Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104705 articles
Browse latest View live

Mwizi Aliyeiba Mahindi Yakang'ang'ania Kichwani Afikishwa Mahakamani

$
0
0
Mwizi Aliyeiba Mahindi Yakang'ang'ania Kichwani Afikishwa Mahakamani
Mkazi wa Mbezi jijini Dar es Salaam, Frank Joseph amefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Mlandizi mkoani Pwani akishtakiwa kwa wizi wa mahindi.

Joseph ambaye tukio la kukamatwa kwake liliibua hisia na mijadala mitandaoni ikidaiwa alishindwa kutua mzigo aliodaiwa kuuiba, alisomewa shtaka jana mbele ya Hakimu Mkazi, Nabwike Mbaba.

Mshtakiwa anakabiliwa na kesi ya jinai namba 124/2018 akidaiwa kuiba mahindi debe moja yenye thamani ya Sh20,000. Baada ya kusomewa shtaka, mshtakiwa huyo alikiri kutenda kosa.

Hakimu Nabwike aliahirisha kesi hiyo hadi Mei 10 ili kupata maelezo ya mlalamikaji ambaye hakuwepo mahakamani.

Licha ya mahakama kumweleza mshtakiwa kuwa dhamana iko wazi na kumpa sharti la kuwa na mdhamini mmoja atakayesaini bondi ya Sh500,000, alishindwa kutimiza sharti hilo hivyo alipelekwa rumande.

Tangu Mei 3, Joseph alikuwa akishikiliwa na polisi mkoani Pwani akituhumiwa kuiba mahindi kwa mkazi wa Mlandizi.

Tukio la wizi huo lilivuta hisia kwa jamii baada ya mshtakiwa huyo kudaiwa kushindwa kutua mzigo uliokuwa begani hadi alipokimbilia polisi na mwenye mali kupigiwa simu, ambapo alifika na ‘kumsaidia’ kuutua.

Kumbe Ndugu wa Masogange Hawajapewa Mchango Uliochangwa na Kamati ya Wasanii Siri Yavuja

$
0
0
Kumbe Ndugu wa Masogange Hawapewa Mchango Uliochangwa na Kamati ya Wasanii Siri Yavuja
Ndugu wa marehemu Masogange wakiwemo wifi zake ambao pia ndio wanaishi na mtoto wake Sania, wamesema hawajapata taarifa zozote juu ya pesa ambazo zilichangwa na kamati ya wasanii, kwa ajili ya kumsaidia mtoto.


Wakizungumza na Big Chawa kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, mmoja wa ndugu hao aliyejulikana kwa jina la Sada, amesema hawajapata taarifa yoyote kutoka kwa kamati hiyo iliyoundwa na wasanii, ambayo pia ilisimamia kwa kiasi kikubwa mazishi ya Agnes Masogange, na wala hawajawasiliana nao.

“Toka tumekuja hatujapata taarifa zozote, bado hatujawasiliana nao mpaka dakika hii, labda mpaka tuwatafute”, amesema Sania.

Sambamba na hilo ndugu hao wamesema wao wenyewe kama familia wamejipanga kumlea mtoto huyo kwani walikuwa wanamlea hata wakati wa uhai wa mama yake Agnes Masogange.

Baada ya Agness Masogange kufariki kamati maalum iliyoundwa na wasanii mbali mbali wa bongo movie na filamu, walichangisha pesa kwa ajili ya kumsaidia mtoto wa marehemu Sania, ili iweze kumsaidia atakapoingia kidato cha kwanza.

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

Kutana na Mtaalam Sharif Hamad Kalala Mchambuzi wa Nyota za Binadamu na Tiba Asili

$
0
0
KUTANA NA SHARIF HAMAD KALALA NI
SHARIFU MCHAMBUZI WA
NYOTA ZA BINAADAMU NA NI MWENYE UPEO MKUBWA KUTAFITI MATATIZO YAKO KABLA YA KUTOA USHAURI WAKE WA TIBA AlJALISHI MBALI ULIKO TIBA YAKE UMFIKIA YEYOTE MWENYE UITAJI POPOTE
DUNIANI.

 SHARIF HAMAD KALALA NI TABIBU MWENYE KUBRI TOKA KWA ALAH ANATIBU KWA NJIA YA VITABU VYA QUR-AN, DAWA ZA ASILI ZA MITI SHAMBA PAMOJA NA DAWA ZA KIARABU.
ANATIBU KWA NJIA YA SIMU KWA KUTOA
MAELEKEZO NAMNA YA MATUMIZI YA DAWA UKIWA NCHI YOYOTE MKOA WOWOTE KWA MATATIZO YAFUATAYO:-

 KUFANIKISHA NDOA KWA UNAYE MPENDA KWA HARAKA. KUMRUDISHA MPEZI NDANI YA MASAA 12 TU.
 ULIJALI (NGUVU ZA KIUME) NDANI YA /IKI MMOJA TU
MIGUU KUWAKA MOTO KUTAFSIRI NDOTO MFARAKANO WA WANANDOA MFARAKANO KAZINIKUPANDISHWA CHEO NDANI YA SIKU SABA 7 TU.
KUTOA PETE YA BAHATI KUTOA MAJINI MACHAFU IKIWA NI KWENYE MWILI WA BINADAMU MAJUMBANI NA KWENYE BIASHARA. KUPATA MAFANIKIO YA MALI BILA YA MASHARTI. KUPANDIKIZANYOTA YA KUBASHIRI KUFUNGUA UZAZI KWA WALIYO FUNGWA KWA NJIA YA USHIRIKINA KUTOA VIFUNGO VYOTE VILIVYO FUNGWA KWENYE BIASHARA. ANA UWEZO MKUBWA WA KUPANDIKIZA NYOTA YA KUMPATA YEYOTE UMPENDAYE KWA KUMUOA AU KUWA NAYE. ANAO UWEZO WA KUMRUDISHA ALIYE MBALI PIA ALIYE CHUKULIWA
KWA NJIA YAMSUKULE
NAO UWEZO WA KUUA KESI SUGU NA MPYA NDANI SIKU 7 TU.
MENGINEYO MENGI ZAID YALIYO KUWA SUGU PIGA KWA WALE WALIYO ANGAIKA SEHEMU MBALI MBALI SHARIF HAMAD KALALA NI SULUISHO. ENDAPO UTAMSIKILIZA KWA YALE ATAKAYO KUSHAURI NA KUKUPA
ELEKEZI.
 TIBA NI KWA DINI ZOTE POPOTE ULIPO NJE NA NDANI YA NCHI.

MOBILE +255 -673 025 376
WhatsApp +255-757 069 066

Raia wa Kigeni Wanunua Ndoa Nchini Costa Rica

$
0
0
Raia wa Kigeni Wanunua Ndoa Nchini Costa Rica
Lilikuwa swali rahisi, lakini ni swali ambalo liliweza kumshawishi Maria (Jina la kubuni) kuingia kwenye makubaliano

Mwanamama wa makamo alimpatia mwanamke raia wa Costa Rica (46) kiasi cha dola 175 za Marekani ili aolewe na Mwanaume wa kichina ili aweze kupata makazi kwenye he could get residency in the Central American country.

Wakati huo Maria alikuwa akiishi katika maeneo duni mjini San Jose, nchini Costa Rica, alikuwa anahitaji mno msaada aweze kulisha familia yake.

'' hatukuwa na chochote cha kula'', Maria alisema sababu ya kuridhia.

Katika eneo analoishi usalama ni mdogo.''maeneo haya namna ambavyo hutakuwa na habari nyingi ndivyo utakavyoishi kwa muda mrefu.'' mkazi wa eneo hilo alitahadharisha


Kilichotokea kwa Maria si jambo geni hapa.Mwanasheria au mtu wa kati hufika kuwatafuta watu wenye shida na pesa na kuwashawishi kuolewa na raia wa kigeni ambao hata hawajawahi kukutana.

Maria aliolewa bila hata kuyaacha makazi yake.Aliingia ndani ya gari kisha akaweka saini vyeti vya ndoa na kupata dola 175 kwa makubaliano kuwa akielewa kuwa atapewa talaka mapema iwezekanavyo.

Anasema hayo ni maelezo aliyopewa ''walinionyesha picha ya mwanaume mchina wakaniambia'',Bi Maria unaolewa na mwanaume wa China.'' alieleza.

Kwa Maria,mtu wa kati aliendelea na majadiliano kuhusu bei kisha baadae akarejea na makaratasi kwa ajili ya talaka

Miaka michache baadae, aliolewa na raia wa China kwa sababu ya pesa, kama walivyofanya baadhi ya mabinti wake, na mwenza wake.

Watu Zaidi ya 1700 Wameondolewa Katika Nyumba Zao Kuhofia Volkano Hawii

$
0
0
Watu Zaidi ya 1700 Wameondolewa Katika Nyumba Zao Kuhofia Volkano Hawii
Leo May 8, 2018 Watu zaidi ya 1700 wameondolewa katika nyumba zao katika eneo Kilauea nchini Hawaii kutokana na tope la volkano.

Wakazi wa eneo ambalo limekumbwa na volkano wameondolewa wakihofiwa kudhurika kutokana na moshi wa tope la volkano na kupelekwa katika eneo salama.

Tope hilo la volkano linatoa moshi ambao wanasayansi wamesema kuwa ni hatari kwa maisha ya binadamu.







Tunda Man Amchana Bob Junior

$
0
0
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Tunda Man ambaye hivi karibuni ameachia kazi mpya, amempa makavu Bob Junior baada ya kusema kuwa amekurupuka kuachia kazi zaidi ya moja kwa pamoja, na kumtaka amuheshimu.

Akizungumza na eNewz ya East Africa Television, Tunda Man amesema kwamba Bob Junior ni mdogo kwake kimuziki na kila kitu, hivyo hawezi kumsh\uri kitu kwenye muziki wake, hivyo hesima lazima ichukue mkondo wake baina yao.

“Mimi na Bob Junior ni vitu viwili tofauti, mimi nimeanza muziki muda mrefu yeye ameanza juzi juzi tu hapa, mimi kwenye muziki Bob Junior hawezi kunishauri kitu kikaendanana na muziki wangu, yeye naimbie tu ngoma umetoa kali, kitu kikubwa mimi na Bob Junior tuko tofauti kabisa, mimi mkubwa kwake kiumri, mkubwa kwake kimuziki, lazima heshima ifuate mkondo”, amesema Tunda Man.

Sambamba na hilo Tunda Man amesema ataendelea kuachia kazi mpya ndani ya wiki hiii, kwani kitu kilichokuwa kikimzuia kimeshaisha, hivyo mashabiki wake wajiandae kupata burudani kutoka kwake.

Mwalimu Akamatwa kwa Kosa la Kumuoa Mwanafunzi Wake

$
0
0
Mwalimu Akamatwa kwa Kosa la Kumuoa Mwanafunzi Wake
Mwalimu wa Sekondari ya Nyambureti wilayani Serengeti, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumtorosha mwanafunzi wa kidato cha pili kwa zaidi ya siku nne.

Kamanda wa Polisi mkoani Mara, Juma Shija alikiri kushikiliwa kwa mwalimu huyo na kwamba alikamatwa Mei 2.

Hata hivyo, mwalimu huyo amekana kuwa na uhusiano na mwanafunzi huyo na kwamba hizo ni hila za baadhi ya watu kutaka kumharibia kazi.

Naye mkuu wa wilaya hiyo, Nurdin Babu alisema mtuhumiwa anadaiwa kumtorosha mwanafunzi huyo wakati wanatoka kwenye michezo ya Umiseta na kukaa naye kwa siku nne.

“Mwalimu hakuonekana kazini kwa siku nne na mwanafunzi halikadhalika, wazazi wakaanza kumtafuta na baada ya kuonekana na kubanwa mtoto alieleza alikuwa kwa mwalimu kwa kuwa ni mpenzi wake,” alisema Babu.

Babu alisema baada ya mtoto kutoboa siri wazazi walikusanyika wakitaka kumshambulia mwalimu huyo hali iliyoufanya uongozi wa wilaya kutuma polisi ili kumnusuru na kumkamata ili aweze kueleza kwa undani.

“Mtoto huyo anadai kuwa walianza uhusiano Oktoba 25, 2017 akiwa kidato cha kwanza na kuwa mke wake akienda masomoni yeye anaendelea naye, kitendo hiki hatuwezi kukivumilia lazima afikishwe mahakamani,” alisema.

Alisema wanaume wakware hawatavumiliwa kwa kuwa wanawaharibia watoto maisha yao.

Mkuu huyo wa wilaya alisema kwa mwaka jana zilikuwapo mimba zaidi ya 25 kwa shule za msingi na sekondari.

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri hiyo, Juma Hamsini amemsimamisha kazi mwalimu huyo kutokana na tuhuma hizo za utovu wa nidhamu na kuitaka polisi kuhakikisha inamfikisha mahakmani.


Kenya Kuzindua Setillaiti ya Kwanza ya Kihistoria Ijumaa

$
0
0
Kenya Kuzindua Setillaiti ya Kwanza ya Kihistoria Ijumaa
Ijumaa Kenya inatarajiwa kuweka historia kwa kuwa na setilaiti ya kwanza kuwahi kutengenezwa nchini humo itayotumwa katika sayari.

Chombo hicho cha kuzunguka sayari kilitengenezwa na wanafunzi na watafiti wa Chuo Kikuu cha Nairobi kwa ushirikiano na shirika la teknolojia za sayari la Japan Space Agency (JAXA).

Naibu makamu mkuu wa chuo hicho, Profesa Peter Mbithi amesema mafanikio hayo ni dhihirisho ya hatua zilizopigwa nchini kuhusu utafiti wa kiteknolojia ambao unaweza kuchangia katika maendeleo yatakayokuza uchumi wa kitaifa.
Setilaiti hiyo yenye ukubwa wa sentimita kumi kimchemraba itarushwa kwenye sayari kutoka kituo kilichopo Japan, lakini Wakenya kadhaa watapewa nafasi kushuhudia matukio hayo katika Chuo Kikuu cha Nairobi na yatarushwa moja kwa moja.

“Kutakuwa na tukio Japan, katika sayari na hapa chuoni  kile kitakachofanyika Japan kitashuhudiwa na baadhi ya Wakenya ambao watakuwa huko. Hapa tutakuwa na hafla katika ukumbi ambako matukio yatarushwa  moja kwa moja. Tunasubiri siku hiyo kwa hamu,” amesema Profesa Mbithi.



Wale ambao wangependa kuhudhuria hafla hiyo katika ukumbi wa Chandaria uliopo chuoni hapo, watahitajika kutuma maombi kwenye tovuti ya chuo hicho na watafahamishwa kama wamebahatika kupata nafasi.



Profesa Mbithi ameongeza kuwa setilaiti hiyo itatumiwa kukusanya data kuhusu masuala mbalimbali muhimu kama mabadiliko ya hali ya anga, uhifadhi wa wanyamapori, utabiri wa hali ya hewa miongoni mwa mengine.

Ametoa wito kwa wadau wengine waungane nao ili kuimarisha zaidi utafiti kuhusu masuala ya sayari, kutia nguvu chombo hicho ili kifanikiwe kutimiza malengo yake.

Mkuu wa taasisi ya mafunzo ya uhandisi katika chuo hicho, Profesa Jackson Mbuthia amesema setilaiti hiyo yenye uzani wa kilo 14 itasafirishwa hadi kwenye sayari mwendo wa saa saba mchana Ijumaa.

“Huu ni mwanzo wa safari ambayo itawezesha Kenya kushiriki kwenye sayansi ya sayari. Ni mara yetu ya kwanza kupiga hatua hii lakini tunaamini ni muhimu katika ustawishaji wa sayansi nchini,” amesema.



Povu la Shamsa Baada ya Mume Wake, Chid Mapenzi Kutajwa Listi ya Wanaume Aliotoka Nao Wolper

$
0
0
Povu la Shamsa Baada ya Mume Wake, Chid Mapenzi Kutajwa Listi ya Wanaume Aliotoka Nao Wolper
MSANII wa Bongo Fleva, Harmonize ‘Konde Boy’ ameibuka na mpya huku vita baridi kati yake na ex girlfriend wake ambaye ni Staa wa Filamu nchini, Jacqueline Wolper ikizidi kushika kasi kwenye mitandao ya kijamii.

Shamsa Ford Aingilia kati baada ya kuona mume wake kutajwa katika listi ya wanaume 12 aliowahi kutoka nao kimapenzi.

Kupitia ukrasa wake wa instagram shamsa Ford aliandika Hivi, "@harmonize mdogo wangu plz nakuheshimu sana nisingependa kuona jina la mume wangu kwenye huo ujinga wenu, chid kwnu ni anaweza kuwa mshkaji kwangu ni mume kulikuwa hakuna haja ya kuweka jina lake wakati unajua ana maisha mengine tusichukuliane poa"


Wanawake Waandamana Vivua Wazi wakipinga Unyanysaji wa Jinsia

$
0
0
Wanawake Waandamana Vivua Wazi wakipinga Unyanysaji wa Jinsia
Zaidi ya Wanawake 5,000 wameandamana katika mitaa ya mji wa Tel Aviv nchini Israel wengi wao wakiwa vifua wazi wakipinga vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia bila ya kuvaa kitu katika vifua vyao wakipinga vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia nchini humo.

Wanawake hao walioshikilia mabango yenye ujumbe tofauti tofauti wameandamana siku mbili kuanzia Mei 5 hadi jana Mei 7, 2018. Ambapo wamesema lengo la maandamano hayo ni kupaza sauti kwenye jamii kuacha vitendo vya  ubakaji na kubadili mfumo wa utoaji haki kwenye mahakama ambao ni kandamizi kwao.

Kwa mujibu wa mtandao wa Russia Today, umeeleza kuwa wanawake hao pia walikuwa wanapinga zuio la kuvaa nguo fupi au zile zinazoacha asilimia kubwa miili yao ikiwa wazi.
‘Not your toy’: 5,000 feminists go on topless SlutWalk in Tel Aviv in spirit of #MeToo
Zuio hilo lilitangazwa mwaka jana na serikali nchini humo kufuatia hashtag ya #MeToo kuanza kutumika kwenye mitandao ya kijamii duniani kote na wanaharakati pamoja na wanawake maarufu duniani wakipinga unyanyasaji wa kijinsia.

Jerry Muro Atuma Maombi Yanga "Tumeni Mapumziko CAF Ili Mpumzike Mashindano ya Kimataifa"

$
0
0
Jerry Muro Atuma Maombi Yanga "Tumeni Mapumziko CAF Ili Mpumzike Mashindano ya Kimataifa"
Mkuu wa zamani wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano katika klabu ya Yanga, Jerry Muro, amewaomba Yanga kutuma maombi Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) ili wapumzike kushiriki mashindano ya kimataifa.

Muro ambaye aliwahi kukalia kiti hicho kabla ya kuja kuchukuliwa na Dismas Ten ambaye ndiye Afisa Habari wa sasa, amesema ili Yanga waweze kufanya vizuri, njia pekee ya kufanya ni kupumzika kushiriki mashindano hayo.

Kiongozi huyo wa zamani wa Yanga, ameeleza kuwa Yanga hivi sasa wanakuwa kama wanacheza mechi za kirafiki tu huku hakuna dalili zozote zinazoonesha kama itafanya vizuri.

Muro anaamini kama Yanga watapumzika na kusajii wachezaji wenye hadhi ya kimataifa kama uhalisia wa jina kubwa na timu lilivyo, itaweza kuonesha ustahimilivu wa kutosha kuliko kusajili wachezaji ambao hawana hadhi ya kuchezea Yanga.

Ushauri wa Muro kwa Yanga amewataka wafanye hivyo ili waweze kujipanga upya angalau baada ya miaka mitatu mpaka minne kisha warejee katika michuano hiyo ya kimataifa.

Kauli hiyo ya Muro imekuja kufuatia kikosi cha Yanga kukubali kufungwa jumla ya mabao 4-0 dhidi ya U.S.M Alger katika mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika huko Algiers, Algeria Jumapili ya Mei 6 2018.

Vita ya Mzungu wa Harmonize, Wolper Yazidi Kushika Kasi Kila Mtu Atoa Povu

$
0
0
Vita ya Mzungu wa Harmonize, Wolper Yazidi Kushika Kasi Kila Mtu Atoa Povu
MUIGIZAJI maarufu wa Bongo Movie, Jacqueline Wolper amemtupia dongo kali demu wa Harmonize, Sarah baada ya nyepesinyepesi kupenya kwenye mitandano ya kijamii zikidai Muitaliano huyo amemtosa Harmonize na kumchukua Bodyguard wa Diamond Platinumz, Mwarabu Fighter.
Ubuyu huo wa moto uliokuwa ukitrendi Weekend iliyopita ulidai Sarah amezima kwa Mwarabu hali hadi kufikia hatua ya kumpangishia nyumba na huduma zozote alizokuwa anapata Harmonize amezihamishia kwa Mwarabu.

Sarah na Wolper wamekuwa kwenye vita ya mapenzi huku ikidaiwa chanzo ni penzi la Harmonize na hivi karibuni walitifuana kisa Konde Boy. Lakini baada ya tetesi hizo za usaliti kusambaa mitandaoni Sam Misago Tv walimsaka Wolper na kumuuliza nini maoni yake juu ya ishu hii kumuhusu Sarah na Wolper ameishia kumtupia dongo zito Sarah:


“Duh iyo ishu mbona ni exclusive kabisa sijaisikia lakini freshi tu mbona yule demu ni Mlezi wa wana labda kachoka kumlea mwana kaamua kumchukua mwana mwingine freshi tu”.
Bifu la Wolper na Sarah lilianza baada ya Sarah kuanza kuchepuka na Harmonize wakati Wolper yupo Kwenye Mahusiano na Harmonize.
Mzungu Sarah naye akajibu.

Wasiliana na Dr Mabula Anatibu Upungufu wa Nguvu za Kiume, Busha na Matatizo ya Maumbile Madogo kwa Mwanaume

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO
Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliongahika sehemu mbalimbali bira MAFANIKIO MABULA CLINIC ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya JESHINI JE HUNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO NA MWEMBAMBA?

MAPRO PAWER NO 2 ndio Tiba kwa sasa utibu matatizo matatu kwa pamoja 1hitakufanya uchelewe kufika kilekeni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2 uhimalisha misuli iliyoregea na kusinyaa hasa kwa wale walio hasirika na upigaji punyeto 3 itakufanya upate amu ya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MPENZI AU MKE WAKO kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo MAKAKANUA mix ni dawa iliyochanganywa na miti Shamba 9 na Kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 Kwa Urefu na unene sentimita 1-5 dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona? zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke Kwa masaa matatu tu na kukupigia simu yeye mwenyewe mvuto wa biashara kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu tunatibu ngiri miguu mgongo na kiuno kuumwa kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa

TIBA NA USHAULI MUONE DR MABULA AU PIGA SIMU NO 0752348593 UDUMA ZANGU UTAZIPATA POPOTE ULIPO KAMA UWEZI KUFIKA OFISINI

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Kiongozi wa BBG Amtaka Nkurunzinza Kurudisha Matangazo ya VOA

$
0
0
Kiongozi wa  BBG Amtaka Nkurunzinza Kurudisha Matangazo ya VOA
Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Utangazaji wa Mashirika ya Serikali ya Marekani – BBG –  ambayo inasimamia Shirika la Habari la Sauti ya Amerika (VOA), John Lansing, jana Jumatatu alitoa wito kwa Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, kubatilisha uamuzi wa serikali yake, wa kupiga marufuku matangazo ya VOA nchini humo, kama njia ya kuimarisha usalama, kuzuia ghasia na kulinda raia wa Burundi.



Kupitia taarifa, Lansing alisema kuwa bodi hiyo itaendelea kuwaunga mkono raia wa Burundi kwa kutoa matangazo ya kuaminika na yasiyopotosha. Taarifa hiyo ilifuatia hatua ya serikali ya Burundi ya kusitisha matangazo ya Sauti ya Amerika kwa muda wa miezi sita nchini humo kuanzia jana Jumatatu.



Hatua hiyo ilijiri siku moja baada ya dunia kuadhimisha siku ya Uhuru wa uandishi wa habari, na siku kumi tu kabla ya kura ya maoni nchini Burundi ambayo huenda ikabadilisha ukomo wa mihula ya urais. Waandishi wa VOA nchini Burundi walithibitisha kwamba sitisho hilo lilianza kutekelezwa kama serikali ilivyokuwa imesema.



“Ingawa VOA pia hutangaza katika mawimbi ya masafa mafupi, televisheni na kupitia mtandao katika nchi hiyo, hapana shaka kwamba matangazo ya redio kupitia masafa ya FM ndiyo maarufu zaidi nchini Burundi,” alisema Lansing.



Aliongeza kuwa raia wa Burundi wamekuwa wakitegemea Sauti ya Amerika kwa matangazo yasiyoegemea upande wowote, wakati nchi hiyo ikikabiliwa na mzozo unaoendelea wa kisiasa na wa kibinadamu.

“Ni muhimu sana kuendelea na matangazo hayo sasa, kuliko wakati mwingine wowote,” alisema afisa huyo mwandamizi.

Abdul Nondo Aibuka Tena na Kuikosoa Bodi ya Mikopo "Hiki Kigezo Hakifai"

$
0
0
Abdul Nondo Aibuka Tena na Kuikosoa Bodi ya Mikopo "Hiki Kigezo Hakifai"
Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi nchini (TSNP) Abdul Nondo amefunguka na kusema kuwa kigezo cha bodi ya mikopo kutoa mikopo kwa kuzingatia tu wanafunzi waliosoma shule za serikali na kuwabagua wale waliosoma shule za private si sawa kwa kuwa kufanya hivyo ni kuwakosesha haki watu kusoma.


Abdul Nondo amesema hayo siku moja baada ya kauli ya Rais Magufuli kusema kuwa bodi ya mikopo haiwezi kutoa mikopo kwa wanafunzi ambao awali walionekana kusoma katika shule za binafsi na kudai kuwa watu hao wanauwezo hata wa kusomesha na wazazi wao ndiyo maana waliweza kusomeshwa katika shule binafsi walipokuwa wakisoma.

"Mara ya kwanza kabisa, niliwahi sikia kauli ya namna hiyo kwa Katibu Mkuu mstaafu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Maimuna Tarishi akisema kama umesoma private school hupati mkopo. Kauli hii tuliipinga vikali, kipindi hicho na tukasema sio fair sababu gharama za chuo ni kubwa (Ada, hela ya kula ,copy, usafiri,hela ya malazi, hela ya mafunzo kwa vitendo field). Ni tofauti kabisa na fedha ya ada shule ya private laki 8, au mil 1 ambayo pia watu husoma kwa ada hiyo private. Kuwanyima mkopo ni kuwakatishia ndoto zao kabisa"

Nondo aliendelea kusema kuwa sababu nyingine ni kuwa uwezo wa mzazi unaweza kubadilika badilika inawezekana kipindi cha nyuma alikuwa na uwezo wa kulipia gharama lakini kipindi mtoto anaingia chuo labda mzazi amepatwa na magonjwa ya kudumu, uchumi umeyumba kiasi cha kushindwa kumudu gharama hizo jambo ambalo linapelekea wanafunzi wengine kukosa haki ya kusoma elimu ya juu.

"Mfano kipindi mtoto akiwa anasoma 'private' mzazi alikuwa na uwezo wa kulipa, kipindi mtoto anaingia chuo baba au mzazi amepata magonjwa, ameparalyze, amefilisika, kumnyima mkopo mtoto huyu ni kumkatishia malengo yake. Pia tulihoji juu ya kama mtoto amesoma kwa kudhaminiwa inakuwaje, kuna wanaodhaminiwa kusoma private schools na mashirika binafsi, watu binafsi, na husomeshwa shule tuu sio chuo, baadaye hutelekezwa chuo wajitegemee. Hii bodi ya mikopo walisema wataweka kipengele kuambatanisha vielelezo vya udhamini ila huwa ni geresha tuu huwa hawatoi hata uambatanishe ndio maana sio sahihi kutoa mkopo kwa kigezo cha u private schools, au u government schools siyo haki"

"Tulihoji pia wapo waliosoma kwa kurUdia mitihani kutafuta 'credits' mara nyingi hawa huwekwa katika kundi la private schools, wapo QT (qualified Tests), wapo diploma wote hawa huwa termed as private schools. Kuwanyima mkopo kwa vigezo hivi ni kupoteza ndoto zao. Kigezo cha kutoa au kutotoa mkopo kwa kuangalia ulisoma private au government sio kigezo sahihi. Kime katisha ndoto za wanafunzi wengi saana sababu hakitoi majibu halisi ya uwezo wa mwanafunzi kustahimili gharama"

Mbali na hilo Abdul Nondo amesema bodi ya mikopo sasa imekuwa ikikusanya marejesho ya mikopo kuliko kipindi chote kama ambavyo wao wenyewe wamekuwa wakisema hilo hivyo amewaomba kigezo hicho cha kuangalia mwanafunzi alisoma shule gani na kumpa mkopo huku wengine wakikosa mkopo kutokana na shule walizowahi kusoma siyo haki na kuwa kitendo hicho ni kukatisha ndoto za watu kusoma elimu ya juu.

"Hakuna kipindi bodi ya mikopo wanakusanya makusanyo na marejesho Kama kipindi hiki, tuwasii bodi ya mikopo hiki kigezo hakifai. Kama bodi ya mikopo wataamua kukitumia kama kigezo cha kukosa mkopo, basi tunawaomba waandike katika muongozo wao wa 2018/2019 .Wakiongeze kuwa "Kama ulisoma shule ya binafsi hupati mkopo" ili wazazi wajipange mapema na wajue kuwa mtoto akisoma private school hapati mkopo kutoka bodi ya mikopo. Itasaidia ikifafanuliwa hivyo"

Nuh Mziwanda Awaka Kisa Kubemendewa Mtoto wake "Mimi Sitaki Basi Anipe Mtoto Wangu''

$
0
0
Nuh Mziwanda Awaka Kisa Kubemendewa Mtoto wake "Mimi Sitaki Basi Anipe Mtoto Wangu''
Msanii Nuh Mziwanda amelalamikia kitendo cha mama mtoto wake ambaye alikuwa mke wake, Nawal, kuwa na mahusiano na wanaume wengine tofauti tofauti huku akiwa analea mtoto mdogo aliyeza naye,


Akizungumza na www.eatv.tv, Nuh Mziwanda amesema kinachomuumiza zaidi ni maiasha ambayo mtoto wake anaisha ambayo anahisi si salama, huku mama mtu akimkatalia kumpa mtoto.

“Bora angekuwa amekaa analea mtoto, kibaya zaidi anadate na watu tofauti tofauti wakati bado analea mtoto, mimi sijamkataza kufanya mambo yake, ubaya anadate na watu wengine ambao mimi sitaki, basi anipe mtoto wangu nikae naye, akihitaji kumuona aje amchukue siku mbili tatu amrudishe aendelee na mambo yake, na mwanangu haishi kwenye mazingira mazuri anaishi kwenye mazingira mabaya”, amesema Nuh.

Sakata la Nuh na mke wake Nawal sio mara ya kwanza kufika kwnye vyombo vya habari, lakini Nuh bado anaendelea kulalamika kuwa anayimwa mtoto, licha ya maisha ya mama yake ya kutotulia pamoja.

TFF Yawapa Agizo Yanga la Kufanya Uchaguzi

$
0
0
TFF Yawapa Agizo Yanga la Kufanya Uchaguzi
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeitaka klabu ya Yanga kufanya uchaguzi wa kujaza nafasi za viongozi wake waliojiuzulu ikiwemo ya Mwenyekiti kwa wakati kwani tayari muda umeshapita.


Agizo hilo limetolewa kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TFF Revocatus Kuuli  na Kaimu Katibu Mkuu wa TFF Herman Julius akimtaka kuhakikisha klabu ya Yanga na nyingine zinafanya uchaguzi haraka iwezekanvyo.

Mbali na Yanga klabu nyingine zinazotakiwa kufanya uchaguzi kwasasa ni  AFC ya Arusha ambayo inashiriki Ligi daraja la kwanza  na Coastal Union ya Tanga ambayo imerejea ligi kuu msimu huu.

Yanga imekuwa chini ya Kaimu Mwenyekiti, Clement Sanga kufuatia kujiuzulu kwa aliyekuwa Mwenyekiti, Yussuf Manji Mei mwaka jana ambapo imetimiza mwaka saa ikiwa bila Mwenyekiti.

Tayari klabu ya Yanga imeshatangaza kufanya mkutano mkuu wa wanachama mwezi ujao na huenda moja ya agenda katika mkutano huo zinaweza kuwa ni uchaguzi mkuu wa klabu hiyo utakaoipatia viongozi wapya.

Dogo Janja Ajichanganya Hichi Ndicho Alichoandika kwa Mtoto wa Uwoya " Happy Birthday Mdogo Wangu"

$
0
0
Dogo Janja Ajichanganya Hichi Ndicho Alichoandika kwa Mtoto wa Uwoya " Happy Birthday Mdogo Wangu"
Leo May 8, 2018  watu wengi wanasherekea siku zao za kuzaliwa duniani wakiwemo  maarufu na wasio maarufu basi mtoto wa Irene Uwoya ambaye ni Krish ni miongoni mwa watu ambao wanasherekea siku yao ya kuzaliwa leo.

Kupitia ukurasa wa instagram wa Dogo Janja ambaye ni baba yake mlezi Krish yaani mtoto wa mke wake Irene Uwoya ameandika caption ambayo imechukuliwa ni utani na mashabiki wengi na pia kuacha maswali.

>>>“Happy Birthday Mdogo Wangu Krish  Mungu akupe maisha marefu. Mama anatupenda watoto wake wote Tusimuangushe.😉”

Viewing all 104705 articles
Browse latest View live




Latest Images