Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104432 articles
Browse latest View live

VIDEO: Tazama Mwili wa Agness Masogange ukipelekwa Muhimbili

0
0
Video Queen maarufu wa Tanzania Agness Masogange amefariki dunia kwenye Hospitali ya Mama Ngoma Mwenge Dar es salaam leo, Wakili wake Reuben Semwanza amethibitisha… bonyeza play hapa chini kutazama Mwili wake ukipelekwa Muhimbili. R.I.P Agness

VIDEO:


Diamond, Wema Sepetu, Steve Nyerere wamlilia AGNESS MASOGANGE

0
0
Leo April 20,2018 simanzi kubwa imetawala kwenye tasnia ya muziki wa Bongo Fleva kupoteza video vixen maarufu Agnes Gerald “Masogange” na kwa upande wa mastaa ambao wameonyesha kuguswa na msiba huu ni pamoja na wanamuziki na waigizaji akiwemo Wema Sepetu, Diamond Platnumz,  Steve Nyerere, na wengine.

Aslay Isihaka ameweka picha ya Masongange na kuandika, “Dah mbele yako nyuma yetu sister, safari yetu moja innalillah wainnailah raajiun,”

Huku Naseeb Abdul maarufu ‘Diamond Platnum’ akiweka picha ya mishumaa na maneno, “Rest in paradise Agnes.”

Rajab Kahali ‘Harmonize’ ameweka picha ya Masongange na kusema, “God’s plan  R.I.P. Aggy.

Naye Steven Mengere 'Steve Nyerere’ ameweka picha tatu tofauti za Masogange na kuzungumzia kifo hicho akianza kwa kusema;

“Nimepokea taarifa ya kifo chako kwa mshtuko mkubwa sana. Masogange amka mama Masogange. Staki kuamini.”

Mcheza filamu, Wema Sepetu ameweka picha ya Masongange ikiambatana na maneno, “Innah lillah wa innah illah rajiun... Dah...!

Kutana na Mtaalam wa Matabibu ya nyota za Binadam na Bingwa wa Tiba za Asili Afrika Mashariki.

0
0
Je Wewe ni Mwanasiasi, Mfanyabiashara , Msani, ama mwanafunzi tunazo dawa na pete za bahati zenye uwezo mkubwa wakuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.

Kutana na SHABA WA SHABA kutoka Tanga,
Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki.
Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. Sasa amezianza ziyara zake za mikoani na atayatembeleye maeneo mbali mbali ndani na inje ya nchi.

Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nasiojulikana kwakutumia maji, Kioo na mitishamba.
Anazo dawa za mapenzi, kumrudisha alipoteya, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, kutoa ndagu , Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, Kuuza kwa haraka ( shamba, nyumba, Gari,...), Kesi mahakamani, Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na utajiri bila masharti na mengine mengi ya Siri...

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa nambari ya simu :
+255 785 358 267 ,
+255 785 358 267

Walichokiamua wasanii Bongo Movie Usiku Huu Kuhusu Mazishi ya Agness Masogange

0
0
Wasanii mbalimbali wa filamu na wa bongo fleva, wamekutana katika viwanja vya Leaders Club usiku huu  ili kujadiliana kuhusu utaratibu wa mazishi ya msanii anayepamba video za muziki (video queen), Agness Gerald maarufu Masogange.

Steve Nyerere amesema kuwa, Masogange anatarajiwa kuzikwa Mbeya na kuwa mwili utasafirishwa Jumapili wiki hii na kuzikwa Jumatatu.

Miongoni mwa wasanii waliofika Leaders leo ni pamoja na Chopa wa Mchopanga, Irene Uwoya aliyeambatana na mume wake, Dogo Janja na aliyekuwa mtangazaji wa Clouds Media Group, Zamaradi Mketema.

Kamati ya awali iliyoundwa, imemchangua Mchopanga kuwa katibu na Zamaradi kukusanya michango.

“Lakini tukipata taarifa kutoka kwa ndugu tutajua msiba utagharimu shilingi ngapi kwa sasa mahitaji makubwa ni mabasi mawili kwa ajili ya kusafirisha mwili, maturubai, vyakula na maji,” amesema Nyerere.

Benki ya Dunia yakubali kushirikiana na Serikali kutafuta ufumbuzi wa mafuriko Dar es Salaam

0
0
Benki ya Dunia (WB) imekubali kushirikiana na Serikali ya Tanzania katika kukabiliana na athari za mafuriko zinazosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha kila mwaka katika Jiji la Dar es Salaam na kuleta madhara makubwa hususan katika eneo la Jangwani jijini humo.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) wakati akizungumza na ujumbe wa Benki ya Dunia ulioongozwa na Mkurugenzi wa Benki hiyo kwa nchi za Tanzania, Somalia, Burundi na Malawi Bi. Bella Bird, katika mikutano ya kipupwe inayoendelea mjini Washington DC.

Dkt. Mpango amesema kuwa Benki ya Dunia imekubali kusaidia kukabiliana na mafuriko katika bonde la mto Msimbazi hasa katika eneo la  kutoka Magomeni Mapipa kwenda Faya  na tayari Benki hiyo imeanza  zoezi la kutafiti eneo la Jangwani ili kuweza kuangalia namna nzuri ya kugharamia uboreshaji wa  mifereji katika bonde la mto Msimbazi ili kumaliza kero hiyo kwa wananchi wa Dar es Salaam.

“Tumewaeleza Benki ya Dunia  changamoto hii ambayo imekuwa inajirudia kila mara na kusababisha upotevu wa maisha ya watu, kusababisha kufungwa kwa barabara, watu kushindwa kwenda kazini na wanafunzi kushindwa kwenda shule, hivyo wameonesha nia ya kumaliza kero hii kwa wananchi,” alisema Dkt. Mpango.

Amesema kuwa baada ya timu ya Benki ya Dunia kumaliza kufanya kazi yao kwa kushirikiana na Manispaa ya jiji la Dar es Salaam, Serikali inaamini njia ya kudumu itapatikana na kuondokana na tatizo hilo la mafuriko ya mara kwa mara katika eneo la Jangwani.

“Aggy Uliniambia Huwezi Kunipenda Nikikataa Kupima Ngoma”-Rammy Galis

0
0
Muigizaji Rammy Galis ni moja kati ya mastaa wa Bongo walionyesha kuguswa na kifo cha Agnes Masogange ambaye ni mpenzi wake wa zamani, Rammy Galis ametumia ukurasa wake wa instagram kuandika ujumbe ambao umemuumiza kutokana na taarifa hizi.

“Mkono umekuwa mzitoo hata kuandika maumivu niliyonayoo naona nashindwa . Dunia tambara mbovu , unadeki salama mchana usiku unakua mmbovu umenifunza mengi niliyokua siyajui , ulisema nishkuru mungu watu wakikupenda kwani adui haumjui”

“Miezi 11 tumeishi nashkuru ulinipeleka kupima ( Palestina ) , Nilitokwa na jasho ukanicheka ukaniambia huwez nipenda kama nikikataa kupima magazeti ya udaku walipotaka sababu sikuweza kuweka tofauti zetu hadharani kwani bado moyoni niliamini ipo siku Tungeweza Kumuepusha shetani . Tulikesha Usiku Na Mchana ili Ucheze Filamu Yetu Kwa hisia ” Ukasema Hii Iwe Kumbukumbu Yako Kama Niliwahii Hata Kwenye Kazi Zako Kukusaidia”
“Sasa kwanini filamu yetu tulitunga jina liitwe #HUKUMU ? Ilikuwaje Story ya filamu mwisho unafariki ? kwani tulikua tunatungia iwe kweli Hukumu yako ???? Mungu ndio hakimu wa viumbe vyote katika dunia , umeondoka ghafla sanaa , Na hii pia ni funzo umeniachia #PumzikaSalama #MileleNakuombea#RIPLOVE😢”

Marehemu Agness Masogange enzi za uhai wake aliwahi kuwa katika mahusiano ya kimapenzi na muigizaji Rammy Galis kwa kipindi kifupi kinachotajwa kufikia miezi 11 lakini baadae walachana na kutotaja sababu ya kuachana kwao.

Okoa Ndoa yako Sasa...Umepungukiwa na Nguvu za Kiume na Unashindwa Kupanda Mlima Vizuri

0
0
OKOA NDOA YAKO SASA : JE UMEPUNGUKIWA NA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO AU MPENZI WAKO HAKUTIMIZII UTAKACHO:


Acha kujiona mpweke pale ukutanapo na mpenzi au mke wako kwa sababu ya kutokuwa na nguvu za kiume au Uume wako mdogo

Dawa YA MAPRO POWERA ndio dawa sahihi na tiba tosha kwa sasa Kutibu tatizo na kuponesha kabisa tatizo LA KUWAI KUFIKA KILELENI KABLA MWENZI WAKO BADO AJAKOJOA

KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA NA MWILI KUCHOKA

UUME KUSINYAA NA KUWA LEGELEGE

KUUMWA NA TUMBO WAKATI UNAPOMALIZA KUFANYA TENDO

Dawa hii utumiwa ata na wazee wenye umri mkubwa na haina madhara yoyote

MAKAKANUA HII NI dawa ya maumbili madogo urefusha na kunenepesha saizi upendayo saiz 5-6-7-8 na unene sm 3-4-5 kwa mini huabiki kwa kuwa na UUME mdogo wai sasa upate tiba sahihi kabisa na ni tofauti na ulizowai kutumia :

Tunarudisha mke au mpenzi ndani ya masaa matatu tu zipo dawa za presha kisukali vidonda vya tumbo korodani iliyovimba dawa za uzazi tunapunguza matiti makubwa kitambi na mwili mkubwa dawa zipo FIKA OFISINI KWANGU MBAGALA ZAKHEMU KWA WATEJA AMBAO AMTAKUWA NA NAFASI YA KUJA OFISINI AU MLIO MKOANI MTALETEWA p

Piga simu 0743362017 au 0789234653

DR AGU

Makocha 7 Wanaotajwa Kuchukua Nafasi ya Wenger

0
0
Pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Arsenal Ivan Gazidis, kusema timu hiyo bado haijaanza mchakato wa kumpata mrithi wa kocha Arsene Wenger lakini tayari majina kadhaa yameanza kutajwa kuziba nafasi hiyo.

Gazidis ameweka wazi kuwa mchakato huo utakapoanza utaongozwa na yeye mwenyewe, mkuu wa mahusiano ya soka Raul Sanllehi na Afisa mwajiri wa klabu Sven Mislintat.

Kocha wa zamani wa Borussia Dortmund Thomas Tuchel, anatajwa zaidi kuchukua nafasi ya mzee Wenger ambaye amekaa klabuni hapo kwa miaka 22. Kocha mwingine ni Carlo Ancelotti pamoja na Massimiliano Allegri ambaye ni kocha wa Juventus.

Mbali na hao imeelezwa kuwa Mkurugenzi  Gazidis ana uhusiano wa karibu na nahodha wa zamani wa timu hiyo Mikel Arteta ambaye kwasasa ni msaidizi wa Pep Guardiola kwenye kikosi cha Manchester City.

Orodha hiyo haijakamilika bila jina la nyota wa zamani wa timu hiyo Thierry Henry ambaye naye anatajwa miongoni mwa wanaoweza kuchukua nafasi ya Wenger. Makocha wengine ni kocha wa zamani wa Barcelona Luis Enrique na kocha wa Hoffenheim Julian Nagelsmann.


Amber Lulu Afunguka Kuhusu Kuolewa

0
0
Amber Lulu Afunguka Kuhusu Kuolewa
Msanii wa Muziki Bongo, Amber Lulu amefunguka kuhusu mipango yake ya kuolewa.

Muimbaji huyo ambaye yupo katika mahusiano na rapper Prezzo kutoka nchini Kenya, amesema ndoa ni majaliwa ya Mwenyenzi Mungu ila anaamini muda wowote ataolewa.

“Ndoa ni majaliwa kwa hiyo any time, Mungu akitujalia mtaona nitavaa sana shela,” amesema Amber Lulu.

Hata hivyo amekiri kuwa hajawahi kutambulishwa au kufika nyumbani kwa Prezzo kwani msanii huyo mara nyingi ndiye amekuwa akija hapa nchin

Magufuli Apokea Ujumbe wa Kamisheni ya Amani AU

0
0
Magufuli Apokea Ujumbe wa Kamisheni ya Amani AU
Rais John Magufuli amefanya mazungumzo na kamishna wa amani na usalama wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Balozi Smail Chergui aliyewasilisha ujumbe wa mwenyekiti wa kamisheni hiyo, Moussa Faki Mahamat.

Chergui amesema leo Aprili 20, 2018 katika mazungumzo na Rais Magufuli yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.

Taarifa ya Ikulu imesema viongozi hao wawili wamejadili masuala ya amani na usalama barani Afrika na hasa ukanda wa maziwa makuu.

Amesema pia wamejadili masuala ya wakimbizi, huku akimshukuru Rais Magufuli kwa ushauri, mchango wa mawazo na uzoefu katika kuimarisha amani na usalama.

Wakati huohuo, Rais Magufuli amekutana na msaidizi wa Rais wa Misri na waziri mkuu mstaafu wa nchi hiyo, Ibrahim Roshdy Mahlab aliyewasilisha ujumbe kutoka kwa Rais wa Taifa hilo, Abdel Fattah el-Sisi.

Baada ya mazungumzo, Mahlab amesema wamejadili namna ya kuimarisha uhusiano na ushirikiano kati ya Tanzania na Misri, ikizingatiwa kuwa zipo fursa nyingi ambazo nchi hizi mbili rafiki zinapaswa kuzifanyia kazi.

Mahlab amebainisha kuwa utekelezaji wa makubaliano yaliyowekwa wakati wa ziara ya Rais wa Misri, Abdel Fattah el-Sisi nchini umeanza ambapo tume ya pamoja ya ushirikiano kati ya nchi hizi imeshakutana nchi Misri na kuainisha maeneo yenye fursa na yanayopaswa kufanyiwa kazi.

Baba Daimond Amwakia Daimond Kisa Video Yake ya Utupu Iliyosambaa Mitandaoni

0
0
Baba Daimond Amwakia Daimond Kisa Video Yake ya Utupu Iliyosambaa Mitandaoni
WAKATI leo mwanaye ambaye ni staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’ akitakiwa kuripoti kwenye Kituo Kikuu cha Polisi ‘Sentro’ jijini Dar kwa kesi ya Makosa ya Mtandao, baba’ke mzazi, Abdul Jumaa ‘Baba D’ ametema cheche, Ijumaa linaripoti.



Diamond anakabiliwa na msala wa kusambaza video chafu kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha akiwa kitandani, akicheza na mzazi mwenzake, mwanamitindo Hamisa Mobeto na nyingine akiwa na mwanamke mwingine ambaye hakujulikana.



Akizungumza na Ijumaa, Baba Diamond aliwaka kuwa, alichokifanya mwanaye huyo siyo sawa kwani si jambo la kimaadili kama ambavyo serikali imeeleza. Lakini pamoja na yote, Baba Diamond alisema kuwa, yeye kama mzazi hawezi kumtupa hivyo ataungana naye katika hatua zote za kesi hiyo kuanzia leo atakapokwenda kuripoti Sentro.



“Mimi kama mzazi, siungi mkono alichokifanya hadi serikali ikaamua kulizungumzia suala lake bungeni mapema. “Nimeshtushwa na jambo hilo, lakini kama mzazi, siwezi kumwacha hivyo nitakuwa naye hatua kwa hatua katika jambo hili kwani siwezi kumwacha mwenyewe,” alisema Baba Diamond.

Pamoja naye, katika msala huo Diamond ameunganishwa na Mobeto na watuhumiwa wengine ambao ni wasanii wa Bongo Fleva, Faustine Charles Mfinanga ‘Nandy’ na William Nicholaus Limo ‘Bill Nas’ ambao hivi karibuni, nao ilisambaa video yao mitandaoni wakifanya uchafu chumbani.

Akijibu swali la Mbunge wa Ulanga, Godluck Mlinga aliyetaka kujua serikali ina mkakati gani kukomesha tabia za baadhi ya watu wanaotumia mitandao vibaya, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison George Mwakyembe alisema kuwa, polisi walishamkamata Diamond juu ya video hiyo na kwamba anahojiwa.



Iwapo watuhumiwa hao watafikishwa mahakamani, wanaweza kushtakiwa chini ya kifungu Sheria ya Makosa ya Mtandao ya Mwaka 2015 ambayo inakataza kuweka kwenye mfumo wa kompyuta au taarifa nyingine yeyote kwenye mfumo wa mawasiliano ikiwemo picha mbaya kama za ngono.



Sheria hiyo kifungu cha 14 (1) kinaeleza kuwa, mtu hatachapisha au kusababisha kuchapishwa kwa kupitia katika mfumo wa kompyuta (a) Ponografia au (b) Ponografia yoyote iliyo ya kiasherati au chafu.



Inaeleza kuwa, mtu akatayekiuka kifungu kidogo cha (1) atakuwa ametenda kosa na akitiwa hatiani, atawajibika, iwapo ni uchapishaji kuhusiana na (a) Ponografia, kulipa faini isiyopungua shilingi milioni ishirini au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua miaka saba au vyote; au (b) Ponografia iliyo ya kiasherati au chafu, kulipa faini isiyopungua shilingi milioni thelathini au kutumikia kifungo kwa kipindi kisichopungua miaka kumi au vyote.

Kamata Kamata ya Makonda Kwa Wanaume Waliotelekeza Watoto Kufanyika Jumatatu

0
0
Kamata Kamata ya Makonda Kwa Wanaume Waliotelekeza Watoto Kufanyika Jumatatu
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda amesema wanaume wote waliokaidi wito wa kufika ofsini kwake baada ya kupigiwa simu na kutumiwa barua za wito watakamatwa na Jeshi la Polisi kuanzia siku ya jumatatu ya April 23.

RC Makonda amesema ifikapo siku ya Jumapili majina ya wanaume waliokaidi wito yatafikishwa kwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam Lazaro Benedict Mambosasa kwaajili ya utekelezaji.

Aidha RC Makonda ameongeza siku nyingine tano kwaajili ya kusikiliza kesi zilizowasilishwa ofisini kwake na kufanya idadi ya kufikia siku 15.

Pamoja na hayo RC Makonda amesema ataunda kamati ya wanasheria na maafisa ustawi wa jamii kutoka serikalini na taasisi binafsi kwaajili ya kufanya uchambuzi wa ukubwa wa tatizo na mapendekezo ya kisheria kisha kuwasilishwa wizara husika kisha kuwasilishwa Bungeni.

Hata hivyo RC Makonda amesema ifikapo April 25 na 26 atatoa ripoti ya mwelekeo dhidi ya mateso waliyokuwa wakipata kinamama na watoto waliotelwkezwa.

RC Makonda amesema Zoezi la kusikiliza kinamama waliotelekezwa limekuwa na mafanikio makubwa ambapo zaidi ya wananchi 17,000 walifika ofsini kwake ambapo hadi sasa kinamama 7,000 wamesikilizwa na wanaume 1,200 wamekubali kwa maandishi kutunza watoto wao na wengine wamepimwa DNA.

Arsenal Yaanza Kumnyapia Guardiola Kurithi Mikoba ya Wenger

0
0
Arsenal Yaanza Kumnyapia Guardiola Kurithi Mikoba ya Wenger
Taarifa zinaeleza kuwa Uongozi wa Arsenal umeanza kufanya mazungumzo ya kimyakimya na Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola ili kuchukua nafasi ya Arsene Wenger.

Hatua hiyo imekuja kufuatia Wenger kutangaza kuondoka Arsenal baada ya kuitumikia kwa miaka 22 akiwa Kocha Mkuu wa klabu hiyo.

Mbali ya Guardiola, Patrick Viera alikuwa anatajwa kuwa moja ya watu wanaopewa nafasi ya kutaka kuinoa Arsenal.

Viera mwenyewe hivi karibuni aliwahi kutangaza angependa kuchukua nafasi ya Wenger japo hakutaka kumwingilia majukumu yake kutokana na heshima aliyonayo kwake.

Jana Wenger alitangaza rasmi kuachana na Arsenal baada ya msimu huu kumalizika baada ya kukaa na kufikiri kuwa amefikia uamuzi sasa wa kuondoka klabuni hapo.

Shishimbi Kuikosa Mechi ya Mbeya City

0
0
Shishimbi Kuikosa Mechi ya Mbeya City
Ikiwa imebakia siku moja timu ya Yanga kushuka katika dimba la Sokoine kuminyana na Mbeya City mchezo wa ligi Kuu, kiungo wao Papy Kabamba Tshimbi hatoweza kushiriki mechi hiyo kwa sababu ya kupelekwa hospitali siku ya leo ili aweze kupatiwa matibabu kutokana na majeraha aliyokuwa nayo.


Dkt. Bavu amebainisha hayo kupitia ukurasa maalum wa timu hiyo baada ya kurejea nchini wakiwa wanatokea Ethiopia katika michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika.

"Papy hatakuwa sehemu ya mchezo huo wa jumapili, aliumia Ethiopia, tukiwa kule tulimpatia matibabu ya awali, kesho atakuwa hospital kwa vipimo zaidi. Ibrahim Ajib atarejea kikosini kwa sababu amepona Maralia kuhusu Andrew Vicent hakuna shaka juu yake yuko vizuri anaweza kucheza ila itategema na waalimu kama wataona inafaa", amesema Dkt Bavu.

Kwa upande mwingine, Yanga imefuzu hatua ya makundi ya kombe la Shirikisho barani Afrika baada ya kufanikiwa kuitoa Welayta Dicha kwa ushindi wa jumla wa magoli 2-1.

Usiyoyajua Kuhusu Kufikia Kileleni Wakati wa Tendo la Ndoa

0
0
Usiyoyajua Kuhusu Kufikia Kileleni Wakati wa Tendo la Ndoa
Makala ya leo itasaidia kujibu maswali ninayoyapokea mara kwa mara kutoka kwa wasomaji wanaotaka kujua nini maana ya kufika kileleni au mshindo wakati wa tendo la ndoa?

Kufika kileleni au kufika mshindo kwa lugha ya kitabibu hujulikana kama ‘orgasm’ na kwa lugha ya Kiingereza huitwa ‘coming’ au ‘climaxing’.

Ni tukio linalohusisha usisimuliwaji wa kimwili na kiakili, makala hii itajikita katika aina ya kufika kileleni inayotokea wakati wenza wawili wanaposhiriki tendo la ndoa.

Kufika kileleni ni msisimko wa kipekee unaoleta hisia nzuri kwa wenza wawili wanaowajibika kikamilifu katika tendo la ndoa. Hisia hizi hutokea kwa wenza wote kama ishara ya kufikia kilele cha tendo.

Hisia hizo huambatana na mtiririko wa matukio kadhaa yanayohusisha mfumo wa fahamu (ubongo na mishipa ya neva), damu na moyo na maeneo mengineyo ikiwamo viungo vya uzazi.

Wenza wanapofika kileleni mapigo ya moyo hubadilika, hudunda kwa haraka na huku upumuaji ukiwa ni wa kasi na kuvuta pumzi kwa nguvu.

Kwa wanawake, hali hii huwa ni nzito na yakipekee, kufika kwao kileleni nakupata hisia nzuri huweza kuambatana na kujikunja ama kujikaza kwa misuli ya maeneo ya sehemu za siri, nyumba ya uzazi na kiunoni.

Mwanamke anaweza kufika kileleni zaidi ya mara moja muda mfupi tu tangu alipofika kileleni mara ya kwanza na ataendelea kupata hisia hizo endapo ataendelea kusisimuliwa, hisia hizi hudumu kwa sekunde 15 hadi 60.

Mwanamke kufikishwa kileleni na kuridhika ni jambo ambalo linahitaji ushirikiano na kuelewana kwa wenza wawili wanaoshiriki tendo hilo hasa katika maandalizi ya awali.

Tafiti zinaonyesha asilimia 10 hadi 15 ya wanawake duniani hawajawahi kufika kileleni (orgasm).

Kutofika kileleni kwa mwenza yeyote ni moja ya mambo yanayochangia migogoro isiyo na lazima kwani hudhani kuwa mwenzake siyo waaminifu katika uhusiano wao.

Kufika kileleni kwa baadhi ya wanawake huambatana na kutoa maji maji yanayosukumwa toka kwenye sehemu zake za siri kwa kasi. Maji maji haya huwa siyo haja ndogo kama inavyodhaniwa mitaani.

Kwa kawaida maji hayo hutokea ndani ya tezi ambayo mdomo wake upo jirani na tundu la njia ya haja ndogo.

Tezi hiyo inaitwa tezi ya Skene kwa lugha ya kitaalamu, ndani yake huwa na majimaji meupe.

Ufafanuzi huu utakuwa umewapa jibu kwa wale ambao huniuliza mara kwa mara kuhusiana na jambo hili.

Kwa upande wa wanaume, kufika kwao kileleni huambatana na kupata hisia nzuri za kipekee na kutoa majimaji mazito ambayo yana mbegu za kiume.

Hisia hizi huweza kudumu kwa sekundi 6 hadi 30 na huwa ni mara moja tu na si mfululizo kama ilivyo kwa mwanamke.

Kwa mwanaume, huhitaji muda kidogo ila kuamsha hisia na kuendelea na tendo na kufikia kileleni tena.

Wapo baadhi ya wanaume baada ya kufika kileleni katika mzunguko wa kwanza wanakuwa na uwezo wakuunganisha kwenda mzunguko wa pili bila kuhitaji mapumziko mafupi na kufika kileleni kwa mara ya pili.

Ili kufikia kileleni mara nyingi mtu hutumia nguvu nyingi. Na nguvu anayopoteza mwanaume kwa mshindo mmoja tu unaweza kuitumia kukimbilia kilomita kumi. Ni vizuri wenza wanapoona kuna hali isiyo ya kawaida wafanyapo tendo la ndoa, ni vema wakahi kufika katika huduma za afya kwa ushauri na matibabu.

Katika makala zijazo tutaona matatizo yanayoingilia na kusababisha matatizo ya kutofika kileleni.

Tumependekeza Masogange Aagwe Leaders, Azikwe Mbeya- Steve Nyerere

0
0
Tumependekeza Masogange Aagwe Leaders, Azikwe Mbeya- Steve Nyerere
KIONGOZI wa Chama cha Wasanii Nchini, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ ametoa taarifa rasmi ya chama hicho yenye mapendekezo kwa familia kuhusu taratibu za msiba wa msanii mwenzao, Agnes Gerard Masogange ambaye alifariki dunia jana jioni katika Kituo cha Huduma za Afya cha Mama Ngoma kilichopo Mwenge jijini Dar es Salaam.



Akizungumza na wanahabari mara baada ya kikao cha wasanii uliofanyika Leaders Club jana usiku, Steve alisema wao kama wasanii wameridhia kila mmoja kutoa mchango wake wa pesa kwa ajili ya kufanikisha shughuli ya msiba na mazishi ya Masogange.



Pia, amesema wameridhia na kupendekeza mwili wa Masogange uagwe katika Viwanja vya Leaders kesho Jumapili, Aprili 22, 2018 na kuzikwa nyumbani kwao mkoani Mbeya ili wasanii, mashabiki na Watanzania wapate fursa ya kumsindikiza katika safari yake ya mwisho.



Aidha, Nyerere alisema mapendekezo hayo watayafikisha kwenye familia ya marehemu huku akiwashukuru wote waliojitoa kuchangia na kuwapa pole wasanii wakiwemo viongozi wa Serikali na Watanzania kwa ujumla.

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

0
0

Kutana na Mtaalam wa Matabibu ya nyota za Binadam na Bingwa wa Tiba za Asili Afrika Mashariki.

0
0
KUTANA NA SHARIF HAMAD KALALA NI
SHARIFU MCHAMBUZI WA
NYOTA ZA BINAADAMU NA NI MWENYE UPEO MKUBWA KUTAFITI MATATIZO YAKO KABLA YA KUTOA USHAURI WAKE WA TIBA AlJALISHI MBALI ULIKO TIBA YAKE UMFIKIA YEYOTE MWENYE UITAJI POPOTE
DUNIANI.

 SHARIF HAMAD KALALA NI TABIBU MWENYE KUBRI TOKA KWA ALAH ANATIBU KWA NJIA YA VITABU VYA QUR-AN, DAWA ZA ASILI ZA MITI SHAMBA PAMOJA NA DAWA ZA KIARABU.
ANATIBU KWA NJIA YA SIMU KWA KUTOA
MAELEKEZO NAMNA YA MATUMIZI YA DAWA UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE KWA MATATIZO YAFUATAYO:-

 KUFANIKISHA NDOA KWA UNAYE MPENDA KWA HARAKA. KUMRUDISHA MPEZI NDANI YA MASAA 12 TU.
 ULIJALI (NGUVU ZA KIUME) NDANI YA /IKI MMOJA TU
MIGUU KUWAKA MOTO KUTAFSIRI NDOTO MFARAKANO WA WANANDOA MFARAKANO KAZINIKUPANDISHWA CHEO NDANI YA SIKU SABA 7 TU.
KUTOA PETE YA BAHATI KUTOA MAJINI MACHAFU IKIWA NI KWENYE MWILI WA BINADAMU MAJUMBANI NA KWENYE BIASHARA. KUPATA MAFANIKIO YA MALI BILA YA MASHARTI. KUPANDIKIZANYOTA YA KUBASHIRI KUFUNGUA UZAZI KWA WALIYO FUNGWA KWA NJIA YA USHIRIKINA KUTOA VIFUNGO VYOTE VILIVYO FUNGWA KWENYE BIASHARA. ANA UWEZO MKUBWA WA KUPANDIKIZA NYOTA YA KUMPATA YEYOTE UMPENDAYE KWA KUMUOA AU KUWA NAYE. ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIYE MBALI PIA ALIYE CHUKULIWA
KWA NJIA YAMSUKULE
NAO UWEZO WA KUUA KESI SUGU NA MPYA NDANI SIKU 7 TU.
MENGINEYO MENGI ZAID YALIYO KUWA SUGU PIGA KWA WALE WALIYO ANGAIKA SEHEMU MBALI MBALI SHARIF HAMAD KALALA NI SULUISHO. ENDAPO UTAMSIKILIZA KWA YALE ATAKAYO KUSHAURI NA KUKUPA
ELEKEZI.
 TIBA NI KWA DINI ZOTE POPOTE ULIPO NJE NA NDANI YA NCHI.
MOBILE +255 -673 025 376
WhatsApp +255-757 069 066

TCRA Yaanza Usajili wa Blog, Radio na TV za Mtandaoni

0
0
TCRA Yaanza Usajili wa Blog, Radio na TV za Mtandaoni
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imetangaza kuanza rasmi zoezi la usajili wa wamiliki wa Blogu, Majukwaa ya Mtandaoni (Online Forums), Redio pamoja na Televisheni za mtandaoni kuanzia leo Jumamosi, Aprili 21, 2018 kwa mujibu wa sheria.

Shilole: Ngumu Kuamini Kifo cha Masogange Juzi tu Nilimpelekea Oda ya Chakula

0
0
Shilole: Ngumu Kuamini Kifo cha Masogange Juzi tu Nilimpelekea Oda ya Chakula
Msanii wa filamu na muziki, Shilole, amesema ilikuwa ngumu kwake kuamini kwa mara ya kwanza pale alipopokea taarifa za kifo cha mwanamitindo na video queen, Agness Masogange, kwani siku chache nyuma kabla ya mauti kumkuta alimpelekea chakula na wakapata muda wa kunywa pamoja.


Shilole amesema yupo tayari kwa chochote ambacho atahitajika kufanya kwa sasa kwa ajili ya kumpumzisha rafiki yake huyo kipenzi.
Viewing all 104432 articles
Browse latest View live


Latest Images