Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Maafa ya Mvua: RC Makonda Ataka Mamlaka Husika Kufunga Shule

$
0
0
Maafa ya Mvua: RC Makonda Ataka Mamlaka Husika Kufunga Shule
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameziomba mamlaka za elimu kufunga shule kwa siku mbili kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.

Makonda amesema hayo leo Jumatatu, Aprili 16 alipokuwa akitembelea maeneo mbalimbali yaliyoathirika na mvua zinazoendelea kunyesha  kwa siku tatu mfululizo jijini Dar es Salaam.

Amesema mvua zikinyesha miundombinu inaharibika ikiwamo barabara na shule, hivyo wanafunzi wabaki majumbani hadi hali itakapotengemaa.

“Nimeziomba mamlaka za elimu kufunga shule kwa siku mbili, hadi tutakapowaambia siku ya Jumatano kulingana na hali itakavyokuwa kuwa, kwa sababu mvua zinaendelea kunyesha maeneo mengi yamejaa maji kwa watoto hili siyo salama sana,” amesema Makonda.

Makonda amefafanua kuwa hadi sasa watu waliofariki mkoani Dar es Salaam kutokana na mvua hizo ni zaidi ya saba.

“Bado tunaendelea kupokea taarifa, lakini hadi sasa wamekufa watu saba hadi 10, madhara ni makubwa tunawaomba wananchi watulie majumbani mwao hadi hapo hali itakapokuwa shwari.”

Amesema hakuna sababu ya wananchi kusubiri kuondolewa na polisi wala kugombana na Serikali wanapoambiwa wahame katika maeneo hatarishi ikiwamo mabondeni.

Makonda amesema wamekuwa wakitoa tahadhari mara kadhaa na kuainisha sababu zinazowataka kuhama katika maeneo hayo mojawapo ikiwa ni mafuriko.

“Tunaendelea kukusanya taarifa, lakini barabara nyingi zimeharibika, nyingine zimejaa maji, kwa wanaoishi maeneo hatarishi wachukue tahadhari mapema hali ni mbaya,” amesema Makonda.

Hakuna Harmonize Bila Diamond- Harmonize

$
0
0
Hakuna Harmonize Bila Diamond- Harmonize
Msanii kutoka WCB, Harmonize amefunguka tetesi za kumiliki mkwanja mrefu kumzidi Diamond.

Muimbaji huyo anayefanya vizuri na ngoma ‘Kwa Ngwaru’ ameiambia Radio Five kuwa stori hizo zipo tu mtaani ila hazina ukweli wowote.

“Diamond kwa Harmonize ni kama mzazi, hakuna Harmonize bila Diamond, so mimi hata iweje atabaki kuwa Diamond, so hizi ni stori ambazo zipo mtaani,” amesema.

Ngoma ya Kwa Ngwaru ambayo Harmonize kamshirikisha Diamond, ni ya pili kufanya pamoja baada ya ‘Bado’ iliyotoka mwaka 2016.

Baba Amtupa Mtoto Wake Kutoka Juu ya Bati la Nyumba Kisa Hiki Hapa

$
0
0
Baba Amtupa Mtoto Wake Kutoka Juu ya Bati la Nyumba Yake
Mwanaume mmoja kutoka nchini Afrika Kusini ameingia kwenye headlines za vyombo vya habari duniani kwa kitendo alichokifanya cha kushangaza baada ya kumtupa mtoto wake kutoka juu ya bati la nyumba yake.

Inaelezwa kuwa mwanaume huyo ambaye ana umri wa miaka 38 nyumba yake ilitakiwa kubomolewa na polisi kutokana na kuishi katika makazi ‘haramu’ na katika kufanyika kwa zoezi hilo aliamua kupinga nyumba yake kubomolewa kwa kutishia kumtupa mtoto wake.

Mwanaume huyo alipanda juu ya nyumba yake akiwa amemshikilia mtoto wake huyo wa kike wa mwaka mmoja na pindi askari alipomsogelea alimwachia mtoto huyo na bahati nzuri alidakwa na moja ya maaskari waliokuwa eneo hilo.

Mtoto huyo anaripotiwa kutojeruhiwa na mwanaume huyo amekamatwa na kufunguliwa kesi ya jaribia la kuua.

 The father threatened to throw his little girl to her death

SOMA PIA: 3 Job Opportunities at International Institute of Tropical Agriculture (IITA)

Ni Wakati wako Dada wa Kupendeza na Mwanaume Kuwa Lijali kwa Bidhaa za Natural Beauty

$
0
0
Zile tiba za asili zilizothibitishwa na kupewa kibali sasa zipo @natural beauty prod.
Ni wakati wako dada wa kupendeza na mwanaume kuwa lijali kwa bidhaa original zilizotengenezwa kwa mimea na matunda🍇🍓🍋🍒🥑

PATA KWA PUNGUZO LA BEI

1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @240,000/=

2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @145,000/=

3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 7.5 hadi 8 (wiki 2-3) @190,000/=

4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @160,000/=

5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @240,000/=

6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @140,000/

7.BOTCHO MULT PLUS_Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza ( Hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @190,000/=

8.BOTCHO CREAM HOLOGRAM_ Hii ni yakupaka ya kuongeza (HIPS na MAKALIO) @170,000/=

9.LEG BOOSTER_Ni dawa ya kuongeza miguu (CHUPA YA BIA) @140,000/=

10.BODY BOOSTER_ Hii ni yakuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @140,000/= N.K

NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri na garantii ili kukuhakikishia ubora na usalama wa bidhaa za NATURAL BEAUTY LTD

Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0659618585 au
0759029968

Hatimaye Abdul Nondo Aibuka na Kutoa Ushauri Huu kwa Serikali

$
0
0
 Hatimaye Abdul Nondo Aibuka na Kutoa Ushauri Huu kwa Serikali
Mwenyekiti wa mtandao wa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Tanzania (TSNP), Mahmud Abdul Nondo amefunguka na kuitaka serikali ya Tanzania kuiga serikali ya nchini Kenya ambayo imeweza kutoa taulo za kike kwa wanafunzi wote wa kike waliopo mashuleni.


Abdul Nondo amesema kuwa yeye anaamini kuwa serikali ya Tanzania pia inaweza kufanikisha jambo hilo kwa kuwa wanafunzi wengi wa kike wanakosa kufika mashuleni kipindi ambacho wapo kwenye siku zao na kuathiri masomo yao.

"Bado tunaamimi hata Serikali ya Tanzania, inao uwezo mkubwa saana wa kutoa sanitary pads (taulo) bure kwa wanafunzi wa kike dada zetu, kwani takwimu zinaonesha hedhi huchangia kiasi kikubwa wanafunzi hawa kukosa masomo. Kutokana na gharama za manunuzi hasa kijijini.Hoja hii ilipelekwa bungeni na Mbunge wa viti maalumu Upendo Peneza, ila haikujadiliwa aliambiwa kuwa hakufuata utaratibu"

Abdul Nondo aliendelea kusema atashauriana na viongozi wake wa TSNP kuangalia namna wanavyoweza kufanya ili wabunge ambao wanaguswa na jambo hilo wasichoke kuliwasilisha bungeni.

"Nitashauriana na viongozi wenzangu wa TSNP kuangalia namna tunavyoweza kufanya suala hili kama Agenda kubwa zaidi, na kuendelea kufanya ushawishi kwa wabunge ambao wanaguswa na jambo hili ili wasichoke kuliwasilisha bungeni kwa Mara nyingine. Ili serikali ijumuishe mpango huu wa kutoa pads bure katika Sera yake ya elimu bure. Ili wanafunzi hawa wapate haki yao kikamilifu ya kupata elimu kama Kenya imeweza hata Tanzania, tunaweza fanya hivi pia kwa manufaa ya dada zetu hawa" Abdul Nondo

SOMA PIA: 4 Job Opportunities at Sokoine University of Agricuture (SUA)

Serikali yabanwa bungeni kuhusu thamani ya Shilingi

$
0
0
Mbunge wa Viti Maalumu Chadema, Devotha Minja ameitaka Serikali kutoa majibu ina mpango gani kuchukua hatua ili kulinda thamani ya shilingi kama nchi nyingine zinavyolinda fedha zao.

Mbunge huyo amesema licha ya kuwepo kwa matamko mengi lakini bado maeneo mengi Watanzania wanalazimishwa kutumia dola badala ya shilingi ya Tanzania.

Akijibu swali hilo bungeni leo Jumatatu, Aprili 16, Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Ashatu Kijaji amesema matumizi ya fedha za kigeni sambamba na shilingi ya Tanzania yanasimamiwa na Sheria ya Matumizi kwa Fedha za Kigeni ya 1992.

Dk Kijaji amesema Desemba 2017 waziri wa fedha alitoa tamko kwa umma kuwa ifikapo Januari Mosi, 2018, matumizi ya fedha za kigeni yazingatie mambo halisi yaliyopo na ikiwemo bei zote kutangazwa kwa shilingi ya Tanzania.

Kuhusu utitiri wa maduka ya kubadilisha fedha,  amesema hadi sasa Serikali imeshafungia jumla ya maduka 92 na itaendelea kufungia kwa watakaokiuka sheria ili kulinda shilingi ya Tanzania.

"Mkazi yeyote wa Tanzania asilazimishwe kulipia bidhaa au huduma yoyote hapa nchini kwa fedha za kigeni na vyombo vya dola viwachukukie hatua za kisheria wale wote watakaobainika kukiuka maagizo ya Serikali," amesema Kijaji

Mwenyekiti Wake Chadema Atumbuliwa

$
0
0
Chadema Yamtumbua Mwenyekiti Wake
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia baraza kuu la uongozi Mkoa wa Morogoro limemvua James Mkude nafasi aliyekuwa akiishika ya Mwenyekiti wa Wilaya ya Morogoro kutokana na tuhuma za kujihusisha na matukio yaliyo kinyume na katiba ya chama hicho.


Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa chama hicho mkoani humo ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Mlimba Bi. Suzani Kiwanga na kusema hatua hiyo imekuja baada ya kujiridhisha na tuhuma zilizo wasilishwa ndani ya chama hicho ingawa ni tuhuma binafsi zinazomkabili mwenyekiti huyo aliyesimamishwa na kwamba hazihusiani na chama.

Akitoa maadhimio ya wajumbe wa baraza la uongozi la chama hicho mkoa wa Morogoro waliokutana kujadili muenendo wa mwenyekiti huyo, Bi. Suzani amesema kuwa kwa mujibu wa katiba ya chama hicho ya mwaka 2006 toleo la mwaka 2016 kifungu cha saba pamoja na maadili ya uongozi kinatoa mamlaka kwa baraza hilo kumsimamisha mtu yeyote atakae kiuka maadili ya kinidhamu ya chama hicho.

Hivi Ndivyo Lulu Alivyosheherekea Birthday Akiwa Gerezani ....Atoa Zawadi kwa Watoto Wanaopatiwa Matibabu Muhimbili

$
0
0
Hivi Ndivyo Lulu Alivyosheherekea Birthday Akiwa Gerezani ....Atoa Zawadi kwa Watoto Wanaopatiwa Matibabu Muhimbili
April 16 kama ya leo miaka kadhaa iliyopita alizaliwa Elizabeth ‘Lulu’ Michael ambaye kwa sasa yupo gerezani akitumikia kifungo cha miaka miwili.



Katika kusherehekea siku hii, mrembo huyo ameamua kutoa zawadi kwa watoto ambao wanapatiwa matibabu katika hospitali ya Muhimbili.

Zawadi hizo ziliwakilishwa na mama yake mzazi pamoja na msanii mwenzake wa karibu zaidi Dokta Cheni. Lulu pia ametoa ujumbe wa kuwafariji wagonjwa hao pamaoja na wazazi wao.

Ujumbe huo ambao ulisomwa kwa niaba na Dokta Cheni umesema, “Nawapenda sana watoto na nawaombea kwa Mungu. Naamini wakiwa huru kumuomba Mungu na wao wazazi hayo maradhi yanayowakabili yatapona kwa muda mfupi. Ninawatakia kila la kheri na muweze kupona haraka.”



Hii ni mara ya pili kwa Lulu kuchangia katika shughuli za kijamii huku mwenyewe akiwa gerezani, mwezi uliopita alichangia pedi kwa wanafunzi wanaoishi katika mazingira magumu kupitia kampeni iliyokuwa inaendeshwa na kituo cha runinga cha EATV na Msichana Initiative.

Mashabiki Wamshambulia Daimond Kisa Mobetto "Huu ni Udhalilishaji kwa Wanawake"

$
0
0
Mashabiki Wamshambulia Daimond Kisa Mobetto "Huu ni Udhalilishaji kwa Wanawake"
Kwa watu wanaotumia mitandaoni ya kijamii husasani Snapchat na Instagram kwa siku ya jana kulikuwa na video mbili zinasambaa za msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz akiwa na Mzazi mwenzake Hamissa Mobetto na nyingine akiwa na mwanamke mmoja mwenye asili ya Kihindi akimtomasa tomasa.


Video hizo zilizua gumzo kwa usiku wa jana kwenye mitandao ya kijamii wengi wakitafsiri kama kitendo cha udhalilishaji kwa wanawake hususani kwa mtu mwenye jina kubwa kama Diamond Platnumz.

Hata hivyo, wapo baadhi ya mashabiki wake ambao wameona kitendo hicho ni cha kawaida na wengine wamesema hawapo kufuatilia mambo yake binafsi bali wanafuatilia muziki wake tu. Soma baadhi ya maoni ya wadau na mashabiki wake kwenye posti zake za mitandao ya kijamii (Instagram na Twitter)

.amydah_ Mwenyezi mungu akulaani diamond…. We so wakufanya upuuzi huo kumuumiza alikufanya uitwe baba.. Ila wewe IPO siku mungu yupo

christiangeorge8521Watu wakipata pesa wanaona ndo wamaliza kila kitu like u dai unaniboa some time
zarilamonade@officialbelaire we won’t be buying ur drinks ….untill ur ambassador learn to respect womens and society in general @diamondplatnumz
jewels_inkZari out there winning. Now ppl can stop abusing her because you have shown us that you are a fool together with that stupid girlfriend of yours hamisa.
bree_heavens_brixy@mama_dangoteplease talk to ur son .He needs urgent and serious help .Who does that ..i mean who does that .His Career is bound to fail in disguise.@diamondplatnumz seems u have forgotten ur a father .Be a man
trevorkushyYooh @diamondplatnumz you the Champ, these women are gold diggers. So the only solution is to dig them too and fu***ng expose them. They will learn their lessons. You the Man Simba.
sklynahHivi ndo vya kupost sasa then unapoteza Mashabiki kwa ujinga uso na maana anayekupenda atakwambia ukweli daima kaka ukiendelea hivi naliona kaburi lako la mziki kabisa am ur die hard fun to the point nilikuwa nagombana na Mamangu ila kwa hili la leo you broke my hear.
https://twitter.com/HamisiBwashe/status/985813355792347136
johnjohn4884Umesahau kama wewe ni kioo cha jamii,tujifunze nini kutoka kwako?
angiekilonzoPride comes before a fall, heshima hauna kwa wakubwa na wadogo, you don’t even respect your parents n children remember Internet never forgets!! @diamondplatnumz controversials and everything going around the Internet is a biggest enemy of fame. but you know what fame is all about? It’s like a balloon n before the thrust or burst you know what happens soon you’ll be zilipendwa, believe it or not you can’t do without fun base,any mature person in his/her right mind knows that what you showed the whole world yesternight was a crap, you wanna prove yourself a man enough to have threesome hadharani??? Boy think n think @zarithebosslady will always earn her respect she’s a woman of substance, soon or later we will revisit this when your fame is all eroded.
trapsinI dont get this people what did he do thats against the maral code they were not naked they were in bed playing what is wrong with people has kissing become a taboo now why do you want someone to live his life in the ways that only impress you at aaaaaiiih u dont get it whats all this negativity all about
joxygambiaaaah diamond unazingua sana sasa ndio ume Fanya nini hicho lakini kumbuka unatukwaza sisi mashabiki zako.try to change hata kama ww ni star nakubali sana platnumz.
Hata hivyo, Diamond kupitia posti yake ya kwanza kwenye mtandao wa Instagram baada ya video hizo kusambaa mtandaoni ameandika “Shikamoo Belaire” kitu ambacho watu wametafsiri kuwa huenda alikuwa amelewa kipindi video hizo zinarekodiwa.

Ikumbukwe pia Diamond ni balozi wa vinywaji vikali (pombe) aina ya Belaire dili ambalo alisaini mwishoni mwa mwaka jana.

Huu Hapa Ujumbe wa Makonda kwa Lulu "Kumbe Wanaokuombea Mema Wako Wachache"

$
0
0
Huu Hapa Ujumbe wa Makonda kwa Lulu "Kumbe Wanaokuombea Mema Wako Wachache"
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amemtakia heri ya siku ya mfanano wa kuzaliwa Elizabeth Michael (Lulu) huku akimwambia kuwa wanaomuombea mema wachache ila wenye nyuso za huzuni ni wengi.

Makonda ameeleza kuwa kwa kuwa Mungu ametenda basi watakuja na nyuso za furaha japo hazina mahusiano na mioyo yao.

RC Makonda ametoa ujumbe huo leo, Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika;

Kumbe wanaokuombea mema wako wachache ila wenyenyuso za huzuni wako wengi japo hawamaanishi. Na kwakua Mungu ametenda basi watakuja tena na nyuso za furaha japo hazina mahusiano na mioyo yao. Kwakifupi hii ndiyo dunia ambayo Mungu amekuongezea tena mwaka wa kuishi. Happy birthday mwanangu

Ndoa ya Kiba Yamtoa Povu Dully Sykes

$
0
0
Ndoa ya Kiba yamtoa povu Dully Sykes
Msanii wa muziki wa kizazi kipya , Dully Sykes, ametoa ya moyoni baada ya kutoalikwa harusi ya msanii mwenzake Alikiba, ambaye kwa asilimia kubwa amehusika kwenye sanaa yake ya muziki mpaka kufikia alipo sasa.


Akizungumza na Big Chawa wa Planet Bongo ya East Africa Radio, Dully Sykes amesema hajapewa taarifa yoyote kutoka kwa Ali Kiba licha ya kuwa mtu wake wa karibu, zaidi ya kuona mitandaoni na kuthibitishiwa na watu wa Mombasa.

“Mimi hajaniambia chochote na wala sijui, nimeona tu mitandaoni na nimepigiwa simu na dada yangu kutoka Mombasa, amenitaarifu kwamba Ali anaenda kuoa kule, lakini Ali hajaniambia chochote, mimi ni mtu ambaye nilikuwa namsapoti na ndiye nilianza kumkubali, kipindi hiko hakuna mtu yeyote anayemjua Ali Kiba, hata nyumba ya jirani hawamjui kama msanii, na niliposikia sauti yake tu nikamuomba collabo”, amefunguka Dully Sykes.

Hata hivyo Dully Sykes amesema anamtakia Alikiba maisha mema kwenye ndoa yake, kwani ni jambo la heri na kumsihi asichukulie mzaha suala la ndoa.

“Namtakia ndoa njema, nampenda sana na anajua, namtakia maisha mema, na namsihi ndoa sio kitu kidogo, anapoamua kuchukua mtoto wa watu, hasa ambaye amemchukua nchi nyingine, inabidi amuheshimu sana, amuonyeshe upendo hata yule mtoto akiitwa na wazazi wake mbona huji kutuangalia akose cha kuwaambia kwa upendo atakaompa”, amesema Dully

Hivi karibuni kumekuwa na taarifa kuwa Alikiba anatarajia kuoa hivi karibuni, ndoa ambayo imetangazwa kufanyika kwa siri nchini Kenya mjini Mombasa, na mpaka sasa mwanamke anayetarajia kuolewa na Alikiba hajajulikana ni nani kwa picha.

Hizi Hapa Hesabu za Kichuya Kwa Yanga, Tanzania Prisons

$
0
0
Hizi Hapa Hesabu za Kichuya Kwa Yanga, Tanzania Prisons
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Shiza Kichuya, amesema matokeo ya mechi yao dhidi ya Tanzania Prisons leo Jumatatu, ndiyo yataamua ubingwa wao Bara huku wakimaliza kazi dhidi ya watani wao Yanga.

Simba inatarajia kuku­tana na Prisons leo katika Uwanja wa Taifa jijini Dar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara.



Simba ambayo inaon­goza msimamo wa ligi kwa kuwa na pointi 55, kama ikishinda leo itaku­wa imeiacha Yanga kwa tofauti ya pointi 11 lakini Yanga ikiwa na michezo miwili mkononi.

Akizungumza na Championi Jumatatu, Kichuya alisema kuwa mechi yao na Prisons ndiyo itakayoamua ubingwa wa Simba kwa kuhakikisha wanashinda mchezo huo kwa hali na mali.



“Mechi yetu na Prisons ndiyo itakayoamua ub­ingwa wetu msimu huu tukifanikiwa kuwaumiza wao tutakuwa tumeji­weka katika nafasi nzuri zaidi ya kutwaa ubingwa.

“Tukimaliza mechi hiyo tunaangalia mechi ya wale wenzetu wa upande wa pili, tuna­hakikisha tunawafunga ili tunyakue ubingwa rasmi,” alisema Kichuya

Meneja wa Kitengo cha Hahari (MPRU) Atumbuliwa Kisa Hiki Hapa

$
0
0
Meneja wa Kitengo cha Hahari (MPRU) Atumbuliwa Kisa Hiki Hapa
Waziri wa  Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina amemsimamisha kazi Meneja wa kitengo cha bahari na maeneo tengefu (MPRU) Dr Milali Machumu kwa kushindwa kusimamia ipasavyo kitengo hicho. Pamoja na kusimamishwa Mpina ameagiza achunguzwe. Maamuzi hayo yamekuja kufuatia taarifa ya ukaguzi wa ufanisi katika usimamizi wa hifadhi za bahari na maeneo tengefu kubainisha madhaifu.

Waziri Mpina amesema…>>>“Kwa mamlaka niliyonayo kulingana na sheria ya kitengo cha hifadhi za bahari na maeneo tengefu, Namba 29 ya mwaka 1994 nanatoa maelekezo yafuatayo”

Namsimamisha kazi Meneja wa kitengo cha bahari na maeneo tengefu (MPRU) Dr Milali Machumu mara moja kwa kushindwa kusimamia ipasavyo kitengo hiki, pamoja na kumsimamisha kazi pia atachunguzwa
Ninavunja Bodi ya wadhamimi mara moja na kuisuka upya
Ninamwagiza Katibu mkuu wa Uvuvi katika Wizara ya Mifugo na Uvuvi kuunda kamati ya uchunguzi kuhusu utendaji kazi wa Meneja

Mkuu wa zamani wa FBI Asema Trump Hana 'Maadili ya Uongozi

$
0
0
Mkuu wa zamani wa FBI  Asema Trump Hana 'Maadili ya Uongozi
Aliyekuwa mkuu wa shirika la upelelezi Marekani FBI James Comey amesema Donald Trump 'hana maadili ya uongozi kushikilia wadhifa wa rais' na ambaye anawachukulia wanawake kama 'kiteweo cha nyama'.

Bwana Comey alikuwa akihojiwa kwa mara ya kwanza kwenye televisheni tangu afutwe kazi na rais Trump mwaka jana.

Ameliambia shirika la habari la ABC kwamba Trump huzusha urongo kila saa na huenda amezuia haki itetendeke.

Saa chache kabla ya mahojiano hayo yapeperushwe, rais Trump alimshambulia Bwana Comey kwa kile anasema ni kusema 'urongo mwingi'.

Comey amekiambia kipindi cha ABC Jumapili usiku: 'Siamini madai yaliopo kumhusu kwamba ana matatizo ya kiakili au katika hatua za kwanza kuugua ugonjwa wa kusahau.'

'Sidhani kwamba ana mapungufu ya kiafya kumuwezesha kuwa rais. Nadhani hana maadili ya kuwa rais'.

"Rais wetu ni lazima aheshimu na afuate maadili ambayo ndio mzizi wa nchi hii. La muhimu zaidi ikiwa ni ukweli. Rais huyu hana uwezo wa kufanya hivyo," Comey amesema.

Baada ya mahojiano kupeperushwa, chama cha Trump - kupitia kamati ya kitaifa ya Republican - kilitoa taarifa ikisema kuwa hatua ya Comey kujitokeza mbele ya umma kunadi kitabu chake imeonyesha kwamba, "utiifu wake wa juu ni kwake mwenyewe".

Trump amuonya mkuu wa FBI aliyefutwa James Comey
Rais Trump achukizwa na tuhuma za Comey
Trump atetea hatua ya kumfuta Comey
"Kitu kibaya zaidi kushinda historia ya ukosefu wa nidhamu wa Comey ni kukubali kwake kusema chochote ili aweze kuuza vitabu," taarifa hiyo ilisema.

Je tumefikaje hapa?
Hadithi hii inaanzia wakati wa uchaguzi wa urais mnamo 2016, wakati Bwana Comey alikuwa mkurugenzi wa FBI director, na uchunguzi kuhusu namna mgombea wa urais wa chama cha Democrat Hillary Clinton alivyozishughulikia barua pepe za siri katika kompyuta binafsi wakati akiwa waziri wa mambo ya nje.

Mnamo Julai 2016, Comey alisema kwamba hakuwa na umakini katika namna alivyozishughulikia barua pepe hizo, lakini FBI haitomshtaki.

Hatahivyo mnamo Oktoba, sikukadhaa kabla ya uchaguzi, alituma barua bungeni akiliarifu kwamba FBI linaanzisha upya uchunguzi baada ya kugundua barua pepe zaidi.

Barua hiyo ilifichuliwa kwa umma - na Hillary Clinton akasema hatua hiyo ndiyo iliompa Trump ushindi.

Mnamo November, FBI lilisema limekamilisha ukaguzi wa barua pepe hizo mpya zilizogunduliwa na kwa mara nyingine likasema halitomshtaki.

Na bwana Trump alipopata urais, Bwana Comey alisema kuwa alijaribu kumshurutisha aape kumtii - Jambo ambalo rais analikana pakubwa.

Mnamo Machi 2017, wakati uchunguzi ulipokuwa unafanywa na FBI kuhusu tuhuma za ushirikiano kati ya timu ya kampeni ya Trump na Urusi inatuhumiwa kwamba Trump alimshinikiza Comey kutangaza wazi kwamba rais hatochunguzwa kibinafsi - jambo ambalo mkurugenzi huyo wa zamani wa FBI alikataa kufanya hivyo.

Baadhi ya wanasiasa wa Democrats walimlaumu Comey kwa kumfanya Bi Clinton apoteze kura katika uchaguzi , huku wafuasi wa Trump walihisi kwamba anamlenga rais katika uchunguzi huo.

Alifutwa kazi na rais Trump mwezi Mei, na alipata taarifa kuhusu kutimuliwa kwake katika vyombo vya habari nchini.

Comey alihojiwa bungeni kuhusu uchunguzi huo wa uwezekano kuwepo uhusiano kati ya kampeni ya Trump na Urusi na kutimuliwa kwake, na alimthumu rais kwa kusema urongo na kumchafulia jina.

Yanga Yawaongezea Mbinu Mbadala Safu Yake ya Ushambuliaji Kuwaua Waethiopia

$
0
0
Yanga Yawaongezea Mbinu Mbadala Safu Yake ya Ushambuliaji
YANGA ni kama tayari imeshafuzu hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya bechi la ufundi la timu hiyo, kuiboresha safu ya ushambuliaji kwa kuwaongezea mbinu mbadala za ushindi katika mechi dhidi ya Wolayta Dicha ya nchini Ethiopia.



Yanga jana alfajiri ilisafiri kuelekea nchini humo kwa ajili ya mchezo huo utakaopigwa keshokutwa Jumatano saa kumi kamili jioni kwa saa za Tanzania.

Katika msafara huo, wachezaji wote wamesafiri huku akikosekana kipa, Ramadhani Kabwili, Maka Edward, Said Mussa walio kwenye kikosi cha vijana wa timu ya taifa ya U20 na Ibrahim Ajibu mwenye majeraha.



Akizungumza na Championi Jumatatu, Kocha Msaid­izi wa Yanga, Shadrack Nsajigwa, alisema tayari wamefanyia marekebi­sho kwenye safu ya ushambuliaji ambayo ilisababisha washindwe kupata mabao mengi katika mchezo uliopita jijini Dar es Salaam.



Nsajigwa alisema, safu hiyo ya ushambuliaji tayari wameiimarisha ili kuhakikisha wanai­tumia vema kila nafasi watakay­okuwa wanaipa­ta katika mchezo huo wa marudiano baada ya ku­ona udhaifu wa mabeki wa Dicha.

“Tulicheza na Dicha katika mechi iliyopita ya hapa nyumbani tukiwa hatuwajui vizuri, lakini katika mchezo huu wa marudiano, tutaingia uwanjani tukiwa tunajua udhaifu wao wakiwemo wachezaji hatari.



“Katika mechi iliyopita, wache­zaji wetu wakiwemo washam­buliaji, walicheza bila ya kufuata maelekezo yetu na hasa katika kip­indi cha kwanza kwani tuliwaam­bia wacheze mipira mirefu kutokana na mabeki wa Dicha kutokuwa na kasi, lakini tu­kashukuru kipindi cha pili walibadilika na kucheza kwa maelekezo licha ya kushindwa kutumia nafasi nyingi za kufunga mabao.

“Hivyo, baada ya kuwajua vizuri Dicha tumewaambia viungo wetu akiwemo Tsh­ishimbi (Kabamba), Buswita (Pius) na Daudi (Raphael) ku­wapigia pasi ndefu washam­buliaji wetu ili wakimbizane na mabeki wa Dicha ambao tumewaona ni dhaifu kwani hawana kasi,” alisema Nsajigwa.

Majambazi Wenye Silaha za Moto Wavamia Kituo cha Mafuta na Kuiba Fedha za Mauzo

$
0
0
Majambazi Wenye Silaha za Moto Wavamia Kituo cha Mafuta na Kuiba Fedha za Mauzo
Leo April 16, 2018 stor ninayokusogezea ni kuhusu Majambazi wapatao wanne wakiwa wamevalia makoti meusi na silaha za Moto wamevamia kituo cha Mafuta cha Manjis cha jijini Arusha na kufanikiwa kupora kiasi cha Milioni 2 fedha za mauzo.

Kwa mujibu wa Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Yusufu Ilembo amesema kuwa   majambazi hao walifika eneo la tukio wakitembea kwa miguu na kuwalazimisha wafanyakazi waliokuwepo katika kituo hicho kulala chini huku wakifyatua risasi mbili hewani na kuelekea ndani ya ofisi zinapohifadhiwa fedha.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya April 17

$
0
0


Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumanne ya April 17

Mambo 24 Unayotakiwa Kuyatimiza ili kupata ajira zilizotangazwa na Polisi

$
0
0
Jeshi la Polisi nchini linatangaza nafasi za ajira kwa mwaka 2017/2018 kwa vijana waliopita mafunzo ya JKT/JKU ambao wamemaliza mafunzo ya awali katika operesehi Kikwete na Operesheni Magufuli wenye elimu ya kidato cha nne, cha sita, astashahada, stashahada, shahada ya juu.

Shamsa Ford: Diamond Endelea Kuwatumia Hao Wanawake Maana Hawajielewi, Lakini Kumbuka Kutumia Kondomu

$
0
0
Muigizaji wa Bongo movie na mfanyabiashara Shamsa Ford Amefunguka na kudai kuwa sio kweli kwamba Diamond anawadhalilisha wanawake ambao wanatoka nao kimapenzi kwa kusambaza video zao mtandaoni.

Diamond alizua gumzo hili siku ya jana bada ya video zake kusambaa mtandaoni akiwa na Hamisa Mobetto chumbani wakikumbatiana na wakati huo huo akiwa na binti wa kizungu wakiwa pamoja chumbani pia Wakila denda na uchafu mwingine.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Bongo 5 Shamsa aliulizwa nini maoni yake juu ya jambo hilo na alifunguka na kumtaka Diamond aendelee kutoka na wanawake tofauti tofauti kwa kuwa hawajitambui huku amtahadharisha kutumia kondom ili kuepuka magonjwa na zinaa.

"Mwanaume hawezi kukufanya mwanamke ukawa chombo cha starehe ...inategemea mwenyewe na akili yako,kama unataka kuchezewa utachezewa kama unataka kuwa mwanamke wa muhimu kwake utakuwa inategemea mwenyewe unajiweka wapi

"Kwa hiyo mimi siwezi kumlaumu Diamond kama anawatumia maana wenyewe ndio wameweka mazingira hayo kwa nini asitumie nafasi? Ila mimi namshauri Diamond awale tu hao wasichana ila akumbuke kutumia kondomu maana magonjwa mengi”.

Toka Twitter: Ushauri wa Waziri January Makamba kwa wasanii na vijana maarufu

$
0
0
Ujumbe huu umeandikwa leo na Waziri January Makamba katika ukurasa wake wa Twitter ikiwa ni ushauri kwa wasanii na vijana maarufu.

Ushauri huu umechukuliwa na wengi wa watumiaji wa mitandao ya Twitter na Instagram kama muhimu kwa wasanii hasa baada ya kuibuka kwa matendo yasiyoakisi taswira njema kwa jamii kwa siku za karibuni.

Ujumbe huo umeandikwa kwa lugha ya Kiingereza lakini tafsiri isiyo rasmi ni:

“Kwa wadogo zangu maarufu wa kike na wa kiume: umaarufu unabeba majukumu. Ushike kwa makini. Umaarufu unaweza kudumu kwa dakika 15 watu tukafurahi na kukuona muhimu – kisha maisha yakaendelea. Umaarufu pia unaweza kudumu milele, ukafa kimwili lakini jina lako lisife. Umaarufu pia unaweza kudumu na kufikia kiwango cha kukuharibu na kukuondoa kwenye mstari.”

Mmojawapo ya wasanii waliojibu ujumbe huo Twitter ni Vanessa Mdee ambaye ameshukuru

Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images