Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104785 articles
Browse latest View live

"Hali ya Q Chief si Salama Anahitaji Msaada Mkubwa Sana"..Mke Afunguka

$
0
0
Mke wa msanii wa muziki wa bongo fleva Q Chief, anayejulikana kwa jina la Eliza, amesema kwamba mume wake anahitaji msaada zaidi, kwani hayuko sawa.


Eliza ameyasema hayo alipokuwa akizungumza kwenye Friday Night Live ya East Africa Television, na kusema kwamba mume wake huyo ambaye kwa sasa wametangana, anaonekana hayuko sawa kwani amemfanyia vurugu na kumtolea maneno machafu, hivyo ni vyema iwapo atapatiwa msaada.

“Katoka kunifanyia vurugu saa hivi, kanitukana sana, kuna makosa amefanya lakini siwezi kuongea, hata aibu kuongea, kuna vitu alikosea akaondoka mwenyewe, ameamua mwenyewe hakufukuzwa, sasa ndio maisha ambayo amepanga, kasema anaacha muziki amemrudia Mwenyezi Mungu ambapo ni suala jema, ila hayupo normal, anahitaji msaada”, amesema Eliza.

Msanii huyo hivi karibuni ametangaza kuachana na muziki, huku akijilaumu kuwa amekosea sana familia yake na watoto wake na mke wake kumkimbia, hadi kufikia kutoa machozi mbele ya waandishi wa habari.

Gigy Money Azidi Kumwaga Ubuyu: “Mo J Alitoka na House Girl, Mimi nikawa Natoa Pesa ya Matumizi”

$
0
0
SEHEMU YA KWANZA: Msanii Gigy Money amezungumza kuhusu kile kinachoendelea kwenye mitandao kuhusu yeye na mzazi mwenzake Mo J ambapo kazungumza chanzo cha mgogoro wao mpaka kutengana huku akikiri kuwa alishawahi kumfumania mpenzi wake huyo na isitoshe alikuwa hatoi hela ya matumizi ya kutosha ikabidi yeye awe anatoa hela ya matumizi.

VIDEO:

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

Ukiamua Kuwa na Mahusiano na Mume wa Mtu Lazima Ukubali Kuwa Mtumwa wa Mambo Yafuatayo

$
0
0

Ukiamua Kuwa na Mahusiano na Mume wa Mtu Lazima Ukubali Kuwa Mtumwa wa Mambo Yafuatayo:

1. Baby samahani dakika moja,wife anapiga simu

2. Baby muda umeenda Sana mke wangu atanipigia, wacha niwahi kurudi nyumbani, Kesho saa 12 nitakuwa hapa

3. Bby nataka kuja kulala kwako mke Wangu amefiwa kaenda kwao

4. Baby sintaweza kuja Leo, wife kanibana... Pole kwa kuugua

5. Baby tangulia mbele, nitakukuta... Pale wanakaa shemeji zangu, wakituona pamoja watamuambia wife

6. Unaweza kimbiwa katikati ya sherehe usipewe hata nauli ya bodaboda, kesho unaambiwa sorry darling, si uliona wife alitokea ghafa

7. Mkiwa mnaongea kwa simu kwa mahaba mara unashtukia unaitwa Hamadi na kuagwa fasta.,baadae unaambiwa mke wangu alitokea ghafla nikawa sina jinsi

8. Unaweza pitwa barabarani na mvua inanyesha,kesho ukaambiwa nilikuona my love, Ila ningefanya nini.. ,nilikua na mke wangu

Ili mwisho wa siku ukija kupewa mimba na kuterekezwa usije na kauli zako za kusema wanaume wote ni mbwa😂😂na kama utafikia hatua ya kuwaita wanaume wote hivyo basi anza na kumtaja baba yako ili twende sawa maana sometimes huwa mnakuwaga na ukulunjuma mwingi sana dadeq

Wasiliana na Dr Mabula Anatibu Upungufu wa Nguvu za Kiume, Busha na Matatizo ya Maumbile Madogo kwa Mwanaume

$
0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO
Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliongahika sehemu mbalimbali bira MAFANIKIO MABULA CLINIC ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya JESHINI JE HUNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO NA MWEMBAMBA?

MAPRO PAWER NO 2 ndio Tiba kwa sasa utibu matatizo matatu kwa pamoja 1hitakufanya uchelewe kufika kilekeni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2 uhimalisha misuli iliyoregea na kusinyaa hasa kwa wale walio hasirika na upigaji punyeto 3 itakufanya upate amu ya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MPENZI AU MKE WAKO kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo MAKAKANUA mix ni dawa iliyochanganywa na miti Shamba 9 na Kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 Kwa Urefu na unene sentimita 1-5 dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona? zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke Kwa masaa matatu tu na kukupigia simu yeye mwenyewe mvuto wa biashara kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu tunatibu ngiri miguu mgongo na kiuno kuumwa kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa

TIBA NA USHAULI MUONE DR MABULA AU PIGA SIMU NO 0752348593 UDUMA ZANGU UTAZIPATA POPOTE ULIPO KAMA UWEZI KUFIKA OFISINI

Shamsa Ford Atubu "Hakuna Mwanaume Asiye Cheat Duniani"

$
0
0
Msanii wa kike wa filamu bongo Shamsa Ford ambaye ameolewa na mfanyabiashara maarufu wa nguo Chidi Mapenzi, amesema kwamba kwa anavyofahamu yeye hapa duniani hakuna mwanaume ambaye yupo kwenye mahusiano na mwanamke mmoja pekee na ambaye hasaliti.


Akizungumza kwenye Friday Night Live ya East Africa Television, Shamsa amesisitiza kwamba mwanaume kusaliti ni jambo la kwaida, ila kwenye suala la usaliti kuna kiwango ambacho hakiwezi kuvumilika.

“Mimi ninanvyojua hakuna mwanadamu ambaye yuko perfect, mwanaume kucheat ndivyoa alivyomubwa na Mungu, hamna mwanaume ambaye hacheat, hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja, Bill Clinton alikuwaga na kesi alicheat, Jay Z alikiri amemcheat Beyonce na uzuri wake na ustar wake, ila kuna utofauti wa cheating, kuna kucheat mtu anamleta mpaka ndani, hiyo haivumiliki”, amesema Shamsa.

Kauli hii ya Shamsa sio mara ya kwanza kusikika akiitamka, ambapo mara ya kwanza aliibua mjadala baada ya tetesi za mume wake kuwa na mchepuko, na kusema kwamba hawezi kumuacha kwa sababu ya  kuchepuka kwani ndio uanaume.

Sakata la Mwanafunzi wa Chuo cha Muhimbuli Aliyekutwa Amekufa Hostel, Kamanda wa Polisi Afunguka

$
0
0
Kamanda wa Polisi mkoa wa Ilala, Salum Amdani  amesema kwamba Jeshi la Polisi linasubiri taarifa ya daktari kufahamu chanzo cha  kifo cha mwanafunzi Edward Kahitwa wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kilichotokea jana.


Kamanda Amdani amesema hayo leo Mei 20, 2018 katika mahojiano maalumu na EATV na kusema kuwa daktari ndiye atafanya uchunguzi wa mwili wa marehemu na kuongeza kuwa itachukua muda kufahamu chanzo cha kifo.

“Chanzo hatuwezi kujua kwasababu ni lazima uchunguzi wa kitaalamu ufanyike sisi tunachoweza kusema kwamba ni kweli mwili wa marehemu ulikutwa chumbani baada ya sisi kupokea taarifa tulikwenda pale tukauchukua kwa taarifa nyinginne za kiuchunguzi”

Kamanda huyo wa Ilala amesema serikali itakuja kutoa taarifa kamili ya chanzo cha kifo hicho baada ya kukamilika kwa uchunguzi wa kitabibu na kuongeza kuwa kwasasa mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Marehemu Edward Kahitwa alikuwa ni mwanafunzi wa  mwaka wa tatu katika katika shahada ya Famasia Chuo Kikuu cha Afya na sayansi shirikishi Muhimbili (MUHAS), mwili wake ulikutwa chumbani katika hosteli za Chuo hicho hapo jana mchana Mei 19, 2018.

Kauli ya Manara Baada ya Kutenguliwa uzu na Kagera Sugar

$
0
0
Baada ya Kagera Sugar kutibua sherehe za ubingwa Simba jana kwa kuifunga bao 1-0 mbele ya Rais Magufuli, Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Simba, Haji Manara, amesema kipigo hicho wala si ishu kwao.

Manara alieleza hayo kwa kusema kuwa lengo kubwa ilikuwa ni kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu Bara lakini suala la kufungwa jana wala halileti hasara yoyote kwasababu tayari wameshachukua ubingwa msimu huu.

"Kufungwa na Kagera wala si ishu, sisi tulihitaji ubingwa wa ligi pekee, hayo mengine yaliyojitokeza wala hayaleti kutuletea shida, bingwa ni Simba'' alisema Manara.

Simba iliiadhimia kutengeneza rekodi nyingine ya kumaliza ligi bila kufungwa lakini ilishindwa kutimia baada ya Kagera kuitibua jana.

Mchezo mwingine utakaofuatia na wa mwisho kwa Simba katika msimu huu wa ligi, utakuwa ni dhidi ya Majimaji FC utakaochezwa Uwanja wa Majimaji mjini Songea.

VIDEO:Tazama Full Interview ya Gigy Money Akimvua Nguo Moj Baba wa Mtoto wake

$
0
0
Msanii Gigy Money kafunguka kwa mara ya kwanza huku akitokwa na machozi na kusema kuwa mtoto siyo wa Mo J kama ambavyo ilikuwa ikifahamika mwanzo na kamtaja baba wa mtoto. Bonyeza PLAY hapa kusikiliza FULL INTERVIEW ya GIGY MONEY.

VIDEO:

Hii Hapa Dawa Bora ya Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo ya Uume

$
0
0
Tatizo hili limekuwa likiwaadhiri watu wengi sana kisaikolojia hasa baada ya kujiona wapo tofauti sana na wengine kwa kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia nchi 6-8 kwanza upungufu wa vichocheo hivi huchochea ukuaji wa uume chongo ambalo hushambulia nerve ambayo uharibu kabisa ukuaji wa uume, ngiri, punyeto, ambayo huathili misuli ya uume, ngiri huleta maumivu, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, korodani moja kuvimba, kutopata choo vizuri, sababu hizi hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na mara nyingi hata nguvu za kiume ( hamu ya tendo la ndoa) hupungua na kwisha kabisa

GEMBE :Ni dawa inayozalisha na kukufanya uume kukua na kuongezeka
NGEMO : Ni dawa bora ya kuongeza nguvu za kiume

Hukutia hamu ya kuludia tendo la ndoa zaidi mara4 nne bila kukinai au kuchoka pia itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk30-45 kwa mtumiaji pia tunatibu kisukari, bp, ngiri, miguu kuwaka moto KAMA HUNAMDA WA KUFIKA OFISINI KWETU UTALETEWA POPOTE TUPO MBAGALA RANGI TATU

 0753471612/ 0715249530
0623 386 305

DR KUZENZA

Chelsea imetwaa Ubingwa wa FA Mbele ya Man United

$
0
0
Club ya Chelsea ambayo pamoja na kupoteza nafasi ya kushiriki michuano ya UEFA Champions League msimu wa 2018/2019 leo imefanikiwa kuwafuta machozi mashabiki wake kufuatia kupata ushindi wa FA mbele ya Man United katika mchezo wa fainali ya Kombe la FA katika uwanja wa Wembley.

Chelsea leo imefanikiwa kutwaa Ubingwa huo kwa kuifunga Man United kwa goli 1-0, goli pekee la Chelsea likigungwa na Eden Hazard dakika ya 22 kwa mkwaju wa penati na kuwafanya Man United wakiondoka Wembley vichwa chini.

Kipa Kaseja Kaomba Msamaha Simba 'Nimewaumiza Sana Jana'

$
0
0
Kwa taarifa yako kama ulikuwa hufahamu, wakati Simba ikitwaa ubingwa bila kupoteza mchezo golikipa wa wakati huo alikuwa ni Juma Kaseja.

Kaseja huyohuyo ameizuia Simba kutimiza ndoto yake ya kumaliza msimu bila kufungwa baada ya kuokoa penati ya Emanuel Okwi dakika ya mwisho katika mchezo wa Simba dhidi ya Kagera Sugar.

“Rekodi tuliweka sisi na mimi nikiwemo, rekodi ya kucheza mechi zote bila kupoteza, namshukuru Mungu yuleyule aliyeweka rekodi ya kucheza mechi nyingi bila kupoteza amevunja rekodi ya watu wengine wasicheze mechi zote bila kupoteza.”
“Lakini vilevile nawaomba msamaha wanasimba nimeishi ndani ya Simba kwa kipindi kirefu nikiwa mchezaji wao leo hii wanaweza kuwa wameumia.”

Hii ni mara ya 4 katika historia, Mourinho anatoka kapa

$
0
0
Pamoja na uwekezaji mkubwa wa zaidi ya £160m lakini kipigo cha bao moja kwa nunge kutoka kwa Chelsea katika fainali ya FA hapo jana kimewafanya United kumaliza msimu wa 2017/2018 bila kombe.

Pamoja na kwamba hii ni mara ya kwanza kwa Mourinho kucheza misimu miwili ya ligi bila kikombe cha ligi, lakini hii ni mara ya nne kwa Mreno huyu kucheza msimu mzima bila kutoka na kikombe chochote.

Tangu Jose Mourinho awe mwalimu wa Fc Porto mwaka 2002, ni mwaka 2007/2008, 2013/2014, 2015/216, na msimu huu ndio ambapo Mourinho alicheza msimu mzima bila kikombe cha aina yoyote.

Ushindi wa jana wa Chelsea sasa unafanya kikombe cha FA kwenda mara 11 katika misimu 17 iliyopita, ni Arsenal ndio timu inaongoza kubeba kombe hilo kutoka London(6) huku Chelsea akibeba mara 5.

Ushindi huo wa Chelsea umewafanya sasa kuwahi kubeba kombe hilo mara 8 katika historia na kuwafanya kuwa nafasi ya 3 kwenye timu zilizobeba kombe hilo mara nyingi, wa kwanza ni Arsenal(13) kisha United(12).

Wachezaji wa Azam FC Wampongeza John Bocco “Wewe ni Mshindi wa Kweli”

$
0
0
Baada ya nahodha wa Simba John Bocco kunyanyua ndoo ya VPL 2017/18 akiwa nahodha wa Simba SC nahodha wa Azam FC Himid Mao Mkami amekuwa mchezaji wa kwanza wa Azam kumpongeza Bocco.

Kabla ya kuhamia Simba, Bocco alikuwa nahodha wa Azam huku Himid akiwa nahodha msaidizi wa klabu hiyo. Kwa pamoja wawili hao msimu wa 2013/14 walishinda kwa mara ya kwanza taji la VPL katika historia yao ya ligi kuu huku ikiwa ni mara ya kwanza pia kwa klabu.



Baadaye John Bocco pamoja na Aishi Manula, Shomari Kapombe na Erasto Nyoni waliondoka Azam baada ya mikataba yao kumalizika na kujiunga na Simba. Wachezaji hao wanne wakiwa katika msimu wakwanza Simba, wameshinda VPL wakiwa wachezaji muhimu kwenye kikosi cha kwanza cha Simba.

Kupitia ukurasa wa Instagram Himid ameandika:
“Hongera sana ndugu yangu John Bocco hakika wewe ni mshindi wa kweli bila maneno mengi. Ulistahili ubingwa.”

Katika post hiyo ya Himid, nahodha masidizi wa Azam kwa sasa Salum Abubakar ‘Sure Boy’ amempongeza pia Bocco kwa kuandika:
“Hongera wewe mkuu John Bocco.”

Kiboko ya Matatizo ya Nguvu za Kiume, Maumbile Madogo, Mvuto wa Mapenzi na Magonjwa Sugu

$
0
0
KIBOKO YA MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME,MAUMBILE MADOGO, MVUTO WA MAPENZI ,MAGONJWA SUGU

Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

SUPER CHAN :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

LUGINI 3 POWER:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

MANUS :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

TULIZA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR GALIMBO NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO
PIGA SIMU 0759208637

Mwalimu awapa adhabu ya kuzibua vyoo bila kuvaa 'gloves' Wanafunzi

$
0
0

MOROGORO: Mwalimu awapa adhabu ya kuzibua vyoo bila kuvaa 'gloves' Wanafunzi wa Kike wa Shule ya Sekondari SUA

Mwalimu huyo alichukua hatua hiyo baada ya kubaini vyoo vya shule hiyo vimeziba kutokana na Wanafunzi hao kutupa taulo za kike katika matundu ya vyoo hivyo

Wanafunzi hao wamelalamikia kitendo hicho kwakuwa si cha kiungwana, kimewaathiri kisaikolojia pia ni hatari kwa afya zao

Kwa upande wake Afisa Elimu wa Manispaa ya Morogoro, amesema kuwa alifika shuleni hapo na kumuhoji Mwalimu anayetuhumiwa kutenda kitendo hicho pamoja na uongozi wa shule

Hatua zilizochukuliwa ni pamoja na kumwambia Mwalimu huyo aandike barua ya kuomba kuhama kwa gharama zake mwenyewe

MC Pilipili Acha Kulilia Mwanamke, Unatuaibisha Wagogo wa Dodoma

$
0
0

Toka unyang'anywe mke na Mwinjaku imekuwa vilio visuvyokuwa na kikomo huko insta, wewe ni mwanaume usililie mwanamke hizo zama zimeshapitwa na wakati hapo unatuabisha tu sisi Wanaume wa shoka kutoka Dodoma

Ikumbukwe kuwa Mc Pili Pili alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mrembo huyo Nicole na baada waliachana kisha binti huyo alipata bahati ya kupata mtoto ambae inasemekana ni wa kigogo mmoja Serikalini....

Bado hajajulikana hasa kama hiyo ndoa ya Nicole na Mwinjaku ni ya kweli au wanacheza Movie maaana Mastaa wa Bongo kwa Kiki Hawajambo..

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

$
0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348. Au 0659 103 360.

Harusi ya MwanaMfalme Prince Harry Yagharimu 102.6 bilioni za Tanzania

$
0
0
HARUSI YA MWANAMFALME : Prince Harry na Meghan Markle tayari ni Mume na Mke. #RoyalWedding18

Hili ni tukio kubwa katika historia ya Uingereza: kwani runinga, redio pamoja na vyombo vyote vya habari duniani vimetupia Jicho lake hapa.

Kwa mujibu wa mtandao maarufu unaoangazia gharama za Masuala ya ndoa na Sherehe mbali mbali, #BrideBook umeripoti kuwa, bajeti ya harusi hiyo ni kiasi cha dola za Kimarekani, Milioni 45, ambazo ni zaidi ya sh.102.6 bilioni za Tanzania. Hiyo itatumika kwenye ishu za Ulinzi, vyakula, Usafiri, Mapambo na vinywaji mbali mbali.

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0

Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Viewing all 104785 articles
Browse latest View live




Latest Images