Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104414 articles
Browse latest View live

Lunch Time inavyotumiwa na Baadhi ya Wafanyakazi Wanandoa Kuchepuka

0
0
Usije ukajidanganya kumuona mumeo au mkeo eti anarudi nyumbani mapema na weekend hatoki ukadhani uko salama.

Sasa hivi ile lunch time kuanzia saa saba mpaka nane huko maofisini ibilisi anakuwa ameshika usukani, ikizingatiwa sasa kuna mahotel mazuri pande kariakoo, manzese, magomeni zile zinakuwa zimejaa ikifika muda huo, Baadhi ya wake za watu na waume za watu wanakuwa wanacheza mechi za kirafiki mchana mchana wakati wa lunch, watch out

Hili halina ubishi

Kutana na Mtabibu Mongwa Mganga wa Waganga...Sasa Anapatikana Mikoa Yote...

0
0
KUTANA NA MTABIBU MONGWA MGANGA WA WAGANGA SASA WAKO MIKOANI KARIBU YOTE NCHINI...
.
HIVYO WATATOA TIBA MAENEO YOTE YA MBEYA ,DODOMA, IRINGA , MOROGORO, MWANZA,ZANZIBAR

==>KWA WALE WENYE KUHITAJI TIBA

➖Husafisha nyota na kutoa Pete za bahati na kwawale walio sumbuka kwaajili ya matibabu na hawakufanikiwa chochote sasa njoo ujionee miujiza hapo kwahapo bila malipo yoyote malipo baada yakazi napia humpa mtu jini la mali kwayule anaye taka kumiliki bila mashariti yoyote

➖ tunatibu magonjwa mbalimbali yaliyo shindikana mpenzi aliye kukimbia nakumrudisha kwa masaa 24 tu napia natoa dawa za nguvu za kiume kuurefusha uume paka pale unapotaka .

➖natoa dawa za biashara na mvuto ==tunatoa dawa zauzazi kwa wale kina mama wenye matatizoya uzazi walio angaika kwa muda mrefu bila kupata mafanikio yoyote njoo umalize tatizo lako sasa
➖natoa mazindiko yanyumba na mwili biashara na mvuto kazini

➖ kupandisha nyota ili kungaa kupandishwa cheo kazini kurudisha mali zilizo pote zilizo ibiwa kuzulumiwa

➖kesi zilizo shindikana uzimaliza mara moja namengine mengi ya siri

Piga simu
+255 764291657
+255 764291657
+255 764291657
+255 764291657

Hatimaye Daimond Azindua Wimbo wake wa Kombe la Dunia

0
0
Hatimaye Daimond Azindua Wimbo wake wa Kombe la Dunia
MSANII wa bongo fleva, Diamond Platnumz amepata shavu la kusikika Katika wimbo utakaosherehesha Kombe la Dunia 2018 wimbo uitwao Colours nyimbo iliyofanywa na Diamond akishirikiana na Jason Derulo.Wimbo huo ambao umetayarishwa na prodyuza Nahreel kwa kushirikiana na Ma prodyuza kutoka nchi nyingine, umedhaminiwa na kampuni ya ya coca cola Tanzania.

Wimbo huo maalum wa kombe la dunia 2018 umezinduliwa leo Katika Hotel ya Hyatt, jijini Dar es Salaam, ambapo Diamond, Nahreel na msemaji wa Coca Cola wamesema wamesha uachia hewani wimbo huo hivyo unapatikana kwenye mitandao mbalimbali.




Mazoezi ya Polisi Yazua Taharuki Kilimanjaro

0
0
Mazoezi ya Polisi Yazua Taharuki Kilimanjaro
Leo April 24, 2018 majira ya asubuhi Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro limefanya mazoezi kwa vitendo baadhi ya maeno katika mji wa Moshi kitu kilichozua taharuki kwa wakazi wa maeneo hayo.

Taarifa kutoka Moshi zinaeleza kuwa shughuli katika mji huo leo zimesimama kwa muda kufuatia zoezi hilo ambalo polisi walikuwa na silaha za moto.

Hata hivyo Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Kamishna Msaidizi wa Polisi, Hamis Issah amesema zoezi hilo ni la kawaida kwa askari Polisi na kwamba wamekuwa wakipata mafunzo ya nadharia kwa muda mrefu sasa wameamua kuyafanya kwa vitendo.

Lwandamina Apata Mrithi Yanga Tayari Atua Nchini

0
0
Lwandamina Apata Mrithi Yanga Tayari Atua Nchini
Yanga imemtwaa Kocha, Zahera Mwinyi Raia wa DR Congo ambaye tayari yupo nchini kukamilisha mazungumzo ya Yanga kwa ajili ya kuchukua mikoba ya Kocha George Lwandamina ambaye ameshatimukia nyumbani kwao, Zambia.
Mmoja wa wanakamati wa Yanga, amesema kocha huyo alikuwa katika kikosi cha timu ya taifa ya DR Congo iliyokuja nchini kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Taifa Stars na kulala kwa mabao 2-0.

Kocha Mkuu wa DR Congo kwa sasa ni Florent Ibenge aliyewahi kuifundisha AS Vita, moja ya timu kubwa na kongwe nchini humo.

“Tayari ametua nchini jana, nafikiri atamalizana leo na uongozi tayari kwa kila kitu na ataanza kazi,” kilieleza chanzo.
Yanga ilikuwa chini ya Noel Mwandila na Shadrack Nsajigwa ambao walikuwa wakishikilia mikoba ya Lwandamina aliyeamua kurejea kwao.

Heche Atoa Kauli Nzito Baada ya Kutishiwa Maisha

0
0
Heche Atoa Kauli Nzito Baada ya Kutishiwa Maisha
Mbunge wa Tarime vijijini John Heche amesema kuna njama zinaendelea za kutishia maisha yake baada ya kuonekana akiikosoa Serikali kufuatia kauli zake ikiwemo kuhusu ufisadi uliofanyika katika vitambulisho vya taifa vya NIDA .

“Kwa kifupi kuhusu njama zinazoendela za tishio juu ya maisha yangu, imekuwa kawaida sasa kwa taifa letu ukionekana unaikosoa Serikali pengine unaweza ukatengenezewa ajali au vyovyote vile” –John Heche

“Mtakumbuka February 2 nilizungumza kuhusu ufisadi uliofanyika kwenye vitambulisho vya taifa na upandaji wa bei uliofanyika lakini pia nilizungumza kuhusu sakata la ufisadi katika Passport, baada ya kuyazungumza hayo nikaanza kupata vitisho na kuambiwa nimegusa sehemu ambayo wakubwa hawataki uguse” –John Heche

Waziri wa Afya Apiga Marufuku Kuuza Dawa za Maralia

0
0
Waziri wa Afya Apiga Marufuku Kuuza  Dawa za Maralia
Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeendelea na msisitizo wa vituo vya Afya, Zahanati na Hospitali za serikali kuacha tabia ya kuuza dawa za kutibu malaria nchini na endapo mtoa huduma ataenda kinyume na hilo atachukuliwa hatua stahiki dhidi yake.


Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati alipotembelea Zahanati ya Mwandiga iliyopo wilayani Kigoma Mkoa wa Kigoma katika akiwa anangalia hali ya matibabu dhidi ya malaria wilayani humo kuelekea kilele cha siku ya Malaria Duniani.

"Nawaagiza waganga wakuu wa Mikoa na Wilaya kuweka matangazo yanayooonyesha kipimo cha haraka cha Malaria, dawa za kutibu Malaria ya mseto na sindano ya kutibu malaria kali ni bure kwenye kila zahanati, kituo cha afya na hospitali ya serikali", amesema Waziri Ummy.

Aidha, Waziri Ummy amewataka waganga wakuu wa vituo ngazi za zahanati na waganga wakuu wa wilaya waweke namba zao za simu kwenye vituo vya kutolea huduma za afya nchini ili kuwasaidia Watanzania kutoa malalamiko yao pindi wanapopatiwa huduma ambazo za hazikidhi viwango ili kubendelea kuboresha huduma za afya nchini.

Waziri Ummy amesema kuwa katika kujikinga na Malaria wananchi wanatakiwa kutumia vyandarua vyenye dawa, kusafisha mazingira na kuondoa mazalia ya mbu waenezao ugonjwa huo kwani kinga ni bora kuliko tiba.

Sambamba na hilo Waziri Ummy ametoa vyandarua vyenye dawa ya kukinga dhidi ya Malaria katika kijiji cha Mwandiga ili kuendelea na juhudi za kutokomeza Malaria nchini katika kuelekea siku ya Malaria Duniani.

Mwanajeshi Aliyeruhiwa na Bomu Sehemu za Siri Apandikizwa Uume

0
0
Mwanajeshi Aliyeruhiwa na Bomu Sehemu za Siri Apandikizwa Uume
Timu ya madaktari wa nchini Marekani wamefanikiwa kwa mara ya kwanza kwenye historia kufanya upasuaji wa kupandikiza ‘uume’ kwa mwanajeshi aliyejeruhiwa vibaya sehemu za siri.

Inaelezwa kuwa mwanajeshi huyo alijeruhiwa na bomu nchini Afghanistan. Madaktari walifanikiwa kumpandikiza uume pamoja na mfumo wa uzazi mwingine baada ya kupata viungo hivyo kutoka kwa mfadhili wa viungo aliyefariki.

Majonzi ya Rammy Galis kwenye maziko ya Masogange Mbeya (video)

Madaktari hao wa upasuaji wa Chuo Kikuu cha Johns Hopkins Baltimore, Maryland wameeleza kuwa kutokana na mafanikio ya upasuaji huo mwanaume huyo atapona kabisa na viungo vyake vitaendelea kufanya kazi kama kawaida.

Marekani Yatoa Onyo Kali Kuhusu Maandamano ya Mange Kimambi ya April 26

0
0
Marekani Yatoa Onyo Kali Kuhusu Maandamano ya Mange Kimambi ya April 26
Ubalozi wa Marekani nchini umetoa tahadhari kwa wananchi wao wanaoishi Tanzania kuhusu maandamano ya kisiasa yanayotarajiwa kufanyika Aprili 26.

Maandamano hayo yanatarajiwa kufanyika siku ya Muungano huku baadhi ya wanasiasa wakiwa tayari wameshafunguliwa kesi mahakamani kutokana na tuhuma mbalimbali.

Ubalozi umetoa tahadhari kwa raia wake wote kwamba siku ya Aprili 26 wanatakiwa kuwa makini kwa sababu inawezekana kabisa maandamano yakatokea.

Kwenye taarifa hiyo ambayo imetolewa kwa vyombo vya habari imesema kwamba polisi wamejiandaa kukabiliana na maandamano hayo.

“Polisi wanaweza wakatumia mabomu ya machozi na risasi za moto ili kudhibiti maandamano hayo  hivyo ni muhimu kukaa mbali na waandamanaji hao.

Saba wakamatwa kwa kuhamasisha maandamano

Serikali ya Marekani inawatakia kila la kheri raia wa Marekani kwa kuwataka kukaa mbali na makundi ya watu siku hiyo ya Aprili 26 na kufuatilia taarifa kwenye vyombo vya habari ili kujua kinachoendelea.

Polisi Watoa Password ya Simu kwa Kutumia Kidole cha Marehemu

0
0
Polisi Watoa Password ya Simu kwa Kutumia Kidole cha Marehemu
Kutoka Florida nchini Marekani, Jeshi la Polisi limeshukiwa na watu baada ya askari polisi wawili kuingia kwenye nyumba iliyokuwa na msiba na kushinikiza kufungua ‘unclock‘ simu ya marehemu.

Inaelezwa kuwa marehemu huyo Linus Phillip, 30, aliuawa pindi alipojaribu kuwatoroka polisi katika kituo cha mafuta eneo la Largo mnamo March 23, 2018.

Baada ya mwili wake kuachiwa na polisi kwa ajili ya mazishi, wanafamilia wameeleza kuwa waliingia maaskari wawili ambao walijaribu kutumia vidole vya marehemu ili kufungua simu yake.
Mpenzi wa marehemu Victoria Armstrong ameeleza kusikitishwa na kitendo hicho ambacho polisi wenyewe wamedai kuwa ni sehemu ya upelelezi wao.

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?

Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?

Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU.

Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili, ZINDIKO za Nyumba.

MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA.

Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI.

Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

WASILIANA NAE:

+255 622588038
0679119679
+255 764318107

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Kubenea Ahofia Kukamatwa Kwa Bombadier Tena

0
0
Kubenea Ahofia Kukamatwa Kwa Bombadier Tena
MBUNGE wa Ubungo – Dar es Salaam, Saed Kubenea akichangia hoja bungeni leo kuhusu Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano inayosimamiwa na Profesa Makame Mbarawa, ameomba ufafanuzi kutoka kwa Waziri Mbarawa akidai juu ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limefunguliwa kesi nchini Uingereza kutokana na deni la Tsh. Bilioni 80 hali ambayo amedai inaweza kusababisha ndege za Bombadier kukamatwa.



Hayo amesema leo Bungeni, Aprili 24, 2018, na kuongeza kuwa tayari Serikali ya Tanzania imelipa malipo ya awali kwa mawakili kwa ajili ya kesi hiyo.

Jeshi la Polisi: Serikali Haijaribiwi Hakuna Maandamano Yatakayofanyika April 26

0
0
Jeshi la Polisi: Serikali Haijaribiwi Hakuna Maandamano Yatakayofanyika April 26
Jeshi la Polisi Mkoani Arusha linawashikilia watu saba wakidaiwa kuhamasisha maandamano yanayodaiwa kufanyika April 26 mwaka huu.

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha , Kamishina msaidizi mwandamizi, Yusuph Ilembo amesema watuhumiwa hao wamekuwa wakihamasha maandamano kupitia mitandao ya kijamii ikiwapo Telegram na WhatsApp.

Amesema watu watatu kati ya hao saba ni wanafunzi wa vyuo vikuu na walitiwa nguvuni na jeshi hilo mara baada ya kufanya upelelezi wa kiitelejensia na kubaini ushawishi waliyokuwa wanaufanya kupitia mitandao hiyo.

“Nasisitiza hakuna maandamno Aprili 26, atayeandamana atavuna alichopanda kwa serikali hajaribiwi,” amesema Ilembo.

Baadhi ya watuhumiwa hao wanatarajiwa kufikishwa mahakamani muda wowote, huku wakiendelea kuwatafuta wengine kwa njia mbalimbali.

Mrisho Gambo Awapa Somo Wanaume Wanaochepuka

0
0
Mrisho Gambo Awapa Somo Wanaume Wanaochepuka
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amewataka wanaume wote wanaochepuka na kunyanyasa familia zao waache mara moja kitendo hicho kwani sio kitendo cha kiungwana kwa mwanaume anayejitambua.

RC Gambo amewashauri wanaume wote wenye tabia hizo kuacha mara moja na kama watashindwa basi ni bora wakafanya mambo yao kimya kimya na kuheshimu familia zao kwani vitendo hivyo husababisha magonjwa kwenye familia.

“Familia nyingi zipo kwenye mateso kutokana na matendo ya wanaume. Nadhani haya mambo ni sababu kubwa za Presha na sukari kwa familia nyingi. Wanaume ni busara kuheshimu nyumba yako hata kama una vituko vyako.“ameeleza RC Gambo kwenye ukurasa wake wa Instagram na kusisitiza.

“Mwanamke mnaanza nae maisha, mnateseka nae mkiwa hamna chochote halafu Mungu anakupa riziki unaamua kumtesa mkeo. Wakati mwingine mwanaume unachukua hata chakula Cha ndani (unga , mchele, sukari na nk) alichokihangaikia mkeo kwa ajili ya watoto wake na kupeleka nyumba NDOGO.“ameandika Gambo.

Kwa upande mwingine Gambo amesema huu ni muda muafaka kuliangalia tatizo hilo kitaifa kwani familia nyingi zimekumbwa na janga hilo, “Kama Taifa tunahitaji tiba mbadala ya kuzisaidia familia zetu!“.

Trilioni 1.5 za CAG Zinazodaiwa Kupotea Zamuibua Mbatia "Trilioni 1.5 Ni Janga la Kitaifa"

0
0
Trilioni 1.5 za CAG Zinazodaiwa Kupotea Zamuibua Mbatia "Trilioni 1.5 Ni Janga la Kitaifa"
Mbunge wa Vunjo kupitia NCCR – Mageuzi James Mbatia, amesema suala la upotevu wa trilioni 1.5 kwenye ripoti ya CAG sio jambo dogo bali ni janga la kitaifa, kwani fedha hiyo ingeweza kufanya mambo makubwa kwa wananchi wake, ikiwemo ujenzi wa barabara.


Akizungumza Bungeni leo Mheshimiwa Mbatia amesema kuna matukio mengi yanayotokea nchini lakini hayapatiwi ufumbuzi, ikiwemo miradi mibovu inayoteketeza pesa za umma ambazo zingeweza kufanya shughuli za maendeleo, lakini masuala hayo yamekuwa hayafanyiwi muendelezo au kupata muafaka wake.

"Leo hii Jangwani maji yaliyofurika pale, mafuriko yaliyotokea juzi, mradi uliotekelezwa pale, nguvu iliyowekezwa pale, investment iliyowekezwa pale nani anawajibika kwa kushauri ujinga huo wa depo ya Dar es salaam Rapid Transport !? Ukisoma ile taarifa ya CAG hili ni janga la kitaifa la 1.5 trilioni, hii ni kashfa juu ya kashfa, hakuna muendelezo, ule mradi wa kutoka DSM mpaka Bagamoyo boat kashfa, hii kashfa, ATCL kashfa nyingine”, amesema James Mabtia.

James Mbatia ameendelea kwa kuitaka serikali kukubali mawazo ya watu tofauti tofauti katika utekelezaji wa miradi mbali mbali na masuala mengine, ili kujiepusha na lawama kama hizo.

“Lazima kukubali mawazo mbadala, tushirikiane vizuri, tufanye kazi vizuri, kwa kuwa Tanzania ni yetu sote, tusipofuata katiba, tusipofuata sheria, Bunge likajua fasi yake, kuangalia kodi za Watanzania kama zinatumika vizuri, la sivyo Bunge hili litakuja kuhukumiwa kwa nini haya yanatokea”,amesema James Mbatia.

“Msifikiri Mtakuwa Salama, Tutawachukulia Hatua” –Halima Mdee

0
0
“Msifikiri Mtakuwa Salama, Tutawachukulia Hatua” –Halima Mdee
Mbunge wa kawe Halima Mdee amehoji sababu za Serikali kuwekeza zaidi ya Shilingi Trilion moja kuwekeza kwenye mradi wa usafiri wa ndege huku shirika hilo likikosa wataalamu wa kuliendesha na kusababisha kudhoofu kwa shirika hilo wakati pesa hizo zingewekezwa kwenye sekta ya kilimo ingesaidia.

“Hivi inaingia akili timamu kwenye sekta ya kilimo ambayo inaajiri zaidi ya asilimia 75 ya watanzania tumeweka bajeti ya Bilioni 11 wakati kwenye ndege ambapo pesa hizo tunauhakika tunaenda kuzimwaga chini tumeweka Trilion moja” –Halima Mdee

Baada ya Kumzika Masogange, Baba Mtoto wa Aggy Aondoka na Mwanae

0
0
Baada ya Kumzika Masogange Baba Aondoka na WakeIkiwa ni siku moja tangu msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ azikwe, mtoto wake wa pekee Sania Sabri ameondoka na baba yake kurudi jijini Dar es Salaam.

Marehemu Masogange alizikwa jana Aprili 23 mwaka huu pembeni mwa nyumba ya baba yake, Gerald Waya katika kijiji cha Utengule, Mbalizi II mkoani Mbeya.

Baba wa marehemu, Waya amesema mjukuu wake, Sania ameondoka leo Aprili 24 na baba yake Sabri Athman kuelekea jijini Dar es Salaam, ili kuwahi masomo  kwa kuwa sasa hakuna shughuli yoyote ya familia.

Amesema licha ya kumfahamu mjukuu wake Sania, hakuwahi kumfahamu baba yake hivyo msiba huo ndiyo uliowakutanisha na kufahamiana kwa mara ya kwanza. 

 “Mjukuu wangu Sania ameondoka leo alfajiri na baba yake. Sababu ni kuwahi masomo shuleni kwani tumeona shughuli zote ziliisha jana hakuna sababu ya kuendelea kuwa naye hapa, atakuja wakati wa kumaliza matanga,” amesema.

Waya amesema shughuli za kuondoa matanga zitafanyika baada ya siku 40 kupita na  jana walifanya shughuli ya kuwaaga waombolezaji waliolala msibani hapo na kubakia familia tu.

“Hivi sasa kama unavyoona hakuna kinachoendelea, tumebaki familia tu ambayo tutaendelea kuomboleza hadi baada ya siku 40 ya matanga. Haitafanyikia hapa nyumbani badala yake tutarudi kule nyumbani asili ambako ndiko kuna makaburi ya ukoo na nyumba ya baba yangu ipo kule,” amesema  Waya.

Amesema familia zao zote huzikwa kwenye makaburi hayo, lakini mtoto wake ameamua azikwe pembezoni mwa nyumba yake ili asikae mbali naye. Pia, kwenye makaburi ya pamoja kwa sasa hapapitiki kwa urahisi kutokana na mvua zinazoendelea.

Ndege Kubwa Zaidi ya Emirates Iliyobeba Abiria 475 Yatua kwa Dharura Dar...

0
0
Ndege ya Emirates Iliyobeba Abiria 475 Yatua kwa Dharura Dar
Ndege ya kampuni ya Emirates iliyokuwa ikielekea Mauritius ikiwa na abiria 475 wakitokea Dubai, imetua jijini Dar es Salaam leo kwa dharura kutokana na hali mbaya ya hewa nchini humo.

Kamanda wa Polisi wa Viwanja vya Ndege Tanzania, Kamishna msaidizi, Matanga Mbushi ameithibitishia MCL Digital, taarifa hizo akisema ndege hiyo ya Emirates, aina ya Airbus 380, EK701, ilishindwa kutua mara tatu nchini Mauritius kutokana na mvua kali iliyokuwa ikinyesha.

“Hiyo ndege ilikuwa ikielekea Mauritius, sasa hali ya hewa imekuwa mbaya ikashindwa kutua. Rubani alijaribu kutua mara tatu lakini akashindwa ndipo akaamua kuja Dar es Salaam kutua kwa dharura,” alisema Mbushi.

Amesema ndege hiyo ilikuwa na abiria 475 na wote wamepangiwa hoteli ili kusubiri taarifa za hali ya hewa ikiwa nzuri waendelee na safari.

“Kesho kama hali itakuwa nzuri wataondoka,” amesema Mbushi.

Ndege hiyo ni ya Shirika la Emirates la Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE). Ni kampuni tanzu ya Emirates Group, ambayo inamilikiwa na Shirika la Uwekezaji la Serikali ya Dubai.

Le Mutuz: Marehemu Masogange Alinificha Kuhusu Kuwa na Mtoto

0
0
Repost @lemutuz_superbrand (@get_repost)
・・・
LIVE STRAIGHT TALK: The Art Of Leadership Mungu wangu anasema TUTOE HESHIMA AU CREDIT INAPOTAKIWA BILA KUCHELEWA I am the King Of All Bongo Social Media Network ni wajibu wangu ku set the agenda ninasema ni Wajibu wangu kukupa Heshima ya kipekee kwa kazi kubwa uliyoifanya ya kuwaongoza Watanzania kuelekea kumsitiri na kumuhifadhi our good Friend Agness Masongange mpaka leo amewekwa kwenye nyumba yake ya milele SALUTE TO YOU kwa kazi kubwa uliyoifanya ya KUONGOZA cause sawa kuna watu wamechangia misada mbali mbali lakini ilitakiwa a SMART CORDINATION and that came from you ...kabla sijaendelea mimi huwa sio muongo wala mnafiki nimemjua Marehemu kwa muda mrefu sana kwanza nilianza urafiki na mdogo wake na hatimaye yeye ila sipendi kuwa mnafiki HAKUNA SIKU HATA MOJA MAREHEMU ALINIFANYA NIKAAMINI ANA MTOTO MKUBWA kama ninavyojua sasa na nimejua baada ya kutangulia kwake kwenye haki ...ni makosa sana kuilaumu Maiti lakini ndugu zangu Wadada wa Mjini please jifunzeni kuwa proud na maisha yenu mnapo post picha zenu Social Media onyesheni uhalisia hasa kama mna Watoto tujue Watoto ni Malaika wa Mungu tuwapende na tuwaonyeshe badala kuja as a suprise ukishatutoka ...again Hongera sana @stevenyerere2 kwa Ushujaa wako wa kusimama kidete kama Kiongozi na kufanikisha shughuli hii nzima ambayo siku ya kwanza msiba ulipotokea ilikua kama isingewezekana lakini IMEWEZEKANA na Agness amezikwa kwa Heshima kubwa sana ambayo hata yeye sidhani kama alitegemea angekuja kuzikwa nayo ninasema hivi zote ni Juhudi zako umelala macho umehangaika mpaka mazishi ya kiheshima sana yamefanyika ...ujumbe wangu kwa Wasanii ni kwamba asiye na macho asione na mwenye masikio na asisikie lakini leo nawapa live kwamba Steve ndiye kiongozi wenu mnayetakiwa kumuheshimu na kumtumia kutafuta mendeleo yenu now its up to you ...sawa najua figisu figisu zenu lakini mwisho wa siku mkae chini mumpe Uongozi wenu rasmi kwa sababu sio mara ya kwanza anasimama kuwapa heshima mbele ya Jamii ..now haya ni mawazo yangu tu nasema MNYONGE MNYONGENI ila Wasanii Steve ni Kiongozi wenu na uamuzi ni wenu kusuka au kunyoa .....LONG LIVE STEVE NYERERE YOU ARE A NATURAL LEADER

Suma Lee atoa elimu nzito katika post yake ya msiba wa msanii Jebby

0
0

Ameandika Suma Lee:


INNA LILLAH WA INNA ILAIHI RAAJIUUN
#JEBBY

UNAVYO JIHISI KIFO.
Mtu huwa hatambui kuwa amekufa pale anapokufa. Yeye hujihisi anaota anakufa, anajihisi analia, anaoshwa, anafungwa na anateremshwa kaburini. .

Bado anajihisi kuwa anaota anapofunikwa na mchanga. Kisha hulia kwa makelele na hakuna anae msikia.
Baadae kila mtu anapotawanyika na ameachwa pekee chini ya ardhi, Mungu huirudisha roho yake. Anafungua macho na kuamka kutoka "ndoto yake mbaya" .
Mwanzoni, hufurahi na kushukuru kuwa alikuwa anaota tu, na sasa ameamka kutoka usingizini. Kisha hujigusa mwili wake ambao utakuwa umefunikwa na kitambaa cheupe,na kwa mshangao hujiuliza "shati/gauni langu liko wapi?"
Kisha ana anza kujihisi "niko wapi?""hii ni sehemu gani?" Mbona kuna harufu ya udongo kila mahali? Ni nini haswa ninacho kifanya hapa?
Hapo ndipo atakapo anza kugundua kuwa yuko chini ya ardhi na alicho kihisi haki kuwa ndoto!
Ndiyo, anagundua kuwa ni kweli yeye amekufa, na amezikwa. .

Anapiga kelele kadri anavyoweza kuwaita watu waliokuwa karibu nae ambao wangeweza kumuokoa:
"baba"
"mama"
"kaka"
"dada"
"rafiki"

Hakuna anaemjibu. Kisha anagundua kuwa Allah ndio tegemeo lake pekee. Akilia na kumuita huku akimuomba msamaha :
"Yaa Allaaaaah...
Yaa Allaaaaaah...
Nisamehe mimi
Yaa Allaaaaaah!!! .

Anaita akiwa na hofu kubwa,ambayo hakupata kuwa nayo alipokuwa hai . .

Kama alikuwa mtu mwema na mcha Mungu, malaika wawili wakiwa na uso ulio na furaha watamkalisha na kumliwazana kumhudumia vizuri. .

Kama alikuwa mtu mbaya na hakuwa mcha Mungu, malaika wawili watamwongozea hofu yake na kumpa mateso kufuatana na amali zake mbaya. .

Ewe Mola, nisamehe dhambi zangu, dhambi za baba yangu, mama yangu, mke/mume wangu na wanangu na jamaa zangu na marafiki. .

Ewe Allah, usiuchukue uhai wangu ila pale nitakapo kuwa tayari kukutana nawe.

Kaka na dada katika uislam,una chaguo mbili hapa:

#1.Uache ilimu hii hapa isomwe na hakuna kitakacho tokea.

#2.#TAg Isambaze ilimu hii kwa marafiki zako,.na wote wengine.
In Sha Allah itakuwa na manufaa kwao, na wewe utafaidika.
Ameen.

NB:Pichani ni Suma lee akiwa na msanii mwenzake marehemu Jebby.
Viewing all 104414 articles
Browse latest View live




Latest Images