Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104414 articles
Browse latest View live

Mpoki apewa shavu na Alikiba

0
0
Katika kuelekea mchezo maalumu wa hisani ya kuchangia elimu, msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Alikiba ametangaza kikosi cha wachezaji watakao kuwa upande wake kupambana dhidi ya  kikosi cha wachezaji watakaokuwa upande wa mshambuliaji wa timu ya Taifa na klabu ya KRC Genk, Mbwana Samatta.

Kwenye kikosi hicho, Alikiba amemchukua mshambuliaji hatari wa klabu ya Simba, Emmanuel Okwi na wachezaji wengine kama John Bocco, Msuva, Erasto Nyoni, Abdu Kiba na wengineo kama inavyoonesha hapa chini kwenye picha.

Kikubwa zaidi ni kwamba Alikiba amemchagua mchekeshaji maarufu nchini Tanania, Mpoki kuwa msemaji wa timu yake aliyoichagua.

Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam mnamo Juni 9, 2018
.

Nuh Mziwanda Azungumzia Picha Zake Tata na Amber Lulu

0
0
Msanii wa muziki wa bongo fleva Nuh Mziwanda amaefunguka na kuzungumzia video tata iliyokuwa ikiwaonyesha yeye na msanii mwenzake wa kike Amber  lulu wakiwa sehemu faragha  wakiwa katika mapozi ya kimahaba.

Wawili hao wanasadikika kuwa wapenzi hasa baada ya kuonekana kwa vido hiyo ambayo ilisambaa kupitia snap chat ya Amber Lulu.

Kwa mujibu wa Nuh anasema kuwa hakuna chochote kinachoendelaa kimapenzi kati yao bali kuna project wameeianda kati yao na ile iliyovuja walikuwa location kwa ajili ya ku-shoot.

"Mimi na Amber tuna project na hakuna kitu chochote, ila mimi niko snap chat kwaio wakati tunashoot video kulikuwa na zile vibes za snapchat  za kucheka, ku-enjoy na kufanya mambo mengine mengi , yeye alikuwa akichukua kwenye sanap na mimi nilikuwa nachukua katika snap lakini haikuwa kwa ubaya, na wala sikumwambia aitoe maana pale ile ni snapchat yake."

Mahakama yaondoa zuio matumizi ya kanuni za maudhui ya kimtandao

0
0
Mahakama Kuu ya Mtwara imeondoa mahakamani shauri la kupinga  matumizi ya Kanuni za Maudhui ya Kimtandao (Online Content Regulation) lililofunguliwa na Kituo cha Sheria na  Haki za Binadamu (LHRC) na wenzake dhidi ya Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Mbali na LHRC wengine waliopeleka zuio hilo ni Tanzania Human Rights Defenders (THRD); Baraza la Habari Tanzania(MCT) na Jamii Media; Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (Tamwa ); na Jukwaa la Wahariri (TEF).

Kanuni hizo zilipaswa zianze kutumika Mei 5 lakini mahakama hiyo ikaweka zuio la muda Mei 4, baada ya kuwasilishwa kwa shauri la kupinga mahakamani hapo.

Kesi hiyo namba 12/2018 ilisomwa jana Mei 28 mbele ya Jaji Mfawidhi, Dk Fauz Twaib na ilipangwa kutolewa  uamuzi juu ya mapingamizi matatu yaliyowasilishwa na upande wa Serikali.

Akitoa uamuzi huo jana, Jaji Dk Twaib alisema mahakama hiyo imekubali pingamizi moja kati ya matatu yaliyowasilishwa; kwamba mashirika yaliyopeleka kesi mahakamani hapo hayana maslahi ya kutosha kwa maana ya kufungua shauri hilo na kwamba hawakuonyesha  namna moja kwa moja yatakavyoguswa na kanuni hizo.

Hivyo, mahakama iliondoa shauri hilo lakini inatoa nafasi kwa mashirika hayo kama yatahitaji kupeleka shauri lingine kama watajidhihirisha wana nafasi ya kufanya hivyo.

Credit: Mwananchi

Wachezaji 10 Yanga SC hawana mikataba

0
0
Wachezaji 10 Yanga SC hawana mikataba
 Muungwana Blog 5  Tuesday, May 29, 2018



WACHEZAJI zaidi ya 10 wa Yanga wamemaliza mikataba yao, na hofu imeibuka Jangwani kuwa huenda wengi wao wakatimkia Azam FC ambayo tayari imeshamkomba straika Donald Ngoma.

Azam imesema kuwa usajili wao wa safari hii utawashtua wengi, huku ikiaminika kuwa inataka kuwavuta kundini rundo la wachezaji wa Yanga.

Wachezaji ambao wame­shamaliza mikataba Yanga na wengine inamalizika hivi karibuni ni Kelvin Yondani, Hassan Kessy, Obrey Chirwa, Andrew Vincent ‘Dante’ na Nadir Haroub ‘Cannavaro’.

Wengine ni kipa Beno Kakolanya, Emmanuel Mar­tin, Said Makapu, Geofrey Mwashiuya pamoja na Juma Abdul.

Mchezaji pekee ambaye anadaiwa kufanya mazun­gumzo ya kuongeza mkabata na uongozi wa klabu hiyo ni Yondani lakini bado hawajafi­kia makubaliano.

Hata hivyo, kuna taarifa kuwa uongozi wa Azam FC tayari umeshatia maguu na upo katika mazungumzo naye ya kutaka kumsajili yeye pamoja na wachezaji wen­gine wawili ambao ni Abdul pamoja na Chirwa.

Akizungumza na Cham­pioni Jumatatu kuhusiana na wachezaji hao, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Hussein Nyika alisema: “Tuna­tambua kuwa kuna baadhi ya wachezaji wetu mikataba yao inafikia tamati hivi karibuni, hivyo taratibu kwa ajili ya kuwaongezea zimeishafan­yika.

“Tumeshazungumza nao na baadhi yao tumeshafikia makubaliano na wengine bado tunaendelea kuzun­gumza nao, kwa hiyo ni matumaini yangu kuwa mambo yatakuwa mazuri na niwaombe wapenzi na mashabiki wetu kutokuwa na wasiwasi.”

Akizungumzia kuhusiana na Azam FC kuwa katika mazungumzo na baadhi ya wachezaji wao alisema: “Sina taarifa na hilo kwa hiyo siwezi kulizungumzia kwa sasa.”

Yanga imekuwa na tatizo kubwa la ukata lililofanya wachezaji wengi wagomee baadhi ya mechi za msimu huu kutokana na kuto­kulipwa mishahara, taarifa zinaeleza kuwa wengi wana­taka kuondoka kwa kuwa wanajua hakuna ‘mpunga’.

Azam FC yafunguka Pluijm aliomba kuifundisha timu yetu

0
0
UONGOZI wa Azam FC umeweka bayana kuwa, kocha wa timu ya Singida United, Mholanzi, Hans van Der Pluijm, ndiye aliyeandika barua ya maombi ya kuifundisha timu yao tangu akiwa Yanga.

Pluijm ambaye ameanza kuinoa Singida United msimu huu, taarifa za uhaki­ka zinasema kuwa Mholanzi huyo ameshasaini mkataba wa miaka miwili na matajiri hao wa Chamazi.

Akizungumza na Cham­pioni Jumatatu, Meneja wa Azam FC, Philipo Alando, alisema kuwa ko­cha huyo ndiye aliyeandika barua kuwa anataka kui­fundisha klabu hiyo tangu kipindi anaifundisha Yanga.

“Pluijm yeye ndiye aliyeandika barua kuwa anatamani kuja kutufundi­sha na mara ya kwanza aliandika akiwa anaifundi­sha timu ya Yanga kwa vile amemaliza mkataba na Singida ndiyo maana watu wanamhusisha kuja kwetu ila sisi huwa hatufichi kitu kama mlivyoona kwa Ngoma (Donald), sisi huwa tunaweka vitu hadharani,” alisema Alando.

JE, Wajua Kwanini Asilimia Kubwa ya Wanaume Wana Upungufu wa Nguvu za Kiume na Maumbile Madogo?

0
0

JE' WAJUA KWANINI ASILIMIA KUBWA YA WANAUME WANA UPUNGUFU, UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO YA UUME?

CHANZO HUWA NI:

(Kisukari, presha, ngiri, korodani kuvimba na kuuma, busha,zinaa,tumbo kuuma chini ya kitovu na kuunguluma nakujaa gesi, kutopata choo vizuri, punyeto, vidonda vya tumbo, bawasili.

Haya ni baadhi ya magonjwa yanayochangia upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume na uume kuwa mdogo.

TIBA YAKE NI "KIBOKO POWER"

Kiboko Power Ni dawa ya mitishamba ya vidonge yenye uwezo mkubwa sana wa kutibu upungufu au ukosefu nguvu za kiume.

(1) Itakufanya uwe na uwezo mkubwa sana wa kufanya tendo la ndoa.

(2) Inaongeza hamu ya tendo la ndoa zaidi ya mara 4 bila hamu kuisha.

(3) Itakufanya uchelewe kufika kileleni kwa muda wa dk 30 nakuendelea.

(4) Itaufanya uume uwe na nguvu mara dufu wakati wote wa tendo la ndoa.

TIBA YA KUKUZA UUME SAIZI UIPENDAYO NI " SUPER FARU"

Super Faru Inanenepesha na kurefusha uume saizi uipendayo kuanzia nchi 3 hadi 8 na unene sm 2 hadi 4 .

(1) Inaimarisha mirija ya uume iliyolegea au kusinyaa.
(2) Inasaidia kusafisha mishipa ya uume na hivyo kusaidia katika kuongeza kasi msukumo wa damu kwenye mishipa ya uume.

(3) Inasaidia kuurudisha nje uume ulioingia ndani.
(4) Inasaidia kuongeza manii nyingi ambazo zina viini vya uzazi
(5) Inatibu pia madhara yanayosababishwa na upingaji punyeto, matumizi ya madawa ya kizungu ya kuongeza nguvu au maumbile ya uume, milungi, bangi na sigara.

PIA NATIBU MAGONJWA YOTE SUNGU NAYALIYOSHINDIKANA KAMA VILE,

Kisukari, korodani kuvimba na kuuma, busha bila upasuaji, tezi dume, presha, zinaa miguu kuwaka moto au kufa ganzi, presha, mgoro nk.

Pia narudisha mme, mke, mchumba, hawara, aliyekuacha ndani ya masaa 4 tu, nakutimiza ahadi zote ulizoahidiwa.

Pia natoa utajiri wa majini ambao hauna masharti magumu na kutoa ndangu za utajiri.

Kumbuka nashughulika na matatizo yote yaliyopo ndani ya mzunguko wa binadamu usisite kunieleza hata kama sijayaandika.

WASILIANA NA DR ULIMWENGU KWA TIBA BORA NA SALAAMA KABISA

ANAPATIKANA DAR MAGOMENI SIMU 0759030343 / 0622790494.

KAMA HAUNA MUDA WA KUFIKA OFISINI HUDUMA HII UTAIPATA POPOTE ULIPO.

Watoto Sita Wafa Katika Ajali ya Gari Tanga

0
0
Mwonekano wa gari lililopinduka.

WATOTO sita wamefariki dunia leo na watatu kujeruhiwa vibaya baada ya gari lililokuwa limebeba majani ya chai kutoka kijiji cha Kimbo, Wilaya ya Korogwe, Tanga, kupinduka.

Majeruhi wamepelekwa hospitali ya Korogwe.


Miili ya watoto waliofariki katika ajali hiyo.

Amuua Baba na Mama yake pamoja na Mkewe na yeye kujiua

0
0
Matukio ya mauaji ya kutumia risasi yanaendelea kujitokeza nchini Marekani ambapo kumezuka vurugu na ufyatulianaji wa risasi katia nyumbani moja na kuacha watu wanne wamefariki katika jimbo la Tennessee.

Sheriff Mike Fitzhugh amesema mwanamume mwenye umri wa miaka 38 alimpiga risasi mke wake, baba yake na mama yake wa kambo, kabla ya kujiua.

Fitzhugh amesema mtu huyo alikuwa amepelekwa hospitali baada ya kutoa mawazo ya kujiua, na silaha zote zilikuwa zimeondolewa katika makazi yao. Lakini haijulikani yaliyotokea mwishoni mwa wiki.

Kesi iko chini ya uchunguzi zaidi.

Wema Sepetu Aenda Kufanyiwa Upasuaji India

0
0
Msanii Wema Sepetu anayekabiliwa na kesi ya kutumia dawa za kulevya ameshindwa kufika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo May 29, 2018 ili kujitetea katika kesi yake kwa sababu amekwenda nchini India kufanyiwa upasuaji.

Hayo yameelezwa na Mama mzazi wa Wema, Mariam Sepetu mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba baada ya Wakili wa serikali, Constantine Kakula kuhoji kwanini Wema hakufika mahakamani.

Wakili Kakula amedai kuwa anashangaa kutokumuona Wema, kwani hata ahirisho la mwisho la kesi yake hakuwepo.

Baada ha kueleza hayo, Mama Wema akatoa nyaraka za Wema za kusafiria na kuieleza mahakama kuwa Wema anaumwa na amekwenda nchini India kufanyiwa upasuaji.

Wakili Kakula amedai kuwa hakuna uthibitisho wowote wa kuonyesha Wema anaumwa, hivyo anaiomba mahakama isimamie sheria.

Kutokana na hoja hiyo, Hakimu Simba amesema ni kweli hakuna uthibitisho, hivyo katika tarehe ijayo uthibitisho unapaswa kuwepo, ambapo ameahirisha kesi hiyo hadi June 13,2018.

Mbali na Wema, washtakiwa wengine ni Angelina Msigwa na Matrida Abbas.

Kwa pamoja wanakabiliwa na mashtaka mawili ya kukutwa na kiwango kidogo cha dawa za kulevya na kuzitumia.

Inadaiwa Februari 4, 2017 katika makazi ya Wema eneo la Kunduchi Ununio, washtakiwa walikutwa na msokoto mmoja na vipisi vya bangi vyenye uzito wa gramu 1.08.

Kwa upande wa Wema yeye anadaiwa kuwa February mosi 2017 katika eneo lisilojulikana jijini Dar es Salaam, alitumia dawa za kulevya aina ya bangi.

Umeisikia Hii Mpya Kutoka kwa Rapper Rosa Ree inaitwa ‘Way Up’ Kamshirikisha Emtee wa Afrika Kusini

0
0
Karibu tena kwenye Entertainment na ni time ya kusikia muziki mpya kutoka kwa Rapper Rosa Ree ambaye ameachia ngoma inaitwa ‘Way Up’ na amemshirikisha mkali kutoka Afrika Kusini Emtee. PLAY hapa chini kuisikiliza.

Bonyeza Play:

Robert Mugabe Akishindwa Kutimiza Sharti Hili Atakamatwa na Polisi

0
0
Aliyekuwa Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe kwa mara ya pili ameshindwa kufika mbele ya Kamati ya Uchunguzi ya Mapato ya Almasi ya Bunge la nchi hiyo.

Mugabe anahitajika kuhojiwa na kamati kuhusu madai ya upotevu wa mapato ya almasi kiasi cha Dola za Kimarekani Bilioni 15 katika kipindi cha utawala wake.

Mugabe alitakiwa kwa mara ya kwanza kutokea mbele ya kamati May 23, 2018 saa 3 asubuhi na kutotokea kwake kulidhaniwa kuwa ni sababu ya uzee hivyo alishindwa kufika muda wa asubuhi.

Kwa mara ya pili Mugabe alitakiwa kufika May 28, 2018 saa 7 mchana lakini pia ameshindwa kufika hivyo kama sheria inavyosema ataitwa mara ya 3 kabla vyombo vya dola havijapewa kazi ya kumfikisha Bungeni kwa nguvu.

Rais huyo aliyeongoza kwa muda mrefu hadi alipotolewa madarakani Novemba mwaka 2017, ametakiwa kufika Bungeni hapo tarehe June 11, 2018 bila kukosa.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

0
0
KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, NJOMBE, SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI , PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA,

Rayvanny " Rosa Ree is my Favorite Wangu Katika Marapa wa Kike"

0
0
Msanii wa muziki Bongo kutoka WCB, Rayvanny ameeleza ni kwanii Rosa Ree ndiye rapper pekee wa kike katika remix ya ngoma yake ‘Pochi Nene’

Muimbaji huyo amesema kuwa kwanza amekuwa akivutiwa na muziki wa Rosa Ree, pili wimbo wenyewe ulimuhitaji Rosa Ree kutoka na aina yake ya rap.

“Nawakubali wasichana wote wanaorap lakini Rosa Ree is my favorite wangu naweza kusema lakini niliona kama atafaa zaidi kutokana na concept ya wimbo wenyewe,” amesema.



“Ukimsikia anavyo-sound kama Nicki Minaj sio Nicki Minaj, nikaona kwenye biti kama lile ataleta vibe na ndio maana nikaamua kumuweka,” Rayvannuy ameiambia Wasafi TV.

Poch Nene Remix imewakutanisha wasanii kama Khaligraph Jones, Godzilla, Rosa Ree, Izzo Bizness, Country Boy, Young Dee na Wakorinto.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

0
0

KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI , PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA,

Wasiliana na Dr Mabula Anatibu Upungufu wa Nguvu za Kiume, Busha na Matatizo ya Maumbile Madogo kwa Mwanaume

0
0
TUNATIBU NA KUPONESHA KABISA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME UUME MDOGO BUSHA BILA KUPASUA PRESHA VIDONDA VYA TUMBO
Asilimia kubwa ya wanadamu wanasumbuliwa na magonjwa mbalimbali na wapo waliongahika sehemu mbalimbali bira MAFANIKIO MABULA CLINIC ni kituo cha tiba asilia kilichopo mbagara zakhemu njia kuu ya JESHINI JE HUNAUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME AU UUME WAKO MDOGO NA MWEMBAMBA?

MAPRO PAWER NO 2 ndio Tiba kwa sasa utibu matatizo matatu kwa pamoja 1hitakufanya uchelewe kufika kilekeni dikika 15-20 kwa tendo la kwanza 2 uhimalisha misuli iliyoregea na kusinyaa hasa kwa wale walio hasirika na upigaji punyeto 3 itakufanya upate amu ya kurudia tendo zaidi ya Mara tatu

KWA NINI UJIONE MPWEKE PALE UKUTANAPO NA MPENZI AU MKE WAKO kisa unawai kukojoa au unakomea bao moja tu na huku dawa zipo MAKAKANUA mix ni dawa iliyochanganywa na miti Shamba 9 na Kuwa na uwezo wa kuongeza uume saizi upendayo inchi 5-8 Kwa Urefu na unene sentimita 1-5 dawa hizi hazina madhara yoyote kwa mtumiaji ata wazee wenye umri mkubwa wanapona? zipo dawa za mvuto wa mpenzi mme au mke Kwa masaa matatu tu na kukupigia simu yeye mwenyewe mvuto wa biashara kutengeneza mwonekano mzuri wa mwili kwa wanawake yani shepu tunatibu ngiri miguu mgongo na kiuno kuumwa kupunguza kitambi minyama uzembe matiti na mwili mkubwa

TIBA NA USHAULI MUONE DR MABULA AU PIGA SIMU NO 0752348593 UDUMA ZANGU UTAZIPATA POPOTE ULIPO KAMA UWEZI KUFIKA OFISINI

VIDEO: Sifanyi Show ya Million 200, Kesi ya Babu Tale hata mimi Inanihusu - Tundaman

0
0

Hata mtu aje na show ya million mia mbili sifanyi katika mwezi mtukufu a ramadhan ni mwezi ambao na swali sala zote Tano  kuswali ilimradi nimtumikie mwezi mungu na anisamehe madhambi yote niliofanya na babu tale hile kesi haimuhusu. - Tunda Man

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI:

Ruby: Watu wamekosa ile akili ya ziada ya kibiashara

0
0
Msanii wa Bongo Fleva, Ruby amesema kuwa wasanii wameshindwa kufanya biashara ya muziki kutokana na kushindwa kujitengenezea soko lao binafsi, Ruby amesema hayo wakati akieleza sababu za ukimya wake kwenye muziki.

“Kwa sababu napenda vitu vizuri na vyenye kukaa kwenye biashara yangu muda mrefu kwa sababu nilikuwa natengeneza soko langu binafsi,” amesema.

“Watu wamekosa ile akili ya ziada ya kibiashara kwamba muziki si vile watu wanataka ila ni vile unautengeza kwa sababu ni kitu chanko kila mtu ana biashara yake,” Ruby ameiambia Clouds TV.

Ruby kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Niwaze ambao amewashirikisha kundi la The Mafik. Huu ni wimbo wake wa kwanza kutoa tangu alipomaliza tofauti zake na Clouds Media January 26, 2018.

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili

0
0

Kutana na Mtabibu Mwenye KUBRI kutoka kwa ALLAH issa simba said Mtabibu wa Nyota za Binadamu na Dawa za Asili ya Africa Mwenye UWEZO Kubaini tatizo lako Pindi tu Utakapo Fanya Mawasilino Kupitia Wasaa Husika..JE UNASUMBULIWA NA Mapenzi? (Umeachwa na Umpendae,Awe Mume,Mke na Bado unampenda?Na Umejaribu Sehemu nyingi Bila Mafanikio?Wasilina na Maalim Hussein Ujione muujiza wa Papo kwa Papo.. anauwezo WA KURUDISHA MAHUSIANO NA KUIMARISHA NDOA YAKO NDANI YA SAA 12 TU. Umekimbiwa na Mumeo,mkeo au Mpenzi na anaishi na mtu mwingine? Muone akutatulie Anauwezo wa Hali ya Juu wa Kusambalatisha Mahusiano yao Endapo utafata Atakacho kuelekeza.
Atamfanya Atimize Ahadi zote kwa Muda Mfupi.
Issa simba said Anatumia Jina la Muhusika au Picha Kumaliza Tatizo lako..
Anatibu kwa Kutumia Vitabu vya QUR-AN Dawa za Asili za Africa,Dawa za Kiarabu na Majini.Anatafsiri Ndoto. Kushinda BAHATI NASIBU, KUSAFISHA NYOTA. Mvuto wa Mwili na BIASHARA, Kinga ya Mwili,ZINDIKO za Nyumba.MIGUU Kufa GANZI.Kufungua KIZAZI kwa wale walio fungwa kwa njia za KISHIRIKINA. Anakupa Jini la Mali kwa yule anaehitaji Utajiri BILA MASHARTI. Nguvu za KIUME, Humaliza Kesi zilishindika ndani ya siku 14 tu..na mengi zaidi +255 622588038au 0679119679 au +255 764318107
NB: TIBA KWA DINI ZOTE NA IMANI ZOTE...

Mama Wema Sepetu Ajichanganya Mahakamani, Nyaraka Za Kusafiria Adai Ni Vyeti Vya Matibabu

0
0
Mama wa Msanii Wema Sepetu, Mariamu Sepetu, amebanwa mahakamani baada ya kuwasilisha nyaraka alizodai za matibabu ya msanii huyo India wakati ni nyaraka za kusafiria.

Tukio hilo limetokea leo Mei 29, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wakati kesi matumizi ya dawa za kulevya inayomkabili Wema, ilipokuja kwa ajili ya kusikilizwa.

Wakili wa Serikali, Constantine Kakula alidai mahakamani kwamba kesi ilitakiwa kusikilizwa ushahidi wa upande wa utetezi lakini mshtakiwa wa kwanza, Wema hayupo ambapo mama Wema alidai msanii huyo ni mgonjwa yuko nchini India kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji na akawasilisha nyaraka alizodai kwamba zinathibitisha kuwa mgonjwa yuko kwenye matibabu.

Nyaraka hizo alizikabidhi kwa Wakili wa Serikali, Kakula ambaye alizikagua na kudai kwamba ni nyaraka za kusafiria ambapo alidai zilikuwa ni nyaraka za kusafiria na kumuomba mama Wema amuonyeshe mahali ilikoeleza kuhusu matibabu.

Mama Wema alijibu kwamba taarifa hizo atakuja kuzielezea Wakili wake Albert Msando ambapo Hakimu Simba alimfahamisha kwamba mahakama haiwezi kumsubiri hadi wakili wake aje.

Hata hivyo, Hakimu Simba alizichukua nyaraka hizo na kuzisoma kisha akasema nyaraka hizo ni tiketi na viambatanisho vya tiketi.

“Kesi itaendelea Juni 13, mwaka huu mshtakiwa aje na uthibitisho wa matibabu na kama hakutakuwa na uthibitisho, mahakama itatoa amri nyingine yoyote inayofaa,” alisema Hakimu Simba.

Mbali na Wema washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni Angelina Msigwa  na Matrida  Abbas wanakabiliwa na kesi ya kutumia dawa za kulevya na kukutwa na kiwango kidogo cha dawa hizo

Sekta Ya Fedha Yatakiwa Kuongeza Ubunifu Katika Utoaji Wa Mikopo

0
0
Na Benny Mwaipaja, WFM, Dodoma
SERIKALI imeitaka Sekta ndogo ya Benki kuongeza ubunifu kwa kutoa mikopo ya muda mfupi na mrefu ambayo itawezesha ukuaji wa sekta za viwanda na kilimo pamoja na wajasiriamali wadogo.

Hayo yamebainishwa Jijini Dodoma na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Prof. Florens Luoga, kwa niaba ya Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango, katika Mkutano wa wadau wa Sekta ya Fedha uliowashirikisha wabunge, washirika wa Maendeleo, wakuu wa Taasisi za fedha na Wizara ya Fedha na Mipango.

Prof. Luoga alitoa wito huo kufuatia kuwepo kwa changamoto katika Sekta hiyo ikiwemo  ukosefu wa uwekezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo katika viwanda, kilimo na miundombinu pia  ukosefu wa mikopo kwa wajasiriamali wadogo na wa kati.

“Kuna kiwango cha chini cha upatikanaji wa huduma za bima za kilimo, gharama kubwa za huduma za fedha, mifumo hafifu ya kuwalinda  watumiaji wa huduma za fedha, ukosefu wa elimu ya fedha kwa wananchi na wananchi wengi kutofikiwa na huduma za fedha ambapo ni asilimia 8.6 tu ya nguvu kazi ya wananchi waishio vijijini wanapata huduma za benki ikilinganishwa na asilimia 32.1 ya nguvu kazi kwa wanaoishi mijini” alisisitiza Prof Luoga

Gavana huyo wa Benki Kuu alisema kuwa ili kukabiliana na changamoto hizo, Serikali ilifanya maboresho ya Sekta ya Fedha  katika eneo la ubinafsishaji wa benki za Serikali kurekebisha na kutunga sera na sheria mbalimbali hadi kufikia Desemba, 2017 ili kuweka misingi imara ya kuwezesha ukuaji, ushindani na ufanisi katika sekta ya fedha.

“Maboresho ya Sekta ya Fedha yamesaidia ongezeko la idadi ya benki na taasisi za fedha kufikia 54, kampuni za bima 31, kampuni zilizoorodheshwa kwenye soko la hisa 27, taasisi za huduma ndogo za fedha takriban 450, mifuko na program za Serikali 34, vikundi vya kifedha vya kijamii takribani 30,019 katika mikoa 18 ya Tanzania bara na uanzishwaji wa soko la bidhaa” alieleza Prof. Luoga.

Alisisitiza kuwa taasisi za fedha zikitimiza wajibu wake, sekta binafsi itakuwa na uwezo wa kuwekeza kwa kiasi kikubwa katika uchumi wa viwanda, kuongeza uzalishaji wa bidhaa zitakazouzwa nje ya nchi na hatimaye kukuza uchumi wa Taifa na kupunguza umasikini wa kipato wa wananchi.

Aidha Serikali katika kupunguza umaskini na kukuza uchumi, inaandaa Mpango Mkakati wa Maendeleo ya Sekta ya Fedha, unalenga kuongeza upatikanaji wa huduma jumuishi za fedha, kulinda watumiaji wa huduma za fedha, upatikanaji wa mitaji ya muda mrefu, uthabiti wa sekta ya fedha, kuimarisha ushirikiano wa kikanda na kimataifa katika sekta ya fedha, kudhibiti utakasishaji wa fedha haramu na kuweka mazingira wezeshi ya sheria, kanuni na taratibu katika sekta hiyo.

Naye Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Khatibu Kazungu, akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Bw. Doto James, alisema kuwa  azma ya Serikali ya Awamu ya Tano ni kuhakikisha uchumi wa nchi  unaongozwa na viwanda ifikapo mwaka 2025.

“Kuwepo kwa viwanda vingi italeta ongezeko la ajira kwa wananchi walio wengi pamoja na kuiongezea Serikali mapato” alieleza Dkt. Kazungu

Aidha, kwa lengo la kuwawezesha wananchi kuwekeza katika viwanda vidogo vidogo, ni lazima wapate rasilimali fedha kutoka kwenye taasisi  kama vile benki na masoko ya mitaji hivyo watoa huduma kwenye taasisi hizo wanapaswa kuongeza ubunifu kwenye utoaji wa huduma zinazokidhi mahitaji ya wapokeaji huduma kulingana na shughuli wanazofanya na kwa gharama nafuu.

Alizitaka taasisi za fedha kuwekeza katika kuelimisha wananchi kuhusu umuhimu wa kutumia taasisi hizo kwa kujiwekea akiba na kupata mitaji itakayowezesha kukuza biashara na shughuli zao za kiuchumi hivyo wadau wa sekta ya fedha wanapaswa kujiuliza ni kwa nini mikopo ya biashara kwenda kwenye sekta binafsi hairidhishi.

Kwa upande wake Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uratibu), Prof. Faustin Kamuzora aliwataka wadau wa sekta ya fedha kuzungumzia mafanikio ya Sekta ya fedha kwa njia ya miamala ya Simu za mkononi kwa kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa Duniani katika eneo hilo na hivyo kuwa mfano kwa mataifa mbalimbali.

Naye Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Prof. Elisante Ole Gabriel ameitaka Sekta binafsi inayonufaika na mikopo inayotolewa na taasisi za fedha kuwekeza kwenye miradi yenye tija na kulipa mikopo yao kwa wakati pamoja na kuongeza thamani ya bidhaa wanazozalisha na kuongeza kiwango cha mauzo ya bidhaa hizo nje ya nchi,

mwisho
Viewing all 104414 articles
Browse latest View live




Latest Images