Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104690 articles
Browse latest View live

Hiki Hapa Kikosi cha Yanga Dhidi ya Singida United

$
0
0
Hiki Hapa Kikosi cha Yanga Dhidi ya Singida United
Klabu ya Yanga imetangaza kikosi chake kitakacho shuka uwanja wa taifa hii leo kucheza na Singida United mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara bila kumtaja kocha wao Mkuu, George Lwandamina kama ilivyozoeleka wakati wanapotoa majina ya wachezaji.

Wakati Yanga SC ikiwa na kibarua kizito cha kuikabili Singida United ili kujihakikishia inapunguza gepu la pointi na hasimu wao Simba SC timu hiyo inatarajiwa kuonekana pasipio kocha wao Lwandamina ambaye inasemekana amerudi kwao Zambia na kujiunga na klabu yake ya zamani ya Zesco United.



Idadi ya Walemavu Yatikisa Bunge

$
0
0
Idadi ya walemavu yatikisa Bunge
Serikali imesema kutokana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 Tanzania inakadiriwa kuwa na watu zaidi milioni 44 lakini kati ya hao idadi ya wenye ulemavu ni zaidi ya milioni 2 sawa na asilimia 5.8 ya wananchi wote waliogawanyika katika makundi ya mbalimbali.


Hayo yamebainishwa na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Mh.Stella Ikupa leo Aprili 11, 2018 kwenye kikao cha saba mkutano wa 11 wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambalo linafanyika Jijini Dodoma, wakati akijibu swali la Mbunge Khadija Ali aliyetaka kujua iwapo serikali ina idadi kamili ya watu wenye ulemavu na aina ya ulemavu walionao na kusema aina ya walemavu waliyokuwa nao ni pamoja na ya watu wenye ualbino, kuona, kusikia, kutembea, kukumbuka, kujihudumia na ulemavu mwingine.

Mbali na hilo, Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Stella Ikupa amesema mtu yeyote atakayebainika kufanya vitendo vya ubakaji kwa watu wenye ulemavu atachukuliwa hatua kali za kisheria zinazostahiki dhidi yake.

Kwa upande wake naye Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Jenista Mhagama ametoa rai kwa watu wote na wawekezaji wanaoanzisha viwanda nchini Tanzania, kuwa watu wenye ulemavu nao wana nafasi ya kuongeza nguvu kazi ya nchi katika ujenzi wa taifa kupitia uchumi wa viwanda hivyo basi wapewe fursa kuzingatia sheria ya nchi.

Ajali ya Ndege Yaua Wanajeshi Zaidi ya 25 Algeria

$
0
0
Ajali ya Ndege Yaua Wanajeshi Zaidi ya 25



Wanajeshi zaidi ya 25 wanaripotiwa kufariki dunia baada ya ajali ya ndege ya kijeshi kutokea asubuhi ya leo April 11, 2018 huko nchini Algeria.

Ajali hiyo imetokea muda mfupi baada ya ndege hiyo kupaa kutoka katika Uwanja wa Ndege wa Kijeshi wa Boufarik karibu na Mji Mkuu wa Algiers, lakini mpaka sasa sababu za ajali hiyo bado hazijajulikana.

Video za CCTV zimeonesha eneo hilo limefunikwa na moshi mkubwa huku taarifa zikieleza kuwa magari ya wagonjwa 14 yamefika katika eneo la tukio kutoa msaada.

Mbunge CCM Amvaa Makonda Sakata la Wanawake Waliotelekezwa

$
0
0
Mbunge wa Ulanga (CCM), Gudluck Mlinga ameomba mwongozo wa Spika bungeni akitaka kujua namna chombo hicho cha Dola kinavyoweza kuzuia wanawake waliofika ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kwa madai ya kutelekezwa na watoto wao.

Mlinga ameomba mwongozo huo leo Jumatano Aprili 11, 2018 akisema kitendo hicho kinawadhalilisha watoto ambao hufika katika eneo hilo wakiwa na mama zao, akidai kuwa kinavunja Katiba ya nchi.

Mwongozo huo uliibua kelele bungeni baada ya mwenyekiti wa Bunge, Najma Giga kutoa majibu kwamba suala hilo ni la kisheria, kupingwa na wabunge waliohoji sheria ipi.

Mlinga alitaka kujua namna ambavyo Makonda anavyovunja Katiba kwa kuanika mambo ya siri hadharani jambo ambalo linakwenda kinyume na Katiba, akitaka Bunge liingilie kati na kukemea kitendo hicho.

Mahakama Yaijia Juu Jamhuri Kushindwa Kumpeleka Sethi Muhimbi

$
0
0
 Mahakama Yaikemea Jamhuri Kushindwa Kumpeleka Sethi Muhimbili
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeukemea upande wa Jamhuri kwa kushindwa kutekeleza amri ya kumpeleka  mshtakiwa katika kesi ya uhujumu uchumi, Harbinder Sethi kutibiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Mahakama hiyo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi imeonyesha kutoridhishwa na kitendo hicho leo Jumatano Aprili 11, wakati kesi hiyo ilipokuwa inatajwa.

“Kila chombo kifanye kazi kwa kuheshimiana kwani haipendezi kila mara amri za mahakama haziheshimiwi.

“Mahakama lazima ifanye kazi yake kwa mujibu wa sheria na haipendezi amri za mahakama kutoheshimiwa. Wala huhitaji kuwa daktari, ukimuangalia kwa macho tu mshtakiwa wa kwanza anaonekana anaumwa, suala la ugonjwa wake tumuachie daktari,” amesema Shaidi akijibu hoja za Wakili wa Serikali, Nassoro Katuga kwamba lazima daktari wa mshtakiwa huyo awepo.

Katuga amedai kuwa Sethi aliomba wakati anapelekwa Muhimbili Daktari wake wa Afrika Kusini awepo ambapo wanasubiri taarifa kutoka kwa mshtakiwa na kwamba sababu nyingine ya kutotekeleza amri ya mahakama kwa wakati ni kwa mshtakiwa kuhamishwa gereza kutoka Segerea kwenda Ukonga.

Akijibu hoja hizo wakili wa Sethi, Hajra Mungula alidai kuwa mshtakiwa hajaongea chochote na wanashtushwa na maneno yaliyotolewa na upande wa mashtaka.

Kwa upande wake Wakili wa mfanyabiashara James Rugemarila, Cuthbert Tenga amedai amri za mahakama zinachukuliwa kirahisi na kwamba kila siku upelelezi haujakamilika ambapo ameomba Kamishna wa Magereza aitwe mahakamani ili aeleze kwanini amri za mahakama hazitekelezwi. Kesi hiyo omeahirishwa hadi Aprili 25, mwaka huu kwa ajili ya kutajwa.

VIDEO:Ali Sumaye Nae Atajwa Katika Sakata Kutelekeza Mtoto

$
0
0

Kufuatia agizo la Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuwataka wanawake waliolekezewa watoto na waume zao kujitokeza ofisini kwake, mmoja wa akina mama alieffika anadai kutelekezwa na Ali Sumaye ambaye amezaa nae mtoto mmoja huku pia akimtishia maisha pamoja na kumdhulumu mali zake.

 

Msigwa Amvaa Jerry Murro Sakata la Kutelekeza Mtoto "Ni Tuhuma Alizotengeneeza Jerry Murro"

$
0
0
Msigwa Amvaa Jerry Murro Sakata la Kutelekeza Mtoto "Ni Tuhuma Alizotengeneeza Jerry Murro"
Mbunge wa Iringa mjini kupitia tiketi ya Chadema, Mch. Peter Msigwa amezidi kukana madai ya kumtelekeza mtoto na kueleza kuwa taarifa hizo zinaenezwa na Jerry Muro.

Akizungumza na EATV, Mch. Msigwa amesema kuwa madai hayo hayana ukweli wowote na kueleza iwapo lisemwalo lipo basi muhusika amtafute katika namba aliyoitoa na ikishindikana amfuate Bungeni.

“Mimi nitamtambuaje huyo mtoto, hiyo picha wameweka tu, ilipoanzia ni kwa Jerry Muro ndio ameanza kusambaza hizo habari kwamba mimi ni mwanamke aliyeenda kwa Makonda amejieleza ndio nimemuacha,” amesema Mch. Msigwa.

“Ninachokijibu pale, nakijibu kitu ambacho ameanzisha Jerry Muro, kwamba kuna mtu nimemtelekeza amekuwa akinitafauta na nimekuwa nikimzuia, nimejibu kwamba kama huyo mtu huyo yupo nimekuwa nikitoa namba zangu za simu na kama sipatikani aje hapa Bungeni,” amesisitiza.

Kuanzia mwanzo mwa wiki hii mamia ya wanawake walijitokeza ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ili kupata msaada wa kisheria baada ya kutelekezwa na wazazi wenzio. Pia RC Makonda ametoa nafasi ya kuwasikiliza wanaume waliotelekezwa na wake zao ambapo watapatiwa msaada wa kisheria.

Mmiliki wa Mabasi ya HBS Ajiua kwa Kujipiga Risasi

$
0
0
Mfanyabiashara na Mmiliki wa mabasi ya HBS, Sultan Hemed amejiua kwa kujipiga risasi asubuhi ya leo Aprili 11, 2018 nyumbani kwake Sikonge mkoani Tabora.



Akithibitisha taarifa hizo mbele ya waandishi wa habari, Kamanda wa polisi mkoa wa Tabora, Wilbroad Mutafungwa amesema kuwa marehemu amejipiga risasi mdomoni na kutokea nyuma ya kichwa.

“Tumepokea taarifa za kifo cha mfanyabiashara ambaye ni mkazi wa wilaya ya Sikonge, ambaye anaitwa Sultan Hemed  mmiliki wa mabasi ya HBS leo asubuhi majira ya saa tatu amejipiga risasi nyumbani kwake. Risasi ambayo imeingilia mdomoni na kutokea nyuma ya kichwani,“amesema Kamanda Mutafungwa.

Hata hivyo, Kamanda Mutafungwa amesema kuwa jeshi la polisi limefika eneo la tukio kufanya uchunguzi ili kubaini chanzo cha tukio hilo na kuahidi kutoa taarifa zaidi baadae.

Okoa Ndoa yako Sasa...Umepungukiwa na Nguvu za Kiume na Unashindwa Kupanda Mlima Vizuri

$
0
0

OKOA NDOA YAKO SASA : JE UMEPUNGUKIWA NA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO AU MPENZI WAKO HAKUTIMIZII UTAKACHO:


Acha kujiona mpweke pale ukutanapo na mpenzi au mke wako kwa sababu ya kutokuwa na nguvu za kiume au Uume wako mdogo

Dawa YA MAPRO POWERA ndio dawa sahihi na tiba tosha kwa sasa Kutibu tatizo na kuponesha kabisa tatizo LA KUWAI KUFIKA KILELENI KABLA MWENZI WAKO BADO AJAKOJOA

KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA NA MWILI KUCHOKA

UUME KUSINYAA NA KUWA LEGELEGE

KUUMWA NA TUMBO WAKATI UNAPOMALIZA KUFANYA TENDO

Dawa hii utumiwa ata na wazee wenye umri mkubwa na haina madhara yoyote

MAKAKANUA HII NI dawa ya maumbili madogo urefusha na kunenepesha saizi upendayo saiz 5-6-7-8 na unene sm 3-4-5 kwa mini huabiki kwa kuwa na UUME mdogo wai sasa upate tiba sahihi kabisa na ni tofauti na ulizowai kutumia :

Tunarudisha mke au mpenzi ndani ya masaa matatu tu zipo dawa za presha kisukali vidonda vya tumbo korodani iliyovimba dawa za uzazi tunapunguza matiti makubwa kitambi na mwili mkubwa dawa zipo FIKA OFISINI KWANGU MBAGALA ZAKHEMU KWA WATEJA AMBAO AMTAKUWA NA NAFASI YA KUJA OFISINI AU MLIO MKOANI MTALETEWA p

Piga simu 0743362017 au 0789234653

DR AGU 

Penzi la Nandy na Billnass Laibuka Tena Upya...Ruge Wapi?

$
0
0

Wanamuziki Bilnass na Nandy waingia katika Headlines leo tena Baada ya Picha zao wakiwa katika Mapozi ya Mahaba kuvuja...Wawili hawa Walianza kuhisiwa kutoka Kimapenzi kipindi cha nyuma lakini stori ikapotea huku kukiwa na tetesi kuwa Nandy anatoka na Ruge stori ambayo ilikanushwa vikali

Pia Leo wakati picha zao zikitamba mtandaoni Ikumbukwe Ni Kumbukumbu Ya Siku Ya Kuzaliwa Mzee Baba Bilnass

Vigogo Waliotelekeza Watoto Watakiwa Kwa Makonda

$
0
0

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amesema kuwa kuanzia kesho Alhamis wanaume wote ambao tayari wametajwa kutelekeza watoto wataanza kupelekewa barua za wito.

Akizungumza na baadhi ya wanawake waliojitokeza kupeleka malalamiko yao, Makonda, amesema kuwa hakutakuwa na kigogo yoyote atakayehitaji kuonana naye kwa siri kama ambavyo wengi wamekuwa wakiomba kufanya hivyo na kueleza kuwa nafasi hiyo haipo.

Amesema kuwa vigogo 107 tayari wametajwa kutelekeza watoto na amewaomba mara wapatapo wito wa barua yake wafike ofisini kwake mara moja kwani watakaokaidi watachukuliwa hatua kali za kesheria.

 Mbali na zoezi hilo Makonda amesema kuwa wadau mbalimbali wamejitokeza kusaidia kuwalipia watoto hao Bima za afya ili waweze kumudu gharama za matibabu kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Rais Magufuli Amteua Mwenyekiti wa Bodi wa NBAA

$
0
0
Rais Magufuli Amteua Mwenyekiti wa Bodi wa NBAA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Isaya Jayambo Jairo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA).


Taarifa hiyo imetolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi na kueleza kuwa uteuzi huo wa Prof. Jairo unaanza leo Aprili 11, 2018.

Soma hapa chini kwa taarifa kamili.

Serikali Yajipanga Kupiga Marufuku Kuvaa Hijabu

$
0
0
Serikali Yajipanga Kupiga Marufuku Kuvaa Hijabu
Serikali ya jimbo moja Ujerumani imeeleza nia yake ya hivi karibuni kupiga marufuku watoto wa kike wa chini ya miaka 14 nchini humo kuvaa hijabu.

Jambo hili linakuja kipindi ambacho nchi jirani ya nchini hiyo, Austria pia imejipanga kupiga marufuku kuvaliwa kwa hijabu kwenye shule ya awali na za msingi.

Huko North Rhine-Westphalia, mji wa Ujerumani wenye idadi kubwa wa watu, wanafanya mchakato wa kupiga marufuku kabisa uvaliwaji wa hijabu mjini humo

Msako wa Wanaume Waliotelekeza Watoto Kuanza Kesho Idadi ya Vigogo Yafikia 107

$
0
0
Msako wa Wanaume Waliotelekeza Watoto Kuanza Kesho Idadi ya Vigogo Yafikia 107
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amesema kuwa kuanzia kesho Alhamis wanaume wote ambao tayari wametajwa kutelekeza watoto wataanza kupelekewa barua za wito.



Akizungumza na baadhi ya wanawake waliojitokeza kupeleka malalamiko yao, Makonda, amesema kuwa hakutakuwa na kigogo yoyote atakayehitaji kuonana naye kwa siri kama ambavyo wengi wamekuwa wakiomba kufanya hivyo na kueleza kuwa nafasi hiyo haipo.



Amesema kuwa vigogo 107 tayari wametajwa kutelekeza watoto na amewaomba mara wapatapo wito wa barua yake wafike ofisini kwake mara moja kwani watakaokaidi watachukuliwa hatua kali za kesheria.



 Mbali na zoezi hilo Makonda amesema kuwa wadau mbalimbali wamejitokeza kusaidia kuwalipia watoto hao Bima za afya ili waweze kumudu gharama za matibabu kwa kipindi cha mwaka mmoja.

Afrika Kusini Yaomboleza Kifo cha Madikizela Mandela

$
0
0
Afrika Kusini yaomboleza kifo cha Madikizela Mandela

Watu wameendelea kumiminika katika uwanja wa Orlando mjini Soweto Afrika Kusini kwa ajili ya maombolezo kwa mwanaharakati dhidi ya ubaguzi wa rangi



Winnie Madikizela-Mandela, aliyeaga dunia siku tisa zilizopita akiwa na miaka 81.

Mama Madikizela aliendelea na kampeni dhidi ya utawala wa mtu mweupe pale mume wake, Nelson Mandela alipokuwa gerezani, mwenyewe pia alikuwa kifungoni na kukutana na changamoto ya kuteswa na kufukuzwa.

Alizaliwa mwaka 1936 huko Eastern Cape wakati huo ulikuwa unajulikana kwa jina Transkei.

Image caption
Wakinamama wakiomboleza kifo cha Winnie Madikizela Mandela
Alikuwa akipata mafunzo kuhusu masuala ya ustawi wa jamii alipokutana na mumewe mtarajiwa mwaka 1950.Walipata watoto wawili.

Walikuwa wanandoa kwa miaka 38 ingawa kwa miongo takriban mitatu walikuwa wametengana kwa sababu ya kifungo kirefu.

Download Hapa Application ya Udaku Special Uweze Soma Vimbwanga na Udaku Mtaani Kila Siku

$
0
0
Mpendwa msomaji wetu, tunakukumbusha Kuidownload Upya Application yetu ya UDAKU SPECIAL Maana ile ya Zamani Tutaifuta.

Kuna Marekebisho Makubwa tumeyafanya ikiwa na tatizo la Notification kutatuliwa

NB: App mpya ina Icon Nyekundu

 Bonyeza Hapa Chini

==>>Unaweza Kuidownload << kwa Kubofya Hapa>>  
   

Wasiliana na Mtaalam Sharif Noor Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana

$
0
0
Kutana Na Sharif Al_noor
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.

Sharif Al_noor ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)

Sharif Al_noor ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)
Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?

Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio? Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo.. Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.

Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.

Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Sharif Al_noor Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..

Shirif Al_noor Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..

Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..
Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..

Mawasiliano +255 746 426 604 Whatsapp/Call
Tembelea Page yake I

Binti Afungwa Jela Kwa Kudanganya Anaumwa Saratani na Kutapeli Pesa

$
0
0
Binti mmoja nchini Australia ambaye alidanganya kuwa anaumwa ugonjwa wa saratani ili achangiwe pesa na ndugu zake, amehukumiwa kifungo cha miezi mitatu jela.

Binti huyo Hanna Dickenson, 24, anadaiwa kuchukua Dola za Marekani 31,000 sawa na Shilingi za Kitanzania takribani Milioni 74.4 kutoka kwa wazazi wake na kuwaambia kuwa anakwenda kutibiwa nje ya nchi.

Mahakama imeelezwa kuwa binti huyo alichukua pesa hizo ambazo wazazi wake walizichangisha kutoka kwa ndugu na marafiki zao wa karibu.

Hanna anasemekana kutumia pesa hizo kweye mapumziko wakati wa likizo na kufanyia starehe nyingine.

Ummy Mwalimu 'Alichofanya Makonda ni Sahihi, Zoezi la Kuwaita Wanawake lipo Kisheria"

$
0
0
Leo asubuhi, kupitia Kituo cha Runinga cha Clouds katika kipindi cha Clouds 360, nilimtazama na kumsikiliza Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Wanawake, Jinsia na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akizungumzia mambo kadhaa yanayoihusu Wizara yake. Amezungumzia mambo mengi yakiwemo yatakayozungumzwa kwenye Bajeti ya Wizara yake itakayowasilishwa tarehe 19 mwezi huu.

Katika maelezo yake, aligusia zoezi linaloendeshwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda la kuwasikiliza wanawake waliotelekezwa na waume zao wakiwa na watoto. Kimsingi, Waziri Ummy Mwalimu amesema kuwa zoezi hilo lipo ndani ya sheria, yaani lipo kisheria. Hii ni kwasababu, wanaowasikiliza wanawake hao ni Maafisa wa Ustawi wa Jamii ambao wana mamlaka ya kufanya hivyo.

Waziri Ummy Mwalimu ameongeza kuwa alichofanya Mkuu wa Mkoa Makonda ni kuwatia shime na ujasiri wanawake hao kwenda Ofisini kwake kusikilizwa badala ya wanawake hao kwenda kwenye Ofisi za Ustawi wa Jamii. Akasema kwa kusisitiza kuwa Maafisa Ustawi wa Jamii ndiyo wanaowasikiliza wanawake hao na ikibidi wanaume watakaotajwa nao wataitwa na kusikilizwa. Kama hakutakuwa na maridhiano, mambo hayo yatapelekwa mahakamani.

Waziri Ummy Mwalimu akasema pia kuwa anaungana na Naibu Waziri wake Dr. Faustine Ndugulile kukemea kuvunja faragha za watoto katika kusanyiko hilo. Akasema kuwa ameongea na Paul Makonda na kuahidi kutatua tatizo la faragha linalojitokeza hata mitandaoni kuwahusu watoto. Amewaasa wanawake na wanajamii kwa ujumla kutowaanika watoto katika mitandao kwakuwa kwa kufanya hivyo ni kuingilia faragha zao.

Wanawake Wengi Walioolewa ni Wepesi wa Kuchepuka..Yaani Simple Kama Kumsukuma Mlevi

$
0
0
Wanawake wengi walioolewa wamekuwa wepesi (achilia mbali vidada ambavyo havijaolewa, ingawa navyo ni majanga lakini, afadhali mitego yao kidogo ni negotiable).

Wengi wao huwatongozi ila watakutongoza wenyewe! Kundi risky zaidi ni la wamama wa nyumbani au wanawake ambao hawajasoma (I am sorry to say this)!

Unaweza kukuta mme wake ana fedha na kila kitu, lakini kwa sababu jamaa hajaajiriwa serikalini au kwenye taasisi au kampuni (kumbuka tulio wengi tunatamani kujiajiri!), mke wake anamchukulia kama mtu fulani ambaye hana hadhi nzuri ya kuwa mme.

Sumaku kali zaidi ambazo huwavuta wamama wa aina hiyo, ni wale vijana au watu wazima walioajiriwa, wanaotoka asubuhi, wamepiga tai, kiatu kiwi full time, wengine suti, halafu ni watu wa misheni town (wenye magari sijui inakuwaje, mtatuambia), (haata kama kazi zao ni kufagia au kuzunguka na mafile maofisini)!

Wanawake wa aina hiyo huanza kwanza kwa kutafuta ukaribu na mazoea na watu wa aina hiyo kwa udi na uvumba katika harakati za kufanikisha azma zao.

Licha ya uzoefu nilioushuhudia juu ya wamama hapo juu, hivi karibuni nimekumbana na majanga kadhaa yakihusisha wanawake walioolewa kwa ujumla, wengi wao wanaoonekana ni sex hungry moms au gold diggers. Nawapa tu mifano michache kuthibitisha haya ninayoyasema:

1. Mie nakaa mwenyewe mmama from no where akaanza kuniletea chakula (niliogopa sana), akaniambia naona unapata shida unakaa mwenyewe na wewe ni mwanaume huwezi kujipikia.

Siku ya kwanza sikukila (nilikiweka kwenye chombo changu nikampa sahani, baadaye nilikimwaga), maana niliona kama labda kaweka kitu. Siku nyingine akaleta na kuniambia tule wote! Hooooooooo, nikamwambia tutakula wapi?

Akasema kwako, usiogope mme wangu amesafiri! Sasa tukiwa tumekaa, alikuwa amejifunga kanga moja, anatawanya miguu na kuirudisha, nilijikaza sikufanya chochote, vituko anavyonifanyia mpaka sasa ni siri yangu.

2. Mwingine alipata namba yangu kupitia simu ya mmewe ambaye ni rafiki yangu, kila mara hasa usiku ana msgs kama hizi: "shem habari, nahisi wewe ni mcheshi, huna kiburi wala makuu, tena unachat na mimi bila shida, nina hamu siku moja nije Dar nikufahamu, au sio shem?"

Mara nyingi sijibu, akiona hivyo "shem nijibu basi, usiogope maana mme wangu hayupo sasa hivi". Vituko vyake siku hizi havisimuliki!

3. Mwingine, kutwa kulalamika kuhusu maisha yake na ndoa "Yaani shem, we acha tu, maisha magumu, rafiki yako naye kipato hakieleweki na mie sikusoma wala kubahatika kuajiriwa, maisha yanaenda tu kwa nguvu za Mungu, ningekuwa sio mvumilivu sidhani kama hii ndoa ingekwepo, shem unakaa wapi nije kukusalimia au una mke?" Mie najiuliza hivi wakati wa kufunga ndoa hakuapa kuwa na mmewe kwa shida na raha?

4. Mwingine ni mama jirani yangu, tena ni mtu anayejiweza, siku moja akaniita anaomba nimsaidie kurudishia taa imeungua, nilivyopanda juu ya meza alinipa taa - tube light mbovu, kuiweka haiwaki, akaniambia naomba simu yako nimpigie kijana fulani wa mtaani aniletee taa nyingine, nilivyompa kumbe alijipigia, halafiu akaniambia hapatikani, acha.

Tangu awe na namba yangu, utaona mida ya saa 4 usiku anatuma msgs kama vile "Mambo, Jumamosi hii twende tukatembee" au "Nina kitu nataka kukuambia ila tunahitaji faragha", Huwa namjibu, nina mambo mengi, labda siku nyingine.

Ni majanga mengi sana nakutana nayo yanayohusisha akina mama walioolewa. Mliooa kuweni makini na wake zenu, wengi ni washenzi sana na wana sophisticated means za kuwaengage wanaume wengine kwenye mahusaiano na wao! Pia najiuliza tatizo lao la kuzoeana na wanaume wengine na kujifanya wana hamu ya kuchat au kuwa karibu nao na sio waume zao ni nini?

NB: Nawaasa vijana kukaa mbali na mke wa mtu, maana mke wa mtu ni zigo la madawa ya kulevya.
Viewing all 104690 articles
Browse latest View live




Latest Images