Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104768 articles
Browse latest View live

Mwanaume Kuwa Rijali Kunako Sita Kwa Sita Kwa Kutumia Products Hizi

$
0
0
Bidhaa original na zilizothibitishwa kiafya zinapatikana NATURAL BEAUTY PRODUCTS sasa zinapatikana kwa bei ya punguzo la %10.

Bidhaa hizi zimetengenezwa kwa mimea na matunda hazina kemiko wala madhara yoyote. Hakikisha unapewa risiti original ya natural beauty products

TUNAZO KAMA HIZI

1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @250,000/=

2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @150,000/=

3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 6.5 hadi 8 (wiki 2-3) @200,000/=

4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @170,000/=

5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @240,000/=

6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @150,000/=

7.BODY BOOSTER_ Hii ni yakuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @140,000/

8.DISCREET ORIGINAL_Hii ni dawa ya kuondoa mvi na zisiludi tena milele @150,000/= N.K

NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri na garantii ili kukuhakikishia ubora na usalama wa bidhaa za NATURAL BEAUTY LTD

Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0659618585 au
0759029968

Yanga Maumivu Juu ya Maumivu..Singida United Yakaza

$
0
0
Yanga wakati bado wanauguza maumivu ya kuondokewa na kocha wao mkuu George Lwandamina wameingia kwenye maumivu mengine ya kupoteza pointi mbili kufuatia sare ya kufungana 1-1 na Singida United katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara.

Lwandamina hakuwepo kwenye benchi la ufundi la Yanga wakati ikicheza mechi ya leo dhidi ya Singida United na kocha huyo ameshatangazwa kuijiunga na timu yake ya zamani ZESCO United ya Zambia.

Sare ya leo inaweka Yanga nyuma ya Simba kwa pointi tano baada ya timu zote kucheza mechi 22 na kubakiza mechi nane kabla ya ligi kufikia ukingoni. Simba inaongoza ligi ikiwa na pointi 52 huku yanga ikiwa nafasi ya pili kwa pointi zake 47.

Magoli katika mchezo wa leo yamefungwa na Kambale Salita aliyeifungia Singida dakika ya pili kipindi cha kwanza, Shaibu Abdallah ‘Ninja’ akaisawazishia Yanga 45+2.

Yanga haijapata matokeo dhidi ya Singida United kwenye mchezo wowote wa mashindano rasmi, timu hizo zimekutana mara nne kwenye mashindano rasmi, Singida imeshinda mara moja, michezo mitatu imemalizika kwa sare.

04/11/2017 Singida United 0-0 Yanga (VPL)
08/01/2018 Singida United 1-1 Yanga (Mapinduzi Cup)
01/04/2018 Singida United 1-1 pt 4-2 (ASFC)
11/04/2018 Yanga 1-1 Singida United (VPL)

Mchezo pekee ambao Yanga ilishinda dhidi ya Singida United ulikuwa wa kirafiki kabla ya kuanza kwa msimu huu wa ligi. Yanga ilishinda  3-2 uwanja wa taifa Agosti 5, 2017.

Matokeo ya mechi nyingine zilizochezwa leo Aprili 11, 2018

Stand United 1-3 Majimaji
Mbao 2-1 Njombe Mji
Tanzania Prisons 1-1 Kagera Sugar
Mwadui 2-1 Lipuli

Mkwasa Atajwa Chanzo Lwandamina Kuondoka Yanga

$
0
0
Kocha George Lwandamina ameshaitema klabu ya Yanga na tayari ZESCO United imeshatangaza rasmi kumsaini kocha huyo ambaye aliisaidia Yanga kushinda taji la ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2016/17. Kinachoibua maswali mengi ni sababu za Lwandamina kuondoka kipindi hiki wakati Yanga ikiwa katika kipindi muhimu cha kutetea ubingwa wa ligi na kutafuta nafasi ya kufuzu hatua ya makundi ya kombe la shirikisho Afrika.

Ishu ya kwa nini Lwandamina ameondoka ndiyo gumzo kwa sasa, watu wengi wanataja kwamba kocha huyo ameondoka kutokana na hali mbaya ya uchumi ndani ya klabu hiyo na pengine hajalipwa mishahara na stahiki zaka mbalimbali ndiyo maana ameamua kusepa.

Shaffihdauda.co.tz imezinyaka taarifa za kuaminika kutoka ndani ya uongozi wa Yanga kwamba kuondoka kwa Lwandamina hakuhusiani kabisa na masuala ya maslahi yake binafsi, Katibu Mkuu wa klabu hiyo ndiyo anatajwa kuwa sababu kuu ya kutimka kwa Lwandamina.

“Katibu ndio chanzo cha kuondoka kwa Lwandamina, Mkwasa na Lwandamina hawakuwa sawa kwa muda mrefu sasa na wallikuwa hawazungumzi. Kifupi ni kwamba hawakuwa na ushirikiano kila mtu alikuwa anafanya mambo yake kivyake”-kimeeleza chanzo hicho na kuomba hifadhi ya jina lake.

“Ilifika wakati Lwandamina akatoa sharti kwamba kutokana na hali ilivyo Yanga wanatakiwa kuchagua jambo moja, aondoke yeye (Lwandamina) au aondoke Mkwasa. Naona ameamua kuondoka yeye kwa sababu ZESCO walikuwa wanamhitaji tangu siku nyingi nadhani baada ya kuona hakuna uwezekano Mkwasa akatoka Yanga ameamua kujiondoa yeye.”

Lwandamina ameondoka Yanga ikiwa zimebaki zimebaki mechi saba klabu hiyo imalize mechi za ligi lakini inakabiliwa na mchezo muhimu wa marudiano dhidi ya Wolaitta Dicha kuwania kufuzu hatua ya makundi ya kombe la shirikisho Afrika. Mchezo wa awali uliochezwa Dar, Lwandamina alioongoza Yanga kushinda 2-0, mchezo wa marudiano utachezwa jijini Awasa Ethiopia Aprili 18, 2018 na kuamua timu gani itafuzu hatua ya makundi.

Wachezaji 8 kutoka Afrika Watoroka Jumuiya Madola

$
0
0
Wanariadha wanane wa Cameroon hawaonekani katika makaazi yao katika michezo ya Jumuiya madola nchini Australia, maafisa wa timu hiyo wanasema.

Afisa wa habari Simon Molombe ameiambia BBC kwamba maafisa wanachukulia kama wanariadha hao wametoroka na kwamba wameripotiwa kwa maafisa wa polisi nchini humo.

Waenushaji vyuma vya uzito watatu na mabindia watano walionekana mara ya mwisho katika muda tofuati Jumatatu na Juamnne, alisema.

Cameroon imesema kundi la wanariadha hao wana viza halali za kudumu hadi Mei 15.

Olivier Matam Matam, Arcangeline Fouodji Sonkbou and Petit Minkoumba, wanaoinusha vyuma vya uzito na mabondia Christian Ndzie Tsoye, Simplice Fotsala, Arsene Fokou, Ulrich Yombo na Christelle Ndiang ndio waliotajwa kutoweka.

"Maafisa wamevunjwa moyo sana na kutoweka kwa wanariadha hawa - baadhi yao hata hawakushindana," Molombe amesema.

"Matumaini makubwa ni kwamba warudi na wasafiri kurudi nyumbani na wenzao."

Serikali ya Australia imewaonya wanariadha dhidi ya kukaa zaidi ya muda walioruhusiwa.

Shirikisho la michezo hiyo ya Jumuiya ya madola limesema litaikagua hali hiyo, lakini limeongeza kwamba wanariadha wana "haki ya kusafiri kwa uhuru" kwa viza walizo nazo.

Polisi ya Australia imejulishwa kuhusu hali inavyoendelea, kwa mujibu wa Kate Jones, waziri katika jimbo la Queensland.

Juliana Shonza Afunguka Kuhusu TFF

$
0
0
Serikali kupitia kwa Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo  Juliana Shonza imesema Shirikisho la soka nchini TFF limesajiliwa chini ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano hivyo shghuli zake zote zipo chini ya serikali.

Mh. Shonza ameyasema hayo wakati akjibu swali la mbunge wa Singida Mjini Mussa Ramashani Sima ambaye alihoji kuhusu mamlaka ya Waziri katika kusimamia kazi za TFF ikiwemo mapato na matumizi ya shirikisho hilo kutokana na katiba ya TFF kutoruhusu kuingiliwa na serikali.

''TFF pamoja na viongozi wake wote, wanapaswa wanalazimika na hivyo wanatambua mamlaka ya Waziri, kwasababu katiba ya TFF inatambua kuwa TFF ni chombo cha mpira ambacho kimesajiliwa chini ya sheria ya Baraza la Michezo ya 1967 na marekebisho yake ya mwaka 1971'', amesema Shonza.

Aidha Mbunge Mussa ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Soka mkoa wa Singida amemuomba Waziri kuhakikisha wanaibana TFF ili ipeleka mpango kazi kwenye vyama vya mikoa ili kujua matumizi ya pesa za ruzuku zinazotolewa kwa shirikisho hilo.

Air Tanzania imeondolewa International Air Transport Association (IATA) kwasababu ya madeni

$
0
0
MADENI YAIPONZA ATCL- Shirika la Ndege nchini ATCL limeondolewa katika mfumo wa malipo wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga IATA kutokana na kukabiliwa na madeni na sasa limetiliana saini ya makubaliano ya miaka mitano na Kampuni ya Ndege ya HAHN Air kuuza tiketi za Air Tanzania.

Akizungumza na wanahabari huko Zanzibar, Mkurugenzi wa ATCL Mhandisi Ladislaus Ernest Matindi, amesema wamelazimika kuingia kwenye makubalianao na kampuni hiyo ili wasikose baadhi ya huduma za malipo ya tiketi.

"Tuna madeni, sikumbuki yalifikia kiasi gani lakini ni madeni makubwa ambayo yalilazimisha kusimamishwa uanachama au kufungiwa huduma hizi mpaka tutakapokuwa tumelipa hayo madeni.

Kubwa zaidi ilikuwa ni sisi kuwa katika mfumo wa shirikisho wa mashirika ya ndege dunia IATA ambayo ndo mfumo wa uuzaji na utawanyaji wa Tiketi. Maana mabadilishano ya pesa au kupeleka pesa kutoka shirika moja kwenda lingine hufanyika kwa kutumia huo mfumo wa IATA. Hii tunaanza kufanya ni kupitia kwakweli mgongoni kwa mtu.

Hawa ni wanachama ambao wamepewa leseni ya kutoa huduma kwa mashirika ambayo hayapo kwenye mfumo wa IATA. Lazima tulipe madeni yetu tuliyonayo AITA ni mabilioni 'ni pesa nyingi kwa kweli'.

SOMA PIA: Nafasi za Ajira zilizotangazwa Leo

Ili tuweze kurudi kwanza kwenye mfumo wa kukusanya pesa" Amesema Mhandisi Ladislaus Ernest Matindi.

VIDEO:

Selasini Aivaa Serikali "Kwani Mmemtuma Msigwa? mbona Mnamkalia Kimya"

$
0
0
Selasini Aivaa Serikali "Kwani Mmemtuma Msigwa? mbona Mnamkalia Kimya"
MBUNGE wa Rombo, Joseph Selasini, ameitaka serikali kuchukua hatua dhidi ya Cyprian Musiba, akidai kuwa amekuwa akiitisha mikutano na waandishi wa habari na kuwashutumu baadhi ya viongozi na kutoa kauli kwamba angekuwa yeye angeweza hata kuua.



Selasini ameyasema hayo jana Aprili 11, 2018, Bungeni Mjini Dodoma na kumuomba Waziri mwenye dhamana ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, kulichukulia hatua gazeti linalomilikiwa na mtu huyo.



Aidha, Selasini amesema kwa hali ilivyo sasa, matukio ya watu kupotea na kuuawa, halafu Musiba anasema hadharani kuwa angekuwa yeye angeua na Serikali inamsikia na haimchukulii hatua, hali hiyo inampelekea kujenga hoja kwamba, Serikali imemtuma mtu huyo na kwamba ni mtu wao, vinginevyo watoe taarifa juu ya mtu huyo kuwa ni nani.

RC Mamkonda Kugawa Bima za Afya kwa Watoto Waliotelekezwa

$
0
0
RC Mamkonda Kugawa Bima za Afya kwa Watoto Waliotelekezwa
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda amesema kinamama wote waliofika ofisini kwake wakiwa na watoto kwaajili ya kupatiwa msaada wa kisheria baada ya kutelekezwa atawapatia kadi za Bima ya RC Makonda amesema kadi hizo zitatolewa kwa watoto wenye umri chini ya miaka 17 kwa kila mama aliefika ofisini kwake pasipokujali idadi ya watoto alionao.

Uamuzi huo umekuja baada ya RC Makonda kujionea mateso wanayopata kinamama hao ikiwemo watoto kuugua Magonjwa yanayohitaji garama kubwa za matibabu na kwakuwa wengi wa kinamama hao wana hali ngumu kimaisha wanashindwa kumudu garama na kusababisha maumivu na mateso kwa mtoto.

Aidha RC Makonda amesema hadi kufikia mchana wa leo zaidi ya kinamama 1,030 walikuwa tayari wamesikilizwa na Kati ya hao watu mashuhuri 107 wakiwemo wanasiasa na viongozi wa dini wametuhumiwa kutelekeza watoto.

Hata hivyo RC Makonda amesema kuanzia wiki ijayo kinababa waliotelekeza watoto wataitwa ofisini kwake kwaajili ya kutoa ufafanuzi na atakaekaidi kufika atachukuliwa hatua kaliza kisheria.Afya (Toto Afya Card) bure kwaajili ya matibabu ya watoto wao

CAG Aionya Serikali Kuhusu Mikopo

$
0
0
CAG Aionya Serikali Kuhusu Mikopo
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Juma Assad ameitahadharisha serikali kuhusu kukopa na kusema kuwa wanapaswa kuwa makini ili kuendelea kupunguza gross late zaidi kwa siku za mbele.


Prof. Assad amesema hayo leo April 11, 2018 mjini Dodoma wakati akitoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu ripoti ya ofisi yake kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni 30, mwaka huu.

"Si busara sana kutazama eneo hilo na kusema basi tunaweza kukopa kwa sababu si busara kwani tuliwahi kukopa tukapunguziwa mikopo yetu kwa hiyo mimi rai yangu ni kwamba lazima tuwe waangalifu katika ukopaji wetu, mwaka jana tulikuwa na gross late ya asilimia 25 mwaka huu imerudi mpaka asilimia 12 kwa hiyo tumepunguza gross late imepungua kwa hiyo ni muhimu hii gross late ikapungua zaidi tunapokwenda mbele" alisema CAG

Aidha Prof. Mussa Assad, amesema kiasi cha shilingi trilioni 4.58 hakikujumuishwa katika deni la taifa kutokana na kutojumuishwa kwa madeni ya mifuko ya pensheni pamoja na dhamana ambazo masharti yake yalikiukwa.

Mbali na hilo amesema ukaguzi umebaini mapungufu kadhaa yanayohusu fedha zinazotolewa kwa ajili ya kutekeleza shughuli za maendeleo na matumizi ya kawaida pamoja na zinazokusanywa kupitia vyanzo ndani vya mamlaka za serikali za mitaa.

Rosa Ree Afunguka Namna Anavyochukia Kutongozwa

$
0
0
Rosa Ree Afunguka Namna Anavyochukia Kutongozwa
M WANAMUZIKI wa kike ambaye anafanya vizuri kwa sasa kupitia anga la muziki wa Bongo Flava, Rose Robart ‘Rose Ree’, amefunguka kuwa hakuna kitu ambacho hakipendi kama kutongozwa.

Akichonga na Showbiz Xtra, Rosa Ree alisema kuwa mwanaume akimtongoza hujisikia vibaya na anaweza kumchukia mno, anachohitaji ni kuwa karibu na wanaume kwa ajili ya kazi na kupiga nao stori mbalimbali.

“Yaani mwanaume akinitongoza sipendi napenda kama tunakuwa marafiki tu wa muda mrefu kama ikitokea kupendana tutapendana mbele ya safari na si vinginevyo, akinitongoza mapema naona kama ananitamani tu basi alafu animwage,” alisema Rosa Ree.

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

$
0
0

Askofu Kakobe: Nipo Tayari Kufa Hakuna Atakayenizuia Kusema Ukweli

$
0
0
Askofu Kakobe: Nipo Tayari Kufa Hakuna Atakayenizuia Kusema Ukweli
Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zachary Kakobe amesema licha ya kuhojiwa na Idara ya Uhamiaji kuhusu uraia wake, yupo tayari kufa kwa kusema ukweli na hakuna mtu atakayemzuia kufanya hivyo.



Akizungumza na Amani mara baada ya kuhojiwa na maofisa wa Uhamiaji Jumatatu iliyopita, Askofu Kakobe alisema yeye ni mhubiri wa kweli wa neno la Mungu na hakuna kitakachomtenganisha na wito huo.



Akizungumzia uraia wake ambao ulimfanya ahojiwe, Askofu Kakobe alisema yeye anatoka katika Kijiji cha Mbizi katika wilaya mpya ya Kakonko na familia yao ni maarufu sana na kwa makusudi kabisa baba yake alipofariki dunia mwaka 2009 na mama yake alipofariki dunia mwaka 2013 alitoa maelekezo kwamba makaburi hayo yawekwe mbele ya nyumba yao kwa sababu yeye ni mtu wa kusema ukweli.



Kiongozi huyo wa kiroho alisema anashangaa kuona sasa anahojiwa na akahoji kwa nini iwe sasa? Akasema zoezi la kuangalia uraia lingekuwa la watu wote kusingekuwa na maswali.

Hata hivyo, alisema kama hakuna uovu na hakuna kilichofichika itabidi huyo anayesema yeye siyo raia wa hapa aseme ni wa nchi gani na atoe vithibitisho.



“Katika nchi nyingine wenzetu wanasema I’m proud of my country, I’m proud of my nation (nina fahari na nchi yangu, nina fahari na taifa langu), mtu anaona fahari kuitwa raia wa nchi hiyo na ukizungumza kuwa huyu siyo raia, sidhani kama hivyo ni vitu vya afya katika jamii,” alisema Askofu Kakobe.

Alisema anashangaa kwa nini wanaohojiwa uraia wengi ni kutoka Mkoa wa Kigoma akahoji je, ni makosa kuzaliwa katika mikoa ya mpakani?



Alibainisha kuwa yeye ana hati ya kusafiria moja na ameitoa mara nne (baada ya kujaa moja baada ya nyingine) na kwamba amewaachia maofisa wa uhamiaji ili waangalie ‘afidaviti’ zake, (hati za viapo) ambazo zilitakiwa katika maelezo yake.

Alisema aliulizwa kuhusu cheti cha kuzaliwa lakini akawaambia kwamba yeye alizaliwa mwaka 1955 na wakati huo kulikuwa hakuna vyeti hivyo.

Deni la Mabilion Lasababisha ATCL Kufungiwa

$
0
0
Deni la MABILIONI lasababisha ATCL kufungiwa

Shirika la Ndege nchini ATCL limeondolewa katika mfumo wa malipo wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga IATA kutokana na kukabiliwa na madeni na sasa limetia saini makubaliano ya miaka mitano na Kampuni ya Ndege ya HAHN Air kuuza tiketi za Air Tanzania.

Akizungumza na Waandishi wa habari visiwani Zanzibar, Mkurugenzi wa ATCL Ladislaus Matindi amesema wamelazimika kuingia makubaliano na kampuni hiyo ili wasikose baadhi ya huduma ya malipo ya tiketi.

“Sikumbuki yalifikia kiasi gani lakini ni madeni makubwa, ambayo yalisababisha siye kusimamishwa uanachama au kufungiwa huduma hizi mpaka tutakapokuwa tumelipa hayo madeni” -Matindi

“Kubwa zaidi ilikuwa ni sisi kuwa katika mfumo wa Shirikisho la Mashirika ya ndege ya Dunia IATA, ambao kwa kweli ni sehemu mojawapo ya huo mfumo wote wa utawanyaji na uuzaji wa ticket, maana mabadilishano ya pesa au upelekaji wa pesa kutoka shirika moja kwenda lingine upitia IATA, ni kupitia mgongoni kwa mtu, lazima tutoe madeni yetu tuliyonayo IATA na ni Mabilioni” -Matindi

"Sijawahi Kuona WanafanyiaMapenzi Sebuleni" - Martha

$
0
0
"Sijawahi kuona wanafanyia sebuleni" - Martha
Muimbaji wa nyimbo za Injili jijini Dar es salaam Martha Mwaipaja amefunguka na kusema kuwa katika dunia ya sasa watu wamekuwa wakifanya sana dhambi na kuzini ili hali wanatambua kuwa kufanya hivyo ni makosa lakini wamekuwa wakimsingizia shetani.


Martha Mwaipaja amesema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa kupitia ukurasa wa facebook wa EATV na kudaikwamba yeye amekuwa hawaelewi watu ambao wanafanya zinaa halafu wanasema wamepitia na shetani na kudai kuwa hilo jambo si kweli kwani wao wanapofanya hivyo wanakuwa wanatambua na kupanga kufanya tendo hilo ndiyo maana hawawezi kulifanya wakiwa sebuleni.

Kichuya : Ubingwa Lazima Simba Hakuna wa Kuzuia

$
0
0
Kichuya : Ubingwa Lazima Simba Hakuna wa Kuzuia
BAADA ya kufanikiwa kuwafunga Mtibwa Sugar, kiungo mshambuliaji wa Simba, Shiza Kichuya ameweka wazi kuwa kwa sasa hakuna timu itakayowazuia kuchukua ubingwa wa msimu huu kwa kuwa mechi hiyo haikuwa ya kawaida.



Simba imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa katika mchezo uliopigwa juzi Jumatatu kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Ushindi huo umepelekea Simba kuende­lea kuongoza ligi kwa pointi 52, nyuma ya Yanga yenye pointi 46.



Akizungumza na Championi Jumatano, Kichuya alisema kuwa kwa sasa haoni timu ambayo inaweza kuwazuia kuchukua ubingwa baada ya kufanikiwa kuifunga Mtibwa.



“Binafsi kwangu ni jambo la furaha kufanikiwa kushinda dhidi ya Mtibwa kwa sababu hii mechi haikuwa rahisi kwetu na tulikuwa tunahitaji matokeo mazuri ili kufikia malengo.



“Kiukweli Mtibwa wamecheza vizuri na mchezo ulikuwa mgu­mu lakini kwa matokeo haya sioni timu ambayo itaweza kutuzua kuchukua ubingwa wa msimu kwa sababu tunapam­bana bila ya kuangalia nyuma anakuja nani,” alisema Kichuya.

Ukiachana na Daimond Mimi Ndio Mwenye Mjengo Mkali Kuliko Wasanii Wote- Harmonize

$
0
0
Ukiachana na Daimond Mimi Ndio Mwenye Mjengo Mkali Kuliko Wasanii Wote- Harmonize
Msanii wa muziki kutoka label ya WCB, Harmonize amefunguka kuhusu mjengo wake ambao upo mbioni kukamilika.

Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na ngoma ‘Kwa Ngwaru’ ameiambia Funiko Base, Radio Five kuwa mjengo huo upo mbioni kumalizika na utamfanya kuwa msanii wa pili Bongo kuwa na nyumba kali.

“Nasema ukweli mimi nyumba yangu ikiisha, nyumba ninayojenga mimi sijui nitakuwa msanii wa pili wa Dar es Salaam au Tanzania kuwa na nyumba kali, ya kwanza ni Diamond ambayo nayo haijaisha ila ipo katika hatua za mwisho,” amesema Harmonize.

Ameongeza kuwa amefikia mafanikio hayo makubwa kutokana na ushauri mzuri anaopatiwa na mpenzi wake Sarah.

Katika hatua nyingine amefunguka tetesi za mpenzi wake Sarah kuwa na ujauzito na kueleza kuwa hilo halina ukweli ila kwa sasa anaweka mazingira mazuri kwa ajili ya mtoto.

Yule Mtaalam wa Dua na Dawa za Kiarabu na za Kiasili Sharifu Lukumani Sasa Yupo Hewani

$
0
0
YULE MTAHALAM WA DUA NA DAWA ZA KIARABU NA ZA KIASILI YANI MITI SHAMBA SHARIFU LUKUMANI SASA YUPO HEWANI

WENYE SHIDA ZITUATAZO:
CHEO KAZINI, KUONGEZEWA MSHAHARA KAZINI, MWENYE TATIZO LA NGUVU ZA KIUME, ALIEPOTELEWA NA HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA, MWENYE KIFAFA, KISUKARI, FANGASI SEHEMU ZA SIRI KWA WALE WENYE MIILI MINENE MTOTO WA JICHO PAMOJA NA WALE WAKINA MAMA WANAOSUMBULIA NA CHANGO LA UZAZI PUMU YA MUDA MREFU WANAWAKE KUJAA MAJI SEHEMU ZA SIRI, MWANAUME KUWAI KUFIKA KILELENI AU KUTOA MANII MFANO WA MAJIMAJI YAKIWA MEPESI AUTOWEZA KUMPA MKEO UJAUZITO JAMBO HILI LINAWASUMBUA WANAUME WALIO WENGI DUNIANI KWA KAWAIDA WANAUME ASIE NA TATIZO HILI UTOA MANII MAZITO NDIO YENYEUWEZO WA KUMPA MWANAMKE MIMBA.

MWANAUME KUPATA MPENZI KWA ULAISI PASIPO NA GHARAMA YOYOTE YANI KWA WALE MADOMO ZEGE KUWA NA UWEZO WA KUSIKILIZWA HATAKAMA RAIA WA INCHI GANI NA UWEZO WA KURUDISHA MPENZI ALIE POTEA NA KUMFANYA AWE WAKO KWA WALE WASIO TAKA MITALA PIA UFANYA KAZI YA KUNG'ALISHA NYOTA SASA MATATIZO YAKO YAMEPATA SULUHISHO ANAPATIKA KWA MASAA ISHIRINI NA NNE

WASILIANA NAE KWA NAMBA 0762899488-0656145170-WhatsApp namba +255620665635

Joyce Kiria Amewashukia Wanaume Wasiopenda Kujishughulisha na Kushinda Mitandaoni Muda Wote..Ataka Mwanaume Mwenye Hela

$
0
0
Joyce Kiria amewashukia wanaume wasiopenda kujishughulisha na kushinda mitandaoni muda wote

VIDEO:

Nimemkuta Mume Wangu Akifanya Ngono na House Girl wa Jirani Yetu

$
0
0
Juzi nilikuwa naenda kazini nikamuacha mume wangu
nyumbani anaangalia TV, gari langu likazima ghafla kiasi cha
kilomita moja toka nyumbani.

Nikaona nitembee mpaka nyumbani kumwomba mume wangu aje anisaidie kutengezagari, kwa mshangao wangu nilipofika nyumbani nikamkuta mume wangu yuko chumbani na msichana wa kazi wa nyumba ya jirani. Mume wangu ana miaka 43, mimi nina miaka 39 na msichana huyo ana miaka 19 hivi.Tumekuwa katika ndoa kwa miaka 10. Nilipomuuliza mume wangu alikubali kuwa uhusiano wao umekuwa ukiendelea kwa miezi sita sasa, nifanye nini mimi?

NISHAURINI NIFANYAJE NDUGU ZANGU...
SHARE HII TAFADHALI

Kutana na Mtaalam Sharif Hamad Kalala Mchambuzi wa Nyota za Binadamu na Tiba Asili

$
0
0
KUTANA NA SHARIF HAMAD KALALA NI
SHARIFU MCHAMBUZI WA
NYOTA ZA BINAADAMU NA NI MWENYE UPEO MKUBWA KUTAFITI MATATIZO YAKO KABLA YA KUTOA USHAURI WAKE WA TIBA AlJALISHI MBALI ULIKO TIBA YAKE UMFIKIA YEYOTE MWENYE UITAJI POPOTE
DUNIANI.

 SHARIF HAMAD KALALA NI TABIBU MWENYE KUBRI TOKA KWA ALAH ANATIBU KWA NJIA YA VITABU VYA QUR-AN, DAWA ZA ASILI ZA MITI SHAMBA PAMOJA NA DAWA ZA KIARABU.
ANATIBU KWA NJIA YA SIMU KWA KUTOA
MAELEKEZO NAMNA YA MATUMIZI YA DAWA UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE KWA MATATIZO YAFUATAYO:-

 KUFANIKISHA NDOA KWA UNAYE MPENDA KWA HARAKA. KUMRUDISHA MPEZI NDANI YA MASAA 12 TU.
 ULIJALI (NGUVU ZA KIUME) NDANI YA /IKI MMOJA TU
MIGUU KUWAKA MOTO KUTAFSIRI NDOTO MFARAKANO WA WANANDOA MFARAKANO KAZINIKUPANDISHWA CHEO NDANI YA SIKU SABA 7 TU.
KUTOA PETE YA BAHATI KUTOA MAJINI MACHAFU IKIWA NI KWENYE MWILI WA BINADAMU MAJUMBANI NA KWENYE BIASHARA. KUPATA MAFANIKIO YA MALI BILA YA MASHARTI. KUPANDIKIZANYOTA YA KUBASHIRI KUFUNGUA UZAZI KWA WALIYO FUNGWA KWA NJIA YA USHIRIKINA KUTOA VIFUNGO VYOTE VILIVYO FUNGWA KWENYE BIASHARA. ANA UWEZO MKUBWA WA KUPANDIKIZA NYOTA YA KUMPATA YEYOTE UMPENDAYE KWA KUMUOA AU KUWA NAYE. ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIYE MBALI PIA ALIYE CHUKULIWA
KWA NJIA YAMSUKULE
NAO UWEZO WA KUUA KESI SUGU NA MPYA NDANI SIKU 7 TU.
MENGINEYO MENGI ZAID YALIYO KUWA SUGU PIGA KWA WALE WALIYO ANGAIKA SEHEMU MBALI MBALI SHARIF HAMAD KALALA NI SULUISHO. ENDAPO UTAMSIKILIZA KWA YALE ATAKAYO KUSHAURI NA KUKUPA
ELEKEZI.
 TIBA NI KWA DINI ZOTE POPOTE ULIPO NJE NA NDANI YA NCHI.
MOBILE +255 -673 025 376
WhatsApp +255-757 069 066

Viewing all 104768 articles
Browse latest View live




Latest Images