Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104776 articles
Browse latest View live

BREAKING News: Rais Magufuli Aitangaza Manispaa ya Dodoma Kuwa Jiji

$
0
0
Rais Dkt John Pombe Magufuli ameipandisha hadhi Manispaa ya Dodoma kuwa Jiji kuanzia leo Aprili 26, 2018 katika sherehe ya miaka 54 ya Muungano . Ameagiza michakato ya kisheria ianze mara moja na pia aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma ndiye atakuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma.

Okoa Ndoa yako Sasa...Umepungukiwa na Nguvu za Kiume na Unashindwa Kupanda Mlima Vizuri

$
0
0
OKOA NDOA YAKO SASA : JE UMEPUNGUKIWA NA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO AU MPENZI WAKO HAKUTIMIZII UTAKACHO:


Acha kujiona mpweke pale ukutanapo na mpenzi au mke wako kwa sababu ya kutokuwa na nguvu za kiume au Uume wako mdogo

Dawa YA MAPRO POWERA ndio dawa sahihi na tiba tosha kwa sasa Kutibu tatizo na kuponesha kabisa tatizo LA KUWAI KUFIKA KILELENI KABLA MWENZI WAKO BADO AJAKOJOA

KUSHINDWA KURUDIA TENDO LA NDOA NA MWILI KUCHOKA

UUME KUSINYAA NA KUWA LEGELEGE

KUUMWA NA TUMBO WAKATI UNAPOMALIZA KUFANYA TENDO

Dawa hii utumiwa ata na wazee wenye umri mkubwa na haina madhara yoyote

MAKAKANUA HII NI dawa ya maumbili madogo urefusha na kunenepesha saizi upendayo saiz 5-6-7-8 na unene sm 3-4-5 kwa mini huabiki kwa kuwa na UUME mdogo wai sasa upate tiba sahihi kabisa na ni tofauti na ulizowai kutumia :

Tunarudisha mke au mpenzi ndani ya masaa matatu tu zipo dawa za presha kisukali vidonda vya tumbo korodani iliyovimba dawa za uzazi tunapunguza matiti makubwa kitambi na mwili mkubwa dawa zipo FIKA OFISINI KWANGU MBAGALA ZAKHEMU KWA WATEJA AMBAO AMTAKUWA NA NAFASI YA KUJA OFISINI AU MLIO MKOANI MTALETEWA p

Piga simu 0743362017 au 0789234653

DR AGU

Mwanamke Amuua Mchepuko wa Mume Wake Kisha Kujiua

$
0
0
Binti mmoja nchini Marekani ambaye ni mwanasiasa amepigwa risasi hadi kufa nyumbani kwake Philadelphia na mwanamke mmoja ambaye anaelezwa kuwa mke wa mpenzi wake.  Inaelezwa kuwa mwanamke huyo muuaji anayejulikana kwa Jennair Gerardot, 48, alivamia nyumba ya Meredith Chapman, 33, ambaye anadaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mumewe, kisha kumuua kwa risasi na yeye kujiua kwa risasi pia.  WHO: Malaria bado tishio kubwa kwa nchi za Afrika  Wachunguzi wanasema Bi Gerardot kabla ya kufanya tukio hilo alimtumia mume wake message na kumjulisha kuhusu mpango wake huo wa kulipiza kisasi.
Binti mmoja nchini Marekani ambaye ni mwanasiasa amepigwa risasi hadi kufa nyumbani kwake Philadelphia na mwanamke mmoja ambaye anaelezwa kuwa mke wa mpenzi wake.

Inaelezwa kuwa mwanamke huyo muuaji anayejulikana kwa Jennair Gerardot, 48, alivamia nyumba ya Meredith Chapman, 33, ambaye anadaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mumewe, kisha kumuua kwa risasi na yeye kujiua kwa risasi pia.

Wachunguzi wanasema Bi Gerardot kabla ya kufanya tukio hilo alimtumia mume wake message na kumjulisha kuhusu mpango wake huo wa kulipiza kisasi.

Mwanaume Aliyezaa na Masogange Afunguka Mambo Mazito

$
0
0
Mwanaume Aliyezaa na Masogange Afunguka Mambo Mazito
SIKU moja baada ya mazishi ya aliyekuwa mwigizaji wa filamu na video queen maarufu Bongo, Agness Gerald Waya ‘Masogange’ yaliyofanyika juzi, jioni, kijijini kwao, Utengule-Usongwe wilayani Mbalizi jijini Mbeya, mwanaume aliyezaa naye, Sabri Shaban, kwa mara ya kwanza amezungumza na Risasi Mchanganyiko na kuelezea mapya kuhusu maisha yake na staa huyo.



MTOTO MIAKA 11

Kabla ya msiba huo, Sabri aliyezaa na Masogange mtoto mmoja wa kike aitwaye Sanie Sabri mwenye umri wa miaka 11, hakuwa akifahamika kwa watu wengi. Pia watu wengi walikuwa wakishindwa kujua kama Masogange ana mtoto au la.



WASHIRIKIANA MALEZI

Katika mahojiano maalum na gazeti hili, baada ya msiba huo mzito, Sabri alisema kuwa, kifo cha Masogange kimeacha pengo kubwa mno katika maisha yake kwani walikuwa wakishirikiana katika malezi ya binti yao huyo ambaye kwa sasa yupo darasa la saba.



KILA MMOJA NA MAISHA YAKE LAKINI…

Alisema kwamba, licha ya kuwa alikuwa yeye na Masogange hawakuwa pamoja kwa miaka mingi iliyopita huku kila mtu akiwa na maisha yake baada ya kumzaa mtoto huyo, bado walikuwa wanampa malezi mazuri mtoto huyo kwani kuna wakati alikuwa akiondoka kwa baba yake (Sabri), Magomeni na kwenda kuishi kwa mama yake (Masogange), Makongo- Juu jijini Dar kisha kurejea tena kwa baba yake.

“Ni pigo kubwa sana kwangu na kwa mwanangu Sanie. Alikuwa ametuzoea mimi na mama yake. Tulikuwa tunamlea mtoto wetu pamoja. Hata yeye (Sanie) alifurahia sana uwepo wa mama yake.



AENDA KUMPUMZISHA MZAZI MWENZAKE

“Sasa tunaongea hapa, mama yake hayupo tena. Kwa kweli Agness (Masogange) ameniachia pengo kubwa sana maishani mwangu, ninamuomba Mungu ampe nguvu mwanangu (Sanie) katika kipindi hiki kigumu,” alisema Sabri ambaye alisafiri na msiba hadi Utengule, Mbalizi jijini Mbeya kushuhudia mzazi mwenzake akipumzishwa kwenye nyumba yake ya milele.

Katibu wa Baraza la Wanawake Chadema Akamatwa na Polisi Kisa Maandamano ya Mange Kimambi

$
0
0
Katibu wa Baraza la Wanawake Chadema  Akamatwa na Polisi Kisa Maandamano ya Mange Kimambi
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni limedhibitisha kumkamata Katibu wa Baraza la Wanawake la Chadema, Elizabeth Mambosho.

Akizungumza na Mwananchi leo Alhamisi Aprili 26 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni Jumanne Muliro amesema wamemkamata na kumuhoji kwa kosa la kuhamasisha maandamano kwa njia ya mtandao.

"Ni kweli tulimkamata jana usiku na kumuhoji kwa kosa la kuhamasisha maandamano kwa njia ya mtandao na tumemwachia kwa dhamana," amesema Muliro.

Amesema kuwa wanaendelea na upelelezi utakapokamilika akibainika anakosa watamfikisha mahakamani kujibu tuhuma.

Kuhusu polisi kuzagaa mtaani amesema Jeshi la Polisi lina utaratibu wa kuimarisha ulinzi kila kunapokuwa na sikukuu za kidini na zile za kiserikali.



"Ni kweli polisi wetu wako kwenye doria maeneo yote ni utaratibu wetu kila kunapokuwa na sikukuu za kidini na zile za kiserikali hivyo watu wasiwe na wasiwasi waendelee na shughuli zao kama kawaida," amesema Muliro.



Amewataka wakazi wote kuachana na uvunjifu wa sheria hasa kwa njia ya mtandao kwani jeshi liko imara kupambana na wahalifu watakaojaribu kuvunja sheria.

Ushirikina Waitokea Puani Simba TFF Yaichapa Faini ya Milioni 1.5

$
0
0
Ushirikina Waitokea Puani Simba TFF Yaichapa Faini ya Milioni 1.5
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeipiga faini ya jumla ya milioni 1.5 vinara wa michuano ya ligi kuu Simba SC kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo la kuonyesha vitendo vinavyoashiria imani za ushirikina kati mchezo wake dhidi ya Njombe Mji uliofanyika Aprili 3, 2018


Hayo yamebainishwa na taarifa zilizotolewa na Mtendaji mkuu wa Bodi Ligi Boniface Wambura na kusema Kamati ya Usimamizi na Uendeshaji wa Ligi (Kamati ya Saa 72) ya Bodi ya Ligi katika kikao chake kilichopita kiliweza kupitia taarifa na matukio mbalimbali na kukuta baadhi ya vitu vikiwa vimetendeka ndivyo sivyo nakuamua kutoa maamuzi mbalimbali.

"Simba imepigwa faini ya sh. 500,000 (laki tano) kutokana na kuonyesha vitendo vinavyoashiria ushirikina katika mechi iliyofanyika Aprili 3, 2018 kwenye Uwanja wa Sabasaba mjini Njombe, ikiwemo pia mshabiki mmoja wa timu hiyo kuingia uwanjani na kuchukua taulo la kipa wa Njombe Mji lililokuwa golini. Adhabu hiyo imetolewa kwa kuzingatia Kanuni ya 42(1) ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti wa Klabu", amesema Wambura.

Aidha, Wambura amesema katika mechi namba 165 iliyowakutanisha Mtibwa Sugar na Simba nayo wametozwa faini ya sh. 500,000 (laki tano) kutokana na mashabiki wake kuingia uwanjani baada ya filimbi ya mwisho ya mechi hiyo kupulizwa na muamuzi iliyofanyika Aprili 9, 2018 kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

Timu ya Simba pia imepigwa faini nyingine ya ya sh. 500,000 (laki tano) kwenye mchezo namba 200 uliokuwa unawakutanisha na Tanzania Prisons kutokana na kuwakilishwa na maofisa watatu badala ya wanne kwenye kikao cha maandalizi ya mechi 'pre match meeting' katika mechi hiyo iliyofanyika Aprili 16, 2018 kwenye uwanja wa Taifa, Jijini Dar es Salaam.

Pete ya Uchumba Yamtoa Bonge la Povu TID "Usipende Kufuatilia Mapenzi ya Watu"

$
0
0
Povu la TID Baada ya Kuulizwa Kuhusu Mpenzi Wake Aliyemvalisha Pete ya Uchumba 2010 "Usipende Kufuatilia Mapenzi ya Watu"
Msanii wa muziki Bongo, TID amekata kuzungumzia lilipofia penzi lake na mrembo aliyemvisha pete ya uchumba mwaka 2010.

Muimbaji huyu anayetamba na ngoma ‘Wewe Dada’ katika mahojiano na E-Newz ya EATV alisema hapendi kuzungumzia mambo ambayo tayari yameshapita.

“Hiyo sasa it’s very long time, i am not here to discus about my past, you should know that, usipenda kufuatilia mapenzi ya watu hilo ndio tatizo lako,” amesema TID.

Katika hatua nyingine TID amekanusha taarifa zilizodai kuwa anaoa Juny mwaka huu kwa kusema sasa hivi watu wanataka kutengenezea kiki kwa kitendo cha kuoa, kwa hiyo yeye sio mtu kutafuta kiki kwa kutumia ndoa.

Serikali Haitamwonea Huruma Mtu Yoyote Awe Hapa au Nchi ya Nje- Rais Magufuli

$
0
0
Serikali Haitamwonea Huruma Mtu Yoyote Awe Hapa au Nchi ya Nje- Rais Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amesema kwamba serikali zote mbili hazitamvumilia mtu yeyote ambaye ana lengo la kuuvunja Muungano.


Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo alipokuwa akihutubia umma uliohudhuria kwenye sherehe za maadhimisho ya miaka 54 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, kwenye uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma.
Rais Magufuli amesema kwamba Muungano ni mali ya Watanzania hivyo ni jukumu la kila mmoja kuulinda, kwani ndio silaha yetu kama nchi.

"Kwanza napenda kurudia kuwakumbusha Watanzania wenzangu kwamba Muungano wetu ndiyo nguvu yetu na ndio silaha yetu, kila mmoja ana wajibu wa kuulinda. Serikali zote mbili za Tanzania Bara na Zanzibar, kamwe hatutamwonea huruma mtu yeyote, awe raia wa hapa nchini au wa nje ya nchi, atakayetaka kuvunja muungano wetu”, amesema Rais Magufuli.

Pia Ras Magufuli amesema kwamba kufikisha miaka 54 ya Muungano sio kitu rahisi na pia ni kitu cha kujivunia, kwani wapo ambao walijaribu kuungana lakini wameshindwa kudumu kwenye muungano huo.

Tisa Wakamatwa na Polisi Wakiandamana Posta, Dar

$
0
0
Tisa Wakamatwa na Polisi Wakiandamana Dar
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu tisa waliokuwa wakiandamana eneo la Samora Avenue Posta, Dar es Salaam.

Kamanda wa Polisi Kanda, Lazaro Mambosasa amethibitisha kukamatwa kwa watu hao. Kukamatwa kwao kumekuja mara baada ya Jeshi la Polisi kuonya kuwa litawachukulia hatua kali wale wote watakaokaidi agizo la kutoandamana kama walivyoagiza.

Katika hatua nyingine Jeshi la Polisi mkoani Iringa linamshikilia kwa mahojiano Diwani wa Kata ya Igumbiro, Musa Mlawa kwa kosa la kufanya mkusanyiko usio halali.

Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Juma Bwire Diwani huyo anashikiliwa kwa mahojiano ili kubaini chanzo cha mkusanyiko huo.

Utakumbuka Rais Magufuli, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dkt. Mwigulu Nchemba walishaonya kuhusu maandano hayo yaliyokuwa yapengwa kufanyika leo April 26, 2018. Kwa asilimia kubwa maandamano hayo yalikuwa hakihamasishwa kupitia mitandao ya kijamii.

Siri ya Diamond Kupata Mchongo wa Kombe la Dunia Hii Hapa

$
0
0
Siri ya Diamond Kupata Mchongo wa Kombe la Dunia Hii Hapa
Huenda unajiuliza ni utaratibu gani ulitumika kumpa Diamond Platinumz kazi ya kushiriki wimbo maalumu wa Kombe la Dunia, jibu ni kwamba umahiri wake ulitumika kama kigezo.

Raia wa Afrika Kusini na mdau mkubwa wa burudani barani Afrika, Tim Horwood alipewa kazi ya kutafuta wanamuziki watano kuifanya kazi hiyo.

Alipofika ukanda wa Afrika Mashariki anasema hakuna jina jingine lililomjia katika orodha yake fupi zaidi ya Diamond.

Horwood anasema ni msanii aliyeimarisha himaya yake ukanda wa Afrika Mashariki hivyo haikuwa rahisi kumchagua mwingine.

Wasanii wengine waliopata shavu hilo ni Sami Dan wa  Ethiopia; Lizha James wa  Mozambique; Ykee Benda wa  Uganda; na Casper Nyovest wa Afrika Kusini.

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?

Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?

Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU.

Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.

Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili, ZINDIKO za Nyumba.

MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA.

Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI.

Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

WASILIANA NAE:

+255 622588038
0679119679
+255 764318107

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Imani za Kishirikina zaiponza Simba

$
0
0
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeipiga faini ya jumla ya milioni 1.5 vinara wa michuano ya ligi kuu Simba SC kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo la kuonyesha vitendo vinavyoashiria imani za ushirikina kati mchezo wake dhidi ya Njombe Mji uliofanyika Aprili 3, 2018


Hayo yamebainishwa na taarifa zilizotolewa na Mtendaji mkuu wa Bodi Ligi Boniface Wambura na kusema Kamati ya Usimamizi na Uendeshaji wa Ligi (Kamati ya Saa 72) ya Bodi ya Ligi katika kikao chake kilichopita kiliweza kupitia taarifa na matukio mbalimbali na kukuta baadhi ya vitu vikiwa vimetendeka ndivyo sivyo nakuamua kutoa maamuzi mbalimbali.

"Simba imepigwa faini ya sh. 500,000 (laki tano) kutokana na kuonyesha vitendo vinavyoashiria ushirikina katika mechi iliyofanyika Aprili 3, 2018 kwenye Uwanja wa Sabasaba mjini Njombe, ikiwemo pia mshabiki mmoja wa timu hiyo kuingia uwanjani na kuchukua taulo la kipa wa Njombe Mji lililokuwa golini. Adhabu hiyo imetolewa kwa kuzingatia Kanuni ya 42(1) ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti wa Klabu", amesema Wambura.

Aidha, Wambura amesema katika mechi namba 165 iliyowakutanisha Mtibwa Sugar na Simba nayo wametozwa faini ya sh. 500,000 (laki tano) kutokana na mashabiki wake kuingia uwanjani baada ya filimbi ya mwisho ya mechi hiyo kupulizwa na muamuzi iliyofanyika Aprili 9, 2018 kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro.

Timu ya Simba pia imepigwa faini nyingine ya ya sh. 500,000 (laki tano) kwenye mchezo namba 200 uliokuwa unawakutanisha na Tanzania Prisons kutokana na kuwakilishwa na maofisa watatu badala ya wanne kwenye kikao cha maandalizi ya mechi 'pre match meeting' katika mechi hiyo iliyofanyika Aprili 16, 2018 kwenye uwanja wa Taifa, Jijini Dar es Salaam.

"Kamwe Hatutamwonea Huruma mtu” - Rais Magufuli

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amesema kwamba serikali zote mbili hazitamvumilia mtu yeyote ambaye ana lengo la kuuvunja Muungano.


Rais Magufuli ametoa kauli hiyo leo alipokuwa akihutubia umma uliohudhuria kwenye sherehe za maadhimisho ya miaka 54 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, kwenye uwanja wa Jamhuri Mjini Dodoma.
Rais Magufuli amesema kwamba Muungano ni mali ya Watanzania hivyo ni jukumu la kila mmoja kuulinda, kwani ndio silaha yetu kama nchi.

"Kwanza napenda kurudia kuwakumbusha Watanzania wenzangu kwamba Muungano wetu ndiyo nguvu yetu na ndio silaha yetu, kila mmoja ana wajibu wa kuulinda. Serikali zote mbili za Tanzania Bara na Zanzibar, kamwe hatutamwonea huruma mtu yeyote, awe raia wa hapa nchini au wa nje ya nchi, atakayetaka kuvunja muungano wetu”, amesema Rais Magufuli.

Pia Ras Magufuli amesema kwamba kufikisha miaka 54 ya Muungano sio kitu rahisi na pia ni kitu cha kujivunia, kwani wapo ambao walijaribu kuungana lakini wameshindwa kudumu kwenye muungano huo.

Mambosasa Afunguka Sakata la Katibu wa BAWACHA Kupelekwa Rumande Akiwa na Mtoto Mchanga

$
0
0
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Jijini Dar es salaam, Lazaro Mambosasa, ametolea ufafanuzi suala ambalo limeanza kushika hatamu mitandaoni la kukamatwa kwa Katibu wa Baraza la Wanawake CHADEMA kata ya Kisutu Elizabeth Mambosho na kupelekwa rumande akiwa na mtoto mchanga.


Akizungumza na www.eatv.tv, Kamanda Mambosasa amesema mwanamke huyo alishaachiwa kwa dhamana, na kwamba kesi yake inachunguzwa na makao makuu, licha ya kutoweka wazi sababu ya kukamatwa kwake.

“Alikamatwa wakati mimi nipo safarini na alishadhaminiwa, na kesi yake inapelelezwa makao makuu, lakini sijui sababu ya kukamatwa kwake labda muwaulize makao makuu”, amesema Kamanda Mambosasa.

Taarifa za kukamatwa kwa Elizabeth zimezagaa mitandaoni huku watu wakilalamikia kitendo cha kukamatwa akiwa na mtoto wake mchanga aliyejifungua wiki tatu zilizopita, huku akiwa na mshono kwani imeelezwa alijifungua kwa njia ya upasuaji.

Rais Magufuli Atoa Msamaha kwa Wafungwa 3,319

$
0
0
Katika kuadhimisha miaka 54 ya Muungano, Rais wa Jamuhuri ya Muungno wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametoa msamaha kwa wafungwa 3,319.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mamba ya Ndani, imesema kati ya wafungwa hao 585 wataachiwa huru leo na 2,734 wamepunguziwa adhabu zao na wataendelea kubaki gerezani kumalizia sehemu ya kifungo chao kilichobakia.

Pamoja na kutofunga, lakini Cr7 aweka rekodi mpya vs Bayern Munich

$
0
0
Hapo jana Real Madrid wameendeleza rekodi yao nzuri katika michuano ya Champions League baada ya kuichapa Bayern Munich kwa mabao 2-1 na kujiweka katika nafasi nzuri ya kufudhu fainali za Champions League.

Joshua Kimmich aliifungia Bayern Munich bao la kuongoza, bao la Kimmich lilikuwa bao la 100 kwa kocha Jupp Heynckes katika michuano ya Champions League.

Marcelo aliisawazishia Real Madrid,hili lilikuwa bao lake la 3 msimu huu na hii ikiwa msimu wake aliofunga mabao mengi katika Champions League, Marco Asensio bao lake la ushindi lilikuwa bao lake la 3 kama sub msimu huu.

Ushindi wa mabao ya jana kwa Real Madrid umewafanya kushinda michezo 150 katika Champions League, na sasa wanakuwa timu ya kwanza kushinda idadi hiyo ya michezo katika ligi hiyo.

Sii hivyo tu bali pia ushindi wa jana wa Real Madrid unamfanya Cristiano Ronaldo kuvunja rekodi ya Iker Casillas ya ushindi wa mechi 95 katika Champions League na sasa CR7 anakuwa ameshinda mechi 96, japokuwa jana ndio ilikuwa mara ya kwanza kwa Cr7 kutofunga katika mechi 12 za CL.

Shaffih Dauda Ampa Salah Ballon d’Or

$
0
0
Kutokana na kiwango bora anachoendelea kuonesha mshambuliaji wa Liverpool Mohamed Salah kwenye mashindano mbalimbali msimu huu, mchambuzi wa masuala ya michezo Shaffih Dauda amesema kijana huyo wa Misri anastahili kushinda tuzo ya mchezaji bora wa Dunia maafuru kama Ballon d’Or.

Dauda amefika mbali zaidi na kusema kwa kiwango cha Salah katika msimu huu ni zaidi ya wakali wawili duniani Ronaldo na Messi.

“Kwa sasa nafikiri Mo Salah yuko kwenye kiwango bora zaidi ya Messi na wachezaji wengine hata Ronaldo kwa sababu Ronaldo na Messi ndio wachezaji wanaozungumzwa sana.”

Tuzo ya mchezi bora wa Dunia Ballon d’Or wanasema ni nani wa kwenda kuungana na Ronaldo na Messi kwa sababu wao tayari majina yao yako pale kwenye hiyo tuzo, mwingine ni nani anaekwenda kuungana nao kuwania tuzo hiyo?

Dauda anasema, Mo Salah siyo tu anakwenda kukamilisha idadi ya wachezaji watatu wanaoingia fainali kuwania tuzo ya Ballon d’Or msimu huu bali ni akina nani wanakwenda kuungana na Salah kuwania tuzo ya Ballon d’Or.

“Namuweka Mohamed Salah namba moja kwenye tuzo ya Ballon d’Or halafu tutafute wengine wa kuungana nae”-Shaffih Dauda.

JPM Atoa Msamaha kwa Wafungwa 3,000

$
0
0
JPM atoa msamaha kwa wafungwa 3,000
Rais John Magufuli ametoa msamaha kwa wafungwa 3,319 katika maadhimisho ya miaka 54 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar leo.

Taarifa iliyotolewa leo Aprili 26 na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Meja Jenerali Mstaafu Projest Rwegasira, imesema, wafungwa 585 wataachiwa huru kuanzia leo, huku wengine 2,734 wakipunguziwa kifungo na hivyo wataendelea kubaki gerezani hadi watakapomaliza sehemu ya kifungo kilichobaki.

Rais anatoa msamaha huo kwa mujibu wa ibara ya 45(1) (d) ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 “Ni mategemeo ya Serikali kwamba watarejea tena katika jamii kushirikiana na wenzao katika ujenzi wa Taifa na kwamba watajiepusha kutenda makosa ili wasirejee tena gerezani,” imesema sehemu ya taarifa hiyo.

Msamaha mwingine unahusu wafungwa wagonjwa wenye magonjwa kama vile ukimwi, kifua kikuu na saratani.

Jenerali Rwegasira amesema wafungwa hao ni lazima wathibitishwe na jopo la waganga chini ya Uenyekiti wa Mganga Mkuu wa Mkoa au Mganga Mkuu wa Wilaya.

Kundi la tatu linahusu wafungwa wazee wenye umri wa miaka sabini (70) au zaidi.

Jenerali Rwegasira amesema umri huo uthibitishwe na jopo la waganga.

“Pia kuna wafungwa wa kike walioingia na mimba gerezani, pamoja na wale walioingia na watoto wanaonyonya na wasionyonya.Wafungwa wenye ulemavu wa mwili na akili, na ulemavu huo uthibitishwe

Khaligraph Jones, Rick Ross Kukinukisha Wekeend Hii Kenya

$
0
0
Khaligraph Jones, Rick Ross Kukinukisha Wekeend Hii Kenya
Weekend hii inayokuja rapper kutoka nchini Marekani, Rick Ross anatarajiwa kufanya show ya kipekee nchini Kenya.

Show hiyo ambayo imeandaliwa na NRG Radio itafanyika April 28, 2018. Rick Ross anatarajiwa kupanda jukwaani na Khaligraph Jones na Nyashinski kutoka Kenya.

Hii itakuwa ni mara ya pili kwa Rick Ross kufanya show Afrika Mashariki, kwa mara ya kwanza alifanya show Tanzania mwaka 2012 katika tamasha la Fiesta.

Rick Ross anagonga vichwa vya habari tena Afrika Mashariki ikiwa ni miezi minne imepita tangu ashirikishwe na Diamond katika ngoma yake inayokwenda kwa jina la Waka.

Rais wa Korea Kaskazini Kukutana na Mwenzake wa Kusini

$
0
0
Rais wa Korea Kaskazini kukutana na mwenzake wa Kusini
Rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un anakuwa Kiongozi wa kwanza wa nchi hiyo kuingia nchini Korea Kusini tangu kumalizika vita vya Korea, mwaka 1953.

Korea Kusini imesema Rais Moon Jae-in atakutana ana kwa ana na rais Kim kwenye mpaka kati ya nchi hizo mbili, siku ya Ijumaa.

Mzungumzo hayo ya kihistoria yatalenga nia ya hivi karibuni ya Korea Kaskazini ya kuachana na silaha za nuklia.

''Ugumu uko kwenye kufahamu ni kwa kiasi gani watafikia makubaliano kuhusu utayari wa kuachana na silaha za nuklia'' alieleza msemaji wa rais wa Korea Kusini, Im Jong-seok.

Watu walishangaa kumuona Dada yake Rais Kim, Kim Yo-jong mjini pyeongchang
Mkutano huo wa tatu baada ya mkutano wa mwaka 2000 na 2007 ni matokeo ya jitihada zilizofanyika miezi kadhaa kuimarisha mahusiano kati ya Korea hizi mbili na kufungua milango ya mkutano kati ya Kim na Rais wa Marekani Donald Trump.

Kim alitangaza juma lililopita kuwa angesitisha zoezi la majaribio ya silaha za nuklia kwa sasa.Hatua hiyo ilikaribishwa na Marekani na Korea Kusini kama hatua nzuri,ingawa watafiti wa China wameonyesha kuwa eneo linakofanyika jaribio la nuklia la Korea Kaskazini huenda lisitumike tena baada ya mwamba kuporomoka baada ya jaribio la mwisho la mwezi Septemba.

Viongozi hao pia wanatarajiwa kujadili njia za kupata amani katika eneo la Peninsula na kuhitimisha rasmi vita vya Korea vya mwaka 1950-1953, na maswala ya uchumi na kijamii.

Korea Kusini na Marekani zimesema zinasitisha mazoezi ya kijeshi kwa siku moja kupisha mkutano huo.

Kim ataongozana na maafisa tisa, akiwemo dada yake, Kim Yo-jong,aliyeongoza ujumbe wa Korea Kaskazini kwenye michuano ya Olimpiki nchini Korea Kusini mapema mwaka huu.Mkutano huu pia utawahusisha maafisa wa juu wa kijeshi na wanadiplomasia.

''Naona Korea Kaskazini inawapeleka maafisa wa kijeshi pia, Korea inaamini kuwa kusitishwa kwa mpango wa nuklia ni jambo muhimu''.alieleza msemaji wa Korea kusini.

Korea Kusini itapeleka maafisa saba wakiwemo mawaziri wa ulinzi,mambo ya nje na muungano.Mkuu wa majeshi ni sehemu ya ujumbe huo.
Viewing all 104776 articles
Browse latest View live




Latest Images