Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104689 articles
Browse latest View live

Kutana na Mtaalam Sharif Hamad Kalala Mchambuzi wa Nyota za Binadamu na Tiba Asili

$
0
0
KUTANA NA SHARIF HAMAD KALALA NI
SHARIFU MCHAMBUZI WA
NYOTA ZA BINAADAMU NA NI MWENYE UPEO MKUBWA KUTAFITI MATATIZO YAKO KABLA YA KUTOA USHAURI WAKE WA TIBA AlJALISHI MBALI ULIKO TIBA YAKE UMFIKIA YEYOTE MWENYE UITAJI POPOTE
DUNIANI.

 SHARIF HAMAD KALALA NI TABIBU MWENYE KUBRI TOKA KWA ALAH ANATIBU KWA NJIA YA VITABU VYA QUR-AN, DAWA ZA ASILI ZA MITI SHAMBA PAMOJA NA DAWA ZA KIARABU.
ANATIBU KWA NJIA YA SIMU KWA KUTOA
MAELEKEZO NAMNA YA MATUMIZI YA DAWA UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE KWA MATATIZO YAFUATAYO:-

 KUFANIKISHA NDOA KWA UNAYE MPENDA KWA HARAKA. KUMRUDISHA MPEZI NDANI YA MASAA 12 TU.
 ULIJALI (NGUVU ZA KIUME) NDANI YA /IKI MMOJA TU
MIGUU KUWAKA MOTO KUTAFSIRI NDOTO MFARAKANO WA WANANDOA MFARAKANO KAZINIKUPANDISHWA CHEO NDANI YA SIKU SABA 7 TU.
KUTOA PETE YA BAHATI KUTOA MAJINI MACHAFU IKIWA NI KWENYE MWILI WA BINADAMU MAJUMBANI NA KWENYE BIASHARA. KUPATA MAFANIKIO YA MALI BILA YA MASHARTI. KUPANDIKIZANYOTA YA KUBASHIRI KUFUNGUA UZAZI KWA WALIYO FUNGWA KWA NJIA YA USHIRIKINA KUTOA VIFUNGO VYOTE VILIVYO FUNGWA KWENYE BIASHARA. ANA UWEZO MKUBWA WA KUPANDIKIZA NYOTA YA KUMPATA YEYOTE UMPENDAYE KWA KUMUOA AU KUWA NAYE. ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIYE MBALI PIA ALIYE CHUKULIWA
KWA NJIA YAMSUKULE
NAO UWEZO WA KUUA KESI SUGU NA MPYA NDANI SIKU 7 TU.
MENGINEYO MENGI ZAID YALIYO KUWA SUGU PIGA KWA WALE WALIYO ANGAIKA SEHEMU MBALI MBALI SHARIF HAMAD KALALA NI SULUISHO. ENDAPO UTAMSIKILIZA KWA YALE ATAKAYO KUSHAURI NA KUKUPA
ELEKEZI.
 TIBA NI KWA DINI ZOTE POPOTE ULIPO NJE NA NDANI YA NCHI.
MOBILE +255 -673 025 376
WhatsApp +255-757 069 066


Msukuma: Mlisema Waandamane Mbebe Majeneza 200

$
0
0
Msukuma: Mlisema Waandamane Mbebe Majeneza 200Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Msukuma, amemuomba Waziri wa Katiba na Sheria, Prof. Palamagamba Kabudi, kupeleka bungeni muswada  kubadilisha sheria ili makosa ambayo hayastahili mtu kufungwa apewe adhabu ndogo ili kuondoa msongamano katika magereza.

Pia mbunge huyo aliwataka baadhi ya wabunge waache kupiga kelele bungeni juu ya matukio ya watu kupotea na kutekwa, badala yake waviache vyombo vya sheria na vya usalama vifanye kazi yake.



Hayo ameyasema Bungeni wakati akichangia hoja katika Wizara ya Katiba na Sheria jana, Aprili 18, 2018.



“Tuna shida sana na majengo ya mahakama huku kwenye vijiji vyetu Geita ambako tunategemea watu wanakwenda kutendewa haki huko, lakini mahakama ni chache na zilizopo unakuta kuna popo, lakini pia zimejaa mahabusu.  Ningeomba waziri alete mapendekezo tubadilishe sheria ili ambao wana makosa madogo wapigwe hata makofi tu na waachiwe,” alisema Msukuma.



Akizungumzia mauaji na utekaji, Msukuma alisema:

“Sisi kama wabunge tunaotunga hizi sheria tuviache vyombo vifanye kazi yake, hawa wanaosema sijui nani kapotea mara Beny Saanane, hata watu wa CCM wamepotea wengi tu, wamechinjwa Kibiti wengi tu, na hatukupiga kelele, tumeviachia vyombo vinalishughulikia.



“Mimi nilikuwa kwenye kampeni za uchaguzi mdogo pale Kinondoni, nani hajui kama mlikuwa mnasema kwamba watu waandamane na mbebe majeneza mia mbili?  Ungekuwa wewe serikali ungeacha watu waandamanae wafe? Tuviachie vyombo vifanye kazi yake, hata mimi nilifanya kosa na niliwekwa ndani. Hawa wakorofi wakifanya makosa wawekwe magerezani, unamuona Lema sasa hivi kidogo amekuwa binadamu.”

Kikwete Apewa Tuzo ya Africa House Presidential Award Nchini Marekani

$
0
0
Kikwete Apewa Tuzo ya Africa House Presidential Award Nchini Marekani
Aliyekuwa rais wa awamu ya Nne wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete amekabidhiwa tuzo na chuo kikuu cha mjini New York, Marekani.



Dkt. Kikwete amekabidhiwa tuzo hiyo Africa House Presidential Award usiku wa Jumatano hii nchini humo.

Mhe. Kikwete amethibitisha hilo kupitia mtandao wake wa Twitter kwa kuweka picha hizo akikabidhiwa tuzo hiyo na kuandika, “The Africa House of the @nyuniversity awarded me with the Africa House Presidential Award this night.”



“I am grateful for this recognition. I dedicate it to all my fellow country men and women whose love and support for me has made me receive this award tonight,” ameongeza.



Wanawake Kuweni Makini na Wanaume Kwenye Mapenzi ni Waongo Sana- Dogo Janja

$
0
0
Wanawake Kuweni Makini na Wanaume Kwenye Mapenzi ni Waongo Sana- Dogo Janja
Msanii Dogo Janja ambaye anaendelea kutrend kwenye mitandao baada ya ndoa yake na muigizaji wa filamu bongo Irene Uwoya, amewataka wanawake kuwa makini na wanaume kwani ni watu ambao sio wakweli kabisa.


Akizungumza kwenye kipindi cha DADAZ kinachorushwa na East Africa Television, Dogo Janja amesema wanaume wengi hutumia uongo ili kuwanasa wanawake, hata kufikia hatua ya kujitangazia mali ambazo hana uwezo wa kumiliki.

“Unajua vijana wengi kwenye mapenzi ni waongo, hususan wanaume ni waongo sana, ogopa sana yule mwanaume ambaye anakufuata na magari, heshimu yule anayekufuata na mguu anakanyagia, yuko real, anakueleza mimi nakupenda, uwezo wangu mimi ni hivi, huenda nikapata huenda nikakosa, tofauti na yule anakuja anakuchukua anakupeleka huku, anakununulia wigi la laki nane, mwisho ataanza kukopa kopa atakuongopea”, amesema Dogo Janja.

Dogo Janja amesema hata yeye moja ya kigezo cha kumpata mke wake ambaye ni mmoja ya waigizaji warembo bongo, alikuwa muwazi na mkweli, na kumwambia kabisa hana uwezo mkubwa kipesa.

Waziri Majaliwa Awaonya Wabunge

$
0
0
Waziri Majaliwa Awaonya Wabunge
Serikali ya Tanzania kupitia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Wabunge na viongozi wengine kuacha tabia ya kuingiza siasa kwa watu wanaoishi mabondeni kwa kuwatetea kutohama maeneo hayo jambo ambalo linawapelekea kupata madhara pindi mvua kubwa zinaponyesha kama ilivyo sasa.

Waziri Majaliwa ametoa kauli hiyo leo Aprili 19, 2018 Bungeni jijini Dodoma kwenye kikao cha 13 mkutano wa 11 wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati akijibu swali la Mbunge Abdalla Mtolea ambapo alitaka kujua serikali ina mpango gani wa kuhakikisha madhara yanayojitokeza katika jiji la Dar es Salaam na mvua kudhibitiwa?

"kupitia Manispaa za jiji la Dar es Salaam na serikali yake kupitia wizara zake zinazo mipango ya kuboresha miundombinu katika miji yetu katika makao makuu ya mikoa na maeneo yote yale yanayokaliwa na watu wengi ikiwepo DSM. Tunayo miradi sasa ambayo itaweza kuboresha miundombinu ikiwepo na bonde la Msimbazi ambalo linaleta madhara mengi...

Mara kadhaa tumeshuhudia mvua hizi zinapoleta madhara kwa wale walioko mabondeni pamoja na serikali kuwaambia waondoke mabondeni tumekuwa tukiingilia sana utendaji kwa kuingiza siasa za kuwataka watu wabaki huku wengine wakijafanya wanawaonea huruma na kushindwa kutoka katika mabonde kutokana na utetezi unaotoka kwa watu wenye mapenzi yao binafsi", amesema Majaliwa.

Waziri Mkuu ameendelea kwa kusema..

"Nitoe wito kama ambavyo tunaendelea kutoa wito na Waheshimiwa Wabunge kupitia Bunge hili tuwasii watanzania na kuwataka wote wanaoishi mabondeni wahame kwasababu mvua hizi zinapokuja wanapata madhara makubwa na hatimaye sasa hata katika kuwaokoa inakuwa shida. Kwa hiyo ni vizuri sasa tukashirikiana".

Pamoja na hayo, Majaliwa ameendelea kwa kusema "serikali kwa upande wake inaanda fedha kuhakikisha kwamba ile miundombinu ya mabonde ina boreshwa ili maji yaweze kupita kwa ulaini. Lakini watu waliokaa katika mabonde na yale maeneo yote waliyokataziwa waanze kuondoka mapema ili wasiweze kupata madhara pindi mvua nyingi zinapojitokeza".

Kwa upande mwingine, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewapa pole wananchi wote walioweza kupata maafa ya aina yeyote yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha nchini

Mzazi Mwenzie Alikiba Atoa Maneno Mazito " Nenda Somo Yangu Usiniangushe Mimi Leo Naenda Kama Mama K"

$
0
0
Mzazi Mwenzie Alikiba Kuhudhulia Harusi ya X- Wake
Mzazi mwenzie na msanii Alikiba Devotha ambaye amezaa naye mtoto wa kiume anayefahamika zaidi kwa jina la Unju amefunguka mazito katika siku maalum ya msanii Alikiba ambaye anaoa leo April 19, 2018 na kuonyesha jinsi gani yeye ametoa baraka kwa Alikiba kuoa.

Mama Unju amesema kuwa yeye atahudhuria katika harusi hiyo ila anakwenda kama mama wa Alikiba na kudai kuwa msanii huyo amekuwa baba bora siku zote na kumtakia aendele hivyo hivyo hata baada ya kuoa.

"Leo ni siku yako maalum Kiande wangu, rafiki yangu na baba bora Alikiba, baba usiniangushe somo yako. Mungu akusimamie katika ndoa yako. Mimi leo naenda kama Mama K, ukawe mume bora na ujali familia zote, nenda mwanangu" alimalizia Mama Unju.

Ndoa ya msanii Alikiba inafanyika nchini Kenya katika mji wa Mombasa leo April 19, 2016 ambapo msanii huyo atachukua jiko lakini pia inategemewa kufanyika sherehe nyingine nchini Tanzania siku za karibuni ndani ya mwezi huu.

Babu Seya na Familia Yake Watinga Bungeni

$
0
0
Babu Seya na Familia Yake Watinga Bungeni
MWANAMUZIKI nguli wa dansi, Nguza Viking ‘Babu Seya’ na watoto wake ambao ni Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ na Francis Nguza, leo Alhamisi, Aprili 19, 2018 wametembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mjini Dodoma baada ya kualikwa na Mbunge wa Viti Maalum CCM, Mariam Ditopile.

Babu Seya na familia yake, walishangiliwa na Bunge zima baada ya kutambulishwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai,   baada ya kipindi cha maswali na majibu kumalizika bungeni humo.

Wanamuziki hao walikuwa ni miongoni mwa wafungwa 8,157 waliosamehewa na Rais John Magufuli siku ya maadhimisho ya sherehe za uhuru wa Tanganyika, Desemba 9, 2017 zilizofanyika mjini Dodoma.

Trump Atishia Kujiondoa Katika Mazungumzo na Kim Jong un

$
0
0
Trump Atishia Kujiondoa Katika Mazungumzo na Kim Jong un
Rais wa Marekani Donald Trump anasema kuwa iwapo mazungumzo yake na kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong un hayazai matunda 'atainuka na kuondoka katika mazungumzo hayo'.

Katika mkutano wa pamoja na vyombo vya habari, yeye na waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe walisema kuwa shinikizo dhidi ya Korea Kaskazini ni sharti iendelee kwa kukataa kusitisha utengezaji wa silaha za nyuklia.

Bwana Abe yuko katika mgahawa wa rais Trump wa Mar-a-Lago resort mjini Florida kwa ,mazungumzo.

Mapema , bwana Trump alithibitisha kwamba mkurugenzi wa CIA Mike Pompeo alifanya ziara ya kisiri hadi Korea Kaskazini ili kukutana na Kim Jong Un.

Alisema kuwa bwana Pompeo aliweka uhusiano mzuri na bwana Kim ambaye bwana Trump alimuita 'mtu mdogo' na kwamba mkutano wao ulifanyika vizuri.

Ziara hiyo iliadhimisha mawasiliano ya juu kati ya Marekani na Korea Kaskazini tangu 2000.

Mkutano huo kati ya Trump na bwana Kim unatarajiwa kufanyika kufikia mwezi Juni. Maelezo ikiwemo eneo litakaloandaa mkutano huo bado yanaendelea kufanyiwa kazi.

Rais Trump alisema katika mkutano wa pamoja kwamba iwapo anadhani kwamba mkutano huo hautafanikiwa basi hatoshiriki na kwamba iwapo mkutano huo umefanyika na haoni matunda yake basi atasimama na kuondoka.

''Kampeni yetu ya shinikizo itaendelea hadi pale Korea Kaskazini itakapositisha utengezaji wa silaha za Kinyuklia'', aliongezea.



Hatimaye Imetimia Alikiba Afunga Ndoa Asubuhi Mjini Mombasa

$
0
0
Hatimaye Imetimia Alikiba Afunga Ndoa Asubuhi Mjini Mombasa
NI FURAHA ILIYOJE! STAA wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’, amefunga ndoa na mchumba wake Amina Khalef, leo asubuhi, Aprili 19, mjini Mombasa nchini Kenya.


Hakika ni furaha, shangwe, nderemo na vifijo kwa maharusi, wanafamilia na mashabiki wa Kiba mara baada ya ndoa hiyo kufungwa katika msikiti wa Ummul Kulthum, mjini Mombasa.


Katika shughuli hiyo ya kihistoria kwa msanii huyo, Kiba ameandamana na mdogo wake, Abdul Kiba na na rafiki yake ambaye ni Gavana wa Mombasa, Hassan Joho ambaye ndiye amesimamia mipango yote ya harusi hiyo nchini humo.


Ilikuwa ni baada Koran kusomwa, na Sheikh Mohammed Kagera akakinyanyua kiganja cha Alikiba na kumuozesha kwa Amina Khalef.

“Mimi Ali Saleh nimekubali kumuoa Amina Khalef kwa mahari tuliyokubaliana na ikitokea sababu ya kuachana tuachane kwa wema,” amesema Kiba wakati akifunga ndoa yake.


Katika shughuli hiyo, Kiba alivaa joho na kilemba, alishika upanga kama desturi ya tamaduni ya zinavyomtaka na baada ya kutoka msikitini waalikwa wamekwenda nyumbani kwa ndugu wa Joho, Abu Joho, Kizingo.

Kimenuka Tena: Diamond na Nandy Waitwa TCRA Kuhojiwa

$
0
0
Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz na  msanii Faustina Charles ‘Nandy’ leo wamefika Mamlaka ya Mawasiliano kuhojiwa kuhusu video zao za chumbani zilizosambaa kwenye mitandao.

Wasanii hao walishakamatwa na kuhojiwa na polisi lakini wakaachiwa kwa dhamana.

 VIDEO:
Source:GPL

Ali Kiba Afunguka Sababu za Kuoa Mrembo wa Kenya

$
0
0
STAA wa Bongo Fleva, Alikiba ‘King Kiba‘ amefunguka na kusema kwamba, yeye alinusa tu na akajikuta amempenda binti mrembo Amina Khaleef kutoka Mombasa ambaye leo, Aprili 19, 2018, amefunga naye pingu za maisha.

 “Wanasemaga macho hayana pazia na moyo hauna macho, lakini mimi moyo wangu umenusa tu mpaka huku, sijaweza kuona lakini moyo wenyewe ndiyo umependa, nipo Tanzania, ningeonaje huku Kenya? Moyo ndiyo umependa.
“Nimejiona nimetimiza umri, ni wakati wangu kuwa na mke, maisha ndiyo haya haya kinachotakiwa ni kupigana nayo ili uweze kuishi vizuri,” alisema Kiba.

Kiba na Amina wamefunga ndoa katika msikiti wa Ummul Kulthum, mjini Mombasa leo Asubuhi ambapo tukio hilo limeshuhudiwa pia na ndugu na marafiki zake wa karibu.



Aidha, Kiba amesema ameamua kufunga ndoa yake siku ya leo kwani siku kama hii ndiyo wazazi wake walifunga ndoa yao miaka kadhaa iliyopita.

Romy Jons Amuomba Radhi Baraka the Prince Baada ya Chat Akimtongoza Demu wake Kuvuja

$
0
0

Romy Jons ambaye ni Dj wa Diamond Platnumz amemuomba msamaha Barakah The Prince na mpenzi wake Naj kwa yale yaliyojitokeza siku chache zilizopita.

Romj alituhumiwa kumtongoza Naj kupitia DM ya Instagram huku akionekana kumkashfu Barakah wakati akimpa maneno matamu mrembo huyo.

DJ huyo ameowaomba radhi wawili hao kupitia mtandao wa Instagram kwa kuandika:

NICHUKUE FURSA HII KUMUOMBA RADHI MSHKAJI,RAFIKI,NDUGU YEYE PAMOJA NA MPENZI WAKE KAMA NIMEWAKWAZA KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE,NISINGEPENDA HAYA MALUMBANO YAENDELEE KWA SISI KAMA VIJANA INATUPASA TUKAE TUPANGE TUNAWEZAJE KUJIKWAMUA NA HUU UMASIKINI NA SANAA YETU KWA UJUMLA!!!!PIA NIOMBE RADHI KWA FAMILIA YANGU,NDUGU ZANGU,MARAFIKI ZANGU NA MASHABIKI ZANGU KWA UJUMLA KWA LOLOTE LILILOJITOKEZA!!! MUNGU ATUONDOLEE UADUI NA TUENDELEE KUFANYA KAZI INSHAALLAH

Siku ya jana pia Romy alimuomba msamaha mkewe kutokana na tukio hilo ambalo lilionekana kuelekea kuvunja ndoa yake.

Picha: Kinachoendelea Kwenye Ukumbi Utakakaofanyika Harusi ya Alikiba

$
0
0
Picha: Kinachoendelea Kwenye Ukumbi Utakakaofanyika Harusi ya Alikiba
Msanii Alikiba amefunga ndoa na mpenzi wake, Aminah Rikesh leo April 19, 2018 mjini Mombasa nchini Kenya. Hapo baada inatarajiwa kufanyika sherehe kubwa katika ukumbi wa Diamond Jubilee, hizi ni baadhi ya picha kwa kile kinachoenddelea ukumbini hapo.

 

ACT Wazalendo Wamjibu Polepole Kuhusu Sakata la Upotevu wa Trillioni 1.5 ya Ripoti ya CAG

$
0
0
ACT Wazalendo Wamjibu Polepole Kuhusu Sakata la Upotevu wa Trillioni 1.5 ya Ripoti ya CAG
Chama cha ACT Wazalendo leo Aprili 19, 2018 kimemjibu Katibu wa Itifaki na Uenezi wa CCM, Humphrey Polepole kuhusu sakata la upotevu wa trilioni 1.5 kama ilivyoeleza ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa kutolea ufafanuzi juu ya pesa hizo.


Akiongea na Waandishi wa Habari katika ofisi za chama hicho Kijitonyama, jijini Dar es salaam, Ado Shaibu amesema kuwa Polepole amejikuta akizungumza masuala ya muhimu kwa kuingiza propaganda ili ACT Wazalendo waanze kujibizana naye lakini hilo hawatafanya wataendelea kuhoji hela zilikopotea.

Hata hivyo,  Ndg. Shaibu amesema ACT Wazalendo wamekuja na hoja tano jinsi ya kuwadhibiti  CCM ambao kwa maelezo yao wanataka kuzima sakata upotevu wa trilioni 1.5 kwa kuleta hoja nyepesi nyepesi za upotoshaji.

Juzi jumapili, Aprili 15, 2018, sisi ACT Wazalendo tulifanya uchambuzi wa
awali wa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG),
ya ukaguzi wa mapato na matumizi ya fedha za umma kwa mwaka
2016/17. Tunafurahi kuwa uchambuzi wetu juu ya masuala 8 ya hatari
kwenye taarifa ya CAG umepokelewa vyema, na umekuwa ni mjadala wa
kitaifa.
Katika masuala hayo 8 ya hatari tuliyoyaibua, suala la shilingi 1.5 trilioni
kutokujulikana zimetumikaje ndilo ambalo limegusa hisia za watanzania.
Kwa ujumla sehemu kubwa ya ufafanuzi wetu utajikita kwenye hoja hii, kwa
sababu ndiyo hoja iliyogusa zaidi hisia za watu, hivyo hata upotoshaji na
uzushi umefanyika zaidi kwenye hoja hii.
Aprili 15, ACT Wazalendo tulisema yafuatayo kuhusu jambo hili:
“6% ya Fedha zilizokusanywa na Serikali hazijulikani zilizokokwenda. Katika
ukaguzi wa Bajeti ya mwaka 2016/17, ambayo ni Bajeti ya kwanza ya
Serikali ya awamu ya tano, CAG ameonyesha kuwa kati ya Bajeti ya shilingi
29.5 trilioni iliyoidhinishwa na Bunge, Serikali iliweza kukusanya shilingi
25.3 trilioni tu kutoka vyanzo vyote vya kodi, vyanzo visivyo vya kodi,
mikopo ya ndani na nje, na misaada ya wahisani na washirika wa
maendeleo. Serikali ilishindwa kukusanya kiasi cha shilingi 4.2 trilioni, sawa
na 15% ya Bajeti yote ya mwaka 2016/17. Jambo la kushtusha na
linalohitaji majibu ya Serikali ni kwamba, CAG amegundua kuwa katika
fedha zote zilizokusanywa, shilingi 25.3 trilioni, ni shilingi 23.8 trilioni tu ndio
zilitolewa kwa ajili ya mishahara ya watumishi, matumizi mengine, matumizi
ya maendeleo na kulipa madeni yatokanayo na amana za serikali na riba.
Shilingi 1.5 trilioni zilizobaki hazijulikani zimekwenda wapi. Fedha hii
ambayo matumizi yake hayajulikani ni sawa na 6% ya Fedha zote
zilizokusanywa mwaka huo. Matrilioni haya ambayo Serikali imeyapoteza ni
zaidi ya mara mbili ya Bajeti ya Wizara ya Maji ya mwaka husika (672
bilioni)”.
Jana, Katibu Mwenezi wa CCM alizungumza nanyi wanahabari, ambapo
ukiacha matusi, kejeli, vitisho na kashfa, sehemu kubwa ya mkutano wake
ulijikita kwenye hoja hii. Maelezo yake ni kuwa shilingi 25.3 trilioni ni mapato
ghafi ya Serikali, yakiwa na fedha za Zanzibar shilingi 203.92 bilioni, pamoja
na Hela Tarajiwa (Receivables) shilingi 687.3 bilioni. Na hivyo basi, mapato
2
halisi ya Serikali yalikuwa ni shilingi 24.4 trilioni. Zaidi akifafanua kuwa CAG
alikuta matumizi ya shilingi 23.79 kwa sababu Serikali haikuwa imepokea
fedha zake za hati fungani iliyoiva, kiasi cha shilingi 697.85 bilioni.
Mahesabu haya yaliyotolewa na msemaji wa CCM ndio msimamo rasmi wa
chama hicho, na hivyo ndio msimamo rasmi wa Serikali ya chama hicho. Na
hivyo basi ni dhahiri kuwa chama hicho kinaikataa taarifa ya CAG,
kimeamua kufanya upotoshaji mkubwa, na kuwahadaa watanzania juu ya
ziliko shilingi 1.5 trilioni zao.
Hoja 6 za Ufafanuzi juu ya Upotoshaji wa CCM:
1. Chama Kidogo kama ACT Wazalendo Kinaweza Kufanya
Uchambuzi wa Ripoti ya CAG?
Mwenezi wa CCM ameeleza kuwa ACT Wazalendo ni chama kidogo,
chenye mbunge mmoja, hivyo hakina uwezo wa kufanya uchambuzi wa
ripoti ya CAG. Hoja hii ni dhaifu, na ni dhihaka ya kututoa kwenye mstari,
maana pia haelezi kuwa ili chama cha siasa kichambue ripoti ya CAG
kinapaswa kiwe na ukubwa kiasi gani na kiwe na wabunge wangapi, na
hasemi kwamba masharti hayo anayoyaweka ni kwa mujibu wa sheria gani
ya nchi!
Uchambuzi wa ripoti za CAG ni suala la kitaalam zaidi, hauna mahusino
kabisa na udogo au ukubwa wa chama cha siasa, au hata idadi ya wabunge
wake. Ili mtu, au kikundi cha watu (Chama cha Siasa) afanye/kifanye
uchambuzi wa ripoti ya CAG, yanahitajika mambo matatu muhimu, mosi ni
Weledi (Proffesionalism), pili ni Ujuzi (Skills), na tatu ni Uzoefu
(Experience). Hivyo uchambuzi wa ripoti hii si zao la ukubwa wa chama
wala idadi ya wabunge.
ACT Wazalendo tumekuwa chama pekee nchini, chenye utamaduni wa
kuchambua Bajeti Kuu ya Taifa pamoja na kutoa mapendekezo ya
maboresho yake. Tumefanya uchambuzi wa bajeti kuu zote mbili za Serikali
ya awamu ya 5, kiasi cha Serikali (kwa khofu) tu mwaka jana kuvamia na
kupiga marufuku mkutano wetu wa uchambuzi wa Bajeti. Hivyo ni dhahiri
kuwa tunao uwezo wa kuchambua ripoti hii ya CAG, kiasi cha kukhofiwa na
Serikali. Na sasa kukhofiwa na chama kinachoongoza Serikali (kikiomba
Polisi waje kutukamata).
Kiongozi wa Chama chetu, ndugu Zitto, ambaye aliongoza timu iliyofanya
uchambuzi wetu juu ya ripoti ya CAG, ni Mchumi Mweledi kitaaluma, ana
Ujuzi wa kutosha juu ya masuala ya Uchumi na Ukaguzi kutoka kwenye
vyuo mbalimbali nchini na vya nje ya nchi, na ana uzoefu wa miaka 8 wa
kuchambua taarifa za CAG kwa kuwa ameongoza Kamati za Bunge za
usimamizi wa hesabu za Serikali za POAC na PAC kwa miaka hiyo 8. Sifa
zote hizo zinatupa hadhi na heshima stahiki sisi ACT Wazalendo, pamoja
na kuwa chama kidogo tu chenye mbunge mmoja, kufanya uchambuzi wa
ripoti ya CAG.
3
2. Ukaguzi wa CAG ulihusu fedha ZILIZOKUSANYWA. Si Mapato
Ghafi wala Fedha Tarajiwa (Receivables).
Katika Kitabu cha Hesabu za Serikali Kuu, CAG ameonyesha kuwa
amekagua fedha za Makusanyo ZILIZOKUSANYWA na Serikali, na sio
Fedha zilizotarajiwa kukusanywa na Serikali, au Mapato GHAFI kama
alivyodai mwenezi wa CCM. CAG ameonyesha kuwa kwa mwaka 2016/17
Serikali ilipanga kukusanya shilingi 29.5 trilioni kutoka kwenye vyanzo vya
mapato yote; ya kodi, yasiyo ya kodi, mikopo ya ndani, pamoja na mikopo
ya nje na misaada ya wahisani (Ukurasa Na. 29 – Jedwali Na. 12:
Mchanganuo wa Bajeti ya Makusanyo).
CAG ameonyesha kuwa Serikali ilikusanya shilingi 25.3 trilioni, na
kushindwa kukusanya shilingi 4.2 trilioni, sawa na 14.33% ya Bajeti yote ya
mwaka 2016/17. (Uk. wa 30 na 31: Muhtasari wa Ukusanyaji wa Mapato ya
Fedha Zilizotolewa). Fedha hizi zilizokusanywa (shilingi 25.3 trilioni), CAG
aliziona, kwa kuwa ziliingia kwenye Hesabu Jumuifu za Taifa (Consolidated
Accounts).
CAG ameonyesha kuwa Serikali iliweza kukusanya shilingi 25.3 trilioni
kutoka vyanzo na mchanganuo ufuatao; vyanzo vya kodi (14.27 trilioni)
vyanzo visivyo vya kodi (2.072 trilioni), mikopo ya ndani (5.916 trilioni) na
mikopo nje, na misaada ya wahisani na washirika wa maendeleo (3.047
trilioni). Hayo yapo Ukurasa wa 32 (Kielelezo Na. 6: Mwenendo wa Mapato
ya Serikali kwa miaka minne).
Kwa ushahidi huo, utaona kuwa hakuna Fedha Ghafi kama ilivyo
propaganda ya mwenezi wa CCM, bali CAG alikagua fedha ambazo Serikali
imeshazikusanya. Na Serikali yenyewe imetoa ushahidi wa nyaraka juu ya
namna ilivyozikusanya fedha hizo, na CAG ameziona katika hesabu
jumuifu. Hivyo basi, katika shilingi 25.3 trilioni zilizokusanywa hakuna fedha
tarajiwa (receivables), na pia hakuna fedha ghafi.
3. Hakuna Fedha za Serikali ya Zanzibar, Zingekuwepo
Zingeripotiwa.
Mwaka wa fedha wa 2016/17 ulianza Julai 1, 2016 na kuisha Juni 30, 2017.
CAG hutoa muda wa miezi mitatu kwa taasisi zinazokaguliwa, ili ziweze
kurekebisha vitabu vyake vya hesabu na kuviandaa vyema kabla hajaanza
kuvikagua. Serikali Kuu iliwasilisha hesabu zake kwa CAG mwishoni mwa
Septemba, 2017, miezi mitatu tangu mwaka wa fedha wa 2016/17 uishe,
ikionyesha namna ilivyokusanya fedha, kiasi cha fedha zilichokusanywa,
kiasi cha fedha zilizotumika, na namna fedha hizo zilivyotumika.
CAG alifanya ukaguzi wake kuanzia mwezi Oktoba, 2017, na alifanya kikao
na taasisi alizozikagua (exit meeting), ili kufafanua hoja zilizoibuliwa kwenye
ukaguzi husika, Januari, 2018. Katika nyakati zote hizo, Serikali Kuu, kwa
barua na kwa nyaraka, haikuonyesha kuwa kuna fedha zozote za Zanzibar
ambazo imezikusanya na hivyo hazipaswi kuwemo katika makusanyo ya
shilingi 25.3 trilioni.
Kama kuna fedha za Zanzibar, Serikali ilikuwa na miezi mitatu ya
kuzionyesha (Julai – Septemba, 2017), na pia ilipata wasaa wa kukutana na
4
CAG kwenye kikao cha kujadili hoja alizoziibua (Exit Meeting), mwezi
Januari, 2018. Nyakati zote hizo, Serikali imeonyesha namna imezikusanya
shilingi 25.3 trilioni, kwa uwazi, na hakuna mahali imesema kuwa kuna
fedha za Zanzibar. Mwenezi wa CCM anapingana na Serikali yake?!
4. Hati Fungani za Serikali zimekaguliwa na CAG
CAG ameeleza yafuatayo katika ripoti yake; “Kati ya shilingi 23.5 trilioni
zilizokusanywa, shilingi 23.79 trilioni ndizo zilizotolewa kwaajili ya
mishahara ya watumishi, matumizi mengine, matumizi ya maendeleo na
fedha kwa ajili ya kulipa madeni yatokanayo na amana za Serikali pamoja
na riba”. (Uk. wa 34: Uchanganuzi wa Makadirio ya Mapato ya Kugharamia
Matumizi).
Kwa mujibu wa CAG, Serikali imeonyesha nyaraka za hati fungani zote
ilizouza (katika eneo la mikopo ya ndani, ambapo Serikali ilikopa bilioni 500
zaidi ya fedha ilizoomba kukopa na kuidhinishiwa na Bunge), shilingi 5.9
trilioni (ikiwa imeomba ruhusa ya kukopa shilingi 5.4 trilioni), na pia Serikali
ameonyesha kiasi cha madeni ya amana na riba ambacho imelipia kwenye
hati fungani hizo (Uk. 34 Ripoti ya CAG juu ya Serikali Kuu).
Labda tu mwenezi wa CCM haelewi ‘Hati Fungani’ ni nini. Ndio maana
anaropoka tu kuwa Serikali inasubiri hati fungani zake ziive ili iweze kulipwa
shilingi 697.85 bilioni zake. Kwanza Serikali ndio huuza hati fungani, watu,
makampuni, mabenki, taasisi na asasi ndio hununua hati fungani, na
zinapoiva hizo hati fungani, Serikali ndio hulipa amana na riba za iliowauzia
hati fungani. Sasa mwenezi wa CCM hajui hata jambo hili rahisi kuhusu
masuala ya kibenki?
Serikali hupata sehemu kubwa ya mikopo ya ndani kwa utaratibu wa kuuza
hati fungani, na hulipia hati fungani hizo (zilizoiva) kwa utaratibu wa kulipa
amana na riba. CAG ameonyesha namna mikopo ya ndani ilivyopatikana
kupitia hati fungani, na pia amefafanua namna madeni ya riba na amana za
hati fungani zilizoiva yalivyolipwa.
5. CCM na Serikali yake Hawaaminiki
Kutokana na ufafanuzi huo tulioutoa, mtaona kuwa CCM, kama ilivyo kwa
CAG, nao wanakiri kuwa Serikali ilikusanya shilingi 25.3 trilioni, na ikatumia
shilingi 23.8 trilioni, na kuonyesha kuwa, kama ilivyo kwa CAG, nao wanakiri
pia kuwa shilingi 1.5 trilioni hazionekani ziliko. Wao wamekwenda mbele
zaidi tu kwa kuamua kufanya propaganda zenye lengo la kuuhadaa umma
kwa kutengeneza sababu na matumizi hewa juu ya fedha hizo (Fedha za
Zanzibar, Receivables na Hati Fungani). Wao na Serikali yao wametuhadaa
mno, hawapaswi kuaminiwa tena na Watanzania.
Uchambuzi wetu juu ya ripoti ya CAG uliibua masuala 48, tuliamua kwanza
kuyaainisha yale masuala 8 ya hatari tuliyoyasema Aprili 15, 2018 kwa
sababu ya unyeti wake dhidi ya haya masuala mengine 40 yaliyobakia.
Masuala hayo 48 yatokanayo na ripoti hii ya CAG ni taswira juu ya udhaifu
wa Serikali ya awamu ya 5 katika kuongoza nchi yetu.
CAG ametuonyesha mapungufu makubwa mno ya Serikali, ameonyesha
hadaa za hali ya juu za Serikali, kufikia kiasi cha cha kupika takwimu na
kutangaza mapato feki ya kodi yanayokusanywa na TRA ili ipate sifa tu
5
kuwa inakusanya mapato zaidi, wakati ni kinyume na ukweli. Zaidi ripoti ya
CAG imetuonyesha namna maamuzi ya kukurupuka ya Serikali yanavyolitia
hasara Taifa.
Nitatoa mfano mmoja kwenye eneo hili, kwa mwaka mmoja tu wa Serikali
ya awamu ya 5, hasara linayoipata Shirika la Umeme nchini, TANESCO
imepanda kwa zaidi ya mara 2, ukuaji wa deni kwa mwaka mmoja tu ni zaidi
ya 175%, kutoka hasara ya shilingi 124.46 bilioni, chini ya Serikali ya
awamu ya 4, mpaka hasara ya shilingi 346.40 bilioni za Serikali hii ya
awamu ya 5.
Mapendekezo ya ACT Wazalendo ni yapi?
-Tumemwandikia Barua Spika wa Bunge, Kuomba Uchunguzi Maalum wa
Jambo hili
Sasa ni dhahiri kuwa fedha za watanzania, shilingi 1.5 trilioni, hazijulikani
ziliko, CAG ameonyesha jambo hilo kupitia ripoti yake, CCM, chama
kinachoongoza Serikali, nacho kimeonyesha hilo kupitia taarifa yake, zaidi
kimeonyesha hakina uwezo tena wa kuisimamia Serikali yake, kimeamua
kushiriki hadaa ili fedha zenu Watanzania zipotee. Hivyo basi vyama vya
Upinzani tunao wajibu wa kuhakikisha watanzania wanajua fedha zao
zimekwenda wapi.
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama chetu, ndugu Yeremia Kulwa Maganja,
amemuandikia barua Spika wa Bunge, ndugu Job Ndugai, kumuomba atoe
kibali kwa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali, PAC, ili ikutane, na
imuagize CAG afanye ukaguzi maalum juu ya zilikopelekwa fedha hizi. Ni
matarajio yetu kuwa Spika atazingatia ombi letu kwake, kwa sababu ya
unyeti wake kwa nchi yetu.
Tunatoa wito kwa watanzania wote, watokanao na vyama vyote vya siasa,
tuungane pamoja kupaza sauti juu ya jambo hili. Fedha hizi, shilingi 1.5
trilioni ni nyingi mno, zingeweza kutumika kukopesha shilingi 100 milioni
kwa kila kijiji katika vijiji 15,000 nchi nzima, na kutatua tatizo la ajira na mitaji
kwa vijana na kinamama, zingeweza kujenga hospitali 10 zenye hadhi kama
ya Mlongazila, na kutatua changamoto za sekta ya afya nchini. Zingeweza
pia kuwasomesha bure chuo kikuu, vijana wote wa Kitanzania wanaoomba
mikopo kwa sasa, kwa muda wa miaka minne mfululizo. Ni fedha nyingi
mno, tuungane kuhakikisha tunajua ziliko.
Ahsanteni Sana.
Ado Shaibu
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mawasiliano kwa Umma,
ACT Wazalendo,
Aprili 19, 2018.
Dar es Salaam.

Romy Jones Akubali Kosa Awaomba Radhi Baraka The Prince na Naj

$
0
0
Romy Jones Akubali Kosa Awaomba Radhi Baraka The Prince na Naj
Romy Jons ambaye ni Dj wa Diamond Platnumz amemuomba msamaha Barakah The Prince na mpenzi wake Naj kwa yale yaliyojitokeza siku chache zilizopita.

Romj alituhumiwa kumtongoza Naj kupitia DM ya Instagram huku akionekana kumkashfu Barakah wakati akimpa maneno matamu mrembo huyo.

Dj huyo ameowaomba radhi wawili hao kupitia mtandao wa Instagram kwa kuandika:

NICHUKUE FURSA HII KUMUOMBA RADHI MSHKAJI,RAFIKI,NDUGU YEYE PAMOJA NA MPENZI WAKE KAMA NIMEWAKWAZA KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE,NISINGEPENDA HAYA MALUMBANO YAENDELEE KWA SISI KAMA VIJANA INATUPASA TUKAE TUPANGE TUNAWEZAJE KUJIKWAMUA NA HUU UMASIKINI NA SANAA YETU KWA UJUMLA!!!!PIA NIOMBE RADHI KWA FAMILIA YANGU,NDUGU ZANGU,MARAFIKI ZANGU NA MASHABIKI ZANGU KWA UJUMLA KWA LOLOTE LILILOJITOKEZA!!! MUNGU ATUONDOLEE UADUI NA TUENDELEE KUFANYA KAZI INSHAALLAH

Siku ya jana pia Romy alimuomba msamaha mkewe kutokana na tukio hilo ambalo lilionekana kuelekea kuvunja ndoa yake.

Kutana na Mtabibu Mongwa Mganga wa Waganga...Sasa Anapatikana Mikoa Yote...

$
0
0
KUTANA NA MTABIBU MONGWA MGANGA WA WAGANGA SASA WAKO MIKOANI KARIBU YOTE NCHINI...
.
HIVYO WATATOA TIBA MAENEO YOTE YA MBEYA ,DODOMA, IRINGA , MOROGORO, MWANZA,ZANZIBAR
==>KWA WALE WENYE KUHITAJI TIBA
➖Husafisha nyota na kutoa Pete za bahati na kwawale walio sumbuka kwaajili ya matibabu na hawakufanikiwa chochote sasa njoo ujionee miujiza hapo kwahapo bila malipo yoyote malipo baada yakazi napia humpa mtu jini la mali kwayule anaye taka kumiliki bila mashariti yoyote
➖ tunatibu magonjwa mbalimbali yaliyo shindikana mpenzi aliye kukimbia nakumrudisha kwa masaa 24 tu napia natoa dawa za nguvu za kiume kuurefusha uume paka pale unapotaka .
➖natoa dawa za biashara na mvuto ==tunatoa dawa zauzazi kwa wale kina mama wenye matatizoya uzazi walio angaika kwa muda mrefu bila kupata mafanikio yoyote njoo umalize tatizo lako sasa
➖natoa mazindiko yanyumba na mwili biashara na mvuto kazini
➖ kupandisha nyota ili kungaa kupandishwa cheo kazini kurudisha mali zilizo pote zilizo ibiwa kuzulumiwa
➖kesi zilizo shindikana uzimaliza mara moja namengine mengi ya siri piga simu +255 764291657
+255 764291657
+255 764291657
+255 764291657

Nampenda Sana Jokate Mtu Akimsema Vibaya Naumia Sana- Haji Manara

$
0
0
Nampenda Sana Jokate Mtu Akimsema Vibaya Naumia Sana- Haji Manara
Mkuu wa Habari na Mawasiliano wa timu ya Simba, Haji Manara, amesema anavutiwa sana na mrembo Jokate Mwegelo kwasababu ni mtu anayependa kusikiliza na kupokea ushauri.


Akiongea katika kipidi cha KIKAANGONI April 18, 2018 kinachorushwa mubashara kupitia kurasa za kijamii ya EATV,  na kusema kwamba kati ya wanawake maarufu waliopo nchini anavutiwa zaidi na Jokate kuliko Wema Sepetu.

“Mimi ni mshabiki sana wa Jokate Mwegelo, nampenda sio kimapenzi niweke wazi ni rafiki yangu, kati ya wasichana maarufu, nampenda sana Jokate, inatokea tu hata Jokate akisemwa vibaya naumia, halafu anasikiliza ni aina ya mwanamke ambae hata kumshauri unasikia raha”, amesema Manara.

Manara amesema kuhusu kumuoa Wema Sepetu, ilikua ni utani ambao aliuweka kwa nia ya kusisitiza hoja yake kuhusu kubadilishwa kwa ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara

Sambamba na hayo Manara amekiri kwamba, Wema Sepetu, ni msichana mrembo na ni moja kati ya watu wenye nguvu na ushawawishi mkubwa na anaweza kutumika hata katika matukio makubwa ya nchi.

Kuwa supa na Instagram ya bure toka Vodacom kwa kununua kifurushi cha kuanzia buku tu.

Video:Makonda Atema Cheche kwa Wabunge Wanaokosoa Kampeni Yake "Faragha Ukiwa Chumbani ila Ukiitwa Kimbia Usisubiri Nikufate"

$
0
0
Makonda Atema Cheche kwa Wabunge Wanaokosoa Kampeni Yake "Faragha Ukiwa Chumbani
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema wale wote wanaosema kampeni yake ya kuwasaidia akina mama waliotelekezwa na watoto imevunja sheria, pengine wana watoto nje na wanaogopa kujitokeza.

Makonda ameyasema hayo leo Aprili 19, katika uzinduzi wa hospitali ya kisasa ya mama na mtoto iliyopo Chanika iliyojengwa kwa msaada wa Shirika Maendeleo la Kimataida la Korea (Koica).

“Eti wanasema navunja sheria, natakiwa nifanye faragha kama unataka faragha tunza mtoto. Mimi siogopi, nipo tayari kufungwa lakini kwa ajili wa kutetea haki za watoto. Pengine hao wanaosema navunja sheria wana watoto wao nje wanaogopa kujitokeza,” amesema.

Jana, Waziri wa Sheria na Katiba, Profesa Palamagamba Kabudi  akiwa bungeni alisema kampeni hiyo inaweza kuleta hali ya sintofahamu na akabainisha kuwa inapaswa kufanyika faragha na sio kama inavyofanyika sasa.

Awali, Waziri wa Afya, Jinsia, Wanawake na Watoto,  Ummy Mwalimu alisema kampeni hiyo ni sahihi ila kasoro yake ni kutokuwa na faragha, lakini akasema kwa sasa inafanyika huku picha za watoto zikifichwa.

Aliyeibua hilo bungeni jana alikuwa ni mbunge wa Ulanga, Goodluck Mlinga aliyehoji uhalali wa kampeni hiyo na akahoji kama haivunji sheria na kuwavunjia haki wanawake na watoto.



Esha Amfunda Mke wa Alikiba Jinsi ya Kuishi na Wabongo "Masikio Weka Pamba Wakikupa Habari Waambie Mbona Najua Mume Alishanambia"

$
0
0
Esha Amfunda Mke wa Alikiba  Jinsi ya Kuishi na Wabongo "Masikio Weka Pamba Wakikupa Habari Waambie Mbona Najua Mume Alishanambia"
Msanii wa filamu Bongo, Esha Buheti amemfunda mke wa Alikiba, Aminah Rikesh Ahmed wakati atakapo kuja Bongo na jinsi ya kuishi na watu wake.

Esha ambaye ni miongoni mwa watu wa karibu wa Kiba ambao wamesafiri mpaka mjini Mombasa kuhudhuria ndoa hiyo, ametumia mtandao wake wa Instagram kumfunda malkia huyo mpya wa Kariakoo.

Kupitia mtandao huo Esha Buheti ameandika:

ALHAMDULILLAH NDOA ISHAPITAA TUKUTANE KWENYE HALL USIKUU….. MASHALLAH MASHALLAH WIFI KARIBU NYUMBANI… UNAPOINGIAA KICHWA INAMISHA CHINI…MASKIOO WEKA PAMBAA…….WAKIKUPA HABARI WAAMBIE MBONA NAJUAA MUME ALISHANAMBIAAAA…..😆😆😆😆

Alikiba amefunga ndoa hiyo alfajiri ya leo April 19 katika msikiti wa Ummu Kulthummjini uliopo mjini Mombasa, Kenya.

Sakata Watoto Waliotelekezwa: Wabunge Wamjia Juu Makonda Wataka Achukuliwe Hatua

$
0
0
Sakata Watoto Waliotelekezwa: Wabunge Wamjia Juu Makonda Wataka Achukuliwe Hatua
Mbunge wa Ulanga Gudluck Mlinga ameitaka Wizara ya Katiba na Sheria kutoa ufafanuzi wa kisheria kuhusiana na zoezi linaloendeshwa na Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda la kuwatambua wakina baba waliowatelekeza watoto wao.

Akitoa hoja hiyo wakati wa kuchangia Bajeti ya Waziri wa Katiba na Sheria Mlinga amesema zoezi linaoendelea jijini Dar es Salaam linadhalilisha watu na halina staha katika jamii.

Aidha, baadhi ya wabunge wakapata fursa ya kuchangia hoja ya Mlinga na kutoa tahadhari. Waziri wa katiba na Sheria Prof. Paramagamba Kabudi na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu wakapata fursa ya kujibu hoja hizo za wabunge
Viewing all 104689 articles
Browse latest View live




Latest Images