Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104414 articles
Browse latest View live

Mmiliki wa Facebook Aomba Radhi kwa Kashfa ya Kuingilia Data za Watimiaji wa Facebook

0
0

Mwanzilishi wa mtandao wa Facebook Mark Zuckerberg kwa mara ya kwanza tangu kuzuka kwa kashfa ya Cambridge Analytica,ameibuka na kudai kwamba wamefanya makosa. Analytica inatuhumiwa kuingilia data za watumiaji million 50 wa mtandao wa Facebook.

Katika ujumbe wake kupitia ukurasa wake wa Facebook Zuckerberg amesema kitendo hicho kimewavunjia uaminifu. Hivyo kutokana na hali hiyo ameahidi kufanyika mabadiliko kadhaa ili kutoingiliwa na kuibwa kwa taarifa za watumiaji wake.

AmesemaThe CEO said: "Tuna wajibu wa kuzilinda taarifa zenu,na kama tukishindwa kuzilinda hatuna sifa ya kuwahudumia,mimi ndiye niliyeanzisha mtandao huu wa Facebook,mwisho wa siku nina wajibika kwa chochote kinachotokea katika mtandao wetu."Amesema Zuckerberg.

Nini ambazo Zuckerberg ameahidi kukifanya?

Katika kufuatilia matatizo ya sasa nay a zamani amesema atafanya mambo yafuatayo


Kuchunguza mitandao yote ambayo inashirikiana na uga wa Facebook kabla ya kufanyiwa mabadiliko yam waka 2014 ya namna ya kuweza kupata taarifa ya watumiaji.
Kufanyia uchunguzi kazi za program za kimitandao zinazotiliwa shaka
Kupiga marufuku mwanzilishi wa program yoyote ambayo inagoma ama haitoi ushirikiano katika uchunguzi pamoja na hatua nyingine ambazo wanaona zita pafanya Facebook kuwa mahala salama.


Mchambuzi wa BBC wa masuala ya kimitandao Dave Lee, BBC kutoka America Kaskazini,anasema kwamba kile anacho kiona ni Facebook kwamba hawapo tayari kuomba radhi kwa kile kilichotokea.

Na pia amesema hakuna maelezo yoyote kwa wizi wa taarifa zake uliofanyika mwaka 2014,hapo ilikuwa ni wakati muafaka kuchukua hatua sitahiki.

Umuhimu wa Kujiongeza Katika Maisha ya Mafanikio

0
0


Siku ya leo nataka tuzungumzie namna ambayo una uwezo mwingine wa kutenda jambo jingine ambalo linaweza kukupa mafanikio makubwa kwa upande wako tofati na hilo ulitendalo sasa. Unajua nataka tuzungumzie hili kwa sababu wetu wengi hawafahamu uwezo mwingine walionao, ambao unaweza kuutumia ili uweze kukamilisha jambo jingine ambalo Mwenyezi mungu kakujalia kiulitenda.

Watu wengi hudhani ya kwamba hicho ambacho wanakifanya ndicho ambacho wamepangiwa kufanya. Kwa mfano mtu ni mfanyabishara fulani, labda huenda mtu akawa amesomea kitu fulani, basi baada kuweza kubobea katika kipengekle hicho, basi anaweka mipaka katika kitu hicho pekee.

Ukweli haipo hivyo hata chembe, kwani kila binadamu binadamu kaumbwa  na uwezo mwingine wa kufanya vitu vingi ambavyo vitaweza kumuinua kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine ya kimafanikio. Hata kanuni ya kufanya mazoezi ya mwili inasema ya kwamba huwezi kutengeneza six park kwa kufanya mazoezi ya aina moja pekee kila wakati, bali unaweza kutengeza six park kwa kufanya mazoezi ya aina tofauti tofauti.

Kwa  muktadha huo kama kweli unataka kufanikiwa zaidi ya hapo ulipo sasa, unachotakiwa kufanya ni kuweza kutambua uwezo mwingine ambao mwenyezi Mungu kakuwekea ndani yako, ili uweze kujipatia mkate wako wa kila siku.

Hata mwandishi mmoja aitwaye Antony Robbison aliwahi kuandika ya kwamba “if you do what you have done you will get what you always gotten” hii ikiwa na maana “kama utafanya mambo yaleyale ambayo umekuwa  ukifanya siku zote, utapata yale yele ambayo siku zote umeyapata”. Naomba urudie kusoma tena aya hii ili uielewe vizuri.

Kwani aya hiyo ipo wazi kabisa kama umezoea kufanya mambo yale yale kwa njia ile ile basi matokeo yake, yatakuwa ni yaleyale. Hivyo ili uweze kupata matokeo ya iana tofauti  na uliyoyazoea, unachotakiwa kufanya kubomoa uzio wako wa kufikiri kwa kuanza kubadili ratiba ya kutenda mambo yako ya msingi. Lakini pia ongeza uzio wa kufanya mambo yako  kwani binafsi naamini una kitu kingine cha kufanya zaidi ya hicho ambacho unakifanya.

Mwisho nimalizie makala haya kwa kusema ukitaka kwenda mbali zaidi katika mambo yako ya msingi acha kujenga uzio ambao utakufanya ushindwe kuona fursa nyingine,  bali unachotakiwa kufanya ni kubomoa uzio huo ili uweze kuona fursa mbalimbali ambazo zimejificha, kwani pindi unavyoacha ukuta huo ni kule kutengeneza uwezo wako wa kulalamika, na mwisho wa siku kuelekea jehenamu ya umasikini.

Narudia kwa kusema tena pale unaposhindwa kujiongeza ni kutengeneza jehanamu ya umaskini. Usiogope na kusema afisa mipango anakutisha hapana,  ila kazi yangu ni  kukwambia ukweli ambao upo wazi, kwani nafasi uliyonayo sasa unachotakiwa kufanya ni kuwaza ni namna gani utaweza kufika mbali zaidi.

Kwani umuhimu wa kujiongeza kunamsaidia mtu kuweza kuwa milango mingi ya kuweza kufanikiwa zaidi. Pia faida nyingine ya kujiongeza humsaidia mtu kuweza mbunifu zaidi kwa kile akifanyacho. Na ubunifu humsaidia mtu aweze kujilikana na ukijulikana ndo mwanzo wa mafaniko yenyewe.

Mpaka kufikia hapo sina la ziada naomba kazi ibaki kuwa kwako kwa kuamua kwenda kuyatekeleza hayo ambayo nimekwambia. Asante.


Khadija Kopa: Najuta Kutoa Mimba

0
0

Malkia wa muziki wa Taarab Afrika Mashariki na kati kama anavyojiita mwenyewe, Khadija Omar Kopa, ameweka wazi juu ya tukio lake alilowahi kufanya wakati yupo kijana la kutoa mimba, na kwamba anajutia kwa maisha yake yote.

kizungumza kwenye kipindi cha #KIKAANGONI kinachorushwa kupitia ukurasa wa facebook wa East Africa Television, Khadija amesema mimba hiyo aliipata akiwa kijana na akiwa kwenye chati, hivyo akaona itamuharibia mipango na kuamua kutoa, lakini ni jambo analomuomba Mungu amsamehe kwani si jambo zuri kulifanya.

“Najuta kwa kweli wakati ule ndio jina limesimama kweli kweli na mimba wapi na wapi, ukute mwanangu angekuwa rais sasa, namuomba Mungu anisamehe, najuta sana na vijana msifanye hilo. Mungu naomba anisamehe sitaki kulisikia tena jambo hilo”, amesema Khadija Kopa.

Khadija Kopa ameendelea kwa kuwataka mabinti kutofanya jambo hilo na kujiepusha nalo, kwani ni ujinga na siyo kitu kizuri.

“Kutoa mimba ni ujinga sana, maana saizi ningekuwa na watoto wangu kama saba, hivyo mabinti zangu nawashauri msije kutoa mimba kwani ni kitu kibaya sana”, amesema Khadija Kopa.

Waziri Asimamishwa na Bunge kwa Kumpiga Mbunge

0
0

Bunge la Zambia limemsimamisha waziri kwa muda wa mwezi mmoja asihudhurie vikao kutokana na kosa la kumpiga mbunge kwenye viwanja vya Bunge.

Spika wa Bunge la Taifa, Patrick Matibini amesema Waziri wa Jimbo la Lusaka, Bowman Lusambo amesimamishwa baada ya kumchapa kibao mbunge Chishimba Kambwili hapo Oktoba mwaka jana, na kusema kwamba tabia hiyo haikubaliki dhidi ya mbunge.

"Hili ni Bunge la heshima, nina wajibu wa kuhakikisha kwamba heshima na haiba ya Bunge inalindwa na inahifadhiwa wakati wote," amesema spika huyo.

Kutokana na kusimamishwa huko Waziri Lusambo hatapata marupurupu na mshahara kama mbunge kwa mwezi wote anaotumikia adhabu.

Imeelezwa kwamba ni jambo la kawaida kwa wabunge kutumia lugha isiyofaa na kuleta mizozo, lakini kwa kitendo cha Waziri kumpiga mbunge hakikuwa cha kuvumilika.

Boko Haram Yawaachia Huru Wanafunzi wa Kike Nigeria

0
0

Serikali ya Nigeria imethibitisha kuwa wengi kati ya wanafunzi wa kike 110 waliokuwa wametekwa na kikundi cha Boko Haram zaidi ya mwezi mmoja uliopita wameachiwa Jumatano asubuhi.

Shirika la habari la AFP limeripoti kuwa wasichana hao waliletwa katika mji wa Dapchi ulioko upande wa Kaskazini mwa Nigeria wa Jimbo la Yobe baada ya wale waliokuwa wanawashikilia kuwarejesha katika msafara ulioandamana na magari 9.

Ripoti za vyombo vya habari zimesema wasichana watano kati ya hao walikufa wakati wakisafirishwa, lakini afisa wa serikali wa jimbo la Yobe amesema hili bado halijaweza kuthibitishwa.

Waziri wa Habari wa Nigeria Lai Mohammed amesema kuachiwa kwa wasichana hao mapema asubuhi “bila masharti” kulitokana na “juhudi za kisiri” zikisaidiwa na “baadhi ya marafiki wa nchi hiyo.”

“Wasichana 91 na mvulana mmoja wameelezewa kuwa wameachiwa. Hayo ndio yaliyojiri,” amewaabia waandishi.

“Wengi kati ya wasichana hao, wengi wa wanafunzi hao walioachiwa huru hawakuletwa wote sehemu moja. Waliachwa njiani na wao wenyewe walirudi majumbani kwa wazazi wao.

Vyanzo vya habari nchini Nigeria vimetoa habari kuwa wakazi wa eneo la Dapchi walikuwa wanafurahia kuachiwa kwa watoto hao.

Wazazi ambao hapo awali walikuwa wanamsiba kwa kutekwa kwa vijana wao hivi sasa wanasheherekea kurudi kwao.

Ajali ya Lori Kigoma Lasababisha Vifo vya Watu Saba

0
0

Watu saba wamefariki dunia katika ajali ya gari aina ya Scania iliyotokea katika Kijiji cha Mkongoro, Barabara ya Manyovu Wilaya ya Kigoma Vijijini.

Kamanda wa Polisi mkoani Kigoma, Martin Otieno amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kuongeza kuwa chanzo cha ajali hiyo ni dereva kushindwa kuimudu gari kwenye mteremko.

Amesema ajali hiyo imetokea jana Jumatano Machi 21, saa tatu asubuhi katika Mlima wa Kasagamba ambapo lori lenye namba T741AAB  lilianguka na kusababisha vifo vya watu saba akiwamo dereva wa gari hiyo aliyefahamika kwa jina la Siri Hamis (43) mkazi wa Singida pamoja na utingo wake aliyefahamika kama Ramadhani Saidi (23).

“Katika gari hiyo walikuwa wamebeba mizigo na watu wanne mmoja mwanamke na watatu wanamume ambapo wengine waliofariki na majina yao hayakufahamika mara moja.

“Ajali hiyo pia imesababisha kifo cha mwanafunzi aliyefahamika kwa jina la Eliakimu Samsoni (15 ), aliyekuwa akitembea kwa miguu kuelekea shuleni na gari hilo kumgonga akiwa anatembea,” amesema Kamanda Otieno.

Fatma Karume Ajitosa Kumrithi Tundu Lissu Urais TLS

0
0

Wakili wa kujitegemea, Fatma Karume amejitosa kumrithi Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu kwa kugombea urais wa Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS), utakaofanyika Aprili 14, mwaka huu.

Lissu, ambaye aliteuliwa kugombea nafasi hiyo lakini ameshindwa kukidhi matakwa ya kamati kutokana na fomu ya uteuzi iliyowasilishwa kwa sekretarieti hiyo.

Kwa mujibu wa sheria mpya, Lissu hataweza kugombea tena nafasi hiyo kwani kifungu cha nane cha sheria hiyo, kinamzuia mtu ambaye ni kiongozi wa chama chochote  cha siasa, kuongoza chama hicho.

Katika kinyang’anyiro hicho, Fatma atachuana na Godwin Mwapongo, Godfrey Wasonga na Godwin Ngwilimi huku nafasi ya umakamu wa rais ikiwa na mgombea pekee, Rugemeleza Nshalla na Mweka Hazina akiwa Sadock Magai.

Kwa mujibu wa taarifa ya Mwenyekiti wa Kamati ya Uteuzi wa chama hicho, Dk. Kibuta Ongwamuhana, uchaguzi wa rais utatanguliwa na viongozi wa kanda utakaofanyika kila mkoa kuanzia Machi 27, mwaka huu.

Wakizungumzia uchaguzi huo baadhi ya mawakili wamesema wanamtabiria Fatma ushindi wa kishindo kutokana na kuwa na kariba inayofanana na Lissu.

“Fatma atashinda kwa sababu anapenda mtu mwenye ‘tension’ na ni mtu mwenye kujiamini anaweza akaitetemesha serikali na wanasheria wanapenda hivyo,” amesema mawakili wa kujitegemea ambaye hakutaka jina lake litajwe.

Wakili mwingine alisema ingawa sheria hiyo inamkataza Lissu kugombea ambapo walipanga kumchagua tena mwaka huu lakini Fatma anaweza kuziba pengo la Lissu.

Je Unasumbuliwa na Uzito wa Mwili na Unahitaji Kupungua Bila Madhara?

0
0
Kama ilivyo katika shughuli nyingine za kibinadamu zenye mpangilio maalum, kupunguza uzito uliozidi lazima uende sambamba na do’s na dont’s zake yaani fanywa na siofanywa. Fanywa/do’s

Jitambue na kubali kwamba unaugua unene na ili kujitibu ni lazima kuwa na adabu katika matibabu hayo. Tambua kwamba vyakula vyoote ni vizuri ILA kula vilivyo rafiki na salama kwa zoezi lako la kupunguza uzito. Tambua kiwango cha chakula unachokihitaji na ule kwa usahihi Tambua muda sahihi unaotakiwa kula na ule kwa wakati

MUHIMU(DONT’S/VISIVYOFANYWA)

Unapopunguza uzito ni kuwa unapunguza mafuta na tindikali ya ziada vilivyorundikana mwilini mwako kwahiyo ni lazima kula milo sahihi inayokuepusha kuongeza mafuta zaidi lakini pia kutouongezea mwili vyakula vyenye kuutengenezea asidi au tindikali nyingi. Hivyo ni vyema kuzingatia kiasi cha chakula kwasababu kuwa mnene unamaanisha unanguvu mwili nyingi usizozihitaji zimejirundika mwilini na mwili umezigeuza mafuta ndio hayo manyama uzembe.

Unatakiwa kupangilia ulaji ili uruhusu mwili kusaga kidogo ulichokula, lakini nguvu nyingine (kalori au calories) uzipate kutoka kwenye mafuta yaleee manyama uzembe. Kana utakula kwa kiwango kikubwa, mwili utakitumia hicho ulichokula tu na kama kitakuwa kingi kuliko kinachohitajika, kitageuzwa mafuta na kuongeza manyama uzembe.

Ni lazima kula kwa muda maalum kwa sababu tunakula ili mwili upate nguvu ya kujiendesha baada ya kukisaga chakula hicho. Ikiwa utakula chakula kingi na kutulia au kulala muda mfupi baadae, unajiumiza kwasababu mwili unapo’relax hauhitaji nguvu nyingi kwahiyo utakigeuza chakula hicho mafuta na hapo tunamaanisha tunapata tena nyongeza ya manyama uzembe. KWAHIYO? Tujitahidi kula milo sahihi, kwa wakati sahihi na kiwango sawia.

KWANINI UNAHITAJI BIDHAA ZETU?

Bidhaa zetu zinavirutubishwa vyoote muhimu vinavyozingatia mlo sahihi, muda muafaka na kiwango sawia. Zaidi huwezi kuzilinganisha bidhaa zetu na hizo nyingine za kichina unazozisikia huko mitaani kwasababu:-

Za kwetu hazina kemikali kwahiyo hizi sio “weka mbali na watoto” maana ni salama kwa watu wote katika familia hata wa kundi dhaifu la watoto, wazee, wajawazito na wanaonyonyesha. Zimethibitishwa na zimeruhusiwa kuwa salama na shirika la viwango duniani ISO, zinatambuliwa kuwa zinafaa kwa dini zote na kupewa ubora wa viwango na HALAL, na hapa kwetu vina kibali cha TFDA.

Sio zile zinazoingizwa kimyakimya kwenye mabegi hatimaye zinawaumiza na kuwatia ubovu na madhara ya kudumu ya miili. Bidhaa zetu huingizwa bila kificho na zinalipiwa kodi zote na zina vibali.

Wa Dar es salaam unaweza kufika ofisini Masaki, au ukituma pesa kabla ya saa 8 mchana utaletewa ulipo. Wateja wa mikoani unatuma pesa kabla ya saa kumi unatumiwa mzigo kwenye basi utakayoelekeza wewe, na wa Zanzibar unatumiwa kwenye boti zenye uhakika, wa nje ya Tanzania tunajadiliana juu courier unayoiamini.



Nipo active muda na saa yoyote kukuhudumia, karibu.

Piga au WhatsApp +255783566844

Instagram
@afyayanguutajiriwangu_ayuw

Facebook: Kwambiwa Nelly Machenje


Youtube : afyayanguutajiriwangu

Faiza: Siwezi Kwenda Kumuona Sugu Wala Kumpeleka Mtoto Akamuone Baba Yake Gerezani

0
0
Faiza: Siwezi Kwenda Kumuona Sugu Wala  Kumpeleka Mtoto Akamuone Baba Yake Gerezani
MWIGIZAJI wa Bongo Movies ambaye ni mzazi mwenza na Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi almaarufu Sugu, Faiza Ally amefunguka kuhusu kumpelekea mtoto gerezani kumuona baba yake huyo alikofungwa kwa miezi mitano.

Akizungumza na Risasi Mchanganyiko baada ya kuulizwa kama ana mpango wa kumpeleka mwanaye akamuone baba yake gerezani Mbeya na kumjulia hali, Faiza alisema kuwa, hawezi kufanya hivyo kwa kuwa Sugu siyo ndugu yak


“Siwezi kwenda kumuona Sugu wala kumpelekea mtoto akamuone gerezani kwa sababu kwanza siyo ndugu yangu, siyo rafiki yangu na siyo mpenzi wangu. Mapenzi yalishaisha zamani, amebakia kuwa baba wa mtoto, basi, hayo mengine siwezi kuyafanya kwa kweli,” alisema Faiza.

Sugu yupo katika Gereza Kuu la Ruanda mkoani Mbeya akitumikia kifungo cha miezi mitano aliyohukumiwa kwa kosa la kutumia lugha ya fedheha dhidi ya Rais John Pombe Magufuli.

Mwanzilishi wa Facebook Awapigia Magoti Watumiaji wa Mtandao Huo Kutokana na Kashfa ya Cambridge Analytica

0
0
Mwanzilishi wa Facebook Awapigia Magoti Watumiaji wa Mtandao Huo Kutokana na Kashfa ya Cambridge Analytica
Mwanzilishi wa Facebook na CEO Mark Zuckerberg ameibuka kwa kuomba radhi baada ya kashfa ya Cambridge Analytica kuingilia data za watumiaji million 50 wa mtandao wa Facebook.



Mark amesema kutokana na kitendo hicho kimewavunjia uaminifu na pia ameahidi kufanyika mabadiliko kadhaa ili kutoingiliwa na kuibiwa kwa taarifa za watumiaji wake.

Kupitia mtandao huo Mark ameandika:

I want to share an update on the Cambridge Analytica situation — including the steps we’ve already taken and our next steps to address this important issue.

We have a responsibility to protect your data, and if we can’t then we don’t deserve to serve you. I’ve been working to understand exactly what happened and how to make sure this doesn’t happen again. The good news is that the most important actions to prevent this from happening again today we have already taken years ago. But we also made mistakes, there’s more to do, and we need to step up and do it.

Here’s a timeline of the events:

In 2007, we launched the Facebook Platform with the vision that more apps should be social. Your calendar should be able to show your friends’ birthdays, your maps should show where your friends live, and your address book should show their pictures. To do this, we enabled people to log into apps and share who their friends were and some information about them.

In 2013, a Cambridge University researcher named Aleksandr Kogan created a personality quiz app. It was installed by around 300,000 people who shared their data as well as some of their friends’ data. Given the way our platform worked at the time this meant Kogan was able to access tens of millions of their friends’ data.

In 2014, to prevent abusive apps, we announced that we were changing the entire platform to dramatically limit the data apps could access. Most importantly, apps like Kogan’s could no longer ask for data about a person’s friends unless their friends had also authorized the app. We also required developers to get approval from us before they could request any sensitive data from people. These actions would prevent any app like Kogan’s from being able to access so much data today.

In 2015, we learned from journalists at The Guardian that Kogan had shared data from his app with Cambridge Analytica. It is against our policies for developers to share data without people’s consent, so we immediately banned Kogan’s app from our platform, and demanded that Kogan and Cambridge Analytica formally certify that they had deleted all improperly acquired data. They provided these certifications.

Last week, we learned from The Guardian, The New York Times and Channel 4 that Cambridge Analytica may not have deleted the data as they had certified. We immediately banned them from using any of our services. Cambridge Analytica claims they have already deleted the data and has agreed to a forensic audit by a firm we hired to confirm this. We’re also working with regulators as they investigate what happened.

This was a breach of trust between Kogan, Cambridge Analytica and Facebook. But it was also a breach of trust between Facebook and the people who share their data with us and expect us to protect it. We need to fix that.

In this case, we already took the most important steps a few years ago in 2014 to prevent bad actors from accessing people’s information in this way. But there’s more we need to do and I’ll outline those steps here:

First, we will investigate all apps that had access to large amounts of information before we changed our platform to dramatically reduce data access in 2014, and we will conduct a full audit of any app with suspicious activity. We will ban any developer from our platform that does not agree to a thorough audit. And if we find developers that misused personally identifiable information, we will ban them and tell everyone affected by those apps. That includes people whose data Kogan misused here as well.

Second, we will restrict developers’ data access even further to prevent other kinds of abuse. For example, we will remove developers’ access to your data if you haven’t used their app in 3 months. We will reduce the data you give an app when you sign in — to only your name, profile photo, and email address. We’ll require developers to not only get approval but also sign a contract in order to ask anyone for access to their posts or other private data. And we’ll have more changes to share in the next few days.

Third, we want to make sure you understand which apps you’ve allowed to access your data. In the next month, we will show everyone a tool at the top of your News Feed with the apps you’ve used and an easy way to revoke those apps’ permissions to your data. We already have a tool to do this in your privacy settings, and now we will put this tool at the top of your News Feed to make sure everyone sees it.

Beyond the steps we had already taken in 2014, I believe these are the next steps we must take to continue to secure our platform.

I started Facebook, and at the end of the day I’m responsible for what happens on our platform. I’m serious about doing what it takes to protect our community. While this specific issue involving Cambridge Analytica should no longer happen with new apps today, that doesn’t change what happened in the past. We will learn from this experience to secure our platform further and make our community safer for everyone going forward.

I want to thank all of you who continue to believe in our mission and work to build this community together. I know it takes longer to fix all these issues than we’d like, but I promise you we’ll work through this and build a better service over the long term.

Kesi ya Aveva, Kaburu Yaiva Upelelezi Wakamilika

0
0
Kesi ya Aveva, Kaburu Yaiva Upelelezi WakamilikaLeo March 22, 2018 stori ninayokusogezea ni kutoka Kisutu ambapo Upelelezi wa kesi ya utakatishaji fedha inayomkabili Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva na makamu wake Godfrey Nyange  umekamilika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.

Wakili wa serikali, Nassoro Katuga amemueleza Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba kuwa kesi hiyo imeitishwa kwa ajili ya kutajwa na upelelezi wake umekamilika.

Wakili Katuga ameiomba mahakama iahirishe kesi hiyo hadi tarehe nyingine ili kuwasomea washtakiwa maelezo ya awali (PH).

Pia ameeleza kuwa mshtakiwa wa kwanza Avave bado anaumwa na amelezwa Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Baada ya kueleza hayo, Hakimu Simba ameahirisha kesi hiyo hadi April 5,2018 kwa ajili ya washtakiwa kusomewa maelezo ya awali (Ph).

Mbali ya Aveva katika kesi hiyo mshtakiwa mwingine ni Godfrey Nyange ‘Kaburu’ ambaye ni Makamu wa Rais wa Klabu ya Simba.

Kwa pamoja washtakiwa wanakabiliwa na Mashtaka matano ya uhujumu uchumi ikiwamo kughushi, kuwasilisha nyaraka ya uongo na utakatishaji fedha ambazo ni Dola za Marekani (USD) 300,000.

Mbowe Aongoza Vigogo CHADEMA Kuripoti Polisi

0
0
Mbowe Aongoza Vigogo CHADEMA Kuripoti Polisi
Viongozi wanne wa Chadema wamewasili Kituo Kikuu cha Polisi wakiongozwa na Katibu Mkuu Dk  vicenti Mashinji.

Viongozi hao ambao  wamewasili Polisi kwa ajili ya kuitikia wito ni pamoja na manaibu katibu John Mnyika na Salum Mwalimu pamoja na Mwenyekiti wa Kanda ya Serengeti John Heche.

 Wakili wao Fredrick Khiwelo amesema wengine wako njiani akiwamo Mwenyekiti wa Chadema Freeman Aikaeli Mbowe.

Awali Mbowe  ambaye pia ni Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mbunge wa Hai kwa Taifa Leo tarehe 22 Machi 2018, ametoa waraka wa kuitwa Polisi yeye na viongozi wenzake.

Katika waraka huo Mbowe amesema kwamba kuna taarifa pia ya  kumuunganisha  Peter Msigwa,  Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa (Rukwa, Songwe, Mbeya, Njombe na Iringa) na Mjumbe wa Kamati Kuu katika shauri hili.

Khadija Kopa Awapa Mbinu Wanawake za Kumtuliza Mwanaume

0
0
Khadija Kopa Awapa Mbinu Wanawake za Kumtuliza Mwanaume
Malkia wa mipasho Afrika Mashariki na kati, Bi Khadija Omary Kopa amesema sio jambo zuri kwa wanawake kukaa kugombea mwanaume na kuwataka wawe wabunifu katika mapishi pamoja na kutumia nyonga zao ili mwanaume mwenyewe apagawe nasio kukaa kugombana.


Khadija Kopa ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa mubashara kupitia ukurasa wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia saa 8:00 mchana hadi 10:00 alasiri.

"Unapiganaje na mke mwenzio?, yeye akirusha risasi wewe rusha atomic. Yeye akimpigia bwana chapati wewe piga mkate wa ufuta, kuku na ndizi za kupaka. Sasa unagombanaje na mke wenzako ?,hakuna haja ya kugombana na mke mwenzio wewe fanya vitu ili mwanaume azidi mapenzi upande wako. Watu wa siku hizi hawajui bajeti ya mapenzi kazi kufofoka tu", amesema Khadija Kopa.

Pamoja na hayo, Khadija Kopa ameendelea kwa kusema "tengeneza mambo yako nyumba inukie mambo yawe motomoto na uchangamfu kama kawaida akija mume wako afurahie, hakuna haja ya kugombana gombana kila siku wewe zidisha mavitu ili mwanaume achenguke, fahari ya mwanamke nyonga vitu vingine majaliwa".

Waziri wa Afya Atoa Tahadhali kwa Wananchi

0
0
Waziri wa Afya Atoa Tahadhali kwa WananchiWaziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amewashauri wananchi kwenda vituo vya tiba haraka mara baada ya kugundua kuwa wana dalili za ugonjwa wa dengue.


Hayo ameyasema wakati alipotoa tamko juu ya kuingia kwa ugonjwa wa dengue hapa nchini mara baada ya kufunga Mkutano wa 65 wa Jumuiya ya Mawaziri wa Afya wa Nchi za Afrika Mashariki, Kati na Kusini ECSA leo jijini Dar es salaam.

“Kuna dalili za Ugonjwa Dengue zikiwemo homa ya ghafla, kuumwa kichwa hususan sehemu za macho, maumivu ya viungo na uchovu. Dalili hizi huanza kujitokeza kati ya siku 3 hadi 14 tangu mtu alipoambukizwa virusi vya homa ya Dengue hivyo Wizara inashauri kuwa wananchi wasiwe na hofu, bali mara tu wanapoona dalili za ugonjwa waende katika vituo vya tiba" amesema Waziri Ummy.

Aidha Waziri Ummy amesema kuwa wakati mwingine dalili za ugonjwa huo zinaweza kufanana sana na dalili za malaria hivyo wananchi wanaaswa kwamba, wakipata homa wahakikishe kuwa wanapima ili kugundua kama wana vimelea vya malaria au Dengue, au sababu nyingine, ili hatua stahiki zichukuliwe.

Waziri Ummy amesema kuwa ili kujikinga na ugonjwa huo ni lazima Kuangamiza mazalio ya mbu kwa kufukia madimbwi ya maji yaliyotuama au nyunyuzia dawa ya kuua viluwiluwi vya mbu kwenye madimbwi hayo pamoja na Kujikinga na kuumwa na mbu kwa  kuvaa nguo ndefu muda wote hasa nyakati za mchana.

Mugabe Akiri Kutorosha Kiwango Kikubwa cha Fedha Nje ya Nchi Wakati Akiwa Madarakani

0
0
Mugabe Akiri Kutorosha Kiwango Kikubwa cha  Fedha Nje ya Nchi
Rais wa zamani wa Zimbabwe, Robert Mugabe amekiri  kutorosha kiwango kikubwa cha fedha nje ya nchi wakati akiwa madarakani, akinunua nyumba mbili, Afrika Kusini na Hong Kong.

Siri hiyo imefichuliwa na mkewe, Grace Mugabe wakati mumewe alipokutana na waandishi wa habari kwa mahojiano maalumu yaliyofanyika nyumbani kwake wiki iliyopita.

Kiongozi huyo wa zamani amewahi kuamuru kutiwa mbaroni aliyekuwa waziri wake wa fedha, Chris Kuruneri aliyetuhumiwa kutorosha fedha nje ya nchi na kununua nyumba ya kifahari Cape Town, Afrika Kusini.

Kwa mujibu wa gazeti moja la Afrika Kusini, Sunday Times, Mugabe ameviarifu vyombo vya Serikali kuhusu ununuzi wa nyumba aliofanya Afrika Kusini na Hong Kong.

“Nchini Afrika Kusini nilinunua nyumba moja iliyochoka na niliitaka nivunje baadhi ya maeneo ili niifanyie ukarabati,” alisema Grace Mugabe.

Pia, alikiri kukodisha nyumba Dubai kwa gharama ya Dola 500,000 za Marekani kwa mwaka kwa ajili ya kijana wao, Robert Mugabe Jr aliyekuwa akisoma nchini humo.

Kuhusu nyumba ya Hong Kong ripoti za vyombo vya habari zinaonyesha, ilinunuliwa mwaka 2009  ikiwa muda mchache kabla ya binti yao, Bona Chikore hajaanza masomo katika Chuo Kikuu cha Hong Kong.


Benki Kuu Yapunguza Riba kwa Mabenki ya Biashara

0
0
Benki Kuu Yapunguza Riba kwa Mabenki ya Biashara
Benki kuu Tanzania imepunguza kiwango cha riba kwa mabenki ya biashara kufikia asilimia 11.


Hatua hiyo inadaiwa itawezesha mabenki ya biashara kupunguza gharama za kukopa fedha benki kuu hivyo kutoa uwezekano wa kupunguza riba kwa wateja wao pia serikali ilichukua hatua ya kupunguza kiasi cha fedha ambacho mabenki ya biashara ilikuwa ikitunza Benki Kuu(Statutory minimum reserve ratio) kutoka asilimia 10 mpaka nane ili kuziwezesha benki kuwa na fedha zaidi kwa ajili ya kukopesha.

Katika hatua nyingine, riba za dhamana za serikali zimepunguzwa kufikia wastani wa asilimia sita, hatua hiyo itapunguza mabenki kufanya biashara na serikali na badala yake kuwakopesha watu wa kawaida kutokana na faida ya kuikopesha serikali kuwa ndogo sana ukilinganisha na kukopesha watu wa kawaida.

Naibu gavana wa Benki kuu, Dr. Kibesse amesema benki kuu imekuwa ikichukua hatua hizo ili kuwawezesha wananchi wamudu kukopa ndio maana kiwango cha riba kimekuwa kikishuka.

Akiwa kwenye kikao na wafanyabiashara Ikulu Juzi, Rais Magufuli alielezea azma ya serikali kufanya fedha yake kuwa ngumu kwa mabenki ili warudi kwa wananchi ikiwemo kupunguza kutoa hati fungani za serikali kwa mabenki

Lipumba Aibuka na Kuunga Mkono Jitihada za Rais Magufuli

0
0
Lipumba Aibuka na Kuunga Mkono Jitihada za Rais Magufuli
Mwenyekiti wa CUF anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Prof. Ibrahim Lipumba amesema anaunga mkono jitihada za serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Magufuli katika mpango wa ukusanyaji kodi, huku akitaka utekelezaji huo uzingatie uhalisia


Prof. Lipumba ametoa kauli hiyo leo wakati alivyokuwa anazungumza na waandishi wa habari baada ya ukimya wake wa muda mrefu na kusema Baraza kuu la Chama cha Wananchi CUF linaitaka mamlaka inayohusika na masuala ya ukusaji wa kodi kwa wafanyabiashara wawe wanatoa makadirio mazuri ili kuweza kuwapa fursa wateja zao kulipa kodi vizuri.

"Baadhi ya makampuni na wafanyabiashara wanakadiriwa kodi kubwa kuliko wanachouza na hatimaye biashara zao zinafungwa. Baraza kuu la Chama cha Wananchi CUF linaitika serikali ifanye makadirio ya kodi ambayo yatakuwa yanazingatia hali halisi, Mamlaka ya kodi isiwakamua wafanyabiashara mpaka biashara kufungwa na kusababisha kupata hasara", amesema Prof. Lipumba.

Pamoja na hayo, Prof. Ibrahim Lipumba ameendelea kwa kusema "tunaunga mkono katika ukosaji wa kodi lakini utekelezaji wake uzingatie hali halisi, tusije tukawakamua watu wanaofanya biashara, wenye makampuni ambao wanatoa ajira mpaka biashara na shughuli zao kupelekea kuzifunga".

Kwa upande mwingine, Prof. Lipumba amedai Baraza kuu limepata kuwepo kwa malalamiko ya hali ya maisha kuwa magumu kupitiliza na kuiomba serikali iongeze mzunguko wa pesa ili kuweza kuinua maisha ya watanzania wa hali ya chini.

Miujiza ya Sharifu Seif Mohamed..JE Umeachwa na Mme/Mke au Mpenzi, Umesongwa na Mitihani ya Maisha

0
0
SHARIFU SEIF MOHAMED ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOENDELEA KUPIGA SIMU, WENYE MATATIZO NA WALE WANAOTOA  SHUKRANI NA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO WASAIDIA,

(Rudisha mahusiano yako ndani ya masaa 72 tu)

SHARIFU MOHAMED Ni  mtaalam na mnajimu maarufu wa nyota na kubashiri mambo yanayo watesa binadamu duniani kote na kupata ufumbuzi, Anatumia kitabu cha QUR'AN na Nyota

Je Umeachwa na UMPENDAE awe Mme/Mke na bado unampenda? Je Umekimbiwa na Mmeo/ Mkeo n anaishi na mtu mwingine? Je Umejaribu sehemu nyingi bila mafanikio? Mpigie simu SHARIFU SEIF sasa hivi ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo, Anauwezo wa hali ya juu wa kusambaratisha mahusiano yao na kumrejesha kwako haraka sana na Kumfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi Endapo Utafwata Atakacho Kuelekeza

 ZINDIKO LA NYUMBA NA BIASHARA, PETE ZA BAHATI, HUMALIZA KABISA TATIZO   HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA, HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA, NA KUPONYA MAGONJWA SUGU ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE, KUPANDISHA NYOTA NA KUSHINDA BAHATI NA SIBU, KASAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUKSI NA VIFUNGO MBALIMBALI,  MAFANIKIO YA MAISHA NA UTAJIRI BILA MASHARI, NA MENGINE MENGI YA SIRI,

JE UMAHANGAIKA KUPATA MTOTO BILA MAFANIKIO? WASILIANA NA MTAALAMU HUYU KWANI YEYE HUFAULU PALE WOTE WALIPOSHINDWA, PIA UMALIZA KAZI ZILIZO SHINDIKANA NA WATAALAM WENGINE NDANI YA MASAA 24 TU,

(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE AU MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFWATA MAELEKEZO YAKE)

Kwa ushauri na mawasiliano  zaidi Piga SIMU No:

Mobile +255 654-836970
WhatsApp 0622766715

“Imetolewa Amri Halima Mdee na Esther Matiko Wakamatwe”

0
0
 Leo March 22, 2018 Wabunge wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mbunge wa Kawe Halima Mdee pamoja Esther Matiko ambaye ni Mbunge wa Tarime Mjini imeelezwa kuwa imetolewa amri na Polisi wakamatwe popote walipo.

Kupitia ukurasa wa Twitter wa Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema amesema Mwenyekiti wa chama hicho Mbowe na viongozi wengine wameshindwa kufikishwa Mahakamani kwa kukosekana kwa kwa Wabunge hao wawili.

Nanukuu kile alichoandika Lema “Mkti Mbowe na Viongozi wengine wameshindwa kufikishwa mahakamani kwa kuwa Halima Mdee/Easter Matiko (MB) hawakuweza kufika Polisi na amri imetolewa wakamatwe mahali popote walipo, John Mnyika na John Heche wamebaki polisi mpaka maelekezo mengine kutoka juu yatakapotolewa” -Lema


Godbless E.J. Lema
@godbless_lema
Mkti Mbowe na Viongozi wengine wameshindwa kufikishwa mahakamani kwa kuwa Halima Mdee/Easter Matiko (MB)hawakuweza kufikaPolisi na amri imetolewa wakamatwe mahali popote walipo,John Mnyika na John Heche wamebaki polisi mpaka maelekezo mengine kutoka juu yatakapotolewa

Baada ya Kuhojiwa na Polisi Mbowe Aandika Waraka Mzito

0
0
Baada ya Kuhojiwa na Polisi Mbowe Aandika Waraka Mzito
Mbunge wa jimbo la Hai ambaye pia ni Mwenyekiti wa CHADEMA, Mhe. Freeman Mbowe leo Machi 22, 2018 akiwa na viongozi wengine wa chama hicho wameripoti Makao makuu ya polisi jijini Dar es salaam kwa mahojiano, ambapo baada ya kutoka Mhe. Mbowe ameandika waraka mzito juu ya mahojiano hayo yaliyopangwa kuendelea tena Machi 27 mwaka huu.

Katika waraka huo Mhe. Freeman Mbowe ameeleza kuwa kuna njama zimepangwa kuwa viongozi hao wawekwe ndani kwa muda mrefu kwa makosa ya jinai.
Soma zaidi waraka huo;
Soma zaidi waraka huo;

Viewing all 104414 articles
Browse latest View live




Latest Images