Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104747 articles
Browse latest View live

Hamon Aliishi Miezi Miwili Bila Uso Apandikiswa Uso wa Tatu Ufaransa

$
0
0
Hamon Aliishi Miezi Miwili Bila Uso  Apandikiswa Uso wa Tatu Ufaransa
Mtu wa kwanza duniani kupandikizwa nyuso mbili amesema kuwa anahisi vyema miezi mitatu baada ya kufanyiwa upasuaji huo.

Uso wa kwanza wa Jerome Hamon ulitolewa mwaka uliopita baada ya kupata ishara za kukataliwa kufuatia matibabu ya dawa ya antibiotic wakati aliposhikwa na homa.

Mtu huyo mwenye umri wa miaka 43 alisalia hospitalini mjini Paris bila uso kwa miezi miwili huku mfadhili wake akitafutwa.

Alisema: Uso wake wa kwanza aliukubali mara moja .Bwana Hamone anaugua ugonjwa unaosababisha uvimbe katika uso.

Upandikizaji wake wa kwanza 2010 ulifanikiwa , lakini akaambukizwa homa 2015 na kupewa dawa za antibiotics.

Ishara za kwanza za uso huo kukataliwa na damu zilianza kufichuka 2016 na Novemba iliopita. Ilibidi uso huo kuondolewa.

Bwana Hamon aliishi bila uso katia chumba kimoja katika hospitali ya Groges-Pompidou mjini Paris bila kuwa na uwezo wa kuona ,kuzungumza ama hata kusikia hadi mwezi Januari wakati ambapo mfadhili wa uso wake alipatikana na upandikizaji wa pili kufanywa.

Ili kuzuia uso huo kukataliwa na damu yake, bwana hamon aliyepewa jina Mtu mwenye 'nyuso tatu' na vyombo vya habari vya Ufaransa alipatiwa matibabu maalum kusaficha damu kabla ya upasuaji huo kufanyika.

Uso wake wa tatu ni mzuri ijapokuwa fuvu lake la kichwa , ngozi na vipengee vyake havijaingiliana vyema. lakini anaamini kwamba atapona.

''Iwapo ningekataa uso huu mpya ingekuwa vibaya sana . Ni Swala la utambulizi, lakini sasa tumefanikiwa ni vyema kwangu'', aliambia chombo cha habari cha AFP kutoka hospitali ambapo anaendelea kujiuguza.

''Mimi nina umri wa miaka 43 na mfadhili wangu ana miaka 22 kwa hivyo nimerudi kuwa na miaka 22'', aliambia runinga ya Ufaransa.

Upuasiji huo uliochukua saa kadhaa uliongozwa na Profesa Laurent Lantieri , mtaalamu wa upandikizaji wa uso na mikono ambaye alimfanyia upasuaji wa kwanza bwana Hamon miaka minane iliopita.

Upuasiji huo uliochukua saa kadhaa uliongozwa na Profesa Laurent Lantieri , mtaalamu wa upandikizaji wa uso na mikono ambaye alimfanyia upasuaji wa kwanza bwana Hamon miaka minane iliopita.

''Leo tunajua kwamba upandikizaji wa nyuso mbili unawezekana , hauko tena katika taaluma ya utafiti'', aliambia gazeti la Le Parisien

Daktari Bernard Cholley alisema: Mtu yeyote anapopoteza uso wake na baadaye analazimika kusubiri upandikizaji kwa muda usiojulikana hicho ni kitu ambacho hakuna mtu amewahi kufanyiwa.

Nimeshangazwa na ujasiri wa mgonjwa ambaye ameweza kupitia matatizo haya. Upandikizaji wa kwanza wa uso ulifanyika 2005 kaskazini mwa Ufaransa .

Tangu wakati huo, takriban operesheni 40 za upasuaji zimefanyika kote duniani.

Ndoa ya Alikiba Yapanda Moto Ndugu na Rafiki wa Karibu Waanza Kutua Mombasa

$
0
0
Ndoa ya Alikiba Yapanda Moto Ndugu na Rafiki wa Karibu Waanza Kutua Mombasa
Ujio wa ndoa ya Alikiba kwa sasa ndio imeteka vichwa vya habari mjini.



Tayari maandalizi muhimu yameonekana kuanza kukamilika huku watu wa karibu wa msanii huyo wameonekana kuanza kutua mjini Mombasa, Kenya kwa ajili ya kuhudhuria ndoa hiyo.



Baadhi ya picha tayari zimeanza kusambaa mitandaoni zikiwaonyesha watu hao akiwemo msanii wa filamu Bongo, Esha Buheti na dada yake Alikiba, Zabibu na wengine.



Wakati huo huo Abdu Kiba ameweka moja ya picha hizo kwenye mtandao wa Instagram na kuandika ujumbe unaosomeka, “MY TEAM 💣💣💣💣 Mombasa kitaelewekaa tu.”

Alikiba anatarajiwa kufunga ndoa na mrembo Aminah Rikesh April 26, 2018 katika ukumbi wa Diamond Jubilee uliopo mjini Mombasa.

Kutana na Mtaalam Sharif Hamad Kalala Mchambuzi wa Nyota za Binadamu na Tiba Asili

$
0
0

KUTANA NA SHARIF HAMAD KALALA NI 
SHARIFU MCHAMBUZI WA 
NYOTA ZA BINAADAMU NA NI MWENYE UPEO MKUBWA KUTAFITI MATATIZO YAKO KABLA YA KUTOA USHAURI WAKE WA TIBA AlJALISHI MBALI ULIKO TIBA YAKE UMFIKIA YEYOTE MWENYE UITAJI POPOTE
DUNIANI. 

 SHARIF HAMAD KALALA NI TABIBU MWENYE KUBRI TOKA KWA ALAH ANATIBU KWA NJIA YA VITABU VYA QUR-AN, DAWA ZA ASILI ZA MITI SHAMBA PAMOJA NA DAWA ZA KIARABU. 
ANATIBU KWA NJIA YA SIMU KWA KUTOA 
MAELEKEZO NAMNA YA MATUMIZI YA DAWA UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE KWA MATATIZO YAFUATAYO:- 

 KUFANIKISHA NDOA KWA UNAYE MPENDA KWA HARAKA. KUMRUDISHA MPEZI NDANI YA MASAA 12 TU. 
 ULIJALI (NGUVU ZA KIUME) NDANI YA /IKI MMOJA TU 
MIGUU KUWAKA MOTO KUTAFSIRI NDOTO MFARAKANO WA WANANDOA MFARAKANO KAZINIKUPANDISHWA CHEO NDANI YA SIKU SABA 7 TU. 
KUTOA PETE YA BAHATI KUTOA MAJINI MACHAFU IKIWA NI KWENYE MWILI WA BINADAMU MAJUMBANI NA KWENYE BIASHARA. KUPATA MAFANIKIO YA MALI BILA YA MASHARTI. KUPANDIKIZANYOTA YA KUBASHIRI KUFUNGUA UZAZI KWA WALIYO FUNGWA KWA NJIA YA USHIRIKINA KUTOA VIFUNGO VYOTE VILIVYO FUNGWA KWENYE BIASHARA. ANA UWEZO MKUBWA WA KUPANDIKIZA NYOTA YA KUMPATA YEYOTE UMPENDAYE KWA KUMUOA AU KUWA NAYE. ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIYE MBALI PIA ALIYE CHUKULIWA 
KWA NJIA YAMSUKULE 
NAO UWEZO WA KUUA KESI SUGU NA MPYA NDANI SIKU 7 TU. 
MENGINEYO MENGI ZAID YALIYO KUWA SUGU PIGA KWA WALE WALIYO ANGAIKA SEHEMU MBALI MBALI SHARIF HAMAD KALALA NI SULUISHO. ENDAPO UTAMSIKILIZA KWA YALE ATAKAYO KUSHAURI NA KUKUPA 
ELEKEZI. 
 TIBA NI KWA DINI ZOTE POPOTE ULIPO NJE NA NDANI YA NCHI. 
MOBILE +255 -673 025 376 
WhatsApp +255-757 069 066 

Ofisa wa Chuo Anaswa Live Akimnyonya Sehemu za Siri Mwanafunzi

$
0
0

UGANDA: Afisa Utawala Msaidizi wa Chuo Kikuu cha Makerere, Bwana Kisuze Edward asimamishwa kazi baada ya picha yake akimnyonya mwanafunzi Racheal Njorogi sehemu za siri kusambaa mitandaoni

Racheal anadai aliwasili chuoni hapo kufuatilia taarifa zake za usajili ambapo alikutana na usumbufu mkubwa na baadaye alipopata nafasi ya kuingia ofisini kwa Msajili, alishangaa ghafla Afisa huyo akimvamia na kuanza kumnyonya matiti kisha sehemu zake za siri na alishindwa kumdhibiti kutokana na kumzidi nguvu

Kwa mujibu wa maelezo ya Racheal, anasema alilazimika kupiga picha (selfie) wakati tukio hilo likiendelea ili picha hiyo itumike kama ushahidi pindi atakapoenda kuripoti polisi

Tukio hilo limejiri ikiwa ni siku chache baada ya Rais Yoweri Kaguta Museveni kukemea vitendo vya ngono kwa njia ya mdomo

Kimenuka: Jeshi la Polisi Limeshikilia Hati za Kusafiria na Simu za Wasanii Nandy, Billnass, Hamissa Mobetto na Diamond

$
0
0

DAR: Jeshi la Polisi linashikilia hati za kusafiria pamoja na simu za wasanii Diamond Platnumz, Nandy, Billnass na Hamisa Mobetto kwa uchunguzi zaidi

Wasanii hao walikamatwa na kuhojiwa juzi na jana katika Kituo Kikuu cha Polisi kisha kuachiwa kwa dhamana wakitakiwa kuripoti tena Ijumaa Aprili 20

Wasanii hao walikamatwa na kuhojiwa kutokana na kusambaa kwa video zao zisizo na maadili katika mitandao ya kijamii

Humprey Polepole Amshukia Zitto Kabwe Ripoti ya CAG..Adai Hakuna Hela yoyote Iliyopotea, Amtaka Arudi Shule

$
0
0

Kuna mtu mmoja anaongoza kwa upotoshaji juu ya ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG). Chama chake kina mbunge mmoja tu wa ACT Wazalendo. Sijui kasoma shule gani huyu. Kaja anasoma juu juu tu eti trillion 1.5! Ana bahati ndugu Magufuli ni mpole ila tushamwambia mwaka 2020 akatafute kazi ya kufanya. Pia arudi shule akasome kwani hakuna hata shilingi moja iliyopotea - Humprey Polepole

Kutana na Mtabibu Mongwa Mganga wa Waganga...Sasa Anapatikana Mikoa Yote...

$
0
0

KUTANA NA MTABIBU MONGWA MGANGA WA WAGANGA SASA WAKO MIKOANI KARIBU YOTE NCHINI...
.
HIVYO WATATOA TIBA MAENEO YOTE YA MBEYA ,DODOMA, IRINGA , MOROGORO, MWANZA,ZANZIBAR
==>KWA WALE WENYE KUHITAJI TIBA
➖Husafisha nyota na kutoa Pete za bahati na kwawale walio sumbuka kwaajili ya matibabu na hawakufanikiwa chochote sasa njoo ujionee miujiza hapo kwahapo bila malipo yoyote malipo baada yakazi napia humpa mtu jini la mali kwayule anaye taka kumiliki bila mashariti yoyote
➖ tunatibu magonjwa mbalimbali yaliyo shindikana mpenzi aliye kukimbia nakumrudisha kwa masaa 24 tu napia natoa dawa za nguvu za kiume kuurefusha uume paka pale unapotaka .
➖natoa dawa za biashara na mvuto ==tunatoa dawa zauzazi kwa wale kina mama wenye matatizoya uzazi walio angaika kwa muda mrefu bila kupata mafanikio yoyote njoo umalize tatizo lako sasa
➖natoa mazindiko yanyumba na mwili biashara na mvuto kazini
➖ kupandisha nyota ili kungaa kupandishwa cheo kazini kurudisha mali zilizo pote zilizo ibiwa kuzulumiwa
➖kesi zilizo shindikana uzimaliza mara moja namengine mengi ya siri piga simu +255 764291657
+255 764291657
+255 764291657
+255 764291657

Yondani Awatuliza Wanayanga " Tupo Fiti Tutafuzu Hatua ya Makundi"

$
0
0
Yondani Awatuliza Wanayanga " Tupo Fiti Tutafuzu Hatua ya Makundi"
NAHODHA na beki wa kati wa Yanga, Kelvin Yondani, ameta­mba kuwa wapo fiti na watahakikisha wanafu­zu hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika.

 Yanga leo saa 10:00 jioni watajitupa uwanjani kuvaana na Wolaitta Dicha ya nchini Ethiopia katika mchezo wa marudiano kwenye Uwanja wa Hawass uliopo Awassa, Ethiopia.

 Katika mechi ya kwanza jijini Dar es Salaam, Yanga ilishinda mabao 2-0 hivyo kujiweka katika nafasi nzuri ya kusonga mbele katika michuano hiyo iliyo chini ya Shirikisho la Soka Afrika (Caf).

 Akizungumza na Championi Jumatano kutoka Ethiopia, Yondani ambaye aliukosa mchezo uliopita kwa adhabu ya kadi mbili za njano, alisema hawatakubali kuondolewa katika michuano hiyo.

 Yondani alisema, walijifunza kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kutolewa na Township Rollers ya Botswana, hivyo sasa hawataki kurudia makosa.

“Ushindi wa mabao 2-0 tulioupata nyumbani umetuongezea hamasa kubwa sisi wachezaji, hivyo kesho (leo) tutaingia uwanjani tukiwa na mtaji wa mabao mawili ambayo tumeahidi kuyalinda ugenini.

“Tumedhamiria na tutahakikisha tunapata matokeo yatakayotuwezesha kutinga hatua ya makundi na hilo linawezekana kabisa kwani kila mchezaji anajua umuhimu wa mchezo huu.

“Hivyo, tutapambana dakika zote 90 kuhakikisha tunafanikiwa matokeo mazuri yatakayotupeleka hatua ya makundi, hivyo mashabiki wa Yanga waondoe hofu,” alisema Yondani.

Polepole Awavaa Viongozi Wanaozungumzia Ripoti ya CAG

$
0
0
Polepole Awavaa Viongozi Wanaozungumzia Ripoti ya CAG
Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Humphrey PolePole amefunguka na kuwavaa viongozi ambao wanazungumza juu ya ripoti ya CAG na kusema baadhi ya viongozi hao wanapotosha Umma kwa kusema mambo ya uongo.


Polepole amesema hayo leo April 18, 2018 wakati akiongea na waandishi wa habari na kusema wapo viongozi wa vyama vya siasa hawazungumzi juu ya mambo mazuri yaliyofanywa na serikali kama ujenzi wa miundombinu na mambo wanayopiga hatua ila wamekuwa wakidakia mambo na kutoa taarifa za uongo.

"Sasa unaposoma taarifa za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) halafu unatoa kauli timilifu kuwa pesa imeibiwa, yaani pesa ya Umma imeibiwa. Tunaweza tukakwambia tusaidie kuthibitisha sasa ukishindwa umesema uongo umeuhadaa Umma, umetoa takwimu za uongo ukichukuliwa hatua sio ndiyo utaanza kusema uongozi huu hatuna huruma, huruma kwa watu waovu? Waongo wanaopotosha kwa makusudi hilo halikubaliki".Amesema Polepole

Akaendelea kusema, "Mimi sielewi huyu anayekwenda mbele kusema taarifa za uongo uongo hivi, ndiyo mtaji wake siku hizi anatafuta tu pahala. hoja hana, hazungumzi kuhusu rushwa siku hizi, hazungumzi kuhusu huduma za kijami, hazungumzi kuhusu ufisadi, hazungumzi kuhusu miundombinu, tunapiga hatua kubwa, tunapeleka watoto shule bure, bali yeye anatafuta hoja ya uongo uongo" alisema Polepole

Polepole katika mkutano huu ameeendelea kumtuhumu mtu huyo kushindwa kuwa na uhakiki wa maneno yake

"Kuna kipindi mtu huyu alizungumza kuhusu njaa, wewe unaijua njaa inatangazwa vipi sasa tumevumilia sana leo tumeshindwa tumeona tumsaidie kumuelewesha halafu tuseme wale ambao wana dhamana ya kuhakiki maneno tunayatoa kwa kweli wachukue hatua kwani hatupo tayari kuacha watu wachache waendelee kuudanganya umma wa watanzania hili halikubaliki" alisisitiza

Mwisho wa wiki iliyopita, Mbunge wa Kigoma Mjini kwa triketi ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe aliizungumzia kwa mapana zaidi taarifa ya CAG na kuonyesha mambo ambayo serikali imetuhumiwa kufanya ikiwa pamoja na upotevu wa fedha zaidi ya Trilioni 1.5 ambayo haina maelezo imetumikaje.

Nuh Mziwanda Ampa Makavu Daimond " Wanawake ni Kama Mama Zetu Tunapaswa Kuwaheshimu"

$
0
0
Nuh Mziwanda Ampa Makavu Daimond " Wanawake ni Kama Mama Zetu Tunapaswa Kuwaheshimu"
Msanii wa muziki, Nuh Mziwanda amedai kitendo alichokifanya Diamond sio cha kiungwana kwani wanawake wote ni kama mama zetu hivyo tunapaswa kuwaheshimu.

Muimbaji huyo amesema hayo muda mchache baada ya rais huyo wa WCB kuachia video akishikana shikana na wanawake wawili tofauti.

Tayari Diamond ameshahojiwa na jeshi la polisi na wamedai watamchukulia hatua za kisheria muimbaji huyo wakimkuta na hatia.

Serikali Yawasimamisha Kazi Mawakili Sita

$
0
0
Serikali Yawasimamisha Kazi Mawakili Sita
Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi, amesema mawakili sita wamesimamishwa kufanya kazi ya uwakili kwa miezi sita hadi miaka mitano kwa makosa ya nidhamu.

Kabudi ameyasema hayo leo bungeni wakati akiwasilisha mipango wa makadirio ya bajeti ya wizara ya Katiba na Sheria.

Amesema uamuzi huo umetolewa na kamati ya nidhamu ya mawakili baada ya kupokea malalamiko hayo

Profesa Kabudi, amesema kamati hiyo ilipokea malalamiko 18 ya mawakili kwa mwaka wa fedha 2017/2018 na hivyo kufanya jumla  ya malalamiko yaliyokuwa mbele ya kamati kufikia 48.

“Katika kipindi hicho, malalamiko 22 yalisikilizwa na kutolewa uamuzi ambako mawakili sita wamesimamishwa kazi ya kufanya uwakili kwa muda wa miezi sita hadi miaka mitano,” amesema.

Ametoa wito kwa mawakili wote nchini kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu wakitambua kuwa wao ni maofisa wenye dhamana kubwa ya kufanikisha utoaji wa haki kwa wakati.

Afisa Chuo Kikuu Aliyemnyonya Mwanafunzi Sehemu za Siri Asimamishwa Kazi

$
0
0
Afisa Chuo Kikuu Aliyemnyonya Mwanafunzi Chuo Kikuu Asimamishwa Kazi
KISUZE EDWARD ambaye ni Ofisa Utawala Mwandamizi Ofisi ya Usajili wa Wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Makerere, Uganda, amesimamishwa kazi kwa kumdhalilisha kijinsia mwanafunzi wa kike.

Barua ya kusimamishwa kazi.


Barua iliyotolewa na Kaimu Mkuu wa chuo hicho, Prof. William Bazeyo, kwenda kwa mtuhumiwa, imemsimamisha kazi ili kupisha uchunguzi wa tukio hilo ambapo pia hatakiwi kufika katika ofisi hizo.
Mlalamikaji, Njoroge Racheal, aliiambia polisi kwamba Kisuze alimbusu kwa nguvu kwenye mapaja yake na kumshika sehemu za siri.


Mwanafunzi huyo alitumia simu yake kupiga picha kadhaa za tukio hilo ambazo amezifikisha polisi.
Katika maelezo aliyoyatoa polisi, mwanafunzi huyo alisema tukio hilo lilitokea katika chumba cha ofisi ya Kisuze alipokwenda kuchukua matokeo yake ya awali na barua ya uthibitisho chuoni. Wakati anavitazama hati hizo, mtuhumiwa alimkamata na kumlaza kwenye makabati ya mafaili, akamnyonya maziwa na mapaja, na kumwingiza vidole sehemu zake za siri.

Maelezo ya mwananfunzi.


Ni wakati hayo yanatokea, alitumia simu yake kupiga picha za tukio hilo na kumtishia kumshitaki ndipo mtuhumiwa alipomwachia akaondoka hapo akilia.

Zitto Kabwe Aichana Serikali " Ukweli ni Kwamba Hamna Pesa"

$
0
0
Zitto Kabwe Aichana Serikali " Ukweli ni Kwamba Hamna Pesa"
Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT Wazalendo), Zitto Kabwe amedai serikali kuwa inapanaga kutekeleza miradi mikubwa ili hali haina pesa ya kutekeleza miradi hiyo ambayo ameielezea kuwa ni gharama kubwa.

Akichangia hotuba ya Bajeti ya Wizara Ofisi ya Makamu wa Rais – Muungano na Mazingira, Zitto amesema kuwa licha ya kujigamba kuwa serikali ina uwezo wa kujenga mradi huo lakini ukweli ni kwamba haina pesa ya kufanya miradi hiyo.



Awali akitolea ufafanuzi suala hilo waziri wa Ardhi, nyumba na Maendeleo ya makazi William Lukuvi alisema, suala la ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme wa stiglers linamanufaa makubwa kwa taifa.

Waliovunja Kanisa na Kuiba Wakamatwa

$
0
0
Waliovunja Kanisa na Kuiba Wakamatwa
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limewatia nguvuni watu watatu kwa wizi wa vyombo vya muziki na viti makanisani mkoani humo.

Kwa mujibu wa taarifa ya Jeshi la Polisi, Mbeya watu hao ni William Sanke (23) mkazi wa Isanga, Eliudi Mwansule (28) mkazi wa Mwakibete Viwandani na Noa Molela (26) mkazi wa Mama John.

Misako iliyofanyika imefanikisha kupatikana kwa mali mbalimbali za wizi ambazo ni spika kubwa 15 za aina mbalimbali, mixer nane, amplifier moja, viti vya plastic 108 vya rangi mbalimbali.

Baada ya kukamatwa na kuhojiwa, watuhumiwa walikiri kuhusika katika matukio ya kuvunja na kuiba Makanisani nyakati mbalimbali na mara baada ya kuiba mali hizo huwapelekea wauzaji ambao pia wamekamatwa.

Watuhumiwa wote wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya na watafikishwa Mahakamani mara baada ya upelelezi kukamilika.

Lwandamina Awapa Matumaini Yanga Aungana na Timu Hiyo Ethiopia

$
0
0
Lwandamina Awapa Matumaini Yanga Aungana na Timu Hiyo Ethiopia
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga, George Lwandamina ameungana na timu yake hiyo ya zamani kwa kuandika ujumbe unaoitaka kuhakikisha inachomoza na ushindi dhidi ya wapinzani wao Welayta Dicha kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Barani Afrika unaotarajiwa kupigwa hii leo majira ya saa 10:00 alasiri.


Katika kuonyesha mapenzi yake kwa wanajangwani hao na bado yupo pamoja nao, Lwandamina ameamua kuungana na Yanga SC kwenye kipindi hiki kwa kuandika ujumbe huo kupitia mtandao wake wa kijamii wa Facebook.

Ushindi ni fikra inayofurahisha nafsi ya kila kitu. Kila lakheri vijana.

Lwandamina ameandika maneno hayo ambayo yatakayo leta faraja kwa mashabiki na wachezaji wa Yanga SC na hamasa wakati wakiwa wanakabiliwa na mechi dhidi ya Welayta Dicha michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika.

Zitto Kabwe amjibu Polepole " Ninajua Ninachokisema Msizani Watanzania Mandondocha"

$
0
0
Zitto Kabwe amjibu Polepole " Ninajua Ninachokisema Msizani Watanzania Mandondocha"
Baada ya Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Humphrey Polepole kumtuhumu Mhe. Zitto Kabwe kupotosha taarifa za CAG kuhusu kupotea kwa shilingi trilioni 1.5, kiongozi huyo wa ACT-Wazalendo ameibuka na kujibu mapigo.



Zitto ametumia mtandao wa Twitter kujibu tuhuma hizo za Polepole kwa kumwambia amekuwa Mwenyekiti wa PAC/POAC kwa miaka nane hivyo anafahamu kile anachokisema.

“Serikali ya CCM ilidhani Watanzania ni mandondocha,wanapelekwa pelekwa tu. Nimekuwa Mwenyekiti wa PAC/POAC kwa miaka 8. Ninajua ninachosema.” ameandika Zitto.

“Jumla ya TZS trilioni 1.5 hazina maelezo ya matumizi yake Katika mwaka 2016/17. Sitajibishana na Mwenezi wa CCM, yeye size yake @AdoShaibu,” ameongeza.

Daimond Alikologa Basata Nao Wamwita .... Aripoti na Mameneja Wake

$
0
0
Daimond Alikologa Basata Nao Wamwita .... Aripoti na Mameneja Wake
Msanii wa muziki Bongo, Diamond Platnumz leo, April 18, 2018 amefika ofisi za Baraza la Sanaa Taifa (BASATA).

Muimbaji huyo wa ngoma ‘African Beaut’ amefika ofisi za Basata akiongoza na mameneja wake, Sallam SK, Mkubwa Fella pamoja na msanii Harmonize.

Taarifa za ndani zinaeleza kuwa Diamond ameitwa na Baraza hilo kwa lengo la kukumbushwa masuala mbalimbali kuhusiana na muziki wake.

Wiki tatu zilizopita March 23, 2018 Diamond pamoja na meneja wake walifika Basata hata hivyo pande zote mbili hazikuweka wazi kile kilichojadiliwa baina yao. Hata hivyo safari hiyo ilijiri katika kipindi ambacho nyimbo mbili za Diamond ‘Waka na Hallelujah’ zilipofungiwa.

Camera Aina ya Sony A7s Inauzwa Kwa Bei

$
0
0

For sale
Camera SONY A7s mk 2

Bei 4.5 mil

Inakuja na Bag yake
Lens ya canon EF 50 mm 1.4 ft
Batteries 3
Charger
Lens adapter (Canon to Sony)
Na card ya 64 Gb ya 95 mb/s

Contact 0762104063

Mwanadada Pendeza na Products za Natural Beauty na Kaka Kuwa Rijali...Wacheki Hapa

$
0
0

Zile tiba za asili zilizothibitishwa na kupewa kibali sasa zipo @natural beauty prod.
Ni wakati wako dada wa kupendeza na mwanaume kuwa lijali kwa bidhaa original zilizotengenezwa kwa mimea na matunda🍇🍓🍋🍒🥑

PATA KWA PUNGUZO LA BEI

1.HANDSOME UP ORIGINAL_ Inaongeza uume kwa size uipendayo na kuimarisha misuli (wiki 2) @240,000/=
2.SHARK POWER GELY_ Inaongeza uume inch 6 (wiki 4) @145,000/=
3VigRX CREAM_ Inaongeza uume inch 7.5 hadi 8 (wiki 2-3) @190,000/=
4.Vidonge maalum vya kuongeza nguvu na hamu ya tendo hata kwa wenye kisukari na BP @160,000/=
5. MAXMAN 2-Hii ni vidonge vinavyoongeza nguvu za kiume pamoja na uume @240,000/=
6.VIGA SPRAY OG_ Inaongeza uwezo ktk tendo na kuchelewesha kufika kileleni @140,000/
7.BOTCHO MULT PLUS_Hii ni dawa ya kunywa ya kuongeza ( Hips mapaja na makalio) inapatikana kwa @190,000/=
8.BOTCHO CREAM HOLOGRAM_ Hii ni yakupaka ya kuongeza (HIPS na MAKALIO) @170,000/=
9.LEG BOOSTER_Ni dawa ya kuongeza miguu (CHUPA YA BIA) @140,000/=
10.BODY BOOSTER_ Hii ni yakuongeza mwili pamoja na hamu ya kula vizuri @140,000/= N.K
NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri na garantii ili kukuhakikishia ubora na usalama wa bidhaa za NATURAL BEAUTY LTD

Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0659618585 au
0759029968

Msanii wa BongoFlavour Ali Kiba Kuvuna Mamilioni Mwezi Huu.

$
0
0

INASEMEKANA : Msanii wa BongoFlavour @officialalikiba Kuvuna mamilioni mwezi huu.

AzamTv wamenunua rights za kurusha Harusi ya Alikiba. Worth deal ni more than 90,000$, zaidi ya Million 204,331,500.00 Tsh.

Harusi ya kwanza Mombasa tarehe 19, mapokezi Dar tarehe 29 April.

Hakuna chombo cha habari kingine kitaruhusiwa hata kupiga picha! Mambo yote yataripotiwa na AzamTV.

Mbali na hayo, Tayar makumpuni makubwa 19 ya East Africa yameingia mkataba wa ku-finance Harusi hiyo, kitu ambacho kinakadiliwa kwa Msanii huyo kutengeneza more than 600 Million Tsh just kupitia matukio ya harusi yake.

Hii ni ishara tosha ya kupanda kwa thamani ya Wasanii wetu, Mziki unakuwa sawia na economic profiles zao.

TOA MAONI YAKO HAPA TAFADHALI
Viewing all 104747 articles
Browse latest View live




Latest Images