Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104431 articles
Browse latest View live

Yule Mtaalam wa Dua na Dawa za Kiarabu na za Kiasili Sharifu Lukumani Sasa Yupo Hewani

0
0
YULE MTAHALAM WA DUA NA DAWA ZA KIARABU NA ZA KIASILI YANI MITI SHAMBA SHARIFU LUKUMANI SASA YUPO HEWANI

WENYE SHIDA ZITUATAZO:
CHEO KAZINI, KUONGEZEWA MSHAHARA KAZINI, MWENYE TATIZO LA NGUVU ZA KIUME, ALIEPOTELEWA NA HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA, MWENYE KIFAFA, KISUKARI, FANGASI SEHEMU ZA SIRI KWA WALE WENYE MIILI MINENE MTOTO WA JICHO PAMOJA NA WALE WAKINA MAMA WANAOSUMBULIA NA CHANGO LA UZAZI PUMU YA MUDA MREFU WANAWAKE KUJAA MAJI SEHEMU ZA SIRI, MWANAUME KUWAI KUFIKA KILELENI AU KUTOA MANII MFANO WA MAJIMAJI YAKIWA MEPESI AUTOWEZA KUMPA MKEO UJAUZITO JAMBO HILI LINAWASUMBUA WANAUME WALIO WENGI DUNIANI KWA KAWAIDA WANAUME ASIE NA TATIZO HILI UTOA MANII MAZITO NDIO YENYEUWEZO WA KUMPA MWANAMKE MIMBA.

MWANAUME KUPATA MPENZI KWA ULAISI PASIPO NA GHARAMA YOYOTE YANI KWA WALE MADOMO ZEGE KUWA NA UWEZO WA KUSIKILIZWA HATAKAMA RAIA WA INCHI GANI NA UWEZO WA KURUDISHA MPENZI ALIE POTEA NA KUMFANYA AWE WAKO KWA WALE WASIO TAKA MITALA PIA UFANYA KAZI YA KUNG'ALISHA NYOTA SASA MATATIZO YAKO YAMEPATA SULUHISHO ANAPATIKA KWA MASAA ISHIRINI NA NNE

WASILIANA NAE KWA NAMBA 0762899488-0656145170-WhatsApp namba +255620665635


Lowassa, Msigwa Kuumbuka Kashfa ya Kutelekeza Watoto...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya April 13

0
0


Lowassa, Msigwa Kuumbuka Kashfa ya Kutelekeza Watoto...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa ya April 13

Video: Mtangazaji wa Times Fm, Lil Ommy atoa neno kuhusu video ya utupu ya Nandy na Bill Nass

0
0
Mtangazaji wa The Playlist kutoka Times Fm, Lil Ommy ametoa kauli yake juu ya video ya utupu ya Nandy na Bill Nass iliyovuja mtandaoni na kusema kuwa tukio hilo lililofanyika sio la kawaida hata kidogo hasa kwa msanii aliyeweka nguvu yake kubwa katika muziki.

VIDEO:

Harmonize Adai Ukimtoa Diamond Anafuatia Kuwa na Nyumba Kali Kuzidi Wasanii Wote Bongo

0
0
Msanii wa muziki kutoka label ya WCB, Harmonize amefunguka kuhusu mjengo wake ambao upo mbioni kukamilika.

Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na ngoma ‘Kwa Ngwaru’ ameiambia Funiko Base, Radio Five kuwa mjengo huo upo mbioni kumalizika na utamfanya kuwa msanii wa pili Bongo kuwa na nyumba kali.

“Nasema ukweli mimi nyumba yangu ikiisha, nyumba ninayojenga mimi sijui nitakuwa msanii wa pili wa Dar es Salaam au Tanzania kuwa na nyumba kali, ya kwanza ni Diamond ambayo nayo haijaisha ila ipo katika hatua za mwisho,” amesema Harmonize.

Ameongeza kuwa amefikia mafanikio hayo makubwa kutokana na ushauri mzuri anaopatiwa na mpenzi wake Sarah.

Katika hatua nyingine amefunguka tetesi za mpenzi wake Sarah kuwa na ujauzito na kueleza kuwa hilo halina ukweli ila kwa sasa anaweka mazingira mazuri kwa ajili ya mtoto.

Deni La Taifa, Mishahara Inavyokomba Makusanyo Ya Serikali

0
0
Baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuonyesha kuwa makusanyo ya serikali yanafikia lengo kwa takribani asilimia 94, lakini fedha za maendeleo zinazotolewa ni takribani asilimia 50 pekee Serikali imesema kwa mwezi inakusanya wastani wa Sh trilioni 1.3, Sh bilioni 550 hulipa mishahara na Sh bilioni 600 hulipa deni la taifa.

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango amesema hayo jana Alhamisi Aprili 12, wakati akizungumza na waandishi wa habari kujibu sehemu ya hoja zilizotolewa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu Hesabu za Serikali (CAG), katika ripoti yake inayoishia Juni 2017 aliyoiwasilisha bungeni jana.

Dk. Mpango alisema; “kwa hiyo maana yake kwenye Sh trilioni 1.3, umebakiwa na bilioni 200 ambazo ndiyo hizo unatumia kuendesha Serikali, lakini humo namo kuna shughuli nyingine ambazo hazikwepeki, kwa mfano askari wetu shupavu wanalala nje lazima Serikali tuwape posho ya chakula, ndiyo sisi tunaweza tukaendelea na vurugu huku bungeni tukabishana, tukala nyumbani kwa amani.

“Kuna mishahara ya Majaji lazima ilipwe na marupurupu yao mengine, kuna viongozi wetu nao hawalali, niwahakikishie ni kawaida kabisa kumpigia Rais simu saa nane, saa tisa yuko macho, hawa viongozi wamebeba dhamana kubwa lazima Serikali iwahudumie.

“Kwa hiyo unaponiuliza hizi nyingine zinaenda wapi, naweza nikaendelea na kuendelea,” alisema Dk. Mpango.

Awali, Dk. Mpango alisema Serikali ya awamu ya nne, ilikuwa inakusanya Sh bilioni 850 kwa mwezi, lakini tangu Serikali  ya awamu ya tano kuingia, imekuwa ikikusanya wastani wa Sh trilioni 1.

“Kwa hiyo ni ni rahisi sana kuhesabu hicho kinachoingia mfukoni, lakini ni muhimu kuangalia sana hicho kinachotoka, zinatoka zinakwenda kwenye nini.

“Ulipaji wa deni la taifa inategemea, kwa mwezi inaweza ikatoka kati ya Sh bilioni 600, tumewahi kwenda mpaka Sh bilioni 900, kutegemea na hayo madeni yanaiva wakati gani, mwezi huu unaweza ukalipa Sh bilioni 600 na kidogo, mwezi ujao ukalipa Sh bilioni 700, ni kwasababu ya tofauti ile mikopo inaiva wakati gani.

“Ukichukua wastani wa Sh bilioni 550 mishahara, ukaongeza Sh bilioni 600 kwaajili ya kulipa deni, tayari Sh trilioni 1.1 umeitumia kwa hivyo vitu viwili ambavyo huwezi kukwepa,” amesema Dk. Mpango.

Paul Makonda Akanusha Kuwaita Edward Lowasa, Mbowe

0
0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni zikiwa na orodha ya majina ya watu akiwemo Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowasa na baadhi ya wabunge kuwa wameitwa ofisini kwake kwa madai ya kutekeleza watoto wao.

Makonda amesema kuwa, taarifa hiyo ni propaganda zenye lengo la kupotosha na kupaka matope zoezi la kuwasaidia akina mama wanyonge waliotelekezwa.

Aidha, mkuu huyo wa mkoa amesisitiza kuwa zoezi analoliendesha la kuwasaidia kina mama na watoto waliotelekezwa halitamuonea mtu yeyote  na halitamuogopa mtu yeyote atakayethibitika kutotoa matunzo kwa mtoto wake kwa mujibu wa sheria.

Hata hivyo amesema kuwa familia 170 ambazo zilikwenda jana ofisini kwake waliweza kuelewana namna ya kulea watoto wao na kusema zoezi linakwenda vizuri kama ambavyo lilikusudiwa na kudai kuanzia Jumatatu sasa wataanza kuitwa wakina baba.


=========================



TAARIFA YA UZUSHI ILIYOKUWA INASAMBAZWA

MAKONDA ATAJA WATU 10 KURIPOTI OFISINI KWAKE IJUMAA.

Na Mwandishi wetu,

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe.Paul Makonda ametaja orodha ya watu kumi ambao ameagiza wafike ofisini kwake siku ya ijumaa tarehe 13 April kuanzia saa 2 asubuhi.

Katika taarifa aliyoitoa leo mchana Makonda hajaeleza sababu ya kuwaita watu hao lakini inadhaniwa ni suala la madai ya kutelekeza watoto. Watu hao ambao Makonda anadai kuwaandikia barua ni pamoja na:

1. Mhe.Edward lowassa (waziri Mkuu mstaafu)

2. Mhe.Peter msigwa (mbunge Iringa mjini)

3. Mhe.Godbless lema (mbunge Arusha mjini)

4. Mhe.Hussein Bashe (mbunge Nzega mjini)

5. Mhe.Peter Lijualikali (mbunge Kilombero)

6. Mhe.Freeman mbowe (mbunge Hai)

7. Mchungaji Daniel Joshua (True Life Ministry)

8. Padri Baptiste Mapunda (RC)

9. Baba Askofu Josephat Gwajima (Ufufuo na uzima)

10. Bwana Dismas Lyassa (mwandishi wa habari)

Download Hapa Application ya Udaku Special Uweze Soma Vimbwanga na Udaku Mtaani Kila Siku

0
0
Mpendwa msomaji wetu, tunakukumbusha Kuidownload Upya Application yetu ya UDAKU SPECIAL Maana ile ya Zamani Tutaifuta.

Kuna Marekebisho Makubwa tumeyafanya ikiwa na tatizo la Notification kutatuliwa

NB: App mpya ina Icon Nyekundu

 Bonyeza Hapa Chini

==>>Unaweza Kuidownload << kwa Kubofya Hapa>>
 

Mrembo Hudah Monroe Anasa Katika Penzi na Mwarabu

0
0
MWANADADA mwenye jina kubwa kwenye mitandao ya kijamii, Hudah Monroe, ameweka wazi kwamba yupo kwenye uhusiano na mwanamume wa Kiarabu na anampenda sana.

Hudah aliweka wazi suala hilo baada ya kuandika kwenye Mtandao wa Kijamii wa Instagram, kwamba angekuwa nje ya soko kama asingepata mpenzi na kurudi kwenye uhusiano.

“Ninashukuru nimepata mpenzi, ambaye tunapendana. Ni Mwarabu na kiukweli ningekuwa nje ya soko kama ningeendelea kuwa mpweke!” Alisema Huddah pia alipofanya mahojiano na mtandao mmoja wa habari za burudani Kenya.

SOMA PIA:  Job Opportunity at TJL Company Ltd, Accountant
 

Unajua Athari za Kuitana Sweet, Dear na Baby Kwa Watu Ambao Sio Wachumba ama Mke na Mume?

0
0
BABY ni neno la Kiingereza lenye maana ya mtoto, tena mara nyingi linatumika kwa mtoto mdogo. Pia lina maana nyingine ya mpenzi. Ni neno maarufu sana siku hizi; hata wazee kabisa, utasikia wanaitana baby!

Mbali na hilo, yapo maneno mengine kama sweet, dear, honey na mengine mengi. Maneno yote hayo ya Kiingereza, yana maana zaidi ya moja, lakini kubwa zaidi ni kumaanisha mpenzi, mpendwa (hutumika katika kuonesha mapenzi ya dhati kwa mwingine).

Leo nataka kukupa kitu kipya kabisa kichwani mwako. Unahitaji utulivu wa hali ya juu ili kujifunza hili. Ni maneno mazuri sana, ya kipekee lakini kwa upande mwingine ni hatari kwa sababu hukaribisha matatizo ambayo hayakutarajiwa na mtumiaji.

HUTUMIKA WAPI HASA?
“Dear, naomba uniamshe saa 12:00 asubuhi, kesho nina vikao vingi sana asubuhi,” inaweza kuwa kauli ya mume akimwambia mkewe, ambaye naye anamjibu: “Sawa sweet, usijali.”

Kwa hakika ndipo sehemu sahihi zaidi kutumika. Ni maneno yenye mshawasha mkubwa na huonesha penzi la dhati lililopo moyoni mwa mhusika kwenda kwa mpenzi wake.
Husisimua na kuongeza ladha ya mapenzi ya kweli. Kumuita mpenzi wako kwa majina ya kimapenzi

huongeza zaidi upendo na msisimko wa moyo. Mwenzi hujiona wa kipekee na mapenzi huzidi kukua.
Kwa maana hiyo basi, ni sahihi zaidi kwa wapenzi kuitana majina niliyotaja hapo juu na mengine yanayofanana na hayo kwa lugha yoyote ile, ila iwe inatambulika vizuri na anayetamkiwa.

ATHARI SASA!

Kwa upande mwingine kuna athari za kutumia maneno hayo. Zama hizi, maneno hayo yanaonekana ya kawaida tu. Mtu yeyote anaweza kumuita yeyote mpenzi, honey, baby n.k. Hapo ndipo kwenye tatizo lenyewe.

Kwa ujumla wanawake ndiyo wanaongoza zaidi kuitana majina hayo. Wakati mwingine huenda mbali zaidi na kuwaita hata wanaume majina hayo ya kimapenzi. Si rahisi kuona athari zake kwa haraka na moja kwa moja, lakini zipo na wengi zimewasababishia matatizo. Ngoja tuone..

HUPUNGUZA THAMANI

Kama nilivyotangulia kusema awali, maneno
niliyotaja hapo juu husisimua na kuongeza mapenzi. Kwa kuyatumia vinginevyo, basi kwa kiasi kikubwa huanza kukuathiri na kupunguza thamani ya neno lenyewe.

Kama unaweza kumwita mfanyakazi mwenzako dear, mtu wa jinsi sawa na wewe sweet ni wazi hata utakapomuita mpenzi wako au wewe kuitwa na yeye, halitakuwa na nguvu sana ya mapenzi kwa sababu ni neno ulilolizoea kila wakati.

HUKARIBISHA USALITI
Wakati mwingine unaweza kujikuta umeingia kwenye usaliti bila kutarajia. Veronica, mfanyakazi wa saluni moja ya kiume iliyopo Sinza, Dar alitoa ushuhuda ufuatao:
“Mimi naishi na mchumba wangu, tuna mtoto mmoja mwenye miaka mitatu. Nafanya kazi saluni.

Tangu nimeanza hii kazi, nimejifunza kutumia maneno matamu ya kumfurahisha mteja na wakati mwingine kumfanya akupe tipu baada ya kumaliza kazi.

“Kuna kaka mmoja nilizoeana naye sana. Kama kawaida, huwa namkaribisha kwa kumuita dear au sweet. Wakati nikiendelea kumfanyia scrub, mazungumzo yetu hutawaliwa na dear, sweet, nikajikuta nimezidi kumzoea.

“Kwa sababu tulibadilishana namba, mara akaanza kuwa na mazoea ya kunitumia meseji, akija ananipa pesa, anaondoka. Mazoea yakazidi. Nikajikuta nimemzoea na kuna siku ambayo siwezi kuisahau kabisa.

“Ni siku niliyomsaliti mchumba wangu...mbaya zaidi na huyo jamaa naye ana mke wake. Niliumia sana, lakini naamini kama nisingekuwa na mazoea ya kumuita majina ya kimapenzi nadhani nisingeingia mtegoni. Moyo wangu unauma sana, najuta kumsaliti mpenzi wangu.”

Unaweza usione athari hii moja kwa moja, lakini ndugu zangu chukua jambo hili leo; wanaume wengi wakiitwa kwa majina ya kimapenzi husisimka sana – hujiona wenye bahati na mara hushawishika kuingia mapenzi.

Kama mwanamke hatakuwa makini atajikuta ametumbukia. Ya nini yote hayo, wakati unaweza kubadilisha mazoea hayo?

ANGALIA TOFAUTI
Rafiki zangu, kati ya maneno niliyoyataja, kuna ambayo yanakubalika kutumiwa na wasio na uhusiano lakini wawe na undugu wa damu. Mathalani baba, mama, kaka, dada, shangazi nk.

Hakuna tatizo kumuita mtu mpendwa, lakini siyo baby, sweet, mpenzi na mengine yenye maana ya moja kwa moja ya kimapenzi. Umenipata? Akili za kuambiwa, changanya na zako kisha unazifanyia kazi! Chukua kinachokufaa!
Hadi wiki ijayo kwa mada nyingine. Wewe ni muhimu sana kwangu.

SOMA PIA: Nafasi za Ajira zilizotangazwa Leo

Punguza Unene Unaokusumbua Katika Mwili Kwa Kutumia Bidhaa za Edmark

0
0
Tumia Dawa za Edmark za Kupunguza uzito uliozidi Mwilini Mwako, Edmark ni Vurutubisho na Chakula Mbadala na Zimehakikiwa na TFDA...

Ni uhakika kwa afya yako,👉 kupunguza uzito na sumu mwilini, Mafuta Sehemu Mbaya, Kitambi na nyama uzembe na kutibu MAGONJWA Mbalimbali kwa msaada wako mfuate instagram: @afyayanguutajiriwangu @afyayanguutajiriwangu


Au Mtafute WhatsApp Huyu Dada kwa kutumia Namba +255783 566844

Pia Dawa za Edmark Zinaweza kupa Fursa ya Biashara Uweze pata Kipato Kirahisi kwa Kuwasaidia watu Kuimarisha Afya zao

Patoranking Atua Bongo..... Ampa Shavu Msanii wa Bongo

0
0
Patoranking Atua Bongo..... Ampa Shavu Msanii wa Bongo
MSANII maarufu wa Nigeria, Patoranking ametua Bongo kwa ajili ya kumtambulisha msanii mpya wa Tanzania, Walid ambaye amemsainisha kwenye Record Lebo yake iitwayo iitwayo Amari Music.



Baada ya kutua Bongo, Patoraking alifunguka kuwa alikutana na Walid nchini Holland miaka miwili iliyopita na msanii huyo alipomsikiliza nyimbo zake, Patoraking aliipenda kazi ya kijana huyo na kumuahidi ndani ya miak miwili angemchkua na kumsainisha kwenye lebo yake hiyo mpya.



Aidha, Patoraking alisema kwa sasa tayari amefanya nyimbo mbili akishirikiana na Walid ambazo zimeshatoka na kusema msanii huyo ndiye anamuandikia mashairi yake kwa lugha ya kiswahili.Patoraki

Mwenyekiti Apotea Kigoma Zitto Kabwe Awasha Moto Bungeni

0
0
Mwenyekiti Apotea Kigoma Zitto Kabwe Awasha Moto Bungeni
MBUNGE wa Kigoma Mjini (ACT -Wazalendo), Zitto Kabwe amemtaka Waziri wa Ofisi ya Rais -Tamisemi kulitafutia ufumbuzi suala la kutoweka kwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Kakonko mkoani humo, Simon Kanguye.
Zitto amefunguka hayo jana Aprili 12, 2018 bungeni mjini Dodoma wakati akichangia mjadala wa Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Rais, yenye Wizara za Tamisemi na Utumishi na Utawala Bora kwa mwaka wa fedha 2018/2019.
“Habari zinazosambaa Kibondo tayari ameuawa. Tunataka maelezo ya mtu huyo, sisi watu wa Kigoma ni Kigoma kwanza kabla ya kuwa Watanzania naomba hilo mlielewe,” alisema Zitto.
Zitto alisema kiongozi huyo hajaonekana kwa miezi tisa sasa ambapo mara ya mwisho kuonekana aliitwa kwa mkurugenzi na kukutana na Ofisa Usalama wa Wilaya ambao amedai tangu siku hiyo hajulikani alipo mwenyekiti huyo licha ya jitihada za ndugu na viongozi wenzake kumtafuta bila mafanikio.
“Familia imechukua hatua mbalimbali, imelalamika na sisi wajumbe wenzake tumehoji kwenye vikao, hakuna maelezo yoyote kutoka serikalini, kamwe hatutokubali,” alisema Zitto.

SOMA PIA: Job Opportunity at eWallet Africa Ltd, Sales and Marketing Manager

Baada ya Video ya Utupu Kuvuja Nadny Amtupia Lawama Bill Nass

0
0
Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Nandy amemtupia lawama Bill Nass na kuwaomba radhi Watanzania wote waliopatwa na mfadhaiko baada ya video hiyo kuvuja kwenye mitandao ya kijamii.


Nandy amesema kuwa video hiyo ni kweli ya kwake na Bill Nass na walipiga kipindi hicho mwaka 2016 walipokuwa kwenye mahusiano ila ameshangazwa kuona video hiyo waliyopiga wakiwa faragha kuvuja mtandaoni.

“Nilikuwa na mahusiano na Bill Nass mwaka 2016, nilikuwa na mahusiano na Bill Nas na tulikubaliana iwe siri, sasa sielewi kwa sababu gani kaamua kuvujisha, nimesikitishwa sana, ni video ambayo ilishutiwa kwa snapchat, sasa sielewi aliipataje hiyo video kwani ni lazima nimrushie ndio aipate, sijui niseme nini, Naomba radhi sana kwa familia yangu, kanisani kwangu, mashabiki serikali yangu kwa kweli video imenichefua sana mpaka hapa ninapoongea nimechefuka, ila adhabu ya maumivu ninayoipata sasa hivi ni kutokana na kumuamini mwenzangu,“amesema Nandy kwenye mahojiano yake na MCL Digital.

Mapema leo Aprili 12, 2018 video ya Nandy na Bill Nass wakiwa utupu imevuja kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonesha wawili hao wakiwa katika hali ya mahaba kitandani, hata hivyo mpaka sasa Bill Nass bado hajatoa kauli yoyote kuhusu tukio hilo na Bongo5 inafanya jitihada za kumtafuta.

Mchungaji Msigwa amchana Kitila Mkumbo

0
0
Mchungaji Msigwa amchana Kitila Mkumbo
Mbunge wa Iringa Mjini (CHADEMA), Mchungaji Peter Msigwa amefunguka na kumchana Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Prof. Kitila Mkumbo na kusema kuwa anashindwa kutafuta namna ya kuwatua wamama ndoo kichwani amekazana kuandika barua za kuwajibu maaskofu.


Msigwa amesema hayo bungeni na kudai kuwa serikali imekuwa ikipandisha watu vyeo na kuwapa nafasi watu wengine ambao hawaendi kuleta tija katika nafasi hizo kutokana na kukosa uzoefu wa kazi au kukosa uelewa wa mambo, jambo ambalo amedai limepelekea halmashauri nyingi kufanya vibaya.

"Kwenye taifa letu kunapofanyika promotion au appointment au replacement kwenye eneo lolote haitegemeani na merits, unapomchagua Katibu Mkuu wa wizara unamchagua kwa vigezo gani unataka akaongeze thamani gani, unapomchagua Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya unawachagua kwa vigezo gani, tulilalamika wakati serikali hii inaingia madarakani kwamba mmewatoa wakurugenzi waliokuwa wazuri waliokuwa wanafanya kazi kwa waledi katika ofisi zao lakini wakaletwa watu tu kwa sababu wanavaa sare za CCM na leo tumeona jinsi ambavyo halmshauri zetu zinavyoshindwa kufanya kazi, kumekuwa na ubaguzi wa hali ya juu sana na upendeleo kwa sababu hawa wote walioteuliwa hawaendani na kazi walizopewa" alisema Msigwa

Mchungaji Msigwa aliendelea kutolea ufafanuzi hilo kwa kumtolea mfano Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji Prof. Kitila Mkumbo

"Kwa mfano ofisi ya Katibu Mkuu ni ofisi serious kabisa unamuona mtu kama Prof. Kitila Mkumbo badala ya kushughulika na namna ya kumtua mama ndoo kichwani yeye amekazana anaandika kuwajibu maaskofu ambao wanashughulika na roho za watu mtaani, badala ya kukaa kwenye ofisi, haya ndiyo tunayosema mtu hajui anaenda kuongeza thamani gani na nimezungumza mambo ya replacement haya unamchukua mtu kama Kitila anazungumzia mambo ya elimu unampeleka kwenye mambo ya maji anakaa ofisini badala ya kuzungumza mambo ya kumtua mama ndoo kichwani ambalo ni wazo zuri yeye anakazana anaandika anataka kumjibu askofu kwa sababu ya mawazo aliyotoa kwamba hakuna demokrasia nchi hii" alisisitiza Msigwa

SOMA PIA: Job Opportunity at Jane Goodall Institute Tanzania, Program Accountant


Waziri Mwakyembe Afanya Uteuzi Huu

0
0
Waziri Mwakyembe Afanya Uteuzi Huu
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe amemteua Mhandisi Dkt. Richard Joseph kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya chuo cha michezo Malya.
Uteuzi huo umetekelezwa kwa mujibu wa sheria ya Na. 9 ya Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) ya mwaka 1997 ikisomwa na mwongozo wa uteuzi wa bodi ya uongozi wa vyuo vya elimu ya juu.


Alichokisema Dogo Janja Baada ya Video ya Utupu Iliyovuja ya Nandy na Bill Nass

0
0
Alichokisema Dogo Janja Baada ya Video ya Utupu Iliyovuja ya Nandy na Bill Nass
April 12 katika upande wa burudani moja kati ya stori zilizochukua headlines ni kuvuja kwa video clip ikiwaonesha muimbaji Nandy akiwa mapenzini na msanii mwenzake Billnass.

Nandy baada ya kuvuja kwa video hiyo alikiri kuwa ni yake na kuomba msamaha kwa mashabiki, familia yake na kila mmoja aliyechukizwa na video.



Baada ya kila mmoja kuwa na mawazo tofauti kuhusiana na ishu ya Nandy na Billnass ila Dogo Janja ameamua kumtetea Nandy kwa kuamdika ujumbe huu katika ukurasa wake wa instagram “Asiyekuchoka kwenye shida MUNGU atamlinda zaidi ili mcheke wote kwenye raha.. #MyRichFriend@officialnandy ❤️ #NoBodyIsPerfect“>>> Dogo Janja

“Tukiwasema mnatupeleka Polisi lakini Rais akitukashifu….”-John Heche

0
0
TOP STORIES “Tukiwasema mnatupeleka Polisi lakini Rais akitukashifu….”-John Heche
Mbunge wa Tarime vijijini John Heche amelalamika ndani ya Bunge kwamba Serikali imekuwa ikiwanyima uhuru wa kuzungumza baadhi ya viongozi na wanachama vya vyama vya upinzani na pale wanaoonekana kuzungumza kwa lengo la kuikosoa Serikali huishia kupelekwa Polisi na Mahakamani.

Heche amesema…>>>“Sisi tukizungumza kuhusu nyie mnatupeleka Polisi lakini Rais akitukashifu sisi hatuna pa kuwapeleka, Ni lazima tuheshimiane na tuelewane”

Soma Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Leo

0
0

Wasiliana na Mtaalam Sharif Noor Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana

0
0
Kutana Na Sharif Al_noor
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.

Sharif Al_noor ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)

Sharif Al_noor ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)
Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?

Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio? Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo.. Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.

Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.

Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Sharif Al_noor Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..

Shirif Al_noor Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..

Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..
Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..

Mawasiliano +255 746 426 604 Whatsapp/Call

Kwanini Mabinti wa Kitanga Wanagombaniwa?

Viewing all 104431 articles
Browse latest View live




Latest Images