Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104417 articles
Browse latest View live

Diamond Sheik Kipozeo Wazindua Kipindi cha 'Nyumba ya Imani' cha Wasafi TV

0
0
Diamond Sheik Kipozeo Wazindua Kipindi cha 'Nyumba ya Imani' cha Wasafi TV
MKALI wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’,  na Shekhe maarufu jijini Dar, Shekhe Kipozeo, usiku wa kuamkia leo walishirikiana kuzindua kipindi kipya cha runinga kinachojulikana kwa jina la Nyumba ya Imani, ambacho kitakuwa kikirushwa kila siku ndani ya Wasafi TV.

Uzinduzi huo ulioambatana na futari, ulifanyika katika jengo la ofisi za Wasafi TV, zilizopo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, ambapo Shekhe Kipozeo alipewa heshima ya kuzindua kipindi hicho kwa kushirikiana na Mkurugenzi wa runinga hiyo, Diamond Platnumz.

“Tunafurahia leo kuwaona wapendwa wetu mmetuunga mkono katika kufanikisha kipindi chetu hiki kipya, ni matumaini yangu kila mmoja amekuja kwa mapenzi yake na kwamba tutaendelea kushirikiana kwa kila jambo letu kwani TV hii ni yetu sote,” alisema Diamond.




Baada ya Mumewe Kutajwa Katika Listi ya Wapenzi wa Wolpeer........ Shamsa Ford Ayamaliza na Harmonize

0
0
Baada ya Mumewe Kutajwa Katika Listi ya Wapenzi wa Wolpeer........ Shamsa Ford Ayamaliza na Harmonize
Mugizaji wa Filamu Bongo, Shamsa Ford amesema hana bifu lolote na Harmonize mara baada ya muimbaji huyo kumtaja mume wake Chid Mapenzi katika orodha ya wanaume ambao alidai wamewahi kutoka kimapenzi na Jacqueline Wolper.

Muigizaji huyo amesema kuwa licha kutopendezwa na kitendo hicho kwa ujumla hana ugomvi na Harmonize ili maisha mengine yaendelee.

Soma Pia: Harmonize ataja list ya wanaume 12 waliotembea na Jacqueline Wolper

“Mume wangu ni mtu mpole sana, inawezekana hakupendezwa ila alikaa kimya, sisi wanawake tunamunkari ya hali ya juu, halafu unaona huyo kapata wapi huo ujasiri wa kuweka hivyo bila kufikiria hawa watu wengine tayari wana familia zao,” amesema.

“Nilipaniki lakini mwisho wa siku simchukii na sina bifu naye niliongea nilichokuwa najisikia na yameisha na hata tukikutana tunasalimiana vizuri kwa sababu hatuna bifu. Sisi ni vijana tunahitaji kuweka nguvu nyingi sana katika kufanya kazi na sio mabifu,” Shamsa ameiambia FNL ya EATV.

Soma Pia: Shamsa Ford akiri kuumizwa vikali na Harmonize (+Video)

Usiku wa kuamkia May 8, 2018 ndipo Harmonize alitoa orodha hiyo ya Wolper ambaye ni ex-girlfriend wake kupitia ukurasa wake wa Instagram, hata hivyo Shamsa alimjibu kwa wakati huo na kumueleza kuwa Chid kwao anaweza kuwa mshikaji ila kwake ni mume, hivyo ni muhimu kuheshimiana.

Video H.Baba: Sijaachana na Flora na Wala Sitembei Bila Mil 1 Mfukoni

0
0
Video H.Baba: Sijaachana na Flora na Wala Sitembei Bila Mil 1 Mfukoni
Msanii mkongwe wa muziki, H.Baba amefunguka kuzungumzia mambo mengi kuhusu maisha yake. Muimbaji huyo amedai sio kweli kwamba ameachana na mama watoto


Aliyepasuliwa Kichwa Badala ya Mguu Kulipwa Milioni 100

0
0
Aliyepasuliwa Kichwa Badala ya Mguu Kulipwa Milioni 100
Mahakama Kuu imeamuru Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu ya MOI kumlipa fidia ya Milioni 100 Emmanuel Didas aliyefanyiwa upasuaji wa kichwa badala ya mguu kutokana na madhara aliyoyapata ya kimwili na kiufahamu ikiwemo kupooza.

Mahakama imetoa amri hiyo baada ya Didas kushinda kesi ya madai aliyoifungua dhidi ya taasisi hiyo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii(wakati huo) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Itakumbukwa kuwa mwaka 2007 Didas alifanyiwa upasuaji wa kichwa alipofikishwa MOI badala ya mguu aliokuwa anaumwa. Mgonjwa mwenzake, Emmanuel Mgaya alifanyiwa upasuaji wa mguu ambao haukuwa na tatizo badala ya kichwaKutokana na makosa hayo, wagonjwa wote wawili walipelekwa katika hospitali ya Indraprastha Apollo, nchini India kwa matibabu zaidi hata hivyo, Mgaya alifariki dunia baadaye

Waziri Majaliwa: Imani ya Dini na Maendeleo ya Watu Haviwezi Kutenganishwa

0
0
Waziri Majaliwa: Imani ya Dini na Maendeleo ya Watu Haviwezi Kutenganishwa
Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa amesema kuwa imani ya dini yoyote ni lazima iendane na maendeleo ya watu ni mambo mawili ambayo hayawezi kutenganishwa kwa maslahi ya Taifa.


Waziri Mkuu Majaliwa amesema hayo jana Mei 20, 2018 Jijini Dodoma katika ibada maalumu ya kumtawaza Askofu Dkt. Maimbo Ndolwa kuwa Askofu mkuu wa kanisa la Anglikana nchini Tanzania na kuongeza kuwa ni jukumu la viongozi wa dini ni kuhimiza waumini kufanyakazi kwa bidii

“Imani ya dini na maendeleo ya watu haviwezi kutenganishwa, kwa maana hiyo hutuwezi kutenganisha imani ya dini na changamoto kubwa zinazotukabili ikiwemo, umaskini, maradhi na ujinga kwa namna nyingine umaskini huletwa na watu kutofanyakazi ni vizuri tuhimize waumini wote kufanyakazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo na kuondoa umaskini”, amesema Majaliwa.

Kwa upande mwingine Waziri Mkuu Majaliwa aliwasisitiza viongozi wa dini nchini kuendelea kuliombea Taifa la Tanzania na viongozi hasa Rasi Dkt John Magufuli ili awe na busara, hekima, upendo na hekima katika kuiletea nchi maendeleo.

Askofu Dkt. Maimbo Ndolwa alitawazwa kuwa Askofu Mkuu wa saba wa kanisa la Anglikana nchini Tanzania katika ibada iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Roho Mtakatifu Dayosisi ya Central Tanganyika Jijini Dodoma

Kichuya Azuiliwa na Baba Yake Kuongeza Mkataba Mwingine Simba

0
0
Kichuya Azuiliwa na Baba Yake Kuongeza Mkataba Mwingine Simba
BABA Mzazi wa Kiungo Mshambuliaji wa Simba Shiza Kichuya mzee Ramadhani Kichuya amemzuia mwanaye kuongeza mkataba mwingine mpya wa kuendelea kuichezea timu hiyo hadi atakapojua muafaka wake wa kwenda klabu ya TP Mazembe ya DR Congo.

Mazembe ni kati ya klabu zilizoonyesha nia ya kumsajili mshambuliaji huyo ambaye mkataba wake unatarajiwa kumalizika juni mwaka huu wakati Ligi Kuu Bara ikiwa imemalizika.

Serikali: Hatuna Mpango Wowote wa Kufanya Marekebisho ya Sheria ya Mtandao

0
0
Serikali: Hatuna Mpango Wowote wa Kufanya Marekebisho ya Sheria ya Mtandao
Serikali imesema tangu kuanza kwa matumizi ya sheria ya makosa ya mtandao namba 14 ya mwaka 2015, imesaidia kupunguza makosa ya mtandao na upatikanaji wa haki pale mtu anapotenda kosa tofauti na awali hivyo hawana mpango wowote kwa sasa kufanya marekebisho kwenye sheria hiyo.


Kauli hiyo imetolewa leo na Mei 21, 2018 na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Elias Kwandikwa Bungeni Jijini Dodoma kwenye kikao cha 33 mkutano wa 11 wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati akijibu la nyongeza la Mbunge wa Ubungo Said Kubenea aliyetaka kujua lini serikali itapeleka bungeni mswada wa marekebisho ya sheria mtandao inayobana uhuru wa mwananchi kupata habari.

"Uwepo wa sheria ya makosa ya mtandao Na. 14 ya mwaka 2015 umesaidia kupungua kwa makosa ya kimtandao, upatikanaji wa haki pale mtu anapotenda kosa kwani kabla ya hapo kulikuwepo na changamoto na uanishaji wa makosa na adhabu hali iliyopelekea haki kutopatikana", amesema Kwandikwa.

Pamoja na hayo, Kwandikwa ameendelea kwa kusema "uwepo wa sheria hiyo umewezesha kuimarika kwa matumizi salama ya mtandao na kuleta maendeleo kwa wananchi. Sheria hii ni muhimu sana kwa nchi yetu na badala ya kuwaathiri watumiaji au wananchi imesaidia kupunguza waharifu wa mtandao.....

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi inaonyesha kupungua kwa makosa hayo kwa asilimia 48.9 kati ya Januari hadi Disemba 2017. Hivyo kwa sasa serikali haina mpango wa kupeleka marekebisho ya sheria hiyo bungeni hadi hapo kutakapokuwa na uhitaji wa kufanya hivyo".

Kwa upande mwingine, Kwandikwa amewataka wananchi kutumia fursa chanya zitokanazo na matumizi sahihi ya mitandao kuliko kutumia mitandao hiyo kuvunja sheria za nchi na maadili pamoja na tamaduni za kitanzania.

Tyson Kurudi Tena Ulingoni Mwezi Ujao

0
0
Tyson Kurudi Tena Ulingoni Mwezi Ujao
Bingwa wazamani wa uzito wa juu Duniani, Tyson Fury anatarajia kurejea tena ulingoni Juni 9 kumkabili bondia, Albanian Sefer Seferi dimba la Manchester Arena.

Fury ambaye ni bingwa wa IBF, WBA na WBO ataingia ulingoni baada ya kukosekana kwamuda wa miaka miwili na nusu kufuatia kukutwa na tuhuma za kutumia madawa yaliyokatazwa michezo.

Bondia huyo wa Uigereza mwenye mapambano 25, akishinda yote na 18 ikiwa ni kwa njia ya KO atamkabili, Sefer Seferi mwenye umri wa miaka 39.

Mara ya mwisho Fury aliingia ulingoni Novemba mwaka 2015 alipomkabili bondia, Wladimir Klitschko wakati, Seferi akipoteza mbele ya Manuel Charr Septemba mwaka 2016.

Beyonce Aanzisha Kanisa Kueneza Dini Yake.... Yeye Ndiye Mungu Asujudiwa

0
0
Beyonce Aanzisha Kanisa Kueneza Dini Yake.... Yeye Ndiye Mungu Asujudiwa
SUPER STAA wa muziki Duniani kutoka nchini Marekani, Beyonce amenunua jengo la Kanisa Kongwe mjini New Orleans nchini Marekani ikiwa ni harakati zake kujitanua na kueneza dini yake ya Beyism.
Beyonce Aanzisha Kanisa Kueneza Dini Yake.... Yeye Ndiye Mungu Asujudiwa

Kanisa hilo lenye zaidi ya miaka 100 limejengwa kwa mawe miaka ya 1900’s limemgharimu Beyonce kiasi cha dola $850,000 sawa na Tsh bilioni 1.9 kulinunua.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka mitandao mbalimbali ya burudani duniani ikiwemo TMZ, Jezebel, papermag.com, Shaderoom na nyingine zinaeleza kuwa, lengo la kununua kanisa hilo ni kueneza dini yake ya Beyism na kuongeza waumini kutoka sehemu mbalimbali za dunia.

Beyism ni dini ambayo wafuasi wake wanamsujudu Beyonce kama ‘mungu’ wao na tayari imeshapata maelfu ya waumini nchini humo.

Mwaka 2014, waumini wa dini ya Beyism walianzisha kanisa la rasmi la Beyonce walilolipa jina la ‘The National Church of Bey’ mjini Atlanta nchini Marekani.

Waumini wa Kanisa hilo wanaimba nyimbo za Beyonce na kusoma biblia maalumu zinazoitwa beyble.

Kanisa hilo limepambwa na picha nzuri za Beyonce akiwa amevalia mavazi ya nguo kama za viongozi wengine wa makanisa ya kikristo.

Kanisa hilo lenye ukubwa wa eneo la square futi 7,500, lina vitanda viwili, mabafu mawili.


Nikiwa Tajiri Nitaongeza Watoto Wengine 10- Faiza Ally

0
0
Nikiwa Tajiri Nitaongeza Watoto Wengine 10- Faiza Ally
Msanii Faiza Ally ambaye pia ni mama wa watoto wawili amesema kuwa ataongeza watoto wengine endapo akiwa tajiri.


Faiza amesema hayo wakati akizungumza na www.eatv.tv ambapo amesema kuwa kwa sasa hali yakekiuchumi inamtosha kuwa na watoto wawili tu na endapo akitajirika atafikisha hata kumi ikiwezekana.

“Kwa uwezo wangu kwa sasa ni wawili tu lakini mwenyezi Mungu akinijaalia kipato zaidi ya hiki nitazaa hata kumi kwa sababu na penda watoto sana”. Amesema Faiza

Mwanadada huyo mwenye umri wa miaka 34 amejizolea umaarufu kupitia baadhi ya matukio anayofanya mitandaoni hali iliyopelekea simu yake ya mkononi kushikiliwa na jeshi la Polisi kutokana na kupost picha ikimuonesha wakati akijifungua mtoto wake wa pili.

Wasiliana na Dr Mabula Anatibu Upungufu wa Nguvu za Kiume, Busha na Matatizo ya Maumbile Madogo kwa Mwanaume

0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO
Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliongahika sehemu mbalimbali bira MAFANIKIO MABULA CLINIC ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya JESHINI JE HUNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO NA MWEMBAMBA?

MAPRO PAWER NO 2 ndio Tiba kwa sasa utibu matatizo matatu kwa pamoja 1hitakufanya uchelewe kufika kilekeni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2 uhimalisha misuli iliyoregea na kusinyaa hasa kwa wale walio hasirika na upigaji punyeto 3 itakufanya upate amu ya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MPENZI AU MKE WAKO kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo MAKAKANUA mix ni dawa iliyochanganywa na miti Shamba 9 na Kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 Kwa Urefu na unene sentimita 1-5 dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona? zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke Kwa masaa matatu tu na kukupigia simu yeye mwenyewe mvuto wa biashara kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu tunatibu ngiri miguu mgongo na kiuno kuumwa kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa

TIBA NA USHAULI MUONE DR MABULA AU PIGA SIMU NO 0752348593 UDUMA ZANGU UTAZIPATA POPOTE ULIPO KAMA UWEZI KUFIKA OFISINI

Faiza Ally Afungukia Utajiri na Kuzaa Watoto 10

0
0
Msanii Faiza Ally ambaye pia ni mama wa watoto wawili amesema kuwa ataongeza watoto wengine endapo akiwa tajiri.


Faiza amesema hayo wakati akizungumza na www.eatv.tv ambapo amesema kuwa kwa sasa hali yakekiuchumi inamtosha kuwa na watoto wawili tu na endapo akitajirika atafikisha hata kumi ikiwezekana.

“Kwa uwezo wangu kwa sasa ni wawili tu lakini mwenyezi Mungu akinijaalia kipato zaidi ya hiki nitazaa hata kumi kwa sababu na penda watoto sana”. Amesema Faiza

Mwanadada huyo mwenye umri wa miaka 34 amejizolea umaarufu kupitia baadhi ya matukio anayofanya mitandaoni hali iliyopelekea simu yake ya mkononi kushikiliwa na jeshi la Polisi kutokana na kupost picha ikimuonesha wakati akijifungua mtoto wake wa pili.

Tanzania Hatuna Bahati Kwenye Mpira..Ngorongoro Heroes yafungashiwa vilago U20

0
0
Vijana wa timu ya taifa chini ya umri wa miaka 20, Ngorongoro Heroes wametupwa pembeni ya mbio za kuwania tiketi za Fainali za U20 Afrika baada ya kuchapwa mabao 4-1 na wenyeji, Mali kwenye Uwanja wa Omnisports Modibo Keita mjini Bamako.


Matokeo hayo yanamaanisha Tanzania inatolewa katika mchakato wa kuwania tiketi ya Niger mwakani kwa jumla ya mabao 6-2, baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 kwenye mchezo wa kwanza Mei 13 Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam.

Vilevile katika mchezo wa kwanza Kabwili hakuweza kucheza baada ya kutopangwa na Kocha Mkuu Ammy Ninje lakini alianza katika kikosi cha leo.

Mali sasa itakutana na mshindi wa jumla kati ya Cameroon na Uganda katika hatua ya mwisho ya mchujo kuelekea Niger 2019.

Mrembo Kikojozi Bongo Movies Afunguka..Adai Watu Wanamzushia

0
0
Muigizaji wa filamu Bongo Mwanaheri Afcely kwa mara ya kwanza amefunguka juu ya tuhuma za kuwa kikojozi.


Akizungumza na www.eatv.tv, Mwanaheri amesema tuhuma hizo hazina ukweli wowote na watu walioanzisha hizo habari wana wivu juu ya ndoa yake.

“Hakuna ukweli wowote, sijawahi kujikojolea hata siku moja, mimi ni msanii huwa nalala kambini, wapigie simu kina JB waulize kama kuna siku nimewahi kukojoa, jamani hii ndoa watu imewauma, mpaka kunizushia habari za uongo!! Sio kweli mimi sio kikojozi, ila nina tatizo la pumu tangu utotoni”, amesema Mwanaheri.

Eatv ilizinyaka taarifa za mlimbwende huyo aliyejaliwa shepu ya kiafrika kutoka kwa mmoja wa watu wake wa karibu, na kusema kwamba msichana huyo ana tatizo la kujikojolea kitandani alilokuwa nalo tangu utotoni.

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

0
0


Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348. Au 0659 103 360.

Nafanya Muziki Kwaajili ya Mashabiki zangu si Kwasababu ya Kushindania Tuzo- Rayvanny

0
0
Nafanya Muziki Kwaajili ya Mashabiki zangu si Kwasababu ya Kushindania Tuzo- Rayvanny
Msanii wa muziki Bongo kutoka WCB, Rayvanny amesema hana muziki kwa ajili ya kushindania tuzo au kwenda kimataifa bali anafanya kwa ajili ya mashabiki wake.

Muimbaji huyo amesema baada ya kushinda tuzo ya BET watu walifikiri angebadili aina muziki wake lakini sivyo alivyo yeye.

“Watu walikuwa hawajaelewa, walikuwa wanafikiri tuzo zinafanana na muziki wa aina fulani lakini nyimbo zilizonifanya nichukue tuzo ni hizi hizi za nyumbani,” amesema.

“Hakuna nyimbo za kuchukulia tuzo, hizo za nyumbani, mimi nafanya muziki kwa ajili ya mashabiki zangu na watu wa Afrika Mashariki,” Rayvanny ameiambia Bongo5.

Soma Pia: Rayvanny aibuka shujaa kwenye BET

Utakumbuka June, 2018 Rayvanny alishinda tuzo ya BET 2017 katika kipengele cha International Viewers Choice.

Janet Jackson Aweka Histolia Apata Tuzo ya Heshima ya Billboard Awards

0
0
Janet Jackson Aweka Histolia Apata Tuzo ya Heshima ya Billboard Awards
Staa mkongwe katika game ya muziki nchini Marekani Janet Jackson ameingia katika historia nyingine baada ya kuwa mwanamke Mmarekani mweusi kupata tuzo ya heshima kwenye tuzo za Billboard Awards zilizofanyika usiku wa Jumapili May 20,2018, Marekani.

Katika historia hiyo Janet Jackson anakuwa mwanamke wa nne kupata heshima hiyo tokea tuzo hizo kuanzishwa mwaka 2011 ikiwa mastaa watatu waliwahi kushinda tuzo hiyo akiwemo Celine Dion, Jennifer Lopez na Cher maarufu kama “The Goddess of Pop”

Janet Jackson mwenye umri wa miaka 52 alianza kazi yake ya muziki mwaka 1973  na ametambulika zaidi kutokana na kuwa dada wa Marehemu Michael Jackson(King Of Pop) na pia kutokea kwenye familia ya Jackson 5.





Serikali Yatoa Ushauri Huukwa Wazazi

0
0
Serikali Yatoa Ushauri Huukwa Wazazi
Serikali imeshauri wazazi na walezi kuchagua shule kulingana na uwezo wa kulipa ada kutokana na tofauti ya viwango vya ada na huduma zitolewazo kwenye shule binafsi.

Ushauri huo umetolewa leo Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, William Tate Ole Nasha alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum,Mariam Nassor Kisangi aliehoji juu ya kwa nini Serikali isikae na wadau husika ili kupanga ada elekezi kwenye shule binafsi.

“Serikali haitajihusisha na upangaji wa ada kwa shule binafsi, bali itaendelea kusimamia viwango vya ubora, taratibu, kanuni na sheria za uendeshaji wa shule zote nchini,” amesema Mhe. Ole Nasha.
Ameendelea kusema, lengo la Serikali ni kuhakikisha watoto wote wa Kitanzania wanapata elimu bora kwa manufaa yao na Taifa kwa ujumla.

Aidha amesema, Serikali inatambua na kuthamini mchango wa sekta binafsi katika maendeleo ya elimu nchini ambapo hadi sasa, jumla ya shule ya msingi 1,432 kati ya shule 17,583 zinamilikiwa na sekta binafsi.

Amesema jumla ya shule za Sekondari 1,250 kati ya shule 4,885 zinamilikiwa na sekta binafsi. Vile vile Serikali inatambua utofauti wa viwango vya ada kati ya shule za umma za shule binafsi pamoja na utofauti wa viwango hivyo kati ya shule moja na nyingine za binafsi.

Haji Manara Aivaa Klabu ya Azam

0
0
Haji Manara Aivaa Klabu ya Azam
Mkuu wa Habari na Mawasiliano wa Mabingwa wa Ligi Kuu (VPL) Simba SC, Haji Manara amefunguka na kuivaa klabu ya Azam FC kuwa hawakuweza kutambua mapema thamani ya nyota wao wanne wa msimu uliopita ambao ndio wameipatia ubingwa Simba msimu wa mwaka 2017/18.


Manara ametoa kauli hiyo kupitia ukurasa wake wa kijamii mchana wa leo Mei 21, 2018 mara baada ya klabu yake mwishoni mwa wiki iliyoisha kukabidhiwa kikombe cha ushindi wa ligi kuu Tanzania Bara licha ya kufungwa na Kagera Sugar bao 1-0 mchezo uliochezwa katika dimba la Taifa Jijini Dar es Salaam.

"Nilimwambia aliyekuwa CEO wa Azam FC, Abdul Mohamed kuwa Aisha Manula, John Bocco, Erasto Nyoni pamoja na Shomari Kapombe mnawaona hawafai leo lakini ndio watakaotupa ubingwa msimu huu", amesema Manara.

Pamoja na hayo, Manara ameendelea kwa kusema "ni nani anaebisha mchango wa hawa wanaume wanne kwenye ubingwa wetu? kwa ujumla wamefunga goli 18, wame-assist 19 huku Manula akiwa na 'clean sheets' 20 pamoja na kazi kubwa ya wachezaji wote wa Simba. Huwa najiuliza bila hawa sijui ingekuwaje?".



Ubingwa wa ligi kuu msimu huu ni wa kwanza kwa Simba tangu Haji Manara awe msemaji wa timu hiyo na kumfanya aweze kutimiza malengo yake ya siku zote ya kutamani siku moja wamechukua ubingwa kabla ya yeye kuihama klabu hiyo endapo itatokea kufanya hivyo.

VIWANJA VIKUBWA vinauzwa BUNJU

0
0

VIWANJA VIKUBWA vinauzwa BUNJU
Viwanja viko Kimele, km 5 kutoka Bunju sokoni. Vipo viwanja vya ukubwa huu: Eka 1 (64/64) bei mil 40, Nusu eka (32/64) bei mil 20, Robo eka (32/32) bei mil 10, sqm 800 (20/40) bei mil 8, sqm 600 (20/30) bei mil 6
Viwanja vinafaa kujenga (kuishi) na kufuga pia.
call/watsap 0757489709
Viewing all 104417 articles
Browse latest View live




Latest Images