Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104756 articles
Browse latest View live

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:

GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.

NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0754741788, 0715741788, 0783741788

DR MAGISE

Sethi avuliwa ukurugenzi wa IPTL akiwa mahabusu

$
0
0
Huku akikabiliwa na mashtaka 12 ya uhujumu uchumi, Harbinder Sing Sethi ameondolewa katika orodha ya wakurugenzi wa kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania (IPTL).

Uamuzi wa kumuondoa Seth katika ukurugenzi umefikiwa na bodi ya wakurugenzi ambayo pia imemvua madaraka ya kuwa mwenyekiti mtendaji wa IPTL, baada ya kushindwa kushiriki na kuhudhuria mikutano ya bodi.

Seth anadaiwa kushindwa kuhudhuria vikao vya bodi bila kuruhusiwa na wakurugenzi wenzake kwa miezi sita mfululizo tangu Juni 19, 2017 alipokamatwa na kushitakiwa.

Hayo yamo kwenye taarifa iliyotolewa na mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa IPTL, Ambroce Lugenge wakati akitoa muhtasari wa maazimio yao wakati wa mkutano mkuu wa tatu uliofanyika Aprili 10.

Mkutano huo ulikuwa na ajenda kuu ya kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazoikabili kampuni hiyo na uendeshaji wa mambo yanayohusu IPTL.

Sethi anakabiliwa na mashtaka 12 ya uhujumu uchumi, utakatishaji fedha na kuisababisha Serikali hasara ya Dola22.198 milioni za Marekani na Sh309.5 bilioni katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kusutu.

“Bodi ilijadili kuhusu kesi namba 27 ya 2017 ya uhujumu uchumi inayomkabili ndugu Harbinder Sing Sethi na athari yake kwa kampuni, muundo wa kiutendaji wa kampuni ikiwemo na uongozi, udhibiti na ushushaji wa gharama pamoja na uwepo wa kesi mbalimbali mahakamani dhidi ya kampuni au ya kufunguliwa na kampuni,” alisema Lugenge.

Taarifa hiyo iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana ilisema bodi ilimtunuku Sethi ukurugenzi wa heshima kwa msingi kuwa “aliongoza” kampuni hiyo kutoka katika hatari ya kufilisiwa kutokana na kesi iliyokuwa imefunguliwa na kampuni ya VIP Engineering and Marketing kati ya mwaka 2002 hadi 2013.

Kutokana na uamuzi huo, Sethi hataruhusiwa kwa namna yoyote ile kushughulikia masuala yanayohusu kampuni hiyo au kuingia makubaliano yoyote kwa niaba ya kampuni.

“Bodi imeelekeza uongozi mpya, hasa menejimenti kuwafikia wadau ikiwa ni pamoja na Serikali ili kuangalia namna bora ya kutatua madai yote dhidi ya kampuni, ikiwemo hasara inayodaiwa kusababishwa na ndugu Sethi kwa mamlaka husika, iliyopelekea kukamatwa na kushtakiwa kwake ibebwe na kampuni na kuyatafutia ufumbuzi kwa masilahi ya umma,” alisema Lugenge katika taarifa hiyo.

Pia, alisema bodi imeagiza menejimenti mpya kukaa na Mamlaka ya Mapato ya Tanzania (TRA) ili kubaini kodi stahiki na kuweka mazingira bora ya kuzilipa haraka iwezekanavyo baada ya kubaini kiasi kisicho na pingamizi.

Lugenge katika taarifa hiyo alisema bodi hiyo imemteua Joseph Makandege kuwa mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo ili kuongoza uboreshaji kiutendaji, uteuzi ulioanzia Aprili 10.

Alisema katika mkutano, bodi ilijadili na kufikia maazimio katika vipengele vingine 10 vya ajenda, ambavyo vilikuwa vinachangia kwa kiasi kikubwa kuamua mwelekeo na hatima ya kampuni hiyo.

Mzee Abdul Amwagia Sifa Tele Mama Diamond Platnumz

$
0
0
HAKUNA kitu kizuri duniani kama kujielewa kuwa umekosea na kurekebisha makosa. Pia katika maisha hakuna binadamu aliyekamilika pale linapokuja suala la kukosea.

Inaeleweka kuwa, kwa muda mrefu wazazi wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, mzee Abdul Jumaa ‘Baba Diamond’ na Sanura Kassim ‘Bi Sandra’ walikuwa na tofauti za muda mrefu na hivi karibuni tofauti zao zinajionesha wazi kuisha licha ya kila mmoja kuwa katika uhusiano mwingine.

DIAMOND NA MZEE ABDUL

Mzee Abdul aliingia kwenye bifu zito na Diamond baada ya kumtuhumu kutomjali kwa sababu tu ana ugomvi na mama yake mzazi, (Bi Sandra) hali iliyosababisha staa huyo anayebamba na Ngoma ya African Beauty kumchunia kwa muda mrefu.

Hayo yote yalijidhihirisha wazi pindi tu Diamond alipofanikiwa kupata mtoto wake wa kwanza, Latiffah Nasibu ‘Tiffah’ aliyezaa na mjasiriamali, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ siku aliyokuwa anamtoa nje kwa mara ya kwanza ‘Arobaini’ ambapo Diamond hakumwalika mzee Abdul hali iliyofanya baba huyo kuhuzunika.

Siyo Tiffah tu, bali hata mpenzi wake huyo wa zamani, Zari alipojifungua mtoto wao wa pili, Nillan pia hakupelekwa kwa babu yake.

MOBETTO ASAFISHA NJIA

Baada ya hali hiyo kuendelea, mwanamitindo Hamisa Mobetto naye alipojifungua mtoto wa kiume, Dylan Nasibu aliyezaa na Diamond aliamua kusafisha njia kwa kumualika mzee Abdul kwenye hafla ya kumtoa nje mtoto wao kwa siku ya kwanza ili mwanaye aweze kupata baraka za babu yake pia.

BI SANDRA ‘ASANDA’

Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu huku kila mmoja akikwepa kumzungumzia mwenzake kwa vyovyote, juzikati Bi Sandra alionesha ‘kusanda’ kwa kuamua kumuanika mzee Abdul mitandaoni.

Kupitia ukurasa wa Instagram wa Bi Sandra, aliweka picha ya muda mrefu ya mzee Abdul akiwa amembeba Diamond alipokuwa mdogo, kitendo kilichofanya komenti kibao kujazana katika ukurasa huo.

“Nasibu kichwa na mzee Abdul…namuona Nillan Mtupu,” aliandika Bi Sandra.

DIAMOND AINGILIA KATI

Muda mfupi baada ya picha hiyo kupostiwa, Diamond aliingia katika komenti ya picha hiyo na kuweka hisia zake kwa kuandika; “Dah! Hii picha nilikuwa ninaitafuta sana…kuna picha moja nimembeba Nillan kama hivyo nilitaka nizimix halafu niwawekee maboya wanaokazania kusema Nillan siyo mwanangu…”

MZEE ABDUL AFUNGUKA

Baada ya sarakasi hizo zote, Ijumaa Wikienda lilimtafuta mzee Abdul ili kuzungumzia ishu hiyo ambapo alisema yeye hana tatizo lolote na watoto wake ambao ni Nasibu na Mwajuma Abdul ‘Queen Darleen’.

“Kama mama Diamond kafanya hivyo, basi ujue mimi ni mzazi mwenzake, Diamond tumemlea, tumeishi naye kwa muda mrefu na hayo masuala mengine yaliotokea kipindi cha katikati ni ya kifamilia tu na naimani ni mapito,” alisema mzee Abdul.

AGUSIA MALI

“Pia shida za kifamilia zipo tu, hazina matatizo yoyote, kama masuala ya mali ni yake, lakini kama ananitambua mimi baba yake, basi ni baba yake, ina maana kama hizo mali ni zake siwezi nikamuingilia, ipo siku akitaka kunipa atanipa asipotaka basi, huwezi ukamfosi,”alimaliza mzee Abdul.

WALIPOTOKA

Tatizo la Diamond kutoelewana na mzee Abdul limekuwa likitikisa kwa muda mrefu huku kila mmoja akimtupia lawama mwenzake, hivyo kitendo cha mama Diamond kumposti mzazi mwenzake huyo ina maana ya kuwa sasa wako sawa na hawana tofauti zozote zinazoendelea kati yao.

Stori: : Memorise Richard, Dar.

Utata Kesi ya Ali Kiba ya Kutelekeza Mtoto

$
0
0
DAR ES SALAAM: Mambo ni moto! Baada ya hivi karibuni mzazi mwenzake na staa wa Bongo Fleva, Ally Salehe Kiba ‘King Kiba’, Hadija Hassan kuuambia umma kwamba amemwaga ugali kwa kwenda mahakamani kudai malezi ya mtoto, utata mkubwa umeibuka katika kesi hiyo.

 Kinachotatiza ni pale King Kiba naye alipoibuka ‘juzikati’ mbele ya ‘maiki’ ya redio maarufu jijini Dar na kumwaga mboga kuwa hajui chochote kuhusu kesi inayoelezwa na Hadija kwenye vyombo vya habari kuhusu yeye kumtelekeza mwanaye.

“Yule mtoto kweli ni wa kwangu, ugomvi wetu unakuja pale familia yetu tunapotaka kumchukua na kukaa naye hata kwa siku chache hataki jambo ambalo linatupa wasiwasi kwa nini afanye hivyo na amekwenda mahakamani ili kuninyanyasa na familia yangu.

 “Alikuwa hataki sisi tukae naye mpaka mtoto wakati fulani alikuwa anamtaja baba mwingine, kiukweli nilijisikia vibaya sana, nilitamani sana shauri lifike mahakamani ili ukweli ujulikane,” alisema King Kiba.

UTATA WAIBUKA

Kiba alifunguka kuwa, mpaka siku hiyo alivyokuwa anahojiwa redioni alikuwa hajapata barua yoyote ya mahakamani hivyo hana taarifa ya kesi hiyo ambayo imefunguliwa dhidi yake.

 HUYU HAPA MZAZI MWENZAKE

Akizungumza katika mahojiano maalum na Ijumaa Wikienda, mzazi mwenzake na King Kiba, Hadija alisema alisikia yale aliyozungumza King Kiba juu yake na kudai mambo mengi hayana ukweli kitu ambacho kimemuumiza kwani baada ya hapo watu wengi (yawezekana mashabiki wa Ally) wamekuwa wakimtukana matusi ya nguoni.

“Hicho kipindi sikukisikiliza maana nilikuwa bize, lakini ndugu zangu walisikiliza wakanipigia simu na kuniuliza kwa nini Ally anaongopa? Nikawaambia tumwachie tu Mungu.


“Sina ubaya wowote na familia wala nia yoyote mbaya ya kumchafua Ally, bali nimeenda mahakamani kwa ajili ya mwanangu maana wakati mwingine ananiuliza kuhusu baba yake hivyo napigania haki yake.

“Nimevumilia kwa muda mrefu maana tulianza kusumbuana tangu mtoto akiwa na miezi sita mpaka hivi sasa, mimi siyo mpumbavu mpaka niende tu mahakamani, bali nina akili timamu na ni kwa sababu ya haki ya mwanangu na siyo kingine maana naye ana haki,” alisema Hadija.

 KIBA HANA TAARIFA ZA KESI?

Kiba alisema hana taarifa rasmi kutoka mahakamani kwamba ameshtakiwa bali ameona habari kwenye magazeti hivyo Ijumaa Wikienda likamuuliza Hadija kuhusu hilo na kueleza kuwa makarani wa mahakama walimpa hati ya wito kwa ajili ya kupeleka kwa mzazi mwenzake huyo.

 “Baada ya kushindikana Ustawi wa Jamii ndipo wenyewe (Ustawi wa Jamii) wakaipeleka mahakamani ambako huko ndiko ilikoandikwa hati ya wito wake.

“Niliichukua hati hiyo na kuipeleka kwa mjumbe wa mtaa anaoishi Ally, akaichukua, akaipeleka nikiwa nasubiri, lakini alipofika nyumbani alimkuta mama mmoja ambaye hakujitambulisha na kumwambia kwamba Ally hayupo hivyo ikabidi yule mjumbe arudi nayo.


“Kwa kuwa kule mahakamani niliambiwa ikishindikana niwarudishie ili wapeleke wenyewe, niliichukua na kuirudisha mahakamani na kuwakabidhi wale makarani ambapo mmoja wapo alisema ataipeleka, nikatakiwa niache na nauli ya kupelekea nikawaachia hivyo sijajua kama waliipeleka au la,” alisema Hadija.

 MADAI YA BABA MWINGINE

Akizungumzia ishu ya King Kiba aliyosema kwamba alijisikia vibaya baada ya mwanaye kutaja jina la baba mwingine, Hadija alisema baada ya kuzaa na Kiba alipata mwanaume mwingine ambaye alishirikiana naye kumlea mtoto huyo.

“Nimeanza kusumbuana na Kiba kwa muda mrefu hata familia yake na marafiki wanajua tatizo liko wapi, yaani tangu mtoto akiwa na miezi sita mpaka leo hii.

 “Mwanangu akiwa na miezi sita nilipata mume ambaye amekuwa akimlea kama mwanaye yaani hata akiwa hayupo nikimpigia simu kwamba anaumwa huwa anaacha kila kitu anamkimbilia hivyo amejikuta akimzoa sana na kumuita baba.

“Huyu mume amekuwa akimsihi Ally kwa muda mrefu asimwache mwanaye, sina nia ya kumchafua bali ninahitaji awe karibu na mwanaye na ampe malezi bora yanayostahili kama baba,” alisema Hadija.

 DNA VIPI?

Kutokana na madai kutoka kwa King Kiba na familia yake kwamba wanahitaji DNA ya mtoto huyo, Hadija alisema yupo tayari kwa hilo kwa sababu ana uhakika asilimia mia moja kwamba mtoto huyo ni wa Kiba.

“Kiba alisema kule ustawi wa jamii kwamba anahitaji DNA pia mmoja wa ndugu zake alizungumza kwenye vyombo vya habari kuhusu hilo, mimi niko tayari tangu walivyosema nimewasubiri twende sijawaona hivyo hata sasa sina kipingamizi, waje tukapime DNA maana sina shaka kabisa, huyu ni mtoto wa Ally,” alisema Hadija.

Hata hivyo mwanamama huyo alisema licha ya matusi na kuonekana mbaya ataendelea kusimama na mwanaye mpaka mwisho atakapoona anapata haki yake.

 TUJIKUMBUSHE

Hivi karibuni Hadija alifungua kesi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar, akidai matunzo ya mtoto kwa mzazi mwenzake.

Tangu wakati huo kumeibuka vita ya maneno baina ya wazazi hao wawili na vyombo vya habari, mitandao ya kijamii kutumika kama vipaza sauti vyao.

Kama hilo hakitoshi wapambe wa pande hizo mbili nao wamekataa kubaki nyuma ambapo wamekuwa ‘wakishadadadia’ marumbano hayo kila mmoja kwa staili yake kama wacheza ngoma ya mdumange. Tusubiri tuone.

STORI: Gladness Mallya, IJUMAA WIKIENDA

Rayvanny Ampigia Salute Ali Kiba, Amtaja Katika Wasanii Wanaofanya Vizuri

$
0
0
MSANII wa Bongo Fleva kutoka WCB Wasafi, Rayvanny bila kinyongo ameonyesha kupenda kazi anayoifanya Alikiba ambaye ni hasimu wa Diamond Platinumz kwa miaka mingi.

Akifanya mahojiano na Global TV Online, rayvanny amewataja wasanii wanaofanya vizuri kwa sasa nchini Tanzania hasa katika tasnia ya muziki ambapo mbali na Kiba alimtaja pia Diamond na Vanessa Mdee ‘Vee Money’ kwamba wanaipeperusha vyema bendera ya Tanzania Kimataifa.

 VIDEO;

Nafasi za Kazi Zilizotangazwa Leo

Hili Hapa Ndinga Jipya la Diamond Platnumz Toyota Land Cruiser 200 Series 2018

$
0
0
Katika ukurasa wa instagram wa tttrautouprades , wabunifu na waongeza vionjo vya shape za magari makali wameonyesha ndinga jipya la Diamond Platnumz

Faiza: Nampenda Sugu Ila Sio Kimapenzi

$
0
0
Muigizaji Faiza Ally ambaye ni mzazi mwenzie na Mbuge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, amedai kuwa bado anampenda Sugu ila hana hisia naye za kimapenzi kutokana na kile kilichotokea kati yao.

Hata hivyo Faiza amesema licha ya yote yaliyotokea kati yao mapenzi yake ya kweli kwa Sugu hayajawahi kuisha.

“Hisia na mapenzi ni tofauti, kwa sababu nampenda mapenzi ya kweli hayajawahi kufutika, i will always love him na kumpenda haina maana kuwa nina hisia naye. Nampenda ni ndugu yangu, baba watoto wangu,” Alifunguka Faiza Jumapili Katika Mahojiano Bongo5

Faiza na Sugu wamejaliwa mtoto kupata mtoto mmoja, Sasha.

Je Wajua Kwanini Asilimia Kubwa ya Wanaume Wana Upungufu wa Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo?

$
0
0

JE' WAJUA KWANINI ASILIMIA KUBWA YA WANAUME WANA UPUNGUFU, UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO YA UUME?

CHANZO HUWA NI:

(Kisukari, presha, ngiri, korodani kuvimba na kuuma, busha,zinaa,tumbo kuuma chini ya kitovu na kuunguluma nakujaa gesi, kutopata choo vizuri, punyeto, vidonda vya tumbo, bawasili.

Haya ni baadhi ya magonjwa yanayochangia upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume na uume kuwa mdogo.

TIBA YAKE NI "KIBOKO POWER"

Kiboko Power Ni dawa ya mitishamba ya vidonge yenye uwezo mkubwa sana wa kutibu upungufu au ukosefu nguvu za kiume.

(1) Itakufanya uwe na uwezo mkubwa sana wa kufanya tendo la ndoa.

(2) Inaongeza hamu ya tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha.

(3) Itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dk 30 nakuendelea.

(4) Itaufanya uume uwe na nguvu mara dufu wakati wote wa tendo la ndoa.

TIBA YA KUKUZA UUME SAIZI UIPENDAYO NI " SUPER FARU"

Super Faru Inanenepesha na kurefusha uume saizi uipendayo kuanzia nchi 3 hadi 8 na unene sm 2 hadi 4 .

(1) Inaimarisha mirija ya uume iliyolegea au kusinyaa.
(2) Inasaidia kusafisha mishipa ya uume na hivyo kusaidia katika kuongeza kasi msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume.

(3) Inasaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani.
(4) Inasaidia kuongeza manii nyingi ambazo zina viini vya uzazi
(5) Inatibu pia madhara yanayosababishwa na upingaji punyeto, matumizi ya madawa ya kizungu ya kuongeza nguvu au maumbile ya uume, milungi, bangi na sigara.

PIA NATIBU MAGONJWA YOTE SUNGU NAYALIYOSHINDIKANA KAMA VILE,

Kisukari, korodani kuvimba na kuuma, busha bila upasuaji, tezi dume, presha, zinaa miguu kuwaka moto au kufa ganzi, presha, mgoro nk.

Pia narudisha mme, mke, mchumba, hawara, aliyekuacha ndani ya masaa 4 tu, nakutimiza ahadi zote ulizoahidiwa.

Pia natoa utajiri wa majini ambao hauna masharti magumu na kutoa ndangu za utajiri.

Kumbuka nashughulika na matatizo yote yaliyopo ndani ya mzunguko wa binadamu usisite kunieleza hata kama sijayaandika.

WASILIANA NA DR ULIMWENGU KWA TIBA BORA NA SALAAMA KABISA

ANAPATIKANA DAR MAGOMENI SIMU 0759030343 / 0622790494.

KAMA HAUNA MUDA WA KUFIKA OFISINI HUDUMA HII UTAIPATA POPOTE ULIPO.

City Wamebeba Ubingwa Lakini United Watapewa Pesa Nyingi Kuliko Wao, Sababu ni hii

$
0
0
Msimu wa EPL 2017/2018 unakwisha rasmi Jumapili ya jana, na mabingwa wameshapatikana ni Manchestwe City huku pia timu zinazoshuka daraja zimeshajulikana ni Stoke City, Swansea na West Bromich Albion.

Kushinda kwa Manchester City kunamaanisha watapewa £153.2m kutoka PL, pesa hizi ni kutokana na namna ambavyo mechi zao zimerushwa na pia kuna kiasi cha pesa ambacho timu zote za EPL hupewa.

Iko hivi City kama bingwa napewa £39.8m kutoka Epl, lakini pia kuna hii pesa ambayo kila timu wanapewa kiasi sawa(equal share) ambapo huwa ni £82m, pia kuna pesa kutokana na idadi ya mechi zako zilizooneshwa live(haki kutoka Epl) na hii walitakiwa kulipwa £31.5m, jumla ya pesa zote hizi ni £153.2m.

Sasa linapokuja suala la United wao japo wamemaliza nafasi ya pili lakini watapewa pesa kuliko bingwa, United watapokea £153.6 kwanini? Baasi ni hivi United wanapokea kama kawaida equal share ya £82m, wakati City anapokea £39.8m za ubingwa, United wanapokea £37.8m ya mshindi wa pili, lakini United mechi zao ambazo PL walirusha hewani live ni mechi mbili zaidi ya City na hii imewapa £33.9m katika mechi hizo na hapa ndipo walipowaacha City.

Suala hili lipo pia kwa mshindi wa 3 na wa 4, Tottenham amemaliza ligi katika nafasi ya 3 lakini jumla ya pesa ambayo wamevuna ni kiasi cha £148.1m, hii ni pesa ndogo kuliko ambayo Liverpool ambao wamemaliza ligi katika nafasi ya 4 wamevuna, Liverpool wamepata £149.6m na hii ni kutokana na mechi zilizoenda live.

Vilabu vilivyoshuka daraja navyo sii haba kwani wameshuka na fungu kubwa la pesa, Swansea amevuna £100m, West Bromich wakiweka mfukoni kiasi cha £98.5m sawa na mshindi wa mwisho Stoke City na hii imechagizwa sana na hii pesa £82.0m ambayo EPL wamekuwa wakitoa kwa kila timu.

Alikiba Apokea Tuzo ya Nyota wa Michezo.

$
0
0
Ikiwa ni siku tano zimepita tangu Alikiba aachie ngoma yake mpya ‘Mvumo wa Radi’ amepokea tuzo ya heshima ya Plaque inayoitwa Nyota wa Mchezo kupitia kipindi cha The Playlist cha Times FM.

Msanii huyo amepewa tuzo hiyo jana Jumatatu  kutokana na mchango wake kwenye muziki na jitihadi alizipiga kupeperusha bendera ya Tanzania na kuwa inspire wasanii wengine wachanga na kuendelea kuwepo mpaka leo kwenye muziki.

Kiba amekuwa msanii wa tatu kupewa tuzo hiyo baada ya Vanessa Mdee aliyekabidhiwa mwezi January mwaka huu na Diamond aliyepewa mwezi wa tatu.

Kwa sasa video ya ngoma yake mpya ya Mvumo wa Radi ina views milioni 1.1 kwenye mtandao wa YouTube.

Simon Msuva Uso Kwa Uso na TP Mazembe

$
0
0
Ratiba ya mashindano ya klabu bingwa Afrika inaendelea leo ambapo mchezaji mtanzania Simon Msuva, ataingoza klabu yake Difaa El Jadidi ya nchini Morocco kupambana na timu ngumu ya TP Mazembe katika mchezo wa hatua ya makundi.


Mchezo huo wa pili wa kundi B utachezwa leo Mei 15, 2018, katika uwanja wa Stade Al Abdi huko Morocco kuanzia saa 4:00 usiku kwa muda wa Afrika mashariki.

Timu ya Difaa El Jadidi itahitaji kushinda mchezo huo ili kuweka matumaini ya kusonga mbele baada ya mchezo wa kwanza kupata sare ya goli 1-1 dhidi ya timu ya MC Alger kutoka nchini Algeria.

Mchezo mwingine wa kundi hilo utazikutanisha klabu ya ES Setif ambayo haina alama itawakaribisha wageni timu ya MC Alger

Katika msimamo wa kundi B timu ya TP Mazembe inaongoza ikiwa na alama 3 baada ya kushinda mchezo wa kwanza kwa  magoli 4-1 dhidi ya timu ya Es Setif ya nchini Algeria

Mechi nyingine zitakazopigwa leo ni pamoja na Swallows itakuwa mwenyeji wa timu ya De Agosto, KCCA FC dhidi ya Al Ahly, wakati timu ya ES Tunis wataikaribisha klabu ya Rollers na klabu ya WAC Casablanca itapambana na Togo Port.

Hivi Hawa Wasanii wa Kike Kwanini Hawawezagi Kujitungia Nyimbo?

$
0
0
Nimefatilia sana hawa wasanii wa kike waliopata kuwa na majina makubwa tangu zamani kama Ray C, Mwasiti, Linah, Rachel, Vumilia, Qeen Darlin, Pipi, Shilole, Snura, Vanessa Mdee, Ruby, Maua Sama, Nandy, Giggy, Mimi Mars, Amberlulu, n.k kwenye mahojiano kwa nyakati yofauti wakisema kutungiwa nyimbo zao na watu kama Barnaba, Amini, Ditto, Mario, etc tena sio kutungiwa tu wakati mwingine wanapewa hadi melody 'wanapita mulemule', je pengine hii ndio sababu huwa hawadumu sokoni?

Tatizo nini hasa, mfano juzi nimemsikia Nandy anasema huo wimbo wake mpya alikuwa ameufanya Aslay akapewa, kwangu mimi huyu sio mwanamuziki bali ni mwimbaji. Kuandikiwa nyimbo sio tatizo, hata kule mbele wasanii wakubwa sometimes wanaandikiwa, but kutegemea 100% kuandikiwa wakati mwingine kupewa na melody kuna shida hapa.

Nadhani udhaifu wa wasanii wengi wa kike ndio kunafanya kukosekane wa kukaribia legacy ya Lady Jaydee, wengi ni wasanii wa kutengenezwa na sio vipaji, na hii ndio ilichangia hata Rubby kuyumba sana alipotoka kwa kina Ruge, alizoea kupikiwa kilakitu yeye anaingiza vocal tu.

By Screpa

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Mechi 7 Bila Ushindi Yanga imepotea Wapi?

$
0
0
Yanga imecheza mechi saba bila ushindi katika mashindano yote inayoshiriki (ligi kuu Tanzania bara na Caf Confederation Cup).

Mechi sita ambazo Yanga haija ni Wolaitta Dicha 1-0 Yanga, Mbeya City 1-1 Yanga, Yanga 1-1 Singida, Simba 1-0 Yanga, USM Alger 4-0 Yanga, Tanzania Prisons 2-0 Yanga na Mtibwa Sugar 1-0 Yanga.

Leo Jumapili Mei 13, 2018 Yanga ilikuwa ugenini ikicheza na Mtibwa Sugar kwenye uwanja wa Jamhuri Morogoro ambapo wamepoteza mchezo huo kwa kufugwa goli 1-0.

Baada ya kufungwa 2-0 na Tanzania Prisons kwenye mechi iliyopita, Yanga imepoteza mchezo wa pili mfululizo kufuatia kipigo cha leo.

Hadi sasa Yanga imepoteza mechi nne za ligi baada ya kucheza mechi 26 huku ikiwa na mechi mbili mkononi (viporo). Mechi zote ambazo Yanga imepoteza ilicheza ugenini (Mbao 2-0 Yanga, Simba 1-0 Yanga, Tanzania Prisons 2-0, Mtibwa Sugar 1-0 Yanga).

Imepoteza mechi tatu mfululizo kati ya nne, Simba 1-0 Yanga, Tanzania Prisons 2-0 Yanga, Mtibwa Sugar 1-0 Yanga. Katika mechi hizo, Yanga haijafanikiwa kufunga goli hata moja.

Yanga inaendelea kubaki nafasi ya tatu kwenye  msimamo wa ligi ikiwa na poini 48 nyuma ya Azam (pointi 52) na Simba (pointi 68). Ushindi dhidi ya Yanga unaifanya Mtibwa Sugar ifikishe pointi 37 na kukaa katika nafasi ya sita kwenye msimamo wa ligi.

Nahreel Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Kuhusu Rosa Ree Kutoka Lebo ya The Industry

$
0
0
Mtangazaji wa Wasafi Kipindi cha Refresh akimuhoji Nahreel kuhusu issue inayo endelea mtaani kuwa The Industry ilikuwa inambania Rosa Ree na Baada ya Kutoka katika Lebo hiyo inaonekana amepata mafanikio zaidi Nahreel amejibu hivi na kuweka mambo sawa :

" Nadhani Rosa Ree Watu Wamemjua Kupitia the Industry Kwahiyo hiyo ni tosha sisi tuliplay part yetu, na Kama Rosa alichokisema ilifika wakati ilibidi aendelee na mambo yake na sisi tukamlet aendelee na issue zake, sisi hatuna tatizo na Rosa Ree na hatujawahi kuwa na tatizo na mtu yoyote tuliplay part yetu na yeye anaplay part yake" Nahreel

Tazama VIDEOl:

POLISI: Marufuku Kukohoa Pale Unapopishana na Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa, Hilo ni Shambulio la Aibu..Tutakukamata

$
0
0
Kama mada inavyojieleza, Kamanda mmoja wa polisi amesema ni marufuku kukohoa pale unapopishana au unapomwona mdada/mwanamke mwenye makalio makubwa

Kamanda huyo amesisitiza kwamba kukohoa huko kutapelekea kukamatwa kwa maana kitendo hicho ni "Shambulio la aibu"

VIDEO;

Serikali Yaunda Baraza kuchunguza askari wa Tanzania aliyepotea Congo

$
0
0
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi ameziagiza familia za askari waliouawa wakilinda amani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kumaliza haraka taratibu za mirathi.

Pia, amesema Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo amekwisha kuunda Baraza la Uchunguzi, kuchunguza kupotea kwa askari mmoja aliyekuwa akilinda amani DRC.

Waziri Mwinyi ameyasema hayo jana Mei 14 wakati akihitimisha hotuba ya bajeti ya wizara yake ya mwaka 2018/19 ya Sh1.9 trilioni.

Waziri Mwinyi alisema tayari baadhi ya familia za askari hao zimeshakamilisha taratibu za mirathi.

Alisema fedha za mirathi zimetolewa kwa baadhi ya familia lakini zipo baadhi hazijakamilisha taratibu.

 “Familia ambazo hazijakamilisha taratibu za mirathi zikamilishe haraka,” alisema.

Kuhusu askari mmoja aliyepotea siku hiyo ya mapigano Waziri Mwinyi alisema: “Umoja wa Mataifa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, wanaendelea kumtafuta na ikitimia miezi sita kwa Serikali ya Tanzania tutaitisha uchunguzi na Mkuu wa Majeshi ameitisha baraza la uchungizi,” alisema.

Alisema baada ya hapo Mkuu wa Majeshi atatoa taarifa ya kifo. “Lakini huyu kijana amepotea na mpaka sasa anatafutwa, hatuwezi kusema amepotea au yuko hai.” Alisema

Naziona Dalili za Kuachana na Mke Wangu..Kwa Kweli Kwa Hili Siwezi Vumilia

$
0
0
Ndugu zangu mwenzenu yamenikuta makubwa. Mimi nimeoa nikiwa mtu mzima sana. Tofauti ya umri na mke wangu ni miaka kumi na kenda. Miezi sita ya kwanza ndoa yetu ilikuwa ya furaha sana na hakika nilionja raha majinuni ya ndoa. Baada ya hapo ni mateso makubwa sana.

". Hasikii la
mwadhini wala la
mtia maji msikitini"

Mke wangu kaanzisha tabia chafu sana na isiyo mpendeza MUNGU na walimwengu pia. Ilikuwa ni mwezi wa saba wa ndoa yetu usiku wa maanani ndipo kiini cha dukuduku langu lilipoanza. Baada ya kufanya tendo la ndoa kwa raundi ya kwanza ndipo mke wangu mpendwa aliponiomba "twende chooni" akimaanisha nimwingilie kinyume na maumbile.

Kwakweli ilibidi nifanye ili kumridhisha na kumuonya kwamba iwe ni siku ile pekee. Kuanzia hapo mke wangu kaweka msimamo kuwa hanipi haki yangu mpaka nimpe "kiu yake"

Nafikiria kumpa talaka mke wangu ukizingatia bado hatujazaa.

Naombeni ushauri wana mmu wapendwa.

". Heri kufa macho
kuliko moyo"

Wasiliana na Dr Mabula Anatibu Upungufu wa Nguvu za Kiume, Busha na Matatizo ya Maumbile Madogo kwa Mwanaume

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO
Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliongahika sehemu mbalimbali bira MAFANIKIO MABULA CLINIC ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya JESHINI JE HUNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO NA MWEMBAMBA?

MAPRO PAWER NO 2 ndio Tiba kwa sasa utibu matatizo matatu kwa pamoja 1hitakufanya uchelewe kufika kilekeni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2 uhimalisha misuli iliyoregea na kusinyaa hasa kwa wale walio hasirika na upigaji punyeto 3 itakufanya upate amu ya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MPENZI AU MKE WAKO kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo MAKAKANUA mix ni dawa iliyochanganywa na miti Shamba 9 na Kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 Kwa Urefu na unene sentimita 1-5 dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona? zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke Kwa masaa matatu tu na kukupigia simu yeye mwenyewe mvuto wa biashara kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu tunatibu ngiri miguu mgongo na kiuno kuumwa kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa

TIBA NA USHAULI MUONE DR MABULA AU PIGA SIMU NO 0752348593 UDUMA ZANGU UTAZIPATA POPOTE ULIPO KAMA UWEZI KUFIKA OFISINI
Viewing all 104756 articles
Browse latest View live




Latest Images