Quantcast
Channel: UDAKU SPECIAL
Viewing all 104428 articles
Browse latest View live

Rommy Akataa Kusimamamiwa na Wasafi, Siwezi Kusimamiwa na Mdogo Wangu

0
0


Dj maarufu kutoka kundi laWCB, Rommy Jones amefunguka na kusema kuwa pamja na kwamba hata yeye anatokea katika kundi la wcb, lakini hii haimaanishi kuwa hata yeye  atasimamiwa na Wcb , watu wajue klwamba yeye anajisimamia mwenyewe na project zake.

Ingawa watu wengi walitegemea kuwa kutokana na ukweli kwamba Rommy yuko WCB na WCB imekuwa na wasanii wengi wanaofanya kazi chini ya lebel hiyo basi hata yeye na project zake za muziki itakuwa chini ya wcb lakini kumbe sio.

pale unajua mimi ni vice president na kuna record lebel ambayo ni WCB,  na inawasanii wengine tu kama kina Mbosso, Harmonize , Lavalava na Rich Mavoko ila mimi siko chini ya Wcb, kwa project zangu zote ninafanya kwa kujisimamaia mwenyewe wala sio WCB,

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Mafupi na Upungufu wa Nguvu za Kiume? Suluhisho Hili Hapa

0
0



KWANINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MAFUPI NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME DR SITTA NDO SULULISHO LAKO tatiza, hili limekuwa likiwaasili watu wengi,sana kisaikolojia hasa baadhi yao kujiona wako tofauti na wanaume wengine, kwa kawaida, mwanaume anatakiwa awe na uume, usiopungua nchi 6-7au-8 ,vinginevyo mtu huyo anamatatizo zipo , sababu nyingi zinazosababisha, tatizo hilo baadhi ni (i) upungufu wa vichocheo vya HORMONES ZA CETROGEN ambazo mwanaume, anapobarehe vichocheo hivi, HORMONES hizo, husaidia ukuaji wa uume

SUPER MIZIZI, ni dawa inayozalisha HORMONES ZA CETROGEN,na kufanya, uume kukuwa na kuongzeka sazi utakayo na kuzibua mlija iliysinyaa,

NSHOLA ni dawa bora, ya kurudisha nguvu, za, kiume bari inatibu ,kabisa kutoa tatizo hilo, na kukupa , hamu ya , kurudia tendo, la ndoa zaidi, ya mala nne 4 ,bila kuchoka atakama unaumli ,wa mika 80,! pia ana ,dawa za ,kutibu, presha ya kupanda ,na kushuka, kisukari kuondoa, mafuta , mwilini ,na maumivu ya, mgogo kiuno, dawa zipo, matazo, ya hedhi, kwa ,wanawake hedhi, zisizokuwa na, mpangilio, na kasonono, pia , vidonda ,vya, tumbo ,(STOMACHI UCLENS) IHUSHI ndoji lako.

NKANYA ni dwa ya mvuto wa kimapenzi ,mchumba mpenzi ariyekuacha, mke mme, atakuludia kwa, mda, wa msaa3 tu , ukishaitumia atarudi ,mwenyewe bila ,ugovi tena, NKOMA ni dawa kuongeza HIPS na mguu wa bia kwa wadada .

HERBON, ni, dawa, ya kuongeza, CD4, NGAKAMA ,ni dawa ya kutibu ,miguu, kufaganzi, na ,kuwaka moto, huduma zetu ,zipo ,vizuri, popote pale dawa utaletewa! DR SITTA, amebobea, kwa tiba asilia

DAR ANAPATIKANA MBAGALA, ZAKHEM, SONGEA BOMBAMBILI SHINYANGA, KAHAMA MJINI, KWA MAELEZO ZAIDI , PIGA SIMU 0763172670 au 0715172670

WOTE MNAKALIBISHWA, KAMA, UTAKUWA NA TATIZOUTAHUDUMIWA,

Sakata la Shetta Kufulia 'Sijafulia Naingiza Milioni 1 Kwa Siku' Wadau Wajiuliza Anafanya Deal Gani

0
0

Staa wa muziki wa Bongo fleva Nurdin Bilal Ali maarufu kama Shetta amefunguka na kudai kuwa hajafulia kama watu wengi wanavyodai kwani anafanya biashara inayompa kipato kikubwa tu.

Shetta alishawahi kufanya vizuri siku za nyuma na ngoma kali kama Nidanganye na Mdananda, amesema sababu tu hasikiki Kwenye muziki kwa hivi sasa haimaanishi kama amefulia.

Shetta amesema ana biashara ndogo ndogo ambazo zinamuingizia kipato kikubwa kwani hivi sasa ana vibanda vya kukaanga chipsi kama vitani ambavyo vinamuingizia kipato cha kutosha.

Mimi nafanya bishara, nina biashara ndogondogo ambazo nazikusanya pia, ujue mimi ni mmoja kati ya watu ambao wana vibanda vya chips vingi, kwa siku kila kimoja kinatoa laki na nusu au laki mbili, imagine una vibanda vya chips vitano ambavyo kila siku vinakupa laki 2, kwa hiyo nakusanaya milioni kila siku”.

Lakini pia Shetta amesema bado anaingiza pesa pia kwa njia ya muziki kwani anasimamia wasanii ambao ni The Mafik Band.

Wabongo Hamjui tuu 'Venessa na Jux ni Beyonce na Jay -z wa Bongo' Mimi Mars Apigilia Msumari

0
0

Moja ya wanafamilia kutoka katika lebel ya Mdee Mimi Mars amefunguka na kusema kuwa kwa upande wake nawaona Vannesa Mdee na Jux ni kama beyonce na jay z wa tanzania kutokana na vile wanavyowea kuweka mahusiano yao vizuri lakini pia kuweka kazi zao zikaenda kama kawaida.

Mimi Mars ameyasea hayo alipokuwakatika show fupi ya uzinduzi wa tour yao itakayoanza hivi karibuni ikiwahusisha Vannesa na Jux kwa pamoja na kuznguka baadhi ya mikoa ya Tanzania kwa pamoja.Akijibu swali ambalo wengi wamekuwa wakisema kuwa wawili hao  hawawezi kudumu kwa sababu wanachanganya kazi na mapenzi  mimi mars anasema

Mimi ninaamini sana katika mapenzi na kazi kwa sababu ukiangalia hata wale wenzetu wa kule nje, kama beyonce na jay z pia wako hivyo kwaio na mimi nawaona kama ndio beyonce na jay -z wetu wa tanzania na ninaamini kwa kuwaona tu watafika mbali lakini mimi personally nisingependa kufanya kazi moja na mtu niliyenae katika mahusiano.

 ROSA REE NA EMTEE WAFANYA MAAJABU TAZAMA HAPA CHINI KWENYE VIDEO:


Baby Madaha 'Sipendi Kutoa Papa Yangu Kwa Wanaume Wakibongo ni Wababaishaji Wananitia Nuksi

0
0
Msanii wa Bongo fleva Baby Madaha amewapa makavu ya Uso wanaume wa Dar na kudai ni Matapeli wa mapenzi.

Baby Madaha amefunguka na kuwatolea uvivu wanaume wa Kibongo huku akiweka wazi kuwa kutoka na wanaume hawa ni kujitia tu nuksi kwani huishia kukupotezea muda na kukutosa.

Kwenye mahojiano na Global Publishers ,Baby  Madaha alisema kuwa watu wengi hawamuelewi kwa nini hawajawahi kumuona na mwanaume au kumnadi mpenzi wake mitandaoni kwa sababu hapendi kabisa kutoka kimapenzi na Mbongo.

Watakuja kunisikia tu nimeolewa huko nje ndio watajua ninachomaanisha, sipendi kabisa kumpa penzi Mmbongo kwa sababu wengi wababaishaji na wanajua kutiana nuksi sana kwakweli“.

Wanaume wa Kibongo nao wamekuwa wakisema hayo hayo mambo kuhusu wanawake hadi wengine hasa mastaa wa kiume wameonekana wakienda kuoa nje ya nchi kwa kuwakimbia watoto wa kike wa kibongo.

 ROSA REE NA EMTEE WAFANYA MAAJABU TAZAMA HAPA CHINI KWENYE VIDEO:


Mimi Huyo Sio Mwanamke Wangu na Wala Sina Mpango wa Kumuoa...Tuna Kula Ujana tu

0
0
Kumekuwa na tetesi zinasambaa katika mitandao kwamba msanii nay wa mitego kwa sasa ana mpenzi mpya ambae ni mzuri na mkali zaidi ya yule mama wa watoto wake aliyewahi kuwa nae mara ya kwanza aliyejulikana kama siwema.

akiongea huku akikataa jina lake kuwekwa wazi, moja ya mapaparazi alisema kuwa kwa sasa nay ana chombo kipya kizuri kuliko hata siwema aliyekuwa nae mwanzo,’hivi mna habari kuwa nay saa hivi ana chombo kpya kisu kuliko siwema,ni mjasiriamali na ana karibia kumuoa na mara nyingi anakuwa nae pale kimara nyumbani kwake.’

Mimi nakuibia siri ya familia kwa sababu huyo dada amechukua sehemu kubwa ya siwema kwaio wamemwambia kuwa lazima amuoe huyo dada.

Baada ya hapo Ney alitafutwa ili kuweka ukweli juu ya jambo hilona kutuweka wazi kuhusu kila kitu kuhusu mahusiano yake, ndipo nay alipojibu kuwa kwa sasa hana mpango wakuoa.

Sina mpango wa kuoa mimi, na  mmepata wapi picha,sema kwanza picha umezitoa wapi na nani kakutumia ndipo nitakujibu kama ni mpenzi , mchumba au vipi.
Mimi huyu sio mwanamke wangu aisee, mimi nina mahusiano yangu mengine kabisa.

Hata baada ya kuulizwa hivyo Ney wa Mitego hakutaka kujibu tena swali lngine lolote zaidi ya hilo

 ROSA REE NA EMTEE WAFANYA MAAJABU TAZAMA HAPA CHINI KWENYE VIDEO:


Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo

Makanga 3 Power; Dawa Bora Nguvu Za Kiume

0
0
Kutibu nguvu za kiume dakika(10) na kupona muda wa siku tatu tuu. Kuimarisha misuli ya uume uliolegea, pia ipo Dawa ya kurefusha uume mfupi inchi NNE hadi saba na kunenepesha uume mfupi sentimita NNE.

Tiba ya kudumu kutibu maumivu ya mgongo,kiuno, tumbo kuunguruma na kujaa gesi, kupata choo vizuri, na kutibu uzazi, kutibu busha bila operesheni, kisukari, presha ,miguu kuuma, uzazi, fangas sugu, vidonda vya tumbo.

Ni docta bingwa wa kutibu magonjwa sugu, kutoa ndagu za utajiri kwa kutumia Pete, kazi ,cheni, mikufu maalumu ya bahati, una kesi umedhulumiwa Mali au pesa? Zitarudi muda wa Masaa matatu tuu.

Onana na Dr shilindes shida zako zote zitakwisha, anatoa Dawa za utajiri kwa wafanyakazi, wakulima, na wafugaji, wafanyabiashara na wachimba madini kwa kutumia pete, kazi kwa yeyote anaetaka kuwa na pesa nyingi.

Pia anaboresha akili kwa wanafunzi darasani, masomo na kufaulu mitihani pia kushinda bahati nasibu yeyote.

Pia tunatoa Dawa kumrudisha Mume, mke, mpenzi, hawara, kwa muda wa SAA moja tuu, na kuomba msamaha kwa kukupigia magoti na yeyote yule, unaemtaka kimapenzi au kuoana, utampata na kumfunga asitoke nje ya ndoa daima na kutekeleza shida zako zote. Kupunguza unene, kupunguza matiti makubwa, tumbo na nyama uzembe muda wa siku sita unapata saizi uipendayo.

Kutoa makovu mwilini, chunusi, upele na mabaka, pia tunayo Dawa ya kuongeza hipsi, makalio, mguu wa bia na kupata shepu safi kwa muda wa siku saba tuu.

Wa mikoani mtapata huduma popote mlipo.
Tupo dar es salam mbagala rangi tatu.

Mawasiliano simu namba: 0784 460 348. Au 0659 103 360.

Mzee Akilimali: Kwa wachezaji wa kigeni msimu huu Okwi ndiye mchezaji bora

0
0
Katibu wa Baraza la Wazee wa Yanga, Ibrahim Akilimali ‘Mzee Akilimali’ amesema kwake anaona mchezaji bora wa kigeni msimu huu ni Emmanuel Okwi.

Okwi ameipa Simba ubingwa msimu uli­opita baada ya kupita miaka mitano bila kufanya hivyo huku akiibuka mfungaji bora wa ligi kuu akiwa katupia kambani mabao 20.

Mzee Akili­mali ambaye amepanga kuwania Urais wa Yanga, Okwi alikuwa msaada mkubwa ndani ya kikosi hicho na kusaidia kutwaa ubingwa huku yeye akifunga mabao mengi huku akimtaka asibadilike na kurejea tabia ya zamani ya kuomba ruhusa mara kwa mara.

“Kwa wachezaji wa kigeni msimu huu Okwi ndiye mchezaji bora, alifanya vizuri baada ya kuisaidia timu itwae ubingwa na alikuwa tishio kila alipokuwa akiingia uwanjani kuwakabili wapinzani na hata mashabiki pin­zani waliogopa kuto­kana na uwezo wake.

“Lakini ushauri wangu ni kwamba asije akayarudia yale ambayo yaliwahi kuto­kea huko nyuma siyo anapewa ruhusa siku tano yeye anakaa 20 haifai ajue yuko ka­zini na klabu yake in­amthamini ndiyo maana akawa pale. Kwa Yanga sijaona mchezaji wa kimataifa aliyefanya vyema kwa kuwa wengi walikuwa majeruhi,” alisema Akilimali.

Okwi alipotua Simba msimu uliopita alipewa Sh136 huku ikielezwa kwamba nyumba yake anayoishi Dar es Salaam anali­piwa zaidi ya Shilingi milioni 2 kwa mwezi.

Mambo Ambayo Msichana ambaye yupo Single Anatakiwa Kuyafahamu

0
0

Siku ya leo naomba nizungumze na wale wadada wote ambao hawajoelewa au kwa kibantu huitwa (single ladies).  Ewe mwanadada yapo mambo ya msingi ambayo unapaswa kuyafahamu kabla ya kuolewa na mambo hayo ni;
Usiharakishe kutoka nyumbani kwa wazazi wako kwa gia ya kwenda kuolewa.
Usimsubiri mwanaume mpaka aje ndio uanze kuishi. Unaweza kuishi maisha timilifu hata ukiwa huna mwanaume.
Achana na pombe zimewauwa wenzako wengi kwa kisingizio cha kuondoa stress na wewe unaweza kufa pia.
Usiwe mtu wa kuendekeza kuzipokea na kuzijibu namba ngeni za simu hasa nyakati za usiku.. sio njia sahihi ya kupatia mpenzi.
Tengeneza mazingira ya kuilinda afya. Jitahidi Kunywa maji mengi na Chakula kwa diet achana na viofa ofa vya bure, vimesha waponza wenzio wengi mpaka sasa.
Vaa vizuri na kiheshima. Watu watavutiwa na wewe ulivyo kabla ya kuongea nawe

Msanii Angel Mary atamani kufika walipofika Alikiba na Vanessa

0
0
Msanii wa muziki Bongo, Angel Mary amefunguka kuhusu mipango yake ya kimuziki kwa miaka ya mbeleni.
Muimbaji huyo amesema moja ya ndoto zake ni kuweza kuiwakilisha Bongo Flava na Tanzania kiujumla kimataifa kama wanavyofanya Alikiba na Vanessa Mdee.

“Angalau miaka mitatu/mitano mbeleni muziki wangu uwafikie sio Watanzania tu, sio East Afrika tu, yaani dunia nzima. Nipate kuwa mmoja wapo ya wasanii ambao tunaona kama Vanessa Mdee, Alikiba ambao wanapeperusha bendera ya Tanzania vizuri sana,”

Ameendelea kwa kusema kuwa kufanya hivyo inakuwa kama chanzo cha kujivunia kuwa Mtanzania kwa kuona kwamba tunafanya kitu kizuri. Kwa sasa Angel Mary ambaye ni zao la BSS anayetamba na ngoma inayokwenda kwa jina la Magongo.

Bakwata wafafanua juu ya Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Kiislam

0
0
Mradi wa chuo Kikuu cha kiislamu kwa ufadhili wa SaudiaArabia,ahadi hii ili tolewa na Waziri wa Dini kutoka Saudia Arabian, mwaka jana Mufti mkuu wa Tanzania alienda kuhudhuria mkutano uliofanyika Tarehe 29/December /2017.

Akizungumza na waandishi wa habari kwa niaba ya Mufti kuu wa Tanzania Mjumbe wa baraza la Waislamu Bakwata Khamis Mataka , Amesema

katika mkutano ule ndipo   alizungumza naye juu ya haja ya Tanzania kuwa na chuo Kikuu na aka pewa Proposal, na baada ya kurudi nchi Mufti akalieleza hilo suala kama waliyoifikia zungumza na Waziri wa Mambo ya Dini.

Na alipokuja katika mashindano ya kusoma  Quran, kilicho fanyika ni kulitangazatu jambo hilo lakini hali kuanzia pale.

Mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya Kigamboni kwa Waislam Scaba scuba alitoa eneo hilo na Bakwata pia ina he kali 100, kwahiyo utaratibu unafanyika kufahamu kama chuo kitajengwa Tanga ama Dar es Salaam.

Kwaniaba ya baraza amemshukuru  Waziri huyo kutoka Saudia Arabian kwa ufadhili huo.

Pamoja na hayo amesema swala ya Idd na Baraza  la Idd itafanyika kitaifa jijini Dar es Salaam, katika uwanja wa Mnazi Mmoja.

Aidha maandalizi ya Hija hapo awali taasisi 16 zilitangazwa kusafirisha Mahali, lakini mpaka sasa taasisi 11pekee ndo zimekamilisha taratibu zote nazo ni kama ifuatavyo:-
Alhusna Haj Trust, Masjid  Adil, Shamsu-I- Maarifa  kheri, Tanzania Muslimdevelopment Association, Peace travelland Tours Limited , Baraza kuu la waislam Tanzania,Tanzania  Muslim Hajj , Zam zamu Centre, Ahlu Daawa Hajj travelling Agency , Shifa Haji group, Ibn taymiyyah salaf Foundation Hajj and Umrah..

Harambee ya uimarishaji wa Baraza, Bakwata imekuwa ikika biliwa na changamoto za Kifedha muda mrefu, kwa sasa imeunda Kamati na tayari imesha tembelea mikoa mbalimbali na kuhakiki mali za baraza la Waislamu na hatumbalimbali zimechukuliwa,

Kamati imeungua katika mkoa fulani hawana akaunti na hakijulikani wanachi fadhili wapi mapato yao.

Mapato yanayo Patikana hayawezi kukidhi matumizi ya barabaraza, kwa mfumo wa uongozi uliokuwepo ilikuwa ni michango ya Waislam, kwa sasa msikiti yote itachangia  mapato, michango hiyo itakuwa kati ya makundi matatu kuanzia shilingi 10,000 hadi 30,000na kila mwezi kutakuwa na Ijumaa ya nne ya mwezi itakuwa ya harambee ya kuchangia baraza ili kupunguza changamoto ikiwemo kuwalipa watumishi wa Baraza.

Amesema pia katika mabadiliko ya kimfumo baraza liko tayari kupokea  mapendekezo na ushauri katika kupata mapato.

"Hili suala la harambee ni jambo la majaribio kuona Waislamu wote wanachangia baraza lao ambalo ni taasisi  ya Umma ni tofauti na taasisi zingine ndiyo maana hata viongozi wake wanachaguliwa na Waislamu wote na si watu maalumupekee wanaoshiriki,"AAalisema.

Operesheni Polisi Yanasa 35, Silaha 5 Mikoa Ya Kusini

0
0
Na. Jeshi la Polisi.
Jeshi la Polisi nchini limefanikiwa kukamata Silaha mbalimbali na watuhumiwa 35 katika Oparesheni Maalum inayoendelea katika Ukanda wa mikoa ya  Kusini unaojumuisha mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma.

Akizungumza mkoani katika eneo la Kilambo mpakani mwa Tanzania na Msumbiji mkoani Mtwara, Mkuu wa Operesheni Maalum za Polisi, Naibu Kamishna wa Polisi Liberatus Sabas alisema kati ya watuhumiwa 35, wawili wamekabidhiwa Idara ya Uhamiaji kwa hatua zaidi, 16 wapo chini ya Upelelezi na 17 wapo chini ya uangalizi wa Polisi (Police Supervisee).

Sabas amezitaja Silaha zilizokamatwa kuwa ni pamoja na SMG mbili, Rifle mbili na Gobore moja ambapo amebainisha kuwa ufuatiliaji bado unaendelea ili kuwabaini wafadhili wa uhalifu hapa nchini.

“Kama nilivyosema kipindi kilichopita kuwa Operesheni hii ni endelevu na matokeo ndio kama haya hivyo hata wale waliokimbilia nchi jirani ya Msumbiji hawapo salama kwa kuwa hata kule operesheni zinaendelea na tunashirikiana na Jeshi la Polisi la nchi hiyo kuhakikisha kuwa wote wanakamatwa“. Alisema Sabas.

Aidha Kamanda Sabas amewataka wakazi wa mwambao wa mto Ruvuma kuendelea kutoa taarifa mapema mara tu waonapo watu wanaowatilia mashaka katika maeneo yao kwa kuwa uzoefu umeonyesha kuwa baadhi ya watuhumiwa wamekuwa wakitumia vipenyo vya mto huo na kufanya uhalifu kati ya nchi yetu na Msumbiji.

Pia amesema Operesheni hiyo inashirikisha vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama hivyo ametoa wito kwa raia wema kuendelea kutoa taarifa za siri ili kuendeleza amani na usalama hapa nchini.

Kufuatia mafanikio hayo, baadhi ya Wananchi katika mkoa wa Mtwara wamelipongeza Jeshi la Polisi kwa kazi kubwa inayofanya ya kuhakikisha kuwa wahalifu wanaosumbua wananchi wanakamatwa na kufikishwa mahakamani.

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako..Anatumia Nyota na Nguvu za Asili Kutibu

0
0

Muone Ustadhi Ashrafu Atimize ndoto yako. yawezekana ulizaliwa nanyota yakitajiri ila watu wabaya wameikalia mpaka sasa ikawa hufahamu chochote. Mtafute ust Ashrafu Airudishe nyota yako yakitajiri kwakupitia pete inayoendana na nyota yako. Ust Ashrafu Ananguvu zamajini katika utendaji wake.

Anauwezo wakutoa Mali kwakupitia pete nakwakupitia majini wake. Na anauwezo wakuzirudisha Mali zilizopotea kwanjia zakichawi kwakupitia Pete yakifalme Ambayo inayong'aa muda wowote nakubadilikabadilika rangi. Ust Ashrafu Ametembea baadhi ya nchi kwakuwapatia watu huduma mbalimbali. Kama vile maradhi yakisukari, presha, ukimwi, bawasiri, tezidume, mwiliwote kupooza nakutetemeka, NK. Navilevile Amewapatia wengi huduma yamvuto wa kibiashara, nayamvuto wakimapenzi.

Nawengi wametoa shukrani zao kwa ust Ashrafu namna Alivyozirudisha Ndoa zao zilizo sambaratika kwamuda mrefu. Mtafute ust Ashrafu ili akusaidie juu yamambo yako. Nahuyu ust anasaidia matatizo yauzazi, nguvu zakiume, kuwashwa mwilini, kutokwa namapere usoni nasehemu za siri, NK. Na anadawa yakumtuliza mume asiesikia nakutulia inayoitwa limbwata. Na anadawa yakumrudisha mpenzi ktk mahusiano kwamda mchache.

Na amezipatanisha familia nyingi zilizogombana. Na anauwezo wakufarakanisha maadui waliokua pamoja. Mtafute Ustadhi Ashrafu kwa no. 0768486717-0627423037 Au Mtafute kwa whasapp 0659438578

Hizi ndio namba zake mpigie muda wowote usiogope yupo kwaajili yako. Mpigie hupate muongozo wa bure naushri. Ustadhi Ashrafu huduma zake hupatikana mahala popote utakapo muhitaji, ila sehemu kuu anapatikana Bagamoyo.

Jengo la Ghorofa Laanguka na Kuua Watu Watatu

0
0

NAIROBI, KENYA: Watu watatu wamethibitika kupoteza maisha huku saba wakiokolewa kufuatia kuanguka kwa jengo la ghorofa 5 asubuhi ya leo Juni 03, huko Huruma Nairobi

Naibu Mkuruguenzi wa Kitengo cha kupambana na majanga, Pius Masai, amesema mtu mmoja alikutwa amefariki kwenye kifusi huku wawili walifariki wakipelekwa hospitali. Watu watatu wamefikishwa hospitalini na wanapatiwa matibabu

Masai ameeleza kuwa wapangaji wengi wa jengo hilo waliondoka baada ya jengo hilo kutengeneza nyufa kubwa muda mfupi kabla ya saa sita usiku, siku ya Jumamosi kumakia Jumapili

Taratibu za uokoajia bado zinaendela ambapo wananchi walipo katika majengo ya jirani wameondolewa baada ya wakoaji kusema eneo hilo si salama kwa kuwa inawabidi kubomoa majengo kadhaa ili kulifikia jengo lililoanguka

Naibu Kamishina wa Kaunti ndogo ya Mathare, Patrick Mwangi amesema jengo lililoanguka lilikuwa limewekewa alama ya kubomolewa lakini wapangaji waliingia kinyemela na kuendelea kuishi humo kwa miezi kadhaa

Sakata la Walemavu wa Tanzania Waliopelekwa Kuwa Omba Omba Kenya

0
0

DAR: Serikali imesema inafuatilia sakata la walemavu kutoka nchini waliopelekwa Kenya kufanya biashara ya kuwa ombaomba

Katika sakata hilo, hivi karibuni vyombo vya habari nchini Kenya vilitangaza taarifa ya kukamatwa kwa watu watano ambao wanahusishwa na kusafirisha walemavu hao

Katika habari hizo na kupitia mitandao ya kijamii kulisambaa video ndogo iliyoonesha Watanzania wawili, waliotambulika kwa majina ya Moshi na Jasa Mila wakiwa chini ya ulinzi baada ya kukamatwa na Polisi

Akizungumzia tukio hilo jana, Kamishna Jenerali wa Uhamiaji nchini, Dk Anna Makakala alisema taarifa hizo ameziona kupitia mitandao ya jamii na kwamba, ufuatiliaji umeanza kufanywa na idara yake

Inadaiwa watu hapo wanaowapeleka walemavu Kenya huingia makubaliano na wazazi wa walemavu(Kwa walemavu wenye wazazi) ya kuwalipa Tsh. 150,000kwa mwezi, muda mwingine makubaliano ni ya kugawana kinachopatikana kutoka kwa mlemavu baada ya kuombaomba

Matibabu ya Lissu Bado Ngoma Ngumu...anatarajia Kesho kufanyiwa Upasuaji wa 21

0
0

Mbunge wa Singida Mashariki  kupitia chama cha Chadema Tundu Lissu ambaye yupo katika hospitali ya Chuo Kikuu cha Leuven nchini Ubelgiji anatarajia kufanyiwa upasuaji wa 21 wa kuunga goti la mguu wake wa kulia kesho  4/6/2018.

Upasuaji huo ni mwendelezo wa upasuaji wa mwanzo ambao alifanyiwa katika Hospitali ya Nairobi nchini Kenya alikokuwa amelazwa baada ya kushambuliwa kwa risasi akiwa katika katika makazi yake mjini Dodoma Septemba 7, 2017.

Lissu ameeleza hayo leo Jumapili Juni 3, 2018 kupitia taarifa aliyoitoa katika ukurasa wa mtandao wa kijamii wa Instagram, akiambatanisha na picha yake akiwa amelala wodini kando ya mkewe, Alicia.

"Hello  wapendwa wangu. Ninaamini wengi wenu, kama sio wote, mnafahamu kwamba Jumatatu  Juni 4 nitafanyiwa operesheni ya mwisho kwenye mguu wa kulia,” amesema.

Auawa masaa machache kabla ya harusi

0
0

Binti Oyinye Aguluka ameuawa kwa kukatwa na panga na baba yake mzazi, Cletus Aguluka, masaa machache kabla ya harusi yake.

Binti huyo ambaye anaishi nchini Nigeria yalimkuta masahibu hayo akiwa amelala usingizini, baada ya baba yake aliyekuwa amelewa kuja na panga na kumshambulia.

Mama Mzazi wa marehemu aliyetambulika kwa jina la  Georgina  amesema mume wake alirudi usiku akiwa amelewa na kuwauliza watoto wake mahali ilipo tochi yake, lakini hakuna ambaye alimjibu kutokana na kwamba walikuwa wameshaingia kulala, na ndipo alipokuja na panga na kuanza kumshambulia binti yake huyo ambaye alitakiwa kufunga ndoa Jumamosi hii ya Juni 2, 2018.

Mtuhumiwa huyo alikamatwa na wazee wa kijiji na kupelekwa kituo cha polisi, ambako anashikiliwa mpaka sasa.

Pata Tiba ya Tatizo la Nguvu Za Kiume, Inasaidia Kukufanya Urudie Mara 5 na kuchelewa kwa Dakika 20

0
0
TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MAUMBILE MADOGO LINATIBIKA.Baada ya utafiti wa mda mrefu juu ya matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume na ukosaji wa hamu ya tendo la ndoa ama kushindwa kurudia tendo kwa haraka DR Magise imekuletea tiba ya matatizo hayo kwa kutumia dawa za:

GUMBA POWER:Ni dawa asili ya vidonge inayotibu tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume,dawa hii inamchanganyiko wakutosha wenyekuzalisha vichocheo vingi vya Hemone za Gestrogen vikiwemo vitamin B6&B1,vitamini E,pamoja na madini aina ya zinc vitakufanya kuwa na nguvu na mzunguko mzuri wa damu na kuongeza hamu na uwezo wa kufanya tendo la ndoa zaidi ya hatua nne au zaidi,na kuchelewa kufika kileleni zaidi dakka 20-30.

NTINJE:Inarutubisha maumbile ya uume yani kurefusha na kunenepesha nchi 4-7 upana cm3-4 standard kiafya haijalishi umri wako hata kwa wazee ukiitumia maumbile yako yatabaki kuwa hivyo siku zote,Pia tunatibu Presha,kisukari siku7,ngiri,chango la tumbo tumbo kujaa gesi,kutopata choo vizuri

 TUPO TZ DAR ES SALAAM   MBAGALA RANGI TATU.HUDUMA HII UTALETEWA POPOTE ULIPO .WASILIANA NAMI 0754741788, 0715741788, 0783741788

-DR MAGESA

Kwanini Baadhi ya Wanaume Wana Maumbile Madogo na Mafupi ya Kiume na Hawana Nguvu ?

0
0
KWA NINI BAADHI YA WANAUME WANA MAUMBILE MADOGO NA MAFUPI YA KIUME NA HAWANA NGUVU ZA KIUME NINI HUCHANGIA?

🌸 kama una Ngiri, au umejichua kwa muda mrefu, punyeto, una stres nyingi Sana, lishe duni, kisukari, presha, kutopata choo vizuri, tumbo kujaa gesi, na kuunguruma chini ya kitovu, kaswende, gono,haya yote husababisha kuwa na maumbile madogo na mafupi ya kiume na kukosa nguvu za kiume.MATIBABU

🌸tumia dawa ya asili itwayo (MASUNZU POWER MIX) inatibu tatizo la nguvu za kiume maradufu inatibu uume mdogo na mfupi na kuimalisha mishipa iliyolegea inarefusha Nchi(4-8) na kunenepesha maumbile na upana (cm3-4) dawa hii haina madhala hata kwa wazee walio na umri wa miaka (70-85) pia inaongea hamu ya kufanya tendo la ndoa Mara (3-5) bila hamu kuisha dawa hii inatibu siku 6 na kupona kabisa

🌸MASUNZU POWER MIX. ni dawa ya asilia yenye mchanganyiko wa mitishamba 7 yenye maajabu yafuatayo kunyoosha mishipa ya askari aliyesinyaa kutokana na kujichua kwa muda mrefu au Ngiri, nk 🌸pia tuna dawa ya kutibu busha bila opresheni

🌸 SOSOMA DX ni dawa ya kumvuta mme au mke mpenzi wako arudi haraka na kuanza mapenzi mapya kama mlivyoanza mwanzo baada ya Masaa 2 atarudi na kutulia ndani ya nyumba

🌸GINDU EXTRA ni dawa ya kutibu kisukari siku 14 unapona kabisa hata kama imepanda 350 itashuka haraka tunatibu presha, vidonda vya tumbo nk:

🌸 OFISI IPO DAR ES SALAAM BUGURUNI CHAMA UNAWEZA KULETEWA POPOTE ULIPO AU SIMU 0673552294 / +255784552299 TABIBU ATHUMAN.
Viewing all 104428 articles
Browse latest View live




Latest Images