Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104747 articles
Browse latest View live

Timu ya Simba Yapata Pigo Mchezaji Wao Afariki Dunia

$
0
0
Timu ya Simba Yapata Pigo Mchezaji Wao Afariki DuniaMchezaji wa Zamani wa timu ya Simba SC na timu ya Taifa ya Tanzania, Arthur Mambeta amefariki dunia baada ya kuugua kwa kipindi kirefu jijini Dar es Salaam.


Kutoka na taarifa hizo, Afisa habari wa Simba Haji Manara amesema wamepokea ujumbe huo kwa mshtuko mkubwa kifo cha mchezaji huyo ambapo msiba wake unafanyikia Kigamboni.

"Tumepokea kwa mshtuko mkubwa kifo cha mchezaji wa zamani wa kimataifa wa klabu yetu ya Simba Arthur Mambeta ambae amefariki jana hapa jijini. Mambeta anakumbukwa sana na wanasimba pale alipotoka kwenye kustaafu soka na kuja kuisaidia klabu yake kuifunga klabu ya Yanga kwenye mchezo wa fainali Ligi kuu goli 1-0. Hiyo ilikuwa mwaka 1973 huko nyuma mchezaji huyo alikuwa ni mshambuliaji mahiri kabla ya kuja kucheza beki", amesema Manara.



                                        Marehemu Arthur Mambeta  enzi za uhai wake.

Uongozi wa EATV kwa pamoja unawapa pole wadau wa soka nchini, familia ya marehemu na klabu ya Simba kwa kuondokewa na mtu muhimu.

Breaking News: Milipuko Yatokea Katika Mahakama ya Kisutu

$
0
0
Mahakama ya Kisutu imekumbwa na hitilafu ya umeme leo baada ya mvua kunyesha na kusababisha mlipuko na sintofahamu mahakamani hapo.  Hitilafu hiyo ya umeme inadaiwa kutokea kwenye moja ya vyumba katika mahakama hiyoMahakama ya Kisutu imekumbwa na hitilafu ya umeme leo baada ya mvua kunyesha na kusababisha mlipuko na sintofahamu mahakamani hapo.

Hitilafu hiyo ya umeme inadaiwa kutokea kwenye moja ya vyumba katika mahakama hiyo

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha..Piga Simu Upate Muujiza Wako

$
0
0
SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN na Nyota

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

 ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO   HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, NA KUPONYA MAGONJWA SUGU ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

JE UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 654-836970
WhatsApp 0622766715

Kiba-100 Yamponza Roma Mkatoliki Basata Yampa Kifungo cha MieziSita

$
0
0
Kiba-100 Yamponza Roma Mkatoliki Basata Yampa Kifungo cha MieziSita
BARAZA la Sanaa Tanzania (BASATA) limemfungia Rapa Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ kwa muda wa miezi sita kutojihusisha na sanaa ya muziki kutokana na kutotii agizo la Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo lililomtaka kubadilisha maudhui ya wimbo wake wa KIBAMIA.

Kutokana na wimbo huo ambao Roma amewashirikisha wasanii wenzake, Stamina na Maua Sama, Basata walimuita na kumweleza arekebishe maudhui ya wimbo lakini inasemekana hakutekeleza agizo hilo hivyo BASATA wameamua kumfungia.

Rais wa TFF Azichimba Mkwara Simba, Yanga

$
0
0
Rais wa TFF Azichimba Mkwara Simba, Yanga
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ametamka kuwa hataruhusu klabu yoyote kucheza Ligi Kuu Bara kama itakuwa haijawakatia bima wachezaji wake watakaowatumia katika msimu wa 2018/2019.

Kauli hiyo, aliitoa kwenye ufunguzi wa semina ya utawala bora kwa klabu za ligi kuu na Ligi Daraja la Kwanza iliyofanyika jana Rombo Green View iliyokuwepo Ubungo jijini Dar es Salaam ambayo ilihusisha klabu kongwe za Simba na Yanga.

Semina hiyo, iliandaliwa na Kampuni ya Maendeleo na Utafiti wa Michezo (ISDI) kwa kushirikiana na Alliance Life Assuarance na TFF kwa lengo la kutoa elimu kwa viongozi wa klabu kujua jinsi ya utawala, kujiongoza na kutafuta wadhamini.

Akizungumza na Waandishi wa Habari kabla ya kufungua semina hiyo, Karia alisema kikubwa anataka kuona klabu maendeleo na mafanikio kwa klabu hizo huku akiamini kupitia semina hiyo wawakirishi hao watapata elimu nzuri.

Karia alisema, moja ya maendeleo anayotaka kuyaona ni klabu kuwakatia bima wachezaji wake ambalo amepanga kulisimamia mwenyewe na hataruhusu timu yoyote kucheza ligi kama itakuwa haijakamilisha zoezi hilo.

“Niseme kuwa, sitakuwa na masihala juu la hili la bima ni lazima kila klabu iwakatie bima ya afya wachezaji wake na uzuri wapo hapa Alliance Life Assuarance ambao wanausika na bima, hivyo tutazungumza nao kujua jinsi ya kufanya.

“Niseme kuwa, kama klabu haitakuwa imewakatia bima wachezaji wake, basi haitacheza ligi kuu msimu ujao na hilo nitahakikisha ninalisimamia vizuri na kama itakuwepo klabu imeshindwa kutimiza hilo basi itatakiwa kuwasiliana na bodi ya ligi tujue jinsi ya kuwasaidia ili wakatiwe bima,”alisisitiza Karia.



“Na hilo alitaangalia ukubwa wala udogo wa klabu ni lazima kila timu ifuate kanuni za ligi kuu ambazo tumeziweka,”alisema Karia.

Shilole Akutwa na Hati ya Utapeli Mahakama Yamuhukumu Kulipa Faini ya Milioni 14

$
0
0
Shilole Akutwa na Hati ya Utapeli Mahakama Yamuhukumu Kulipa Faini ya Milioni 14
MSANII wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amehukumiwa kulipa faini ya Tsh. Milioni 14 na mahakama ya Mwanzo Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam baada ya kupatikana na hatia ya utapeli kusababisha hasara kwa kushindwa kufika kwenye shoo.

Katika kesi hiyo iliyotolewa hukumu leo Machi 1, 2018, imethibitika kuwa Shilole alilipwa kiasi cha Tsh. Milioni tatu kwa Mary Musa kwa ajili ya kutumbuiza siku ya mkesha wa Pasaka mwaka jana 2017 katika Ukumbi wa Heineken uliopo Mbagala-Kijichi jijini Dar es Salaam lakini alishindwa kutokea kwenye shoo hiyo kama walivyokubaliana.

Kutokana na kitendo hicho,  mashabiki waliofika kwenye shoo hiyo walipandwa hasira na kufanya fujo huku wakiharibu mali ukumbini hapo hivyo kumsababishia mwandaaji ambaye ni Mary, hasara ya Tsh. Milioni 14 ambazo mahakama imeamua Shilole azilipe kama fidia kwa mlalamikaji.


Baada ya tukio hilo, Mary alifungua kesi mahakamani hapo akiomba kulipwa kiasi hicho cha fedha kama fidia ya hasara aliyoipata kutokana na Shilole kushindwa kufika lakini msanii huyo anadaiwa kupuuza wito wa mahakama.

Akisoma hukumu hiyo, hakimu wa mahakama ya Mwanzo Kinondoni, A. P. Mshingwa amesema Shilole amekuwa akitumiwa wito mara kwa mara na mahakama afike kusikiliza kesi yake lakini amekuwa akikaidi kufanya hivyo hadi mahakama ilipomuandikia wito mwingine kwenye Gazeti la Uhuru lakini hakufika pia.

Shilole aliambatana mahakamani hapo na mumewe, Uchebe,  na wakili wake ambaye baada ya kufuatwa kwa mahojiano na Global TV, alikataa kutaja jina lake wala kuzungumza chochote kuhusu kesi hiyo.

Mahakama imemuamuru azilipe pesa hizo haraka ndani ya wiki moja vinginevyo mali zake zitaanza kukamatwa.


Hali ya Neymar Bado Tete Kurudishwa kwao Brazili

$
0
0
Hali ya Neymar Bado Tete Kurudishwa kwao Brazili
Klabu ya Paris Saint-Germain imefikia maamuzi ya kumpeleka nyota wa timu hiyo, Neymar Jr nchini Brazili kwaajili ya upasuaji wa kifundo chake cha mguu kufuatia kuumia katika mchezo waliyochomoza na ushindi wa 3 – 0 dhidi ya Marseille.



Neymar mwenye umri wa miaka 26, atasafirishwa hadi Brazili wiki hii kwaajili ya matibabu huku madaktari kutoka ndani ya klabu ya PSG na timu yake ya taifa ya Brazili wakishirikiana pamoja kuhakikisha mshambuliaji huyo ghali zaidi duniani anarejea katika hali yake ya kawaida.



Taarifa iliyothibitishwa na klabu ya Paris Saint-Germain ya nchini Ufaransa hapo jana siku ya Jumatano ni kuwa mshambuliaji huyo ataukosa mchezo wa marudiano wa klabu bingwa barani Ulaya dhidi Real Madrid.



Baada ya matibabu ya siku tatu yaliyo waunganisha madaktari wa pande zote mbili klabu ya Paris Saint-Germain na timu ya taifa ya Brazil mchezaji mwenyewe Neymar Jr amependekeza kutibiwa nchini kwao mwishoni mwa wiki hii.

Atakuwa chini ya Dr. Rodrigo Lasmar kwa upande wa Brazili na Profesa Saillant atakayeiwakilisha PSG.

Meneja wa PSG, Unai Emery hapo hawali alisema kuna uwezekano mdogo kwa Neymar kuwepo katika mchezo ujao wa klabu bingwa siku ya Jumanne dhidi  ya Real Madrid.

PSG, itakosa huduma ya Neymar  dhidi ya mwenye jumla ya mabao 19  na pasi 13 zilizochangia mabao msimu huu Ligue 1.

Haji Manara Awatupia Vijembe Yanga "Kipindi cha Mashaka Kimewadia Mashabiki wa Simba Twendeni Tukawaokeo Yanga"

$
0
0
Haji Manara Awatupia Vijembe Yanga "Kipindi cha Mashaka Kimewadia Mashabiki wa Simba Tw
Afisa Habari wa Klabu ya Simba SC, Haji Manara amefunguka na kuwataka mashabiki wa wekundu wa msimbazi popote walipo Jijini Dar es Salaam wajitokeza kuenda kuwapa msaada kuwaokoa Yanga SC kufuatia mvua zinazoanza kunyesha.


Manara ametoa kauli hiyo ikiwa ni mzaha unaoendana na hali halisi ya uwanja wa wanajangwani uliyoopo katika bonde la Jangwani ambapo mvua ikinyesha eneo lote linageuka na kuwa bahari huku baadhi ya wakazi wa maeneo hayo hupelekea mpaka kupoteza mali zao, kubomokewa nyumba na kukosa mahali pa kulala.

"Kipindi cha mashaka kimewadia, 'always' nawaambia soka si uadui. Wanamsimbazi popote mlipo hapa Dar es Salaam, twendeni tukaokoe jamaa zetu tusiwaachie kitengo cha maafa pekee....Mvua ni kubwa na inahatarisha uhai na mali za wakazi wa mabondeni", amesema Manara.

Hali ya hewa ya leo Alhamisi katika Jiji la Dar es Salaam lilozoeleka kuwa na joto kali siku zote , limekuwa la tofauti baada ya kubarikiwa mvua tokea alfajiri katika baadhi ya maeneo.

Rais Akutana na Uongozi wa Tume ya Uchaguzi kwa Mazungumzo

$
0
0
Rais Akutana na Uongozi wa Tume ya Uchaguzi kwa MazungumzoRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Shein amekutana na uongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kusisitiza haja ya kuendeleza umoja na ushirikiano kati ya Tume hiyo na ya Zanzibar (ZEC) ili Tanzania iendelee kuheshimiwa


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza jambo na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Jaji Semistocles Kaijage, Ikulu Zanzibar.

Dkt. Shein amesema hayo leo alipokutana na kufanya mazungumzo na uongozi wa NEC, Ikulu mjini Zanzibar ulipofika kwa ajili ya kujitambulisha ukiongozwa na Jaji Semistocles Kaijage Mwenyekiti wa Tume hiyo akifuatana na Makamu Mwenyekiti Jaji Mkuu Mstaafu wa Zanzibar Hamid Mahmoud Hamid pamoja na Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima Ramadhani.

Katika Mazungumzo hayo, Dkt. Shein aliupongeza uongozi huo kwa kuendeleza umoja na ushirikiano uliopo kati ya (NEC) na (ZEC) na kusisitiza haja ya kuendelezwa ili kuendelea kuijengea sifa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuendelea kufanya kazi zao kwa ufanisi mkubwa.

"Ushirikiano wa pamoja utasaidia kwa kiasi kikubwa kuendeleza majukumu kwa Tume zote mbili hasa ikizingatiwa kuwa kila upande una uzoefu wake ambapo kwa Zanzibar masuala ya uchaguzi hasa wa vyama vingi yalianza tokea mwaka 1957 na baadae kuendelea hadi hivi leo. Nimevutiwa na mafanikio yaliopatikana na Tume kutokana na kutekeleza majukumu yao. vyema yakiwemo ya kuhakikisha wananchi wanatumia haki yao ya msingi ya kupiga kura, wanaendesha chaguzi, wanasimamia na hatimae wanatoa matokeo kwa wakati", amesema Dkt. Shein.


"Matumaini yangu makubwa kuwa Mwenyekiti huyo ataendeleza vyema majukumu yake kama alivyofanya Mwenyekiti aliyekuwa kabla yake Jaji Mstaafu Damiani Lubuva ambaye muda wake wa kushika wadhifa huo umemaliza kwa kutoa ushirikiano mzuri na NEC sambamba na kutekeleza vyema majukumu yake".

Pamoja na hayo, Rais Dkt. Shein amesema kuwepo kwa ofisi za kudumu NEC Zanzibar ni suala la lazima na kuahidi juhudi za makusudi zitachukuliwa na serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutekeleza jambo hilo ili kurahisisha shughuli za tume hiyo.

Kwa upande wake, Jaji Semistocles Kaijage amempongeza Rais Dkt. Shein kwa kuendelea kuingoza vyema Zanzibar kutokana na ushindi mkubwa alioupata katika Uchaguzi Mkuu uliopita ambao umemuwezesha kuendelea kuiongoza Zanzibar kwa kipindi cha pili.

Kilichosababisha Moto Kuzuka Katika Mahakama ya Kisutu

$
0
0
Kilichosababisha Moto Kuzuka Katika Mahakama ya Kisutu
Leo March 1, 2018 Kumetokea hali ya taharuki katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar Es Salaam baada ya kutokea kwa mlipuko wa moto uliosababishwa na Transfomer.

Akizungumza na waandishi wa habari, Mtendaji wa Mahakama hiyo, Gasto Kanyairita amesema kuwa moto huo umetokea majira ya saa 4 asubuhi.

Amesema kuwa wakati mlipuko huo unatokea kulikuwa na kesi nyingi zikiendelea mahakamani.

“Baada ya kufatilia tulibaini kuwa ni transformer ambapo ilisababisha kuungua kwa waya wa TTCL, simu na Internet ambapo shughuli za mahakama zilisitishwa kwa muda,” -Gasto Kanyairita

Pia amesema shughuli za mahakama zinaendelea ambapo Data za kesi zipo salama.

“Niwatoe hofu Watanzania mlipuko uliotokea ni wa shoti ya umeme na ni kawaida kutokea, hivyo waepukane na taarifa za uongo,”-Gasto Kanyairita

Una Haki ya Kulaumu Ili Upumue- Nape Nnauye

$
0
0
Una Haki ya Kulaumu Ili Upumue- Nape Nnauye
Mbunge wa jimbo la Mtama kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe. Nape Nnauye amefunguka na kudai kutohusika na kupanga mambo mbali mbali yanayoendelea nchini baada ya kutuhumiwa kufanya hilo na mmoja wa raia.


Nape Nnauye amefunguka hayo wakati akijibu moja ya hoja ya mtu aliyemtuhumu yeye kama Mbunge wa CCM na kusema kiongozi huyo anajua na kuona haki za raia zikivurugwa

"Naamini unaitwa Kusiluka,nimesoma lawama zako kwangu,una haki ya kulaumu ili upumue, lakini kuna kikao nimeshiriki kupanga hayo unayonituhumu?! Nadhani kuwa mkweli kwa nafsi yako tuhuma hizo ni nzito si sawa kuzisema bila kuwa na hakika, sihusiki na hayo usemayo na nayalaani pia" Alidai Nape Nnauye

Nape Nnauye aliwataka Watanzania kwa pamoja kuwasha mishumaa ya matumaini na hapo ndipo mtu huyo alipoibuka mwananchi huyo na kusema kuwa kiongozi huyo yeye anatambua na kujua kinachoendelea nchini sasa, jambo ambalo Nape Nnauye amelikana na kusema hata yeye analaani kwa vitendo vinavyoendelea nchini.


Ashtakiwa Kumnyanyasa Kingono Mtoto Kipofu

$
0
0
Ashtakiwa Kumnyanyasa Kingono Mtoto Kipofu
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 31 amefikishwa mahakamani nchini Kenya baada ya kushtakiwa kwa kosa la unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya mtoto kipofu mwenye umri wa miaka 17 katika eneo la Kiandutu huko Thika nchini humo.

Mshtakiwa huyo Catherine Syokau, ambaye ni mama wa watoto saba, alifikishwa mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Grace Omodho ambapo mtuhumiwa alikanusha mashtaka hayo na akaachiliwa kwa dhamana ya Ksh.500,000.

Imeelezwa kuwa mwanamke huyo alikwenda kwa siri kwenye chumba anachokaa mtoto huyo ambacho ni cha kupanga jioni ya Februari 25, 2018 ambako alianza kumvua nguo mtoto huyo na kumshawishi, kisha kuanza kumchezea sehemu zake za siri.

Mwanamke huyo pia anashtakiwa kumtishia kwa kisu mtoto huyo ya kwamba atamuua kama atasema kilichotokea.

SOMA Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

Hatimaye Wastara Arejea Nchini Akitokea India kwa Matibabu

$
0
0
Hatimaye Wastara Arejea Nchini Akitokea India kwa MatibabuMSANII wa Bongo Movie, Wastara Juma amerejea Tanzania leo Alhamisi, Machi 1, 2018 akitokea  India alikokuwa akitibiwa mguu na mgongo katika Hospitali ya Saifee, Mumbai.

Akifanya mahojiano LIVE na Global TV Online, Wastara amesema kwa sasa yuko ‘fiti’ baada ya kupata matibabu hospitalini na anaweza kusimama mwenyewe na kutembea tofauti kipindi cha nyuma ambapo ilikuwa lazima atumie baiskeli ya walemavu (wheel chair).


“Nilivyofika nilipokelewa kama wagonjwa wengine, nikapata vipimo vya awali na kupewa kitanda, baadaye walikuja madaktari kwa nyakati tofauti ambao walinipima mguu, tumbo na mwingine mgongo. Walibaini maambukizi kwa ndani hivyo nilifanyiwa upasuaji kuuondoa.

“Madaktari waligundua nilikuwa na tatizo la kupungukiwa damu, uvimbe kwenye mguu uliokuwa umekatwa, pia niligundulika kuwa na uvimbe kwenye utumbo na sikuwa najua ambapo nilifanyiwa upasuaji. Hivyo vyote nilifanyiwa upasuaji na kupatiwa dawa.

“Mbali na hivyo nilibainika kuwa na mpasuko kwenye fuvu ‘fracture’ ambayo nimeambiwa nitarudi tena kutibiwa kwani inaweza kuniletea matatizo baadaye. Kwa sasa namshukuru Mungu licha ya kushonwa upya na kupewa mguu mpya, ninaendelea vizuri, mguu ninaufanyia mazoezi. Lakini kwa mgongo maumivu yanazidi kupungua polepole wakati nikifanya mazoezi,” alisema Wastara.

Aidha, Wastara amemshukuru tena Rais John Magufuli kwa kujitoa kwake kumsaidia kufanikisha matibabu yake;

“Namshukuru Rais Magufuli kwa kujitoa kwake, ndoto yangu ilikuwa siku moja nisimame niweze kufanya kazi zangu, na leo hii imewezekana. Kusimama kwangu kunawafanya watu wengi walioko nyuma yangu wanaonitegemea kufanikisha maisha yangu. Uzima huu nilikuwa nauhitaji kwa ajili ya kufanya kazi na hivi karibuni nitasimama,” alisema akielezea shukurani zake kwa rais.

Kikosi Maalumu cha Kufatilia Madereva Wanaotoa Rushwa kwa Askari Chaundwa

$
0
0
Kikosi Maalumu cha Kufatilia Madereva Wanaotoa Rushwa kwa Askari Chaundwa
Jeshi la polisi mkoani Pwani limeanzisha kikosi kazi maalumu kwa ajili ya kufuatilia madereva wanao washawishi askari kupokea rushwa pindi wanapokutwa na makosa mbalimbali ya usalama barabarani.




Kamanda wa polisi mkoani Pwani Jonathan Shanna

Kamanda wa polisi mkoani Pwani Jonathan Shana amebainisha hayo wakati alipokuwa anazungumza na waandishi wa habari na kusema Jeshi hilo litawapandisha vyeo askari watakao wakamata madereva wanaojaribu kuwashawishi wapokee rushwa.

"Kikosi kazi hicho kimeundwa na makachero kimeshaanza kazi na hatua za kisheria zitachukuliwa mara moja kwa madereva watakaokutwa na makosa hayo ikiwa ni pamoja na kufikishwa Mahakamani. Mkakati huu umewekwa kwa lengo la kupunguza ajali pia utalenga kuwafungia leseni madereva na kutangaza kwenye vyombo vya habari makampuni yote ya mabasi ambayo yatakuwa yamekithiri kwa makosa ya mwendo kasi", amesema Kamanda Shana.

Aidha, Kamanda Shana amesema watafanya ukaguzi wa magari ya mizigo yanayobeba abiria hususani yale yaendayo kwenye magulio mbalimbali, pia magari aina ya noah yanayozidisha abiria pamoja na yale yanayobeba wanafunzi bila ya kuwa na ubora.

Wakati huo huo Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani humo Abdi Issango amesema zoezi la ukaguzi na utoaji  wa stika za usalama barabarani kwa magari binafsi madogo limeanza leo na kuwataka madereva wote kufuata sheria za usalama barabarani sambamba na kuhakikisha magari yao ni salama kwa ajili ya safari.

Mkoa wa Pwani umefanikiwa  kupunguza ajali kutoka 396 kwa mwaka 2016, hadi kufikia ajali 103 kwa mwaka jana sawa na asilimia  73.98.


Ney wa Mitego Aponea Kwenye Tundu la Sindano Ahaidi Kubadirika

$
0
0
Msanii wa bongo fleva nchini Tanzania Emmanuel Elibariki maarufu kama Ney Wa Mitego leo amenusurika kufungiwa kujihusisha na shughuli za mziki ambapo leo aliitwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo  Mh, Juliana Shonza na kuhojiwa na kukiri makosa na kuahidi kubadilika

Ney wa Mitego Aponea Kwenye Tundu la Sindano Ahaidi Kubadirika

$
0
0
Image result for nay wa mitego

Msanii wa bongo fleva nchini Tanzania Emmanuel Elibariki maarufu kama Ney Wa Mitego leo amenusurika kufungiwa kujihusisha na shughuli za mziki ambapo leo aliitwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo  Mh, Juliana Shonza na kuhojiwa na kukiri makosa na kuahidi kubadilika

Wastara Arejea, Asema Fedha za Matibabu Hazikutosha

$
0
0

Msanii wa filamu, Wastara Juma amerejea nchini leo akitokea Mumbay nchini India alikokuwa anapatiwa matibabu ya mgongo na mguu na kuwashukuru Watanzania kwa namna walivyojitokeza kumchangia fedha za matibabu, ingawa hazikutosha na kulazimika kuuza baadhi ya mali zake.

Akizungumza na MCL Digital leo Machi 1, 2018 nyumbani kwake Tabata ikiwa ni saa chache baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, amesema baada ya kufika hospitali alikutwa na matatizo mengine zaidi ya aliyokuwa nayo jambo lililosababisha gharama za matibabu kuwa kubwa.

Wastara alifanikiwa kwenda kwenye matibabu hayo, Februari 3, 2018 baada ya kupata michango kutoka kwa watu mbalimbali akiwemo Rais John Magufuli aliyemchangia Sh15 milioni.

Amebainisha kuwa matatizo aliyokutwa nayo ni pamoja na uvimbe chini ya kalio na kwamba, ndilo lilikuwa sababu ya kukaukiwa damu pamoja na kubainika kuwa na uvimbe kichwani uliotokana na kupata ajali zaidi ya mara tatu.

“Kutokana na matatizo haya ilifika mahali pesa nilizokwenda nazo ziliniishia na kulazimika kuwaomba ndugu zangu wauze baadhi ya mali zangu, ikiwemo kamera ili niweze kuendelea na matibabu,” amesema.

“Mtu umeshafika kwenye matibabu tena nchi za watu unafanyaje? Kurudi bila kutibiwa huwezi. Nililazimika kuwasiliana na ndugu zangu ili wauze baadhi ya vitu vyangu niweze kutibiwa maana afya yangu ni muhimu kuliko kamera.”

Mwanamuziki FID Q Achukizwa na Basata Baaada ya Kumfungia Roma...Adai ni Kukomoana

$
0
0

Fid Q Ameshangazwa na kitendo cha Serikali kupitia Basata kumfungia Roma miezi sita bila kujihusisha na Sanaa 

Ameandika haya kupitia Ukurasa wake wa Twitter:

Fareed Kubanda
"Na hili suala la kumfungia msanii asifanye kazi zake za sanaa kwa miezi sita,kisa tu kwenye mziki wake kuna neno moja au hata 10 yenye ukakasi sio sahihi...kuzizuia zisichezwe kwenye radio na TV ilikua ni adhabu tosha kabisa @BasataTanzania hii tabia ya KUKOMOANA mmeitoa wapi? "

Diva: Siwezi Kutembea Kimapenzi na Mwanaume Yeyote wa Bongo Movie Kwakuwa Hawajui Kingereza

$
0
0

Yule mtangazaji mzuri kuliko watangazaji wote nchini na ambaye hivi karibuni aliweka wazi kuwa yeye mahari yale haipungui million 200am ezidi kuongeza vigezo vya mwanaume anaye hitaji kumuoa au kuwa na yeye kwenye mahusiano.

Diva the boss akihojiwa na kituo fulani aliweka wazi kuwa kamwe hatoweza kuwa na mahusiano na mwanaume yeyote wa bongo movie kwakuwa hawajui kingereza na yeye anapenda mwanaume mwenye akili nyingi na anayejua kingereza.
Viewing all 104747 articles
Browse latest View live




Latest Images