Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104781 articles
Browse latest View live

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI , PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA,

Rais Ramaphosa Atoa Nusu ya Mshahara Wake kwa Ajili ya Mandela

$
0
0
Rais Ramaphosa Atoa Nusu ya Mshahara Wake kwa Ajili ya Mandela
Nusu ya mshahara wa Rais Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa utatumika kwa ajili ya kuendeleza miradi ya kijamii nchini humo.

Rais Ramaphosa ametangaza hilo kupitia ukurasa wake wa Twitter na kusema fedha hizo zitakwenda kwenye mfuko maalum unaosimamiwa na Wakfu wa Nelson Mandela .

Japo bado haijafahamika ni mshahara kiasi gani anapokea kwa mwezi, japo vyombo vya habari vinadai anapokea zaidi ya Dola elfu 20 alizokuwa akilipwa Jacob Zuma.

Afrika Kusini na dunia kwa ujumla mwaka huu inaadhimisha miaka 100 tangu kuzaliwa kwa kiongozi wa kwanza mzalendo wa taifa hilo Marehemu Nelson Mandela, kwa kutayarisha matukio mbalimbali ya kijamii.

Dkt Shika Amekuwa 'Mcharo'Aingiziwa Mabilioni Yake Kutoka Uswizi

$
0
0
Dkt Shika Amekuwa 'Mcharo' Mabilioni Yake Kutoka Uswizi Yameingia Tayari
MVUMILIVU hula mbinu, hivyo ndivyo tunavyoweza kusema baada ya aliyekuwa miongoni mwa watu waliokuwa wanataka kununua nyumba za mfanyabiara Said Lugumi zilizokuwa zinapigwa mnada na serekali, Dk Lous Shika, baada ya kusambaa kwa taarifa kuwa mabilioni yake ya pesa aliyokuwa anayategemea kutoka nchini Uswizi hatimaye ameshayatia kibindoni.

Kutokana na kusambaa kwa taarifa hizo katika mitandao mbalimbali ya kijamii hapa nchini Global TV Online imeweza kufunga safari hadi katika makazi mapya aliyoamia Dk. Shika na kufanya naye mahojiano ambapo amesema kuwa ni kweli amefanikiwa kupata sehemu ya fedha zake alizokuwa anazisubiri kutoka nje ya nchi.

TFF Yamuomba Jambo Hili Rais Magufuli

$
0
0
TFF Yamuomba Jambo Hili Rais Magufuli
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia amefunguka na kudai atalifanyia kazi kwa vitendo agizo lililotolewa kwenye sherehe za kukabidhi vikombe vya ushindi hivi karibuni uwanja wa Taifa na Rais Dkt. Magufuli ili waweze kuitendea haki tasnia ya michezo.


Karia amesema hayo kwenye taarifa yake iliyotolewa na Afisa Habari na Mawasiliano ya TFF, Cliford Mario Ndimbo yenye lengo la kumshukuru Rais Dkt. Magufuli kwa kuweza kushiriki sherehe za kukabidhi kombe la mshindi wa pili kwa watoto wanaoishi mazingira magumu, Ubingwa wa Cecafa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kukabidhi Kombe la Ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara zilizofanyika mwishoni mwa juma lililoisha.

"Kwa namna ya kipekee kwa niaba ya TFF napenda kumshukuru Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwa kukubali ombi letu la kuwa mgeni rasmi katika tukio hilo. Tumefarijika kwa Rais Magufuli kuungana na wanamichezo na kuzungumza nao, alichokizungumza tumekipokea na tunaahidi tutakifanyia kazi kwa vitendo katika kuunga mkono jitihada zake za dhati kuona mpira wa miguu unapiga hatua", amesema Karia.

Pamoja na hayo, Karia ameendelea kwa kusema "tunaamini wanamichezo wengine nao wataunga mkono jitihada hizo za Rais wa Tanzania na jitihada za TFF ili kufanikisha lengo. TFF tutahakikisha tunasimamia mpira wa Tanzania kwa kuongozwa na sheria, kanuni na utaratibu na hatutakubali kuona mtu anakwenda kinyume na kutaka kuvuruga taswira nzuri ya mpira tuliyoanza kuijenga katika kipindi kifupi tulichoingia madarakani".

Aidha, Karia amesema anaamini ushirikiano wao na serikali ya awamu ya tano iliyopo chini ya Rais Magufuli utafikia lengo kwa pamoja.

"Serikali ya awamu ya tano imekuwa na ushirikiano mkubwa na TFF katika kufanikisha masuala mbalimbali ushirikiano ambao hakika utaleta matunda zaidi. Tunaamini kuwa timu zetu za Taifa zitafanya vizuri kama ambavyo timu yetu ya Vijana U-17 Serengeti Boys ilivyofanya vizuri na kuchukua kombe nchini Burundi na timu ya wasichana ya kituo cha TSC nao walivyofanya vizuri na kufika fainali kombe la dunia la watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu. Hakika ni mfano wa kuigwa mpaka kwenye ngazi ya klabu kwa kushinda mataji mbalimbali.", amesisitiza Karia.

Kwa upande mwingine, Karia amemuhakikishia Rais Magufuli kuendelea kusimamia mpira wa Tanzania ipasavyo kwa kushirikiana na serikali kwenye kila eneo ambalo linalohitajika msaada wa serikali.

Steve Nyerere Afunguka Ishu ya Kusaliti Ndoa Yake na Kuzaa na Wellu Sengo....."Mimi ni Mwanaume Rijali"

$
0
0
Steve Nyerere Afunguka Ishu ya Kusaliti Ndoa Yake na Kuzaa na Wellu Sengo....."Mimi ni Mwanaume Rijali"
Muigizaji wa filamu bongo na mchekeshaji maarufu Steven Mengere maarufu kama Steve Nyerere, amefunguka juu ya tuhuma za kusaliti ndoa yake na kuzaa na muigizaji Wellu Sengo. Kitendo ambacho kimesababisha mke wake kuondoka nyumbani.


Akizungumza na www.eatv.tv, Steve Nyerere amesema kwamba yeye ni mwanaume rijali na kuzaa nje ya ndoa sio kitu cha ajabu, na mke wake wala hajaondoka kama watu wanavyodai kwenye mitandao ya kijamii

“Mke wangu yuko nyumbani, kakaa tuli katulia mtoto watu hana presha, kuna watu wangapi wamezaa nje!? Sasa mimi kwani sio mwanaume, kuna mwanaume mwenye kasoro duniani!? Labda shoga, mi ni mwanaume tena rijali, mwanaume ni yule anayeyimiza majukumu yake”, amesema Steve Nyerere.

Kutokana na hilo Steve Nyerere ametaka watu kuacha kujadili mambo yasiyo ya msingi kwenye mitandao ya kijamii na kueneza habari za uongo, na badala yake wafanye kazi kujiingizia kipato.



Spika Ndugai Aiwakia Wizara ya Fedha "Wizara Mjitathimini Aiwezekani Waziri Analia Anajilambalamba"

$
0
0
Spika Ndugai Aiwakia Wizara ya Fedha "Wizara ya Fedha Mjitathimini Aiwezekani Waziri Analia Anajilambalamba"
SPIKA wa bunge, Job Ndugai ameitaka Wizara ya Fedha na Mipango kujitathmini kutokana na lawama ambazo imekuwa ikidaiwa kuchelewa fedha za bajeti, malipo, miradi na utekelezaji wa shughuli mbalimbali za Serikali kwa wananchi wake.



Ndugai ameyasema hayo leo Bungeni kufuatia Mbunge wa Mtama Nape Nnauye kuomba Muongozo kuhusu Export Level ambayo inakatwa kwa wakulima korosho.



Awali wakati wa Bajeti ya Wizara ya Kilimo, Nape aliomba jambo hilo lipelekwe kwenye Kamati ya Bajeti ili kuikutanisha Serikali, Wizara ya Kilimo na Wabunge wenye maslahi na hoja hiyo, lakini jambo hilo lilishindikana kuzungumzika kwenye kamati kutokana na kuwa nje ya kanuni za bunge ambapo leo Nape amelirudusha lijadiliwe Bungeni.



Hatua hiyo ya Nape imekuja kufuatia baada ya madai kuwa Waziri wa Kilimo, Dkt. Charles Tizeba ameilalamikia Wizara ya Fedha kwa kuchelewa kutoa fedha hizo za makato ya korosho za wakulima kwenda Wizara ya Kilimo, jambo ambalo limekuwa na ugumu kwa wizara yake kupewa fedha hizo.



“Hili ni moja ya mambo ambayo yanasikitisha sana, Waziri wa Kilimo alipoenda kwenye kikao cha Kamati ya Bajeti ilibidi atoe machozi, mtu analaumiwa wala siyo mkosaji, hawa watu ni hela zao. Kwa nini ukae na hela ya mtu? Akuombe, akupigie magoti, akulambe lambe? Wizara ya fedha mjitathini, mnawaumiza sana mawaziri sisi huku tunawaona hawafai kumbe nyie ndiyo vikwazo,” alisema Ndugai.



Hata hivyo, spika amesema anamsubiri waziri Mkuu kassim Majaliwa ili azungumze naye kuhusu suala hilo na endapo hawatal;iopatia ufumbuzi watalirejesha bungeni ili wabunge waamue.

Gigy Money, Amber Lulu ni Mavideo Queen Ambao Hawana Mvuto Kabisa- Kim Nana

$
0
0
Gigy Money, Amber Lulu ni Mavideo Queen Ambao Hawana Mvuto Kabisa- Kim Nana
MWANADADA mwenye mvuto wa pekee kwenye video za Kibongo, Lilian Paul Kessy ‘Kim Nana’ ambaye ameuza sura kwenye video nyingi za Kibongo zikiwemo za mwanamuziki Becka Flavour amefunguka kwamba, hakuna ma-video queen ambao hawakubali kama Gift Stanford ‘Gigy Money’ na Lulu Eugen ‘Amber Lulu’. Msikie akihojiwa na Showbiz Xtra;

Showbiz Xtra: Kwa nini huwakubali Gigy na Amber?

Kim: Sijui tu, naona hawanivutii kabisa na hawana mvuto wa kuwa ma-video queen. Bora ‘wa-stick’ hukohuko kwenye muziki walikokimbilia.

Showbiz Xtra: Kibongobongo kwa sasa ni video queen gani unamkubali?

Kim: Bongo hayupo zaidi ya mimi mwenyewe.

Showbiz Xtra: Unaamini wewe ndiye zaidi ya wote?


Kim: Ndiyo.

Showbiz Xtra: Kwani unachukua kiasi gani kwenye video moja?

Kim: Kwa namna ‘nilivyoji-brand’ kwa sasa, sichukui chini ya laki tano.

Showbiz Xtra: Sasa laki tano huoni wewe ndiye upo chini, wenzio wanachukua hadi mamilioni!

Kim: Mh! Msanii gani anatoa mamilioni kwa sababu ya video? Ukisikia mtu anasema hivyo ni uongo, hao wasanii wakubwa wenyewe wanapenda wadada wazuri kama mimi tuuze sura bure kwenye video zao. Hakuna anayechukua milioni kwenye video.

Showbiz Xtra: Kwa hiyo kutokana na mkwanja mdogo mnaolipwa kwenye video ndiyo maana wengi wanajiuza?

Kim: Siwezi kuwazungumzia wengine. Lakini kwa upande wangu sijiuzi na ninajishughulisha kusimamisha mambo yangu. Nina ‘brands’ za vitu vyangu nimeachia hivi karibuni ambavyo ni tisheti, lipstiki na ninategemea baadaye kuja na sabuni pamoja na vitu vingine vingi.

Showbiz Xtra: ‘All the best’ lakini inasemekana pia wanamuziki wanaowapa dili kwenye video zao huwa ‘wanawatafuna bila huruma’?

Kim: Ha! Ha! Haa! Si kweli, mimi hiyo haijawahi kunitokea ‘nikatafunwa bila huruma’, labda ma-video queen wengine. Mimi ninajiheshimu, nikiitwa na mwanamuziki kuhusu kazi, tunafanya halafu basi. Tutaendelea kuwasiliana kwenye mambo mengine, lakini siyo mapenzi. Sijawahi kutoka kimapenzi na staa yeyote Bongo na sitarajii hilo kwa sababu kuwa na uhusiano na mastaa kuna-umiza kichwa. Wengi hawa-jatulia.

Showbiz Xtra: Nini hasa ‘future’ yako kwenye masuala ya kuuza sura katika video?

Kim: Kukuza jina zaidi na kufanya kazi na wanamuziki maarufu kama Diamond, Ally Kiba na Jux.

Showbiz Xtra: Shukrani sana kwa ushirikiano wako.

Kim: Pamoja sana.

Msukuma: Humu Bungeni Wabunge 180 ni Darasa la Saba Wengine Wanafoji Vyeti Kupata Nafasi za U-waziri

$
0
0
Msukuma: humu Bungeni Wabunge 180 ni Darasa la Saba Wengine Wanafoji Vyeti Kupata Nafasi za U-waziri
Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma Kasheku ameweka wazi anafahamu zaidi wa Wabunge 180 bungeni darasa la 7 ingawa hawapendi kusema ukweli ndiyo maana wanafoji mpaka vyeti ili kupata nafasi za kuteuliwa U-waziri


Akichat Live na wananchi kupitia kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa kila Jumatano kupitia ukurasa wa Facebook EATV, Musukuma amesema kwamba viongozi wengi wanaojinasibu kuwa wana elimu kubwa ukikaa nao karibu matendo yao hayafanani na viwango vya elimu wanayoisema.

Aidha Msukuma amefafanua kwamba ifike mahali watu wawe wanawajaji wenzao kwa matendo yao na siyo vyeti kwani watu kuamini kwenye vyeti ndiko kunakopelekea watu kwenda kufoji mpaka vyeti.

"Mimi nafahamu mule bungeni kati ya Wabunge 360  Wabunge 180 ni darasa la saba japokuwa hawataki kueleza ukweli. Wametegesha vyeti ili wapate uwzairi. Unamkuta mtu anavyeti ambavyo huko nyuma hakuwa navyo. ukifatilia historia kabla ya kuingia bungeni alikuwa Jobless wengine ma DJ na elimu wanazizisema sijui Cambridge hawana".

Pamoja na hayo Musukuma amesema pamoja na kuwa alisha declare yeye ni darasa la saba ipo siku ataweka wazi kiwango cha elimu yake na kwamba licha ya kuwa ana elimu hiyo yeye ni mtu ambaye anapenda kusoma na ana uelewa wa kupambanua mambo.

Vilio Simanzi Vyatanda Kuagwa Miili ya Watumishi Watatu wa TIC

$
0
0
Vilio Simanzi Zatanda Kuagwa Miili ya Watumishi Watatu wa TIC
Waziri wa Viwanda Biashara na Uwekezaji Charles Mwijage ameungana na mamia ya waombolezaji kuaga miili ya watumishi watatu wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) katika ukumbi wa Karimjee jijini hapa.

Watumishi hao meneja wa tafiti na miradi, Martin Masalu, kaimu mkurugenzi wa tafiti, Alvin Said Amir na kaimu mkurugenzi wa uhusiano walifariki dunia Mei 21, 2018 kwa ajali wakati wakitokea Dar es Salaam kuelekea Dodoma.

Akizungumza leo Alhamisi Mei 24, 2018  Mwijage amesema Taifa limepoteza nguvukazi, “kubwa walilolifanya vijana hawa ni kuhakikisha Watanzania wanawekeza ili wasiwe watazamaji na kwa kweli vijana hawa wamejituma na  ni wachapakazi.”

Huku akiwaomba watumishi wa kituo hicho kuchapa kazi licha ya kuwapoteza wenzao  amesema, “msije mkasema hao wameondoka pengo lao haliwezi kuzibika, fanyeni kazi kama wao huu mzigo ni wenu sasa.”

Mwijage ametoa pole kwa wawekezaji nchini kwa kupoteza watu ambao wamawazoea.

Watu wa kada mbalimbali walishiriki kuaga miili ya watumishi hao.

Kiboko ya Matatizo ya Nguvu za Kiume, Maumbile Madogo, Mvuto wa Mapenzi na Magonjwa Sugu

$
0
0
KIBOKO YA MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME,MAUMBILE MADOGO, MVUTO WA MAPENZI ,MAGONJWA SUGU

Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

SUPER CHAN :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

LUGINI 3 POWER:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

MANUS :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

TULIZA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR GALIMBO NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO
PIGA SIMU 0759208637

Babu Tale Aendelea Kusota Mahabusu...Kesi yake Bado Nzito

$
0
0

Mkurugenzi wa Kampuni ya Tiptop Connection Limited, Hamis Shaaban Taletale maarufu kwa jina la Babu Tale na mwenzake Iddi Tale wameendelea kukaa mahabusu katika kituo cha Polisi wakisubiri amri ya kupelekwa kifungoni

Babu Tale na ndugu yake Idd Taletale waliamriwa kumlipa fidia ya Shilingi Milioni 250 Mhadhiri wa Dini ya Kiislamu, Sheikh Hashim Mbonde kwa makosa ya kutumia mahubiri yake kibiashara bila ridhaa yake

Kutokana na kushindwa kulipa kiasi hicho cha pesa, Sheikh Mbonde aliwasilisha maombi ya kuwafunga jela ambapo mahakama imemwelekeza kuwalipia wafungwa hao watarajiwa fedha za chakula na matumizi mengine

Sheikh Mbonde tayari ameshawalipia wafungwa hao fedha za chakula za mwezi mmoja kiasi cha takribani Shilingi Milioni 1 sambamba na shilingi milioni 1 na laki 6 za dharula na kusema ataendelea kuwalipia kiasi kama hicho kila mwezi - #regrann

Mwanaume Aua Mama na Mtoto Wake kwa Kuwachinja na Panga

$
0
0

TABORA: Jeshi la Polisi linamtafuta Mwanaume mmoja anayefahamikwa kwa majina ya Omara Matonya kwa tuhuma za kuwauwa kwa kuwachinja Mama na Mtoto wake

Mwanaume atorokea kusiko julikana mara baada ya kufanya mauaji hayo ya kinyama

Katika tukio jingine Jeshi la Polisi Mkoani humo lunamshikilia Mwanaume anayeitwa Ibrahimu Yohana mwenye umri wa miaka 40 baada ya kumkamata na silaha nne za moto aina ya Gobore

Mwanaume huyo anatuhumiwa kuzitumia silaha hizo kwa kufanyia ujangili katika Hifadhi ya Wanayamapori iliyopo katika wilaya ya Sikonge - #regrann

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

$
0
0

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi +255 622588038au 0679119679 au +255 764318107
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Mzee wa Upako "Diamond ni Mnyenyekevu ila Ali Kiba ni Kiburi

$
0
0

Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC), #AnthLusekelo maarufu kwa jina la Mzee wa Upako, amemtaja msanii ambaye anamkubali kati ya Alikiba na Diamond pamoja na kutoa sababu zake.

Akiongea na kipindi cha Maisha Mseto cha Times FM, Mzee huyo wa Upako amesema anampenda sana #Diamond kwa sababu ni mnyenyekevu lakini #Alikiba ni kiburi.

👉“Mimi nampenda sana Diamond kwa sababu ni mnyenyekevu, Simpendi Alikiba kwa sababu ana kiburi, nadhani kwa sababu amekaa Kariakoo,” amesema #Lusekelo.

Mchungaji huyo ameongeza kwa kusema,👉 “Ukipigia simu Diamond anapokea kwa unyenyekevu ila Alikiba anapokea kwa maringo. Ndio maana Diamond amefika mbali.”

Kupatwa na Usingizi Mchana ni Dalili ya Ugonjwa Huu....

$
0
0

Utafiti :
uliofanywa na Watafiti toka chuo kikuu cha Tokyo Japan unaonyesha kuwa kulala mchana kwa zaidi ya saa moja ni chanzo cha kisukari, kusinzia mchana ni dalili ya ugonjwa wa kisukari aina ya pili.

Q Chief "Nimegundua Mimi Mwenyewe Ndio Tatizo katika Mziki Wangu"

$
0
0

Msanii wa muziki, #QChief ametengua uamuzi wake wa kuachana na muziki baada ya kugundua tatizo la kutofanikiwa lipo kwake mwenyewe na sio kwa mtu yoyote kama alivyokuwa akifikiria awali.

Muimbaji huyo kupitia mtandao huu alitangaza kuachana na muziki kwa madai anaona umemkataa kabisa na kila project aliyoitoa inashindwa kufanya vizuri huku wasanii wengine wanaofanya muziki unaofanana na wake wanafanya vizuri.

Akiwa katika kipindi cha XXL Cha Clouds FM Jumatano hii, #QChief amedai baada ya kukaa na baadhi ya watu na kumshauri mambo mengi kuhusu muziki wake amegundua yeye mwenyewe ndiye mwenye tatizo na sio mtu mwingine.

👉“Kinachonitafuna mimi ni mimi mwenyewe, maisha yangu ya nyuma yananihukumu. Lakini I don’t want to be a prisoner of my past” alisema Q Chief.

Aliongeza👉“Tangu nimetangaza kuacha muziki, nimeona mapenzi ya watanzania, nimeona mahaba yao, mpaka nimejiuliza tatizo sio support ya watanzania, labda ni mimi, au sikupata msaada niliohitaji ili kufanikisha maendeleo ya kazi yangu.”

Akiwa katika kipindi hicho, #QChief alidai kati ya watu ambao aliwatafuta sana ili kupata msaada wakati muziki wake unaenda vibaya ni mtangazaji B Dozen lakini jitihada zake zikagonga ukuta.

Katika kueleza hilo #Dozen alisema. 👉“Katika kipindi ulichonifuata nikusimamie sikuwa naweza kufanya hivyo. Ilifika kipindi wewe pia uliacha kunisukuma na unajua kuna majukumu mengi nafanya. Lakini hapa tuongee kitu cha maana ili kuendelea mbele. Mimi kama Dozen nakupa ahadi kama leo utasitisha uamuzi wako wa kuacha muziki, nakupa ahadi ya kukupa mchango wa mawazo, mbinu na kadri nitakavyojaaliwa ili kukusaidia kurudi unapostahili. Lakini siwezi kukuahidi kwamba tutatengeneza hits.”

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

$
0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348. Au 0659 103 360.

Bad News: Mwanaume Amchinja Mke na Mtoto wa Mwaka Mmoja

$
0
0
Bad News: Mwanaume Amchinja Mke na Mtoto wa Mwaka Mmoja
Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Omari Matonya anatafutwa na jeshi la Polisi mkoani Tabora kwa tuhuma za kuwaua kwa kuwachinja mke wake na mtoto wao, kisha kukimbia.


Akizungumza na www.eatv.tv, kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora Wilbroad Mutafungwa amesema kwamba mtu huyo amefanya tukio hilo nyakati za usiku wakati wakiwa wamelala, huku chanzo kikubwa kikitajwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.

“Mwanamke ambaye anaitwa Moshi Daudi mwenye miaka 24 akiwa na mtoto wake wa mwaka mmoja anayeitwa Omari Matonya, waliuawa kwa kuchinjwa na kitu chenye ncha kali shingoni na mwanaume anaitwa Omari Matonya mwenye miaka 25, ambaye ni mume wa huyo mama na baba mzazi wa huyo mtoto, baada ya kufanya tukio hilo alitoweka. Alifanya tukio hilo wakati familia yake ikiwa imelala na chanzo kikitajwa kuwa ni wivu wa mapenzi, ambapo huyo marehemu alikuwa akituhumiwa kuwa na mahusiano na shemeji yake, ambaye ni ndugu yake huyo Matonya anayeitwa Lazima Matonya”, amesema Kamanda Mutafungwa.

Kamanda Mutafungwa amesema mpaka sasa hajapata taarfa zake zozote na jeshi la polisi linaendelea kumtafuta, ili afikishwe kwenye vyombo vya sheria.

Bongo Movie Wengi Hawana Akili Timamu- Duma

$
0
0
Bongo Movie Wengi Hawana Akili Timamu- Duma
Msanii wa filamu bongo, Daudi Michael maarufu kama 'Duma' amefunguka na kudai kuna wasanii wengi katika 'industry' muvi hawana akili timamu ila wanawavumilia kwa kuwa ndio uwezo wao umeishia hapo.


Duma ametoa kauli hiyo wakati akizungumza mbele ya kamera za eNewz kutoka EATV baada ya msanii Gabo Zigamba kutoa kauli yake iliyozua utata mzito kuwa anahitajika atengenezwe Kanumba mwingine ndani ya filamu za bongo ili aitendee haki tasnia hiyo licha ya Gabo kudai hakuwa na maneno yake hayakuwa na maana kama walivyoyapokea baadhi ya wasanii na mashabiki wa filamu nchini.

"Kama kweli unajiamini wewe ni msanii mzuri, unawezo, unajituma na kupambana huwezi kusema unahitaji Kanumba mwingine. Kwani sisi hatuwezi alichokifanya Kanumba, unajua sio kila star ana akili timamu wengine ni mitambo tupo nao katika industry' lakini uwezo wao ndio umeishia hapo", amesema Duma.

Pamoja na hayo, Duma ameendelea kwa kusema "kama unajiamini, kujituma na unaweza kufanya kazi kubwa zaidi kwasababu hata hawa viongozi wetu wa nje wanabadilisha kila siku Mawaziri wanakuja wakubwa na wafanya kazi zaidi ya wale waliotangulia kwanini useme hivi hivyo na sisi tuishie hapo hapo".

Daimond Amkubali Mrisho Mpoto Alichokifanya Kwenye Wimbo ‘Nimwage Radhi’ " Kweli Mungu Kakutunuku Kipaji"

$
0
0
Daimond Amkubali Mrisho Mpoto Alichokifanya Kwenye Wimbo ‘Nimwage Radhi’ " Kweli Mungu Kakutunuku Kipaji"
Hakuna aliyetegemea kama msanii wa muziki wa asili, Mrisho Mpoto angeweza kutoka na kibao cha wimbo ‘Nimwage Radhi’ akiwa tofauti na kukubalika kila kona na mashabiki wa muziki wake.


Muimbaji huyo alizoeleka na nyimbo kama Sizonje, Njoo Uichukue, Mjomja pamoja nyingine nyingi lakini safari hii akiwa na Harmonize kutoka WCB amekuja wimbo tofauti kabisa ambao unafanya vizuri kupitia mtandao wa YouTube.

Rais wa WCB, Diamond ameonekana kufurahishwa na kitendo hicho na kuamua kummwagia sifa muimbaji huyo.

“Kwa kweli Mrisho Mpoto nilikuwa nakuwaza sana, Kwa ufanisi wa serikali hii, ungewezaje kutupa vile vibao vyako vya #MJOMBA #WAITE Na Kadharika…. ila nimeamini kweli Mungu kakutunuku Kipaji na Ubunifu wa Sanaa, Sikutegemea kama UtaniSurprise namna hii… #NimwageRadhi Kali sana🙏🙏 ….Mdogo angu Mmakonde @harmonize_tz naona Mwaka Huu unahasira nao sana….Kama Naiona hiyo #WasafiFestival Huu Mwaka Sjui hata tuanzie Mkoa gani???,” aliandika Diamond Instagram.

Naye Mkuu wa mkoani wa Dar es salaam, Paul Makonda alimmwagiza sifa muimbaji huyo kutokana na kibao.
Viewing all 104781 articles
Browse latest View live




Latest Images