Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104667 articles
Browse latest View live

Mahakama Yamwachia Huru Nabii Tito

$
0
0

Mahakama  ya Wilaya ya Dodoma, imemfutia mashtaka ya kutaka kujiua na kuamuru akapatiwe matibabu ya afya ya akili katika Taasisi ya Mirembe Isanga, mkazi wa mtaa wa Ng’ong’ona Manispaa ya Dodoma, Onesmo Machibya (44), maarufu kama ‘Nabii Tito’.


Mahakama hiyo ilifikia uamuzi huo baada ya kupokea ripoti za vipimo vya afya ya akili ya Nabii Tito kutoka Mirembe Isanga, vinavyothibitisha kuwa ana ugonjwa wa akili.


Awali, Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, James Kalayemaha, aliagiza kuwa Nabii Tito apelekwe katika taasisi hiyo ya magonjwa ya akili ili kupatiwa matibabu ya afya ya akili na mahakama imemwondelea mashitaka yaliyokuwa yakimkabili.


Alisema katika ripoti ya kitabibu inaonyesha kuwa Nabii Tito kweli ana matatizo ya afya ya akili, hivyo anatakiwa kupelekwa katika taasisi hiyo ya Isanga Mirembe ili kupatiwa matibabu.


Mahakama hiyo, Februari 5, mwaka huu, iliamuru kuwasilishwa kwa vielelezo vinavyoonesha Nabii Tito ana matatizo ya akili na kufanyiwa vipimo katika Taasisi ya Afya ya Akili Mirembe Isanga kutokana na mshitakiwa kudai kuwa ana matatizo ya akili.


Akitoa maelezo ya kesi hiyo mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, James Karayemaha, Wakili wa Serikali, Beatrice Nsana, aliiomba mahakama kupanga tarehe nyingine kwa ajili ya kutajwa na kuwasilishwa kwa taarifa kutoka Isanga.


Kutokana na maombi hayo, Hakimu Karayemaha alimuuliza mshtakiwa kama amekuja na vielelezo kama alivyoamriwa na mahakama hiyo.


Mshtakiwa huyo alimwambia Hakimu kuwa ametekeleza amri hiyo na kwamba tangu amri hiyo itolewe amekuwa mahabusu na hajapelekwa kwenye taasisi hiyo ya Isanga.


Hata hivyo, Hakimu Karayemaha alisema mshtakiwa huyo amewasilisha vielelezo vyake kutoka Hospitali ya Taifa ya Mhimbili na kwamba mahakama inahitaji taarifa kutoka Taasisi ya Mirembe Isanga kama ilivyoagiza.


“Mahakama ilitoa amri apelekwe Taasisi ya Mirembe Isanga kwa mujibu wa kifungu namba 219 (2) cha sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai,” alisema Hakimu hiyo.


Kifungu hicho kinasema kama mshtakiwa atabainika kuwa kweli ana matatizo ya afya ya akili, mahakama itaamua kuwa alivyofanya tukio hilo hakuwa na akili timamu hivyo hana hatia.


Kutokana na hali hiyo, Hakimu Karayemaha alimwamuru Mkuu wa Magereza ya Isanga kutekeleza amri ya Mahakama iliyotolewa ya kumpeleka kufanyiwa vipimo mshitakiwa huyo.


“Namwamuru Mkuu wa Magereza Isanga atekeleze amri ya mahakama ili taarifa za mshtakiwa ziletwe kwa tarehe itakayopangwa ambayo ni Machi 5, mwaka huu, tutataja kesi na kupokea taarifa ya vielelezo vya vipimo vyake kutoka Isanga,” alisema Hakimu.


Nabii Tito alikuwa anashtakiwa kwa kosa la kutaka kujiua kwa kujikata na wembe na kujijeruhi kwenye maeneo ya tumbo Januari 25, mwaka huu katika mtaa huo wa Ng’ong’ona alipokwenda kukamatwa na polisi.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya April 23

$
0
0

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya April 23

Kutana na Mtaalam wa Matabibu ya nyota za Binadam na Bingwa wa Tiba za Asili Afrika Mashariki.

$
0
0
Je Wewe ni Mwanasiasi, Mfanyabiashara , Msani, ama mwanafunzi tunazo dawa na pete za bahati zenye uwezo mkubwa wakuyabadilisha maisha yako nakukupatia mafanikio makubwa ndani ya mda mfupi tu.

Kutana na SHABA WA SHABA kutoka Tanga,
Yeye ni mtaalam na mtabibu wa nyota za binadam na bingwa wa tiba za asili Afrika mashariki.
Wasiliana na mtaalam huyu kwani yeye ufaulu pale wote waliko shindwa na pia humaliza kazi zilizo shindikana ama zilizo achwa ndani ya siku1 tu. Sasa amezianza ziyara zake za mikoani na atayatembeleye maeneo mbali mbali ndani na inje ya nchi.

Anatibu magonjwa sugu yanaojulikana nasiojulikana kwakutumia maji, Kioo na mitishamba.
Anazo dawa za mapenzi, kumrudisha alipoteya, kutoa Mikosi, Kutatuwa shida za chumaulete, mvuto wa biashara na sehem za kazi, kusafisha nyota, kurudisha mali zilizo ibiwa, zilizpotea, ama zilizodhulumiwa, kushika wezi na wachawi, kutoa ndagu , Kutoa kinga ya mwili, nyumba, Biashara, kufukuza majini wabaya, Kuuza kwa haraka ( shamba, nyumba, Gari,...), Kesi mahakamani, Kuweka Zindiko ya mwili, nyumba, shamba, Gari, kupata Kazi na kupandishwa cheo, mali na utajiri bila masharti na mengine mengi ya Siri...

Kwa tiba na ushauri wasiliana na ofisi kwa nambari ya simu :
+255 785 358 267 ,
+255 785 358 267

Rais Magufuli afanya uteuzi wa benki

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Edmund Bernard Mndolwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Posta Tanzania (TPB).


Uteuzi wa Dkt. Mndolwa umeanza leo tarehe 23 Aprili, 2018.


Ukweli Kuhusu Kilichosababisha kifo cha Msanii Jebby

$
0
0
April 22, 2018 Tasnia ya Bongofleva inapata pigo jingine ambapo ni msanii wa Bongo Fleva, Jebby Omar amefariki dunia mkoani Dodoma alipokuwa akipatiwa matibabu. Ayo TV imefunga safari hadi nyumbani kwao ambapo imekutana na Mjomba wa marehemu Abdallah Hassan Mambo ambaye ameelezea tukio zima hadi umauti unamkuta.

“Marehemu alikuwa na upungufu wa damu, alilazwa katika hospitali ya rufaa Dodoma kisha akaongezewa damu lakini haikuchukua muda hali yake ikabadilika tena akakimbizwa hospitali siku ya jumatano hadi umauti unamkuta. Kwa bahati nzuri Jebby hakubahatika kuoa wala hajawahi kuwa na familia kwa mujibu wa tunavyofahamu sisi”
VIDEO:

Taarifa ya Meya wa Ubungo kuvamiwa nyumbani

$
0
0
Kutoka kwenye ukurasa wa Twitter wa Meya wa Ubungo Boniface Jacob kumeandikwa yafuatayo

“Askari wenye uniform za JWTZ watatu na mmoja wao amevalia kiraia na ana video camera,”
“Wameiweka familia chini ya ulinzi, wanapekua kila mahali vyumbani bila mimi mwenye nyumba,polisi, Mjumbe kuwepo…naelekea huko muda huu” hayo ndio yaliyoandikwa kwenye ukurasa wa Twitter wa Meya Boniface Jacob.

Okoa Ndoa yako Sasa...Umepungukiwa na Nguvu za Kiume na Unashindwa Kupanda Mlima Vizuri

$
0
0
OKOA NDOA YAKO SASA : JE UMEPUNGUKIWA NA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO AU MPENZI WAKO HAKUTIMIZII UTAKACHO:


Acha kujiona mpweke pale ukutanapo na mpenzi au mke wako kwa sababu ya kutokuwa na nguvu za kiume au Uume wako mdogo

Dawa YA MAPRO POWERA ndio dawa sahihi na tiba tosha kwa sasa Kutibu tatizo na kuponesha kabisa tatizo LA KUWAI KUFIKA KILELENI KABLA MWENZI WAKO BADO AJAKOJOA

KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA NA MWILI KUCHOKA

UUME KUSINYAA NA KUWA LEGELEGE

KUUMWA NA TUMBO WAKATI UNAPOMALIZA KUFANYA TENDO

Dawa hii utumiwa ata na wazee wenye umri mkubwa na haina madhara yoyote

MAKAKANUA HII NI dawa ya maumbili madogo urefusha na kunenepesha saizi upendayo saiz 5-6-7-8 na unene sm 3-4-5 kwa mini huabiki kwa kuwa na UUME mdogo wai sasa upate tiba sahihi kabisa na ni tofauti na ulizowai kutumia :

Tunarudisha mke au mpenzi ndani ya masaa matatu tu zipo dawa za presha kisukali vidonda vya tumbo korodani iliyovimba dawa za uzazi tunapunguza matiti makubwa kitambi na mwili mkubwa dawa zipo FIKA OFISINI KWANGU MBAGALA ZAKHEMU KWA WATEJA AMBAO AMTAKUWA NA NAFASI YA KUJA OFISINI AU MLIO MKOANI MTALETEWA p

Piga simu 0743362017 au 0789234653

DR AGU

Masogange Ameacha Mtoto wa Saba ...... Bongo Movie Wachangia Milioni Mbili za Kumsomesha

$
0
0
Masogange Ameacha Mtoto wa Saba ...... Bongo Movie Wachangia Milioni Mbili za Kumsomesha
Marehemu Agness Masogange ameacha mtoto mmoja wa kike ambaye kwa sasa anasoma darasa la saba, na tayari Waigizaji wa filamu nchini Tanzania (Bongo Movie) wamemchangia kiasi cha shilingi milioni mbili kwa ajili ya kumsomesha, hayo ni kwa mujibu wa Zamaradi Mketema ambaye ndiye aliyethibitisha taarifa hizo leo Aprili 22, 2018 wakati wa kuuaga mwili wa marehemu katika viwanja vya leaders jijini Dar es salaam.

Watu 57 Wameuawa kwa Bomu Katika Kituo cha Kujisajili

$
0
0
57 wauawa kwa bomu katika kituo cha kujisajili
Watu 57 wamuawa katika shambulio la bomu la kujitoa muhanga lililolenga kituo cha kuandikishia wapiga kura katika mji mkuu Kabul nchini Afghanstan.
Taarifa kutoka mamlaka mjini Kabul zinasema kuwa kati ya watu hao waliouawa kutokana shambulio wakiwa katika mistari ya kujiandikisha kati yao wamo wamo wanawake 21 na watoto watano,huku wengine 119 wakijeruhiwa pia.
Kundi la kigaidi la Islamic State (IS) wamesema kuwa wao ndiyo wanaohusika na shambulio.
Kazi ya uandikishaji wapiga kura nchini humo imeanza mwezi uliopita ikiwa ni maandalizi kwaajili ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu.
Taarifa kutoka ndani ya IS zinasema kuwa mtu aliyetekeleza shambulio hilo alikuwa amevalia mkanda wa vilipuzi na alikilenga kituo cha kujiandikishia cha eneo la Dashte Barchi magharibi mwa Kabul.

Dashte Barchi eneo lenye idadi kubwa Waislam wa Kishia ambao wamekuwa wakilengwa na kundi la kigaidi la IS.
Watoto waliouawa katika shambulio hilo,walikuwa wamesimama pia katika mistari ya watu waliokuwa wanajiandikisha jumapili asubuhi.

Mlipuko huo pamoja na kusababisha vifo lakini pia umeharibu magari magari.Hadi sasa kumekuwa na mashambulio manne tangu kuanza uandikishaji huo wiki iliyopita.
There have already been at least four attacks on such centres since voter registration got under way a week ago.

Mbeya City Yakataa Kufungwa Kwao Yagawana Point na Yanga

$
0
0

Mbeya City Yakataa Kufungwa Kwao Yagawana Point na Yanga
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Yanga, wamebanwa mbavu ugenini na Mbeya City na kutoka sare ya bao 1-1 kwenye mchezo uliomalizika jioni hii kwenye uwanja wa Sokoine Mbeya.
Mchezo huo ambao uligubikwa na vurugu za hapa na pale ulishuhudia wageni Yanga, wakifunga bao la kuongoza dakika ya 57 kupitia kwa kiungo Raphael Daud ambaye amesajiliwa msimu huu kutoka Mbeya City.
Bao hilo lilisababisha vurugu za mashabiki lakini baadae walitulia na mchezo ukaendelea hadi dakika ya 67 ambapo mlinzi wa kati wa Mbeya City Ramadhan Malima kuoneshwa kadi nyekundu baada ya kumchezea rafu Juma Abdul.
Mashabiki walianza kurusha mawe uwanjani na kupelekea Jeshi la polisi kutumia mabomu ya machozi kuweza kutuliza vurugu hizo na mchezo kuendelea. Mbeya City waliendelea kucheza pungufu.
Tukio la mvuto zaidi katika mchezo wa leo ni bao la kusawazisha la Mbeya City ambalo limefungwa dakika ya 90 na mshambuliaji ambaye aliingia akitokea benchi na kufunga bao hilo ambalo limeamua mchezo umalizike kwa sare.

Wabunge Watakiwa Kudhibiti Unyanyasaji wa Jinsia

$
0
0

Wabunge Watakiwa Kudhibiti Unyanyasaji wa Jinsia
Wabunge wa wametakiwa kuchukua hatua stahiki kudhibiti vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia vinavyofanywa dhidi ya wanawake na watoto wenye ulemavu katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania.
Ushauri huo umetolewa mara baada ya kufanyika utafiti uliofanywa na shirika la 'Action On Disability and Development' kwa kushirikiana na shirikisho la watu wenye ulemavu Tanzania kubaini kuwepo kwa vitendo vya udhalilishaji wanawake na watoto wenye ulemavu.
Akiongea na Wabunge katika semina iliyoandaliwa na Shirika la ADD, Mjini Dodoma, Mkurugenzi wa Shirika hilo Bi. Rose Tesha amesema kuwa baadhi ya ndugu na jamaa wamekuwa wakishiriki vitendo hivyo hususani kwa watoto wenye ulemavu wa kusikia na akili.
Wakitoa maoni yao katika Semina hiyo baadhi ya wabunge wametaka sheria iweze kurekebishwa ili mfuko wa jimbo pia uweze kuwahudumia watu wenye ulemavu huku wengine wakitaka uboreshaji wa miundombinu kwa watu wenye ulemavu.

Tamasha la Mtanzania Lafunika Uingereza

$
0
0
Tamasha la Mtanzania Lafunika Uingereza
Baada ya kufikia malengo yake ya mwaka 2017 kwa kufanya matamasha matatu makubwa nchini Ujerumani yaliyofana, Emanuel Austin ambaye ni mwalimu wa dansi (Choreographer) nchini humo ameanza mwaka 2018 kwa kitu kikubwa zaidi.

Austin ambaye ni mmiliki wa chuo cha dansi cha Tanzschule Weiss akishirikiana na mkewe Larissa Bertsch kilichopo katika mji wa Frankfurt, Jumapili ya April 22 wameandaa tamasha kubwa ambalo lilijaza nyomi ya watu takribani 12,000.
Tamasha hilo limefanyika kwenye ukumbi wa Abschlussball. Akiongea na Bongo5, mwalimu huyo amesema tamasha hilo lilikuwa kali na lilifaana zaidi kitu ambacho kimeonyesha ni mwanzo mzuri kwao katika mwaka huu.











Simba Yajichimbia Moro kwa Maandalizi Dhidi ya Yanga

$
0
0
Simba Yajichimbia Moro kwa Maandalizi Dhidi ya Yanga
Kikosi cha Simba kinaanza maandalizi yake rasmi leo kwa ajili ya mchezo dhidi ya watani wake wa jadi, Yanga, utakaopigwa Aprili 29 2018.

Simba ilirejea jana mjini Morogro kuweka kambi maalum kujiandaa na mechi hiyo ambayo huteka hisia za wapenzi na mshabiki wa soka nchini.

Kikosi hicho kilitua Morogoro jana baada ya kuvuna alama moja mjini Iringa dhidi ya Njombe kwenye mchezo wa ligi kuu baada ya matokeo ya sare ya 1-1.

Mpaka sasa Simba wapo kileleni mwa msimamo wa ligi wakiwa na alama 59 wakati watani zao wa jadi Yanga wana 48.

Watu Wanne Wauawa na Mshambuliaji Aliyekuwa Nusu Uchi

$
0
0
Watu Wanne Wauawa na Mshambuliaji Aliyekuwa Nusu Uchi
Mtu aliyekuwa nusu uchi amewaua watu wanne katika mgahawa mmoja huko Nashville katika jimbo la Tennessee nchini Marekani.
Mtu huyo alianza kuwamiminia risasi watu waliokuwa katika hoteli hiyo na bunduki yake ambapo pamoja na kuwaua watu wawili,lakini pia amewajeruhi wengine wawili.
Polisi wanaendelea kumsaka mtu huyo aliyejulikana kwa jina la Travis Reinking mwenye umri wa miaka 29 mkazi wa Illinois.
Don Aaron amesema kuwa Travis mwakajana alishikiliwa na Polisi pale alipojaribu kuingia katika eneo ambalo lipo karibu na Ikulu ya Marekani lenye kizuizini.
Hata hivyo James Shaw mmoja wa wateja katika mgahawa huo anapongezwa kwa ujasiri wake,aliouonyesha baada ya kumnyang'anya bunduki mshambuliaji huyo ambaye huenda bila hatua hiyo angeliua watu wengi Zaidi.
Lakini James mwenyewe alipopongezwa na kuishwa shujaa,amekanusha na kusema kwamba yeye alikuwa akijaribu kujiokoa tu na kwamba si shujaa.
Sheria ya umiliki silaha nchini Marekani bado inatoa mwanya wa kuzagaa kwa silaha hali ambayo imekuwa ikisababisha mashambulizi ya mara kwa mara ya silaha zinazomilikiwa na watu kwa urahisi.

Soma Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Jumatatu

$
0
0

Picha : Ilivyokua Harusi ya Abdukiba

$
0
0
Picha : Ilivyokua Harusi ya Abdukiba
Msanii wa Bongo Flava, Abdu Kiba naye ameaga ukapera rasmi hapo jana April 22, 2018.

Abdu Kiba ameoa zikiwa ni siku kadhaa zimepita tangu kaka yake, Alikiba kuoa huko Mombasa nchini Kenya. Inadhaniwa huenda wawili hao wakafanya sherehe ya pamoja April 29, 2018 Dar es Salaam.

Mambo ni Hivi Binti Amchanganya Zuma Aamua Kutangaza Ndoa

$
0
0

Mambo ni Hivi Binti Amchanganya Zuma Aamua Kutangaza Ndoa
Aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma, ameshangaza umma baada ya kuwepo na taarifa za kutarajia kuoa mke wa 5, binti mdogo mwenye umri wa miaka 24.
Taarifa hizo zimethibitishwa na mwenyewe mke mtarajiwa wa Zuma anayejulikana kwa jina la Nonkanyinso Conco, kupitia chombo cha habari cha Times live cha nchini Afrika Kusini.
“Ndio tunaoana, hayo ndiyo naweza kusema kwa sasa, nahitaji kutoa taarifa kabla sijafanya interview yoyote”, amesikika binti huyo akiuambia mtandao wa Times Live.
Habari zaidi zinasema kuwa binti huyo tayari ana mtoto mchanga aliyezaa na Jacob Zuma ambaye amezaliwa siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa ya Jacob Zuma, April 12, na tayari mahali imeshatolewa.
Jacob Zuma ambaye ana miaka 76 mpaka sasa ameshaoa mara 6, na hii itakuwa ni mara ya 7 kufunga ndoa,
Tukio hilo limeonekana kuwakwaza wananchi wa Afrika Kusini na kutoa maoni yao kwenye mitandao ya kijamii, wakisema binti huyo ni mdogo sana kwa Zuma, kwani wana tofauti ya miaka 52.

Haya Hapa Maneno ya Mo Dewji “Anayekumbuka Kaburi Hana Kiburi.”

$
0
0
Haya Hapa Maneno ya Mo Dewji “Anayekumbuka Kaburi Hana Kiburi.”
Bilionea anayemiliki kampuni ya Mohammed Enterprises nchini (MeTL), Mohammed Dewji `Mo’ ameweka ujumbe katika
ukurasa wake wa Twitter ukiwa katika mfumo wa fumbo kuhusu kifo.
Mo Dewji ameandika “Anayekumbuka kaburi hana kiburi.”

MC Pilipili kukutanishwa na Kevin Hart, Ampigia saluti Diamond kwa jambo hili

$
0
0
MC Pilipili kukutanishwa na Kevin Hart, Ampigia saluti Diamond kwa jambo hiliMchekeshaji maarufu nchini Tanzania, MC Pilipili amefunguka ishu ya kukutanisha na mchekeshaji maarufu dunia
ni, Kevin Hart ili kufanya naye mazungumzo ya kikazi.
MC Pilipili amefunguka hayo kuptia Bongo5, ambapo amesema Meneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale ndiye atakayemkutanisha na Kevin Hart kwani ni mtu ambaye ameshawahi kukutana naye na tayari wana mawasiliano yake.
Kwa upande mwingine, MC Pilipili amempongeza Diamond Platnumz kwa kuanzisha kituo cha runinga cha Wasafi TV ambapo amedai kuwa kituo hicho ni mkombozi tosha kwa vijana kwani kitanyanyua vipaji vingi vilivyokosa nafasi ya kusisikika kwenye Media nyingine.

Kutana na Mtaalam wa Matabibu ya nyota za Binadam na Bingwa wa Tiba za Asili Afrika Mashariki.

$
0
0
KUTANA NA SHARIF HAMAD KALALA NI
SHARIFU MCHAMBUZI WA
NYOTA ZA BINAADAMU NA NI MWENYE UPEO MKUBWA KUTAFITI MATATIZO YAKO KABLA YA KUTOA USHAURI WAKE WA TIBA AlJALISHI MBALI ULIKO TIBA YAKE UMFIKIA YEYOTE MWENYE UITAJI POPOTE
DUNIANI.

 SHARIF HAMAD KALALA NI TABIBU MWENYE KUBRI TOKA KWA ALAH ANATIBU KWA NJIA YA VITABU VYA QUR-AN, DAWA ZA ASILI ZA MITI SHAMBA PAMOJA NA DAWA ZA KIARABU.
ANATIBU KWA NJIA YA SIMU KWA KUTOA
MAELEKEZO NAMNA YA MATUMIZI YA DAWA UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE KWA MATATIZO YAFUATAYO:-

 KUFANIKISHA NDOA KWA UNAYE MPENDA KWA HARAKA. KUMRUDISHA MPEZI NDANI YA MASAA 12 TU.
 ULIJALI (NGUVU ZA KIUME) NDANI YA /IKI MMOJA TU
MIGUU KUWAKA MOTO KUTAFSIRI NDOTO MFARAKANO WA WANANDOA MFARAKANO KAZINIKUPANDISHWA CHEO NDANI YA SIKU SABA 7 TU.
KUTOA PETE YA BAHATI KUTOA MAJINI MACHAFU IKIWA NI KWENYE MWILI WA BINADAMU MAJUMBANI NA KWENYE BIASHARA. KUPATA MAFANIKIO YA MALI BILA YA MASHARTI. KUPANDIKIZANYOTA YA KUBASHIRI KUFUNGUA UZAZI KWA WALIYO FUNGWA KWA NJIA YA USHIRIKINA KUTOA VIFUNGO VYOTE VILIVYO FUNGWA KWENYE BIASHARA. ANA UWEZO MKUBWA WA KUPANDIKIZA NYOTA YA KUMPATA YEYOTE UMPENDAYE KWA KUMUOA AU KUWA NAYE. ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIYE MBALI PIA ALIYE CHUKULIWA
KWA NJIA YAMSUKULE
NAO UWEZO WA KUUA KESI SUGU NA MPYA NDANI SIKU 7 TU.
MENGINEYO MENGI ZAID YALIYO KUWA SUGU PIGA KWA WALE WALIYO ANGAIKA SEHEMU MBALI MBALI SHARIF HAMAD KALALA NI SULUISHO. ENDAPO UTAMSIKILIZA KWA YALE ATAKAYO KUSHAURI NA KUKUPA
ELEKEZI.
 TIBA NI KWA DINI ZOTE POPOTE ULIPO NJE NA NDANI YA NCHI.
MOBILE +255 -673 025 376
WhatsApp +255-757 069 066
Viewing all 104667 articles
Browse latest View live




Latest Images