Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104745 articles
Browse latest View live

“Serikali Mnatufikisha Mahali Pagumu Sana kwa Mambo Madogo ”-Spika Ndugai

$
0
0
“Serikali Mnatufikisha Mahali Pagumu Sana kwa Mambo Madogo ”-Spika Ndugai
Spika wa Bunge Job Ndugai ameieleza Serikali kwamba inaenda kulifikisha taifa mahali pagumu sana kwa kushindwa kumaliza tatizo la ongezeko la bei ya mafuta ya kula nchini na wakati huo amemuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara Charles Mwijage kuja na majibu ya tatizo hilo Bungeni haraka iwezekanavyo.

Kauli hiyo ya Spika imekuja baada ya Mbunge wa Nzega mjini Hussein Bashe aliyetaka kupata majibu ya Serikali kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta hayo ambapo Waziri Charles Mwijage  alimjibu kwamba jambo hilo linashugulikiwa ingawa kwa sasa kuna mvutano umeibuka baada ya meli mbili zenye mafuta kuzuiwa bandarini

Giggs Amuombea Alex Ferguson Ambaye Yupo Mahututi Apone

$
0
0
Giggs Amuombea Alex Ferguson Ambaye Yupo Mahututi Apone
Meneja wa Wales Ryan Giggs anasema anatumai na anaomba meneja wake wa zamani Sir Alex Ferguson ataweza kupona uvujaji wa damu ubongoni.

Ferguson, mwenye umri wa miaka 76, bado yupo katika hali mahututi baada ya kufanyiwa upasuaji wa dharura siku ya Jumamosi.

Meneja huyo wa zamani alimruhusu Giggs wakati huo akiwana miaka 17 kucheza kwa mara ya kwanza katika timu ya Manchester United mnamo 1991 na alikuwa katika kikosi cha kwanza cha mechi 13 za Ferguson na kushinda mataji ya Premier League.

"Sasa ni wakati wa kumuombea na kutamaini kuwa atapona kikamilifu," Giggs ameiambia BBC Wales.
"Amekuwa na ushawishi mkubwa katika kazi yangu ndani na hata nje ya uwanja.

"Najua upasuaji ulikuwana ufanisi - lakini yeye ni mpanaji na hilo ndilo linalonifanya nikafikiria kuwa ataweza kupona."

Meneja wa sasa wa Manchester United na mlinzi wa timu ya taifa ya England Phil Jones, pia ametuma ujumbe kama wa Giggs kwamba anamuombea Ferguson na amemtaja kama babake.

Jones alisajiliwa kutoka Blackburn na Ferguson akiwa na umri wa miaka 19 mnamo Juni 2011 na alikuwa sehemu ya kikosi kilichoshinda cha mechi yake ya mwisho kabla astaafu mnamo Mei 2013 baada ya kushinda mataji 38 katika muda aliyohudumu wa miaka 28 katika klabu hiyo.

"Alinishukulia kama mtoto wake, na lilikuwa jambo la kushangaza," amesema Jones, mwenye umri wa miaka 26.

"Inahuzunisha lakini namjua, na atapambana vilivyo."

Michael Carrick, aliyecheza chini ya ukufunzi wa Ferguson kwa miaka 7 na anapokea ukufunzi wa wa klabu hiyo amesema amuhuzunishwa sana kusikia taarifa kuhusu Ferguson.

Mameneja katika ligi ya England akiwemo wa Arsenal, Arsene Wenger na wa Manchester City's Pep Guardiola, wote walituma ujumbe na maombi mwishoni mwa juma kwa Ferguson, ambaye anasifika kuwa Meneja mwenye ufanisi mkubwa katika historia ya soka Uingereza.

Wenger, ambaye anaondoka Arsenal mwishoni mwa msimu huu, amemtaja Ferguson kama 'mtu mwenye matumaini ' huku Guardiola akisema anamfikira sana mkewe Ferguson Cathy na familia yake nzima akiwemo mtoto wao Darren, ambaye kwa sasa anaisimamia timu ya Doncaster Rovers.

McCain Ampiga Marufuku Trump Kuhudhuria Mazishi Yake

$
0
0
McCain Ampiga Marufuku Trump Kuhudhuria Mazishi Yake
Leo May 8, 2018 Aliyekuwa mgombea urais nchini Marekani Seneta John McCain amesema hataki kumuona Rais wa nchi hiyo Donald Trump akihudhuria mazishi yake.

Mwanasiasa huyo mkongwe mwenye miaka 81 ambaye anasumbuliwa na kansa ya ubongo amesema haoni sababu ya Trump kuhudhuria mazishi yake au hata kulisogelea kaburi lake pindi atakapokuwa amefariki.

Amesema yeye na wenzake zaidi ya wanasiasa 24 wa chama chake cha Republican, walisema hadharani kuwa hawamuungi mkono Trump na walimtaka kumwachia mgombea mwenza Mike Pence nafasi ya kuwania kiti cha urais katika uchaguzi mkuu wa Marekani uliopita.

McCain anasumbuliwa na ugonjwa huo tangu Julai mwaka jana na anadaiwa kuendelea vizuri baada ya kupatiwa matibabu.

Wolper Ajibu Listi ya Wanaume Aliotajiwa na Harmonize "Umenionea Ile List ni Ndogo Sana"

$
0
0
Wolpe Ajibu Listi ya Wanaume Aliotajiwa na Harmonize "Umenionea Ile List ni Ndogo Sana"
Mwanadada Wolper amemjibu  msanii wa muziki Harmonize kwa kumwambia kuwa anaona kama ameonewa kutokana na list hiyo aliyoitao yeye kuhusu idadi ya wanaume aliowahi kutembea nao na kusema kuwa mbona kama list hiyo ni ndogo sana.

Wolper anasema kuwa kuna baadhi ya watu Harmonize amewasahau na kwake anaona kama ameonewa kwa sababu hiyo sio idadi kamili ya wanaume aliyowahi kuwa nao kabla ya kwake yeye , lakini pia wolper amemjibu kuwa kuna baadhi ya wanaume ambao amewaweka kimakosa, kwaio kama anataka ni bora amfate mwenywe ili ampe aliowasahau na pia ampe majina ya ukweli.

"Mwanaume eeh mwanaume eeh hivi ule wimbo walioimba ni TMK,  Embu tushushe mistari kidogo,  ya ile nyimbo ya wanaume eeh #listndogosanaumenionea #alafukunawengineumekosea #njoodmnikupewaukweli #basiyulewanyumanikajuanimmasaikumbemzungu.

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0
Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo..

anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.


Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto.

Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi

Piga simu +255 622588038 au 0679119679 au +255 764318107

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Ndoa ya Alikiba Yamkimbiza Jokate Mitandaoni

$
0
0
Ndoa ya Alikiba Yamkimbiza Jokate Mitandaoni
Miaka kadhaa iliyopita mahusiano ya Alikiba na Jokate yaliingia katika headlines za juu kabisa, hata hivyo baadaye yakuja kuripotiwa kuvunjika lakini hakuna kati yao aliyeweka wazi hilo.

Baada ya Alikiba kufunga ndoa Aprili 19, 2018 na mrembo Aminah kutoka Mombsa Kenya ambaye hakufahamika hapo awali ilithibitisha lilokuwa likizungumzwa lilikuwa na ukweli.

Ndoa Alikiba kila aliyeizungumzia siku hiyo ya April 19, 2018 ilikuwa ni vigumu kuepuka kilitaja jina la Jokate hasa kwa upande wa vyombo vya habari na mitandao.

Siku ya shughuli ya Alikiba Jokate aliposti picha katika ukurasa wake wa Instagram na kuambatanisha na caption iliyosomeka; LoL (Laugh Out Loud). Post hiyo ya Jokate ilienda mbali sana baada ya watu kuhusisha na hatua aliyochukua Alikiba ya kufunga ndoa.

Sasa basi, tangu April 20, 2018 siku moja baada ya Alikiba kufunga ndoa Jokate hajaonekana katika mtandao huo wa Instagram, hivyo hivyo katika mtandao wa Twitter na Facebook, mashabiki wanahoji ukimya wake umesababishwa na nini?.

Hata hivyo utakumbuka March 20, 2018 katika kuadhimisha kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa (Birthday), Jokate aliweka wazi kuwa yupo mbioni kuolewa ingawa hakuweka wazi ni lini na nani atahusika katika ndoa hiyo.

Yanga Yarejea Kimya Kimya Dar

$
0
0
Yanga Yarejea Kimya Kimya  Dar
Taswira baada ya kumalizika kwa mchezo baina ya Yanga na USM Alger uliochezwa  nchini Algeria.

KIKOSI cha Yanga kimewasili Dar leo (Jumanne) Mei 8, 2018 kikitokea Algeria ambako kilicheza mchezo wake wa kwanza wa hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya USM Alger na kupoteza mchezo huo kwa kufungwa 4-0.



Baada ya kurejea nchini, Yanga inakabiliwa na mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara (Vodacom Premier League – VPL)  dhidi ya Tanzania Prisons Alhamisi ya Mei 10, 2018,  mchezo ambao unatarajiwa kuchezwa uwanja wa Sokoine, Mbeya.



Ikitoka mkoani Mbeya, Yanga itacheza mechi nyingine ya VPL dhidi ya Mtibwa Sugar Mei 13, 2018 kwenye uwanja wa Jamhuri mkoni Morogoro kabla ya mchezo wao wa kimataifa dhidi ya Rayon Sports Mei 16, 2018 kwenye Uwanja wa Taifa.


Viongozi 12 Hawajulikani Walipo - Mbunge Mbwege

$
0
0
Viongozi 12 hawajulikani walipo - Mbunge Mbwege
Mbunge wa Kilwa Kusini Selemani Bungara kwa tiketi ya CUF amefunguka na kusema kuwa kuna viongozi kumi na wawili walikamatwa na polisi Rufiji lakini mpaka sasa hawafahamiki viongozi hao wapo wapi na wameshindwa kufikishwa mahakamani.


Bungara amesema hayo bungeni na kusema kuwa atashangazwa sana na wabunge wa CCM hasa wanawake ambao watakuwa wakiiunga mkono na kusema hapa kazi ili hali kuna wanawake wenzao kadhaa wamekamatwa na hawafahamiki mpaka saizi wapo wapi.

"Mhe. Mwigulu kuna viongozi wengine 12 mmewakamata na hawajulikani mpaka sasa wapo wapi, kiongozi wa kwanza ni Ziada Nongwa huyu ni diwani viti maalum kwa tiketi ya CUF na ana mtoto mchanga mmemkamata mmemchukua na hajulikani wapi alipo ni mama huyu hivyo nitaona ajabu sana kina mama wa CCM mama mwenzenu tena diwani kakamatwa na hajulikani alipo halafu mseme hiyo ndiyo kasi, mwingine ni Moshi Mchera Mwenyekiti wa Kitongoji na ni mwanamke pia, Brazili Lyango na mkewe, Jumanne Kirumeke Mwenyekiti wa Ikwiriri, Kisanga Athumani Katibu wa vijana wa CUF, Kasi Mtotela, Mtuko Astela Katibu wa CUF Kata ya Ikwiriri, Khamisi Nyumba Katibu wa CUF wilaya ya Rufiji, Baratu Kisongo, Nanjooma Mlanzi mfanyabiashara Ikwiriri, Abdalah Mkiu na Salimu Mkiu Mwenyekiti mstaafu wa UMWE" alisema Bungara

Mbunge Bungara aliendelea kusisitiza kuwa viongozi wote hao ambao amewataja hapa wamekamatwa na jeshi la polisi lakini hawafahamiki wapi wapo na kusema hawajafikisha mahakamani jambo ambalo ni kinyume na sheria.

"Wote hawa mmewakamata tunaomba mtuambie wapo wapi hawa watu, waleteni mahakamani nakuomba sana Mhe. Mwigulu Nchemba mtuambie hawa watu wako wapi na lini mtawafikisha mahakamani kwani wazee wao wanalia"


Mtoto wa Kylie Jenner Atakiwa Kupimwa DNA

$
0
0
Mtoto wa Kylie Jenner atakiwa kupimwa DNA
Bi. Wanda Webster ambaye ni mama mzazi wa msanii Travis Scott aliyezaa na Kylie Jenner, ametaka mtoto aliyezaliwa na wawili hao kupimwa vinasaba, ili kuthibitisha kama mtoto wake Travis ndiye baba mzazi.


Mama huyo amefikia uamuzi huo mzito baaada ya Kylie kupost picha ya mtoto wake na Travis anayeitwa 'Stormy', na watu kusema mtoto huyo amefanana na mlinzi wa Kylie Tim Chung.

Bi. Wanda anaamini kwamba mtoto wake Travis sio baba mzazi wa Stormy, baada ya watu kuibua maneno mitandaoni kwamba mtoto huyo hajafanana hata kidogo na rapper huyo, na badala yake amefanana na mlinzi wa Kylie Jenner ambaye muda mwingi huwa naye.

Licha ya uamuzi wa mama yake Travis kutaka kufanyika DNA kwa mjukuu wake, wazazi wa Stormy ambao ni Travis na Kylie wameonesha kudharau maneno ya watu wakisema hayana ukweli wowote.

Serikali yamtaka Nape Kuandika Barua ya Maelezo

$
0
0
Serikali kupitia Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imemtaka Mbunge wa Jimbo la Mtama Nape Nnauye kuandika barua ya maelezo ya matatizo ya jimbo lake kuhusiana na kufungwa kwa vituo vya afya kama ilivyoagizwa hapo awali ili tatizo hilo lisiweze kujirudia.

Kauli hiyo imetolewa leo Mei 08, 2018 na Naibu waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Josephat Kandege Bungeni Jijini Dodoma kwenye kikao cha 24 mkutano wa 11 wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati akijibu la nyongeza la Mbunge Nape Nnauye ambaye aliyeuliza serikali ni kwanini isichukue hatua za dharula kwa zahanati zilizofungwa katika maeneo yote jimboni mwake.

"Tukiwa hapa Bungeni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Mkuchika alitoa taarifa kwamba kama yupo Mbunge yeyote na wa eneo lolote ambalo tunalazimika kufunga Zahanati au Kituo cha Afya kutokana na ukosefu wa watoa huduma aandika barua na kumpelekea Mkuchika ili tatizo hilo lisiwe kutokea. Naomba kama Mhe. Nape hakuwepo siku hiyo basi atumie fursa hiyo ili hicho anachokisema kisiweze kutokea", amesema Kandege.

Kwa upande mwingine, Naibu Waziri Josephat Kandege amempongeza Mbunge Nape Nnauye kwa jimbo lake kwa kuweza kujengwa vituo vingi vinavyotoa huduma za afya.

Sugu Kuwasha Moto Baada ya Kutoka Gerezani

$
0
0
Mbunge wa Mbeya Mjini Mhe. Joseph Mbilinyi “Sugu'' amefunguka na kusema kuwa atawasha moto katika jiji la Mbeya Mjini pindi atakapotoka kutumikia kifungo chake cha miezi mitano jela ambapo sasa kinakwenda ukingoni.

Sugu amesema hayo kupitia kwa Mwenyekiti wa baraza la vijana la Chama Cha Demokrasi na Maendeleo (BAVICHA) Taifa Patrick Ole Sosopi ambaye mwisho wa wiki iliyopita alipata fursa ya kumtembelea katika gereza la Rwanda.

"Siyo siri ni kwamba tunaamini mwezi huu watatoka wote ila Sugu anasema atawasha moto Mbeya, na kuwatumikia wananchi na kukutumikia chama mahali popote ambako chama kitamfanya aweze kwenda kwa kuwa yeye ni mjumbe wa kamati kuu, hivyo yapo mambo mengi naamini akitoka atayaeleza mwenyewe kwa undani zaidi, pia Masonga ameahidi akitoka atawaeleza wananchi ni jinsi ambavyo tunapaswa kupigania haki zetu na kuwa hatupaswi kuwa waoga nali tunapaswa kufanya harakati kwa njia nzuri na salama na kugusa maisha ya watanzania ambao tunawaongoza na kuwatetea" alisema Sosopi

Mbali na hilo Sosopi alieleza kuwa viongozi hao wametoa shukrani kubwa kwa watanzania pamoja na wanachama wa CHADEMA kwa jinsi ambavyo walikuwa wanakwenda kuwapa faraja kwa kuwaona magereza.

Hata hivyo Sosopi amedai kuwa viongozi hao mwezi huu wanaweza kutoka japo hajasema itakuwa lini na kusema kuwa watu wa magereza wao ndiyo wanajua siku gani na tarehe gani viongozi hao watatoka ndani ya mwezi huu.

"Tuwe na subira siyo kwamba ni siri lakini tuwe na subiri tunatambua kwamba viongozi wetu hawa wamebakisha muda mchache sana watatoka... ni lini nafikiri hatupo tayari kueleza hilo kwani ni mapema zaidi ila tutawaeleza tu tutakapokuwa tunaona kuna sababu ya kuwaeleza ni lini watatoka lakni tunaamini ndani ya mwezi huu watatoka kwa sababu ni wakati muafaka, kama unavyojua sisi si wasemaji wa Magereza kwamba tunajua wanatoka lini, ila tunachojua watatoka ndani ya mwezi huu" alisisitiza Sosopi

Februari 26, 2018 Mbunge wa Mbeya mjini kwa tiketi ya CHADEMA, Joseph Mbilinyi kwa jina maarufu Sugu na mwenzake Katibu wa CHADEMA Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Emmanuel Masonga walihukumiwa kwenda jela kwa miezi mitano kwa kosa la kumkashfu Rais John Pombe Magufuli.

Bwege ataka Bombardier zipigwe bei ili Kumaliza Tatizo la Maji Nchini

$
0
0
Mbunge wa Kilwa Kusini (CUF), Suleiman Bungara maarufu Bwege amependekeza kuuzwa kwa ndege mbili za Serikali aina ya Bombardier ili fedha zitakazopatikana zitumike kumaliza changamoto za upatikanaji wa maji nchini, kwa madai kuwa zimedumu kwa miaka 57.

Bwege ametoa kauli hiyo leo Mei 8, 2018 bungeni mjini Dodoma katika mjadala wa bajeti ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji mwaka 2018/19.

Huku akizungumza kwa sauti ya kupanda na kushuka, Bwege amemuomba Spika wa Bunge, Job Ndugai kusimamia upigaji kura wa wabunge, ili kubaini idadi ya wanaounga mkono ununuzi wa ndege hizo na wale wanaotaka fedha kwa ajili ya kuwekeza katika miradi ya maji.

“Leo nakuona kama Spika kweli kweli, upo strong (imara) hongera sana,” amesema na kuwataka wabunge kutoshusha lawama kwa waziri wa wizara hiyo, mhandisi Isaack Kamwelwe na Katibu Mkuu wa wizara, Profesa Kitila Mkumbo kwa madai kuwa bila fedha, hawawezi kufanya lolote.

“Serikali inatakiwa kutoa fedha za maendeleo maana mnachokisema si mnachokitenda. Leo mwananchi umuulize ndege na maji nini kizuri, nyinyi wabunge kama kweli tuwaulizeni kununua ndege na kuwapa watu maji bora nini?”

Huku akishangiliwa na baadhi ya wabunge amesema, “wanaosema inunuliwe ndege na wanaosema tuanze maji wasimame, mkirudi mwaka 2020 (baada ya uchaguzi mkuu) mimi sio Bwege. Mheshimiwa Spika uulize, wanaosema ndege na maji halafu tukawaonyeshe huko, mheshimiwa Spika utaruhusu kweli?  Wabunge tuwaheshimu  mawaziri, sisemi Magufuli mzigo, nasema Serikali ya CCM mzigo.”

Amesema katika jimbo lake amekuwa akiomba mara kwa mara hospitali ya wilaya ipelekewe maji, kwamba akihoji maji anajibiwa ndege kwanza.

“Miaka 57 ya CCM tunaongelea maji? Serikali ya CCM amkeni kama hakuna maji, kama hatupati maji Serikali ya CCM bai bai, maji ni uhai na masheikh wako magereza hakuna maji.”

Amesema kutokana na uhaba huo wa maji ni vyema zikauzwa ndege mbili ili kutatua tatizo la maji, “mheshimiwa Spika kwa kuwa uko vizuri, piga kura anayetaka ndege au maji.”

Mara baada ya kumaliza kuchangia, Spika Ndugai amesema, “hata tukiwalaumu Waziri na Katibu Mkuu tunawaonea. Tukiacha mfuko wa maji, Serikali imetoa asilimia 11, lakini kesho waziri wa fedha, akisimama hapa watueleze. Hivi kama wewe ungekuwa waziri ukisimama hapa utasema nini.”

Nina Miaka Minne Kwenye Ndoa ila Mume Wangu Hajawahi Kunifikisha Kileleni..

$
0
0
Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli….yaani nikikutana nae…aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa….na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime…..! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa.

Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi…da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa….wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mimi mwanamke huwa nahitaji…nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya:



1. Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi


2. Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale “Dar es Salaam“ kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.


Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro……tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu….so na mimi nitaanzia  kutafuta wa kurusha nae roho.

Naomba mnisadies what to do at the moment!

By Koleta

Msiwalaumu Wadada wa Mjini Kutembea na Wazee

$
0
0
Nimepanda lift kwenye moja ya jengo maarufu na refu hapa mjinikati karibu na Ohio st. Niko ndani ya lift mzee mmoja smart anongea na simu kwa sauti ya maringo , upole na yenye kujiamini, kulikua kimya hivyo unasikia kabisa upande wa pili ni sauti ya kasichana mazungumzo yalikua hivi.

Mzee - What do you mean..I've told you before not to worry it is within my capability usichukue gari ya chini, chagua landcruiser au yoyote ya juu.

Mdada.- '............. .... 

Mzee. - Ok no problem, njoo sasa hivi uchukue cheque kwa ajili ya kuwalipa NSSF niliongea na mkurugenzi wake akanipromse a nice location for your appartment.

Anyway we njoo ukifika go to reception I have already reserve a place, just wait me in the room nina kikao na waziri nikimaliza nakuja.

Niliwai kufika nikatoka liftini nikamuacha bado anaongea.

Kwa kweli niliona hamna sababu ya kuwasema wadada wanaotembea na wazee this dudes knows how to care jamani......

Vijana Siku hizi Hawajui Kuhonga zaidi ya Kuchafuana tu hata hela ya kununua sababu ni kujisafishia hupati

Mwanzo Mwisho Spika Alivyombana Mwijage..Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya May 9

$
0
0


Mwanzo Mwisho Spika Alivyombana Mwijage..Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatano ya May 9

Meseji(SMS) za zindiko la biashara: Je, huu ni utapeli? TCRA mko wapi?

$
0
0
Wakuu ni kama Mara 3 hivi napokea meseji kwenye simu yangu inayoelezea masuala ya dawa za kiganga hasa mambo ya "Ndagu" na zindiko la biashara.

Meseji ya kwanza nliyowahi kutumiwa ilikua inasema hivi:-

"Mjukuu wa KISIRE naona biashara ya mabasi sasa inatosha umeshanunua mabasi mengi, sasa uje tena sumbawanga nikupe dawa ya kusafisha nyota na ya ndagu Mimi ni babu yako wa Sumbawanga"

Leo nimetumiwa hii:-

" Ile Dawa Ya Kusafisha nyota Yako Nazindiko Lamalizako Tayali Nimekamilisha Mjuku Wang Uje Uchukue Nashukulu Pia Kama Ndagu Imeaza Kufanya Kazi"

Je hawa ni matapeli!!? Kwa anaejua suala hili atuambie.

TCRA na Serikali wanatulindaje wananchi? Kwanini namba zimesajiliwa na watu wanaendelea kufanya uhalifu huu?

Sampuli za SMS na namba kadhaa zinazotumiwa:


TANZIA: Bilali Mashauzi Afariki Dunia

$
0
0
Muimba Taarabu Bilal Mashauzi ameaga dunia jana Jioni. Chanzo cha Kifo chake bado hakijawekwa wazi.

Pumziko jema Bilal.

Nandy adai yeye na Aslay ni miongoni mwa wasanii watano matajiri zaidi Tanzania

$
0
0
Jamani naanza kuona nandy akiweka Akili chini na kuanza kutumia matope.

Huyu dada kafanya interview kwenye The playlist ya Times Fm na amesema eti akitaja wasanii watano matajiri Tanzania basi Aslay ni wa tatu na yeye ni wa nne

Kweli Nandy na Aslay wana hela kuliko wasanii hawa

Diamond

Alikiba

Prof JAY

AY

LADY JAYDEE

HARMONIZE

RAYVAN

MWANA FA

RICH MAVOKO

Nandy tuombe radhi au tukuombee labda umeanza kudata

By Jerry Rebiam

Shahidi adai gari lililobeba wanafunzi Lucky Vicent halikuwa na kibali

$
0
0
Shahidi wa nne upande wa mashtaka katika kesi inayomkabili mmiliki wa Shule ya Lucky Vicent, Innocent Mushi pamoja na makamu mkuu wa shule hiyo, Longino Nkana jana ameieleza Mahakama ya Wilaya ya Arusha kuwa gari lililobeba wanafunzi wa shule hiyo halikuwa na kibali cha kusafirisha wanafunzi.

Shahidi huyo, Allen Mwanri (48) ambaye ni ofisa mfawidhi wa Mamlaka ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) alisema gari hilo lilipewa leseni ya kusafirisha abiria kutoka wilayani Arusha kuelekea Mirerani Mei 16, 2016 na kiliisha Mei 15, 2017.

Mbele ya hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama hiyo, Desdery Kamugisha shahidi huyo aliieleza mahakama kwamba kwa mujibu wa kumbukumbu za ofisi, haijawahi kupokea maombi yoyote ya kubadilisha matumizi ya leseni ya gari hilo tangu kumalizika kwa leseni yake.

Kesi hiyo imeahirishwa hadi leo  ambapo shahidi mwingine upande wa mashtaka atafika mahakamani hapo kuwasilisha utetezi wake.

Wanafunzi 32 wa shule hiyo, walimu wawili na dereva Mei 6, 2017 walifariki dunia kwa ajali ya basi la shule hiyo eneo la Rhotia, Karatu mkoani Arusha wakati wakielekea Karatu ambako watoto hao walipaswa kufanya mtihani wa kujipima uwezo na wale wa Shule ya Tumaini.

Wakati kesi hiyo ikiendelea baadhi ya wazazi ambao watoto wao walifariki katika ajali hiyo walikuwa nje ya mahakama hiyo.

Mtoto wa miaka mitatu aliwa na chui Uganda

$
0
0
Kutoka nchini Uganda, Maafisa wa Wanyamapori wanaendelea kumsaka chui aliyemshambulia na kumla mtoto wa miaka mitatu pamoja na mwangalizi wa Hifadhi ya Taifa ya Queen Elizabeth.

Tukio hilo linaelezwa kutokea Ijumaa ya wiki iliyopita ambapo mtoto huyo anayefahamika kwa jina la Elisha Nabugyere alimfuata mlezi wake nje ya nyumba yao ambayo haikuwa na uzio na ndipo chui huyo alipomuona na kumshambulia.

Msemaji wa Mamlaka ya Hifadhi nchini Uganda Bashir Hangi ameeleza kuwa mlezi huyo hakujua kuwa mtoto alimfuata nje, lakini alisikia kelele za mtoto huyo kulia na alivyotoka nje chui huyo alitokomea hifadhini na mtoto huyo.

Hangi amesema kwamba siku mbili mbele walipata fuvu la kichwa tu la mtoto huyo.
Viewing all 104745 articles
Browse latest View live




Latest Images