Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

Je Wajua Kwanini Asilimia Kubwa ya Wanaume Wana Upungufu wa Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo?

$
0
0

JE' WAJUA KWANINI ASILIMIA KUBWA YA WANAUME WANA UPUNGUFU, UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO YA UUME?

CHANZO HUWA NI:

(Kisukari, presha, ngiri, korodani kuvimba na kuuma, busha,zinaa,tumbo kuuma chini ya kitovu na kuunguluma nakujaa gesi, kutopata choo vizuri, punyeto, vidonda vya tumbo, bawasili.

Haya ni baadhi ya magonjwa yanayochangia upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume na uume kuwa mdogo.

TIBA YAKE NI "KIBOKO POWER"

Kiboko Power Ni dawa ya mitishamba ya vidonge yenye uwezo mkubwa sana wa kutibu upungufu au ukosefu nguvu za kiume.

(1) Itakufanya uwe na uwezo mkubwa sana wa kufanya tendo la ndoa.

(2) Inaongeza hamu ya tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha.

(3) Itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dk 30 nakuendelea.

(4) Itaufanya uume uwe na nguvu mara dufu wakati wote wa tendo la ndoa.

TIBA YA KUKUZA UUME SAIZI UIPENDAYO NI " SUPER FARU"

Super Faru Inanenepesha na kurefusha uume saizi uipendayo kuanzia nchi 3 hadi 8 na unene sm 2 hadi 4 .

(1) Inaimarisha mirija ya uume iliyolegea au kusinyaa.
(2) Inasaidia kusafisha mishipa ya uume na hivyo kusaidia katika kuongeza kasi msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume.

(3) Inasaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani.
(4) Inasaidia kuongeza manii nyingi ambazo zina viini vya uzazi
(5) Inatibu pia madhara yanayosababishwa na upingaji punyeto, matumizi ya madawa ya kizungu ya kuongeza nguvu au maumbile ya uume, milungi, bangi na sigara.

PIA NATIBU MAGONJWA YOTE SUNGU NAYALIYOSHINDIKANA KAMA VILE,

Kisukari, korodani kuvimba na kuuma, busha bila upasuaji, tezi dume, presha, zinaa miguu kuwaka moto au kufa ganzi, presha, mgoro nk.

Pia narudisha mme, mke, mchumba, hawara, aliyekuacha ndani ya masaa 4 tu, nakutimiza ahadi zote ulizoahidiwa.

Pia natoa utajiri wa majini ambao hauna masharti magumu na kutoa ndangu za utajiri.

Kumbuka nashughulika na matatizo yote yaliyopo ndani ya mzunguko wa binadamu usisite kunieleza hata kama sijayaandika.

WASILIANA NA DR ULIMWENGU KWA TIBA BORA NA SALAAMA KABISA

ANAPATIKANA DAR MAGOMENI SIMU 0759030343 / 0622790494.

KAMA HAUNA MUDA WA KUFIKA OFISINI HUDUMA HII UTAIPATA POPOTE ULIPO.

Yaya Toure aagwa kwa heshima Man City

$
0
0

HATIMAYE kiungo Yaya Toure ameagwa rasmi ndani ya Klabu ya Manchester City baada ya kuitumikia timu hiyo kwa miaka nane.

Toure aliagwa usiku wa juzi wakati timu yake ikipata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Brighton katika Premier League huku akikabidhi­wa jezi ya heshima kutoka kwa kaka yake, Kolo Toure ambaye alikaribishwa kuwa mgeni rasmi.

Akimzungumzia mchezaji huyo nahodha wa City, Vincent Kom­pany alisema: “Unapozungumzia nguli wa soka klabuni hapa, Yaya anastahili kuwa na sifa hiyo.”

Wachezaji wa City waliungana kwa pamoja kumuaga kuanzia uwanjani hadi ndani kwenye vyumba vya Uwanja wa Etihad. Katika mchezo huo, Yaya alianza katika kikosi cha kwanza akiwa nahodha na kutolewa katika daki­ka ya 86, nafasi yake ikachukuliwa na Lukas Nmecha.

Tido Arukwa na Mwanasheria wa TBC Kortini

$
0
0

MWANASHERIA wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Gwakisa  Mlawa, amedai mahakamani kwamba Bodi ya Wakurugenzi  ya shirika hilo haikujua chochote kuhusu mkataba ulioingiwa kati ya aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu, Tido Mhando na  Channel 2 Group Corporation (BV1).

Mlawa alidai pia mshtakiwa anayekabiliwa na tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya Sh. milioni 887.1, aliingia mkataba huo bila baraka za bodi ya zabuni ya TBC.

Shahidi huyo wa pili alitoa ushahidi wake jana mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Huruma Shaidi.

Akiongozwa na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Leonard Swai, shahidi huyo alidai kuwa hakuwahi kuufahamu mkataba huo hadi alipopokea taarifa za kesi Juni, 2012 kutoka Channel 2 Group Corporation (BV1) kwamba TBC imekiuka mkataba wa kuwekeza mitambo ya digitali.

"Mheshimiwa hakimu mkataba huo ulisainiwa kati ya Tido na watu wawili wa Channel 2 Group Corporation (BV1). Pia kulikuwapo na nyongeza ya mkataba uliotiwa saini kati ya Juni, Agosti na Novemba mwaka 2008... TBC tulimwandikia Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) kuomba ushauri naye aliagiza ateuliwe mwanasheria wa kimataifa ambaye ni mjuzi katika masuala hayo," alidai shahidi na kuongeza kuwa:

"Iliteuliwa kampuni ya uwakili ya Freshfield Bruckhaus Derringer us  LLP ilikuja nchini TBC kufanya uchunguzi wa nyaraka na kwamba ililipwa malipo ya awali zaidi ya Sh. milioni 800...katika uchunguzi huo, ulibaini kuwa Tido alisababisha hasara ya fedha hiyo iliyokuwa kampuni ya uwakili," alidai Mlawa.

Alipohojiwa na wakili wa utetezi, Ramadhan Maleta, kama aliiona mikataba hiyo, shahidi alidai kuwa ilikuwa kama wameingia  makubaliano ya awali ya maandalizi ya mchakato wa kuelekea kwenye digitali.

Katika kesi ya msingi, inadaiwa kuwa Juni 16, 2008,   akiwa  Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Tido ambaye alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa TBC, kwa makusudi alitumia madaraka yake vibaya kwa kutia saini mkataba wa kuendesha na utangazaji wa vipindi vya televisheni kati ya TBC na channel 2 Group Corporation (BV1) bila  kupitisha zabuni, kitu ambacho ni kinyume na Sheria ya Ununuzi na kuinufaisha BVl.

Katika shtaka la pili, Tido anadaiwa kutumia vibaya madaraka yake Juni 20, 2008 alipotia saini makubaliano kwa utangazaji wa digitali duniani kati ya TBC na BVl.

Katika shtaka la tatu, anadaiwa Agosti 11, 2008 na Septemba 2008 akiwa Dubai, Tido alitumia vibaya madaraka yake kutia saini mkataba wa makubaliano kwa ununuzi, usambazaji kufunga vifaa vya usambazaji na mnara wa utangazaji kati ya TBC na BVI na kuifaidisha BVI.

Katika shtaka la nne, anadaiwa kuwa  Novemba 16, 2008 akiwa Dubai, Tido alitumia vibaya madaraka yake kutia saini mkataba wa makubaliano kwa kuendesha miundombinu ya utangazaji (DTT Broadcast Infrastructure) kati ya TBC na BVI na kuinufaisha BVI.

Katika shtaka la mwisho, anadaiwa kuwa kati ya Juni 16 na Novemba 16, 2008 akiwa UAE, Tido aliisababishia TBC hasara ya Sh. 887,122,219.19, Kesi hiyo inaendelea kusikilizwa leo ushahidi wa Jamhuri.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:

GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.

NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0754741788, 0715741788, 0783741788

DR MAGISE

Afya ya Ferguson Yaendelea Kuimarika Atolewa ICU

$
0
0
Afya ya Ferguson Yaendelea Kuimarika Atolewa ICU
Afya ya Sir Alex Ferguson inaendelea kuimarika na sasa ametoka kwenye chumba cha uangalizi maalumu alichokuwa amelazwa kwenye Hospitali ya Salford.

Ferguson aliwahishwa hospitali wiki iliyopita, baada ya damu kuvuja kwenye ubongo.

Awali, kocha huyo nguli wa zamani wa Manchester United, alipoteza fahamu kabla ya kufanyiwa upasuaji.

Baada ya kutolewa chumba cha wagonjwa mahututi, Ferguson mwenye miaka 76 ataendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari katika hospitali hiyo.

Taarifa ya mtandao wa klabu hiyo ilisema Ferguson anahitaji kupata muda mrefu wa mapumziko akiwa na familia yake.

“Familia imetoa shukurani baada ya kuungwa mkono na watu waliomtakia kila la kheri, lakini atakuwa chini ya uangalizi ili kukamilisha hatua nyingine ya uponyaji,” ilisema taarifa hiyo.

Pia kocha wa Man United, Jose Mourinho alisisitiza klabu itaendelea kumuunga mkono Ferguson na wanamtakia afya njema.

“Tuna uhusiano mzuri sana, tutaendelea kumuunga mkono, kwa sasa anahitaji mapumziko na tunaheshimu uamuzi wa familia,”alisema Mourinho.

Ferguson aliyeifundisha Man United kwa miaka 26 kabla ya kustaafu mwaka 2013 alipata ugonjwa huo Mei 5 kabla ya kuwahishwa hospitali kwa msaada wa gari la wagonjwa kabla ya kupasuliwa.

Mwanamke Hata Awe na Pesa Kiasi Gani Hawezi Kumpenda Mwanaume Asiye na Muelekeo- Dogo Janja

$
0
0
Mwanamke Hata Awe na Pesa Kiasi Gani Hawezi Kumpenda Mwanaume Asiye na Muelekeo- Dogo Janja
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Abubakar Chande maarufu kama 'Dogo Janja' ambaye pia ni mume wa msanii wa filamu nchini Irene Uwoya amefunguka na kudai mwanamke hata awe na pesa kiasi gani hawezi kupenda mwanaume asiyekuwa na muelekeo wa maisha.


Dogo Janja ametoa kauli hiyo siku za hivi karibuni wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha DADAZ kinachorushwa na tinga namba moja kwa vijana EATV kila siku ya Jumatano kuanzia saa 5:00 asubuhi hadi 6:00 mchana baada ya kuulizwa kuwa ni kweli wanaume wengi wanaogopa kuwa na wanawake waliowazi kipato.

"Mwanamke hata awe na hela vipi hawezi kuwa na mwanaume asiye na muelekeo kwani mara nyingi huwa wanapenda akiwa na rafiki zao basi awe 'proud' na mtu aliyenae", amesema Dogo Janja.

Pamoja na hayo, Dogo Janja ameendelea kwa kusisitizia baadhi ya mambo kuwa "wanaume wanapaswa wawe 'real' yani wawazi katika mahusiano yao na sio kuishi katika maisha ya kujidanganya, kwani inaweza kuwapelekea kupata hasara na kuumbuka".

Mbosso Aeleza ‘Unyama’ wa WCB Upande wa Video

$
0
0
Mbosso Aeleza ‘Unyama’ wa WCB Upande wa Video
Muimbaji Mbosso kutoka label ya WCB, Mbosso amesema video za ngoma zake ambazo zinatoka kwa sasa alifanyika kipindi kirefu sana.

Mbosso ametolea mfano video yake ya ngoma ‘Picha Yake’ kwa kueleza ilishutiwa June 2017 nchini Afrika Kusini lakini ikaja kutoka April 05, 2018.

“Picha yake ilikuwa ni video yangu ya pili ku-shoot tangu niwe rasmi kama msanii wa WCB hapo sijatambulishwa lakini tayari nilikuwa ni msanii wa WCB, ” amesema Mbosso.

Ameeleza video yake ya kwanza ku-shoot ni ya wimbo Nimekuzoea iliyotoka February 09 , 2018. Mbosso ni msanii wa sita kusaini WCB baada ya Harmonize, Rayvanny, Rich Mavoko, Queen Darleen na Lava Lava.

Siwezi Kumruhusu Alikiba Kuoa Mke wa Pili – Amina

$
0
0
Siwezi Kumruhusu Alikiba Kuoa Mke wa Pili – Amina
Mke wa Msanii wa bongo fleva Bi. Amina Ambaye ni mke alali na wandoa wa Alikiba amefunguka ya moyoni na kusema kuwa hayupo tayari mumewe kuoa mke wa pili hata kama ni waislamu na dini inaruhusu hadi wake  wanne.

Mwanamke huyo ameongea hayo wakati wa mahojiano na kipindi cha leo tena kinachorushwa na clouds media ambapo mwandishi alimuhoji kama yupo tayari mumewe kufuata suna ya mtume ya kuoa wake wa nne yeye alijibu hivi .

"Siwezi ila yakitokea mungu ndio amepanga" alisema Amina Mke wa Alikiba

Aliyemchora Tatoo Dogo Janja Kwapani Afunguka Gharama Yake

$
0
0
Aliyemchora Tatoo Dogo Janja Kwapani Afunguka Gharama Yake
Msanii wa Bongofleva Dogo Janja aliamua kuonesha kuwa ana upendo wa dhati kwa mkewe Irene Uwoya baada ya kuamua kuchora tattoo yenye jina la Irene Uwoya katika mwili wake na kuamua kupost katika instagram account yake.

Mchoraji wa Tattoo hiyo ambaye anafahmika kwa jina la Testa Tattoo ambaye amehusika kwenye uchoraji wa Tatto za mastaa kama Wema Sepetu, Irene Uwoya na Wengine amezungumza gharama na jinsi alivyomshawishi Dogo Janja kubadili sehemu ya kuchorea Tattoo yake na kumshauri achore kwapani.

"Alinipigia simu akitaka kuchora  tatoo na tumetumia dakika 45 ambayo gharama yake ni laki moja na nusu mara ya kwanza alitaka kifuani ila nilimshauri kuchora pale nikamwambia huu ni mkono wa kumkumbatia mpenzi wake nilimshauri na aliupokea ushauri wangu" alisema  Mchora tatoo.

Jibu la Alikiba Alipoulizwa Juu ya Kushtakiwa kwa Kutomhudumia Mwanae "Nimeona Gazetini Sijaitwa Popote"

$
0
0
Jibu la Alikiba Alipoulizwa Juu ya Kushtakiwa kwa Kutomhudumia Mwanae "Nimeona Gazetini Sijaitwa Popote"
Staa wa Bongofleva  Alikiba leo May 11, 2017 anafanya mahojiano na Clouds FM ambapo kupitia kipindi cha Leo tena amezungumza kuhusu sakata lililoandikwa kwenye gazeti na kusambaa mtandaoni kuhusu yeye kudaiwa kutomhudumia mtoto wake hivyo mwanamke aliyezaa naye kampeleka mahakamani.

Alikiba alipoulizwa swali hilo amesema habari hizo amesema yeye ameziona kwenye Gazeti ila bado hajapata wito wowote ule wa Mahakama lakini ukweli ni kwamba yeye ana mhudumia mwanae vizuri sana kwani anamsomesha na alimtoa kwenye shule ya kawaida na kumleta shule ya gharama zaidi.

“Nimeona kwenye gazeti lakini bado sijaitwa mahali popote, mtoto namhudumia vizuri hata shule nimemtoa aliyokuwa,  nimempeleka shule nzuri zaidi ya ile tena mara tatu zaidi, Nina watoto watatu wakiume mmoja wakike wawili, mipango ya kupata watoto mwenyezi Mungu atakavyojaalia, watatu au wanne mke wangu hana mtoto”  – Alikiba

Ufaransa Yaishutumu Marekani kwa Kuiwekea Vikwazo vya Biashara Iran

$
0
0
 Ufaransa Yaishutumu Marekani kwa Kuiwekea Vikwazo vya Biashara Iran
Ufaransa imesema kuwa haitokubali hatua ya Marekani kuziwekea vikwazo kampuni zinazofanya biashara na Iran.

Kitendo hicho cha Washington kinajiri kufuatia hatua ya rais Donald Trump kujiondoa katika makubaliano ya kihistoria ya kusitisha mpango wa kinyuklia wa Iran.

Waziri wa maswala ya kigeni nchini Ufaransa Jean-Yves Le Drian alisema kuwa kampuni za Ulaya hazifai kuathirika kutokana na uamuzi wa Marekani.

Marekani inasema kuwa kampuni zina miezi sita kusitisha biashara na hazitaruhusiwa kuandikisha kandarasi mpya la sivyo zikabiliwe na vikwazo.

Katika mahojiano na gazeti la Le Perisien waziri huyo wa maswala ya kigeni alisema: Tunahisi kwamba hatua ya kupita mipaka ya vikwazo hivyo haitakubalika. Raia wa Ulaya hawafai kuathirika na hatua ya Marekani kujiondoa katika makubaliano ambayo wao wenyewe walishiriki.

Mke wa Alikiba Afunguka A-Z Walipokuta na Alikiba Hadi Kuoana

$
0
0
Mke wa Alikiba Afunguka A-Z Walipokuta na Alikiba Hadi Kuoana
Mke wa msanii wa muziki wa Bongo Fleva Alikiba, Aminah ameeleza kwa mara ya kwanza jinsi walivyokutana na mumewe hadi kufikia hatua ya kuoana.

Aminah amesema kwa mara ya kwanza walikutana kwenye Ndege na hakuwa anamfahamu vizuri lakini baadaye baada ya kupeana namba za simu alianza kuzoeana naye taratibu.

“Mara ya kwanza kukutana na  ilikuwa kwenye ndege na hatukuzungumza mara ya pili Kaka yangu binamu ndiyo alinikutanisha nae maana walikuwa marafiki sana na hapo ndiyo tulianza urafiki wetu kabla ya kufika hapa tulipo,“amesema Bi. Aminah kwenye kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM.

Hata hivyo, Bi. Aminah amesema kuwa Alikiba ndiye aliyeanza kumtamkia kuwa anampenda na yeye akamwambia kama ni kweli aende kwa wazazi wake akajitambulishe.

“Aliponitamkia anataka kunioa nikamwambia aje nyumbani kwa wazazi wangu na kweli akaja nyumbani kwa wazazi,”.amesema Bi. Aminah.

Dada wa Masogange Naye Afunguka Sakata la Steve Nyerere Kutafuna Rambirambi

$
0
0
Dada wa Masogange Naye Afunguka Sakata la Steve Nyerere Kutafuna Rambirambi
Siku moja baada ya msanii Steve Nyerere, kudaiwa kutafuna michango ya msiba wa video Qeen, Agnes Masogange, dada yake Emmy Gerald amesema msimamo wake hautofautiani na kamati ya mazishi inayosimamiwa na msanii huyo ya kumfungulia mtoto akaunti kama ilivyopangwa hapo awali.

Akizungumza na  MCL Digital leo Mei  11, Emmy amesema siku mbili hizi anatarajia kuwapa taarifa kamili za mtoto huyo ili waweze kumwekea hela yake kama ilivyopangwa.

“Jamani naomba watu wapuuze maneno yanayosemwa kuhusu hiyo michango, mimi naungana na kamati ya mazishi kumfungulia mtoto akaunti na nitawapa taarifa zake kamili kwa ajili kuanza mchakato wa kuifungua, kwani tayari nimeshapata ujumbe wao wa kulitaka hilo,” amesema dada huyo.

Hata hivyo, amesema kwa huyo aliyeenda kulalamika kwenye vyombo vya habari ni ndugu wa mwanaume aliyezaa na Masogange na kueleza jambo lolote linalohusu hayo aulizwe yeye kwa kuwa ndio msemaji wa familia upande wa kina Masogange.

Alipoulizwa kama wana mahusiano mazuri na upande wa baba wa mtoto, alisema hawana tatizo lolote na kueleza kwamba hivi karibuni wanatarajia kuwa na kikao cha wana ndugu kwa ajili ya kuzungumza mambo mbalimbali ikiwemo arobaini yake.

“Unajua haya mambo kwa sasa sitaki kuyaongea sana kwenye vyombo vya habari, kwani kuzungumza ni sawa na kumsengenya marehemu ambaye ana siku chache tangu tulivyompumzisha, nitaongea mengi siku ya arobaini ikiwemo kuwashukuru watu walivyoshiriki katika msiba wake hayo mambo mengine naomba watu wayapuuze,” amesema Emmy.

Jana mweka hazina wa kamati ya mazishi ya Masogange, Zamaradi Mketema alisema Sh2.1 milioni zilizobaki katika mazishi anazo yeye na anachosubiri ni kupata taarifa kamili za mtoto ili waweze kumfungulia akaunti hiyo.

Masongane alifariki Aprili 20, mwaka huu, akiwa anapatiwa matibabu katika hospitali ya Mama Ngoma, na kuzikwa Aprili 23 kijijini kwa baba yake Utengule Mbeya.

Wasiliana na Dr Mabula Anatibu Upungufu wa Nguvu za Kiume, Busha na Matatizo ya Maumbile Madogo kwa Mwanaume

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO
Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliongahika sehemu mbalimbali bira MAFANIKIO MABULA CLINIC ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya JESHINI JE HUNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO NA MWEMBAMBA?

MAPRO PAWER NO 2 ndio Tiba kwa sasa utibu matatizo matatu kwa pamoja 1hitakufanya uchelewe kufika kilekeni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2 uhimalisha misuli iliyoregea na kusinyaa hasa kwa wale walio hasirika na upigaji punyeto 3 itakufanya upate amu ya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MPENZI AU MKE WAKO kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo MAKAKANUA mix ni dawa iliyochanganywa na miti Shamba 9 na Kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 Kwa Urefu na unene sentimita 1-5 dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona? zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke Kwa masaa matatu tu na kukupigia simu yeye mwenyewe mvuto wa biashara kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu tunatibu ngiri miguu mgongo na kiuno kuumwa kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa

TIBA NA USHAULI MUONE DR MABULA AU PIGA SIMU NO 0752348593 UDUMA ZANGU UTAZIPATA POPOTE ULIPO KAMA UWEZI KUFIKA OFISINI

Mambosasa: Mange Kimambi Ni Mwenzetu Sasa Hivi,amerudi Kundini Na Anatupongeza

$
0
0
Kamanda wa Kanda maalum ya Dar es Salaam Lazaro Mambosasa ametoa wito kwa vijana kuacha ushabiki bila kuchunguza madhara yake.

Kamanda Mambosasa ameyasema hayo mapema leo wakati akizungumza na wanahabari Jijini Dar es Salaam ambapo amesema mnamo Aprili 26, 2018 Jeshi la Polisi liliwakamata vijana ambao walikuwa kwenye maandalizi ya maandamano ambayo yalihamasishwa kwa njia ya mtandao na mwanadada Mange Kimambi lakini baada ya muda mfupi alianza kuipongeza serikali.

"Nawasihi vijana mnaotumia mitandao ya kijamii mnaposhabikia vitu angalieni madhara, yani faida na hasara zake kwani mnamo Aprili 26 tuliwakamata vijana waliokuwa wakijiandaa kwa maandamano ambapo mhamasishaji Mange Kimambi baadae akaanza kuipongeza Serikali. Mange ameendelea kuipongeza serikali nasi tunampongeza kwa kuwa amerudi kundini", amesema Mambosasa na kuongeza;

"Mange alikuwa anapotosha ila watanzania walipompuuza sasa ametambua ni afadhali naye arudi kuipongeza serikali. Watu tuliowakamata kwa ajili ya kufanya maandamano tuliwahoji na kisha kuwapa dhamana".

Sanjari na hayo Mambosasa amesema kuwa hali ya usalama Jijini Dar es Salaam imezidi kuimarika siku hadi siku

Jacqueline Wolper Akubali Yaishe Kwa Harmonize

$
0
0
Malkia wa filamu, Jacqueline Wolper ameamua kunyamaza na kusitisha malumbano yaliyoanza kwenye mitandao kati yake na aliyekuwa mpenzi wake wa zamani, Harmonize.

Malumbano hao yasiokuwa ya kawaida yameanza Jumanne hii baada ya Harmonize kupost list ya wanaume aliodai wamewahi kutembea na mpenzi wake huyo wazamani, Jacqueline Wolper.

Hatua hiyo ilimfanya Wolper kuibuka na kuanza kuandika mambo mbalimbali mabaya akimtuhumu muimbaji huyo wa wimbo, DM Chick, huku akidai ndiye aliyesababisha alumbane na Sarah.

Alhamisi hii Wolper aameamua kuwa mpole kwa kufunga malumbano hayo baada ya Harmonize kudai ataandaa list C ya wanaume aliotembea na mrembo huyo kutoka katika kiwanda cha filamu.

“Mungu nifundishe kunyamaza, we ndio unaujua ukweli 🙏#Najifunzakuheshimkilangaziiliyonifikishanilipo  #NdiomaanataupambanesiwezkushukaatanishushaMungupekee #jifunzekuheshimkilangaziiliyokufishaulipokamweutoteterekakwajarbulolote  #MunguwanguwaushindiwewenijbuToshaNimekukabidhiwewekilaktu🙌🙏,”

Baadhi ya mashabiki katika mitandao ya kijamii wanadai Harmonize anamchokoza Wolper ili apate kiki za project yake mpya.

Muimbaji huyo siku ya leo ameachia kolabo yake ya wimbo ‘Pull Up’ akiwa ameshirikiana na Eddy Kenzo

Makomando wa Marekani Wawakamata Al-Shabaab

$
0
0
Vyombo vya dola nchini Somalia vimeeleza kuwa makomando wa Marekani pamoja na Makomando wa nchi hiyo wamefanikiwa kuwakamata watu watatu wanaoaminika kuwa ni makamanda wa kundi la kigaidi la Al-Shabaab baada ya kufanya oparesheni kali katika kijiji kimoja.

Taarifa hiyo imeeleza kuwa watu watano ambao ni wakulima wa ndizi walipoteza maisha katika oparesheni hiyo.

Afisa wa kitengo cha Intelijensia ambaye hakutaka jina lake litajwe, amesema kuwa makomando hao walilenga kituo maalum cha Al-Shabaab ambacho kinatumika kama kiungo cha mawasiliano.

Kiongozi wa kimila wa kijiji hicho, Moalim Ahmed amesema kuwa makombando hao pia waliwakamata baadhi ya wanakijiji.

Kamandi ya Marekani barani Afrika haijatoa tamko lolote kuhusu tukio hilo.

Kundi la Alshabaab ambalo ni mshirika wa kundi la kigaidi la Al-Qaeda linaendesha oparesheni dhidi ya Serikali ya Somalia, likitaka kusimika utawala wa  sheria kali za kidini.

Marekani ni moja kati ya nchi zilizotoa msaada wa kijeshi nchini humo kupambana na wanamgambo wa Al-Shabaab

Wasiliana na Mtaalam wa Dua na Dawa za Kiarabu na Asili Dr Sharifu Lukumani

$
0
0
YULE MTAHALAM WA DUA NA DAWA ZA KIARABU NA ZA KIASILI YANI MITI SHAMBA SHARIFU LUKUMANI SASA YUPO HEWANI WENYE SHIDA ZITUATAZO CHEO KAZINI,KUONGEZEWA MSHAHARA KAZINI,MWENYE TATIZO LA NGUVU ZA KIUME,ALIEPOTELEWA NA HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA, MWENYE KIFAFA,KISUKARI,FANGASI SEHEMU ZA SIRI KWA WALE WENYE MIILI MINENE MTOTO WA JICHO PAMOJA NA WALE WAKINA MAMA WANAOSUMBULIA NA CHANGO LA UZAZI PUMU YA MUDA MREFU WANAWAKE KUJAA MAJI SEHEMU ZA SIRI MWANAUME KUWAI KUFIKA KILELENI AU KUTOA MANII MFANO WA MAJIMAJI YAKIWA MEPESI AUTOWEZA KUMPA MKEO UJAUZITO JAMBO HILI LINAWASUMBUA WANAUME WALIO WENGI DUNIANI KWA KAWAIDA WANAUME ASIE NA TATIZO HILI UTOA MANII MAZITO NDIO YENYEUWEZO WA KUMPA MWANAMKE MIMBA.MWANAUME KUPATA MPENZI KWA ULAISI PASIPO NA GHARAMA YOYOTE YANI KWA WALE MADOMO ZEGE KUWA NA UWEZO WA KUSIKILIZWA HATAKAMA RAIA WA INCHI GANI NA UWEZO WA KURUDISHA MPENZI ALIE POTEA NA KUMFANYA AWE WAKO KWA WALE WASIO TAKA MITALA PIA UFANYA KAZI YA KUNG'ALISHA NYOTA SASA MATATIZO YAKO YAMEPATA SULUHISHO ANAPATIKA KWA MASAA ISHIRINI NA NNE

WASILIANA NAE KWA NAMBA 0762899488-0656145170

WhatsApp namba +255620665635

Sugu: Nilifungwa Kwa Maagizo toka Juu...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya May 12

$
0
0


Sugu: Nilifungwa Kwa Maagizo toka Juu...Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya May 12

Sugu Kurudi Bungeni Baada ya Afya ya Mama Yake Kuimarika

$
0
0
Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema) Joseph Mbilinyi  maarufu Sugu ambaye tangu juzi yupo uraiani baada ya kutoka gerezani kwa msamaha wa Rais John Magufuli, amesema ataanza kushiriki vikao vya Bunge la bajeti mjini Dodoma baada ya kujua maendeleo ya afya ya mama yake mzazi.

“Nasubiri ripoti ya daktari kuhusu hali ya mama ndipo niweze kwenda bungeni.  Ripoti hiyo huenda ikatolewa Jumapili (kesho),” amesema Sugu ambaye alikuwa akitumikia kifungo cha miezi mitano jela pamoja na na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyasa, Emmanuel Masonga

Bunge la bajeti lilianza Aprili 3, 2018 na linatarajiwa kumalizika Juni 30,

Sugu na Masonga walitiwa hatiani na kuhukumiwa kifungo cha miezi mitano jela Februari 26 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya kwa kutoa lugha ya fedheha dhidi ya Rais John Magufuli kwenye mkutano wa hadhara walioufanya Desemba 30 mwaka jana eneo la Shule ya Msingi Mwenge jijini Mbeya.

Wawili hao wameshatumikia adhabu hiyo kwa siku 73 ikiwa ni zaidi ya robo ya kifungo chao.

Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images