Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104414 articles
Browse latest View live

Wayne Rooney Kutua Marekani Wiki Hii kwa Mazungumzo na Kufanyiwa Vipimo vya Afya

0
0
Wayne Rooney Kutua Marekani Wiki Hii kwa Mazungumzo na Kufanyiwa Vipimo vya Afya
Mshambuliaji wa klabu ya Everton, Wayne Rooney anatarajiwa kuwasili Washington siku ya Alhamisi kwaajili ya mazungumzo pamoja na kufanya vipimo vya afya katika klabu ya DC United inayoshiriki ligi ya Marekani (MLS).

Msemaji wa Rooney amethibitisha kuwa nahodha huyo wazamani wa timu ya taifa ya Uingereza atakwenda Marekani na wakala wake, Paul Stretford ili kufanya mazungumzo ya mwisho na Mkurugenzi wa DC United, Jason Levien na Meneja Mkuu, Dave Kasper.

Dili hilo ambalo bado halijakamilika litashuhudia, Rooney akiondoka Goodison Park kwa dau la pauni milioni 12.5 litakalo mfanya kusalia hapo mpaka msimu wa mwaka 2020.

Q Chief Atengua Uamuzi wa Kuachana na Muziki "Maisha Yangu ya Nyuma Yananihukumu"

0
0
Q Chief Atengua Uamuzi wa Kuachana na Muziki "Maisha Yangu ya Nyuma Yananihukumu"
Msanii wa muziki, Q Chief ametengua uamuzi wake wa kuachana na muziki baada ya kugundua tatizo la kutofanikiwa lipo kwake mwenyewe na sio kwa mtu yoyote kama alivyokuwa akifikiria awali.


Muimbaji huyo kupitia mtandao huu alitangaza kuachana na muziki kwa madai anaona umemkataa kabisa na kila project aliyoitoa inashindwa kufanya vizuri huku wasanii wengine wanaofanya muziki unaofanana na wake wanafanya vizuri.

Akiwa katika kipindi cha XXL Cha Clouds FM Jumatano hii, Q Chief amedai baada ya kukaa na baadhi ya watu na kumshauri mambo mengi kuhusu muziki wake amegundua yeye mwenyewe ndiye mwenye tatizo na sio mtu mwingine.

“Kinachonitafuna mimi ni mimi mwenyewe, maisha yangu ya nyuma yananihukumu. Lakini I don’t want to be a prisoner of my past” alisema Q Chief.

Aliongeza, “Tangu nimetangaza kuacha muziki, nimeona mapenzi ya watanzania, nimeona mahaba yao, mpaka nimejiuliza tatizo sio support ya watanzania, labda ni mimi, au sikupata msaada niliohitaji ili kufanikisha maendeleo ya kazi yangu.”

Akiwa katika kipindi hicho, Q Chief alidai kati ya watu ambao aliwatafuta sana ili kupata msaada wakati muziki wake unaenda vibaya ni mtangazaji B Dozen lakini jitihada zake zikagonga ukuta.

Katika kueleza hilo Dozen alisema. “Katika kipindi ulichonifuata nikusimamie sikuwa naweza kufanya hivyo. Ilifika kipindi wewe pia uliacha kunisukuma na unajua kuna majukumu mengi nafanya. Lakini hapa tuongee kitu cha maana ili kuendelea mbele. Mimi kama Dozen nakupa ahadi kama leo utasitisha uamuzi wako wa kuacha muziki, nakupa ahadi ya kukupa mchango wa mawazo, mbinu na kadri nitakavyojaaliwa ili kukusaidia kurudi unapostahili. Lakini siwezi kukuahidi kwamba tutatengeneza hits.”

Waziri Ashtumiwa Akitaka Waislam Wachukue Likizo Kipindi cha Ramadhani

0
0
Waziri Ashtumiwa Akitaka Waislam Wachukue Likizo Kipindi cha Ramadhani
Waziri wa uhamiaji wa Denmark ameshtumiwa vikali kutokana na pendekezo alilolitoa la kuwataka Waislam wachukue mapumziko wakati wa mwezi wa Ramadhani kwa usalama wa jamii nchini humo.

Inger Stojberg, ambaye amekuwa akifahamika kwa kutekeleza sera kali za uhamiaji, amesema kufunga saa za kazi siku nzima kunaleta changamoto katika kazi.

Amedai kuwa kunaweza kusababisha hatari hasa kwa waendesha mabasi ya abiria na wafanyakazi wa hospitalini kufanya kazi muda mrefu bila kula.

”Natoa wito kwa Waislamu kuchukua likizo wakati wa mwezi wa Ramadhani kuepuka madhara kwa jamii nzima ya Denmark” amesema Waziri Inger

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Madogo na Mafupi ya Kiume na Hawana Nguvu..Nini Huchangia?

0
0

KWA NINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MADOGO NA MAFUPI YA KIUME NA HAWANA NGUVU ZA KIUME NINI HUCHANGIA?

🌸 kama una Ngiri, au umejichua kwa muda mrefu, punyeto, una stres nyingi Sana, lishe duni, kisukari, presha, kutopata choo vizuri, tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu, kaswende, gono,haya yote husababisha kuwa na maumbile madogo na mafupi ya kiume na kukosa nguvu za kiume.MATIBABU

🌸tumia dawa ya asili itwayo (MASUNZU POWER MIX) inatibu tatizo la nguvu za kiume maradufu inatibu uume mdogo na mfupi na kuimalisha mishipa iiyolegea inarefusha Nchi(4-8) na kunenepesha maumbile na upana (cm3-4) dawa hii haina madhala hata kwa wazee walio na umri wa miaka (70-85) pia inaongea hamu ya kufanya tendo la ndoa Mara (3-5) bila hamu kuisha dawa hii inatibu siku 6 na kupona kabisa

🌸MASUNZU POWER MIX. ni dawa ya asilia yenye mchanganyiko wa mitishamba 7 yenye maajabu yafuatayo kunyoosha mishipa ya askari aliyesinyaa kutokana na kujichua kwa muda mrefu au Ngiri, nk 🌸pia tuna dawa ya kutibu busha bila opresheni

🌸 SOSOMA DX ni dawa ya kumvuta mme au mke mpenzi wako arudi haraka na kuanza mapenzi mapya kama mlivyoanza mwanzo baada ya Masaa 2 atarudi na kutulia ndani ya nyumba

🌸GINDU EXTRA ni dawa ya kutibu kisukari siku 14 unapona kabisa hata kama imepanda 350 itashuka haraka tunatibu presha, vidonda vya tumbo nk:

🌸 OFISI IPO DAR ES SALAAM BUGURUNI CHAMA UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO AU SIMU 0673552294 / +255784552299 TABIBU ATHUMAN.

Q Chief Abadili Uamuzi wake wa Kuacha Muziki...Watangazaji Wamuangukia Asiache

0
0

Katika interview ya leo, Watangazaji wa #XXL walionekana kumshawishi Chilla asiache muziki kwani wanaamini bado ana uwezo mkubwa. Kupitia ushawishi wa #XXL na mtu aliyetajwa kama 'Mentor' (Mshauri) wa #QChief, hatimaye gwiji huyo ametangaza kubaki kwenye game.

Je Dada Unapenda Shepu Bomba na ya Kuvutia, Weupe Bila Doa Wala Sugu?

0
0

JE, DADA UNAPENDA SHEPU BOMBA NA YA KUVUTIA, WEUPE BILA DOA WALA SUGU? SOMA 👇👇

Baada ya utafiti wa miaka 18 sasa kampuni ya MARKSON BEAUTY imeingiza bidhaa bora kabisa zenye matokeo ya haraka zaidi BILA madhara yoyote.
TUNAZO ZA👇👇👇
1.Kuongeza hips, makalio na mapaja @200,000/=
2.Kushepu mguu (CHUPA YA BIA) @150,000/=
3.Kuwa mweupe bila sugu kwa:-
(a)mafuta @150,000/=
(b) Vidonge @170,000
4.Kurefusha nywele na kutokukatika ovyo @150,000/=
5.Kuongeza hips, makalio na mapaja kwa vidonge (YODI PILLS ORIGINAL) @250,000/=
6Kupunguza au kuongeza maziwa kuyasimamisha @150,000/=
7.Kubana uke na kuondoa uchafu ukeni @130,000/=
8.Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
9.Kupunguza tumbo (kitambi) na nyama za pembeni @150,000/=
NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.

Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444
na
0714335378
UTAPATA HUDUMA.
👉🏻OUR WEBSITE:- www.marksnbeuty.org
👉🏻INSTAGRAM PAGE:-
@markson_beauty_pr
#HipsNaMakalio
#BidhaaTz
#YodiPillsTz
#BotchoOg
CosmeticsTz

Rais Ramaphosa aamua kutoa nusu ya mshahara wake

0
0

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, ametangaza kutoa nusu ya mshahara wake kwa ajili ya kuendeleza miradi ya kijamii nchini humo.

Rais Ramaphosa mwenye umri wa miaka 65, ametoa tangazo hilo kupitia ukurasa wake wa Twitter, leo na kusema fedha hizo zitakwenda kwenye mfuko maalum unaosimamiwa na Wakfu wa Nelson Mandela .

Hata hivyo haijafahamika ni mshahara kiasi gani Rais Ramaphosa anapokea kwa mwezi, ingawa vyanzo vya habari vinadai anapokea zaidi ya dola elfu 20 alizokuwa akilipwa mtangulizi wake, Jacob Zuma.

Afrika Kusini na dunia kwa ujumla mwaka huu inaadhimisha miaka 100 tangu kuzaliwa kwa kiongozi wa kwanza mzalendo wa taifa hilo Hayati Nelson Mandela, kwa kuandaa miradi na matukio mbalimbali ya kumbukumbu hiyo.

Rais Magufuli afanya uteuzi

0
0

Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa  mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi  ya chai Tanzania (TBT) na Mkurugenzi  wa Taasisi ya Utafiti wa kilimo Tanzania (TARI).

Katika taarifa ilitolewa na Ofisi ya Kurugenzi Mawasiliano Ikulu leo Mei 23, 2018 imeeleza kuwa Mhandisi Steven Daudi Mlote, ameteuliwa kuwa mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya chai Tanzania (TBT) na kuongeza kuwa Mhandisi Mlote anachukua nafasi iliyoachwa wazi na mtangulizi wake Mh. Anne Makinda ambae amemaliza muda wake.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo imeongeza kwamba uteuzi wa Mhandisi Mlote ulianza Mei 21, 2018.

Sambamba na hayo Rais Dkt John Magufuli amemteua Dkt. Geofrey Mkamilo kuwa Mkurugenzi mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa kilimo Tanzania (TARI),  uteuzi wake umeanza Mei 22, 2018 na anachukua nafasi ya Dkt. Fidelis Angelo Myaka ambaye amestaafu.

Mbunge Musukuma adai wabunge wengi wanavuta bangi

0
0

Mbunge wa jimbo la Geita vijijini Joseph Kasheku (Musukuma) bado anakazia kauli yake ya kuitaka serikali  iruhusu biashara ya bangi na mirungi.


Musukuma amesema kuwa bangi ni nzuri kuliko pombe kwani mtu akivuta ana kuwa na nguvu za kufanya shughuli zake huku akidai kuwa hata bungeni kuna viongozi wakubwa wanatumia bangi.


“Mule ndani (bungeni) kuna viongozi wakubwa tu wanavuta bangi, na wakija mule wanakuja na mizuka yao, nilimuomba Spika niwataje akanikataza,” amesema Musukuma kwenye kipindi cha Kikaangoni cha EATV.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya May 24

0
0


Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi ya May 24

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako..Anatumia Nyota na Nguvu za Asili Kutibu

0
0

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako. yawezekana ulizaliwa nanyota yakitajiri ila watu wabaya wameikalia mpaka sasa ikawa hufahamu chochote. Mtafute ust Ashrafu Airudishe nyota yako yakitajiri kwakupitia pete inayoendana na nyota yako. Ust Ashrafu Ananguvu zamajini katika utendaji wake.

Anauwezo wakutoa Mali kwakupitia pete nakwakupitia majini wake. Na anauwezo wakuzirudisha Mali zilizopotea kwanjia zakichawi kwakupitia Pete yakifalme Ambayo inayong'aa muda wowote nakubadilikabadilika rangi. Ust Ashrafu Ametembea baadhi ya nchi kwakuwapatia watu huduma mbalimbali. Kama vile maradhi yakisukari, presha, ukimwi, bawasiri, tezidume, mwiliwote kupooza nakutetemeka, NK. Navilevile Amewapatia wengi huduma yamvuto wa kibiashara, nayamvuto wakimapenzi.

Nawengi wametoa shukrani zao kwa ust Ashrafu namna Alivyozirudisha Ndoa zao zilizo sambaratika kwamuda mrefu. Mtafute ust Ashrafu ili akusaidie juu yamambo yako. Nahuyu ust anasaidia matatizo yauzazi, nguvu zakiume, kuwashwa mwilini, kutokwa namapere usoni nasehemu za siri, NK. Na anadawa yakumtuliza mume asiesikia nakutulia inayoitwa limbwata. Na anadawa yakumrudisha mpenzi ktk mahusiano kwamda mchache.

Na amezipatanisha familia nyingi zilizogombana. Na anauwezo wakufarakanisha maadui waliokua pamoja. Mtafute Ustadhi Ashrafu kwa no. 0768486717-0627423037 Au Mtafute kwa whasapp 0659438578

Hizi ndio namba zake mpigie muda wowote usiogope yupo kwaajili yako. Mpigie hupate muongozo wa bure naushri. Ustadhi Ashrafu huduma zake hupatikana mahala popote utakapo muhitaji, ila sehemu kuu anapatikana Bagamoyo.

Lukuvi, Mengi Wakutana Kujadili Fursa za Uwekezaji

0
0
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi amekutana na Mwenyekiti Mtendaji wa IPP Dkt. Reginald Mengi ili kuzungumza na kutambua fursa zinazopatikana za uwekezaji katika sekta ya Ardhi nchini.

Dkt. Mengi amekutana jana na Mhe. Lukuvi ofisini kwake kanda ya Dar es salaam ambapo walijadili mambo mbalimbali ambayo Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeyafanya katika sekta ya ardhi  na kutoa fursa  kwa wawekezaji wa ndani kuwekeza kwa urahisi.

Waziri Mkuu: Tanzania Inahitaji Wawekezaji ili Kupata fursa ya mitaji na teknolojia za kisasa

0
0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Tanzania bado inahitaji wawekezaji na kupitia kwenye uwekezaji, inapata fursa ya mitaji na teknolojia za kisasa.

Ametoa kauli hiyo jana (Jumatano, Mei 23, 2018) wakati akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Canada, Bw. Alfayo Kidata ambaye alifika kumuaga kwenye makazi yake jijini Dar es Salaam.

Waziri Mkuu amemtaka Balozi Kidata atumie fursa ya uwepo wake nchini Canada kuangalia namna ya kuisadia nchi kuimarisha sekta za kilimo, madini na utalii.

“Tukiimarisha sekta hizi, uchumi ndani ya nchi unakua lakini pia tunategemea kutumia nchi rafiki kukuza uchumi wetu wa ndani kwa maana ya kukuza mitaji na kupata teknolojia za kisasa,” amesema.

“Ukienda huko mkakati wako mkubwa uwe ni kuzingatia mpango wa Taifa wa maendeleo wa miaka mitano lakini zaidi mkakati wetu wa kukuza uchumi wa viwanda,” amesisitiza.

Amemtaka Balozi huyo akasimamie pia suala la upatikanaji wa masoko kwa ajili ya mazao yanayozalishwa nchini ili wafanyabiashara na wakulima wa Tanzania waweze kuuza bidhaa zao nje ya nchi.

“Hapa nyumbani tuna mazao matano ambayo tumeazimia kuyafufua lakini masoko ya ndani hayatoshi, kwa hiyo kazi yako mojawapo ukiwa huko ni kututafutia masoko,” amesema.

Waziri Mkuu amemweleza Balozi Kidata azingatie pia suala zima la kuongeza idadi ya watalii. “Tunataka ukasaidie kutangaza nchi yetu ili watalii waje kuona vivutio vyetu. Tunataka kuongeza idadi ya watalii kutoka milioni mbili ya sasa hadi kufikia milioni tano ifikapo mwaka 2020,” amesema.

Alimtaka Balozi huyo akafuatiilie pia fursa za masomo kwa ajili ya Watanzania wanaotaka kusoma Canada na Cuba.

“Nilipoongea na Makamu wa Rais wa Cuba, aliahidi kuongeza idadi ya Watanzania wanaotaka kusomea udaktari. Kwa hiyo, ukifika itabidi ufuatilie ahadi hiyo,” ameongeza.

Waziri Mkuu pia alimsisitizia Balozi Kidata akifika huko awatambue na kuwaunganisha Watanzania waishio Canada na awahamasishe wafanye kazi ili waweze kuwekeza nyumbani.

Kwa upande wake, akizungumza baada ya kuagana na Waziri Mkuu, Balozi Kidata alisema atahakikisha anayafanyia kazi maelekezo yote aliyopewa na Waziri Mkuu.

Alisema anatambua kwamba Canada ina idadi ya watu zaidi ya milioni 40 na atafanya juhudi zaidi za kuitangaza Tanzania ili waje kuona vivutio vilivyopo nchini. Pia atafuatilia fursa za mafunzo kwa wanafunzi wa Kitanzania.

“Kwenye suala la uchumi wa viwanda, tunahitaji kuwa na uzalishaji wa mazao ya kutosha. Kwa hiyo tunahitaji kuwana kilimo cha uhakika na cha muda wote kuliko. Tunahitaji kupata utaalamu na mitaji kwa ajili ya mashamba ya umwagiliaji,” alisema.

Alisema kuwepo kwa kilimo cha umwagiliaji, kutasaidia kuwe na uhakika wa upatikanaji wa malighafi zitazakotumika kwenye viwanda.

IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU

Waliotorokea kanisani kuombewa Ebola wafariki

0
0
Shirika la afya ulimwenguni WHO limesema wagonjwa watatu wa Ebola wametoroka katika kituo cha matibabu nchini Demokrasia ya Congo na kisha kupelekwa kanisani na ndugu zao kwa lengo la kuombewa maradhi yao ambapo wawili kati yao tayari wanaripotiwa kufariki.

Hata hivyo mgonjwa mmoja alirejeshwa Mbandaka kwa matibabu.

Wahudumu wa afya nchini DRC wana wasiwasi kwamba huenda ugonjwa huo ukaenea kwa kasi,kufuatia eneo hilo la Mbandaka kuwa na idadi kubwa ya watu wapatao milioni moja.

Shirika la WHO linasema visa 58 vya Ebola vimetokea tangu mei nane mwaka ulipotokea mlipuko wa ugonjwa huo.

Afisa wa shirika la WHO Eugéne Kabambi amesema ndugu wa wagonjwa hao walifika katika kituo cha matibabu chini ya shirika la madaktari wasio na mipaka na wakadai kuwachukua wagonjwa wao kwenye kuombewa kanisa.

Inadaiwa kuwa walichukuliwa kwa pikipiki na ndipo Polisi wakaanza kuwasaka,ambapo mgonjwa mmoja alikutwa nyumbani na kurejeshwa hospitalini Mei 22 na kisha kufariki jioni ya siku hiyo hiyo.

Familia za ndugu waliokumbwa na Ebola kwa sasa wapo katika uangalizi mkali na baadhi yao wamekwisha kuchanjwa.

Musukuma Amkana Bashe

0
0
Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma Kasheku, amefungukia madai yaliyowahi kutolewa na Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bashe, kwamba walitekwa na watu wa usalama wa Taifa ni ya uongo na kwamba kilichotokea walikamatwa na askari na mbinu zilizotumika ni zile wanazofundishwa bungeni.

Musukuma ametoa kauli hiyo wakati alipokuwa anazungumza kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa mubashara kupitia ukurasa wa Facebook EATV kila Jumatano, ambapo amefafanua kwamba walikuwa wakidhaniwa kufanya uhalifu.

Musukuma amesema kwamba "Mara ya kwanza kulala polisi nimelala nikiwa mwana- CCM, mara ya kwanza Dodoma, mara ya pili ni Geita, na nilikubali kwa sababu wala hatukutekwa, nilikuwa na kina Bashe, nilimsikia rafiki yangu Hussein Bashe alisema tumetekwa, hatukutekwa".

"Tulikamatwa tukapelekwa polisi, tukapekuliwa, tulipoonekana hatuna hatia tukaachiwa , hatukutekwa. Sikumjibu Hussein Bashe aliposema tumetekwa kwa sababu sikuwepo, nasema hapa hatukutekwa," Musukuma.

Aprili 11, 2017 Mbunge wa Nzega Mjini(CCM) Hussein Bashe aliwataka wabunge kuacha unafiki kuhusu Usalama kuwateka watu na kwamba yeye ni mmoja wa watu waliokamatwa wakati wa mkutano Mkuu wa CCM.

"Mimi nimekamatwa na kuteswa na Usalama wa Taifa. Nimenyanyaswa sana nchi hii. Ikibidi mnifukuze CCM - " alisema Bashe wakati Waziri wa Tamisemi,(kabla hajaenguliwa katika nafasi hiyo) George Simbachawene kumtaka Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe kuthibitisha kuwa matukio ya ukamataji yanafanywa na usalama wa Taifa.

Je, Dada Unapenda Shepu Bomba na ya Kuvutia, Weupe Bila Doa Wala Sugu?

0
0

JE, DADA UNAPENDA SHEPU BOMBA NA YA KUVUTIA, WEUPE BILA DOA WALA SUGU? SOMA 👇👇

Baada ya utafiti wa miaka 18 sasa kampuni ya MARKSON BEAUTY imeingiza bidhaa bora kabisa zenye matokeo ya haraka zaidi BILA madhara yoyote.
TUNAZO ZA👇👇👇
1.Kuongeza hips, makalio na mapaja @200,000/=
2.Kushepu mguu (CHUPA YA BIA) @150,000/=
3.Kuwa mweupe bila sugu kwa:-
(a)mafuta @150,000/=
(b) Vidonge @170,000
4.Kurefusha nywele na kutokukatika ovyo @150,000/=
5.Kuongeza hips, makalio na mapaja kwa vidonge (YODI PILLS ORIGINAL) @250,000/=
6Kupunguza au kuongeza maziwa kuyasimamisha @150,000/=
7.Kubana uke na kuondoa uchafu ukeni @130,000/=
8.Kupunguza unene na manyama uzembe @150,000/=
9.Kupunguza tumbo (kitambi) na nyama za pembeni @150,000/=
NB:Hakikisha unapata risiti yenye muhuri halisi na garantii ili kukuhakikishia kufanikiwa kwako.

Wasiliana nasi Popote
ulipo duniani kwa (+255)
0767447444
na
0714335378
UTAPATA HUDUMA.
👉🏻OUR WEBSITE:- www.marksnbeuty.org
👉🏻INSTAGRAM PAGE:-
@markson_beauty_pr
#HipsNaMakalio
#BidhaaTz
#YodiPillsTz
#BotchoOg
CosmeticsTz

Mambo Aliyozungumza Q Chillah Kuhusu Kuacha Muziki “Sijaja Kwenye Muziki kwa Kiki”

0
0
May 22, 2018 Muimbaji Q chillah amefanya mahojiano Clouds FM kupitia kipindi cha XXL kinachoruka kwa masaa matatu kuanzia saa 7 kamili mchana mpaka saa 10 jioni na kwenye mahojiano hayo Q chillah amezungumza mambo mbalimbali kuhusu kuacha mziki na haya hapa ni baadhi ya mambo hayo.

Nakupa nafasi ya kuyapata mambo haya aliyoyazungumza msanii Q chillah kama hukupata bahati ya kusikiliza Radio ni time yako kuyajua hapa.
“Asante kwa CMG, Ruge, Joseph Kussaga na Mkewe, maamuzi haya hayakuwa rahisi nimechukua muda mrefu kufikiria mpaka kuamua lakini naamini sasa ni wakati sahihi kuachana na muziki nimemshuhudia Ruge akiwanyanyua watu waliochini kabisa, waliokata tamaa ya maisha, mfano Mama Saida Kalori alikuwa ameanguka, Ruge alimchukua na kumuinua na akafanikiwa kurudi tena na sasa amesimama imara.”

“Kinachoniuma naacha muziki nikiwa naona bado naona nafasi yangu kwenye muziki, nasikiliza nyimbo zinazopigwa bado naona ningeweza kupita katikati yao na kutengeneza barabara yangu.”

“Kinachonitafuna mimi ni mimi mwenyewe, maisha yangu ya nyuma yananihukumu. Lakini I don’t want to be a prisoner of my past, Sio mara ya kwanza kutangaza kuacha muziki lakin kipindi kile bado nilikuwa natumia drugs  Sikuwa sawa lakini sasa nimepona, nipo sawa naongea haya nikiwa na utimamu wa akili na mawazo niliyoyapitia ni magumu, makosa niliyoyafanya yanaathiri ndoto zangu hayawezi kukatisha ndoto”

“Tangu nimetangaza kuacha muziki, nimeona mapenzi ya watanzania nimeona mahaba yao, mpaka nimejiuliza tatizo sio support ya watanzania, labda ni mimi, au sikupata msaada niliohitaji ili kufanikisha maendeleo ya kazi yangu.”

Lakini pamoja na hayo amejitokeza mtu ambaye amefanya mazungumzo na Q chillah na kisha kukubaliana asiache muziki  na watafanya naye biashara kuhakikisha muziki wake unamlipa na leo ameachia wimbo mpya unaoitwa Saratani.….
”Ninawimbo mpya unaitwa SARATANI asante sana Tanzania Nimeguswa sana na sijaja kwenye mziki huu kwa njia ya kiki kwanza hata Smart Phone sina ila nawapenda sana” – Qchila

Wafanyabiashara Tanzanite Wafunguka hali ya Kibiashara Baada ya Ukuta Kujengwa

0
0
Jana May 23, 2018 AyoTV na millardayo.com inakuletea stori kuhusu hali ya biashara ya madini baada ya serikali kujenga ukuta kuzunguka mgodi wa Tanzanite uliopo wilayani Simanjiro mkoani Arusha ambapo wamesema umesababisha bei ya madini hayo kupanda kwa asilimia 30 tangu mwezi December mwaka jana.

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Wanunuzi na Wauzaji wa Madini nchini (TAMIDA) amezungumza Bonyeza PLAY hapa chini kutazama na kumsikiliza

VIDEO:

PICHA : Kutana na mtoto wa Steve Nyerere aliyezaa na staa huyu wa Bongomovie

0
0
Msanii wa filamu Bongo Steve Nyerere ametuonesha picha za mtoto wake mdogo anayetimiza mwaka siku ya leo May 22, 2018 mtoto aliyezaa na Msanii wa filamu Wellu Sengo ‘Matilda‘ kama utakumbuka wawili hawa waliwahi kuhusishwa kutoka kimapenzi kipindi cha nyuma.

Licha ya Steve Nyerere kutuonesha picha za mtoto huyo ambaye ni wakike lakini pia mastaa mbalimbali akiwemo Wema Sepetu na Nuh Mziwanda wamempost na kumtakia heri mtoto huyo……
”TIVU…!!! TIVU….!!! TIVU….!!! Aaaaah sijui hata niseme nini… Umejifungua Baba… Mashallah Jamani… Waone mlivyo kama mapapai… Hapa ulituliza Kosekshen yako… Hongera Tivu akee… Mungu akutunzie Binti yako na Familia yako”“Ila pia mpende sana @sengomatilda @sengomatilda @sengomatilda … My Baby sister umempa huyu mtu Bichwa kubwa sana kwakweli… Kababy kenu ni kashweet kupita maelezo… ” -WEMA SEPETU

“Twins ‘Hongera sana Brother copy kabisa @stevenyerere2 ” -Nuh Mziwanda

Penzi la Lulu Diva na Mavoko Lamchefua Dokii.."Ajipanga Kumpa Kichapo Lulu Diva, Adai sio Wife Material"

0
0
DAR ES SALAAM: Muigizaji wa kitambo kidogo kwenye filamu ambaye hivi sasa ni mtangazaji wa Redio Times, Ummy Wenslaus ‘Dokii’ amefunguka kuwa lazima atampa kipigo mwanamuziki anayekuja vizuri Lulu Abbas ‘Lulu Diva’, kwa anachodai hapendi kabisa ajihusishe kimapenzi na kaka yake (mtoto wa mama yake mdogo) ambaye pia ni mwanamuziki, Richard Martin ’Rich Mavoko’.

 Akizungumza na Amani, Dokii alisema hajawahi kumpenda mwanamuziki huyo hata kidogo na wala hafikirii kama anaweza kuwa mke bora (Wife Material) kwa kaka yake. “Acha watu waseme mimi mkorofi. Mimi ninayemjua ni wifi yangu ambaye amezaa na Mavoko na si vinginevyo, kiukweli ataniona mimi mtata kwa sababu simuelewi hata kidogo Lulu Diva.

 “Safari hii nikimkuta kwa kaka yangu Mavoko siwezi kumuacha lazima achezee kichapo changu kama alivyofanya mama Diamond kwa Mobeto maana kiukweli simpendi kabisa Lulu Diva,” aliapa Dokii. Alipotafutwa Lulu Diva na kusomewa ubuyu huo wa motomoto, alisema yeye hawezi kuumiza kichwa chake kwa kumuwaza na kumuogopa Dokii na kama kinamuuma sana basi aongee na kaka yake.

“Siwezi kumzungumzia Dokii. Kama yeye kinamuuma basi amkataze Mavoko, kwani mimi nina kosa gani? Mwambie aongee na kaka yake,” alisema Lulu Diva.

Alipoulizwa kama anatumia ‘ndumba’ kumtengeneza Mavoko hadi kumsahau msichana aliyezaa naye, alisema si kweli kwani mwanamke anayejiamini hawezi kutumia ushirikina katika kumdhibiti mwanaume.

 “Mimi ni mwanamke ninayejiamini na katika maisha yangu yote sijawahi kutumia kabisa hayo mambo (ya kishirikina), sioni umuhimu wake, mtu akinipenda mimi basi ujue kanipenda jinsi nilivyo na mambo yangu,” alitamba Lulu Diva.

Lulu Diva juzikati katika kile kilichoonekana ni kuzuga kuhusu kutoka na Mavoko, alinukuliwa na chombo kimoja cha habari akisema: “Mimi na Mavoko hatujawahi kuwa na uhusiano wowote wa kimapenzi, ni mtu wangu, tunasaidiana kwenye kazi.”

Stori: Imelda Mtema, Amani
Viewing all 104414 articles
Browse latest View live




Latest Images