Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104702 articles
Browse latest View live

Ndalichako aagiza wakamatwe

$
0
0
Prof. Joyce Ndalichako ameagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuwasaka watu wanaosambaza kitabu mitandaoni  chenye picha ya mwili wa binadamu huku kikiwa kimekosewa  na kuongeza kwamba watu hao wana nia ya kuichafua serikali.


Uamuzi huo umetolewa katika mkutano wa kumi na moja wa Bunge la Jamhuri ya muungano unaoendelea jijini Dodoma unaojadili mapendekezo ya bajeti ya mapato na matumizi ya wizara mbalimbali kwa mwaka 2018/19.

Prof. Ndalichako amesema kuwa kitabu cha kiingereza cha darasa la tatu kinachosambaa mtandaoni kilikuwa na makosa na kilisharekebishwa huku wahusika wakichukuliwa hatua lakini kitabu kinachoonyesha picha sehemu za mwili wa mwanadamu ni kitabu ambacho hakitambuliki na serikali hivyo wanaokisambaza watafutwe na wachukuliwe.

Hata hivyo Waziri Ndalichako ametoa hatua hiyo ikiwa ni baada ya Mbunge wa viti maalum, Martha Mlata, kuomba serikali itoe ufafanuzi kuhusu tukio hilo.

Aidha Katika majadiliano ya bajeti ya wizara ya elimu baadhi ya wabunge wameishauri serikali kufanya maboresho ya mitaala ya kufundishia.

Mbali na hayo serikali imeahidi  kulipa deni la shilingi trilioni 1.2 linalodaiwa na mifuko ya hifadhi ya jamii baada ya mpango wa serikali wa kuunganisha mifuko ya jamii utakapokamilika.

Mrembo Sidika Aweka Wazi majibu yake ya UKimwi

$
0
0
Video vixen kutoka nchini Kenya, Vera Sidika ameweka wazi majibu aliyoyapata mara baada ya kwenda kupima Ukimwi.

Mrembo huyo amepima ugonjwa huo hatari duniani akiwa na mpenzi wake Otile Brown ambaye ni msanii wa muziki nchini humo.

Vera Sidika ametumia mtandao wa Snapchart kuonyesha majibu ya vipimo vyao ambayo yanaonyesha wote wawili kutohathirika.

Utakumbuku kipindi cha nyuma mrembo Huddah Monroe aliwahi kudai kuwa Vera Sidika ana Ukimwi, ni kipindi ambacho bifu lao lilikuwa limepamba moto.

Vera Sidika alipata umaarufu mkubwa na kuweza kujulikana na wengi mara baada ya kutokea katika video ya kundi la P-Unit ‘You Guy’ iliyotoka mwaka 2012.

Mrembo Zari Hassan Ajinunulia Zawadi ya Ndinga Mpyaa....Kweli Hard Work Pays

$
0
0
Baada Ya Davido kumzawadua Mpenzi wake Chioma gari wabongo walimsema sana kuwa Mond hajawahi mnunulia hata Rav 4.Hatimaye Bibie kajibu mapigo.

Hongera kwake Hard work pays. She's one in a Million.

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo..

anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.


Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto.

Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

Piga simu +255 622588038 au 0679119679 au +255 764318107

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Tamko Rasmi la Wizara Ya Elimu Kuhusu Kitabu Kinachosambazwa Mitandaoni

$
0
0

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeibuka na kukanusha vikali kuwa kitabu kinachosambazwa katika mitandao ya kijamii kinachoelezea viungo vya mwanadamu sio chapisho la Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na wala sio miongoni mwa vitabu ambavyo vimesambazwa shuleni.

Hayo yamebainishwa na taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini kupitia Wizara ya Elimu Mwasu Sware hii leo Mei 04, 2018 baada ya kusambazwa picha hiyo katika mitandao ya kijamii na kupelekea kuzua mjadala mzito kwa wazazi pamoja na wadau mbalimbali wa sekta ya elimu nchini jambo ambalo wamedai ndiyo sababu pekee ya elimu ya Tanzani kudidimia.

"Kitabu hicho hakina uhusiano wowote wala hakifanani na vitabu ambavyo vimechapishwa hivi karibuni na TET. Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia inawasihi watanzania kupuuza taarifa hizo ambazo siyo za kweli na zina nia ya kupotosha na kuleta usumbufu kwa jamii", amesema Sware.



Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya May 5

$
0
0


Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya May 5

Mbunge Aibua Sakata la Vifo vya Mtikila na Chacha wangwe Bungeni

$
0
0
Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Janeth Masaburi amemtaka Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Mwigulu Nchemba kutoa taarifa bungeni juu ya vifo vya wanasiasa Chacha Wangwe aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila.

Wangwe ambaye alikuwa mbunge wa Tarime kwa tiketi ya Chadema alifariki dunia Julai 27 mwaka 2008 katika ajali ya gari iliyotokea Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma,  Mtikila alifariki katika ajali ya gari  Oktoba 4, 2015 Chalinze wilayani Bagamoyo.

Akichangia bajeti ya wizara hiyo  mwaka 2018/19, Masaburi amemtaka pia waziri huyo kutoa taarifa za kifo cha watalii waliomwagiwa tindikali na makanisa yaliyochomwa moto.

“Tunaomba taarifa, kifo cha Wangwe, Mtikila, watalii waliomwagiwa tindikali na makanisa yaliyochomwa moto Zanzibar,” amesema.

Kuhusu amani amesema Tanzania ipo mahali salama tangu kuasisiwa kwake enzi ya Hayati Mwalimu Nyerere na maraisi wastaafu Ali HassaMwinyi, Benjamin Mkapa, Jakaya Kikwete.

“Hii nchi yetu sote, humu tupo zaidi ya 300 ila Watanzania wapo milioni 60, kila mtu ana haki hamasa ambazo zinatolewa kwa kutubagua zishindwe kwa jina la yesu.  Bila amani hatuwezi kulima hakuna kwenda shule, kustarehe wala kuzaliana,” amesema.

Amesema watu wasitanie amani kwa kutumia dini kwamba dini fulani inaonewa na kuhoji mbona wapo ndani ya Bunge.

“Tusitanie amani, ninaomba Serikali iongeze bajeti ya kutosha katika vyombo vya ulinzi na usalama pia makazi yao yaboreshwe na kujengwa nchi nzima,”amesema.

Mwigulu Nchemba: Wasioridhishwa na utendaji wa polisi waripoti kwangu

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,  Dk Mwigulu Nchemba amewataka wasioridhishwa na utendaji kazi wa Jeshi la Polisi kukata rufaa kwake.

Pia, amewataka wanasiasa wanaozungumzia matukio ya kupotea watu kuwa na ushahidi wa kutosha na kama hawana wasiyazungumze kwani yanajenga taswira hasi kwa nchi.

Ametoa kauli hiyo wakati akijibu hoja za wabunge walizozitoa katika mjadala wa bajeti ya wizara hiyo mwaka 2018/19 na kubainisha kuwa si askari wote ni wema na kwamba  wanaokiuka taratibu za kazi hatua zitachukuliwa dhidi yao.

“Damu ya mwanadamu haiwezi kulinganishwa na thamani ya chama chochote au kabila lolote na sisi hatutakubali damu imwagike bure lakini  panapotokea tatizo la kiutendaji la aina hiyo, hilo ni la mtu mmoja,” amesema.

Kuhusu watu wanaopotea amesema, “Kuna mambo mengi ya kimaadili tumeyafanyia msako, kuna watu wamehama majumbani mwao  kwa msako wa dawa za kulevya na wengine tumeambiwa wamevuka mipaka ya nchi yao na ndio hao wanasema wamepotea na ukituuliza yuko wapi na sisi tutasema yupo wapi.”

Amesema kuna ambao wamekimbia baada ya baadhi ya watu waliokamatwa kuwataja kuwa wanatumia silaha.

“Ukijumlisha hao ambao hawapo na kusema wamekufa hiyo siyo sawa kwani kwa sasa Watanzania ambao wanashikiliwa nje ya nchi katika magereza ni zaidi ya 1,000. Ukisema hao watu wameuawa ni makosa,” amesema.

Joti Atoa Ufafanuzi Kuhusu Kubomolewa kwa Nyumba Yake.

$
0
0
Kufuatia  nyumba yake iliyopo Kisarawe kupigwa alama ya X huku akisemekana anatakiwa aibomoe kupisha upanuzi, Komedian maarufu nchini, Lucas Mhavile ‘Joti’ amefungukia tukio hilo ambalo limevuta hisia kwa mashabiki wake na Watanzania wengine waliotaka kujua undani wake.

Joti ameema; “Wanapanua barabara huku kwetu, lakini upanuzi huo wa barabara hauhusiani kabisa na ubomoaji wa nyumba, wengi wanajua nyumba yangu ndiyo inabomolewa, lakini sivyo kinachobomolewa ni ukuta tu.”

Eneo la Kisarawe na Kibada sio eneo la kwanza kwa Dar es Salaam kukukumbwa na adha ya bomoa bomoa, kabla ya hapo maeneo ya Kimara na Kinondoni Dar es Salaam nayo ilipita bomoa bomoa.

Nyumba ya Joti ni miongoni mwa nyumba zaidi ya 100 zilizopigwa X maeneo ya Kisarawe pamoja na Kibada ili kupisha upanuzi wa barabara.

Salum Mwalimu(CHADEMA) afungua kesi kupinga ushindi wa Maulid Mtulia wa Kinondoni

$
0
0
Ubunge wa Maulid Mtulia wa Kinondoni (CCM), umewekwa rehani na aliyekuwa mpinzani wake, Salum Mwalimu (Chadema) aliyefungua kesi akipinga matokeo ya uchaguzi mdogo uliofanyika Februari 17.

Mtulia aliibuka mshindi kwa kura 30,313 dhidi ya 12,353 alizopata Mwalimu. Uchaguzi huo ulifanyika kutokana na Mtulia kujivua ubunge wa jimbo hilo akiwa CUF na kujiunga na CCM iliyompitisha kugombea.

Mwalimu amefungua kesi dhidi ya Mtulia; msimamizi wa uchaguzi ambaye ni mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG).

Mbali ya kesi ya msingi namba 129 ya mwaka 2018, Mwalimu amefungua maombi ya kusamehewa au kupunguziwa kiwango cha fedha anachopaswa kukiwasilisha mahakamani kama dhamana kwa ajili ya usikilizwaji wa kesi hiyo.

Katika kesi ya msingi, Mwalimu anaiomba mahakama itengue matokeo na itamke kuwa uchaguzi ulikuwa batili, pamoja na mambo mengine akidai uligubikwa na kasoro nyingi na mwenendo mbaya.

Anadai Naibu Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson wakati wa kampeni alitoa kauli za ubaguzi.

Katika hati ya madai , Mwalimu anadai msimamizi wa uchaguzi alishindwa kutoa fomu (kiapo cha siri) kwa mawakala wake wa vituo vya kupigia kura siku saba kabla ya uchaguzi kinyume cha Kanuni za Uchaguzi za mwaka 2015.

Anadai bila sababu za msingi, msimamizi wa uchaguzi alikataa na alishindwa kuteua mawakala mbadala wa vituo vya kupigia kura licha ya kuwasilisha kwake majina ya mawakala hao yaliyopendekezwa.

Pia, anadai aliweka masharti mengine kwa mawakala wa vituo vya kupigia kura akiwataka kuwa na kadi za utambulisho na barua za utambulisho kutoka kwa msimamizi wa uchaguzi, aliloliweka siku ya upigaji kura.

Anadai msimamizi alishindwa kuhakikisha usalama wa masanduku ya kupigia kura, hivyo kusababisha moja katika kituo cha kupigia kura namba 3 kwenye Mtaa wa Idrisa, Kata ya Magomeni kuhamishwa na watu wasiojulikana wakati wa upigaji kura na kurejeshwa nusu saa baadaye.

Mwalimu anadai timu ya kampeni ya Mtulia iliyomhusisha Dk Tulia ilitoa maneno ya ubaguzi na yaliyompa haki isiyo sawa mpinzani wake.

Anadai maneno yaliyotolewa na Dk Tulia ni “Mkimchagua Mtulia nitampanga kukaa karibu na waziri mkuu.”

Mwalimu anadai mtiririko wa kasoro, ukiukwaji wa sheria na utaratibu uliathiri matokeo ya uchaguzi na demokrasia.

Mwanasiasa huyo anaiomba mahakama ibatilishe matokeo yaliyompa ushindi Mtulia akidai uchaguzi haukuwa huru na wa haki, hivyo ni batili.

Katika kesi za uchaguzi kila anayefungua kupinga matokeo anapaswa kuwasilisha mahakamani Sh5 milioni kama dhamana ya usikilizwaji wa kesi kwa kila mdaiwa. Kwa kawaida kesi za uchaguzi wadaiwa wa msingi huwa watatu; mbunge aliyeshinda, msimamizi wa uchaguzi aliyemtangaza mshindi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Kama ilivyo kwa Mwalimu, anapaswa kuwasilisha mahakamani Sh15 milioni kama dhamana ya usikilizwaji wa kesi.

Hata hivyo, Sheria ya Uchaguzi inatoa nafasi kwa mtu ambaye anadhani hana uwezo wa kupata kiasi hicho cha fedha kuwasilisha maombi akiomba kusamehewa zote au kupunguziwa kiwango. Kama mahakama itajiridhisha kuwa hana uwezo basi inaweza kumsamehe au kumpunguzia kiwango na kumpangia itakachoona inafaa.

Mwalimu amewasilisha maombi mahakamani akiomba asamehewe kabisa au impunguzie akidai si mbunge, hivyo hana uwezo wa kuweka kiasi hicho cha fedha.

Mashauri hayo (kesi ya msingi pamoja na maombi), yaliyopangwa kusikilizwa na Jaji Ignas Kitusi yalitajwa mahakamani jana. Jaji Kitusi ameelekeza Mtulia apewe nyaraka za mashauri hayo baada ya kubaini hajapewa.

Mwalimu aliwakilishwa na wakili Alex Masaba, huku msimamizi wa uchaguzi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wakiwakilishwa na Wakili wa Serikali, Benson Hoseah. Mashauri hayo yaliahirishwa hadi Mei 14 yatakapotajwa.

VIDEO: “Tuelezeni, mpaka leo Polisi haijafanya uchunguzi risasi za Lissu”–Zitto

$
0
0
Mbunge wa Kigoma mjini Zitto Kabwe amesema ameitaka Serikali kujibu ni nani anayehusika kuwakamata watu ambao hadi sasa hawajulikani walipo ikiwa Jeshi la Polisi limeshindwa kutolea ufafanuzi hadi sasa.

“Kuna watu ambao wana miaka miwili hadi sasa hawajulikani walipo na Jeshi la Polisi halina maelezo yoyote hadi sasa hivi, yote haya ni mlolongo wa mambo mengi ambayo yanaweza kutuletea shida ndani ya nchi” –Zitto Kabwe

VIDEO:

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume........Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:

GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.

NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0754741788, 0715741788, 0783741788
-DR KUZENZA

Kuhusu Kurudi Lissu Familia Yafunguka Haya

$
0
0
Kuhusu Kurudi Lissu Familia Yafunguka Haya
FAMILIA ya Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu, kupitia kwa msemaji wake Alute Mughwai Lissu, imekanusha taarifa zilizokuwa zikisambaa mitandaoni zikidai mbunge huyo anatarajiwa kurejea nchini wakati wowote baada kupona majeraha ya risasi anayotibiwa huko Ubelgiji.

Alute ambaye pia ni Mwanasheria wa kujiegemea, amesema Lissu anatarajiwa kufanyiwa operesheni nyingine hivi karibuni huku akitoa rai kwa Watanzania kuendelea kumchangia ili aweze kufanikisha matibabu yake ya awamu ya tatu anayoendelea kuyapata nchini humo.

Tunda Akinukisha Tena Amtolea Povu Hamissa Mobetto Kisa Daimond

$
0
0
Tunda Akinukisha Amtolea Povu Hamissa Mobetto Kisa Daimond
KIMENUKA! Muuza sura kwenye video mbalimbali za wasanii wa Bongo Fleva, Tunda Sebastian ‘Tunda’ amelikoleza bifu lake na mwanamitindo Hamisa Mobeto baada ya kumpa mashuti kuwa amejidhalilisha kurudiana na msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.



Kwa mujibu wa chanzo makini, Tunda ambaye aliwahi kuripotiwa kutoka kimapenzi na Diamond, amechukizwa na kitendo cha Mobeto kujipeleka kwa msanii huyo wakati kipindi cha nyuma alishawahi kumdhalilisha.



“Ujue tangu siku ile ya uzinduzi wa Tuzo za Sinema Zetu pale Mlimani City Mobeto alipoweka wazi mwanaume anayemkubali ni Diamond tena wakaenda mbele ya jukwaa kukabidhi tuzo wakikumbatiana kimahaba, Tunda amekuwa akimchukia sana Mobeto na kumuona kama mwanamke asiyejielewa,” kilisema chanzo.



Chanzo kiliendelea kumwaga ubuyu kuwa, kinachomuumiza zaidi Tunda ni hapo nyuma Mobeto alishawahi kumdhalilisha msanii huyo anayetamba na Wimbo wa African Beauty kwa kumtafutia mwanasheria kudai malezi ya mtoto waliozaa naye mahakamani.

“Anajua kabisa alishampeleka Diamond hadi mahakamani kudai malezi ya mtoto na wakaafikiana lakini bado ameendelea kumng’ang’ana tu,” chanzo kiliweka nukta.

Ijumaa lilimtafuta Tunda na kuulizwa juu ya bifu hilo ambapo alilikoleza kwa kumpa Mobeto mashuti ya kufa mtu.

“Huyo Mobeto kazidi, yaani kwanza amekubali kudhalilishwa kwenye ile video ya nusu utupu kisa tu aonekane yupo na Diamond ingekuwa ni mimi wala nisingekubali kudhalilishwa huko.

“Nashangaa sijui kwa nini wanawake wengine wanapenda sana kudhalilishwa, hebu fikiria juzi tu ameenda hadi kumshtaki mwenzake juu ya bwana huyo jua ya malezi ya mtoto lakini leo kasahau yote na kachezewa na video chafu, ametukanwa weee lakini bado yupo tu tena anajiona mjanja,” alisema Tunda.



Tunda alipoulizwa mashuti hayo labda ni kwa sababu aliwahi kutoka na Diamond hivyo anaona wivu alisema;

“Wala sisemi kwa maana hiyo ila huyo mwanamke kazidi bwana! Nashangaa sana kwa mwanamke kuwa hivyo hasa akiwa staa.”



Ili kuweka mzani sawa, Ijumaa lilimtafuta Mobeto ambapo simu yake iliita bila kupokelewa na hata alipotumiwa ujumbe kupitia mtandao wa WhatsApp, juu ya maneno anayosema Tunda, aliishia kusoma bila kujibu.

Hii si mara ya kwanza kwa wawili hawa kuingia kwenye bifu. Awali walidaiwa kurushiana maneno ya chinichini, safari hii Tunda ameamua kumtolea uvivu ‘live’.

Mandojo Afunguka Thamani ya Nyumba Yake Iliyovunjwa.... Asema ni Zaidi ya Milioni 150

$
0
0
Mandojo Afunguka Thamani ya Nyumba Yake Iliyovunjwa.... Asema ni Zaidi ya Milioni 150
Msanii mkongwe wa Bongo Flava, Man Dojo amesema nyumba yake iliyovunjwa ilikuwa na thamani ya zaidi ya Tsh. Milioni 150.

Man Dojo amesema kiasi hicho cha fedha ni makadirio kutokana na mali ambazo zilikuwa katika nyumba hiyo.

“Ile nyumba kwa thamani yake ni zaidi ya Milioni 150, kwa sababu pale nilikuwa na mafremu, nilikuwa na studio, nilikuwa na nyumba yenyewe, mifungo, mabanda ya mifungo, na samani,” Man Dojo ameiambia Clouds TV.

Nyumba ya Man Dojo ilivunjwa na mwishoni mwa March mwaka huu ambapo Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi aliingilia kati suala hilo na kueleza waliofanya hivyo kujisalimisha polisi.



Haji Manara Amwagia Sifa Ajibu " Ajibu ni Kipaji Maridhawa"

$
0
0
Haji Manara Amwagia Sifa Ajibu " Ajibu ni Kipaji Maridhawa"
Mkuu wa Habari na Mawasiliano wa vinara wa Ligi Kuu (VPL) Simba SC, Haji Manara amefunguka na kumwagia sifa nyota wa Yanga Ibrahim Ajib kuwa ni mchezaji bora na mwenye kipaji kilichokuwa kizuri zaidi nchini huku akiwataka mashabiki wa Yanga kuacha kumtolea maneno ya fedheha mchezaji huyo.


Manara ametoa kauli hiyo leo asubuhi Mei 05, 2018 kupitia ukurasa wake maalum wa kijamii baada ya kuwepo taharuki kubwa kwa mashabiki wa soka hasa ya wa Yanga kuvurugwa akili zao juu ya kitendo cha mchezaji huyo pamoja na wenzake watatu kutoweza kuungana na kikosi kilichosafiri juzi kuelekea nchini Algeria licha ya uongozi wa Yanga kutoa sababu zenye umuhimu wa kutoshiriki wachezaji hao.

"Ni kukosa heshima kuliko pitiliza, ni kukosa shukrani na heshima kuna kofaa kukemewa na wadau wote. Kwangu mimi Ajibu ni kipaji maridhawa zaidi nchini kilicho hai hakuna gundu wala nundu", amesema Manara.

Pamoja na hayo, Manara ameendelea kwa kusema "yeye alipe mishahara ya wachezaji? atengeneze morali kwenye timu? kafunga magoli mangapi msimu huu? 'assist' alizofanya hamkuziona ?. Pole dogo ila hao ndio 'gongowazi' bro".

Kwa upande mwingine, Manara amempa ushauri mzito Ibrahim Ajib kuwa endapo ataona mambo yamezidi kuwa magumu huko alipo sasa basi asisite kurudi Simba SC kwa kuwa alivyoondoka hakuua mtu yeyote aliondoka kwa amani na upendo juu yake.

Hiki ndicho Kinachomsumbua Dolnad Ngoma Daktari wake Atoboa Siri

$
0
0
Hiki ndicho Kinachomsumbua Dolnad Ngoma Daktari wake Atoboa Siri
MASTAA wa Yanga, Donald Ngoma na Amissi Tambwe, bado ni majeruhi na hawatarajii kurejea uwanjani hivi karibuni, sasa daktari mmoja mtaalam wa afya za wachezaji amefichua siri ya majeraha ya mastraika hao.



Siyo Ngoma anayesumbuliwa na misuli na Tambwe anayeumwa goti, pia Haruna Niyonzima wa Simba naye ni majeruhi wa muda mrefu akisumbuliwa na kifundo cha mguu.



Sasa Daktari Mwanandi Mwankemwa mtaalam wa afya za wachezaji pia ni daktari wa Azam FC, ameliambia Championi Jumamosi kuwa, mastaa hao hawaponi haraka sababu wanaachwa binafsi kufanya mazoezi.



Mwankemwa alisema timu nyingi hapa nchini hazina makocha wa viungo, ndiyo maana nyota wengi wanachelewa kurudi uwanjani wanapopata majeraha.



“Mchezaji anapoumia halafu ukamuacha mwenyewe afanye mazoezi mepesi ili arejee kwenye kiwango chake kama zamani, utakuwa hautibu tatizo zaidi ya kumuongezea tu.



“Atakapokuwa anafanya hayo mazoezi bila ya kuwa na msimamizi kuna madhara yake kwa sababu anaweza kujiongezea dozi au kufanya kwa kiwango cha chini.



“Nitoe ushauri tu kwa timu zetu iwe Simba, Yanga au hata timu nyingine ziweze kuwa na kocha maalum kwa ajili ya mazoezi ya viungo ambaye atashughulika na wachezaji kama hao wanaotoka kwenye majeraha,” alisema Mwankemwa.

Vera Sidika Aweka Wazi Majibu Yake Baada ya Kupima Ukimwi

$
0
0
Vera Sidika Aweka Wazi Majibu Yake Baada ya Kupima Ukimwi
Video vixen kutoka nchini Kenya, Vera Sidika ameweka wazi majibu aliyoyapata mara baada ya kwenda kupima Ukimwi.

Mrembo huyo amepima ugonjwa huo hatari duniani akiwa na mpenzi wake Otile Brown ambaye ni msanii wa muziki nchini humo.

Vera Sidika ametumia mtandao wa Snapchart kuonyesha majibu ya vipimo vyao ambayo yanaonyesha wote wawili kutohathirika.

Utakumbuku kipindi cha nyuma mrembo Huddah Monroe aliwahi kudai kuwa Vera Sidika ana Ukimwi, ni kipindi ambacho bifu lao lilikuwa limepamba moto.

Vera Sidika alipata umaarufu mkubwa na kuweza kujulikana na wengi mara baada ya kutokea katika video ya kundi la P-Unit ‘You Guy’ iliyotoka mwaka 2012.

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

$
0
0

Kutana na Mtaalam Sharif Hamad Kalala Mchambuzi wa Nyota za Binadamu na Tiba Asili

$
0
0

KUTANA NA SHARIF HAMAD KALALA NI
SHARIFU MCHAMBUZI WA
NYOTA ZA BINAADAMU NA NI MWENYE UPEO MKUBWA KUTAFITI MATATIZO YAKO KABLA YA KUTOA USHAURI WAKE WA TIBA AlJALISHI MBALI ULIKO TIBA YAKE UMFIKIA YEYOTE MWENYE UITAJI POPOTE
DUNIANI.

 SHARIF HAMAD KALALA NI TABIBU MWENYE KUBRI TOKA KWA ALAH ANATIBU KWA NJIA YA VITABU VYA QUR-AN, DAWA ZA ASILI ZA MITI SHAMBA PAMOJA NA DAWA ZA KIARABU.
ANATIBU KWA NJIA YA SIMU KWA KUTOA
MAELEKEZO NAMNA YA MATUMIZI YA DAWA UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE KWA MATATIZO YAFUATAYO:-

 KUFANIKISHA NDOA KWA UNAYE MPENDA KWA HARAKA. KUMRUDISHA MPEZI NDANI YA MASAA 12 TU.
 ULIJALI (NGUVU ZA KIUME) NDANI YA /IKI MMOJA TU
MIGUU KUWAKA MOTO KUTAFSIRI NDOTO MFARAKANO WA WANANDOA MFARAKANO KAZINIKUPANDISHWA CHEO NDANI YA SIKU SABA 7 TU.
KUTOA PETE YA BAHATI KUTOA MAJINI MACHAFU IKIWA NI KWENYE MWILI WA BINADAMU MAJUMBANI NA KWENYE BIASHARA. KUPATA MAFANIKIO YA MALI BILA YA MASHARTI. KUPANDIKIZANYOTA YA KUBASHIRI KUFUNGUA UZAZI KWA WALIYO FUNGWA KWA NJIA YA USHIRIKINA KUTOA VIFUNGO VYOTE VILIVYO FUNGWA KWENYE BIASHARA. ANA UWEZO MKUBWA WA KUPANDIKIZA NYOTA YA KUMPATA YEYOTE UMPENDAYE KWA KUMUOA AU KUWA NAYE. ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIYE MBALI PIA ALIYE CHUKULIWA
KWA NJIA YAMSUKULE
NAO UWEZO WA KUUA KESI SUGU NA MPYA NDANI SIKU 7 TU.
MENGINEYO MENGI ZAID YALIYO KUWA SUGU PIGA KWA WALE WALIYO ANGAIKA SEHEMU MBALI MBALI SHARIF HAMAD KALALA NI SULUISHO. ENDAPO UTAMSIKILIZA KWA YALE ATAKAYO KUSHAURI NA KUKUPA
ELEKEZI.
 TIBA NI KWA DINI ZOTE POPOTE ULIPO NJE NA NDANI YA NCHI.

MOBILE +255 -673 025 376
WhatsApp +255-757 069 066
Viewing all 104702 articles
Browse latest View live




Latest Images