Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live

Msigwa Amtaka Dk. Kigwangala Kutoa Ushahidi Wa Ufisadi Wake

$
0
0
Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amemtaka Waziri wa Maliasili na Utalii, atoe ushahidi bungeni juu ya ufisadi wake pamoja na aliyekuwa waziri wa wizara hiyo Lazaro Nyalandu.

Msigwa amesema hayo bungeni leo Mei 21, alipokuwa akichangia bajeti ya wizara hiyo, kwa mwaka wa fedha 2018/19 iliyowasilishwa na Dk. Kigwangala.

Kwa mujibu wa Msigwa, tuhuma dhidi yake na Nyalandu zilizotolewa na Dk. Kigwangala miezi michache iliyopita haziwezi kufumbiwa macho kwa sababu zilichafua majina yao katika jamii.

“Namuomba Dk. Kigwangala alieleze bunge amenufaika kiasi gani kupitia kwa mfanyabiashara OBC aliyeko Loliondo kwa kuwa hivi karibuni alionekana akipokea magari kwa ajili ya kukabiliana na majangili,” amesema Msigwa 

Je Dada Unapenda Shepu Bomba na ya Kuvutia, Weupe Bila Doa wala Sugu?

$
0
0

JE, DADA UNAPENDA SHEPU BOMBA NA YA KUVUTIA, WEUPE BILA DOA WALA SUGU? SOMA 👇👇

Baada ya utafiti wa miaka 18 sasa kampuni ya MARKSON BEAUTY imeingiza bidhaa bora kabisa zenye matokeo ya haraka zaidi BILA madhara yoyote.
TUNAZO ZA👇👇👇
1.Kuongeza hips, makalio na mapaja @200,000/=
2.Kushepu mguu (CHUPA YA BIA) @150,000/=
3.Kuwa mweupe bila sugu kwa:-
(a)mafuta @150,000/=
(b) Vidonge @170,000
4.Kurefusha nywele na kutokukatika ovyo @150,000/=
5.Kuongeza hips, makalio na mapaja kwa vidonge (YODI PILLS ORIGINAL) @250,000/=
6Kupunguza au kuongeza maziwa kuyasimamisha @150,000/=
7.Kubana uke na kuondoa uchafu ukeni @130,000/=
8.Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
9.Kupunguza tumbo (kitambi) na nyama za pembeni @150,000/=
NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.

Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444
na
0714335378
UTAPATA HUDUMA.
👉🏻OUR WEBSITE:- www.marksnbeuty.org
👉🏻INSTAGRAM PAGE:-
@markson_beauty_pr

Zitto Ahoji Uhalali Wa Mkuchika Kukaimu Uwaziri Mkuu

$
0
0
Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amehoji ni kwanini Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi, George Mkuchika akaimu nafasi ya Waziri Mkuu bungeni wakati kanuni za bunge haziruhusu.

Amesema kwa mujibu wa kanuni za bunge, mwenye sifa ya kukaimu nafasi hiyo ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Hussein Mwinyi ambaye ndiye ana muda mrefu bungeni.

“Uwepo wa Mkuchika katika nafasi hiyo umechangiwa na nafasi yake ya udhamini katika Klabu ya Yanga kwa kuwa viongozi wa Yanga wanapenda sana madaraka,” amesema.

Kutokana na hali hiyo, Zitto alitaka Waziri Mkuchika aachie nafasi hiyo kwa kuwa uwepo wake katika nafasi hiyo anakiuka kanuni za bunge.

Akijibu hoja hiyo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu, Bunge, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama alisema Mkuchika alikaimishwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati Dk. Mwinyi akiwa na shughuli nyingine nje ya bunge.

“Kutokana na hali hiyo, Mkuchika ataendelea kushika nafasi hiyo hadi Waziri Mkuu atakapofanya mabadiliko mengine,” amesema Jenista.

Alichokisema Hamisa Mobetto Kuhusu Kupigwa na Mama Diamond

$
0
0
Mwanamitindo Hamisa Mobetto amefunguka kuhusu taarifa zilizodai kuwa amepigwa na mama mzazi wa Diamond Platnumz, Sanura Kassim ‘Sandra’.

Hapo jana katika uzinduzi wa kipindi cha Nyumba ya Imani cha Wasafi TV, Hamisa alipata time ya kuzungumza na waandishi wa habari na kusema jambo hilo ni binafsi zaidi ila kugombana kwa binadamu ni kitu cha kawaida.

“Hilo siwezi kuliongelea, yeah!. is too person, is too private, is too family. Hata vikombe kwenye kabati vinagong’ana, so sisi binadamu vinaweza kutokea,” amesema.

Alipoulizwa iwapo kwa sasa yeye na mama Diamond wana maelewano mazuri, alijibu; ‘Sina kinyongo na mtu, sina bifu na mtu, mimi am just fine, may be yeye mwenyewe sio upande wangu wa kuweza kuelezea,’.

Taarifa za Hamisa kupigwa na mama Diamond zilianza kusambaa Jumatatu ya wiki iliyopita, May 14, 2018 ambapo usiku ya jana yake Hamisa na Diamond walihudhuria katika uzinduzi wa filamu ya Aunt Ezekiel ‘Mama’ na baada ya hapo anadaiwa waliongozana hadi Madale kwa kina Diamond ambapo ndipo kisa hicho kinadaiwa kutokea.

Baada ya mumewe kutajwa na Harmonize kwenye list ya waliotembea na Wolper, Shamsa akubali yaishe

$
0
0

Mugizaji wa Filamu Bongo, Shamsa Ford amesema hana bifu lolote na Harmonize mara baada ya muimbaji huyo kumtaja mume wake Chid Mapenzi katika orodha ya wanaume ambao alidai wamewahi kutoka kimapenzi na Jacqueline Wolper.

Muigizaji huyo amesema kuwa licha kutopendezwa na kitendo hicho kwa ujumla hana ugomvi na Harmonize ili maisha mengine yaendelee.

Soma Pia: Harmonize ataja list ya wanaume 12 waliotembea na Jacqueline Wolper

“Mume wangu ni mtu mpole sana, inawezekana hakupendezwa ila alikaa kimya, sisi wanawake tunamunkari ya hali ya juu, halafu unaona huyo kapata wapi huo ujasiri wa kuweka hivyo bila kufikiria hawa watu wengine tayari wana familia zao,” amesema.

“Nilipaniki lakini mwisho wa siku simchukii na sina bifu naye niliongea nilichokuwa najisikia na yameisha na hata tukikutana tunasalimiana vizuri kwa sababu hatuna bifu. Sisi ni vijana tunahitaji kuweka nguvu nyingi sana katika kufanya kazi na sio mabifu,” Shamsa ameiambia FNL ya EATV.

Soma Pia: Shamsa Ford akiri kuumizwa vikali na Harmonize (+Video)

Usiku wa kuamkia May 8, 2018 ndipo Harmonize alitoa orodha hiyo ya Wolper ambaye ni ex-girlfriend wake kupitia ukurasa wake wa Instagram, hata hivyo Shamsa alimjibu kwa wakati huo na kumueleza kuwa Chid kwao anaweza kuwa mshikaji ila kwake ni mume, hivyo ni muhimu kuheshimiana.

Kuna maisha ya ustaa na kuna maisha ya kuigiza kuwa staa – Alikiba

$
0
0
Msanii wa muziki Bongo, Alikiba amesema licha ya umaarufu mkubwa alionao ataendelea kuishi maisha ya kawaida ya kutojionyesha (show off).

Muimbaji huyo katika mahojiano na Dj Show ya Radio One amesema kuwa maisha anayoishi ndio anaona yanafaa zaidi machoni kwa mashabiki wake ambao walimpokea kipindi hana kitu.

“Kuna maisha ya ustaa na kuna maisha ya kawaida na kuna maisha ya kuigiza kuwa staa. Mimi sijachagua in nature nipo hivyo, Watanzania walinipokea katika hali ambayo kiukweli haisemeki sasa hii leo nije nibadilike, so nisingependa kumshawishi shabiki yangu kwa namna yoyote ile kuwa nimebadilika kwa sasa hivi,” amesema.

“Kwa hiyo ule wivu wa kumfanya mtu anze kunichukia kwamba Ali amekuwa hivi na hivi, hapana!. Mimi ni staa, mimi ni supa staa nitafanya, ninaishi maisha ambayo nimechagua lakini bado nitaendea ku-humble kwa watu,” ameongeza.

Alikiba kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la Mvumo wa Radi.

Bongo5

Habari Njema: Tunatibu Busha, Korodani Kuvimba,Ngiri, Miguu Kufa Ganzi Pamoja na Matatizo ya Nguvu za Kiume

$
0
0
Ni dawa ya nguvu za kiume inayorefusha na kunenepesha uume saizi uipendayo (Inch 1-7) kwa muda wa siku 6 tu.Dozi hii itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dakika 30, utarudia tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha bila kujali umri na garantee ni miaka 60 baada ya kutibu tatizo.

Pia tunatibu Busha bila kufanyiwa Oparesheni, korodani moja kuvimba, ngiri, tumbo kujaa gesi na kuunguruma, kutopata choo vizuri, miguu kuwaka moto na kufa ganzi, chango la wanawake, kisukari na kutokwa na kinyama sehemu ya haja kubwa.

MIHAYO:
Inarudisha mke, mchumba, hawara na atakutimizia kila kitu unachotaka kutoka kwake ndani ya  saa 2 tu hata kama yupo mbali. atarudi na kumfunga asiwe na mwingine zaidi yako.

Umefukuzwa kazini? unataka kupandishwa cheo? Umepoteza pesa zako kwenye biashara bila kujua umepandikizwa chuma ulete? Njoo urudishe pesa zako. Unauza mali yako haiendi? Wasiliana na mtaalam Challo kwa; 0714006521

Tupo Mbagala

Je, Ntakuwa Nimemuharibu Mtoto? Nimefanya Mapenzi na Mwanaume Ambaye si Baba wa Mtoto...

$
0
0
Mimi nina mtoto wa miezi 10 sasa, niliachana na aliyenipa ujauzito nikiwa na mimba ya miezi 2 mwaka jana mwezi wa 2, na tangu mwaka jana nilikua sijakutana kimwili na mwanaume yoyote yaani nimekaa mwaka 1 na miez 5.

Miezi mitatu iliyopita nilikutana na kaka mmoja akawa anataka kunioa, but juzi nikashiriki nae tendo kibinadamu, na mimi na hisia kweli.Nilisex nae mara 1 tu na nilienda kuoga kabla sijamnyonyesha mtoto.

Naomba kuuliza inaweza kumdhuru mtoto?

Je, nifanyeje?

Msinielewe vibaya ndugu yangu baba mtoto yuko mbali na ana mwanamke mwingine .

Hana muda na mimi kabisa, mimi ni binadamu hisia zilinizidi tu nikawa nimefanya hivyo.


Sio Dada yake ila Mdogo Wake Ndiye Chaguo Langu..Dada Kanitongoza Kabla Sijamtongoza Mdogo wake niliyekuwa Namnyatia.....

$
0
0
Upendo wangu na haupo kwake kiukweli upo kwa mdogo wake, lakini nilishindwa kuwa wake kabla ya dada yake kufanya mambo yake kweli nimeamini chelewa chelewa utakuta mwana si wako'.

Kwa jinsi nilivyompenda mdogo wake sijui ni nini kilichonifanya nisimwambie.

Nahisi ule usemi wa 'subira huvuta heri' ulinipumbaza, ona sasa kaniwahi dada yake na mdgo wake katambua.

Jamani nilimpenda na bado nampenda mdogo wake ila mazoea ya dada yake kwangu yamechukua sura nyingine.

Niliona njia rahisi ya kumpata mdogo wake ni kuzoeana na dada yake, lakini sasa dada yake kanizoea vibaya .

Hadi kufikia kuniomba namba yangu ya simu haikutosha akaamua kunitamkia kabisa eti anataka kuwa nami bila kujua kama mimi nina malengo na mdogo wake.

Nahisi ndoto zangu kupotea, nipo katika wakati mgumu sana sijui nimjibu vipi dada yake na sijui nitampata vipi nimpendae na wote wanakaa nyumba moja.

JAMANI EEH!

NIMETONGOZWA NA DADA YAKE MSICHANA NINAEMPENDA bado sijamjibu chochote nimekata mawasiliano kwa muda ili kutafakari.

Tafadhali anayeweza kunishauri.

By Alphaking mahena

Breaking News: Maafisa Watatu wa TIC Wafariki Dunia Kwenye Ajali ya Gari

$
0
0
Breaking News: Maafisa Watatu wa TIC Wafariki Dunia Kwenye Ajali ya Gari
MAOFISA watatu wa Kituo cha Uwekezaji cha nchini  (Tanzania Investment Center (TIC) wamefariki dunia katika  ajali ya gari usiku wa kuamkia leo maeneo ya Chalinze wakiwa njiani kuelekea jijini Dodoma.


Waliofariki ni Saidi Amiri Moshi (Kaimu Mkurugenzi wa Research zamani Corporate Affairs), Zacharia Kingu (Kaimu Mkurugenzi wa Corporate Affairs zamani Investment Promotion) na Martin Masalu (Meneja Research).


Waliopata majeraha ni wawili yaani Godfrey Kilolo (Meneja wa Sheria) na dereva wa gari hilo aliyejulikana kwa jina moja tu la Priscus. Wote walikuwa wakielekea Dodoma kwa ajili ya mkutano ambao unatakiwa kufanyika leo Jumanne jijini humo.



Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo.

Gigy Money na Moj Malizeni Ugomvi Wenu Chumbani, Hatukuwepo Wakati Mnapeana Mistari

$
0
0
Hakuna kesi ngumu Dunani Kama ya kusuluhisha wapendanao


  • Mke anaongea yake (Gigy Money)
  • Mume anaongea yake (Moj)


Mwisho wa siku kitanda ndio kinaamua Kama wanapendana au la

Ushauri: Wadogo zangu Giggy Money na Mo Junior, hizi Kiki zimepitwa na wakati, naombeni yaishe mlee mtoto

Wakati mnatongozana hatukuwepo sasa mmeshazalishana na kupigana mechi mnatuletea vurugu kwanini msizimalize kimya kimya?!

 Wale wanaosema Hawa wawili wanapendana wanyooshe vidole juu

Wale wanaosema Hawa watu waachane wanyooshe kidole cha mwisho juu

Wale wanaosema haya mahusiano hayataendelea kamwe bora Mo junior ajikatae mbele wanyooshe kidole cha Kati juu

Mtazame Gigy Akifunguka Makubwa Kuhusu Moj:


Mtazame Moj Akiongea:

Hii Ndio Adhabu na Faini Utakayo Pewa Utakapokutwa Umevaa Sare za Jeshi Bila Ruhusu..Faini Itakuacha Mdomo Wazi

$
0
0

#IjueSheria: Mtu yeyote ambaye hatumikii Jeshi la Ulinzi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wala Jeshi lolote la Polisi lililowekwa kwa Sheria akivaa bila ruhusa ya Rais vazi rasmi la Jeshi lolote au vazi linalofanana na vazi rasmi au kuwa na alama yoyote ya Kiaskari atakuwa ametenda kosa

Mtu aliyetenda kosa hilo atawajibika kwa adhabu ya kifungo cha mwezi mmoja jela au faini ya Tsh. Mia mbili

Aidha, hakuna kifungu kinachomzuia mtu yeyote kuvaa vazi rasmi katika michezo ya tamasha inayochezwa hadharani mahali popote iwapo ataliwakilisha Jeshi kwa nia njema

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako..Anatumia Nyota na Nguvu za Asili Kutibu

$
0
0
Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako. yawezekana ulizaliwa nanyota yakitajiri ila watu wabaya wameikalia mpaka sasa ikawa hufahamu chochote. Mtafute ust Ashrafu Airudishe nyota yako yakitajiri kwakupitia pete inayoendana na nyota yako. Ust Ashrafu Ananguvu zamajini katika utendaji wake.

Anauwezo wakutoa Mali kwakupitia pete nakwakupitia majini wake. Na anauwezo wakuzirudisha Mali zilizopotea kwanjia zakichawi kwakupitia Pete yakifalme Ambayo inayong'aa muda wowote nakubadilikabadilika rangi. Ust Ashrafu Ametembea baadhi ya nchi kwakuwapatia watu huduma mbalimbali. Kama vile maradhi yakisukari, presha, ukimwi, bawasiri, tezidume, mwiliwote kupooza nakutetemeka, NK. Navilevile Amewapatia wengi huduma yamvuto wa kibiashara, nayamvuto wakimapenzi.

Nawengi wametoa shukrani zao kwa ust Ashrafu namna Alivyozirudisha Ndoa zao zilizo sambaratika kwamuda mrefu. Mtafute ust Ashrafu ili akusaidie juu yamambo yako. Nahuyu ust anasaidia matatizo yauzazi, nguvu zakiume, kuwashwa mwilini, kutokwa namapere usoni nasehemu za siri, NK. Na anadawa yakumtuliza mume asiesikia nakutulia inayoitwa limbwata. Na anadawa yakumrudisha mpenzi ktk mahusiano kwamda mchache.

Na amezipatanisha familia nyingi zilizogombana. Na anauwezo wakufarakanisha maadui waliokua pamoja. Mtafute Ustadhi Ashrafu kwa no. 0768486717-0627423037 Au Mtafute kwa whasapp 0659438578

Hizi ndio namba zake mpigie muda wowote usiogope yupo kwaajili yako. Mpigie hupate muongozo wa bure naushri. Ustadhi Ashrafu huduma zake hupatikana mahala popote utakapo muhitaji, ila sehemu kuu anapatikana Bagamoyo.


Marekani: Tutaiwekea Iran Vikwazo vya Kihistoria

$
0
0
Marekani: Tutaiwekea Iran Vikwazo vya Kihistoria
Rais wa Iran Hassan Rouhani, amepinga vikali kauli ya Marekani iliyotolewa na waziri wake wa mambo ya nje Mike Pompeo, aliyesema kuwa taifa lake linatarajia kuiwekea Irani vikwazo ambavyo havijawahi kuvipitia katika historia ya taifa hilo.

Rouhani amesema Pompeo, alipokuwa mkuu wa shirika la upelelezi la CIA, alishawahi shinikiza kuwekwa vikwazo dhidi ya taifa hilo ili kuachana na silaha za nyuklia na makombora ya masafa marefu.

Wewe ni nani? uweze kuwa na maamuzi dhidi ya Iran na dunia? amefoka Rais Rouhan, akiongeza kuwa Pompeo kwa mara nyingine shinikizo alilowahi lisimamia dhidi ya taifa hilo akiwa mkuu wa shirika la upepelezi la CIA wakati huo.

Amesema kuwa Iran kamwe tena namna yoyote mkono wa mtu kuishikilia mashariki ya kati.Kwa upande wake waziri mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu,amepongeza kauli ya bwana Pompeo na uungwaji mkono wa Marekani kimataifa.

"Tunaamini hii ndiyo sera nzuri.Ni sera pekee inayoweza kutuhakikishia usalama wa mashariki ya kati katika ukanda wetu.Na tunatoa wito kwa mataifa yote kufuata msimamo wa Marekani kwa sababu Irani ina nguvu za uchokozi."Netanyahu

Baba Kanumba Aibuka Ampa Masharti Mazio Lulu

$
0
0
Baba Kaumba Aibuka Ampa Masharti Mazio Lulu
MUNGU ametenda! Ndiyo maneno ya kwanza kutoka kinywani kwa baba wa aliyekuwa staa wa filamu za Kibongo, Steven Charles Kanumba, Charles Kusekwa Kanumba mara baada ya kuanza mahojiano na Ijumaa Wikienda huku akieleza alivyofurahishwa na kitendo cha aliyekuwa mpenzi wa mwanaye, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kutolewa gerezani na kumpa masharti mazito mwanadada huyo.

Baba Kanumba alifunguka hayo mwishoni mwa wiki iliyopita kwa njia ya simu akiwa nyumbani kwake mkoani Shinyanga, ikiwa ni siku chache baada ya mama mzazi wa marehemu Kanumba, Flora Mtegoa kujitokeza hadharani na kuoneshwa kutofurahishwa na kitendo cha Lulu kubadilishiwa adhabu kutoka kifungo cha miaka miwili jela hadi kifungo cha nje.

HANA TATIZO NA MTU

Tofauti na mama Kanumba ambaye alionesha kutaka Lulu abaki gerezani, baba Kanumba alisema kuwa, kutolewa kwa mrembo huyo ni mpango wa Mungu.

HUYU HAPA BABA KANUMBA

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, baba Kanumba alisema kuwa, kwanza Lulu kutolewa gerezani na kubadilishiwa kifungo cha nje ni mpango wa Mungu na alifurahishwa mno na kutoka kwake hivyo kwenye moyo wake hana kinyongo naye hata kidogo.

“Kila kitu hapa duniani hupangwa na Mungu na kila kinachotokea ni mapenzi yake, siwezi kulaumu kwa nini Lulu ametoka bali nimefurahi kwa sababu hata angefungwa miaka mia moja, Kanumba tayari alishafariki dunia, hawezi kurudi duniani.

MCHA MUNGU

“Silaumu kwa sababu mimi ni mcha Mungu hivyo Mungu ndiye amesema suala hilo lifikie tamati kwa namna hiyo, wanaopinga na kusema siyo haki, hayo ni mawazo yao maana kama ni kifo cha mwanangu kiliniuma sana, lakini sasa siwezi kumlazimisha Mungu afanye mimi binadamu ninavyotaka maana hata neno lake linatufundisha kwamba tusamehe,” alisema baba Kanumba.




AMPA MASHARTI MAZITO

Katika mazungumzo hayo na Ijumaa Wikienda, pamoja na kufurahishwa na suala la Lulu kutolewa gerezani na kupewa kifungo cha nje, baba Kanumba alimpa Lulu masharti mazito kwamba kama anataka maisha yake yaende vizuri, awe na familia nzuri kama watu wengine na amani moyoni, anatakiwa kwenda kufanya usafi kaburi la Kanumba kama ni kulia, alie na hapo atakuwa ameacha balaa na mikosi yote.

“Kwa mila za kabila letu la Kisukuma ni kwamba, Lulu alitambulika kama mke wa Kanumba maana hakuna mwanamke mwingine tunayemfahamu sisi hivyo natamani angeachiwa huru kabisa asiwe na kifungo cha nje na aende tu kufagilia kaburi la mumewe Kanumba na hapo atakuwa amemaliza na kuwa huru.

“Lulu kama anataka awe na familia, yaani aolewe, apate watoto wazuri na amani katika maisha yake, aende tu kufagilia kaburi la Kanumba na hapo atakuwa ameacha kila nuksi, balaa na mikosi hapohapo na atakuwa huru kabisa, ndiyo mila zetu zinavyosema,” alisema baba huyo.

ASIPOFANYA ITAKUWAJE?

Baba huyo aliendelea kueleza kuwa, endapo Lulu hatafuata na kufanya masharti hayo, basi atakuwa na wakati mgumu mno kwenye maisha yake kwa maana damu hiyo na mzimu wa Kanumba utakuwa ukimfuatilia na anaweza asiolewe au kupata familia, yaani watoto.

“Kinachotakiwa hapa, Lulu anatakiwa afuate tu hayo masharti ya kimila niliyompa, lakini asipofanya hivyo atajikuta akikosa amani katika maisha yake kwani kufanya hivyo kunamuepusha na kufuatiliwa na ule mzimu au damu ya Kanumba ambayo itamtesa na kujikuta akikosa furaha na amani,” alisema baba Kanumba.


MAMA LULU ANASEMAJE?

Ijumaa Wikienda lilimtafuta mama mzazi wa Lulu, Lucrecia Karugila baada ya kukutana na ugumu wa kumpata Lulu, lakini hata hivyo simu yake iliita bila kupokelewa.

MTU WA KARIBU ANENA

Mmoja wa watu wa karibu na familia ya Lulu ambaye aliomba hifadhi ya jina, alipotakiwa kuzungumzia masharti hayo ya baba Kanumba, alisema kuwa, familia imeyapokea na yanatekelezeka.“Kikubwa kwanza familia inamshukuru Mungu kwa kitendo cha kubadilishiwa adhabu ya gerezani na kumalizia kifungo chake cha nje.

“Unajua jambo lenyewe kama alivyosema baba Kanumba ni mipango ya Mungu tu. Familia haikutegemea kabisa kama Lulu anaweza kubadilishiwa adhabu.

“Unajua kama familia, baada ya hukumu ya miaka miwili kutolewa na Mahakama Kuu, Novemba, mwaka jana, licha ya kumuombea Lulu atoke, lakini kibinadamu tulikuwa tunajua ndiyo mpaka amalize miaka yake miwili gerezani ndiyo atoke,” alisema mtu huyo na kuongeza:

“Lilipokuja lile la msamaha wa Rais, nalo familia iliona tu ni kama Mungu anasikiliza maombi na kumpunguzia ile robo ya kifungo, lakini hakuna aliyekuwa anajua kwamba Lulu anaweza kutoka mapema hivi akiwa angali na miezi sita tu gerezani.”

MITANDAONI KWACHAFUKA

Mara baada ya Lulu kubadilishiwa kifungo hicho, mitandaoni kulichafuka kwa watu kumzungumzia mrembo huyo huku wengi wakionesha kufurahishwa na kitendo hicho.“Ni jambo la kheri sana. Lulu anapaswa kumshukuru Mungu kwa sababu sidhani kama alitegemea kama siku moja anaweza kutoka katika mazingira kama yale,” alichangia mdau mtandaoni.

Watu wengi kwenye mitandao ya kijamii walisema kuwa, Lulu ni binti ambaye alikuwa ana msaada mkubwa katika familia yake hususan mama yake mzazi hivyo kitendo cha yeye kurudi uraiani kinaleta faraja kubwa.

Walisema kama mzazi, kitendo cha kutomuona mwanaye kwa muda mrefu kilikuwa kinampa mawazo na hivyo sasa ni wakati wa kuanza ukurasa mpya wa maisha ya furaha.

TUJIKUMBUSHE

Mwishoni mwa mwaka 2017, Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam ilimuhukumu Lulu kwenda jela miaka miwili kwa kosa la kumuua bila kukusudia aliyekuwa mpenzi wake, Kanumba, lakini Mei, mwaka huu mahakama hiyo ilimbadilishia adhabu na kumpa kifungo cha nje ambapo amekuwa akifanya kazi za kijamii kwenye Wizara ya Mambo ya Ndani jijini Dar.

MCHANGANUO ULIVYOKUWA

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Jeshi la Magereza, mfungwa yeyote (isipokuwa wa kunyongwa na kufungwa maisha) anapoingia tu gerezani anapata msamaha wa theluthi moja ya kifungo chake.

Hivyo Lulu alipoingia tu gerezani, alipata msamaha huo ambapo alipunguziwa theluthi hiyo na kubakiwa na miezi 16 badala ya ile 24 aliyohukumiwa mahakamani.

RAIS AMUOKOA

Baadaye, Rais Dk John Pombe Magufuli kupitia msamaha alioutoa Aprili 26, mwaka huu jijini Dodoma katika Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 54 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar aliwapunguzia wafungwa mbalimbali nchini robo ya vifungo vyao ambapo Lulu naye alinufaika na msamaha huo.

Hivyo kutoka kwenye miezi 16 iliyobaki, Lulu akabakiwa na miezi 12. Baadaye, Mahakama Kuu kupitia vipengele vya sheria, iliweza kumbadilishia kifungo Lulu baada ya kutumikia nusu ya kifungo chake yaani miezi 6.

Mama Diamond Asota Polisi kwa Masaa Sita Kisa Hiki Hapa

$
0
0
Mama Diamond Asota Polisi kwa Masaa Sita Kisa Hiki Hapa
UCHUNGU wa mwana aujuaye mama! Hicho ndicho kilichotokea kwa mama mzazi wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sandra Kassim a.k.a Bi Sandra ambaye alifikia uamuzi wa kusota Polisi kwa saa 6, kisa mwanaye, Esma Khan ‘Esma Platnumz’.



Mama huyo alijikuta akihenya wikiendi iliyopita katika Kituo cha Polisi cha Kijitonyama a.k.a Mabatini jijini akijaribu kumnasua Esma baada ya kutiwa mbaroni baada ya kunaswa na wakaguzi wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) akiuza vipodozi vilivyopigwa marufuku.


Habari zilieleza kuwa, Esma alikutwa akiuza vipodozi hivyo vyenye kemikali kwenye saluni yake iliyopo Sinza, Afrika Sana jijini Dar.

Kwa mujibu wa habari za kishushushu ndani ya kituo hicho, katika sakata hilo, maofisa hao walikuwa kwenye msako wa operesheni maalum wa wafanyabiashara wanaoendelea kuuza vipodozi hivyo.



Taarifa hizo zilieleza kuwa, Esma alikamatwa na wakaguzi hao majira ya saa 9:00 jioni ambapo baada ya taarifa hizo kumfikia mama Diamond alifika kituoni hapo akiambatana na watu wengine akiwemo, babamkwe wake, Petit Man ambaye ni mume wa Esma.

Mama Diamond, akiwa na kampani yake, walijaribu kumchomoa Esma mahabusu kuanzia saa 1:00 usiku hadi saa 6:00 usiku, lakini ngoma ilikuwa ngumu.



Ilielezwa kuwa, maafande wa Mabatini walikuwa hawaingiliki, hali iliyosababisha malumbano ambapo Ijumaa Wikienda, likiwa kituoni hapo lilimshuhudia Mama Diamond akilumbana na maafande hao baada ya kila alilowaeleza ili wamuachie mwanaye kushindikana.



“Hapa leo hatoki mtu, hata umuite Diamond, sisi hatuwezi kumuachia mwanao mpaka tupewe amri na maofisa wa TFDA waliomkamata,” alisikika mmoja wa maafande hao huku akikataza watu kusogelea kituoni hapo hasa baada ya giza kuingia.


Baada ya mama Diamond kutimuliwa eneo hilo usiku huo, asubuhi yake, Ijumaa Wikienda lilidamkia tena kituoni hapo na kumkuta mama huyo akiendelea kuhaha kumnasua Esma ambaye usiku wa kuamkia Jumamosi alilala korokoroni.



Hadi Ijumaa Wikienda linang’oa nanga kituoni hapo mchana wa Jumamosi iliyopita, bado Esma alikuwa akiendelea kushikiliwa mahabusu kwa kosa hilo ambapo alifunguliwa kesi kwenye jalada namba KJM/RB/4427/2018 kwa kosa la KUKUTWA NA VIPODOZI VILIVYOPIGWA MARUFUKU akisubiri sheria kuchukua mkondo wake.

Esha Ampa Makavu Jokate "Usinichukie Mimi wa Kumchukia ni Alikiba Mwenyewe Aliyeamua Kuoa"

$
0
0
Esha Ampa Makavu Jokate "Usinichukie Mimi wa Kumchukia ni Alikiba Mwenyewe Aliyeamua Kuoa"
ESHA Buheti amefunguka kuwa kama mwanamitindo maarufu Jokate Mwegelo, anamchukia kisa mwanamuziki Ali Saleh Kiba ‘AliKiba’ kuoa, atakuwa anamkosea sana.

Akipiga stori na Over Ze Weekend, Esha ambaye amefanya poa kwenye filamu ya Jini Aulat, alisema kuwa ames-ikia kutoka kwa watu wake wa karibu kwamba mwanamitindo huyo anamchukia kwa sasa kutokana na kuwa karibu na Kiba kwenye harusi yake na mrembo Amina Khaleef wa Kenya.

Alisema mbali na hilo, pia anahisi hivyo maana tofauti na zamani Jokate alipokuwa akitazama vitu vyake mitandaoni na kumsapoti lakini siku hizi mrembo huyo hafanyi.“Kama ni kweli Jokate atakuwa ananichukia kisa mpenzi wake wa zamani Kiba kuoa kama watu wanavyosema, basi atakuwa ananichukia bure.

“Mimi ni kama bendera tu nafuata upepo kwa hiyo wa kumchukia ni Kiba mwenyewe aliyeamua kumuacha yeye na kuoa mtu mwingine, na wala si yeyote yule ambaye yupo karibu na Kiba,” alisema Esha.

'CCM Imedhulumiwa Sana' - Rais Magufuli

$
0
0
'CCM Imedhulumiwa Sana' - Rais Magufuli
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli, amesema kwamba mali za Chama hicho zimeibiwa kwa kiasi kikubwa  kutokana na usimamizi mbovu ulikuwa unafanywa na watendaji wa chama hicho.


Rais Magufuli amesema hayo leo Mei 21, 2018 katika Ofisi ndogo za CCM, Lumumba Jijini Dar es salaam baada ya kupokea Ripoti ya Tume ya kuhakiki mali za CCM nchi nzima na kuongeza kuwa haiwezekani Serikali inapambanua na ufisadi wakati chama tawala hakioneshi mfano kupinga ubadhirifu.

“Ripoti imesheheni mambo mengi, CCM imedhulumiwa kweli, inaumiza sana mpaka nimechoka, lakini ndiyo hivyo nimeipokea lengo ni kuhakikisha tunakuwa na chama ambacho matumizi ya fedha na miradi inayosimamiwa na chama iwe miradi ya ukweli na isiwe ya utapeli” amesema Rais Magufuli

Rais Dkt. Magufuli ameongeza kwamba ripoti hiyo ataiwasilisha kwa wajumbe wa mkutano wa Halmashuri kuu (NEC) na Kamati Kuu (CC) ili kuijadili ripoti hiyo na badae kutoa maamuzi kutokana na malekezo ya wajumbe hao.

Disemba 20, 2017 katika kikao cha Halmashauri kuu CCM (NEC) Rais John Magufuli aliunda tume ya wajumbe tisa wakiongozwa na mwenyekiti Dkt. Bashiru Ali Kakurwa ambapo tume hiyo ilipewa jukumu la kuhakiki mali za Chama nchi nzima kuanzia ngazi ya Shina, Tawi, Kata, Wilaya, Mkoa na Taifa.


Uongozi Yanga Wafunguka Sakata la Kula Mali za Majalida

$
0
0
Uongozi Yanga Wafunguka Sakata la Kula Mali za Majalida
Uongozi wa klabu ya Yanga kupitia Msemaji wake, Dismas Ten, umepuuzia taarifa zilizoenea mitandaoni na katika baadhi ya vyombo vya habari zikieleza kuwa mapato ya fedha yaliyotokana na uuzaji wa kalenda na majarida yake zimeishia mifukoni mwa baadhi ya viongozi.

Ten ameeleza hayo akisema kuna baadhi ya watu waliokuwa viongozi wa Yanga wameamua kuanzisha kampeni ya chini kwa chini ili kuichafua klabu hiyo iliyopo mitaa ya Twiga, Jangwani.

Msemaji huyo amesema watu hao wamekuwa wakiichafua Yanga wakihitaji kurejea kwa ajili ya kuitumikia klabu japo imekuwa si rahisi kutokana na kukosa nafasi katika utawala uliopo hivi sasa.

Kufuatia taarifa hizo, Ten ameeleza kuwa hazina ukweli wowote na akiomba wadau wote wa Yanga kuzipuuza sababu hazina malengo chanya na uongozi uliopo pamoja na klabu kwa ujumla.

Taarifa hizi zimeanza kuja ikiwa Yanga imeanza mchakato wa kuelekea uchaguzi wa kumpata Mwenyekiti wa klabu baada ya kukaa muda mrefu bila ya kuwa naye.

Mike Pence Amuonya Kim Jong-un Asimchezee Trump

$
0
0
Mike Pence Amuonya Kim Jong-un Asimchezee Trump
Makamu wa Rais wa Marekani Mike Pence amemuonya kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un kuwa asimchezee Rais Donald Trump ikiwa watakutana mwezi ujao.

"Yatakuwa ni makosa makubwa kwa Kim Jong-un kufikiri kuwa atamchezea Donald trump," Bw Pence alisema wakati akihojiwa na kituo cha Fox News.

Bw Pence pia alisema kuwa Bw Trump anaweza kuondoka kwenye mkutano huo wa Juni 12.

Korea Kaskazini imetisha kujitoa mkutano huo baada ya matamshi ya mshauri wa masuala ya ya ulinzi nchini Marekani John Bolton.

Korea Kaskazini ilijibu vikali walati Bolton alisema kuwa itafuata mfumo wa Libya katika kuondoa zana za nyuklia.
Viewing all 104709 articles
Browse latest View live




Latest Images