Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

''Serikali imeshindwa Kuzuia Bidhaa Feki''-Ngwali

$
0
0

Mbunge wa Wawi (CUF), Ahmed Ngwali ameitaka serikali kukiri wazi kwamba imeshindwa kuzuia uingizwaji wa bidhaa bandia nchini licha ya jitihada ambazo serikali inatangaza kuzifanya lakini bado bidhaa hizo zimeeendela kuingia  nchini.


Mbunge huyo amesema hayo Bungeni jana Mei 11, 2018 wakati wa kuchangia hoja bajeti ya Wizara ya viwanda, biashara na uwekezaji kwa mwaka wa fedha 2018/2019 na kuongeza kuwa polisi ndiyo watuhumiwa wakubwa katika uingizwaji wa bidhaa hizo.

“Serikali iseme tu kama imeshindwa kuzuia bidhaa bandia nchini,  lakini polisi ambao unasema katika kitabu chako,  mnataka kutumia mpaka Interpol katika kuzuia bidhaa feki, polisi hao wenyewe ndiyo wanashiriki katika mambo hayo ya kuingiza bidhaa feki, sasa hiyo Interpol gani mnataka kutumia? Mheshimiwa Mwijage hilo mlirekebishe” alisema Ngwali.

Mbunge huyo ameongeza kwamba serikali imekua inatumia mifumo mbalimbali ikiwemo ukaguzi wa mizigo bandarini lakini tatizo la uingizwaji wa bidhaa bandia umeendelea kuwa mkubwa.

Kwa upande mwingine Mbunge Ngwali amesema mahitaji ya gypsum nchini ni makubwa kuliko uwezo wa uzalishaji wa viwanda vya ndani ambavyo vipo vinne tu na vinauweo wa kuzalisha gypsum milioni tano tu wakati mahitaji ya gypsum nchini ni zaidi ya milioni 10 hadi 12.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:

GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.

NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0754741788, 0715741788, 0783741788

DR MAGISE

Forbes yatangaza watu 10 wenye ushawishi zaidi Duniani

$
0
0
Kiongozi wa China Xi Jinping ndiye mtu mwenye ushawishi Zaidi duniani, kwa mujibu wa jarida la Forbes. Amechukua nafasi hiyo baada ya bunge China kumpa mamlaka zaidi na kuondoa kikomo cha muhula wa rais.

Jingping amechukua nafasi hiyo kutoka kwa Rais Vladimir Putin wa Urusi ambaye kwa sasa anashika nafasi ya pili.

World Most #PowerfulPeople List of @Forbes #forbes

1. Xi Jinping
2. Vladimir Putin
3. @realDonaldTrump
4. Angela Merkel
5 @JeffBezos @amazon
6. Pope Francis
7. @BillGates
8. Mohammed bin Salman Al Saud
9. @narendramodi
10. Larry Page @Google

Mchezaji Neymar Aweka Wazi 'Anacho-Miss' Barcelona

$
0
0
Nyota wa PSG na timu ya taifa ya Brazil, Neymar Jr amesema kama mtu akimuuliza anachokumbuka ndani ya Barcelona jibu ni wachezaji wenzake wa Lionel Messi na Luis Suarez ambao walitengeneza ushirikiano mkubwa.

"Tulikuwa na urafiki mzuri sana kati yangu, Messi na Suarez kwahiyo kitu ambacho siwezi kusahahau ndani ya Barcelona ni kucheza na hao wachezaji wawili ambao daima tulifurahi na tulikuwa marafiki wakubwa," amesema.

Neymar ameyasema hayo kwenye mahojiano na runinga moja ya Ufaransa alipokuwa akiongelea kupona kwake na kurejea rasmi kazini huku ligi ikiwa inaelekea ukingoni lakini yeye amesema yupo imara kwaajili ya fainali za Kombe la Dunia nchini Urusi.



Neymar amekaa nje ya uwanja tangu mwezi Februari kutokana na kusumbuliwa na kifundo cha mguu wa kulia lakini sasa amepona baada ya kufanyiwa matibabu nyumbani kwao Brazil.

Nyota huyo mwenye miaka 25 aliondoka Barcelona kwenye usajili wa majira ya kiangazi 2018 na kutua PSG kwa dau la rekodi ya dunia Euro 222 zaidi ya shilingi bilioni 500.

Pole Sana Aisee.... Aliyetaka Kumuhonga Zari Range Rova Apigwa Kibuti

$
0
0
Zari The Boss Lady amesema hamfahamu Ringtone Apoko ambaye ni msanii wa muziki wa Injili kutoka nchini Kenya aliyetangaza kumnunulia mrembo huyo gari aina ya Range Rover Sport ya mwaka 2017.

Hapo jana Ringtone Apoko aliweka wazi kuwa amenunua gari hilo baada ya kusikia Zari atawasili nchini humo kwa ajili ya event yake, pia kipindi cha nyuma msanii huyo alipopata taarifa za Zari kuachana na Diamond alijitokeza na kueleza ana nia ya kumuoa.

 Zari akiwa nchini Kenya amehojiwa na kituo cha Radio, Kiss FM na kueleza kuwa hamfahamu msanii huyo.

“I don’t know ringtone and I have never met him. This is actually news to me. I have over 3.9 million followers on instagram and I wouldn’t know who follows me,” Zari  said.
“Simfahamu huyo Ringtone na sijawahi kukutana naye, ndio mara ya kwanza kusikia kitu kama hicho. Nina watu zaidi ya milioni 3.9 katika mtandao wa Instagram ambao wananifuatilia, siwezi kujua nani kunifuata na kwa wakati upi,” amesema Zari.

Zari yupo nchini Kenya kwa ajili ya event yake ‘The Colour Purple’ itakayofanyika weekend hii Uhuru Gardens.

Tuwapende Mama zetu na Wake zetu Wanapitia Magumu Sana Kipindi cha uja Uzito.

$
0
0
Nilikuwa nikisikia wanawake wakisema nimepata shida miez tisa kumbeba mwanangu tumboni nilikuwa sielewi vizuri taabu na shida hizo ni zipi mpk wajisifie kila dakika kila saa na kila siku. Sasa nahizi taabu na shida wanazozipata.

Maana mke wangu ndo kwanza mja mzito miez tisa kasoro siku chache sasa naona shida na taabu anazopata. Kulala shida kusimama kwake shida kukaa shida hakuna jema hata moja. Akilala kila anavyojaribu mara aweke mgongo chini anateseka, alale kiupande upande shida mpk namhurumia.

Najaribu kuwaza ndivyo nilivyomtesa mamayangu hivyo nikiwa Tumboni??? Kama ndivyo kweli mama anatakiwa aheshimiwa na kupongezwa kwa uvumilivu wanaopitia mpk kutuleta duniani.

Lakini kinachonifanya niwaze zaid je baada ya kuzaliwa mimi mtoto wa kwanza kama nilimtesa mama hivi ikawaje akaniletea mdogo wangu, hakukumbuka shida na taabu nilizomletea?? Daaaaah wanawake mnastahili pongezi kubwa kwa ujasiri na uvumilivu mnaopitia kipindi cha ujauzito. Japo nasikia mkienda mbele zaid kutununua kwa wauguzi na wakunga pia mnateseka zaidi

HESHIMU NYINGI ZIWAFIKIE WANAWAKE NITAWAHESHIMU SIKU ZOTE ZA MAISHA YANGU

By Bernard bakari

Zari Ampiga Dongo Kiaina Hamisa Mobetto "Success is not Sexually Transmitted"

$
0
0
Kupitia ukurusa wake wa instagram , mjasiriamali maarufu na mzazi mwenzie na diamond Platnum's, zari the bosslady aka kiboko ya masista duu africa mashariki, amepost ujumbe wenye UTATA na kuwaacha mashabiki wake kwenya hali ya sintofahamu kuhusu caption yake hiyo, ambayo wapeku Peku wanadai unaweza kuwa ujumbe wa hasimu wak hamissa mobeto, kuwa asidhanie kuwa mafanikio yanaambukizwa au huja kwa njia ya kufanya ngono na mtu aliyefanikiwa .

Nafasi za Ajira zilizotangazwa Leo

$
0
0

Je Wajua Kwanini Asilimia Kubwa ya Wanaume Wana Upungufu wa Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo?

$
0
0
JE' WAJUA KWANINI ASILIMIA KUBWA YA WANAUME WANA UPUNGUFU, UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO YA UUME?

CHANZO HUWA NI:

(Kisukari, presha, ngiri, korodani kuvimba na kuuma, busha,zinaa,tumbo kuuma chini ya kitovu na kuunguluma nakujaa gesi, kutopata choo vizuri, punyeto, vidonda vya tumbo, bawasili.

Haya ni baadhi ya magonjwa yanayochangia upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume na uume kuwa mdogo.

TIBA YAKE NI "KIBOKO POWER"

Kiboko Power Ni dawa ya mitishamba ya vidonge yenye uwezo mkubwa sana wa kutibu upungufu au ukosefu nguvu za kiume.

(1) Itakufanya uwe na uwezo mkubwa sana wa kufanya tendo la ndoa.

(2) Inaongeza hamu ya tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha.

(3) Itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dk 30 nakuendelea.

(4) Itaufanya uume uwe na nguvu mara dufu wakati wote wa tendo la ndoa.

TIBA YA KUKUZA UUME SAIZI UIPENDAYO NI " SUPER FARU"

Super Faru Inanenepesha na kurefusha uume saizi uipendayo kuanzia nchi 3 hadi 8 na unene sm 2 hadi 4 .

(1) Inaimarisha mirija ya uume iliyolegea au kusinyaa.
(2) Inasaidia kusafisha mishipa ya uume na hivyo kusaidia katika kuongeza kasi msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume.

(3) Inasaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani.
(4) Inasaidia kuongeza manii nyingi ambazo zina viini vya uzazi
(5) Inatibu pia madhara yanayosababishwa na upingaji punyeto, matumizi ya madawa ya kizungu ya kuongeza nguvu au maumbile ya uume, milungi, bangi na sigara.

PIA NATIBU MAGONJWA YOTE SUNGU NAYALIYOSHINDIKANA KAMA VILE,

Kisukari, korodani kuvimba na kuuma, busha bila upasuaji, tezi dume, presha, zinaa miguu kuwaka moto au kufa ganzi, presha, mgoro nk.

Pia narudisha mme, mke, mchumba, hawara, aliyekuacha ndani ya masaa 4 tu, nakutimiza ahadi zote ulizoahidiwa.

Pia natoa utajiri wa majini ambao hauna masharti magumu na kutoa ndangu za utajiri.

Kumbuka nashughulika na matatizo yote yaliyopo ndani ya mzunguko wa binadamu usisite kunieleza hata kama sijayaandika.

WASILIANA NA DR ULIMWENGU KWA TIBA BORA NA SALAAMA KABISA

ANAPATIKANA DAR MAGOMENI SIMU 0759030343 / 0622790494.

KAMA HAUNA MUDA WA KUFIKA OFISINI HUDUMA HII UTAIPATA POPOTE ULIPO.

Interviews za Ali Kiba zinaboa; Yeye Kwake Kila Kitu ni "Personal"

$
0
0
Tofauti na masuper wengine ambao ukiangalia interviews zao mtazamaji utajifunza kitu kutoka kwake, na ataku-inspire kwa namna moja au nyingine.
Huyu mheshimiwa, kati ya maswali 10 atakayoulizwa atajibu 2 tu!

Yeye kwake kila kitu nni PERSONAL... Aaagrh, wewe ni msanii mkubwa bwana, watu wanapenda kujua na kujifunza kutoka kwako including some of your personal life stories (Sio kila kitu off course cha kuweka hadharani) lkn kwako ni too much!

Sasa umejipeleka mwenyewe kwenye vipindi kama LEO TENA na SHILAWADU, na unajua kabisa aina za interview ambazo huwa zinafanyika kule, matokeo yake kila saa unatishia kuondoka...

THIS IS TOO LOW BROTHER!

By SirBonge/JF

Bila TID Hakuna Msanii Bongo Angepajua Ulaya- Steve Nyerere

$
0
0
Msanii wa filamu nchini Steve Nyerere amedai kwamba msanii wa muziki Khalid Mohamed maarufu kama TID ndiyo msanii kutoka Tanzania ambaye alifungua milango kwa wasanii wengine wa muziki nchini kwenda kufanya matamasha nchi za Ulaya na Marekani.


Steve Nyerere amesema hayo jana Mei 12, 2018 katika kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na EATV kila siku ya Ijumaa saa 3:00 usiku, na kuongeza kuwa kwasasa wawili hao wamemaliza tofauti zao zilizodumu kwa kipindi cha zaidi ya mwaka mmoja.

“TID ni msanii wa kimataifa ambaye amefungua milango kwa wasanii wengine, bila TID hakuna msanii mwingine alikuwa anawaza kwenda Ulaya kufanya show, TID ni kitengo cha burudani ambacho kinafanya utalii wa kitaifa, TID ni mtu mwingine, ana nafasi ya kupewa dibaji, aliweza kupeperusha bendera na kushawishi vijana wengi” amesema Steve Nyerere.

Steve Nyerere aliongeza kuwa TID ni kama ndugu yake na hivyo haoni sababu ya kutomaliza tofauti zao kwakuwa wawili hao wanatoka kijiji kimoja.

February 24, 2017 katika kipindi cha 5SELEKT kinachorushwa na kituo cha EATV, msanii wa muziki TID aliahidi kufungua kesi mahakamani dhidi ya Steve Nyerere kwa sababu masanii huyo wa filamu alimtuhumu yeye kuhongwa shilingi milioni mbili na serikali ili akiri hadharani kwamba alikua anatumia madawa kulevya.


EATV

Ua Jekundu la Wema Sepetu Limeishia Wapi?

$
0
0
Dah Ila wema jamani anapenda KIKI , kile kipindi cha utambulisho wa mboso alivyoalikwa na WCB na kukumbatiana na domo bhasi Madam ndo akajiona karudiana na diamond , akaanza kujipendekeza kwa kina esma na kuitana Wifi , mikwara ikaendelea akapost UA jelundu kumgeza zari madai eti yupo in love na diamond , bibie akaongeza speed akawa promota wa diamond karanga, mara Kidogo tukasikia na yeye atakua mmoja wa wafanyakazi wa Wasafi Tv

Mambo yakaja kuharibika kwenye Usiku wa Tuzo , Diamond kukumbatiana na hamisa kweupe tena Mbele ya umma, naona bidada alitamani kuharisha kwa wivu , huyo ndo domo bhana ukisikia mwingine photocopy, baba ntilie aka kivuruge, hamisa mwenzio kashajizoelezea, hata domo amtukane amkane na kumkshfu kesho akiitwa madale bibie huyo anajipeleka, naona Mama ubaya ukaamua ku surrender kwa Hamisa

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Wema Sepetu Abariki Diamond, Mobetto Kufunga Ndoa

$
0
0
DAR ES SALAAM: Kwa mara ya kwanza, staa wa filamu Bongo, Wema Isaac Sepetu ametoa baraka zake kwa aliyekuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amuoe Video Queen Hamisa Mobeto endapo watafikia uamuzi huo.

Kabla ya kufunguka hayo, Wema na Mobeto walikuwa hawaivi kwa kile kilichodaiwa kuwa ni kutokana na wawili hao ‘kubanjuka’ na Diamond kwa nyakati tofauti.

Akizungumza na Risasi Jumamosi, Jumatano iliyopita maeneo ya Kinondoni jijini Dar, Wema ambaye amelamba mashavu ya ubalozi kutoka Kampuni ya StarTimes na The Network ambayo ni kampuni mama inayoendesha Mchezo wa Namba wa Tatu Mzuka, alisema kuwa, hana kinyongo na Mobeto na Diamond hivyo wakikubaliana, waachwe waoane tu.

“Ni hivi watu huwa wanapenda sana kuunganisha matukio na ndiyo maana utaona usiku ule wa Tuzo za Sinema Zetu, walidai kwamba mimi nilionekana kukwazika baada ya Mobeto kumtaja Diamond kama mwanaume aliyemvutia kuliko wote pale ukumbini.

“Ninafikiri hawakujua tu kuwa hata wakati anamtaja na kuoneshwa kwenye zile skrini kubwa, mimi nilikuwa bize na simu ila nilishtuka baada ya watu kushangilia na sikujua hata kama kutakuwa na hisia za mimi kununa.

“Kiukweli watu wanatakiwa kufahamu wazi kuwa siku ile sikukasirika hata kidogo isipokuwa haya yote yanaunganishwa kwa kuwa kuna siku nilisema Diamond ni bosi wangu mpya pale Wasafi TV, hivyo wakadhani tumerudiana, lakini ukweli ni kwamba amebaki kuwa rafiki yangu na kaka yangu, upande mwingine ni bosi wangu tu.

“Pale Wasafi TV kuna kipindi ambacho tunakiandaa na mastaa wenzangu watatu ambacho tutakuwa tunakifanya, ingawa kwa sasa siwezi kuwataja hao wenzangu ambao nitakuwa nikifanya nao, ila kwa ufupi watu waamini tu wazi kuwa mimi na Diamond kwa sasa tupo kikazi zaidi na siyo mahaba tena.

“Siku zote nimekuwa nikijitahidi sana kusema kuwa Mobeto ni mdogo wangu sana tu na ninampenda na kumheshimu. Hivyo uhusiano wake na Diamond ninauona mzuri tu kwani tayari wameshakua mtu na mzazi mwenzake hivyo hata wakioana, mimi nitafurahi kwa sababu wanaendana na ‘couple’ yao inafurahisha sana kwa kweli,” alisema Wema.

TUJIKUMBUSHE KIDOGO

Wema ndiye mrembo wa kwanza kutokelezea na Diamond kwenye vyombo vya habari na kutengeneza ‘kapo’ iliyozungumzwa zaidi katika mitandao ya kijamii na mitaani.

Licha ya kapo yao kuzungumzwa na kupendwa na wengi, ilikuwa ikiwakata stimu mashabiki wa burudani baada ya kupitia vipindi vya kuachana na kurudiana kwa takriban mara mbili.

WEMA HAKUBAHATIKA MTOTO

Pamoja na kudumu kwenye uhusiano kwa muda mrefu, Wema hakubahatika kuzaa na Diamond. Mkali huyo wa Bongo Fleva, alianza kupata baraka ya mtoto baada kukutana na Mganda, Zarinah Hassan ‘Zari The Lady Boss’.

Wakati Zari akiwa kwenye mahaba motomoto na Diamond hususan baada ya kumzalia ‘baby girl’ (Tiffah Dangote), Mobeto alikitia kitumbua mchanga kwa kubanjuka na Diamond kwa siri na kufanikiwa kubeba mimba iliyozua tafran kwa Zari.

UPEPO WAWEKWA SAWA

Hata hivyo, Mobeto alifanikiwa kumzalia Diamond mtoto wa kiume (Abdul), lakini Diamond alimwelewesha Zari na maisha yakaendelea kwa makubaliano kwamba, mpenzi wake atabaki kuwa Zari, kwa Mobeto atabaki kumlea mwanaye.

MARA PAAP! WAMWAGANA

Baadaye Diamond na Zari walimwagana, kitendo ambacho kinaelezwa kuwa ni fursa adhimu kwa Mobeto kushikilia mpini kwani tayari ni mzazi mwenziye.

Imeandikwa na Neema Adrian na Memorise Richard.

Nandy Afunguka Kuhongwa Gari la Mamilioni

$
0
0
SIKU chache baada ya kusambaa mitandaoni kwa picha zake zikimuonesha akiwa na gari jeusi la mamilioni aina ya Mercedes Benz E-Class E320 CDI, msanii wa Bongo Fleva, Faustina Charles ‘Nandy’, amefungukia ndoa yake ijayo na gari hilo kuwa amelinunua kwa jasho lake na hajahongwa na mtu kama watu wanavyoeneza.

Akizungumza na Risasi Jumamosi, Nandy alisema kuwa, gari hilo alilinunua kwa zaidi ya shilingi milioni 70 za Kitanzania kwa jasho lake na hiyo ilitokana na kuingia mikataba na makampuni mbalimbali Tanzania yakiwemo ya michezo ya namba, shirika moja kubwa la ndege na mingineyo.

“Watu wengi wanajua kuwa kuna mtu ameninunulia hili gari, lakini siyo kweli kabisa, mimi mwenyewe nina madili mengi ya kufanya na ndiyo yameniwezesha kupata fedha za kununua Benz, yaani kifupi ni jasho langu mwenyewe,” alisema Nandy.


Nandy pia aliongeza kuwa, kwa sasa amekuwa na amani baada ya kupitia kipindi kigumu.

“Unajua nimepita katika wakati mgumu sana, lakini sikumuacha Mungu kabisa na ndiyo maana hata haya yote yanayonitokea ya kupata mikataba na kufanikiwa hadi kununua gari ni kwa sababu kila kitu changu sasa kiko sawa kabisa,” alisema.

Kabla ya gari hilo, Nandy alikuwa akitumia gari aina ya Toyota Harrier. Hivi karibuni aliingia kwenye kashfa baada ya video yake ya faragha kuvuja akiwa na Bill Nas na kusambaa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, jambo ambalo lilimpa fedheha kubwa.


Kuhusu mipango ya ndoa, Nandy alisema kuwa, kuna mipango kabambe ambapo ataolewa hivi karibuni huku akigoma kumwanika mchumba’ke akihofia nyakunyaku wa mjini.

“Nimewaambia tu ninyi kwa sababu mmeniwahi kuniuliza, ukweli ni kwamba nitafunga ndoa soon, lakini kuhusu mwanaume wangu, naomba nisimwanike kwa sasa,” alisema Nandy.

STORI: IMLDA MTEMA, RISASI JUMAMOSI

Je, ni sahihi kufunika au kukiacha kidonda wazi?

$
0
0

Je, ni sahihi kufunika au kukiacha kidonda wazi?
-
Mara nyingi ukipata jeraha au kidonda utaambiwa ukiache wazi ili kipate hewa safi hasa kama kidonda ni kibichi na kuamini kuwa njia hiyo hukifanya kipone haraka. Lakini ukienda hospitali na kidonda kibichi, jambo la kwanza ambalo Muuguzi atafanya ni kukisafisha kidonda na kukifunika au kukifunga. Kwanini anafanya hivyo?
-
Mwili wa binadamu ni kama mashine, lakini utofauti wake ni kwamba umeumbwa kwa miunganiko ya biolojia. Ina njia mbalimbali za kukabiliana na majeraha lakini njia ambayo imezoeleka kukitibu kidonda ni utengenezaji wa gaga (scab).
-
Mchakato wa kutengeneza gaga unaanza muda mfupi baada ya kupata jeraha na damu zinapotoka. Chembechembe nyeupe damu ambazo ni mahususi kuzuia uvujaji wa damu hujikusanya pamoja kwenye eneo lenye jeraha (ulipojikata, mchubuko au alama ya kipigo) na kuganda juu ya ngozi.
-
Gaga ni ulinzi asilia dhidi ya vimelea vya wadudu lakini kiukweli sio njia nzuri ya kutibu kidonda. Gaga linahatarisha mchakato wa uponyaji kwa kuweka kizuizi cha ukavu na seli zilizokufa. Ngozi yenye afya inatakiwa ifanye mchakato yenyewe ndani kwa kuunda tishu mpya ili kuziondoa seli zilikufa na kuharakisha uponyaji. Kukiacha kidonda wazi eti kipate hewa, sio wazo zuri hasa kama kinavuja damu.
-
Ikiwa kidonda kibichi kikifungwa au kufunikwa, kinaepusha seli za ngozi kukauka na kutengeneza gaga, jambo linalopunguza uwezekano wa kupata kovu kwenye eneo la kidonda. Kukifunga kidonda kuna faida nyingi ikiwemo kutunza unyevunyevu ambao unasaidia uponyaji mzuri wa ngozi, kuzuia vimelea vya wadudu, vumbi, uchafu na maji kukutana na jeraha.
-
Zaidi, ni rahisi kwa gaga lililofunika kidonda kutoka na kupelekea kujitonesha na kuibua jeraha tena. Kinyume chake bendeji au kitambaa kinaongeza ulinzi kwenye kidonda. Pia inakukinga kujiumiza tena. Kwa vyovyote vile, ni muhimu kukifunika kidonda kwasababu inasaidia kukilinda na inaharakisha mchakato wa uponyaji.

Kampuni ya UDART Yaipeleka Serikali Mahakamani Kupinga Kuletwa Kwa Mwekezaji Mpya

$
0
0

Kampuni inayoendesha Mradi wa Usafiri wa Mabasi ya Mwendokasi(UDART), imefungua kesi mahakamani dhidi ya Jamhuri, kupinga kitendo cha Serikali kutaka kuleta mwekezaji mpya
-
Hatua ya Serikali kutafuta mwekezaji mwingine ilitangazwa Mei 10, 2018 na Waziri Mkuu akiwa Bungeni baada ya kampuni hiyo kuonekana kusuasua katika kuendesha mradi huo
-
Itakumbukwa kuwa Kampuni ya UDART ilifunguliwa kesi ya madai Mahakamani na Kampuni ya Maxcom wiki tatu zilizopita kwa kushindwa kulipa gharama za uendeshaji, uwekezaji na hata stahiki za wafanyakazi

Dawa Bora za Nguvu za Kiume na Kukosa Hamu ya Tendo la Ndoa

$
0
0
DAWA BORA ZA NGUVU ZA KIUME NA KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA
Baada ya utafiti wa muda mrefu juu ya matatinzo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurundia tendo kwa haraka Sasa inakuletea suluhisho juu ya matatizo haya kwa kutumia dawa za FULL POWER

Full Power dawa asili yenye vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume dawa hii inamchanganyiko wa kutosha kuzalisha vichocheo vingi vya hernone za gestro gen zikiwemo vitamin b6 na b1 vitamin e pamoja na madini aina ya zinc

Itakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wakufanya tendo la ndoa zaidi hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi ya dakika 20/30 ZAT 50

Inarundisha maumbile ya uume yaani kurefusha na kunenepesha nchi 3/7 na upana cm 3/4 standard.kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukitumia maumbile yatabaki kuwa hivyo siku zote pia anatibu matatizo mengine kama presha kisukari ngiri chango la tumbo kujaa gesi kutopata choo vizuri minguu kuwaka moto matatizo ya uzazi bawasili na magonjwa ya zinaa kama kisonono na kaswende

Tunapatikana Dar es Salaam  na mikoan wasiliana na DR Oshinda no 0755505099 au 0714126118  Karibuni kwa hunduma bora

Wasiliana na Mtaalam wa Dua na Dawa za Kiarabu na Asili Dr Sharifu Lukumani

$
0
0
YULE MTAHALAM WA DUA NA DAWA ZA KIARABU NA ZA KIASILI YANI MITI SHAMBA SHARIFU LUKUMANI SASA YUPO HEWANI WENYE SHIDA ZITUATAZO CHEO KAZINI,KUONGEZEWA MSHAHARA KAZINI,MWENYE TATIZO LA NGUVU ZA KIUME,ALIEPOTELEWA NA HAMU YA KUFANYA TENDO LA NDOA, MWENYE KIFAFA,KISUKARI,FANGASI SEHEMU ZA SIRI KWA WALE WENYE MIILI MINENE MTOTO WA JICHO PAMOJA NA WALE WAKINA MAMA WANAOSUMBULIA NA CHANGO LA UZAZI PUMU YA MUDA MREFU WANAWAKE KUJAA MAJI SEHEMU ZA SIRI MWANAUME KUWAI KUFIKA KILELENI AU KUTOA MANII MFANO WA MAJIMAJI YAKIWA MEPESI AUTOWEZA KUMPA MKEO UJAUZITO JAMBO HILI LINAWASUMBUA WANAUME WALIO WENGI DUNIANI KWA KAWAIDA WANAUME ASIE NA TATIZO HILI UTOA MANII MAZITO NDIO YENYEUWEZO WA KUMPA MWANAMKE MIMBA.MWANAUME KUPATA MPENZI KWA ULAISI PASIPO NA GHARAMA YOYOTE YANI KWA WALE MADOMO ZEGE KUWA NA UWEZO WA KUSIKILIZWA HATAKAMA RAIA WA INCHI GANI NA UWEZO WA KURUDISHA MPENZI ALIE POTEA NA KUMFANYA AWE WAKO KWA WALE WASIO TAKA MITALA PIA UFANYA KAZI YA KUNG'ALISHA NYOTA SASA MATATIZO YAKO YAMEPATA SULUHISHO ANAPATIKA KWA MASAA ISHIRINI NA NNE

WASILIANA NAE KWA NAMBA 0762899488-0656145170

WhatsApp namba +255620665635

Ng’ombe waliokufa wakamatwa wakiingizwa Sokoni

$
0
0

Mapema asubuhi ya leo katika Machinjio ya Tegeta lilikamatwa lori lililopakia ng’ombe waliokufa wakiwa tayari kuingizwa sokoni.

Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, ACP Jumanne Muliro amesema kuwa kufariki kwa mifugo ni tukio la kawaida kwani Mifugo inatoka mbali na ikitokea hivyo kuna utaratibu unaotakiwa kufanyika na si kuwaingiza sokoni mifugo hao.

“Malori yanasafiri na mifugo umbali mrefu na mifugo mingine hufariki kutokana na hali hiyo na tayari maafisa mifugo walifika katika eneo la tukio na kuhakikisha wanashughulikia tatizo hilo mapema”. Amesema Kamanda Murilo

Kamanda Muliro ameongeza kuwa Sheria na kanuni zinaeleza endapo likitokea tukio kama hilo nini kifanyike ili kulinda Afya za walaji.
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images