Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104431 articles
Browse latest View live

Breaking News: Waarabu Wamchukua Zinedine Zidane Kwa Bilioni 133.7 Kwa Mwaka

0
0
IKIWA ni siku moja tu baada ya kujiuzulu kuwanoa Mabingwa wa Ulaya mara tatu mfulurizo, Real Madrid ya Hispania, kocha Zinedine Zidane amehusishwa kuajiriwa kuwa kocha wa Timu ya Taifa ya Qatar ambao ni wenyeji wa Kombe la Dunia mwaka 2022 baada ya Waarabu hao kuweka ofa mezani ya kumlipa Pauni milioni 44 (zaidi ya Tsh bilioni 133.7) kwa mwaka.

 Zidane mwenye umri mwa miaka 45, amejizolea umaarufu na heshima kubwa baada ya kuipa kuchukua UEFA Champions League mara zote akiwa kocha huku akichukua Laliga mara moja na makombe mengine.

Mfaransa huyo anatarajiwa kulipwa mkwanja wa pauni 120,000 kwa siku ambapo kwa miaka minne atakuwa amejikusanyia Jumla ya pauni milioni 176 kutoka kwa matajiri hao wa mafuta duniani.

Mmoja wa mabilionea wa Misri, Naguib Sawiris ameandika kuhusu ujio wa Zidane Qatar.


Timu ya Taifa ya Qatar itakuwa mara yake ya kwanza kushiriki fainali hizo tangu mwaka 1934 walipofuzu kwa mara ya mwisho. Zidane ndiye anatazamiwa kuwapaisha waarabu hao katika kufikia hatua nzuri kwenye fainali hizo za kihistoria.



Zidane alikuwa akipewa nafasi kumrithi Kocha wa Chelsea, Antonio Conte huku Jurgen Klopp akihusishwa kuchukua mikoba za Zidane Real Madrid pale Bernabeu.

 Mauricio Pochettino naye anapewa nafasi kubwa ya kuziba pengo la Zidane lakini tayari ameshasaini mkataba mpya wiki jana, maana yake Real Madrid watatakiwa kulipa pauni milioni 42 kumng’oa Mu-Argentina huyo kutoka Tottenham.

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Madogo na Mafupi ya Kiume na Hawana Nguvu ?

0
0

KWA NINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MADOGO NA MAFUPI YA KIUME NA HAWANA NGUVU ZA KIUME NINI HUCHANGIA?

🌸 kama una Ngiri, au umejichua kwa muda mrefu, punyeto, una stres nyingi Sana, lishe duni, kisukari, presha, kutopata choo vizuri, tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu, kaswende, gono,haya yote husababisha kuwa na maumbile madogo na mafupi ya kiume na kukosa nguvu za kiume.MATIBABU

🌸tumia dawa ya asili itwayo (MASUNZU POWER MIX) inatibu tatizo la nguvu za kiume maradufu inatibu uume mdogo na mfupi na kuimalisha mishipa iliyolegea inarefusha Nchi(4-8) na kunenepesha maumbile na upana (cm3-4) dawa hii haina madhala hata kwa wazee walio na umri wa miaka (70-85) pia inaongea hamu ya kufanya tendo la ndoa Mara (3-5) bila hamu kuisha dawa hii inatibu siku 6 na kupona kabisa

🌸MASUNZU POWER MIX. ni dawa ya asilia yenye mchanganyiko wa mitishamba 7 yenye maajabu yafuatayo kunyoosha mishipa ya askari aliyesinyaa kutokana na kujichua kwa muda mrefu au Ngiri, nk 🌸pia tuna dawa ya kutibu busha bila opresheni

🌸 SOSOMA DX ni dawa ya kumvuta mme au mke mpenzi wako arudi haraka na kuanza mapenzi mapya kama mlivyoanza mwanzo baada ya Masaa 2 atarudi na kutulia ndani ya nyumba

🌸GINDU EXTRA ni dawa ya kutibu kisukari siku 14 unapona kabisa hata kama imepanda 350 itashuka haraka tunatibu presha, vidonda vya tumbo nk:

🌸 OFISI IPO DAR ES SALAAM BUGURUNI CHAMA UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO AU SIMU 0673552294 / +255784552299 TABIBU ATHUMAN.

Video Irene Uwoya Aonesha Mimba ya Dogo Janja

0
0
TANZANIA Hip Hop star Dogo Janja has confirmed that his wife Irene Uwoyais expecting to have a baby soon.

Dogo Janja whose real name is Abdulaziz Aboubakari was speaking in a live interview with a local radio station.
My wife is expecting to have a baby very soon. If God blesses us, I will name the kid after my late father's name Aboubakari,” he said.

He said they would soon go to the hospital to conduct ultra-sound to know the status of the kid.

Dodo Janja married the Bongo Movie diva Irene Uwoya last year, a move that left everyone breathless.
My wife is a very respected woman, she understands the meaning of being married and what it means to have a husband, he said adding that they do not need publicity in their lifestyles.

He said, he approached the diva and asked her for the relationship which later matured into a marriage.

“I was too scared to approach her, but eventually she accepted my proposal,” he said.

VIDEO:

Kitendo Cha Uhuru Kenyatta Kumuomba Rais Msamaha Kwa Aliyomtendea Wakati wa Uchaguzi Tanzania Tuna Jifunza Nini?

0
0
Kusema kweli kwa kitendo alichofanya Uhuru Kenyatta cha Kumuomba Rais Msamaha live bila kujali nini kitaendelea baada ya hapo katika uwanja wa siasa Kenya kinahitaji pongezi na labda kujifunza. Haya ndio mambo ambayo nchi yetu ilikuwa inasifika sana.

Tanzania ilikuwa ndio nchi ya Africa iliyokuwa kimbilio kwa wale wenye magomvi na kutokuelewana wakaja Tanzania kupatanishwa. Vyama vya wapigania Uhuru kama ZANU na ZAPU viliweza unganishwa kwa juhudi za Mwalimu Nyerere ikatoka Patriotic Front nakumbuka Mwalimu pia alijaribu sana kuweza kuunganisha ANC na PAC vyama vya ukombozi wa Afrika kusini kipindi kile lakini naona pale hakufanikiwa lakini juhudi zilifanyika.

Na najua wako wengine wengi wanaweza kuja na mifano mingi ya kuonyesha jinsi gani nchi yetiu ndio ilikuwa muubiri na mtekelezaji wa dhana ya Umoja ni Nguvu na utengano ni udhaifu. Tuliimba hizi nyimbo shule za msingi na kweli tulifanikiwa sana kujenga nchi moja yenye mshikamano usiojali dini, ukabila au rangi. Nafikiri hili tunahitaji kuliweka kama ndio msingi Mama kadri tunavyozidi kwenda mbele katika mapambano ya kujenga Tanzania yetu.

Leo Kenya wamegundua kuwa utengano ni udhaifu. Watanzania tufungue macho na masikio tunayaone na kuyasikia haya na bila kuyapuuzia, kwa sababu ukweli hata siku moja haupuuzwi kama una nia ya kweli ya kuboresha na kujifunza.

VIDEO:

Hatimaye Mr Blue amuangukia Diamond Platnumz na kumuomba yaishe.

0
0

Awali ya yote ngoja nicheke kihutu kwanza "Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii".

Kwa muda mrefu msanii Kheri Sameer (Mr Blue) amekuwa yupo kwenye bifu zito na Diamond Platnumz Simbaaaaaaaa ,mara kwa mara Blue amekuwa akimponda Diamond Platnumz lakini waswahili husema jibu la mjinga ni kumkalia kimya tu ipo siku ata erevuka,na siku zote kama unajua unajua tu watu watapiga kelele mwisho wa siku watanyoosha mikono bila kupenda.

Sasa bhana Diamond a.k .a mzee wa minyoosho anazidi kuwanyoosha tu watu , na mmoja mmoja anaanza kunyooka , alianza kunyooka ,Richi Mavoko,akafuatia H-baba ,akaja Baraka the Prince sasa zamu ya Mr Blue naye kanyooka bila kupenda ,Ha ha ha ha team Kiba inazidi kusambaratika tu, hapo amebaki Tundaman na adui kuu Ally Kibanio

Yani Blue kanyooka haswaaa ,tena kasindikiza na Caption Mungu ni mwema maana alijijua alichokuwa anakifanya ni kitendo cha kijinga ,kapitwa na fursa nyingi kwa kitendo chake cha kumchukia Diamond.

Diamond kiroho safi huwa hana hiyana siku zote ameupokea msamaha wa Mr Blue kwa moyo mkunjufu

“Tume Ichunguze Mgodi wa GGM”-Musukuma

0
0

Mbunge wa Geita vijijini (CCM) Joseph Musukuma, ameitaka Serikali kuunda tume ya kuchunguza mgodi wa dhahabu Geita (GGM) kwasababu uongozi wa mgodi huwa umekuwa ukinyanyasa wananchi hasa wachimbaji wadogowadogo wa madini.


Musukuma amesema hayo leo Juni 1, 2018 Bungeni Jijini Dodoma, wakati wa kuchangia hoja mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi katika Wizira ya Madini na kuongeza kuwa uongozi wa mgodi umewafukuza wachimbaji wadogowadogo wenye leseni na ruhusa ya Mahakama mwaka 2016.

“Mheshimiwa Waziri (wa Madini) ukija hapa nataka utuambie kama GGM ni zaidi ya Serikali na ni zaidi ya muhimili wa majaji sita tuelewe, lakini kama sio sahihi basi ninaomba Mheshimiwa Waziri chukua hatua ya kuweza kusaidia watu hawa, mahakama imetoa hukumu ya kuwapa haki  wananchi hawa inatokeaje mtu mmoja tu GGM anatoa siku saba  kuwafukuza baada ya mbunge kuchangia hizi ni dharau” amesema Musukuma.

Mbunge huyo ameongeza kuwa Serikali ikae na viongozi wakiwemo madiwani ili kujua matatizo yanayotokana na mgodi wa GGM na kutaka serikali kuunda Tume kama zile za mchanga wa makinikia na madini ya Tanzanite.

Bunge kwasasa linajadili Bajeti ya Wizara ya madini katika mwaka wa fedha 2018/2019 na Waziri husika Angela Kairuki aliomba wabunge kuizinisha jumla ya shilingi bilioni 58.9 ambapo bilioni 19.6 zitatumika katika maendeleo na bilioni 39.2 kwaajili ya matumizi ya kawaida.

Q Chief Utaniliza Usifanye Hivyo - TID

0
0
Mkongwe wa BongoFleva Khalid Mohamed maarufu kwa jina la TID au Mzee Kigogo amesikitishwa na kitendo cha swahiba wake wa muda mrefu Q Chief cha kutaka kuacha muziki na kudai endapo atafanya hivyo atamuumiza moyo wake kwa kiasi kikubwa.


Mzee Kigogo ametoa kauli mbele ya kamera za eNewz kutoka EATV baada ya kusikia taarifa za swahiba wake huyo kutaka kuachana na kujihusisha masuala ya muziki kwa sasa bila ya kuwepo na sababu za msingi za yeye kutaka kufanya hivyo.

"Akiacha muziki bwana kipara 'Q-chief' itakuaje sasa, ebhana kipara usiache muziki baba utawapa nafasi. Yaani hapa kuna wasanii kibao wamejitokeza hivi karibuni lakini hawamuwezi kipara maana anajua kichizi, sasa anaachaje muziki wallah, roho inaniuma utanifanya nilie kwasababu yako 'please' usichukue maamuzi hayo", amesema TID.

Mtazame hapa chini TID akifungukia suala la Q Chief

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348. Au 0659 103 360.


Rais wa Korea Kaskazini Azidi Kuivimbia Marekani

0
0
Kiongozi wa Korea Kaskazini KIM JONG UN amesema kuwa mpango wake wa kusitisha majaribio ya nyuklia utakua wa hatua kwa hatua kinyume na matakwa ya Marekani.

Awali Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Mike Pompeo alisema kuna maendeleo makubwa kutokana na mazungumzo dhidi ya maafisa wa juu wa Korea Kaskazini lakini alikataa kuhakikisha mazungumzao kati ya Trump na Kim Jong.

Pompeo Ameongeza pia kuwa ikiwa mazungumzo baina ya viongozi hao wawili yataenda sawa basi litakuwa ni jambo la Kihistioria na lenye kuleta Maendeleo ya dunia.

Pompeo na afisa wa ngazi ya juu wa Korea Kaskazini, Kim Yong Chol wanaendelea na mazungumzo yao mjini New York, kujaribu kuandaa mkutano wa kilele kati ya Rais Donald Trump na Kim Jong Un akiwa ni afisa wa ngazi ya juu wa Korea Kaskazini kuizuru Marekani katika kipindi cha miaka 18.

Tundu Lissu Awazuia Wabunge

0
0
Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amefunguka na kuwataka Wabunge wenzake bila ya kujali itikadi ya vyama vyao kutoshiriki kwenye hafla ya kupokea na kukabidhi taarifa za kamati maalum za kuchunguza na kushauri sekta ya Uvuvi wa bahari kuu na Gesi asilia iliyopangwa kufanyika kesho.

Lissu ametoa kauli hiyo mchana wa leo kupitia ukurasa wake wa kijamii mara baada ya Ofisi ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuutarifu umma kuwa Juni 2, 2018 Spika wa Bunge Job Ndugai atapokea ripoti hizo ambazo zimepangwa kufanyikia katika viwanja vya Bunge mbele ya lango kuu la kuingilia.

Kutokana na hilo, Lissu amedai kitendo hicho ni kinyume na zinaharibu taratibu za kisheria kwa kuwa taarifa za uchunguzi za Bunge huwa zinawasilishwa bungeni tena mbele ya wabunge wote na kujadiliwa endapo itahitajika kabla ya kukabidhiwa serikalini.

"Nawaomba Wabunge wasikubali kushiriki katika maziko haya ya mamlaka ya kikatiba na kikanuni ya Bunge. Wadai taarifa hizi ziwasilishwe kwanza bungeni na kujadiliwa na wabunge, kama Spika Ndugai na watu wake wasipokubali kufanya hivyo, basi nawashauri wabunge wote wasusie hafla hiyo", amesema Lissu.

Pamoja na hayo, Lissu ameendelea kwa kusema "wabunge watakaoshiriki hafla wajue, au waambiwe, kwamba wanashiriki kwa ushiriki au uwepo wao katika mazishi ya mamlaka ya kikatiba ya Bunge ya kuisimamia na kuishauri serikali kwa kupitia majadiliano bungeni. Kwa utaratibu huu, Bunge halitajadili, na watanzania hawataona wala kusikia tena taarifa za kamati za uchunguzi za Bunge kama zile za Richmond wa Bunge la Spika Sitta na Operesheni Tokomeza na Tegeta Escrow wakati wa Bunge la Spika Anna Makinda". ​

Kwa upande mwingine, Lissu amesema hakuna kanuni ya Bunge inayoruhusu Kamati yoyote ya Bunge kupeleka taarifa yake serikalini moja kwa moja, bila kupitia bungeni na kujadiliwa na wabunge.

Matokeo ya Mtoto Aliyemshtaki Baba yake yametoka, Anazungumza Kiingereza

0
0
Leo June 1, 2018 Mtoto gumzo kwenye Mitandao ya Kijamii Antony Petro aliyepata mfadhili wa kumsomesha katika shule ya Amani Vumwe ambapo kwa mitihani ambayo ameifanya kwa mara ya kwanza imeelezwa kwamba amefaulu kwa 100%.

AyoTV na millardayo.com imezungumza na Mwalimu Faudhia ambaye ndiye anayemfundisha kaeleza kila kitu kwenye hii Exclusive.

VIDEO:

Wakazi Amnyanyulia Mikono Rosa Ree, Afananisha Juhudi zake na za Vanessa Mdee

0
0

Wakazi ameshindwa kuvumilia na kutoa ya moyoni kuhusu msanii was kike Rosa Ree, Wakazi Amefunguka kuwa baada ya Vanessa Mdee Msanii anayefuata kwa juhudi katika mziki ni Rosa Ree , Ameandika haya kupitia ukurasa wake wa Twitter


Rosa hivi karibuni ametoa wimbo mpya akishirikiana na Msanii Emtee Kutoka South Afrika

Download Hapa Application Mpya ya Udaku Special Uweze Soma Vimbwanga na Udaku Mtaani Kila Siku

Soma Nafasi za Ajira zilizotangazwa Leo

0
0

Himid aiaga kwa uchungu Azam akitimkia Misri

0
0
Aliyekuwa nahodha wa klabu ya soka ya Azam FC, Himid Mao ameiaga klabu hiyo rasmi baada ya kusaini kuichezea timu ya Petrojet ya Misri huku akiiomba msamaha timu hiyo na zaidi kueleza namna timu hiyo ilivyompokea akiwa kijana mdogo hadi leo amekuwa mtu mzima.

''Nimeishi kama mwana familia kwa miaka yote nilikuja nikiwa kijana mdogo kabisa wa kidato cha kwanza naondoka nikiwa nimepevuka kimwili na kiakili, mimi ni binadamu kama kuna sehemu niliwakosea naombeni mnisamehe na mimi nimesamehe kama mlinikosea'', ameandika.

Aidha Himid pia amewashukuru viongozi wa timu hiyo kwa kuwa imara katika nyakati zote walipokuwa wanafanya vizuri na hata walipofanya vibaya waliwapa moyo na kuwajenga ili wafanye vizuri.

Licha ya viongozi wa wana lambalamba kutaka kumbakiza lakini Himid ameeleza aliwaomba akatafute changamoto mpya hivyo ilibidi wamkubalie ombi lake na tayari viongozi wamethibitisha kumaliza naye kwa amani huku wakimtakia kila la kheri.

Himid Mao amesaini mkataba wa miaka mitatu wa kuichezea timu ya wauza mafuta wa Misri Petrojet ambao wamemaliza ligi wakiwa katika nafasi ya 12 msimu huu. Himid ameondoka akiwa ameisaidia Azam FC kumaliza katika nafasi ya pili kwenye VPL.


Tazama Video Mpya ya Wimbo wa Rosa Ree Feat Emtee Kutoka South Africa

0
0

Tazama Video Mpya ya Wimbo wa Rosa Ree Feat Emtee Kutoka South Africa

Bonyeza hapo chini kutazama Video hiyo:


Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

0
0

TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:

GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.

NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0754741788, 0715741788, 0783741788

-DR MAGESA

Zari Akubali Kurudiana Diamond....

0
0
Baada ya masaa takribani 13,tangu hit maker wa African Beuty na King of Pop in Afrika ambaye bado anasumbua na ngoma aliyoshirikishwa na harmonize "Kwangwaru,Diamond Platnumz maarufu kama Chibu Dee kuachia kichupa cha karne "Iyena" hatimaye Star wa Manzese True Boy "Nay wa mitego ameibuka na kumwagia sifa kijana huyo ambaye leo amenunua :D:Dpage zote za instagram na youtube kwa kazi nzuri ya wimbo huo uliopo kwenye album ya A boy from Tandale.

Katika post yake huko IG Nay amesifia kazi nzuri na kumlaumu Diamond kwa kupuyanga na "Mapugi machafua nyota" .

Aidha,Nay amesema anafanya mpango aongee na mama Tee ili yaishe jambo hilo limemfurahisha Zari ambapo amelike na Kukomenti post hiyo kwa kuweka emoji ya Kusalimu amri... 

Je hii ni ishara kwamba Mama Nillan yuko tayari kurudi Madale?

Toa maoni yako

Waziri wa Elimu avurugwa na Kwaya ya Utupu ya Wanafunzi

0
0
Waziri wa Elimu Nchini Afrika Kusini, Angie Motshekga amesikitishwa na kwaya ya kundi moja la wanafunzi ambao wamekuwa wakiimba wakiwa watupu.

Amesema kuwa amesikitishwa sana baada ya kuona kanda ya video ya wasichana hao wa Xhosa wakicheza densi yao huku wakiwa wamevalia nguo inayojulikana kama “inkciyo”.

Aidha, Waziri huyo amesema kuwa ni ukosefu wa heshima kwenda kinyume na maadili ya tamaduni za taifa hilo hasa kwa watoto wa kike.

“Tabia hiyo mbaya sana inaenda kinyume na maadili ya tamaduni zetu, mtoto wa kike anafaa kuthaminiwa na si kufundishwa mila potofu,”amesema Waziri Motshekga

Hata hivyo, mkufunzi wa Kwaya hiyo ya wanafunzi amesema kuwa ni fahari kubwa kucheza densi ya kitamaduni ya Xhosa huku wasichana wakiwa watupu.

Wabunge CCM Wammwagia Sifa Rais Magufuli Bungeni

0
0


Wabunge wa CCM wamempongeza Rais John Magufuli anavyoshughulikia sekta ya madini ikiwamo kuzuia usafirishaji wa mchanga wa madini ya dhahabu ‘makinikia’ nje ya nchi.

Wabunge hao Goodluck Mlinga (Ulanga) na Sixtus Mapunda (Mbinga Mjini) wamesema hayo leo Juni 1, 2018 bungeni wakati wakichangia bajeti ya madini ya mwaka 2018/19.

“Nampongeza Rais (Magufuli) kwa kuzuia makinikia kupeleka nje ya nchi, Tanzania ni nchi ya nne kwa uzalishaji wa dhahabu kwa nchi za Afrika na duniani. Katika nchi matajiri wa uzalishaji wa mali tupo lakini mafanikio ya wananchi na Serikali tuko chini,” amesema Mlinga.

Amesema anampongeza Rais kwa kujenga ukuta katika mgodi wa Mirerani kwani ni madini adhimu.

“Tanzania ni nchi ya nne kwa uzalishaji wa gesi katika bara la Afrika. Lakini katika nchi masikini tupo,” amesema.

Akiendelea kuchangia, Mlinga amesema, Rais anapaswa kufanya mabadiliko katika wizara ya madini kwani watendaji wake wamesababisha haya.

Naye Mapunda amesema alichokifanya Rais ni jambo kubwa kwani tuna madini mengi lakini yalikuwa hayatunufaishi.

“Tuko katika mpito kutengeneza mfumo bora wa kutunufaisha na yote yanahitaji ushirikiano na kupeana moyo. Biashara ya dhababu ni ya familia kubwa na jinsi ya kuiingia inahitaji kutumia ubongo mkubwa sana,” amesema Mapunda na kuongeza:

“Ili kuingia kupambana nao inahitaji kuwa na mfumo mzuri na Serikali inapoanza kutengeneza sheria, hawa hawawezi kukubali, lazima watatuhujumu.”
Viewing all 104431 articles
Browse latest View live




Latest Images