Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104416 articles
Browse latest View live

Yanga Yatinga Hatua ya Makundi Kombe la Shirikisho Afrika..

0
0

Full Time
Welayta Dicha FC 1-0 Young Africans
(Agg 1-2)

Djako Arafat⚽

Hongera Young Africans kutinga hatua ya makundi kombe la shirikisho Afrika.👏🙌

Askari Polisi Mwenye Kesi ya Rushwa Akamatwa Tena Akipokea Rushwa

0
0
Askari Polisi Mwenye Kesi ya Rushwa Akamatwa Tena Akipokea RushwaAskari Polisi mmoja jijini Nairobi ambaye kesi yake ya madai ya rushwa inasikilizwa mahakamani ameshangaza watu baada ya jumatatu April 16, 2018 kukamatwa na polisi kwa kosa la rushwa tena.

Inaripotiwa kuwa askari huyo alikamatwa na Tume ya Maadili na Kupambana na Rushwa (EACC) ya nchini humo kwa kuchukua hongo katika uwanja wa mprira wa jiji hilo Nairobi.

Askari huyo Kopro Dan Mburu alikutwa na Shilingi za Kenya 3,250 sawa na Shilingi za Kitanzania 73,450 mifukoni mwake ambazo ndizo alikuwa amepewa kama hongo

Wimbo wa Leka Dutigite wa Kigoma All Star ni Wangu si wa Kund- Linex

0
0
Wimbo wa Leka Dutigite wa Kigoma All Star ni Wangu si wa Kund- Linex
Msanii Linex amesema wimbo ‘Leka Dutigite’ ulioimbwa na kundi la Kigoma All Star ulikuwa wa kwake.

Muimbaji huyo ameiambia TV E kuwa aliuandika wimbo huo kwa asilimia 90 ndipo akawapa wengine waimbe kwa sababu wengi wao walikuwa hawajui mitaa ya Kigoma.

“Kigoma wimbo sio wa kundi ni wa kwangu mimi nikaamua kuwapa watu, tufanye wote,” amesema Linex.

“Kwa hiyo ule ni wimbo wangu na asilimia kubwa ya ule wimbo mimi ndio nimechora kwa sababu asilimia kubwa ya watu ambao walikuwa wameimba kwenye ule wimbo walikuwa hawajui ule mtaa ukoje zaidi ya Baba Levo na Chege,” amesisitiza.

Wimbo huo ulikutanisha wasanii kama Abdu kiba, Baba Levo, Banana Zorro, Chege, Diamond plantimuz, kigoma all stars, Leka Dutigite, Linex, Makomando, Mwasiti, Ommy dimpoz, Queen Darling na Rachel,

Haji Manara- Nipo Tayari Kujiudhuru Wadhifa Wangu Simba

0
0
Haji Manara- Nipo Tayari Kujiudhuru Wadhifa Wangu Simba

Afisa habari wa habari wa vinara wa ligi kuu Tanzania Bara Simba SC, Haji Manara amesema yupo tayari kujiuzulu wadhifa wake katika klabu hiyo endapo atajitokeza mtu yeyote na kudai alituma maombi ya kuitaka Simba tofauti na Mohamed Dewji.


Manara ametoa kauli hiyo leo Aprili 18, 2018 kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa mubashara kupitia ukurasa wa kijamii wa EATV baada ya kuwepo tetesi kuwa katika mchakato wa kumpata mmiliki wa timu kupitia upate wa hisa palikuwepo na uchakachuaji wa hali ya juu jambo ambalo walishindwa kuwapa fursa watu wengine.

"Nipo tayari kujiuzulu wadhifa wangu kama atatoweza kujitokeza mtu yeyote na kusema yeye alikuwa miongoni mwa watu waliotuma maombi ya kutaka kuiongoza timu zaidi ya Mohamed Dewji", amesema Manara.

Pamoja na hayo, Manara amesema kwa sasa akili zao wamezikita katika ubingwa na wala sio katika masuala mengine.

"Tunataka kila mwana Simba awekeze nguvu yake kwenye ubingwa mwaka huu, kwa hiyo vipaumbele vyetu namba moja ni ubingwa, mbili ubingwa, tatu ubingwa na nne ni transformation", amesisitiza Manara.

Ubungo Yatenga Bilioni 1.9 kwa Mikopo ya Wakina Mama na Mikopo

0
0
Ubungo Yatenga Bilioni 1.9 kwa Mikopo ya Wakina Mama na Mikopo
Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo jijini Dar es salaam imetenga kiasi cha Tsh. Bilioni 1.9 kwa ajili ya mkopo kwa kina mama na vijana.

Hayo yamesemwa leo, April 18, 2018 na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ubungo, Mhe Boniface Jacob wakati wa hafla fupi ya kusaini mkataba wa makubaliano na benki ya CRDB ambapo mikopo hiyo itatolewa kupitia benki hiyo.

Meya Jacob ametoa wito kwa vijana kujitokeza kwa wingi kuchangamkia fursa hiyo kwani idadi yao imeonekana kuwa ndogo kwani mfuko huu ni nusu kwa vijana na nusu kwa kina mama na asilimia 20 inakwenda kwa walemavu.

“Nikiwa Manispaa ya Kinondoni tuliweza kutenga 800M kwa ajili ya mikopo kama hii, lakini Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo ina muda wa mwaka mmoja na nusu tu lakini unaweza kuona kiasi tulichotenga kwa ajili ya mikopo kwa vijana na kinamama, ni kwa sababu tuko commited kuwasaidia wananchi wa Manispaa ya Kinondoni” amesema Meya Boniface Jacob.

Manispaa ya Ubungo itakuwa ya kwanza kwa utekelezaji wa agizo kwamba asilimia 20 ya fedha ni kwa ajili ya walemavu. Kwa taarifa ya mratibu wa zoezi hilo, Wanawake waliojitokeza ni 11,321, vijana idadi yake ikiwa ni 1124.

Maandalizi ya Harusi ya Alikiba Kufulu Tupu ...... Mapambo tu Zaidi ya Milioni 40

0
0
Maandalizi ya Harusi ya Alikiba Kufulu Tupu ...... Mapambo tu Zaidi ya Milioni 40
Wakati zikiwa zimesalia saa chache kabla mwanamuziki Alikiba hajafunga ndoa jijini Mombasa, imebainika kuwa ametumia mamilioni katika maandalizi ya sherehe hiyo.

Mwandishi wetu aliyepo Mombasa, Mohammed Ahmed anaripoti kuwa mapambo katika ukumbi utakaofanyika sherehe hiyo yamegharimu Sh2 milioni za Kenya ambazo ni wastani wa Sh40 milioni za Tanzania.

Mpambaji wa ukumbi wa Diamond Jubilee unaochukua watu 1,500 katika jiji hilo ambaye mwandishi wetu alimkuta akiendelea na kazi,  anasema amelipwa kiasi hicho cha fedha ambacho ni kikubwa kulingana na aina ya mapambo waliochagua maharusi.

Alikiba anayetamba na wimbo Seduce Me anatarajia kufunga ndoa kesho na mrembo Amina ambaye anatokea Mtaa wa Kongowea katika jiji hilo.

Inaelezwa kuwa familia ya binti huyo ina uhusiano wa karibu na Gavana wa Mombasa, Hassan Joho ambaye ni rafiki wa Alikiba.

Inaaminika kuwa Joho ndio amesaidia kwa kiasi kikubwa kumuunganisha Kiba na familia ya Amina, ambapo safari zake za mara kwa mara mjini Mombasa, hazikuwa kwa shughuli za kimuziki tu bali ni kuwa karibu na mkewe huyo mtarajiwa.

Harusi hiyo inatarajiwa kurushwa mubashara kwenye runinga ya Azam kuanzia Mombasa ambako Joho na vigogo wengine wa Muungano wa NASA wanatarajiwa kuhudhuria huku sherehe ya hapa nchini, Tanzania Rais wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete anatajwa kuwa miongoni mwa wageni waalikwa.

Lemutuz Naye Ahadi kuleta Facts Kuhusu report ya CAG

0
0

Ameandika haya kupitia ukurasa wake wa Instagram:

From @lemutuz_superbrand - Guys nimewasikia Wananchi wengi sana kuhusu habari zinazodaiwa na Mbunge mmoja wa Upinzani kua kuna 1.5 Trillioni ambazo zimeibiwa na Serikali ya sasa ...so far ni tuhuma tu ambazo binafsi ninazifanyia sana kazi ili kupata FACTS ....naomba muda kidogo like Siku 2 to 3 nikishapata FACTS nitaziweka hapa hapa it does not matter the FACTS kama zimeibiwa kweli nitalilia waliohusika wafikishwe kwenye mkondo wa Sheria na kama Mbunge anasema Uongo na yeye atatakiwa kufikishwa kwenye mkondo huo huo wa Sheria...so subra my people cause nimewasikia....na hapa ni UWANJA WA FACTS nothing but the truth I mean FACTS BABE! - By lemutuz

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya April 19

0
0


Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya April 19

Walichokibaini BASATA baada ya kumhoji Diamond

0
0
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), limeeleza kuwa, baada ya kufanya mahojiano na msanii nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz, wamebaini kuwa vijana wengi hawana elimu juu ya sheria mpya ya mitandao iliyowekwa.

Akizungumza leo Jumatano Aprili 18, Katibu wa BASATA, Godfrey Mngereza amesema kuwa baadhi ya watu wanaona kama msanii Diamond amelewa umaarufu jambo ambalo sivyo kama wanavodhani.

“Watu wanaweza kuchukulia hiyo kwamba Diamond amelewa umaarufu, amelewa mafanikio. Lakini mimi niseme kama baraza na masimamizi wa wasanii wote, tusimhukumu mtu kabla hatujamsikiliza wala kuongea nae. Sidhani kama ni umaarufu uliompelekea Diamond kufanya mambo kama hayo,” ameema Mngereza.

Mngereza amesema sababu kubwa ya wasanii na vijana wengi kufanya makosa ya kimtandao ni kutokana na sheria hiyo kuwa mpya kwao na hivyo kutaka elimu ya kutosha juu ya sheria hiyo kutolewa ili iweze kueleweka na kufuatwa.

“Kwa vijana wengi wa kitanzania ni sheria mpya. Tunahitaji kuwaelimisha zaidi kwamba kuweka picha au clip za aina hii hazikuongezei umaarufu,” amesema.

hatua hii imekuja ikiwa ni siku chache baada ya msanii Diamond kushikiliwa na Jeshi la polisi kwa ajili ya mahojiano, baada ya kuweka katika mtandao wa instagram video zinazomuonyesha akiwa katika faragha na mama watoto wake, Hamisa Mobeto.

Hatua hiyo iliibua maswali mengi kwa watu mbalimbali wakiwemo mashabiki wa muziki wake, kwani tukio hilo limetokea siku chahe baada ya kuvuja kwa video iliyowaonyesha msanii Nandy na Bilnass nao wakiwa katika faragha.

Jambo hili liliwafanya watu wengi kuibuka na mwaswali, huku wengine wakidhani ni ‘kiki’ ambayo ingefuatiwa na kuachiliwa kwa wimbo ama video mpya kutoka kwa wasanii hao.

Hata hivyo, wasanii hao wote, Diamond, Nandy, Bilnass pamoja na mwanamitindo Hamisa Mobetto walishikiliwa na jeshi la polisi kwa mahojiano yaliyochukua muda wa saa kadhaa, kisha kuachiliwa kwa dhamana na kutakiwa kuripoti tena kituo Kikuu cha Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam.

Advertisem

Kutana na Mtaalam wa Matabibu ya nyota za Binadam na Bingwa wa Tiba za Asili Afrika Mashariki.

0
0
Je Wewe ni Mwanasiasi, Mfanyabiashara , Msani, ama mwanafunzi tunazo dawa na pete za bahati zenye uwezo mkubwa wakuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.

Kutana na SHABA WA SHABA kutoka Tanga,
Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki.
Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. Sasa amezianza ziyara zake za mikoani na atayatembeleye maeneo mbali mbali ndani na inje ya nchi.

Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nasiojulikana kwakutumia maji, Kioo na mitishamba.
Anazo dawa za mapenzi, kumrudisha alipoteya, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, kutoa ndagu , Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, Kuuza kwa haraka ( shamba, nyumba, Gari,...), Kesi mahakamani, Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na utajiri bila masharti na mengine mengi ya Siri...

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa nambari ya simu :
+255 785 358 267 ,
+255 785 358 267

Diva Ammwagia Mvua Ya Matusi Ya Nguoni Michael Lukindo

0
0
Msanii na mtangazaji wa kipindi cha Ala za roho cha Clouds Fm Loveness Malinzi ‘Diva The bawse’ amemtolea povu zito msanii mwenzake wa Bongo fleva Michael Lukindo ‘ML’ baada ya kudai ni wapenzi.

Siku chache zilizopita Michael Lukindo alifanya mahojiano na XXL ya Clouds Fm na alikuwa anatambulisha ngoma yake mpya lakini Kwenye mahojiano hayo alifunguka kuwa yupo Kwenye Mahusiano na Diva.

Baada ya kusikia taarifa hizo Diva alitumia ukurasa wake wa Instagram na kumwaga povu zito na kukataa kata kata kama yupo Kwenye Mahusiano ya kimapenzi na Michael Lukindo.

Baada ya Tetesi hizo kusambaa Soudy Brown alimsaka Michael ambaye alikiri kuwa alikuwepo Kwenye Mahusiano na Diva lakini walifanya siri na mpaka sasa Diva hayupo tayari kuzungumzia hayo mahusiano.

Baada ya kusikia maneno hayo Diva ambaye kwa muda huo alikuwa studio alimtolea matusi mazito Michael Lukindo:

"Wewe mata** unikome shika adabu yako umeshawahi kuwa na Mahusiano na mimi lini na wapi?na nilikwambia kabisa kwamba nimekushtaki I have defamation letter for you utajifunza kufunga huo mdomo wako sitaki mambo ya kise*** k*** la mama ako umeenda umemzungumzia Jokate on the same same thing haukutosheka ukamuandika Miriam Odemba kuwa una Mahusiano naye sasahivi unataka kwangu mimi kunitafutia kiki sasa mimi ntakukomesha nimeshakushtaki”.

Serikali Yataifisha Basi na Magari ya Kifahari

0
0
Serikali imetaifisha dhahabu ya mabilioni ya shilingi na magari ya kifahari kutokana na wahusika wake kukamatwa na kuhukumiwa kwa makosa ya rushwa katika mwaka huu wa fedha.

Pia imetaifisha, pikipiki, mafuta, mashine za kuhesabia fedha na basi la abiria lililokuwa linatumika kusafirisha meno ya tembo.

Waziri wa Katiba na Sheria, Prof. Paramagamba Kabudi, aliyasema hayo jana alipowasilisha bungeni mjini hapa hotuba ya makadirio ya wizara yake kwa mwaka ujao wa fedha.

Alibainisha kuwa katika mwaka huu wa fedha, mali zilizotaifishwa kwa ujumla wake zinakadiriwa kuwa na thamani ya Sh. bilioni 5.685.

Waziri huyo alisema Ofisi ya Taifa ya Mashtaka ilipokea majalada 683 ya tuhuma za rushwa kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa (Takukuru).

Prof. Kabudi alisema kati ya hayo, majalada 288 yaliandaliwa hati za mashtaka na 275 yalirudishwa Takukuru kwa uchunguzi zaidi.

Alisema majalada 115 yako katika hatua mbalimbali yakifanyiwa kazi na mengine matano yalifungwa.

"Washtakiwa waliotiwa hatiani walipewa adhabu mbalimbali zikiwamo vifungo, faini na mali kutaifishwa ambapo jumla ya Sh. bilioni 4.484 zilitozwa kama faini kutoka kwa washtakiwa," alisema na kuongeza:

"Mali zilizotaifishwa ni pamoja na kilogramu 24.5 za dhahabu zenye thamani ya Sh. bilioni 2.012 na fedha za kigeni kutoka mataifa 15 zenye thamani ya Sh.milioni 908.092.

"Mali zingine zilizotaifishwa ni magari matano ya kifahari aina ya Range Rover Vogue na moja aina ya Audi yaliyokamatwa katika Bandari ya Dar es Salaam yakisafirishwa kama nguo za mitumba, pikipiki 34, mafuta, mashine za kuhesabia fedha na basi la abiria lililokuwa linasarifirisha meno ya tembo."

Prof. Kabudi alisema mwaka huu wa fedha pia mali za vyama vya ushirika vya Mwanza (Nyanza Cooperative Union) na Shinyanga (Shirecu) zikiwamo nyumba, viwanja na viwanda, zimerejeshwa serikalini kutoka mikononi mwa watu ambao walizichukua bila kufuata utaribu wa kisheria.

Waziri huyo pia alisema mwaka huu wa fedha kulikuwa na mashauri sita yanayohusu ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi yaliyoshughulikiwa.

Alisema kuwa kati yake, mashauri manne yalikamilika kwa watuhumiwa kutiwa hatiani na kuhukumiwa adhabu za kifungo cha kati ya miaka minne hadi 20 na mashauri mawili yaliyobaki yanaendelea kusikilizwa.

Mawaziri, Msukuma Wampinga Paul Makonda

0
0
Waziri wa Katiba na Sheria,  Palamagamba Kabudi ameikosoa kampeni iliyoanzishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ya kuwasaidia wanawake wenye watoto waliotelekezwa na waume zao  na kusema kwamba ilipaswa kufanyika kwa faragha.

Kabudi ametoa kauli hiyo leo Aprili 18, wakati Bunge lilipokaa kama kamati kupitisha bajeti ya wizara hiyo baada ya mbunge wa Ulanga, Goodluck Mlinga kuhoji uhalali wa kampeni hiyo.

Profesa Kabudi amesema shughuli hiyo inaweza kuleta hali ya sintofahamu na akabainisha kuwa inapaswa kufanyika kwa faragha si kama inavyofanyika sasa.

Wakati Kabudi akisema hayo, Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma amesema kampeni ya Makonda ni ishara ya kukosa kazi ya kufanya.

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema kampeni hiyo ni sahihi ila kasoro yake ni kutokuwa na faragha..
 VIDEO:

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Alhamisi

Okoa Ndoa yako Sasa...Umepungukiwa na Nguvu za Kiume na Unashindwa Kupanda Mlima Vizuri

0
0

OKOA NDOA YAKO SASA : JE UMEPUNGUKIWA NA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO AU MPENZI WAKO HAKUTIMIZII UTAKACHO:


Acha kujiona mpweke pale ukutanapo na mpenzi au mke wako kwa sababu ya kutokuwa na nguvu za kiume au Uume wako mdogo

Dawa YA MAPRO POWERA ndio dawa sahihi na tiba tosha kwa sasa Kutibu tatizo na kuponesha kabisa tatizo LA KUWAI KUFIKA KILELENI KABLA MWENZI WAKO BADO AJAKOJOA

KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA NA MWILI KUCHOKA

UUME KUSINYAA NA KUWA LEGELEGE

KUUMWA NA TUMBO WAKATI UNAPOMALIZA KUFANYA TENDO

Dawa hii utumiwa ata na wazee wenye umri mkubwa na haina madhara yoyote

MAKAKANUA HII NI dawa ya maumbili madogo urefusha na kunenepesha saizi upendayo saiz 5-6-7-8 na unene sm 3-4-5 kwa mini huabiki kwa kuwa na UUME mdogo wai sasa upate tiba sahihi kabisa na ni tofauti na ulizowai kutumia :

Tunarudisha mke au mpenzi ndani ya masaa matatu tu zipo dawa za presha kisukali vidonda vya tumbo korodani iliyovimba dawa za uzazi tunapunguza matiti makubwa kitambi na mwili mkubwa dawa zipo FIKA OFISINI KWANGU MBAGALA ZAKHEMU KWA WATEJA AMBAO AMTAKUWA NA NAFASI YA KUJA OFISINI AU MLIO MKOANI MTALETEWA p

Piga simu 0743362017 au 0789234653

DR AGU


Sakata la Mikopo ya Wafanyakazi Kuwageukia Waajiri

0
0
Sakata la Mikopo ya Wafanyakazi Kuwageukia Waajiri
Waajiri ambao bado hawaja wasilisha majina ya wafanyakazi wao ambao ni wanufaika wa mikopo ya elimu ya juu wametakiwa kufanya hivyo kabla hawajafikiwa na mkono wa sheria dhidi yao kutokana na kupinga agizo.

Agizo hilo limetolewa Jijini Mwanza na mkurugenzi msaidizi wa uejeshaji mikopo wa bodi hiyo Fidelis Joseph ambapo amesema badhi ya waajiri hawajasilisha majina ya wafanyakazi wao kwenye bodi hiyo mpaka sasa.

Akiambatana na maafisa wa bodi hiyo Jijini Mwanza wametembelea Hospitali ya Uhuru Jijini humo na kukuta bado hawajawasilisha majina hayo kwenye bodi na kusema ni kosa la kisheria kukaidi amri na yoyote atakae jaribu kuzuia zoezi hilo kutekeleza katika shirika au kampuni yake basi hatua za kisheria zitafuata.

Rais Magufuli Ateuwa Watu 10

0
0
Rais Magufuli Ateuwa Watu 10
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo April 18, 2018 ameteuwa watu kumi kushika nafasi mbalimbali akiwepo Prof. Idris Suleiman Kikula kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Madini.

Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi imeeleza kuwa uteuzi wa Prof. Kikula umeanza April 17, 2018

Maya Afunguka Kumchamba JB

0
0
Maya Afunguka Kumchamba JB
STAA wa sinema za Kibongo, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amefu-ngikia maneno yake aliyoy-aweka mtandaoni na kuzua tafrani kuwa amemmchamba mwigizaji mkongwe, Jacob Steven ‘JB’ kuwa watu wamemuelewa vibaya.

Juzikati, Maya aliweka picha ya JB kwenye ukurasa wake wa Instagram na kuambatanisha na maneno yaliyos-omeka: “We baba wewe sisi tumeku-kosea nini wewe wa kutufanyia vile sisi? Au tuongee humu walimwengu wajue? Haya turudishe kabla ya saa 2 otherwise…”
 
Alipoulizwa kuhusu ujumbe huo uliozua tafrani, Maya alifafanua: “Unajua JB ni baba yetu sisi wote hivyo ile ilikuwa ni utani tu wa kawaida nilikuwa ninamtania tu kwa hiyo mashabiki wangu wasidhani kama nilikuwa namaanisha… yule ni baba yetu sisi Bongo Muvi na tunampenda sana na kumuheshimu,” alisema Maya.

Download Hapa Application ya Udaku Special Uweze Soma Vimbwanga na Udaku Mtaani Kila Siku

0
0
Mpendwa msomaji wetu, tunakukumbusha Kuidownload Upya Application yetu ya UDAKU SPECIAL Maana ile ya Zamani Tutaifuta.

Kuna Marekebisho Makubwa tumeyafanya ikiwa na tatizo la Notification kutatuliwa

NB: App mpya ina Icon Nyekundu

 Bonyeza Hapa Chini

==>>Unaweza Kuidownload << kwa Kubofya Hapa>>
    

Mjue mke wa Ali Kiba muangalie huyu hapa kwenye picha

0
0
Kwa ombao wamesikia Kuwa Mwanamuziki Ali Kiba anaoa leo na hawamjui mkewe basi huyu hapo ndio kifaa tulichovuta Watanzania Kutoka Kenya Mombasa...Ni mwendo wa ku Import tu hatutaki Mchezo

Viewing all 104416 articles
Browse latest View live




Latest Images