Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live

Marekani yaua wapiganaji watatu wa Al Shabab

$
0
0
Uongozi wa jeshi la Marekani umesema wapiganaji watatu wa Al Shabab wameuawa katika mashambulizi ya anga ya jeshi la Marekani ijumaa.

Katika taarifa yake jeshi la Marekani limesema, mashambulizi hayo yalitekelezwa kwa ushirikiano na majeshi ya Somalia karibu na mji wa Jilib, karibu kilomita 370 kusini magharibi mwa mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

Washington imeongeza shughuli zake za kijeshi nchini somalia, wakati ambapo Al Shabab, kundi lenye mafungamano na Al-Qaeda, linajaribu kupindua serikali inayoungwa mkono na nchi za Magharibi na kuiweka chini ya sheria za Kiislamu.

Kundi la A Shabab lilitimuliwa katika mji wa Mogadishu mnamo mwaka 2011 na kupoteza udhibiti wa vituo vingi vya miji ya Somalia, lakini bado lipo katika sehemu nyingine za nchi na lina uwezo wa kufanya mashambulizi mabaya.

Al Shabab mara kwa mara inaendesha mashambulizi yake dhidi ya jeshi na raia.

Kakobe kuhojiwa na Uhamiaji Jumatatu juu ya uraia wake

$
0
0

Ofisi ya Uhamiaji Mkoa wa Dar-Es-Salaam, imemwandikia barua Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (FGBF), Askofu Zachary Kakobe, kumwita kwa ajili ya mahojiano.

 Askofu Kakobe ametakiwa kufika katika ofisi hiyo, Jumatatu 9.4.2018 saa 4 asubuhi, na kuonana na Afisa Uhamiaji wa Mkoa wa Dar-Es-Salaam, ili kuhojiwa juu ya uraia wake.

Alipoulizwa kwa njia ya simu, Askofu Kakobe amethibitisha kupokea barua hiyo, na kusema kifupi tu kwamba, atakwenda kwenye mahojiano hayo.

Tukio hili linakuja baada ya sekeseke kati ya Askofu huyo na TRA, kuhitimishwa tarehe 20.2.2018, siku ambayo Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Charles Kichere, alipotoa taarifa kwa umma juu ya uchunguzi wao; na baadaye kusema mjadala huo umefungwa

Download Upya Application Yetu ya UDAKU SPECIAL .....Ile Ya Zamani Tutaifuta

$
0
0
Mpendwa msomaji wetu, tunakukumbusha Kuidownload Upya Application yetu ya UDAKU SPECIAL Maana ile ya Zamani Tutaifuta.

Kuna Marekebisho Makubwa tumeyafanya ikiwa na tatizo la Notification kutatuliwa

NB: App mpya ina Icon Nyekundu

 Bonyeza Hapa Chini

==>>Unaweza Kuidownload << kwa Kubofya Hapa>> 

Kauli ya Humphrey Polepole Baada ya Askofu Kakobe Kuitwa na Idara ya Uhamiaji

$
0
0
Baada ya watu mbalimbali kutoa maoni yao juu ya kuitwa kwa Askofu Kakobe na idara ya Uhamiaji kuhojiwa Uraia wake, Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Humphrey Polepole ameandika yafuatayo kwenye ukurasa wake wa Twitter; “Mbona kuhojiwa jambo la kawaida? baadhi ya watu wanajenga tabia ya hovyo sana”

“Watu “wakubwa” wakiitwa kuhojiwa inaonekana kitu cha ajabu. Mbona huku mtaani kuhojiwa Polisi ni kitu cha kawaida tu, tuanze kuzoea na hasa ktk awamu ya 5 kwamba, na tunasisitiza binadamu wote ni sawa”

Wasiliana na Mtaalam Sharif Noor Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana

$
0
0

Kutana Na Sharif Al_noor
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.

Sharif Al_noor ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)

Sharif Al_noor ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)
Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?

Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio? Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo.. Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.

Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.

Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Sharif Al_noor Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..

Shirif Al_noor Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..

Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..
Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..

Mawasiliano +255 746 426 604 Whatsapp/Call
Tembelea Page yake Instagram @sharif_al_noor
@sharif_al_noor

Polisi 458 Wafukuzwa Kazi, Kisa Hichi Hapa

$
0
0
Jumla ya maofisa wa Jeshi la Polisi wapatao 458 wamefukuzwa kazi kutokana na utovu wa nidhamu kuanzia mwaka 2015 hadi Machi mwaka huu.

Kauli hiyo imetolewa jana Aprili 7 na Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro alipokuwa akizungumza mbele ya Rais John Magufuli wakati wa uzinduzi wa nyumba 31 za Polisi na ufunguzi wa kituo cha Polisi cha Utalii na Kidiplomasia jijini Arusha.

Sirro alisema kazi ya Jeshi la Polisi ni kurekebisha mienendo ya wananchi, hivyo kabla hawajawaelimisha wananchi wanapaswa kuwa na mienendo mizuri wao kwanza.

Alifafanua kwa kulitambua hilo ndiyo maana askari waliokwenda kinyume na azma hiyo walichukuliwa hatua ikiwa ni pamoja na kufukuzwa kazi, ambapo kwa mwaka 2015, 198 walifukuzwa kazi.

Alisema kwa mwaka 2016 walifukuzwa askari 165, 2017 (81) na kuanzia Januari hadi Machi mwaka huu wamefukuzwa askari 14.

“Hatuna muhali kuwachukulia hatua askari wanaokiuka utaratibu na nidhamu ya utendaji katika Jeshi la Polisi,” alisema IGP Sirro.

SOMA PIA: Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo 

Mwanamke wa Kwanza Kupata Degree Tanzania Atunukiwa Tuzo

$
0
0
Dkt Maria Kamm ndiye  mwanamke wa kwanza wa Tanzania kupata Shahada ya kwanza (Degree) na jana ametunukiwa tuzo ya heshima katika tuzo za Malkia wa Nguvu zinazoandaliwa na Clouds Media.

Mama Kamm ambaye aliwahi kuwa Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Weruweru iliyopo Mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro, akiwa kama Mzalendo wa kweli, ametumia maisha yake kwa kiasi kikubwa kuwashauri na kuwaelimisha vijana katika masuala mbalimbali ya Taifa.

Mgeni Rasmi katika utoaji wa Tuzo hizo uliofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Mwl Nyerere Posta jijini Dar, alikuwa Waziri wa  Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dr. Ummy Ally Mwalimu.

SOMA PIA:Government Job Opportunities, Application Deadline 11 April 2018

Mwanaume Kuwa Rijali Kunako Sita Kwa Sita Kwa Kutumia Products Hizi

$
0
0

Bidhaa original na zilizothibitishwa kiafya zinapatikana NATURAL BEAUTY PRODUCTS sasa zinapatikana kwa bei ya punguzo la %10.

Bidhaa hizi zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina kemiko wala madhara yoyote. Hakikisha unapewa risiti original ya natural beauty products

TUNAZO KAMA HIZI

1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @250,000/=

2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @150,000/=

3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 6.5 hadi 8 (wiki 2-3) @200,000/=

4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @170,000/=

5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @240,000/=

6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @150,000/=

7.BODY BOOSTER_ Hii ni yakuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @140,000/

8.DISCREET ORIGINAL_Hii ni dawa ya kuondoa mvi na zisiludi tena milele @150,000/= N.K

NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri na garantii ili kukuhakikishia ubora na usalama wa bidhaa za NATURAL BEAUTY LTD

Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0659618585 au
0759029968

RC Gambo Amtoa Hofu Rais Magufuli Kuhusu Maandamano ya Mange Kimambi

$
0
0
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho gambo amemtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kutotishwa na maandamano ya mitandaoni yanayoratibiwa na Mange Kimambi, kwani mkoa wa Arusha uko salama.

Mrisho Gambo ameyasema hayo leo alipokuwa akitoa salam zake kwa Rais Magufuli, kwenye sherehe za uzinduzi wa nyumba za polisi mkoani Arusha, kwenye uwanja wa Sheikh Amri Abedi.

Kwenye salamu hizo Mrisho Gambo amesema mkoa wa Arusha ni salama na wakazi wa Arusha hawana haja ya maandamano, kwani wanachohitaji ni uongozi wake ambao unawaletea maendeleo makubwa.

Mrisho gambo aliendelea kwa kueleza kuwa anatambua kazi ya kubwa aliyonayo Rais ya kupigana vita ya uchumi, na watu wengi wasiopenda nchi hii watachukia kutokana na hilo.

“Mheshimiwa Rais nikuhakikishie tu Arusha ni salama, wala usitishwe na mbwembwe za kwenye mitandao, watanzania halisi ni hawa hapa wenye Arusha yao. 

"Watanzania wa Arusha wamechoka na maandamano, wanataka uongozi wa kwako ambao unawaletea maendeleo. Ninajua vita uliyokuwa nayo ni kubwa sana, Mwl. Nyerere alikuwa na vita ya ukombozi, akaimaliza salama, 

"Mheshimiwa Rais vita yako wewe ni ya kiuchumi, ni vita inayopigana na mabeberu ambao wanawatumia wengine kukwamisha jitihada zako. Watu wengi ambao hawaitakii mema nchi hii hawawezi kuipenda”, amesema Mrisho Gambo.

Sambamba na hilo Mkuu wa mkoa huyo wa Arusha amemshukuru Rais Magufuli na wadau kwa kufanikisha ujenzi wa nyumba hizo za askari polisi, ambazo awali ziliteketea kwa moto.

Profesa Jay akumbuka msoto wa Maisha....Asimulia Alivyokuwa Anakunywa Maji ya Chooni na Kupanda Malori

$
0
0
Nguli wa muziki wa Bongo Fleva ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Mikumi, Joseph ‘Profesa Jay’ Haule, amekumbuka msoto aliokutana nao wakati anatafuta kutoka kimuziki miaka ya 1990 akiwa na Hard Blasters Crew (HBC).

Akifunguka kupitia The Playlist ya Times FM, rapa huyo mkongwe aliyechonga barabara kwa wasanii wengi wa rap nchini, amesema kuwa wakati wanaandaa albam zao na HBC, hawakuwa na kitu mfukoni kiasi cha kufikia hatua ya kunywa maji ya bomba lililokuwa chooni ili waendelee kufanya kazi yao studio.

“Nakumbuka wakati huo tunarekodi, unaenda kunywa maji chooni hivi… kwenye bomba liliko chooni unakula na mihogo yako ili uweze ku -buy time ya kuendelea kuwa studio siku nzima. Kwamba hakuna hata pesa ya kula chips mzee,” Profesa alifunguka.

Mkali huyo wa rap mwenye majina mengi ya kupewa kwa kuwa mbabe wa kurap, alieleza kuwa wakati wamepata nafasi ya kurekodi albam yao kama HBC, kuna wakati akiwa anafanya kazi Tanga, ilimlazimu kupanda malori ya mizigo usiku ili arejee kazini Jumapili usiku, kwani muda wa usiku aliokuwa akimaliza kurekodi jijini Dar es Salaam, magari ya abiria hayakuwepo.

Katika hatua nyingine, Profesa Jay alieleza tukio la kurekodi wimbo wake wa ‘Jina Langu’ katika studio za Bongo Records chini ya mtayarishaji nguli, P-Funk Majani. Alisema alimshangaza Majani kwani alikuwa akisikia mara kadhaa mdundo wa wimbo huo, ndipo alipomuomba mtayarishaji huyo aingize sauti.

Alisema baada ya kuwekewa mdundo, alipita na mashairi yote matatu bila kukwama, kitu ambacho kilimshangaza Majani pamoja na ukubwa wa mashairi yaliyowekwa ndani.

Profesa amewashauri wasanii wa Tanzania kuendelea kuandika vitu ambavyo vinagusa jamii na kuitangaza Tanzania kwa maslahi ya taifa kwa ujumla.

Hivi karibuni, aliachia wimbo wake ‘Pagamisa’ akiwa na mtayarishaji wa muziki, Mr. T-Touch.

SOMA PIA :Call for Interview at Utumishi For (PTF), (NHIF), (TAFIRI), (NCT) And Ardhi University

Baba Mzazi: 'Abdul Nondo babu yake ni muasisi wa TANU'

$
0
0
Abdul Nondo, mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) ambaye anakabiliwa na kesi ya kujiteka mwenyewe, mzazi wake Omar amethibitisha kuwa baba yake alizaliwa mwaka 1919 huko Ujiji, Kigoma na kuwa ni miongoni mwa waasisi wa chama cha Tanu.

Mzee Omar, alisema baba yake huyo aliyemtaja kwa jina la Omar Kagobe alipata watoto 30, mmoja akiwa yeye.

“Nashangaa hao wanaomkamata na kumhoji mtoto wangu kuwa sio raia, wananichekesha sana kwa kuwa najua mwisho wa siku watajua ukweli wake. Ukweli ni kwamba wazazi wangu ndio waasisi wa Tanu na walishiriki kikamilifu katika kupigania uhuru wa nchi hii, hivyo suala hilo halinipi wasiwasi wala hofu na hivyo vyeti wanavyovitaka mbona vipo tu, ila waelewe kuwa sisi ni Wamanyema halisi na ni raia halali wa nchi hii,” alisema.

Naye Mwenyekiti wa ACT - Wazalendo, Mkoa wa Kigoma, Sendwe Mbaruku, alitoa taarifa Alhamisi kuhusu suala la Nondo kuhojiwa na uhamiaji na kusema; “Kijana Abdul ni mtoto wetu hapa Kigoma, wazazi wake ni wakazi na wapiga kura wa hapa Ujiji, zaidi ni Watanzania wenzetu.”

Maelezo haya yametolewa na mzazi huyo Siku chache baada ya Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP), Abdul Nondo kuhojiwa na Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Dar es Salaam kuhusu uraia wake.

Mzazi huyo amesema babu yake Nondo, alishawahi kuwa Polisi kwa miaka 18 kuanzia mwaka 1940 hadi 1958 na alishafanya kazi huko Mabatini mkoani Mwanza na sehemu nyingine za nchi.

Alisema babu yake wakati akiwa polisi, ndipo zilipoanzishwa Kota za Msimbazi, Dar es Salaam na jina lake lilikuwa maarufu, akijulikana kama Mzee Kagobe.

Kama haitoshi alisema bibi yake Nondo alikwenda kuhiji, mnamo 1970 na alipewa hati ya kusafiria ya Tanzania, huku akihoji, “Kama angekuwa sio raia wa Tanzania angepewaje hati hiyo?”

Baada ya Nondo kuripoti polisi mjini Mafinga alishikiliwa na jeshi hilo Mkoa wa Iringa na baadaye kukabidhiwa kwa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam.

Kamanda wa kanda hiyo, Lazaro Mambosasa alisema kupitia uchunguzi wa kisayansi, wamebaini kuwa hakuwa ametekwa, bali alijiteka na tayari suala lake lipo mahakamani, Iringa.

Tahadhari Kwa Wazazi Wanaotumia ‘Wipes’ Kuwafuta Watoto Wao

$
0
0
Wapo watu ambao hutumia vitambaa laini vyenye unyevu (wipes) ambavyo vimetengenezwa mahususi kwa matumizi ya kufutia vitu mbalimbali, kuwafuta watoto wadogo.

Wipes hizo hutumika kuwafuta watoto wanapokuwa wamechafuka, au wakimaliza kula au wengine huzitumia watoto wanapokuwa wamejisaidia.

Hatahivyo utafiti mpya wa nchini Uingereza unaonesha kuwa wipes hizo au kuwafuta watoto kwa maji ya sabuni bila kuwasuuza na maji safi yasiyo na sabuni, huwasababishia allergy za chakula na kuharibu ngozi zao.

Watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Northwestern kimegundua kuwa ngozi za watoto huwa na aina ya mafuta ambayo huharibiwa na sabuni au kemikali za sabuni zinazopatikana kwenye wipes.

Kutana na Sheikh Twabibu bingwa wa Magonja Sugu Anatibu kwa Kutumia Dua na Utaalam wa Jadi

$
0
0

Sheikh Twabibu bingwa wa Magonja Sugu Anatibu kwa Kutumia Dua na Utaalam wa Jadi

JE umeangaika kwa mda mref bila mafanikio sasa acha kuteseka mvuto wa mapenzi kumrudisha yule umpendae?

Kuvuta mali iliyo potea au kuchukuliwa na majini wabaya

Mvuto wa biashara na kumiliki mali

Pete za bahati zindiko la mali

Nina tibu uzazi Ulioshindikana na miguu kuwaka moto

JE Una shamba nyumba au kiwanja unauza na Haviuziki Kirahisi ninayo dawa aina ya kafyonkola itakusaidia ndani ya muda mchache tu

Tunasoma Dua maalum kwa wogonjwa wote

Napatikana kwa mawasiliano 0758024610 au Whats App Namba 0656783490

Julius Mtatiro 'Mpaka Sasa Sijui Kama na Mimi ni Raia au Mkimbizi'

$
0
0
Kutoka na Uhamiaji kuita watu tofauti kuwahoji juu ya Uraia wao , Julius Mtatiro Ameandika haya kuputia Facebook:

"Mpaka sasa sijui kama na mimi ni RAIA au MKIMBIZI! Sijui tunahakiki wapi kabla ya kuitwa! Nachojua,baba yangu alikuwa Mpiganishaji vita ya Uganda, pia babu yangu alisoma darasa moja na Mwl. Kambarage Nyerere. Mengine sijui!"

Breaking News: Mwandishi wa The Guardian Aokotwa Akiwa Hajitambui, Amepigwa Vibaya

$
0
0

DAR: Mwandishi wa gazeti la The Guardian, Finnigan F. Simbeye ameokotwa na wakazi wa Bunju akiwa hajitambui huku akionekana amepigwa sana

Mpaka sasa bado haijafahamika tukio hilo limetekelezwa na watu gani na kwa lengo gani

Kwa taarifa za sasa, Finnigan amefikishwa Hospitali ya Mwananyamala kupata huduma ya haraka kimatibabu

Kikwete: Safari za Nje Zimenifunza, Heri Kutembea Bure Kuliko Kukaa Bure

$
0
0
Rais Mstaafu Jakaya Kikwete amesema safari mbalimbali alizozifanya akiwa madarakani na anazozifanya sasa hivi, zimemsaidia kujifunza' na anaendelea kujifunza mambo mengi zaidi.

Chanzo:MTANZANIA

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Jumapili

$
0
0

TUCTA Nao Wataka Watumishi Darasa la 7 Warudishwe Kazini

$
0
0
Baraza Kuu la Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta) jana Jumamosi Aprili 7, 2018 limetoa tamko lenye mambo saba, likiwemo la kupinga uamuzi wa Serikali kuwafuta kazi watumishi wake wenye elimu ya darasa la saba.

Akisoma tamko hilo mbele ya wajumbe wa baraza kuu la Tucta katika mkutano wa baraza hilo uliofanyika mkoani Morogoro mwenyekiti wa Tucta, Tumaini Nyamhokya alisema uamuzi huo wa Serikali si sahihi na hivyo wametaka watumishi hao kurejeshwa kazini.

Alisema baraza limesikitishwa na uamuzi wa kuwaondoa kazini watumishi wa umma na taasisi zinazopokea ruzuku kutoka serikalini.

Nyamhokya alisema uamuzi huo si wa kisheria ikizingatiwa kuwa watumishi hao waliajiriwa kwa kufuata taratibu halali za ajira.

“Kwa hiyo Tucta tunaitaka serikali kutengua uamuzi wake na kuwarudisha watumishi hao kazini bila kupoteza haki zao za kiutumishi kwa kipindi chote,” alisema.

Mambo mengine sita yaliyopo katika tamko hilo wanayotaka yafanyiwe kazi ni; ongezeko la mishahara, kodi ya mishahara (PAYE), kupandishwa madaraja na vyeo kwa watumishi wa umma, malimbikizo ya mishahara kwa wafanyakazi na watumishi kwa baadhi ya taasisi, ucheleweshwaji wa malipo ya wastaafu kwa baadhi ya mifuko ya hifadhi ya jamii na uamuzi wa Serikali kuunganisha mifuko ya hifadhi ya jamii.

Punguza Unene Unaokusumbua Katika Mwili Kwa Kutumia Bidhaa za Edmark

$
0
0
Tumia Dawa za Edmark za Kupunguza uzito uliozidi Mwilini Mwako, Edmark ni Vurutubisho na Chakula Mbadala na Zimehakikiwa na TFDA...

Ni uhakika kwa afya yako,👉 kupunguza uzito na sumu mwilini, Mafuta Sehemu Mbaya, Kitambi na nyama uzembe na kutibu MAGONJWA Mbalimbali kwa msaada wako mfuate instagram: @my_health_my_wealth @my_health_my_wealth


Au Mtafute WhatsApp Huyu Dada kwa kutumia Namba +255783 566844

Pia Dawa za Edmark Zinaweza kupa Fursa ya Biashara Uweze pata Kipato Kirahisi kwa Kuwasaidia watu Kuimarisha Afya zao

Sababu iliyomfanya Kamusoko Ajifunze Kiswahili

$
0
0
Jambo ambalo hutakiwi kufanya ni ‘kumteta’ Thabani Kamusoko kwa lugha ya Kiswahili ukiamini ni raia wa kigeni na hatoelewa unachozungumza, utakuwa umefeli jamaa ni anatwanga kiswahili hadi cha mtaani.

Kiungo huyo wa Yanga toka Zimbabwe anapozungumza Kiswahili huwezi kujua kama si raia wa Tanzania, Kamusoko yupo vizuri kwa Kiswahili asikwambie mtu.

Wakati anafanya mahojiano na Yahaya Mohamed ‘Mkazuzu’ mjini Morogoro ambako Yanga iliweka kambi kujiandaa na mchezo wake wa kimataifa dhidi ya Wolaitta Dicha, alisema hakuna mwalimu aliyekuwa akimfundisha bali aliamua tu mwenyewe kujifunza Kiswahili.

Katika mazungumzo hayo, Kamusoko akafunguka sababu kubwa iliyomfanyabaamue kujifunza Kiswahili, kumbe ni ishu ya kumrahisishia mawasiliano awapo kazini akisukuma gozi.

“Mpira unahitaji mawasiliano kwa kiasi kikubwa, pia unahitaji kuzungumza lugha moja kwa hiyo niliamua kujifunza Kiswahili ili tuelewane vizuri”-Thabani Scara Kamusoko kiungo Yanga SC.

Hivi karibuni Method Mwanjale ni mchezaji mwingine ambaye anatoka Zimbabwe aliyekuwa anazungumza Kiswahili kwa ufasaha ukiachana na akina Niyonzima, Tambwe, Mavugo ambao nchi zao zinazungumza pia Kiswahili.
Viewing all 104712 articles
Browse latest View live


Latest Images