Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104775 articles
Browse latest View live

Emmanuel Mbasha Apangua Tuhuma za Kuazima Magari

$
0
0

Msanii wa muziki wa Injili Bongo, Emmanuel Mbasha amejibu kuhusu tuhuma za kuazima magari ya watu kwa ajili kupiga picha ili kujionyesha katika mitandao.

Muimbaji huyo amesema tuhuma hizo hazina ukweli wowote kwani kazi zake anazozifanya zinatosha kumuingiza kipato cha kuweza kumiliki magari kadhaa.

“Hamna, mimi huwa siazimi magari, yote niliyona ni ya kwangu, ninatumia gari zangu na watu wa karibu yangu wanafahamu mimi ni mfanyabiashara, ninaimba Gospel na nina kipato cha kufanya mambo yangu yote ya unayoyaona,” Mbasha ameiambia Bongo5.

Ameongeza kuwa kwa sasa anamiliki magari mawili. Wimbo wa mwisho Mbasha kutoa ni Hallelujah ambao amemshirikisha Hondwa, wimbo huo ulitoka October 2017.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

$
0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI , PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA,

Makosa Makubwa Wanayoyafanya Wanawake linapokuja Swala la Kupenda..!

$
0
0
Je wewe ni mtu wa kupenda ghafla, yaani mwanaume anapokutamkia kwamba anakupenda huwa unamuamini kwa kiasi gani, unakuwa ni mwepesi wa kumuamini na kujitoa kwa ajili yake au unakuwa na kujivuta vuta ili kujiridhisha kabla ya kuingia katika uhusiano? Hebu fikiri kabla ya kuamua, jipe muda kwani hakuna jambo lililo jema kama subira linapokuja swala la kupenda. Subira itakuepusha kupoteza muda wako katika mahusiano ambayo hayana mashiko wakati dhamira yako ilikuwa ni kumpata mwenzi mwenye sifa muafaka, pale utakapoingia mahali ambapo sipo. Kwa kawaida kutoka katika uhusiano huo kuna gharama kubwa na kunaweza kukusababishia matatizo mengi yakiwemo ya kiafya.

Hapa chini nitajaribu kueleza makosa kadhaa ambayo wanayafanya wanawake linapokuja swal la kupenda:

1.Kumbadili mtu awe vile utakavyo:
Usije ukajidanganya kwamba unaweza kumbadilisha mtu mzima na akili zake. Kama umepata mwanaume ambaye kwa mtazamo wako unamuona ana sifa muafaka lakini anatabia ambazo huzipendi kwa mfano ulevi au kuvuta sigara vitu ambavyo vinakukera sana, usije ukajidanganya kwamba unaweza kumbadilisha na akaacha tabia hizo, anaweza kuacha kwa muda tu ili kukuvuta ukiingia kingi imekula kwako, tabia hiyo inaweza kujirudia. Ni vyema kama kuna tabia ambazo umezipenda lakini zipo ambazo huzipendi kutoka kwa mwenzi wako, basi weka uzingativu kwenye zile tabia unazozipendfa na zile usizozipenda achana nazo, kama ataamua mwenyewe kuziacha sawa lakini kama akiamua kuendelea nazo, basi zisikuumize kwani unaweza kujikuta ndoa yako inakuwa na migogoro isiyokwisha kwa sababu ya kuonekana una ghubu kwa kujaribu kumbadilisha mwenzi wako na mwisho wake upendo unakuwa haupo na kisirani katika ndoa kinaongezeka. Kitendo cha kuonekana kuwa na ghubu kinaweza kumuingiza mwanaume katika tabia nyingine mbaya ya kutotumia muda mwingi kukaa nyumbani kwake na kutafuta kampani nyingine, kama akipata kampani ambayo siyo nzuri anaweza kuangikia katika nyumba ndogo ambayo itamkubali bila masharti.


2.Njoo tuishi:
Unaweza kukutana na mwanaume ambaye ana nyumba nzuri au amepanga nyumba nzuri na ana kila kitu ndani pamoja na usafiri, anakuwa mwepesi kukupa funguo za nyumba yake ili uhamie muishi pamoja, lakini haweki msimamo wake wazi kwamba ana matarajio gani na wewe. Kabla ya kukubali kupokea funguo na kuhamia kwake jiulize kama unampenda kwa dhati au umekubali kwa sababu ya nyumba yake nzuri. Kumbuka nyumba na vitu vingine vinavyotizamika kwa macho (material things) havina mashiko linapokuja swala la kupenda. Kupenda kunahusisha vitu vya ndani kama vile kupenda kwa dhati bila masharti wala kuangalia sifa za nje, kuwa na amani moyoni kila umwonapo mpenzi wako, kuwa na furaha wakati wote mnapokuwa pamoja, kupatwa na msisimko wa mapenzi kila umwonapo au usikiapo sauti yake nk. Lakini kama utamkubali mwanaume kirahisi kwa sababu tu kakukabidhi funguo za nyumba yake wakati huna mapenzi ya dhati ni janga kubwa kwa sababu hivi vitu vya nje vinaweza kutoweka kirahisi, sasa je ikitokea si mapenzi nayo yatakuwa yamekwisha? Kumbuka kwamba kile kilichokupeleka kwake hakipo.

3.Amekuwa ni liwazo kwako
Liwazo linaweza kuwa sehemu ya mapenzi lakini hivi vitu haviendi pamoja. Unaweza kuwa na mwanaume ambaye mnapendana na mnakamilishana hii ni tofauti na mwanaume unayempenda na ukamgeuza kuwa liwazo pale unapohisi upweke. Jiulize, je ni kwamba mnapendana na mnafurahi kuwa pamoja au unampenda kiasi kwamba huwezi kuishi bila uwepo wake. Hapa nazungumzia utegemezi wa kihisia, yaani unakuwa king’ang’anizi mpaka mwanaume anakuona kero, badala ya kufurahia mahusiano yenu mwanaume anakuona kuwa ni kero kutokana na kuwa tegemezi wa kihisia. Hakuna mwanaume anayependa mahusiano ya aina hii anachoka haraka kihisia na atajitahidi kwa kila namna kukukwepa na ikiwezekana kukutosa na kutafuta ustaarabu mwingine jambo ambalo litakuumiza sana.

4.Mwanaume king’ang’anizi:
Mwanaume kutongoza na kukataliwa siyo jambo linalowashughulisha sana kwao kujaribu na kukosa ni sehemu ya maisha, lakini lipo suala la kung’ang’ania, yaani mwanaume kumfuatilia mwanamke kwa hali na mali na kujitoa ili kuhakikisha anampata mwanamke anayemtaka. Huu ni mtego wa mapenzi, kwani kwa mwanaume kung’ang’ania na kufuatilia mwanamke kwa muda mrefu bila kuchoka hata asumbuliwe kiasi gani haimaanishi kwamba mwanaume huyo amempenda mwanamke huyo. Wakati mwingine ni matamanio tu ndiyo yamemsukuma kutokana na sifa za nje alizo nazo mwanamke huyo. Kupenda kwa mwanaume kunahusisha zaidi sifa za nje kuliko za ndani na ndiyo maana mapenzi ya aina hiyo hayadumu yanaanza kama kichaa na kuyeyuka ghafla kama kipande cha barafu juani. Pale mwanamke anapokutana na mwanaume king’ang’anizi na asiyekubali jibu la hapana, kabla ya kukubali ajiulize kama anakubali kuwa na mahusiano na mwanaume huyo kwa sababu amempenda kwa dhati au kwa sababu ya uking’anga’nizi wake? Kumbuka kwamba wapo baadhi ya wanawake wanaweza kumkubali mwanaume tu kwa sababu amemfuatilia sana, anajiwa na huruma anakubali kuwa na mausiano naye siyo kwa sababu amempenda bali kwa sababu ya huruma. Ni vyema ukajiuliza kama na yeye atathamini huruma yako au akishapata alichokitaka atakugeuka na kuwa mwiba mchungu kwako? Tafakari na chukua hatua.

5.Baada ya kupanda mbegu mmea ukachipua
Umekuwa na uhusiano na mwanaume huyu kwa muda mrefu, lakini hakuwahi kukutamkia kwamba ana matarajio gani na wewe kuhusiana na swala la ndao, ghafla unakoma kuziona siku zako… Mimba hiyo! Je unafanyaje?
Kwanza naomba ufahamu kwamba, kupata mimba haimaanishi ndiyo kuolewa. Hili ni kosa ambalo wanalifanya wanawake wengi tena wa kiwango cha kutosha, wanaamini kwamba kubeba mimba kutawahakikishia kuolewa na mwanaume aliyempa ujauzito. Kwa huku kwetu sheria haziwabani sana wanaume linapokuja swal la kulea mimba na matunzo ya mtoto kwa hiyo mwanaume kumtosa mwanamke aliyebeba ujauzito siyo jambo la kushangaza. Wanawake ambao ni single mother wanajua kuhusu jambo hilo. Kwa hiyo kama unabeba mimba fanya hivyo ukiwa umejiandaa kujitwika changamoto zitakazojitokeza na usije ukajifariji ukidhani kutakuwa na masaada kutoka kwa mwenzi wako, utakuwa unajidanganya. Kama akikubali mfunge ndoa sawa, kama akikubali kulea mimba na mtoto atakeyezaliwa pia ni sawa, akikataa wala usivunjike moyo, simama imara na songa mbele na maisha kwani kuzaa kabla ya ndao siyo mwisho wa maisha, yapo maisha tena mazuri sana ukiwa na mwanao. Kwanza unaye mtu wa kukuliwaza, na pili utakuwa umajihakikishia kwamba wewe si mgumba, na tatu leo na kesho umekuwa mtu mzima unaye wa kukushika bega kuliko kutegemea ndugu zako.

6.Pesa inapokuwa sehemu katika kupenda.
Wapo baadhi ya wanawake kabla ya kumkubalia mwanaume wanaangalia anamiliki kitu gani, amesoma kwa kiwango gani, ana kazi ya aina gani, anafanya shughuli gani, anazo fedha za kutosha au yuko katika mazingira ya utafutaji yanayoashiria neema huko mbeleni. Sikatai kwamba wanawake kabla ya kumkubali mwanaume wanataka kujihakikishia usalama, na kama nilivyowahi kusema hapa mara nyingi kwamba usalama kwa mwanamke maana yake ni mtu kuwa na fedha, tofauti na zama za kale za mawe ambapo uwindaji na kilimo kilimuweka mwanaume shupavu katika nyanja hizo kukimbiliwa na wanawake. Siku hizi hayo hayapo, fedha imekuwa ni njia ya mkato katika kupata kila kitu. Kwa mwanamke fedha ni mtego umnasao kama panya na kipande cha nguru mtegoni. Siku hizi ukiwa na fedha una uwezo wa kumpata mwanamke umtakaye, fedha imekuwa kama tufani, inabeba waliomo na wasiokuwemo, hata wale watakaotokwa na povu kupinga hoja hii, nadhani hawajapata bahati ya kukutana na wanaume wenye fedha, laiti wangepata wasingeweza kusimama hapa na kupinga hoja hii. Kwa ushauri tu, si vibaya kuangalia mwanaume mwenye muelekeo wa kutafuta lakini hicho kisiwe ni kigezo namba moja, kwani kama akikuonyesha sifa hizo kabla ya kuingia kwenye uhusiano kisha ukaingia na baadaye ukagundua mwanaume huyo si mali kitu wenyewe mnaita mwanaume suruale, utaumia sana.

7. Uzuri wa kitandani
Ninaposema uzuri wa kitandani namaanisha kuridhishana katika tendo la kujamiiana, kwa kawaida wanawake ndiyo wahanga wakubwa linapokuja swala la njaa chumbani, wao ndiyo kwa asilimia kubwa hawaridhishwi na wenzi wao katika tendo. Siyo kwamba waume zao wana udhaifu, la hasha, inawezekana wanazo nguvu kama za simba, lakini kwa kawaida tendo la kujamiiana haliwi zuri eti kwa sababu tu mwanaume anazo nguvu kama za simba, bali inahitaji usanii na utundu ukiwemo werevu wa kihisia kuweza kumfikisha mwanamke kileleni. Wanaume wengi kwa sababu ya mazoea wanadhani swala la kumfikisha mwanamke kileleni ni kutwanga kwa kutumia msuli. Si kweli hata kidogo, ni kumuandaa mwanamke kwa maneno matamu kabla hata ya kuelekea kitandani. Kwa hiyo wapo wanaume wenye ufundi huo linapokuja swala la kujamiiana, nia mafundi hodari wenye uwezo wa kuwafikisha wenzi wao peponi, lakini inawezekana katika maeneo mengine ya kimaisha wakawa watupu kabisa. Siyo wawajibikaji, wanyanyasaji wakubwa, hawana staha, hawawaheshimu wenzi wao na ni wenye vurugu kichwani. Wakati mwingine mwanamke anaweza kunasa kwa sababu hiyo tu, ya ufundi wa kitandani, lakini akajikuta anaishi katika machungu kutokana na kutothaminiwa na kunyanyaswa kupita kiasi. Kinachomuweka si kingine ni ile starehe ya muda mfupi wawapo kitandani tu basi. Kuna haja ya kujiuliza, Je ni kitu gani hasa kinachokufanya umpende mwenzi wako? Kama utamkubali na udhaifu wake na una uwezo wa kuhimili hizo tabia zisizofaa kwa maana kwamba hazikuumizi kihisia (kitu ambacho si rahisi sana kwa wanawake) ni sawa, lakini kama huwezi, sikushauri kuingia katika uhusiano wa aina hiyo, kwani ni kujitafutia kaburi la mapema.

Cr7 ampasua mpiga picha wakati wa “kutest mitambo”

$
0
0
Leo ni leo asemaye kesho ni muongo, leo ni ama Mo Salah abebe Champions League yake ya kwanza au Cristiano Ronaldo abebe Champions League yake ya tatu mfululizo lakini hata iweje mshindi lazima apatikane.

Tayari timu zote ziko mjini Kiev ambapo ndio mji fainali hizi zitapigwa, vikosi vyote viwili kile cha Liverpool na kile cha Real Madrid wameshafanya mazoezi ya mwisho mwisho kuelekea katika mtanange huu.

Lakini wakati Cristiano Ronaldo akiwa katika mazoezi ya mwisho mwisho amempasua juu ya jicho muandishi mmoja baada ya mpira alikuwa ameupiga shuti kwenda off target na kumpiga muandishi huyo.

Muandishi huyo aliyefahamika kwa jina la Lorenzana Prieto anafanya kazi katika kituo kimoja cha habari ya Hispania kiitwacho Univision Deporters alikuwa katika harakati za kupiga picha ndipo dhahma hiyo ilipomkuta.

Ronaldo alimnyooshea mkono muandishi huyo kumuomba msamaha, na baada ya mazoezi alimtumia jacket yake aliyokuwa amevaa juu kama njia ya kumuomba msamaha muandishi huyo ambaye hata hivyo alionekana fiti baadae huku akiwa na plasta usoni.

Leo mashabiki wa Real Madrid watategemea mashuti kama hayo yawe on target ili kuweza kuimaliza Liverpool, Cristiano hadi sasa ana mabao 15 katika Champions League na anategemewa kuibeba Real Madrid hii leo pia.

Muziki sio vita, ukiufanya vita lazima ufeli – Mr. T Touch

$
0
0
Producer wa muziki Bongo, Mr. T Touch amesema yeyote anayefanya muziki kama vita ni lazima atafeli.

Kauli ya Mr. T Touch inakuja mara baada ya kumchukua msanii Bgway kutoka Free Nation ya Nay wa Mitego ambapo mwanzoni Mr. T alikuwa akifanya kazi.

“Unajua muziki sio vita, ukifanya muziki vita lazima ufeli, muziki ni kipaji, burudani, unafanya watu wanafurahia maisha, haujawahi kuwa vita ila umewahi kuwa sehemu ya kuwafanya watu waishi maisha mazuri,” amesema.

“Japo huo huo muziki kuna watu wanautumia vibaya kwa kuufanya kama sehemu ya kufanya maovu yao lakini hauko hivyo, ukiutendea mema lazima ukulipe mema,” Mr. T Touch ameiambia Bongo5.

Msanii Bgway baada ya kuanza kufanya kazi na Mr. Touch ameachia ngoma mpya inayokwenda kwa jina la Na Stay.

Nikikutana na Rais Magufuli nitamwambia afunge mitandao ya kijamii Tanzania – Steve Nyerere

$
0
0
Msanii wa filamu Steve Nyerere amedai anatamani kukutana na Rais Magufuli ili amshauri azime data, ili watu wasitumie mitandao ya kijamii kwa kufanya umbea na kuongea habari za uongo za kuchafuana.


Muigizaji huyo amedai Watanzania wanaacha kutumia fursa zinazotoka na mitandao ya kijamii na kubaki wakifanya majungu na umbea.

“Bado tunahitaji kuwa na mwenendo wa China, nitafurahi sana siku Magufuli akizima data, na nadhani kuna haja ya kumshauri Mheshimiwa Rais,” Steve Nyerere aliiambia kipindicha Enewz cha EATV. “Kwa sababu kama tunataka kujenga Tanzania ya viwanda, ni lazima siku moja tuzime data hata mwezi nadhani tutafikia malengo, tena andika kabisa Nyerere anatamani kuonana na Magufuli amnong’oneze kuhusu data, azime tu hata nwezi, ili watu wafanye kazi, amesema Steve Nyerere.

Aliongeza “asilimia 90 wanaishi kwenye mitandao na kubuni vitu ambavyo haviingizi taifa hata pato, nia ni kuliongezea taifa pato, wenzetu China wameendelea kutokana kutoipa nafasi mitandao kuihairbu China yao, wameipa nafasi kwa ajili ya kutangaza biashara na utalii, sasa sisi tumeipa nafasi kwa jili ya umbea”,.

Steve Nyerere ametoa kauli hizo zote kutokana na watu kuzusha taarifa kuwa mke wake amemkimbia, baada ya kugundua amezaa nje ya ndoa na muigizaji Welu Sengo.

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH Mzee sulutani Mtabibu wa Nyota za Binadamu

$
0
0

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH Mzee sulutani Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Mzee sulutani Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU.

Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Mzee sulutani Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..

Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.

Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..

na mengi zaidi +255) 623448511 au(+255) 783636592

NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Mwanamuziki Dullah Makabila Akabiliwa na Kesi ya Kubaka..Mwenyewe Akanusha

$
0
0

Mwanamuziki wa Singeli nchini, Dullah Makabila amekanusha taarifa zilizosambaa mitandaoni kuwa amekamatwa na jeshi la Polisi baada ya kumtia ujauzito mwanafunzi.
Makabila amesema kuwa habari hizo si za kweli ila kuna watu wasiopenda mafanikio yake ndiyo wanasambaza taarifa mbaya kama hizo wakati siyo kweli na hana skendo kama hilo.
Makabila amesema kuwa taarifa hizo amezipata wakati anarudi kufanya show mkoani Iringa baada ya kupigiwa simu na meneja wa Diamond, Mkubwa Fella kuhusu habari hizo.
Makabila ameendelea kusema kuwa habari hizo zilimshtua sana mpenzi wake pamoja na familia yake lakini walimuelewa baada ya kubaini habari hizo si za kweli.
Habari za mwanamuziki huyo kukamatwa zimeenea kwenye mitandao ya kijamii huku wengine wakifika mbali kwa kusema kuwa tayari Dulla Makabila amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa hilo.
Mwanamuziki huyo kwasasa anatamba na wimbo wake unaoitwa ‘Kuingizwa’ ambao unafanya vizuri katika vituo vya radio nchini.

Ukipoteza Passport Mpya ili Kuipata Nyingine Utalipa Shilingi Laki Tano

$
0
0

Kamishna wa Uhamiaji, Uraia na Pasipoti, Gerald Kihinga amesema Mtanzania atakayepoteza hati ya kielekroniki ya kusafiria inayopatikana kwa Tsh. 150,000 atalazimika kulipa Tsh. 500,000 kupata mpya

Pia aliongeza kuwa iwapo ataipoteza tena hiyo aliyoipata kwa Tsh. 500,000 basi atalipa Tsh. 750,000 ili aweze kupata nyingine

Aliyasema hayo jana katika uzinduzi wa utoaji wa hati hizo ambapo tayari hati 15,101 zimeshatolewa kwa Watanzania tangu kuanza kwa utoaji huo Januari mwaka huu.

Kihinga amesema zipo kesi nyingi za watu kupoteza hati zao za kusafiria na baadhi yake ni zile zinazotokea katika matukio yasiyohitaji uwapo wake hati hizo hivyo gharama hiyo itasaidia watu kutunza hati zao

Mchezaji Kapombe Kucheza Ligi Kuu Hispania Msimu Ujao

$
0
0
NYOTA inaendelea kumuwakia beki kiraka wa Simba, Shomari Kapombe kwani sasa taarifa zinasema anatakiwa na moja ya timu iliyopanda kucheza Ligi Kuu ya Hispania msimu ujao.

 La Liga ni ligi kubwa Ulaya ambapo mas­taa mbalimbali wanacheza wakiwemo Lionel Messi wa Barce­lona na Cristiano Ronaldo wa Real Madrid.

 Chanzo cha habari kutoka ndani ya Simba, kimelipasha Championi Jumamosi kuwa, kuna timu kubwa kutoka His­pania ambayo imepanda ligi kuu inamtaka Kapombe alipokuwa akiichezea Simba mechi ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Al Masry ya Misri baada ya kuvutiwa na uwezo wake.

 Championi Jumamosi lilimtafuta Kapombe ili aweke wazi kuhusiana na taarifa hizo, am­bapo alisema: “Nikweli kuna mawakala zaidi ya watatu wamenipigia hivi karibuni wakini­taarifu uwepo wa timu zaidi ya tatu kunihitaji.”

 “Wakala wa kwanza ameniambia kuna timu ya Hispania inanitaka, lakini pia zipo zingine mbili, moja kutoka Urusi na nyingine ipo Bara la Asia ambazo zote nimeshataari­fiwa kuni­hitaji, hivyo wakala wangu ameniomba nitume tu baadhi ya ‘clip’ (video) zangu ili aweze kuka­milisha dili hilo.

“Hii ni bahati sana kwangu kuonekana kwa muda mfupi huu ambao nimecheza Simba, japo nia yangu ningependa kuendelea kuwa hapa ili nijiweke vizuri zaidi kwani nina malengo mengi sana ambayo bado sijayafi­kia pamoja na kwamba wao wameshaona uw­ezo wangu,” alisema Kapombe.

Stori: Musa Mateja, Dar es Salaam

Cheo cha koplo, Pingu vyamtia mbaroni mhudumu wa hoteli

$
0
0
Kamanda wa Polisi kanda Maalumu ya Dar es salaam, Lazaro Mambosasa amesema jeshi la polisi linamshikilia mhudumu wa Hoteli ya Sleep Inn na mkazi wa Mwananyamala kwa kopa baada ya kukutwa na sare za polisi, silaha, cheo cha koplo na pingu.

Mambosasa amesema kuwa jeshi la polisi lilipokea taarifa hizo toka kwa msiri kuwa mtu mmoja anatumia sare za jeshi la polisi kuwakamata watu na kuwafunga pingu kuwatishia bastola ili kufanikisha kupora mali maeneo mbalimbali ya jiji.

”Baada ya kupata taarifa hizo jeshi la polisi lilianza ufuatiliaji mara moja na kuweka mtego mnamo tarehe 21, Mei 2018 majira ya saa nne usiku huko Mwenge Bamaga Polisi walifanikiwa kumkamata mtuhumiwa huyo” amesema Mambosasa.

Mambosasa ameongezea kuwa baada ya kufanya nae mahojiano mtuhumiwa alikiri kumiliki sare na vifaa mablimbali vya jeshi la polisi na kukubali kuwapeleka askari hadi nyumba anayoishi.

Ambapo baada ya kufanya upekuzi kwenye nyumba anayoishi alikutwa na sare za jeshi la polisi, pingu, cheo cha koplo wa polisi, mfuko wa kuhifadhia bastola na bastola aina ya GLOCK 17 ambayo imefutwa namba zake za usajili ikiwa haina risasi.

Aidha mtuhumiwa huyo amefikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili.

Fangasi Sehemu za Siri za Mwanaume

$
0
0

Watu wengi wanaamini kuwashwa sehemu za siri kunasababishwa na fangasi tu, ndiyo maana nimepata maswali ya wasomaji juu ya matibabu na jinsi ya kujikinga na fangasi kwa kuwa wanaamini muwasho unaowasumbua kwa muda mrefu ni matokeo ya maambukizi ya fangasi.

Watu wanapaswa kufahamu kuwashwa sehemu za siri kunaweza kuwa dalili ya maradhi fulani ndani ya mwili wako pengine isiwe ni fangasi na ikawa ni mzio (allergy) tu.

Mara nyingi muwasho sehemu za siri unaosababishwa na kitu huisha wenyewe kitu hicho kikiondolewa. Kuondolewa kwa kitu hicho kunatia ndani matibabu sahihi na kuendelea na njia bora za kujikinga kutopata maambukizi tena. Vitu vingine vinavyosababisha muwasho huhitaji matibabu ya hali ya juu zaidi. Ikiwa unawashwa kwa muda mrefu ni vyema kuzungumza na daktari. Kukaa na ugonjwa kwa muda mrefu kunaweza sababisha ugonjwa kusambaa mwilini na kuongeza hatari ya kifo.

Nini husababisha Muwasho Sehemu za Siri za Mwanaume?
Kuwashwa uume au sehemu zingine za siri za mwanaume husababishwa na sababu zile zile zinazosababisha muwasho sehemu nyingine za mwili.

Maradhi ya fangasi husababisha muwasho kwa wanaume wengi, sababu nyingine ni kama ugonjwa wa upele (scabies), kuwepo kwa chawa, mzio na maambukizi mengine ya bakteria. Maambukizi hasa ya magonjwa ya zinaa ndio chanzo kikuu cha kuwashwa uume.

Fangasi sehemu za siri za mwanaume ni nini?
Maradhi ya fangasi (Candidiasis) husababishwa na vimelea viitwavyo Candida albicans. Vimelea hivi hushambulia jinsia zote ingawa hushambulia sana jinsia ya kike kutokana na maumbile yao ya sehemu za siri kuwa na unyevunyevu kitu kinachosababia wao kuathiriwa zaidi.

Watu wengi wana vimelea hivi katika miili yao kwa kiwango kidogo sana. Kinga ya mwili ikisaidiwa na bakteria walinzi wa mwili huweza kupambana na vimelea hivi.

Mwanaume anapataje fangasi sehemu za siri?
Mtu anapokunywa dawa za kuua bakteria kutokana na ugonjwa mwingine wa bakteria kama kuhara damu, husababisha bakteria walinzi wa mwili kufa, hivyo kuongeza hatari ya mwili kushambuliwa na ugonjwa wa fangasi.

Ikiwa kinga yako ya mwili itashuka kutokana na maradhi kama VVU/UKIMWI au lishe duni pia mwili wako utakuwa katika hatari zaidi ya kupata maradhi ya fangasi.

Hata hivyo, maradhi ya fangasi yanaweza kutoka kwa mtu mmoja hadi kwa mwingine kwa kuchangia nguo au vifaa vya kuogea na kujamiana na mtu mwenye ugonjwa wa fangasi.

Wanaume wengi wanaosumbuliwa na fangasi sehemu za siri huishi maeneo yenye joto sana kama Pwani, Lindi, Mtwara, Tanga na Dar es salaam.

Kuishi sehemu yenye joto pamoja na kuvaa nguo za kubana hasa zisizo tengenezwa na pamba kwa asilimia 100 kunafanya sehemu za siri kuwa na unyevunyevu, hivyo kutengeneza mazingira mazuri kwa fangasi kuzaliana na kuongezeka.

Dalili za fangasi sehemu za siri za mwanaume ni zipi?
Sehemu za siri za mwanaume hata ndani ya uume, korodani, eneo katikati ya makalio na kuzunguka korodani hadi kwenye mapaja huathirika na ugonjwa wa fangasi.

Kichwa cha uume hubadilika na kuwa chekundu na kuwasha. Ngozi inayozunguka sehemu za siri huwasha, kukakamaa na kutoa majimaji ambayo hutoa harufu mbaya.

Matibabu ya fangasi sehemu za siri za mwanaume ni yapi?
Ikiwa una dalili za ugonjwa wa fangasi ni vyema kufika kwa daktari kwa ajili ya matibabu na ushauri zaidi.

Kutumia dawa bila ushauri wa daktari kunaweza sababisha kutopona kabisa, kutopona vizuri au ugonjwa kujirudia baada ya siku chache, pia vimelea vinaweza kujenga usugu wa dawa.

Kumwona daktari kutasaidia kujua kama una maradhi mengine yanayosababisha upate fangasi sehemu za siri.

Ugonjwa wa fangasi usipotibiwa husambaa kwenye damu na kusababisha madhara makubwa mwilini kama kwenye ubongo na mapafu.

Mwanaume atajikinga vipi na fangasi sehemu za siri?
Ili kusaidia kuepuka kupatwa na fangasi sehemu za siri ni vyema kuosha vizuri uume, na kwa wale ambao hawajatahiriwa wanapaswa kuosha kwa umakini zaidi hadi sehemu za ndani za govi.

Ziweke sehemu zako za siri pamoja na ndani makalio katika hali ya usafi na ukavu, kwa maana unyevunyevu unaweza sababisha maambukizi.

Matumizi ya poda maalumu yanaruhusiwa hasa kipindi cha joto kali ili kuzuia unyevunyevu.
Vaa nguo isiyobana sana, iliyotengenezwa kwa vitu asilia kama pamba. Badili nguo ya ndani (chupi) angalau kila siku na vaa kondomu kila unapofanya ngono na mwanamke usiyejua hali yake kiafya kwa ujumla.

Mo Salah atacheza World Cup? Daktari wa timu atoa neno hili.

$
0
0
Mtanange wa yule Bingwa wa Ulaya umekamilika. Real Madrid wameshinda taji lao la tatu mfululizo kwa ushindi wa mabao matatu kwa moja. Golikipa wa Liverpool Karius akisababisha uzembe ulioigharimu timu hao baada ya kurusha mpira kimakosa na ukagomga Benzema aliyegfunga bao la kwanza kabla ya Mane kusawazisha. unga magoli mawili. Bale alitokea benchi na kufunga mabao mawili.



Niliwahi kusema kinyago cha Gazzaniga (Kombe la Dunia) kiliwanyima mastaa wengi usingizi. Majeraha ilikuwa changamoto kubwa sana kwa wachezaji wa pande zote.

kilichotokea leo ni kitu ambacho wengi tulitarajia kutapoteza ladha ya mchezo huu.



Mo Salah ambaye alikuwa mchezaji tegemezi wa Liverpool hivi leo atolewa kwenye mchezo mapema kabisa baada ya kuumia bega. Ilikuwa ni kashkash kati yake yeye na Sergio Ramos. Ramos alikwenda kumkaba Salah na ilionekana wakishikana mkono. Picha na video zinaonesha kuwa alimvuta mkono na kumsababisha Salah kuondoka vibaya na kulalia bega lake.



Je wachambuzi wakubwa wanasemaje?

Rio Ferdinand
Ramos amekaba vyema. Alifanya kitu ambacho mlinzi yeyote angefanya. Sidhani kama alidhamiria.

Frank Lampard

mnapokuwa mmesogeleana sana mara nyingi ni rahisi sana kushikana mikono. ile ni bahati mbaya sana.



Rio na Lampard hawa ni waingereza na wana haki ya kutoa Maoni yao. Jana nilimsikia David Beckham aliweka pembeni sana suala la Uzalendo. Na aliweka mapenzi yake dhahiri kuwa Real inafaa iifunge Liverpool. Rio nae ni hasimu mkubwa wa Liverpool. Bila shaka ukiangalia ile video utagundua hakuna ajali. kuna tofauti kubwa ya kushikana na kumvuta mtu kwa makusudi ukidhamiria.



John Simpson anasema hivi

Nimeangalia maoni ya wachambuzi wakubwa, wanasema lile tukio ni ajali. Sawa. Lakini ukimwangalia Ramos wakati Salah anatolewa nje utagundua alidhamiria.



kuna baadhi ya video zinamuonesha Ramos akitabasamu na Mwamuzi wa pembeni.

David Maddock anasema

Inauma sana. Ramos amefanya kitendo cha kikatili haswa. Hajaharibu tu ndoto za Salah za Uefa pia huenda ameharibu ndoto wa Wamisiri wote.



Mo Salah taarifa zinasema mishipa ya bega imeachana. Na majibu kamili yatatolewa wakirudi jijini Liverpool. Hii inaleta wasiwasi mkubwa kama atahitaji kufanyiwa upasuaji. na itamlazimu kukosa michuano ya kombe la dunia.



hata hivyo taarifa za hivi punde zinasema kuwa ukurasa wa timu ya taifa ya Misri umeweka taarifa kuwa Mo Salah atacheza michuano ya kombe la dunia

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

$
0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:

GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.

NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0754741788, 0715741788, 0783741788

-DR MAGESA

Idris Sultan ‘Mi Nina Kiingereza, Shilole una Nyumba Nani Anamcheka Mwenzie’

$
0
0

Mchekeshaji Idris Sultan amezua hii jingine kupitia ukuarasa wake wa instagram baada ya kum-post Shilole “Shishi baby” na kuandika caption ambayo imezua gumzo kwa mashabiki kutokana na comments zilizoandikwa kupitia picha hiyo.

Idris Sultan aliandika “Ana nyumba, ana bishara zaidi ya tatu, ana watoto, ameolewa na ni maarufu na bado ana baby face. Mi nina kiingereza tu. Tuendelee kuendekeza ujinga tutajua nani anamcheka mwenzake 😂🙌🏽”


“Sijaongea na familia ya Masogange” - Belle 9

$
0
0

Msanii wa muziki nchini Abelnego Damian, maarufu kama Belle 9, amesema kuwa bado hajaongea na familia ya msanii marehemu Agnes Gerard “Masogange” kuhusu kumsaidia mtoto wa marehemu kwasababu hakuwa na ukaribu na familia hiyo.


Belle 9 amesema hayo jana Mei 25, 2018 katika kipindi cha FRIDAY NIGHT LIVE kinachorushwa na EATV kila siku ya Ijumaa saa 3:00 usiku na kuongeza kuwa aliifahamu familia ya Agnes Gerard “Masogange” baada ya kutokea msiba hivyo imekuwa ngumu kwa yeye kuwasiliana nao.

“Sijapata nafasi ya kuongea chochote kwasababu hatukua karibu sana na pia hakuna mtu alitarajia, kwahiyo sijaongea chochote kuhusiana na mambo ya familia kwamba nitafanya chochote kuhusu yule mtoto” amesema Belle 9

Belle 9 ameongeza kuwa alihuzunika sana kutokana na kifo cha msanii huyo kwasababu ya ukaribu waliokuwa nao, pia “Masogange” alichangia kwa kiasi kikubwa katika mafanikio yake ya muziki baada ya  kushiriki katika video ya wimbo wake wa “Masogange”.

Marehemu Agnes Gerard alipata umaarufu baada ya kushiriki  katika video ya wimbo wa msanii Belle 9 ulioitwa “Masogange” mwaka 2009.

April 20, 2018 Agnes Gerard “Masogange” alifariki Dunia Jijini Dar es salaam baada ya kuzidiwa na homa ya tumbo na upungufu wa damu na alizikwa nyumbani kwao Utengule-Mbalizi Mkoani Mbeya April 23, 2018.

Wanawake Wenye Hips na Shida Wanazokabiliana Nazo Kila Siku

$
0
0


Wanawake wengi wenye hips , ni wanawake ambao si kwa mwanaume tu hata kwa wanawake wenzie husifia kuwa fulani kajaliwa, ki maumbile, ni kweli wana mvuto wa pekee, humwagiwa sifa nyingi za urembo, lakini pia kwa upande mwingine wa shillingi ni matatizo tupu.

Sifa:

1. Huwatesa sana wakina baba wanapokuwa katika vyombo vya usafiri kama daladala, treni, meli na ngalawa, mababa wengi hujawa na hisia kali za mahaba kiasi kwamba hupata mfadhaiko.

2. Hawana haraka sana kwani mwendo wao, hutembea kwa maringo, hata daladala likisimamia mbali hawawezi kukimbia kuwahi.

3. Hutongozwa wanaume watano kwa siku, hata wanaume wasiposema kitu angalau ukonyeza.

4. Ni wasikivu sana wakati wa kudate maana wengi ni warefu hupenda sana kukuinamia kusikia zaidi uliongealo.
Matatizo.


1. Kwa kuwa huwa wanavutia sana ni rahisi kurubuniwa kwani mwanamke yeye duniani hawezi kutongozwa watu elfu 2000 asimpende mmojawapo.

2. Hawana raha kwani ukodolewa sana macho na watu, si wanawake wala wanaume.

3. Upata magonjwa sana asa fungus kwani sehemu zao za siri hazipati hewa ya kutosha kufatana na kubanana kwa nyama na msuguano kila watembeapo.

4. Wana gharama sana kuwatunza kwa sababu hawatakiwi kutembea kwa muda mrefu kuogopa msuguana hivyo umuoapo ni lazima ughalimike usafiri au unatakiwa kumunulia skin taiti kila mara kwa kuwa zinahariibika muda mfupi sehemu ya mapaja.

Kiboko ya Matatizo ya Nguvu za Kiume, Maumbile Madogo, Mvuto wa Mapenzi na Magonjwa Sugu

$
0
0
KIBOKO YA MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME,MAUMBILE MADOGO, MVUTO WA MAPENZI ,MAGONJWA SUGU

Usikate tamaa ondoa maradhi yako, maana matatizo haya yamekua yakiasili watuwengi kisaikolojia hasa baada ya kujiona wako tofauti sana na wengine kawaida mwanaume anatakiwa awe na uume kuanzia (6-8) vinginevyo mtuhuyo anamapunguvu katika mwiliwake.

Kunasababu nyingi sana zinazosababisha matatizo haya, chango hushambulia never ambayo huasili misuli ya uume, Ngili :- hii huleta maumivu ya tumbo chini ya kitovu na kufanya tumbo kuunguluma na kujaa gesi, kolodani moja kuvimba au kuingia ndani pamoja na kutopata choo vizuli. Sababuhizi na nyingine hufanya uume kulegea na kusinyaa na kuwa mfupi na mwembamba na marakwamara husababisha kukosa hamu ya kuludia tendo la ndoa na baadae kushindwa kabisa

SUPER CHAN :- nidawa ya mitishamba iliyotengenezwa kwa mfumo wa vidonge, huongeza nguvu za kiume maradufu kuanzia umri wa miaka 15-90 , inakomaza mbegu zisizo na viini vya uzazi (manii) inaimalisha mishipa iliyolegea wakati wa tendo la ndoa, itakufanya uludie tendo la ndoa zaidi ya mara nne (4) birahamu kuisha wara kuhisi kuchoka na itakufanya uchelewe kufika kileleni zaidi ya dk (20-30 )

LUGINI 3 POWER:- hurefusha na kunenepesha maumbile madogo ya uume uliosinyaa inchi 6-8 na unene wa sm 3-4 kwa mda mfupi sana,

MANUS :- nidawa inayotibu ama kutatua tatizo la kisukali kwawaliohangaika bila mafanikio, huondoa tatizo la kisukali na kupona kabisa, vilevile ninadawa ya magonjwa sugu km vile presha, vidondo vya tumbo, miguu kuwakamoto, muwasho mwilin, kaswende,uzazi nk.

TULIZA :- nidawa ya mvuto wa mapenzi, humtuliza mke, mme, mchumba, hawara au mtu yoyote umpendae na kumfanya akutimizie chochotekile unachokitaka kutoka kwake na kumfunga asiwe na mtu yoyote zaidi yako.

WASILIANA NA DR GALIMBO NAPATIKANA DAR ES SALAAM KUMBUKA HUDUMAHII ITAKUFIKIA POPOTE ULIPO
PIGA SIMU 0759208637

Ni Real Madrid kwa Mara ya 4 Mfululizo

$
0
0
Hakika mtoto mdogo halali na pesa, hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya kile kilichowapata Liverpool hii leo. Pamoja na ubora wao wote walikubali kipigo cha mabao 3 kwa 0 kutoka kwa Real Madrid.

Habari kubwa katika mchezo wa leo ilianza dakika ya 26 baada ya Sergio Ramos kumchezea rafu mbaya Mo Salah ambayo ilimfanya kwenda nje dakika 5 baadae, hata hivyo hadi dakika 45 za kwanza zinaisha ilikuwa Real Madrid 0-Liverpool 0.

Dakika ya 51 uzembe wa mlinda lango wa Liverpool Loris Karius ulimfanya Karim Benzema kuwapa Madrid bao la uongozi, bao hili ni la 56 kwa Benzema na anakuwa mchezaji wa pili wa Kifaransa kufunga katika fainali ya CL baada ya Zinedine Zidane.

Dakika ya 55 Sadio Mane aliisawazishia Liverpool na hili likiwa bao lake la 10 katika CL msimu huu na la 20 kwa msimu huu, dakika ya 61 Zinedine Zidane alimnyanyua Gareth Bale aliyekuwa benchi na sub ya Gareth Bale ilibadili kila kitu katika mchezo huu.

Gareth Bale alifunga mabao mawili, na mabao ya Bale yanamfanya kuwa mchezaji wa kwanza kuingia kama sub na kufunga mara mbili  na kuufanya mchezo kumalizika kwa Madrid kuibuka kidedea kwa mabao 3-1 huku Zinedine Zidane akiwa kocha wa kwanza kubeba CL mara tatu mfululizo.

Real Madrid wanakuwa timu ya kwanza kubeba kombe la CL mara 3 mfululizo baada ya Bayern Munich 1974-1976, na timu za Uingereza sasa zinakuwa zimepoteza katika fainali 7 za mwisho za Ulaya dhidi ya timu kutoka Hispania.

Yanga baada ya Ngoma kumalizana na Azam “tulimvumilia sana”

$
0
0
Baada ya Azam FC kutangaza imeingia makubaliano kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa zamani wa Yanga Donald Ngoma, uongozi wa Yanga umesema umeumizwa na kitendo hicho.

“Tulikuwa tunajua Ngoma anaumwa, tumemvumilia kwa muda wa mwaka mzima alikuwa analipwa amekaa ame-relax ana fake leo tunashangaa anakwenda kusaini Azam.”

“Kwa hali ya kawaida hata wewe ukimwambia mwajiri wako unaumwa anakwambia mvunje mkataba ili ukatibiwe zaidi halafu siku hiyohiyo unaajiriwa sehemu nyingine, mwajiri wako atakuelewa vipi?”

“Kitu alichofanya sio cha kibinadamu inaonekana ameweka maslahi mbele kuliko utu, mimi kama mwenyekiti wa kamati ya usajili imeniumiza sana.”
Viewing all 104775 articles
Browse latest View live




Latest Images