Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104429 articles
Browse latest View live

Mpenzi wa Bill Nass Amchana Mwanamuziki Nandy

0
0
Bado ni drama tele kati ya Nandy na Bill Nass, safari hii mpenzi wa Bill Nass amemshukia vikali Nandy kwa kile kilichotokea.

Alice ambaye ndiye anadaiwa kuwa katika mahusiano na Bill Nass kwa sasa ameonyesha kutopendezwa kabisa na kile kilichotokea kwa mpenzi wake pamoja na Nandy. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika;

Ujue wakati mwingine jitahidi kujiheshimu Nandy, Ulimpigia William simu ukimuomba akutumia picha zenu za wakati mnadating…. bila hiyana mume wangu alikutumia, lakini wewe uliposti zile picha hukuridhika ukaamua uachie video chafu kama ile halafu hapo hapo unakataa na kumlaumu mume wangu wakati iliyotumika ni simu yako.

Upande wako kama unaona umewin basi jua umetuharibia mimi na mume wangu sana na hata kwa watoto wetu huko mbeleni sijui watamjengea picha gani baba yao.

Cant you doing your fu*** music bila kiki?, au uliona mume wangu William ndo wa kutafutia kiki, naomba ukome tena haswa, kama ulikuwa naye ndio ishapita hivyo tuache na mahusiano yetu, sijui ni mwanamke wa dizaini gani wewe usiyekuwa na haya, unayejua kuvaa nje, ndani hujui, ile chu** ni ya kuvaa msichana kama wewe.

Hapo juzi, April 12, 2018 ilivuja video mtandaoni ya utupu ambayo iliwaonyesha Bill Nass na Nandy wakiwa faragha. Nandy ameshaomba radhi kwa mashabiki wake kutokana na tukio hilo na kueleza hajui nani hasa amevujisha video hiyo ila amekiri kuwa yeye ndiye aliirekodi.


Kutana na Mtaalam Sharif Hamad Kalala Mchambuzi wa Nyota za Binadamu na Tiba Asili

0
0
Kutana Na Sharif Al_noor
Wasiliana na Mtaalam Huyu Kwani yeye hufaulu Pale wote waliko Shindwa na Pia Humaliza kazi zilizo Shindikana ama Zilizo Achwa ndani ya Siku Moja 1.

Sharif Al_noor ANAWASHUKURU WALE WOTE WANAOPIGA SIMU ZA SHUKRANI NA KUTOA SHUHUDA JINSI TIBA ZAKE ZINAVYO SAIDIA(Rudisha Mahusiano yako Ndani ya Saa 12 tu)

Sharif Al_noor ni Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili Mwenye Uwezo wa Kubaini Tatizo lako tu Pindi Utakapo Fanya Mawasiliano Kupitia Wasaa Husika.
(NA ANATIBU KWA NJIA YA SIMU UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE ENDAPO UTAFATA MAELEKEZO YAKE..)
Je Unasumbuliwa na Mapenzi..?

Umeachwa na UMPENDAE Awe Mume/Mke na Bado Unampenda Je Umejaribu Sehemu Nyingi Bila Mafanikio? Mpigie Simu sasa Hivi Ujionee Muujiza wa Papo kwa Papo.. Anauwezo wa Kurudisha Mahusiano yako na Kuimarisha NDOA Ndani ya saa 12 tu.

Je Umekimbiwa na Mumeo/Mkeo au Mpenzi na Anaishi na Mtu Mwingine..?
Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao (Mfarakano/Kimavi) Endapo Utafata Atakacho Kuelekeza.

Je Una Mpenzi wako ana Pesa na unataka Kumkamata? Muone Sharif Al_noor Atamfanya Atimize Ahadi zote Ndani ya Muda Mfupi..

Shirif Al_noor Anatumia Jina La Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo..

Anatibu Kutumia QUR_AN DAWA ZA ASILI YA AFRICA, Dawa za KIARABU NA MAJINI..
ANATAFSIRI NDOTO. ANAPANDIKIZA NYOTA YA KUSHINDA BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA NA KUKUPA MVUTO WA AJABU, KUTOA NUSKI NA VIFUNGO MBALIMBALI.

ZINDIKO ZA NYUMBA NA BIASHARA.. PETE ZA BAHATI.. HUMALIZA KABISA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA KUREFUSHA UUME KWA SAIZI UNAYOTAKA. HUZUIA CHUMA ULETE KWENYE BIASHARA. HURUDISHA MALI ZILIZOPOTEA..
MAGONJWA SUGU, MIGUU KUWAKA MOTO AU KUFA GANZI, HUTIBU BUSHA BILA KUPASUA..ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA  ALIE MBALI AU ALIECHUKULIWA MSUKULE..
Humaliza Kesi ya Aina Yoyote Ndani ya Siku 7 tu..
Hutoa Jini la MALI kwa wale Wanao Hitaji Utajiri Bila Masharti..

Mawasiliano +255 746 426 604 Whatsapp/Call

Zitto Kabwe Amlilia Mama Mzazi wa Mrisho Gambo

0
0
Zitto Kabwe Amlilia Mama Mzazi wa Mrisho Gambo
Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe ametoa salamu za pole kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo baada ya kufiwa ya mama yake mzazi usiku wa kuamkia jana.



Zitto amesema kuwa anajua uchungu wa kupotelewa na mama huku akieleza kuwa hakuna faraja kama kumuuguza na kumsitiri mzazi.

Pole sana kwa Msiba huu mkubwa ndugu Mrisho Gambo. Najua uchungu wa kupotelewa na mama. Hakuna faraja kama kumuuguza na kumsitiri mzazi. Mola akupe subira wewe na ndugu zako. Inna lilah waina ilaih raajiun ameandika Zitto kwenye mitandao yake ya kijamii.

Nandi Amjibu Mpenzi wa Bill Nass Ampa Maneno Mazito

0
0
Nandi Amjibu Mpenzi wa Bill Nass Ampa Maneno Mazito
Bado ni drama tele kati ya Nandy na Bill Nass, safari hii mpenzi wa Bill Nass amemshukia vikali Nandy kwa kile kilichotokea.

Alice ambaye ndiye anadaiwa kuwa katika mahusiano na Bill Nass kwa sasa ameonyesha kutopendezwa kabisa na kile kilichotokea kwa mpenzi wake pamoja na Nandy. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika;

Ujue wakati mwingine jitahidi kujiheshimu Nandy, Ulimpigia William simu ukimuomba akutumia picha zenu za wakati mnadating…. bila hiyana mume wangu alikutumia, lakini wewe uliposti zile picha hukuridhika ukaamua uachie video chafu kama ile halafu hapo hapo unakataa na kumlaumu mume wangu wakati iliyotumika ni simu yako.

Upande wako kama unaona umewin basi jua umetuharibia mimi na mume wangu sana na hata kwa watoto wetu huko mbeleni sijui watamjengea picha gani baba yao.

Cant you doing your fu*** music bila kiki?, au uliona mume wangu William ndo wa kutafutia kiki, naomba ukome tena haswa, kama ulikuwa naye ndio ishapita hivyo tuache na mahusiano yetu, sijui ni mwanamke wa dizaini gani wewe usiyekuwa na haya, unayejua kuvaa nje, ndani hujui, ile chu** ni ya kuvaa msichana kama wewe.

Hapo juzi, April 12, 2018 ilivuja video mtandaoni ya utupu ambayo iliwaonyesha Bill Nass na Nandy wakiwa faragha. Nandy ameshaomba radhi kwa mashabiki wake kutokana na tukio hilo na kueleza hajui nani hasa amevujisha video hiyo ila amekiri kuwa yeye ndiye aliirekodi.

Basata Yatoa Uamuzi Huu kwa Bill Nasi na Nandy

0
0
Basata Yatoa Uamuzi Huu kwa Bill Nasi na Nandy Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limefunguka na kuweka wazi kuwa siku ya jana April 13, 2018 lilikutana na msanii Nandy kufuatia kuvuja kwa video yake akiwa faragha na msanii Bill Nas na kufanya naye mazungumzo.


BASATA wameweka wazi kuwa katika mkutano hao ambao ulifanyika jana wamemtaka msanii huyo kwanza kuomba radhi Watanzania kwa kitendo hicho lakini pia baraza hilo limechukua jukumu la kuwakumbusha wasanii wengine juu ya matumizi ya mitandao ya kijamii na kuwataka kutumia mitandao ya jamii kwa lengo la kujiletea maendeleo.

"Baraza linawakumbusha na kuwaasa wasanii wote kutumia maendeleo ya teknolojia na mitandao ya kijamii kwa lengo la kujiletea maendeleo badala ya kutumia mitandao kusambaza vitu visivyo na manufaa kwao na vyenye kuwadhalilisha wao wenyewe, familia zao na umma kwa ujumla" alisema taarifa ya BASATA

Hata hivyo msanii Nandy jana alipotoka Baraza la Sanaa la Taifa  (BASATA) aliweza kuandika maelezo marefu na kuomba radhi kwa Watanzania kwa kitendo cha video yake ya faragha kuvuja mtandaoni. 

''Man City inaweza kukosa ubingwa'' - Guardiola

0
0
Kuelekea mchezo wa leo wa ligi kuu ya England kati ya vinara Manchester United na Tottenham, kocha Pep Guardiola amesema timu yake bado ipo kwenye hatari ya kukosa ubingwa wa EPL msimu huu.


''Inawezekana kabisa tukakosa ubingwa ni vitu ambavyo vinatokea kwenye mchezo wa soka, hakuna aliyeamini kama tunaweza kupoteza mchezo hata wachambuzi walisema Man City haiwezi kupoteza alama lakini leo tuko hapa bado tunatafuta ubingwa'', amesema.

Aidha Guardiola ameongeza kuwa kwasasa timu yenye nafasi kubwa ya kufanya vizuri ni Manchester United ambayo amedai kwasasa ipo kwenye wakati mzuri tangu msimu uanze hivyo wana nguvu kubwa ya kufanya vizuri.



Man City leo itakuwa ugenini kucheza na Tottenham Hotspar huku ikiwa kilelenni kwa tofauti ya alama 13 na Man United inayoshika nafasi ya pili hivyo kama Man City leo atapata ushindi atakuwa amejihakikishia ubingwa.

RC Makonda Awataka Vigogo Hawa Kujisalimisha Sakata la Kutelekeza Watoto

0
0
RC Makonda Awataka Vigogo Hawa Kujisalimisha Sakata la Kutelekeza Watoto



MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo Jumamosi Aprili 14, 2018 amefunguka kuhusu oparesheni yake maalum ya kuwasaidia wanawake waliotelekezewa watoto na wazazi wenzao huku akiweka wazi kwamba jumla ya familia 290 zimepatana na sasa wanalea watoto wao vizuri.



“Kila kitu tunachokifanya kina interest (maslahi), jambo hili interest ya kwanza ni haki za mtoto ambaye anapaswa kupata elimu, afya, matunzo, malezi na mambo mengine ya muhimu anayopaswa kupewa. Haijalishi mtoto kazaliwa na house girl, mama kabakwa, au vyovyote, tunachokiangalia ni haki ya mtoto kwanza. Hatutetei ma-house girl au mabaamedi kuzaa na baba mwenye nyumba, tunatetea haki ya mtoto.



“Familia zaidi ya 290 zilizofika kwa mkuu wa mkoa, zingeenda mahakamni unadhani hizo kesi zingeisha lini? Nakumbuka mahakamani wangehitaji mawakili.  Mawakili siku hizi siyo huduma tena ni biashara, huyu mama maskini aliyetelekezewa mtoto wake angefanyaje?


“Wapo waliotelekezwa na wageni wakiwemo wa Zambia, Mozambique, China na Oman. Huyu Mchina nimeshawapa taarifa Ubalozi wa China na wameshatuma huko kwa ajili ya kufuatiliwa. Oman napo inaonekana kuna wazazi wengi sana wa kiume wametelekeza watoto wao hapa Tanzania.



“Kuwaficha watoto ndiyo kunasababisha matatizo kwenye misiba. Mtaani wanakoishi hawa watoto jamii inajua kwamba hawa ni watoto wa akina nani, wenye dhambi wanapenda mambo yao yabaki gizani, sisi hatujafanya kosa kuwaanika watoto kwani hakuna siri tena.



“Akina mama hawa ni wa kupongezwa, hawajatoa mimba, hawajatupa watoto, wamepambana mpaka sasa wanatafuta haki za watoto wao. Wenye matatizo ndiyo wanaendelea kuficha iwe siri. DNA itahusika endapo maelezo ya malalamikaji au mlalamikiwa yatakuwa hayajajitosheleza, hii itahitaji vipimo vya kitaalam ili kuondoa mashaka kuhusu nani mzazi halisi wa mtoto husika.



“Ninawapa pole wanaosema hawataitikia wito wa Ustawi wa Jamii ambayo iko chini yangu au kugoma kupima DNA wasinijaribu, wanajua naweza kuwaweka ndani muda wowote. Bahati nzuri wananifahamu, sifanyi jambo la kisiasa, watajua mimi ni mkuu wa mkoa au mtoto wao.



“Kwa wale ambao kipimo cha DNA kitaonesha wamesingiziwa (watoto si wa kwao), wanaweza kufungua kesi mahakamani kudai fidia kwa kudhalilishwa. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Ustawi wa Jamii na wanasheria wangu tutakuwa mashahidi wake namba moja,” alisema Makonda.


Akizungumzia oparesheni na mikakati yake ambayo amekuwa akiianzisha na kuitekeleza katika mkoa huo ikiwemo ya walimu kupanda mabasi na treni bure ili kuwahi katika vituo vyao vya kazi, Makonda amesema:



“Wanaosema nimekurupuka kwenye hili zoezi huo ni mtazamo wao kwa sababu hatukuwashirikisha kuanzia siku ya kwanza. Sisi hatukurupuki, hii ni moja ya kazi zetu za kila siku, siwezi kufanya kazi mafichoni. Hawajaitwa mafichoni, wameitwa kwenye ofisi ya Mkuu wa Mkoa.



“Tuna mpango wa kuwa na mabasi 100 kwa ajili ya wanafunzi na walimu wa mkoa wa Dar es Salaam, lakini kuna wengine wanabeza na kudharau tunachokifanya, nawaasa Watanzania wanyanyuke na kusaidia jamii.



“Tunatengeneza utaratibu mpya wa kuwapelekea barua waajiri wa wazazi waliowatelekeza watoto wao, tunaangalia pia mchakato wa kupeleka mapendekezo ya sheria bungeni ili ofisa wa ustawi wa jamii aweze kumpeleka mahakamani moja kwa moja mzazi aliyemtelekeza mtoto,” amesema Makonda.

Rayc Amewatolea Povu Zito kwa Wanaousema Ubonge wake

0
0
Rayc Amewatolea Povu Zito  kwa Wanaousema Ubonge wakeMwanamuziki mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Rehema Chalamila maarufu kama Rayc amewatolea povu zito watu wote ambao waliowahi kumsema kuhusu  ubonge wake siku za nyuma.

Rayc ni moja kati ya wasanii wa kike ambao miaka kama kumi iliyopita enzi za ustaa wake alikuwa anavutia sana hadi kufikia hatua ya kuitwa kiuno bila mfupa.

Lakini alinenepa sana miaka ya hivi karibuni baada ya kuacha kutumia madawa ya kulevya kupelekea watu kumkejeli alipokuwa anashindwa kukata mauno kama zamani kutokana na mwili mkubwa.

Lakini saivi  Rayc amepunguza kilo nyingi tu na kupitia ukurasa wake wa Instagram ameweka picha yake inayomuonyesha akiwa mwembamba kupita kiasi ambapo ameweka picha hiyo na kusindika kwa maneno haya: Wale wote walionikejeli nilivyonenepa mat.. yenu!”.



Vodacom M-Pesa Yapewa Tuzo na Kutambuliwa na GSMA Kwa Huduma Zilizotukuka

0
0
Kampuni ya Simu ya Vodacom Tanzania kupitia huduma yake ya M-PESA
imetambuliwa na kupatiwa cheti kutambua ubora uliotukuka wa huduma za
kifedha. Tuzo hii imetolewa jana jijini Abidjan, Côte d’Ivoire kutambua usalama
na uhakika pamoja na nia thabiti ya M-Pesa katika kulinda haki ya mteja.

Tuzo hii imetolewa bada ya Vodacom Mpesa kufiika vigezo vilivyowekwa na
GSMA ambavyo ni viwango vya juu vya kulinda amana ya mteja, usalama wa
huduma, usiri na kulinda taarifa za mteja, kupambana na utakatishaji fedha,
kupambana na wanaogharamia vikundi vya ugaidi, na pia kupambana na
mbinu zote za udanganyifu.

Ian Ferrao, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom anasema “Utambuzi na cheti
hiki vinathibitisha nia na utendaji wa Vodacom Tanzania katika kuhudumia na
kulinda haki za mteja katika eneo lote la biashara ya MPesa, tukiwa ni
mtandao unaoongoza kwa huduma ya pesa cheti hiki kitatupatia nafasi ya kuaminika zaidi na kutuongezea ari ya kiutendaji ili kuwaridhisha wateja wetu
ambao wametufanya kuwa kampuni ya simu ya kwanza nchini kupata
utambulisho huu baada ya kufikia vigezo, alisema Ian Ferrao, Mkurugenzi
Mtendaji wa Vodacom.

Cheti hiki cha GSMA kimekuja wakati ambapo Vodacom Mpesa inatimiza
miaka 10 ya M-pesa Tanzania. Kwa takribani miaka 10 sasa M-pesa imeweza
kubadilisha maisha na kuipandisha Tanzania kiuchumi kupitia huduma za
kutuma na kutoa fedha, malipo ya bili, akaunti za kutunza fedha, mikopo na
mengineyo mengi. M-pesa leo ina zaidi ya wateja milioni 8, wakala 106,000,
biashara za kawaida zaidi ya 2000, wafanyabiashara wakubwa zaidi ya
15,000, benki zilizounganishwa zaidi ya 30. Kupitia huduma zake M-pesa
imewezesha wakazi wa kitanzania wa mijini na vijijini kuwa sehemu ya mfumo
mzima wa kiuchumi unaotambulika,pamoja na ongezeko kubwa la kiuchumi
katika jamii nyingi za kitanzania.Mfumo huu rasmi nchini Tanzania umekuza
uchumi kwa mwaka 2017 hadi kufikia 65% kutokea 58% mwaka 2013 na 44%
kwa mwaka 2009 Mwaka mmoja baada ya M-pesa kufunguliwa rasmi nchini
Tanzania.

VIDEO:

Yule Mtaalam wa Dua na Dawa za Kiarabu na za Kiasili Sharifu Lukumani Sasa Yupo Hewani

0
0
WENYE SHIDA ZITUATAZO:
CHEO KAZINI, KUONGEZEWA MSHAHARA KAZINI, MWENYE TATIZO LA NGUVU ZA KIUME, ALIEPOTELEWA NA HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA, MWENYE KIFAFA, KISUKARI, FANGASI SEHEMU ZA SIRI KWA WALE WENYE MIILI MINENE MTOTO WA JICHO PAMOJA NA WALE WAKINA MAMA WANAOSUMBULIA NA CHANGO LA UZAZI PUMU YA MUDA MREFU WANAWAKE KUJAA MAJI SEHEMU ZA SIRI, MWANAUME KUWAI KUFIKA KILELENI AU KUTOA MANII MFANO WA MAJIMAJI YAKIWA MEPESI AUTOWEZA KUMPA MKEO UJAUZITO JAMBO HILI LINAWASUMBUA WANAUME WALIO WENGI DUNIANI KWA KAWAIDA WANAUME ASIE NA TATIZO HILI UTOA MANII MAZITO NDIO YENYEUWEZO WA KUMPA MWANAMKE MIMBA.

MWANAUME KUPATA MPENZI KWA ULAISI PASIPO NA GHARAMA YOYOTE YANI KWA WALE MADOMO ZEGE KUWA NA UWEZO WA KUSIKILIZWA HATAKAMA RAIA WA INCHI GANI NA UWEZO WA KURUDISHA MPENZI ALIE POTEA NA KUMFANYA AWE WAKO KWA WALE WASIO TAKA MITALA PIA UFANYA KAZI YA KUNG'ALISHA NYOTA SASA MATATIZO YAKO YAMEPATA SULUHISHO ANAPATIKA KWA MASAA ISHIRINI NA NNE

WASILIANA NAE KWA NAMBA 0762899488-0656145170-WhatsApp namba +255620665635

Mchina aliyemtelekeza mtoto Dar kusakwa na RC Makonda hadi kwao, China

0
0

Mwanzoni mwa wiki hii wazazi waliyoachiwa watoto na wenzao bila kupata huduma za kimalezi walifika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda kwa ajili ya kupata msaada wa kisheria. Katika wale waliyoenda mama aliyeonekana akiwa na mtoto mwenye asili ya China aligonga vichwa vya habari vilivyo.

Hapo baadaye ilikuja kufamika ni kweli mama huyo aliolewa na raia wa China na kujaliwa kupata mtoto ila kwa sasa mzazi mwenzie hayupo tena nchini kwani amesharejea kwao na hatuoi matunzo ya mtoto.

Sasa leo, April 14, 2018 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda amesema raia huyo wa China anafuatiliwa kupitia ubalozi na kuna matumaini ya kupatikana.

“Nimeongea na ubalozi wa China tayari tumeshawapa maelezo na wameamua kuyatuma nchini kwao kwenye ile kampuni aliyokuwepo, kwa hiyo tunafuata process zote,” amesema RC Makonda.

“Na kwa mazungumzo tuliyokuwa nayo kwa awali kutoka ubalozi wa China wanakubali kwamba endapo mtoto yule ikibainika atakuwa na wajibu wa kumtunza, kwa hiyo muda si mrefu maisha ya yule mtoto yanaweza yakabadilika, akapata neema ,” amesema.

RC Makonda ameongeza kuwa zoezi hilo halitaishia kuwasaka wale waliowatelekeza watoto na wapo nje ya mkoa wake, bali hata walio nje ya nchi kupitia balozi za Tanzania kwani zinasaidia

Ni Wakati wako Dada wa Kupendeza na Mwanaume Kuwa Lijali kwa Bidhaa za Natural Beauty

0
0
Zile tiba za asili zilizothibitishwa na kupewa kibali sasa zipo @natural beauty prod.
Ni wakati wako dada wa kupendeza na mwanaume kuwa lijali kwa bidhaa original zilizotengenezwa kwa mimea na matunda🍇🍓🍋🍒🥑

PATA KWA PUNGUZO LA BEI

1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @240,000/=

2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @145,000/=

3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 7.5 hadi 8 (wiki 2-3) @190,000/=

4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @160,000/=

5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @240,000/=

6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @140,000/

7.BOTCHO MULT PLUS_Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza ( Hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @190,000/=

8.BOTCHO CREAM HOLOGRAM_ Hii ni yakupaka ya kuongeza (HIPS na MAKALIO) @170,000/=

9.LEG BOOSTER_Ni dawa ya kuongeza miguu (CHUPA YA BIA) @140,000/=

10.BODY BOOSTER_ Hii ni yakuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @140,000/= N.K

NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri na garantii ili kukuhakikishia ubora na usalama wa bidhaa za NATURAL BEAUTY LTD

Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0659618585 au
0759029968

Shamsa Ford Kumpeleka X- Wake kwa Makonda “Dawa ya Wanaume wa Sampuli Hii Kuwapeleka kwa Makonda"

0
0
Image result for shamsa ford



MSANII wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford amesema kuwa siku akitibuka atampeleka moja kwa moja mzazi mwenzie Dickson Matoke kwenye Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda kwa ajili ya kudai haki ya kuhudumiwa mtoto wake.



Akipiga stori na Risasi Jumamosi, Shamsa alisema kuwa sio kwamba hana uwezo wa kumhudumia mtoto wake lakini kuna wakati unaumia kuona baba wa mtoto yupo, anakula bata tu akiwa hajui hata kula ya mtoto wake inatoka wapi.



“Dawa ya wanaume wa sampuli hii ni kuwapeleka tu kwa Makonda. Mimi watu watashangaa sana siku watakaponiona pale lakini ni kwa sababu wakati mwingine ukifikiria unajikuta unapatwa na hasira kuona mzazi yupo lakini kama hayupo vile,” alisema Shamsa.



Tangu Jumatatu iliyopita, akinamama wengi waliotelekezewa watoto wamekuwa wakifika kwa Makonda ili kusaidiwa lakini hakuna staa wa kike aliyetinga hadi juzi Alhamis.

Sarah Atulie Tu Harmonize Apindui Kwangu - Wolper

0
0
Sarah Atulie Tu Harmonize Apindui Kwangu - WolperSTAA wa filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper baada ya kudaiwa ‘kumendea’ penzi la mwanamuziki Rajab Abdulhan ‘Harmonize’ na mpenzi wake Sarah, staa huyo ameibuka na kusema Harmonize hapindui kwake hivyo mpenzi wake huyo ajipange tu.



Akizungumza na Risasi Jumamosi, Wolper alisema kuwa ameshangazwa na habari ambayo aliiweka Sarah kwenye ukurasa wake wa Instagram uliokuwa ukionesha kuwa, Wolper alimtumia ujumbe Harmonize kupitia Instagram akieleza kwamba anamkumbuka, kitu ambacho hawezi kukifanya.



“Ninachoona mimi Sarah hajiamini kabisa, siwezi kufanya upuuzi huo kabisa, yeye yupo na mwanaume lakini bado anahangaika mitandaoni, hajui kuwa mwanaume wake hapindui kwangu hata siku moja, akae ajitulize tu zamu yake ya kulia bado haijafika,” alisema Wolper.

Makonda Kumsaka Mchina Aliyemtelekeza Mtoto Dar Hadi Kwao

0
0
Makonda Kumsaka Mchina Aliyemtelekeza Mtoto Dar Hadi Kwao
Mwanzoni mwa wiki hii wazazi waliyoachiwa watoto na wenzao bila kupata huduma za kimalezi walifika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda kwa ajili ya kupata msaada wa kisheria. Katika wale waliyoenda mama aliyeonekana akiwa na mtoto mwenye asili ya China aligonga vichwa vya habari vilivyo.

Hapo baadaye ilikuja kufamika ni kweli mama huyo aliolewa na raia wa China na kujaliwa kupata mtoto ila kwa sasa mzazi mwenzie hayupo tena nchini kwani amesharejea kwao na hatuoi matunzo ya mtoto.

Sasa leo, April 14, 2018 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda amesema raia huyo wa China anafuatiliwa kupitia ubalozi na kuna matumaini ya kupatikana.

“Nimeongea na ubalozi wa China tayari tumeshawapa maelezo na wameamua kuyatuma nchini kwao kwenye ile kampuni aliyokuwepo, kwa hiyo tunafuata process zote,” amesema RC Makonda.

“Na kwa mazungumzo tuliyokuwa nayo kwa awali kutoka ubalozi wa China wanakubali kwamba endapo mtoto yule ikibainika atakuwa na wajibu wa kumtunza, kwa hiyo muda si mrefu maisha ya yule mtoto yanaweza yakabadilika, akapata neema ,” amesema.

RC Makonda ameongeza kuwa zoezi hilo halitaishia kuwasaka wale waliowatelekeza watoto na wapo nje ya mkoa wake, bali hata walio nje ya nchi kupitia balozi za Tanzania kwani zinasaidia

Okwi Amuandikia Ujumbe Huu Naibu Spika

0
0
Okwi Amuandikia Ujumbe Huu Naibu Spika
Mshambuliaji hatari wa klabu ya Simba na timu ya Taifa ya Uganda, Emmanuel Okwi amemshukuru Dr. Tulia Ackson kwa kumpa nafasi ya kuwa miongoni mwa mabalozi wa Mbio za Mbeya Tulia Marathon 2018.


Kupitia mitandao yake ya kijamii ya Instagram, Twitter na Facebook, Okwi ameandika ujumbe wa kumshukuru Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Tulia Ackson kwa kumpa nafasi ya kuwa miongoni mwa mabalozi wa Mbio za Mbeya Tulia Marathon 2018.

Nina furaha kubwa sana kuwa mwanafamilia wa Mbeya Tulia Marathon 2018, Binafsi napenda kushukuru Tulia Trust kwa kunipa nafasi ya kuwa Miongoni mwa mabalozi wa Mbio hizi kushirikiana nao katika kuboresha miundombinu ya Elimu na Afya na nitakuwepo kushiriki na ninyi hapo Mei 6 2018.

Ujumbe wa Emmanuel Okwi kupitia mtandao wake wa Kijamii wa Isntagram

Breaking News: Fatma Karume Amechaguliwa Kuwa Rais Mpya Wa TLS

0
0

Fatma Karume Amechaguliwa Kuwa Rais Mpya Wa TLS, Ushindi huu Unamfanya Fatma Kuwa Mwanamke Wa Pili Kushika Nafasi Hiyo Toka Kuanzishwa Kwa Chama Hicho Cha Mawakili Zaidi Ya Miaka 60 Iliyopita. Rais Wa Kwanza Wa TLS Mwanamke Ni Judge Joaquine De Mello.

Koffi Olomide Aalikwa Tena Kenya

0
0

wanamuziki wa Dansi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Koffi Olomide anatarajiwa kutumbuiza kwenye tamasha nchini Kenya hivi karibuni ikiwa ni mara ya kwanza tangu afukuzwe nchini humo mwaka 2016.

Mnamo July 2016, Olomide alikamatwa na polisi wa Kenya na kurudishwa nchini DRC baada ya kusambaa kwa video iliyoonesha mwanamuziki huyo akimpiga mchezaji wa bendi yake wa kike kipindi akiwa jukwaani.

Jana April 13, 2018 alitangaza kualikwa nchini Kenya kufanya show kwenye mkutano mkubwa wa viongozi 47 wa majimbo ya nchi hiyo utakaofanyika Kakamega.

Kikwete Amshukuru Ali Kiba Kwa Kuja Kumtembelea

0
0

King kiba kaenda kupata baraka za kuoa kwa Baba.. ila jamani KIKWETE anapendwa jamani..Asikwambie mtu ukisikia nyota ndo hiyo sasa... Ila we Kiba mfungue tumuone basi Mchumba mda wote umemloki uso kama geti la mahabusu bwana..

Makonda: Sina mpango wa Kugombea Urais...Lengo Langu ni Kumsaidia Magufuli

0
0

kuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema hana mpango wa kuwa Rais ila anapenda kumsaidia Rais John Magufuli katika utekelezaji wa shughuli zake.


Makonda ameyasema hayo leo alipoulizwa na mwandishi wa Azam TV Baruan Muhuza wakati wa mahojiano yake akielezea tathmini ya siku tano za kusikiliza malalamiko ya wanawake waliotelekezwa na wenza wao.


Muhuza aliuliza: “Hao wote uliowasaidia wanakuona shujaa na mtu wao wa muhimu sana, unatamani kuwa rais wa nchi hii siku moja."


Makonda amejibu,“Hapana ila natamani kumsaidia Rais Magufuli atimize azma yake kwa wananchi hasa kwa malengo aliyonipa kwa mkoa wa Dar, hiyo ndiyo shauku yangu."


Kuhusu madai ya kuwachafua watu maarufu kupitia zoezi hilo amesema, "Huchafuliwi kwa kuwa una mtoto, matendo yako uliyoyafanya ndiyo yanayokuchafua,"


"Si kweli kwamba eti nililenga kuwachafua wanasiasa ndiyo sababu kuna DNA. Kama kuna mtu anafikiri ni zoezi la mtu fulani anakosea, namna pekee ya kuepuka kuitwa kwa RC mtafute mtoto wako umlee,"


Amesema shauku yetu kubwa ni kuona kila mtoto anapata haki yake.
Viewing all 104429 articles
Browse latest View live




Latest Images