Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104417 articles
Browse latest View live

Harmonize, Mr Flavour na Yemi Alade Kuliamsha Dude

0
0
Harmonize, Mr Flavour na Yemi Alade kuliamsha dude
Mwaka 2018 unaweza ukawa ni wa neema kwa Harmonize. Msanii huyo ameonyesha ngoma nyingine ambayo amefanya na wasanii wakubwa wa Nigeria.

Harmonize kupitia mtandao wa Instagram ameweka video fupi ukisikika wimbo huo ambao ndani yake zinasikika sauti za Mr Flavour na Yemi Alade.

Hata hivyo haijafahamika kama wimbo huo ni wa msanii huyo wa WCB au ameshirikishwa.

Kwa sasa Harmonize anafanya vizuri na ngoma yake ya Kwa Ngwaru ambapo video ya wimbo huo imetazamwa zaidi ya mara milioni tisa kwenye mtandao wa YouTube.


Jaji Amuonya Rais Trump Kuhusu Mitandao ya Kijamii

0
0
Jaji Amuonya Rais Trump Kuhusu Mitandao ya Kijamii
Hakuna ubishi kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump ni moja ya Marais maarufu zaidi kwenye mitandao ya kijamii kwani haipiti siku bila Rais huyo kuposti au kutweet.

Sasa habari mbaya kwake ni kwamba Jaji wa Jiji la New York, Naomi Reice Buchwald amesema kuwa Rais huyo anatakiwa kuwa mvumilivu na mnyenyekevu kwenye mitandao ya kijamii hasa pale anapokutana na watu wanaompinga, kumkejeli na kumtolea lugha za matusi kwani yeye ni kiongozi wa taifa na anawajibu wa kumsikiliza kila mtu.

Buchwald kwenye taarifa yake aliyoitoa juzi Mei 23, 2018 amesema Rais Trump hatakiwa kabisa kum-block mtu yeyote kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii, kwani kufanya hivyo ni kuvunja katiba ya nchi. Soma taarifa ya Jaji Buchwald hapa chini.


Viwanja Bei Nafuu Sana Eneo la Mapinga Baobab Secondary

0
0

VIWANJA BEI NAFUU SANA: MAPINGA (BAOBAB SEC)
Viwanja ni vizuri sana. Viko juu (view nzuri) na flat, na viko umbali wa km 3 kutoka main road (Bagamoyo road).
Bei za viwanja ni ndogo sana: 20/20 bei mil 3.5, 20/30 bei mil 5, 20/40 mil 7, robo eka mil 9, nusu eka mil 17, eka mil 35. ukinunua zaidi ya kiwanja kimoja bei inapungua zaidi.
call 0758603077

Kiboko ya Matatizo ya Nguvu za Kiume, Maumbile Madogo, Mvuto wa Mapenzi na Magonjwa Sugu

0
0
KIBOKO YA MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME,MAUMBILE MADOGO, MVUTO WA MAPENZI ,MAGONJWA SUGU

Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

SUPER CHAN :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

LUGINI 3 POWER:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

MANUS :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

TULIZA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR GALIMBO NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO
PIGA SIMU 0759208637

Zari Amkumbuka Ivan Katika Kumbukumbu Ya Kifo Chake....Leo Katimiza Mwaka Mmoja

0
0
Zarinah Hassan maarufu kama Zari The Bosslady amezidi kumkumbuka aliyekuwa mume wake Ivan Semwanga aliyeaga dunia mwaka jana tarehe 25 mwezi wa tano.

Ivan ametimiza mwaka mmoja Tangu alipofariki mwaka jana nchini Afrika ya Kusini kutokana na maradhi ya moyo.

Zari alijaliwa kupata watoto watatu wa kiume na marehemu Ivan na walikuwa katika Mahusiano kwa miaka mingi sana.

Zari alianza kumuenzi Marehemu Ivan tangu jana ambapo aliandika ujumbe huu Kwenye ukurasa wake wa Instagram:

Dr. Shika Aanza Kuonesha Makucha Baada ya Kupokea zaidi ya TSH 130 Bilion, Hii Ndio Nyumba Mpya Aliyohamia

0
0
Dr. Louis Shika Kid amepokea sehemu kidogo ya mpunga wake $60m kama shilingi bilioni 130 na zaidi za madafu. Dr. Shika amesikika akisema ''Tutaelewana''. Sasa amehama makazi na sasa anaishi makazi bora kabisa ambayo ni ghorofa ambalo kwa ndani linaonesha si haba.

VIDEO:

Sababu ya kuachiwa Babu Tale ni kuwa amri ya kumkamata yeye na ndugu yake Idd Shaban Taletale ilitolewa kimakosa

0
0
Sababu za kuachiwa Hamis Shaban Taletale maarufu kama Babu Tale mmoja wa wakurugenzi wa kampuni ya Tip Top Connection, aliyekuwa akisota mahabusu, akisubiri amri ya kupelekwa kifungoni gerezani, zimebainika.

Babu Tale ambaye pia ni meneja wa mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya Naseeb Abdul, ‘Diamond Platnumz’, aliachiwa kwa muda na Jaji Edson Mkasimongwa, kwa kile kilichoelezwa kuwa amri ya kumkamata yeye na ndugu yake Idd Shaban Taletale ilitolewa kimakosa.

Kwa mujibu wa chanzo chetu kutoka mahakamani hapo, makosa yaliyobainika katika amri hiyo ni kwamba aliyeitoa, Naibu Msajili wa Mahakama Kuu, Dar es Salaam, Wilbard Mashauri hakuwa na mamlaka ya kutoa amri hiyo na kwamba ilikuwa haieleweki.

Hivyo Jaji Mkasimongwa alimwachia jana kwa muda lakini akamtaka afike mahakamani saa 6:00 mchana, leo Mei 25, 2018.

Babu Tale alitiwa mbaroni Jumanne Mei 22, 2010, kwa amri ya mahakama hiyo iliyotolewa na Naibu Msajili Mashauri Februari 16 na hati ya kuwakamata iliyotolewa April 4, 2018, ili kuwapeleka kifungoni katika gereza la Ukonga, kutokana na kushindwa kutekeleza hukumu ya mahakama hiyo.

Katika hukumu hiyo iliyotolewa na Jaji Agustine Shangwa Februari 18, 2016, iliwaamuru ndugu hao kumlipa fidia ya Sh250 milioni, Mhadhiri wa Dini la Kiislam Sheikh Hashim Mbonde, kutokana na makosa ya kutumia mahubiri yake kibiashara bila ridhaa yake.

Wakati anaachiwa jana saa 11:40, mdai wake Sheikh Mbonde hakuwepo mahakamani hapo wala wakili wake Mwesigwa Muhingo.

Hivyo Jaji Mkasimongwa alimwelekeza Babu Tale amtaarifu wakili wa mdai wake afike mahakamani pamoja na mdai kwa ajili ya kusikilizwa pande zote, kabla ya uamuzi mwingine.

Alipoulizwa baadaye na Mwananchi sababu ya kutokuwepo mahakamani hapo wakati mdaiwa wake alipopelekwa, Sheikh Mbonde alisema yeye na wakili wake hawakuwa na wito wa kufika mahakamani hapo wala kuwa na taarifa kama mdaiwa wake alipelekwa tena mahakamani.

Sheikh Mbonde alilieleza Mwananchi kuwa jana yake alipigiwa simu na RCO akamtaka afike ofisini kwake na wakakubaliana kuwa angefika kesho yake.

Aliongeza kuwa jana asubuhi alipowasiliana na RCO, alimweleza kuwa walikuwa na ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ya ufunguzi wa vituo mbalimbali vya Polisi na kwamba baada ya shughuli hiyo ndipo angempa maelekezo mengine, lakini mpaka wakati huo alikuwa hajapata maelekezo yoyote.

Jana Babu Tale alifikishwa mahakamani hapo muda wa saa Nne asubuhi, ikiwa ni mara ya tatu kufikishwa mahakamani kwa ajili ya mahakama kutoa amri ya kumpeleka kifungoni, kwa mujibu wa amri na hati ya kuwakamata yeye na ndugu yake.

Jana alipofikishwa alisubiri mahabusu hadi saa 9:40, wakati Naibu Msajili Ruth Massam alipowaita mawakili wa pande zote na askari polisi waliompeleka Babu Tale. Kwa kuwa mdai na wakili wake hawakuwepo basi ni wakili wa Babu Tale tu na mmoja wa maaskari polisi waliompeleka ndio walioingia ofisini kwa naibu msajili.

Baada ya muda mfupi takribani dakika tano hivi, wakili wa Babu Tale na askari polisi walitoka nje kisha wakasogea pembeni wakafanya majadiliano mafupi pamoja na baadhi ya ndugu wa Babu Tale.



Mwananchi

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Madogo na Mafupi ya Kiume na Hawana Nguvu..Nini Huchangia?

0
0
KWA NINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MADOGO NA MAFUPI YA KIUME NA HAWANA NGUVU ZA KIUME NINI HUCHANGIA?

🌸 kama una Ngiri, au umejichua kwa muda mrefu, punyeto, una stres nyingi Sana, lishe duni, kisukari, presha, kutopata choo vizuri, tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu, kaswende, gono,haya yote husababisha kuwa na maumbile madogo na mafupi ya kiume na kukosa nguvu za kiume.MATIBABU

🌸tumia dawa ya asili itwayo (MASUNZU POWER MIX) inatibu tatizo la nguvu za kiume maradufu inatibu uume mdogo na mfupi na kuimalisha mishipa iiyolegea inarefusha Nchi(4-8) na kunenepesha maumbile na upana (cm3-4) dawa hii haina madhala hata kwa wazee walio na umri wa miaka (70-85) pia inaongea hamu ya kufanya tendo la ndoa Mara (3-5) bila hamu kuisha dawa hii inatibu siku 6 na kupona kabisa

🌸MASUNZU POWER MIX. ni dawa ya asilia yenye mchanganyiko wa mitishamba 7 yenye maajabu yafuatayo kunyoosha mishipa ya askari aliyesinyaa kutokana na kujichua kwa muda mrefu au Ngiri, nk 🌸pia tuna dawa ya kutibu busha bila opresheni

🌸 SOSOMA DX ni dawa ya kumvuta mme au mke mpenzi wako arudi haraka na kuanza mapenzi mapya kama mlivyoanza mwanzo baada ya Masaa 2 atarudi na kutulia ndani ya nyumba

🌸GINDU EXTRA ni dawa ya kutibu kisukari siku 14 unapona kabisa hata kama imepanda 350 itashuka haraka tunatibu presha, vidonda vya tumbo nk:

🌸 OFISI IPO DAR ES SALAAM BUGURUNI CHAMA UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO AU SIMU 0673552294 / +255784552299 TABIBU ATHUMAN.

Mtatiro Ahoji Mamlaka ya Msigwa Ikulu "CCM Ina Msemaji Wake Kwanini Mambo ya CCM Yatangazwe Ikulu"

0
0
Mtatiro Ahoji Mamlaka ya Msigwa Ikulu "CCM Ina Msemaji Wake Kwanini Mambo ya CCM Yatangazwe Ikulu"
Rais John Magufuli amemteua Waziri Mkuu wa zamani, Mizengo Pinda na Makongoro Nyerere kuwa Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa, CCM (NEC).

 Hata hivyo taarifa hiyo  iliyotumwa  saa nane usiku wa kuamkia leo Mei 25, na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Gerson Msigwa ilizua mjadala kwa baadhi ya wanasiasa na wadau wa masuala ya siasa kuhoji mamlaka ya Msemaji wa Ikulu na yale ya Ofisi ya Itikadi na Uenezi ya CCM.

 Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya CUF, upande wa Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif, Julius Mtatiro, amesema kitendo cha Msemaji wa Ikulu (Mtumishi wa Serikali) kutangaza vikao vya CCM na uteuzi wa wajumbe wa vikao vya CCM ni hatari.

“Watanzania wanalazimishwa kukubali kuwa watumishi wa Serikali ni watumishi wa CCM. CCM ina msemaji wake lakini mambo ya CCM yanatangazwa na Ikulu.” amesema



Daktari asimulia A-Z Kuhusu Muuguzi Aliyeuawa

0
0
Daktari asimulia A-Z Kuhusu Muuguzi Aliyeuawa
Mwanamke mmoja anayejulikana kwa jina la Rose Mary Magombola ambaye alikuwa muuguzi Mkuu msaidizi wa hospitali ya Mkuranga ameuawa na mtu aliyetajwa kuwa ni mume wake, na kisha mwili wake kufukiwa pembezoni mwa nyumba yao.


Akizungumza na wwww.eatv.tv Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya Steven Mwandambo, amesimulia jinsi tukio hilo lilivyokuwa mara baada ya kuingiwa na hofu kwa kutomuona kazini bila taarifa, na mpaka pale ilipobainika kuwa mume wake alimuua na kumfukia.

“Siku ya tar 21 Jumatatu hatukumuona dada Mary Magombolwa akiwa kazini sasa tulitaka kujua kwa nini kwa sababu sio kawaida yake kutokuja kazini bila taarifa, baadaye tukaona kwa sababu labda ya uchovu labda alichoka tukahisi labda baadaye anaweza akaja, tukalisahau siku ikapita, Jumann asubuhi tulipomkosa tena ikabidi tuanze utaratibu wa kutafuta nini kinaendelea, tuende nyumbani kwake kumuuliza mumewe kama amemuona au ana shida yoyote zaidi mpaka haonekani, lakini kabla hatutatoka hospitali, mume wake alifika na kutuuliza kama mke wake amefika kazini, sasa tulipata utata kidogo maana tulitegemea yeye ndio atupe majibu”, amesema Dk. Mwandambo.

Dk. Mwandambo ameendelea kwa kusema kwamba …... “sisi tukasema huku hajafika tangia jana na tulikuwa tunakuja kwako kukuuliza, kwa sababu na wewe hujui ni bora ukaenda polisi uende ukatoe tarifa, tukamsindikiza akatoa taarifa, na upelelezi ukaanizia pale kwa ajili yakumtafuta, na polisi wakafanya kazi, yeye mwenyewe akawekwa ndani kwa ajili ya kusaidia uchunguzi, na jana ndio ikajulikana kuwa alikuwa ameuawa na kufukiwa katika eneo la nyumba yake”.

Taarifa zaidi zinasema kwamba baada ya upelelezi wa kina mume wa nesi huyo ambaye jina lake halikuwekwa wazi kwa haraka, aliweka wazi kuwa amemuua mke wake na kumfukia karibu na eneo la nyumba yao.

Jeshi la Polisi lilifika eneo la tukio kufukua mwili wa nesi huyo, na kisha kwenda kufanyiwa uchunguzi na kutangazwa kuwa utazikwa mapema hii leo.

Mafuta Ya Kula Yakamatwa Yakibadiliswa Brand Ya Turkey Na Kuwekwa Stika Ya Oki

0
0
Mafuta Ya Kula Yakamatwa Yakibadiliswa Brand Ya Turkey Na Kuwekwa Stika Ya Oki
Wakala wa Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) imegundua udanganyifu uliokuwa ukifanywa na mfanyabiashara Ujudi Abass wa kubadilisha utambulisho (brand) wa mafuta ya kula ya TURKEY na kuweka utambulisho wa  OKI kinyume na sheria.

Akizungumza na waandishi wa habari Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa ZFDA Dkt. Khamis Ali amesema udanganyifu huo uliokuwa ukifanywa ndani ya Tawi la CCM Makadsara ulibainika baada ya kupata taarifa kutoka kwa raia wema.

Alisema utambulisho wa OKI uliokuwa ukitumiwa  kinyume na sheria na mfanyabiashara huyo ulikuwa wa kughushi na lengo lake kubwa ni kutafuta soka na bei ya juu katika masoko ya Dar e salaam ambako  hivi sasa kunaupungufu wa mafuta hayo.

Dkt. Khamis alisema kuwa mafuta hayo, zaidi ya galoni 747, yanatoka nchini Indonesia na yalizalishwa mwezi Mei mwaka 2017 na muda  wa mwisho wa matimizi ni mwezi Mei mwaka 2019 hivyo yapo salama kwa ajili ya matumizi na kosa la mfanyabiashara huyo ni kubadilisha utambulisho halali wa TURKEY na kuweka utambulisho wa Kampuni nyengine

Alisema mfanyabiashara Ujudi Abss hivi sasa anashikiliwa na vyombo vya ulinzi na  anatarajiwa kufikishwa katika vyombo vya sheria wakati wowote kujibu tuhuma za udanganyifu.

Mwakilishi wa Kampuni ya Sahara ambao ni wakala wa OKI ameeleza kusikitishwa na kitendo cha  udanganyifu   uliofanywa na mfanyabiashara huyo kutumia stika za kampuni hiyo kwa lengo la kutafuta kipato kwa vile mafuta ya OKI ni maarufu na yanasoko.

Alisema kitendo cha kutumia stika ya kampuni kwa biashara nyengine kwa njia  udanganyifu kinaweza kushusha hadhi ya biashara  halisi na  kupoteza imani kwa watumiaji.

Baba Anayetuhumiwa Kumuua Mtoto Wake Akamatwa na Polisi

0
0
Baba Anayetuhumiwa Kumuua Mtoto Wake Akamatwa na Polisi
Mtu mmoja anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za mauji dhidi ya mtoto wake wilayani ukerewe.

Mnamo tarehe 23.05.2018 majira ya saa 14:00hrs mchana katika kijiji cha Hamkoko kilichopo wilaya ya Ukerewe mkoa wa Mwanza, mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Buyanza Magayane miaka 39, mkulima na mkazi wa kijiji cha Hamkoko, anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za mauaji ya mtoto wake wa kumzaa aitwaye Baraka Buyanza, miaka 02, hii ni baada ya kumchapa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake kutokana na marehemu  kujisaidia kinyesi kwenye maeneo mbalimbali ya nyumba hali iliyopelekea marehemu kupoteza maisha kisha kumzika katika shamba lake lililopo nyuma ya nyumba yake, kitendo ambacho ni kosa kisheria.

Awali inadaiwa kuwa mtuhumiwa alikuwa ametengana na mkewe yani mama wa marehemu kwa muda mrefu, hivyo marehemu alikua akiisha na baba yake mzazi anayetuhumiwa kusababisha kifo chake pamoja na mama yake wa kambo.

Inasemekana kuwa tarehe tajwa hapo juu mtuhumiwa alikuwa ametoka kwenye shughuli zake za kila siku ndipo aliporudi nyumbani alimkuta marehemu akiwa amejisaidia kinyesi katika sehemu tofautitofauti za nyumba yake ndipo alimchukua kisha kumchapa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake kisha alimfungia ndani ya chumba peke yake.

Inadaiwa kuwa baada ya muda kupita mtuhumiwa alikwenda kumuangalia  mtoto chumbani alipokuwa amemfungia, ndipo alikuta tayari mtoto amefariki dunia.

Inasemekana kuwa baada ya kuona hali hiyo mtuhumiwa alikwenda kuchimba shimo katika shamba lake lililopo nyuma ya nyumba yake kisha alimzika mtoto, lakini majirani waliona kitendo kile kisha walitoa taarifa kituo cha polisi ambapo askari walifanya ufuatiliaji wa haraka hadi eneo la tukio na kufanikiwa kumakamata mtuhumiwa wa mauaji hayo ambaye alikiri kufanya mauaji hayo na kuwapeleka askari sehemu alipomzika marehemu.

Mwili wa marehemu tayari umefukuliwa, umehifadhiwa katika hospitali ya wilaya ya ukerewe kwa ajili ya uchunguzi, pindi uchunguzi ukikamilika utakabidhiwa kwa ndugu wa marehemu kwa ajili ya mazishi.

Polisi wapo katika mahojiano na mtuhumiwa pindi uchunguzi ukikamilika mtuhumiwa atafikishwa mahakamani ili hatua stahiki za kisheria ziweze kuchukuliwa dhidi yake

Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza Naibu Kamishina wa polisi Ahmed Msangi anatoa wito kwa walezi na wazazi akiwataka kuacha tabia ya kutoa adhabu za vipigo mara kwa mara kwa watoto pindi wanapokosea bali wawaelekeze kwa hekima na busara na kuwafundisha ili kuepusha majeruhi,ulemavu na vifo vya aina kama hii ambavyo vitapeleka mzazi kufungwa.

Simba na Yanga sio Uadui, Mwanangu Mwenyewe wa Kumzaa ni Yanga – Haji Manara

0
0
Simba na Yanga sio Uadui, Mwanangu Mwenyewe wa Kumzaa ni Yanga – Haji Manara
Mkuu wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano Simba, Haji Manara, amefunguka kuhusu matusi anayoyapata kutoka kwa mashabiki wa Yanga.



Akiongea kwenye kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM, Manara amesema anatukanwa sana na mashabiki wa Yanga mpaka imefikia hatua wanamuunganisha kwenye magroup yao ya Whatsapp ya timu yao.

“Ninatukanwa sana, matusi mabaya ya ushamba, na wengine wananiunga hadi kwenye magroup ya whatsapp ya Yanga,” amesema Manara.

“Simba na Yanga sio uadui ni watani wa jadi. Mimi mwanangu mwenyewe wa kumzaa ni Yanga,” ameongeza.

VIDEO: Yanga Yakiri Simba Bingwa, Walilia Nafasi ya Pili

0
0
Klabu pinzania Tanzania Yanga ambayo ilijiwekea heshima kwa kuchukua ubingwa mara tatu mfululizo marahii baada ya kukosa ubingwa huo kwa kuchukuliwa na mpinzani wao mkubwa simba hatimaye wamekiri na kuridhia kuwa hawana budi kukubali matokeo.

Vile vile afisa habari wa Klabu ya yanga Dismas Ten amesema kutokana na kukosa ubingwa hawana budi kulinda heshima ya timu hiyo kwa kuiwania nafasi ya pili katika mechi zilizo baki ambapo leo watachuana na Ruvu shooting timu ambayo Temu amedai kuwa ni timu ngumu kutokana na kuwa na matokeo mazuri msimu huu ila wana imani ya kuifunga timu hiyo, na kudai kuwa wachezaje wake wote wako vizuri kwa kupambana.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA

VIDEO: Bulaya Awasha Moto Bungeni, 'Ukiona Tunasema Hivi Ujue Tumechoka'

0
0
Mbunge wa Bunda Ester Bulanga amefunguka kuhusiana na sakata la madeni ya TENESCO kupanda asema mpaka kufikia hatua hii lazima aseme.

VIDEO:



VIDEO: Mbunge CUF akumbusha wananchi waliopigwa risasi, ashukuru kwa Kidogo

0
0
Asyieshukuru kwa kidogo hata akipewa kiikubwa hatashukuru,  kauli hiyo imetolewa Bungeni na Mbunge wa jimbo la Mtwara mjini Maftaha Nachuma baada Waziri Mkuu na Waziri wa nishati na Madini kutembelea jimboni kwake huku akiwakumbusha sakata la maandamano ya wananchi ambao ilipekekea baadhi yao kupigwa risasi.

 TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI


Afukuzwa Chuo Kwa Kunuka Miguu...

0
0
Leo May 25, 2018 Nakusogezea stori kumhusu kijana Teunis Tenbrook raia wa Uholanzi amefukuzwa katika chuo kikuu cha Erasmus  cha jijini Rotterdam cha nchini humo kwa sababu ya kunuka miguu sana.

Baadhi ya wafanyakazi wa maktaba ya chuo hicho wamesema kuwa wamekuwa wakipata shida sana kufanya kazi kwa sababu kijana huyo miguu yake inatoa harufu mbaya mno hadi wanashindwa kutimiza majukumu yao.

Hata hivyo mwanachuo huyo anayesomea shahada ya falsafa amekishtaki chuo hicho na kushinda kesi hiyo huku Jaji aliyesikiliza kesi akiamuru kuwa wafanyakazi wa chuo hicho inawabidi “wazibe pua zao ili wasinuse harufu hiyo”.

Aidha tatizo la kunuka miguu imeripoitwa kuwasumbua wanafunzi wengi vijana

Alishtaki Kanisa kwa Kumtaka Akabidhi Majibu ya UKIMWI kabla ya ndoa

0
0
Michael Aboneka raia wa Uganda amefungua kesi katika mahakama ya katiba mjini Kampala dhidi ya kanisa la Watoto Church akilalamikia utaratibu mgumu wa kufunga ndoa anaodai unaenda kinyume na katiba ya nchi hiyo huku waumini wengine wakiunga mkono utaratibu huo.

Taratibu anazozipinga za kanisa hilo za kufunga ndoa ni pamoja na kuwa ni lazima jamaa huyo apate barua ya kuridhia ndoa hiyo kutoka kwa wazazi wa bibi harusi ambayo wanaita Baraka kitu anachodai ni kinyume na kifungu 31 ya katiba ya nchi.

Lakini pia utaratibu mwingine unaomkwaza kijana huyo ni kutakiwa kuwasilisha majibu ya vipimo vya UKIMWI ya yeye na mpenzi wake kanisani ambapo amesema ‘inavunja uhuru wa faragha wa yeye na mpenzi wake.

Aidha kanuni nyingine mwiba kwa Michael ni ile ya kutakiwa kusubiri miezi sita baada ya kuomba kufanya harusi na kulipa ada ya kanisa shilingi laki nne na nusu za Uganda sawa na laki tatu na elfu ishirini na tano za kitanzania.

Licha ya Michael kupinga utaratibu huo anaodai unawanyima haki ya vijana wengi kufunga ndoa waumini wengine wanaona ni sawa tu utaratibu huo.

Pendezesha Muonekano wako kwa Kutumia Dr. Kessy Products, Dawa Zisizo na Madhara

0
0

PENDEZA_KESSY_ PRODUCT WEKA MUONEKANO WAKO NA UPENDEZE SASA,TUMIA BIDHAA HALISI NA UREMBO MAFUTA/DAW ZISIZO NA MADHARA ZIMETENGENEZWA KWA MIMEA NA MATUNDA MATOKEO NIMAZURI KUANZIA WEEK 2/4🍍🌾



1)-KUTOA MVI SUGU PIA ZAKUZALIWA_130,000/

2)-RUREFUSH NYWELE ZAKO NA KUZIJAZA -120,000/

3)-TENGENEZA MWILI WAKO KUWA NA UMBO ZURI (HIPS KALIO NA MAPAJA (@) KUNYWA/VIDONGE/KUPAKA_130,000/

4)-ONDOA NYAM UZEMBE NA KUTOA MAFUTA_100,000/

5)-PUNGUZA NA KUKIMALIZA KITAMBI KABISA (@)KUPAKA 100,000/ (@)KUNYWA (VIDONGE)-130,000/

6)-PUNGUZA MWILI MZIMA KUANZIA KILO 15&20

@) KWADAW YAKUNYWA NA KUMEZA (VIDONGE)_130,000/

7)-PUNGUZA MAZIWA NA KUYASIMAMISHA _100,000/

8)-KUONGEZA MAZIWA SAIZI UNAYOHITAJI WEWE_100,000/

9)-ONGEZA UNENE WA MWILI MZIMA_100,000/

10)-TOA MICHIRIZI SUGU NA MIPASUKO_90,000/

11)-TOA MAKOVU, CHUNUSI, WEUSI KWENY MAPAJA KIKWAPAN_90,000/

13)-KUWA MWEUPE MWILI MZIMA (@)VIDONGE VYAKUMEZA_130,000/(B)MAFUTA YAKUPAKA YASIO NAHARUFU YAKUKERA_100,000/

14)-TOA NDEVU NA VINYWELEO MWILINI _100,000/

15)-ONGEZA NGUVU KWA WANAUME (@)DW ZAKUPAK AINAZOTE -100,000/(B)VIDONGE VENYE

UHARAKA_100,000/

16)-REFUSH MAUMBILE NA UNENE SAIZI UNAYOTAKA

@) (HANDSOME UP) MASHINE _200,000/

@) JELI/VIDONGE UREFUSHA NCH 5%6&_130,000/

17)-RUDISHA HAMU YA TENDO LA NDOA_100,000/

18)-DAW YA KURUDISH USCHANA (BIKRA)-100,000/

19)-TOA MAFUT USONI WEKA USO MKAVU_100,000/

20)-ONDOA MIKUNJO USON NGOZI YAKUZEEKA I00,000/(21)-ENGEZA MGUU (WABIA)_100,000/ 21)- PATA MIKANDA YAKUPUNGUZA TUMBON AINA ZOTE 22) DAW YA NGIRI_100,000/🍍🌾🍉🍌🍁



TUNAPATIKANA TZ NZIMA NA TUNATUM MIZIGO POPOTE ULIPO NCHI YOYOTE ILE WASILIANA NASI (+255)0719955528

(+255)0756259180

(+255)0785371237 @Pendeza_kessy_product @Pendeza_kessy_product

Delivery POPOTE ULIPO,



Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH Mzee sulutani Mtabibu wa Nyota za Binadamu

0
0

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH Mzee sulutani Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..

JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Mzee sulutani Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU.

Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Mzee sulutani Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..

Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..

Na mengi zaidi +255) 623448511 au(+255) 783636592
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...
Viewing all 104417 articles
Browse latest View live




Latest Images