongoza mashambulizi kuelekea anakoona kuwa mshambuliaji atafunga goli la msimu.


Wanawake wana-enjoy sana wanapoona kuwa wanaume wao wamewapa mamlaka ya kutawala dimba, kwani hiyo huwajengea fikra za kuwa wanaaminika kiuwezo, kiuchezeshaji na hata kiumaliziaji.



Wapo mfano wanawake ambao hupenda sana kunyonya muhogo ya wapenzi wao hadi kukojoa, lakini anapotaka kujaribu tu, unakuta janaume hilo, linamwambia aaah, mie sipendi hiyo....au anamuacha ila akikaribia anaanza kumwambia acha nitakojoa .... si umuache?

Kwani unadhani yeye hajui kuwa akikunyonya utakojoa ?.


Mpe nafasi, anyonye anavyotaka, hata kama ni kukojoa, mkojolee mdomoni tu, maana yu ajua kuwa ndio mwisho wake, lakini kwakuwa anataka umfanye, lazima atajua pia namna ya kukurejesha askari wako awe mkakamavu.


Hata kama akitaka "akufanye" mruhusu tu...!!!


10 – Ondoa mazoea

Wanaume ni watu wa ajabu sana.

Wakati wanaweza kujisifia hadharani kuwa naweza kumfanya hivi mwanamke, nikamgeuza vile, nikamnyanyua hivi na vile, tafiti za kisayansi zinabainisha kuwa, asilimia kubwa ya wanaume, huwa hawapendi sana kuwataka wapenzi wao kubadili staili wakati wa kujamiiana.


Ndio, inawezekana mnatumia staili mbalimbali, lakini sio kwasababu mnaambiana, bali kwakuwa unaweza kuta leo imetokea mwanamke alijiteka kifo cha mende, basi utaendelea...kesho akijitega mbuzi kagoma kwenda, itaendelea hivyo hivyo.



Uchunguzi ambao umethibitishwa na wataalamu ni kuwa, wanawake huwapenda sana wanaume ambao wana uwezo na courage ya kuwataka wabadili mikao wanapokuwa wakiendelea na game.


Ni kama mchezaji wa football vile, anavyowasisimua watazamaji pale anapoanza ku-invent mbinu za kubadili mchezo wakati mchezo ukiwa unaendelea.

Hata kubadili mazingira tu yaweza kuleta msisimko wa kushangaza


NYONGEZA AMBAYO NI KITU CHA MUHIMU SANA,

Kama ulidhani kuwa shukrani kwa mwenzako ni asante tu, basi ulikosea.


Hivi, unadhani wale makahaba wanaouza miili yao kule huwa hawaambiwi asante kwa huduma zao? Wanaambiwa sana tu, lakini mbona hawawakubali wale wote wenye kuwashukuru?



Shukrani kwa mwenza wako inatakiwa iwe ya kivitendo zaidi.

Ufanye mwili wako uonyeshe kuwa unashukuru kwa vile anavyokupa mwenzako, kabla hata ya kutamka kwa mdomo wako kumshukuru.


Kushukuru kwa mwili ni pamoja na kuwa "gentle" wakati wa kujamiiana kwenyewe, na sio unakuta mtu unakazana kumsugua mwanamke wako utadhani unadhamiria kuhakikisha kuwa unafidia bia na vinywaji ulizomnywesha, au mahari kubwa waliyokulipisha wazazi wake wakati wanakukabidhi (kama ni mkeo wa ndoa.
Share: 

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Siku ya Leo

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

$
0
0
SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN na Nyota

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

 ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO   HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, NA KUPONYA MAGONJWA SUGU ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

JE UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 654-836970
WhatsApp 0622766715

Harmonize Awajibu Wanaombeza Kuwa Jaji Kusaka Watangazaji Wasafi TV

$
0
0

 Muimbaji huyo akizungumza visiwani Zanzibar amesema yeye kuwa jaji ni nafasi ambayo anaimudu vizuri bila tatizo.
“Mimi nakutana na watangazaji kila siku nafanya interview ndani ya Tanzania na nje, so ukiwa na kipaji mimi nitajua tu na kama huna kipaji sitosita kukuambia,” amesema.
Kumekuwa na baadhi ya watu wanahoji iwapo msanii huyo alistahili kuwa jaji kutokana hana uzoefu wowote wa kieledi na utendaji kazi mzima wa vyombo vya habari.

Watalii wa Kike Watakaojihusisha Kimapenzi na Wanaume Wazawa Kuchukuliwa Hatua

$
0
0
Watalii wa Kike Watakaojihusisha Kimapenzi na Wanaume Wazawa Kuchukuliwa HatuaMara nyingi imezoeleka kuwa mapenzi ni uhuru wa mtu binafsi na huwa haungiliwi na mtu mwingine labda iwe kwa ushauri tu lakini sio kwa jambo lingine. Kwa nchi nyingi za Afrika huwa watalii wanapofika kutoka nje imezoeleka kuona wakipata wachumba na wengine hata kuoana lakini hiyo ni tofauti kwa Gambia, ambako serikali imetangaza kuanza kuwachukulia hatua za kisheria watalii wa kike watakaojihusisha na mapenzi badala ya kitu kilichowaleta.
 Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Utalii nchini Gambia, Hamat Bah  juzi Februari 26, 2018 kwenye mahojiano yake na kituo cha runinga cha taifa hilo cha GRTS TV.

Hamat amesema kuwa kwa sasa ni msimu wa baridi barani Ulaya na watalii wengi kutoka barani Ulaya wanaongezeka kwa wingi nchini humo, na tayari kumekuwa na matatizo ya utapeli na kesi nyingi za baadhi ya watalii wa kike kuibiwa na wanaume wazawa.

Najua huu ni msimu wa baridi taifa linapokea watalii wengi kutoka Ulaya lakini tayari tumeanza kuwataarifu na kuweka machapisho mitandaoni kuwa watalii wa kike sana sana wasijihusishe na masuala ya mahusiano ya aina yoyote na wanaume wazawa isipokuwa wale wanaohusika kuwatembeza na kama itatokea basi mtalii huyo tutamrudisha upesi na kumchukulia hatua za kisheria mwanaume mzawa, kwani kesi za uporaji na udanganyifu kwa watalii wa wanawake zimekuwa zikiongezeka kila siku tunataka kukomesha tatizo hilo,“amesema Hamat.

Hata hivyo, Hamat amewataka watalii wa kike ambao wanaenda Gambia kwa ajili ya shughuli zozote za mapenzi iwe ni kujiuza au kutafuta wanaume wasiende nchini humo bali waende Thailand, ambako watakuwa huru kufanya hivyo la sivyo watakumbwa na mkono wa sheria.
Sisi sio kivutio cha mapenzi kwa watalii kuja kuzini, wanaotaka hivyo waende huko Thailand wakafanye hivyo. Tumekataa huo ujinga na kila Mgambia aimbe huo wimbo kuanzia leo, hatutaki kuipeleka hii nchi kwenye mazingira hayo, lazima nchi yetu tuilinde na kuitunza,“amesema Hamat.
Akizungumzia kuhusu matatizo mengine ya kiafya amesema kuwa wanaume wengi nchini Gambia, wanaamini kuwa watu kutoka barani Ulaya wana pesa na hawana maradhi, kitu ambacho
 kinasababisha kuongezeka kwa magonjwa ya ngono kama Ukimwi, kaswende n.k .

 Gambia hutembelewa na wastani wa watalii 200,000 kwa mwaka na wengiwao ni kutoka Uingereza, Uholanzi, na Marekani.

Shilole na Mumewe Wasaka Mtoto

$
0
0
Shilole na Mumewe Wasaka MtotoSTAA wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameeleza kuwa baada ya kuingia kwenye ndoa miezi kadhaa iliyopita kwa sasa yeye na mumewe, Ashraf Uchebe wako kwenye harakati za kusaka mtoto.

Akibonga na Risasi Vibes, Shilole alisema kama kawaida ya watu wengi huwa wanatarajia tu baada ya ndoa waone matunda ambayo ni mtoto, yeye na mumewe wako kwenye kutafuta mtoto na Mungu akimjalia atapata.

“Kuhusu suala la mtoto kwa kweli ndiyo tunatafuta na Mungu akipenda tutapata tu maana kila kitu hupangwa na yeye,” alisema Shilole.

TFF Yawafungia Viongozi wa Soka kwa Kughushi Leseni za Wachezaji

$
0
0
TFF Yawafungia Viongozi wa Soka kwa Kughushi Leseni za WachezajiKamati ya Maadili ya TFF iliyokutana Februari 3, 2018 na Februari 17,2018, katika ofisi za TFF Karume, Pamoja na mambo mengine yaliyojadiliwa pia ilipitia na kutoa hukumu ya tuhuma za kutoa taarifa zisizo sahihi na kughushi leseni za usajili zilizowakabili watuhumiwa mbalimbali walioletwa mbele yake.

Tuhuma hizo zilitokana na mechi namba 26 kundi A Ligi Daraja la Kwanza iliyofanyika 29 Oktoba 2017 kati ya Mvuvumwa FC na Friends Rangers ambapo katika mchezo huo timu ya Mvuvumwa FC iliwachezesha wachezaji watano (5) ambao ni Elias Costa Elias (aliyevaa jezi namba 5), Lukwesa Joseph Kanakamfumu (jezi namba 7), Dunia Abdala Dunia (jezi namba 1), Doto Justine Kana (jezi namba 12) na Mwarami Abdala Mwarami (jezi namba 8).

Yanga Yapewa Muda wa Kuimaliza Botswana

$
0
0
Yanga Yapewa Muda wa Kuimaliza BotswanaYANGA kwa sasa watakuwa na uhakika wa kuwamaliza wapinzani wao, Township Rollers ya Botswana katika mchezo wa hapa nyumbani baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kuwafutia mchezo wao dhidi ya Mtibwa Sugar.

Yanga watakutana na Wabotswana hao katika Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya kwanza ambapo mchezo wa kwanza utapigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar, Machi 6, mwaka huu.

Yanga ambao leo Jumatano watacheza na Ndanda FC, walipangwa kucheza na Mtibwa Sugar ya Morogoro Machi 3, mwaka huu ambapo kwa sasa mchezo huo umesogezwa mbele.

Katibu wa Yanga, Charles Mkwasa ameliambia Championi Jumatano, kuwa: “Tuliiomba Bodi ya Ligi ya mchezo wetu na Mtibwa Sugar usogezwe mbele na tayari tumepokea barua kutoka kwao ikionyesha kwamba mechi yetu hiyo haitakuwepo kwenye tarehe hiyo. “Muda huu utakuwa sababu tosha kwetu kujiandaa na kufanya vizuri katika mechi hiyo kwa sababu wachezaji watakuwa na muda wa kutosha wa kupumzika,” alisema Mkwasa.

Real Madrid Yapokea Kichapo Kutoka kwa Wababe wa Barca

$
0
0
Real Madrid Yapokea Kichapo Kutoka kwa Wababe wa Barca 
Klabu ya soka ya Real Madrid imezidi kujiweka katika nafasi mbaya ya kushinda taji la ligi kuu ya Hispania (La Liga) baada ya usiku wa jana kukubali kichapo cha goli 1-0 kutoka kwa Espanyol.
Madrid ambao walikuwa katika uwanja wa ugenini wa RCD Espanyol, walifungwa goli hilo na Gerard Moreno katika dakika ya 90 ya mchezo.
Hata hivyo Cristiano Ronaldo wa Madrid hakuwepo katika mcheo huo.
Kutokana na matokeo hayo, Real inabakia katika nafasi yake ya tatu kwenye msimamo wa ligi akiwa na alama zao 51 huku akiwa mbele kwa mchezo mmoja, wakati huo huo Barcelona ndio anaongoza msimamo huo akiwa katika nafasi yake ya kwanza na alama 65.

Download Application ya Udaku Special Kwenye Simu Yako Kupata Habari za Udaku Kila Baada ya Lisaa Limoja

Mh. Lema apewa ujumbe mzito na mke wake

$
0
0
Mh. Lema apewa ujumbe mzito na mke wake
Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amesema kuwa baada ya Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu) kufungwa mke wake amemuambia kuwa maisha ya siasa yanaendelea kuwa magumu sana.
Lema amesema kuwa Mke wake amemueleza kuwa kazi yao kwasasa imekuwa ni kuzika, mahakamani, polisi, hospitali na magereza.
Baada ya Sugu kufungwa,Mke wangu aliniambia”Godbless maisha ya Siasa yanaendelea kuwa magumu sana,kazi yenu sasa imekuwa ni kuzika, mahakamani,Polisi,Hospital na magereza” Mkti anasemaje?Mpeni moyo sana,mnapaswa kuilazimisha furaha ili msipoteze Imani na matumaini.unarudi lini,” ameandika Lema kwenye ukurasa wake wa Twitter.
 

Rapper Post Malone Apinga Utawala wa Donald Trump, “The biggest lie in the world”

$
0
0
Post Malone Apinga Utawala wa Donald Trump, “The biggest lie in the world”
Rapper kutoka mjini New York, Marekani, Austin Richard Post maarufu kama Post Malone ameukosoa uongozi wa serikali ya Rais Donald Trump kwa kuuita ni ua uongo mkubwa duniani.

 Malone amefunguka hayo wakati alipofanya mahojiano na kipindi cha Montreality.
“The biggest lie in the world? It would have to be the fucking U.S. government, actually,” he said. “I’m serious. It’s not what it used to be. It used to be so sick, and about the people, and about freedom, and all that shit. Now it’s just bullshit. It’s a fuckin’ reality show,” amesema rapper huyo ambaye pia ni mtayarishaji wa muziki.

Utawala wa Rais Trump umekuwa ukikosolewa na mastaa kibao wakati huo huo asilimia kubwa ya watu waliokuwa wakimuunga mkono mwanzoni wakionekana kumtenga.

Jike Shupa na Skendo ya Kufuga Mateja wa Unga

$
0
0
Jike Shupa na Skendo ya Kufuga Mateja wa Unga
BAADA ya hivi karibuni kufunguka kuwa, anamsaidia mdogo wa Mbunge wa Bunda Mjini (Chadema), Ester Amos Bulaya, Deus Bulaya aliyeathirika na matumizi ya madawa ya kulevya ‘unga’, muuza sura kwenye video za wasanii wa Bongo Fleva, Zena Abdallah ‘Jike Shupa’ amekumbwa na skendo nzito kwamba anafuga mateja (watumiaji wa unga) nyumbani kwake.

Habari zilizoifikia Za Motomoto News, ni kwamba Jike Shupa ambaye anaishi maeneo ya Mwananyamala Hospitali, Dar amekuwa akiwafuga vijana kibao walioathirika kwa unga ambao wanapatikana kwa wingi eneo hilo huku akiishi nao nyumbani kwake bila utaratibu.

“Jike Shupa anawafuga mateja wengi sana maana ana chumba maalum kabisa kwa ajili yao na wengi ni wale wanaotumia dawa kwa ajili ya kuacha unga (methadone). Watu wanadai kwamba kuna vitu anafaidika navyo kwani watu kama hao wakati mwingine wanapora na kumletea yeye kama mama yao,” alisema Hassan, jirani wa Jike Shupa.

Za Motomoto News ilizungumza na Jike Shupa kuhusu tuhuma hizo ambapo alisema ni kweli alikuwa akiwasaidia vijana wengi ambao walikuwa wanatumia methadone, lakini kwa sasa wamesharudi makwao.

“Si kweli kwamba wanapora, nilikuwa ninawasaidia, lakini wameshamaliza muda wao wa kunywa dawa wamerudi makwao,” alisema Jike Shupa.

Jenerali Mabeyo Ataja Baadhi ya Mambo Yanayotishia Usalama wa Nchi

$
0
0
Jenerali Mabeyo Ataja Baadhi ya Mambo Yanayotishia Usalama wa Nchi
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama (JWTZ), Jenerali Venance Mabeyo.
Ameeleza kuwa hivi sasa vipo viashiria vinavyotishia usalama wa nchi, na kwamba hatua zinachukuliwa ili kudhibiti hali hiyo.
Jenerali Mabeyo amewaomba Watanzania kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Rais John Magufuli dhidi ya wizi, ufisadi na matumizi mabaya ya ofisi za umma, kwa kuwataja hadharani watu wanaojihusisha na vitendo hivyo.

Ametoa kauli hiyo jana wakati akifunga Maadhimisho ya Tamasha la Mashujaa wa Vita ya Majimaji katika Viwanja vya Makumbusho ya Mashujaa wa Vita ya Majimaji mjini Songea.
Mabeyo amesema vita dhidi ya wizi na ufisadi, iliyoanzishwa na Rais Magufuli, si ya mtu mmoja, bali kila Mtanzania anapaswa kushiriki, kwani mali zinazoibwa na baadhi ya Watanzania, zinapaswa kuwanufaisha watu wote.

Mabeyo alisema badala ya kushughulika na uvunjifu wa amani, ipo haja ya Watanzania kuunga mkono juhudi zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano, ambayo imedhamiria kuwatumikia wananchi kwa kuboresha huduma za kijamii ili kutoa fursa kwa wananchi kutumia muda wao kufanya kazi za kujiletea maendeleo.

Ametaja baadhi ya mambo yanayotishia usalama wa nchi kuwa ni matumizi mabaya ya utandawazi ambayo mbali na ya kuharibu utamaduni wa nchi, baadhi ya watu wanaitumia vibaya kwa kuhamasisha wananchi kufanya na kushiriki katika matukio ambayo yanaashiria uvunjifu wa amani na utulivu uliopo nchini kwa muda mrefu.

Jenerali Mabeyo alitaka shule za msingi, sekondari na vyuo nchini, kufundisha wanafunzi umuhimu wa kulinda, kutunza amani na wananchi kuishi kwa kupendana, badala ya kutumia muda wao kutafuta sababu za kutengana, jambo ambalo halina tija kwa taifa.

Wakati huo huo, Jenerali Mabeyo aliitaka Wizara ya Maliasili na Utalii kuboresha Makumbusho ya Mashujaa wa Vita ya Majimaji ili yatumike kwa ajili ya utalii na kuliingizia taifa fedha nyingi.
Awali, Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Chiristina Mndeme alisema Serikali ya Mkoa wa Ruvuma, itaongeza nguvu katika kulinda mipaka yake ili wananchi wa mkoa huo waweze kuendelea na kazi za uzalishaji mali.

Kutana na Mtabibu Mongwa Mganga wa Waganga Sasa Anapatikana Mikoa Yote

$
0
0
KUTANA NA MTABIBU MONGWA MGANGA WA WAGANGA SASA WAKO MIKOANI KARIBU YOTE NCHINI...
.
HIVYO WATATOA TIBA MAENEO YOTE YA MBEYA ,DODOMA, IRINGA , MOROGORO, MWANZA,ZANZIBAR

==>KWA WALE WENYE KUHITAJI TIBA

Husafisha nyota na kutoa Pete za bahati na kwawale walio sumbuka kwaajili ya matibabu na hawakufanikiwa chochote sasa njoo ujionee miujiza hapo kwahapo bila malipo yoyote malipo baada yakazi napia humpa mtu jini la mali kwayule anaye taka kumiliki bila mashariti yoyote
Tunatibu magonjwa mbalimbali yaliyo shindikana mpenzi aliye kukimbia nakumrudisha kwa masaa 24 tu napia natoa dawa za nguvu za kiume kuurefusha uume paka pale unapotaka .
Natoa dawa za biashara na mvuto ==tunatoa dawa zauzazi kwa wale kina mama wenye matatizoya uzazi walio angaika kwa muda mrefu bila kupata mafanikio yoyote njoo umalize tatizo lako sasa
Natoa mazindiko yanyumba na mwili biashara na mvuto kazini
Kupandisha nyota ili kungaa kupandishwa cheo kazini kurudisha mali zilizo pote zilizo ibiwa kuzulumiwa
Kesi zilizo shindikana uzimaliza mara moja namengine mengi ya siri piga simu

+255 764291657
+255 764291657
+255 764291657
+255 764291657

CCM na Polisi Wapangua Tuhuma za Freeman Mbowe

$
0
0
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ameibua tuhuma mpya dhidi ya baadhi ya idara za Serikali ikiwamo polisi akidai kuna mkakati wa kuwafungulia kesi ya uhaini, mauaji na ugaidi viongozi wa chama chake.

Pia, ameinyooshea kidole CCM akidai kwamba inatafuta umaarufu kwa nguvu kwa kununua madiwani.

Hata hivyo, polisi na CCM wamekana tuhuma hizo na kumtaka Mbowe aache siasa za malumbano.

Mbowe alitoa kauli hiyo jana katika mkutano na waandishi wa habari, muda mfupi kabla ya kuwaongoza viongozi wa chama hicho kuripoti Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam kuhojiwa kwa madai ya kufanya maandamano kinyume cha sheria na kuachiwa kwa dhamana.

Wakati Mbowe akieleza hayo, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa alisema tuhuma dhidi ya polisi si za kweli na ndio maana viongozi hao walifika kituoni hapo kwa ajili ya kuhojiwa.

“Tutaendelea kuwahoji hawa viongozi kwa kufanya maandamano bila ya kuwa na kibali jambo ambalo ni kosa,” alisema Mambosasa.

Mbali ya Mambosasa, katibu wa itikadi na uenezi wa CCM, Humphrey Polepole pia alimjibu akisema, “Mbowe na viongozi wenzake wa upinzani wafanye siasa safi na watoe uongozi bora. Waache siasa za matukio na uchochezi kwa sababu hazibadilishi maisha ya watu. CCM tumeamua, hasa Awamu ya Tano kushughulika na shida za watu na kuwaletea maendeleo.”

Alichokisema Mbowe

Mbowe alidai kwamba mkakati wa kuwafungulia kesi hizo unatokana na matukio mbalimbali yaliyotokea ya mauaji na utekaji huku akidai vyombo vya dola vinashindwa kutimiza wajibu wake hivyo kujenga chuki miongoni mwa jamii.

Alisema kuna matukio yaliyojitokeza katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa Kinondoni uliofanyika Februari 17 yalisababisha kifo cha mwanafunzi wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Akwilina Akwilini (22) na wanachama watano wa Chadema kupigwa risasi za moto.

Akwilina aliuawa kwa kupigwa risasi na polisi Februari 16 akiwa ndani ya daladala eneo la Mkwajuni, Kinondoni wakati polisi wakiwazuia wafuasi na viongozi wa Chadema waliokuwa wakiambatana kwenda ofisi ya msimamizi wa uchaguzi wa Kinondoni kushinikiza kupewa viapo vya mawakala wao.

Siku nne baadaye, Mambosasa aliwataka viongozi saba wa Chadema kufika polisi kwa mahojiano.

Mbowe alisema, “Wanatafuta namna ya kutubambika kesi za kigaidi, mauaji au za kihaini... ni mkakati wa kweli na tunamweleza Rais, hatutarudi nyuma katika kutetea demokrasia ya kweli. Mpaka sasa wanachama wetu watano kati yao wawili ni wanawake waliopigwa risasi za moto hawataki kuwapatia dhamana, wanajua wakitoka wataongea yaliyowasibu ndio maana hawataki kuwaachia wala kuwapeleka mahakamani.”

Mbowe aliendelea kutuhumu, “Risasi hizo zilielekezwa kwetu, sitaki kusema mimi ila hii si Tanzania tunayoitambua... Tumeanza kuzoea kuuana, kuumizana na wanasababisha machafuko na haya ni maonevu na haya mambo hayakuwapo zamani, tujiulize kwa nini yanatokea sasa?

“Hizi chaguzi zitaendelea kuzaa majeraha na maumivu kwani wanaosababisha wanalindwa na viongozi wa juu. Haiwezekani mawakala wetu hadi siku ya mwisho walikuwa hawajapata hati ili waibe kura na ndicho walichokifanya.”

Kuhusu madai ya kuwapo kwa mkakati wa kuifuta Chadema, Mbowe alisema unaweza kufanikiwa lakini athari zake zitakuwa ni kubwa kwa Taifa, “Wataiua Chadema lakini si mioyo ya watu, utaiua CUF na vyama vingine si hisia za watu na unapoziua taasisi kama hizi zinazowasemea watu wanatengeneza magenge huko na wataunda vikundi vya kigaidi ambavyo ni hatari zaidi.

“Chama hiki si cha kigaidi ni chama cha mikusanyiko ya watu wengi na CCM kama wanataka kurudisha imani kwa wananchi wasifanye hivyo kwa kununua madiwani, wafanye mambo yanayoeleweka na watakubalika.”

Alikuwa akizungumzia barua ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi aliyoiandikia Chadema akitaka ijieleze kutokana na madai ya uvunjifu wa Sheria ya Vyama vya Siasa na ile ya maadili kwa kufanya maandamano Februari 16.

Barua hiyo ya Februari 21, iliyokuwa ikitakiwa kujibiwa kabla ya Februari 25, Jaji Mutungi katika sehemu ya barua hiyo alisema licha ya tuhuma hizo kuwa zinafanyiwa kazi na taasisi zingine za Serikali, hata ofisi yake kwa namna moja au nyingine anaweza kulishughulikia.

“Hivyo, kwa barua hii, nakitaka chama chenu kuwasilisha maelezo ya kwa nini kisichukuliwe hatua za kisheria, kwa kukiuka Sheria ya Vyama vya Siasa na Kanuni za Maadili ya Vyama vya Siasa, kwa kuchochea wananchi kuandamana bila kufuata utaratibu wa sheria na kufanya vurugu,” ilieleza sehemu ya barua hiyo ambayo tayari Chadema ilishasema kuwa imeijibu.

Hukumu ya Sugu

Mbowe alizungumzia hukumu ya mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema) Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyasa, Emmanuel Masonga iliyotolewa juzi ya kuhukumiwa miezi mitano jela akidai ni mkakati ovu uliopagwa.

“Tunaheshimu sana Mahakama na Mahakama inapaswa kuheshimiwa lakini mawakili mmojammoja wanapofanya makosa wanaichafua Mahakama. Jaji Mkuu (Profesa Ibrahim Juma) alisema wanasiasa tusiingilie Mahakama, hatutaisema vibaya au kuihukumu hapana, tunawahukumu watendaji wa mahakama,” alisema Mbowe.

“Hukumu hii tuliijua siku nne kabla na mtakumbuka hakimu (Michael Mteite) tulimkataa toka mwanzo na sisi kama Chadema hatutaki kusema hatuna imani na Mahakama, lakini Jaji Mkuu kama alivyosema tusiingilie Mahakama na Jaji Mkuu anapaswa kujua hili na kama anataka kuanza, basi aanze na kesi hii ya Mbeya.”

Mbowe alisema amekuwa akiombwa na wanachama na wananchi kutoa kauli ya kulipiza kisasi kwa yanayowakuta lakini alisisitiza kwamba hatafanya hivyo akisema kutofautiana kiitikadi si kigezo cha kusababisha uvunjifu wa amani.

“Tupambane na watawala waovu na si wananchi kwa wananchi na wanaostahili kulaumiwa ni Serikali. Wanachama wa Chadema waendelee kuwa makini, tuchukue kila tahadhari kwani vyombo vinavyopaswa kutupa ulinzi havifanyi hivyo,” alisema Mbowe.

Majibu ya Mambosasa

Hata hivyo, Kamanda Mambosasa alisema tuhuma za Chadema dhidi ya jeshi hilo hazina mashiko huku akisisitiza kuwa polisi wanafanya kazi yao kwa weledi na ndiyo maana viongozi hao walikuwa wakihojiwa kituoni hapo.

“Muwaulize hao Chadema kwa nini tuhuma wazielekeze jeshi la polisi? Wao wenyewe wanajua ndiyo maana leo (jana) hii tunaendelea kuwahoji kwa kufanya maandamano bila ya kuwa na kibali jambo ambalo ni kosa,” alisema Mambosasa.

Polepole amjibu Mbowe

Polepole alipotafutwa kutoa maoni yake juu ya kauli hizo za Mbowe alisema, “Hatuna muda wa kulumbana siasa za madaraka. Mbowe asitafute mchawi nje ya chama chake na yeye mwenyewe. Anayetuharibia wigo wa demokrasia sasa hivi ni mtu ambaye anazungumza masuala ya kuhamasisha na kuleta taharuki. Anazungumzia kubeba majeneza ya Watanzania, mbona hajazungumza kubeba majeneza ya watoto wake. Mbona hasemi watoto wake wako wapi? Anapiga mawe polisi na kuandamanisha watu lakini watoto wake wako salama.”

Alisema siasa za namna hiyo hazileti maendeleo katika Taifa na kwamba CCM sasa inafuatilia kazi ambayo iliwaahidi Watanzania katika Uchaguzi Mkuu wa 2015.

Polepole pia alizungumzia madai ya Mbowe kuhusu hukumu ya Sugu na kusema, “Mtu kigeugeu ni mbaya sana. Mahakama ikiamua yeye mbunge wake halali, mahakama nzuri. Mahakama ikimhukumu mbunge wake Sugu na wengine wanaotoa lugha ya uchochezi na uongo na wanashindwa kuthibitisha, mahakama mbaya. Huo si ustaarabu wa uongozi ni ukigeugeu wa kisiasa.”

Zitto Afunguka Kuhusu Mwandishi wa Mwananchi Aliyepotea...Adai Gazeti Litoe Habari Aliyotuma Kabla ya Kupotea

$
0
0
Ameandika haya Kupitia ukurasa wake wa Facebook:

'Siku ya 100 leo mwandishi Azory Gwanda hajulikani alipo. Umefika muda Mwafaka Gazeti la Mwananchi lichapishe Habari ambayo Azory aliituma chumba cha Habari kabla ya kutekwa na kupotezwa.'Zitto Kabwe

Mwimbaji Misri Afungwa kwa Kuikashifu Mto Nile

$
0
0
Mwimbaji Misri Afungwa kwa Kuikashifu Mto Nile
Mwimbaji wa Misri Sherine Abdel Wahab amehukumiwa miezi sita gerezani kwa kutania juu ya hali ya usafi wa mto Nile.

Sherine, ni mmoja wa waimbaji maarufu nchini humo pia ni jaji katika kipindi cha mashindano ya waimbaji, The Voice- alimwambia mashabiki wake kuwa kunywa maji kutoka mto huo kunaweza kumpatia vijidudu.

"Kunywa Evian badala yake." akatania
Mwimbaji mwingine, Laila Amer, pia alihukumiwa siku ya Jummane kifungo cha miaka miwili kutokana na video ya muziki.

Bi Amer - ambaye hana umaarufu kama Sherine - alipatwa na hatia ya 'kuchochea ufitini na uovu". Muongozaji wa kipindi na muigizaji walihukumiwa kwa vipindi vifupi.

Sherine, amehukumiwa na mahakama moja Cairo kwa kusambaza habari zisizo za kweli. Chombo cha habari Misri, Ahram kimesema aliagizwa kulipa paundi 5,000 za Misri.

Mzaha
Mashtaka dhidi ya Sherine yalifunguliwa mwezi Novemba, baada ya kuonekana video mtandaoni ikimuonesha akiombwa kuimba wimbo uitwao Mashrebtesh Men Nilha (umewahi kunywa maji ya mto Nile?).akajibu ''Nikinywa maji ya mto Nile nitapata kichocho''. Kichocho ni ugonjwa unaojitokeza maeneo ya vijijini nchini Misri.

Mbali na kesi dhidi yake, Chama cha wanamuziki nchini humo kimetangaza kuwa kimempiga maruguku kuuimba wimbo huo kuhusu Misri.

Abdel Wahab baadae aliomba radhi kutokana na tukio hilo akiwa kwenye tamasha lililofanyika huko Jumuia ya falme za kiarabu zaidi ya mwaka mmoja uliopita.

Another singer, Shyma alihukumiwa kwa kucheza video ya maadili mabovu


Maamuzi ya mahakama yaliyotolewa siku ya Jumanne inafanya idadi ya wanamuziki kuhukumiwa kifungo kufikia watatu miezi ya hivi karibuni

Mwezi Desemba, Shaimaa Ahmed ajulikanaye kifupi Shyma alihukumiwa kifungo cha miaka miwili baada ya kuonekana kwenye Video ya muziki akiwa amevalia nguo za ndani huku akila ndizi kwa mbwembwe.

alikutwa na hatia ya kuweka video yenye maadili mabaya akahukumiwa sambamba na muongozaji wa video hiyo.Baadae hukumu ilipunguzwa na kuwa ya mwaka mmoja baada ya kukata rufaa.

Halmashauri Zapewa Wiki Moja

$
0
0

Halmashauri Zapewa Wiki Moja
Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi ametoa muda wa wiki moja kwa Halmashauri zote katika Mkoa huo kuhakikisha zinapata na kusambaza sumu na mabomba ya kuulia wadudu wanaoshambulia zao la Pamba.
Dkt. Nchimbi ametoa kauli hiyo wilayani Iramba kufuatia wakulima kulalamikia suala la ukosefu wa dawa na mabomba ya kupulizia sumu ya kuua wadudu wanaoshambulia zao la Pamba.

Aidha Dkt. Nchimbi amewataka wahusika wa kilimo katika halmashauri hizo kutoa elimu ya zao la pamba katika maeneo yote ya wakulima ili kuwasaidia kupata mavuno yanayoridhisha.

Kwa upande wa wakulima pia wamemwelezaMkuu wa Mkoa huyo juu ya changamoto wanazokumbana nazo ikiwemo uhaba wa vitendea kazi pamoja na pembejeo za kilimo kuwa ndio kinawakwamisha kufanya kilimo chenye tija.

Siku ya 100: Azory Gwanda Yuko Wapi?

$
0
0
Siku ya 100: Azory Gwanda Yuko Wapi?
Ni siku 100 tangu kutoweka kwa Mwandishi Azory Gwanda wa gazeti la Mwananchi nchini Tanzania aliyetoweka mwezi wa November mwaka jana.

Francis Nanai Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications, MCL, amesema wataisaida familia ya mwandishi huyo kwa kulipia ada za watoto,bima ya afya na mtaji biashara kwa mke wa Azory ili aweze kujikwamua kiuchumi.

Mpaka sasa MCL hawana ripoti yoyote toka chombo chochote cha ulinzi na usalama juu ya kupotea kwa Azory.


Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa awali na kampuni ya magazeti ya mwananchi, mwanahabari huyo wa kujitegemea alitoweka tarehe 21 Novemba.

Bw Gwanda alikuwa anaishi na kuripoti kutoka mji mdogo uitwao Kibiti, ambao upo kilomita kama 130 hivi kusini mwa Dar es Salaam.

Bwana Gwanda ni mmoja wa waaandishi wa kwanza kabisa kuripoti kwa kina juu ya mfululizo wa mauwaji yaliyokuwa yakitekelezwa na watu wasiojulikana yaliyowalenga polisi na viongozi wa mji huo.

Mauwaji hayo yaliyotokea miezi kadhaa tu iliyopita yalitia hofu kubwa mjini hapo.


Mke wake Anna Pinoni alisema watu wapatao wanne wakiwa kwenye gari aina ya Toyota Land Cruiser nyeupe walimchukua bwana Gwanda kutoka katikati ya mji huo, mahali ambapo hupendelea kukaa.

Anasema pia aliporudi nyumbani alikuta vitu vimezagaa, ishara kwamba inawezekana waliipekua nyumba yao.

Bw Azory aliwasiliana na ofisi za Mwananchi mara ya mwisho tarehe 20 Novemba kwa majukumu ya kikazi.
Viewing all 104776 articles
Browse latest View live




Latest Images